Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Amezeeka apumzike sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NOt good to say this not good at allAcha uchawa dogo janja utakuja acha marinda rehani
Nani kakwambia Mbowe ana mpango wa kustaafu?!! Unadhani atauacha mradi wa saccos yake kwa nani?Hbdy Mbowe mezaliwa meanza sikia jina lako till today bado uko kwenye siasa ww ni mfano wa kuigwa na vijana wengi sana umewapa platiform vijana wengi sana wengine wakaja kukusaliti kwa sababu ya njaa ndo siasa ilivyo ila uliwasemehe na mambo yakaendelea kama kawaida ukistaaafu utupe kitabu ya maisha yako from childhood to retirement.
Hawa machawa inabidi waambie Kwa lugha ngumu maana lugha laini hawaelewiNOt good to say this not good at all
Nishakuonya mara kadhaa, hakuna tajiri anayeweza kuwa chawa, sikumbuki mwaka niliowahi kuwa na njaaHawa machawa inabidi waambie Kwa lugha ngumu maana lugha laini hawaelewi
Kutokuwa na njaa haimaanishi utoshelevu achana na uchawa hakuna tajiri chawaNishakuonya mara kadhaa, hakuna tajiri anayeweza kuwa chawa, sikumbuki mwaka niliowahi kuwa na njaa
Wewe utakuwa hanithi haiwezekani mwanaume unaamka asubuhi mpaka unapolala unamsifia mwanaume mwenzako achana na uchawa kuwa huru kifikra.Kutokuwa na njaa haimaanishi utoshelevu achana na uchawa hakuna tajiri chawa
Mbona umejiquote na kujitukana Mkuu, angalia tena replyWewe utakuwa hanithi haiwezekani mwanaume unaamka asubuhi mpaka unapolala unamsifia mwanaume mwenzako achana na uchawa kuwa huru kifikra.
Tunapowapiga vita machawa wa mama haitakiwi tuwasahau machawa wa mbowe
Hawa machawa wanatutia sana hasiraMbona umejiquote na kujitukana Mkuu, angalia tena reply
Muache tu mbona humtukani lucas mwashamba hivyoo siunajua kitakachokupataHawa machawa inabidi waambie Kwa lugha ngumu maana lugha laini hawaelewi
Au sioNani kakwambia Mbowe ana mpango wa kustaafu?!! Unadhani atauacha mradi wa saccos yake kwa nani?
1961...uhuru...freedom.....freemanMiaka mingapi mkuu?Happy birthday to him.
HBD Chairman,Hata mimi nimeona ni vema nikaungana na Dunia yote kumtakia heri hiyo Mtu huyu, tunu ya Taifa na Mwamba wa siasa za kisasa barani Afrika.
Tajiri/Bilionea aliyeamua kutumia Utajiri wake wa halali kupigania haki za Masikini wa Tanzania waliopachikwa Jina la kudhalilisha la Wanyonge na Watawala.
Tofauti na Matajiri wengi wa Tanzania walioupata Utajiri kwenye siasa, yeye alipata Utajiri wake Nje ya Siasa lakini ameamua kuutumia kukomboa wananchi walioporwa kila kitu na wenye madaraka.
View attachment 3095656
