Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unatia aibu ukiwa wapi?Nami naungana na mamilioni ya watu kumtakia heri ya kuzaliwa mmiliki halali wa CHADEMA. Ni mfano wa kuigwa kwa wajasiriamali wote wa kisiasa.
Atakuwa mapori ya Katavi!Unatia aibu ukiwa wapi?
Lucus msambwanda wa mbowe huyuHata mimi nimeona ni vema nikaungana na Dunia yote kumtakia heri hiyo Mtu huyu, Tunu ya Taifa na Mwamba wa siasa za kisasa barani Afrika.
Tajiri/Bilionea aliyeamua kutumia Utajiri wake wa Halali kupigania haki za Masikini wa Tanzania waliopachikwa Jina la kudhalilisha la Wanyonge na Watawala.
Tofauti na Matajiri wengi wa Tanzania walioupata Utajiri kwenye siasa, Yeye alipata Utajiri wake Nje ya Siasa lakini ameamua kuutumia kukomboa wananchi walioporwa kila kitu na wenye madaraka.
View attachment 3095656
Matusi, Uchawi na Utekaji ndio nguzo ya ccmSasa dunia nzima iko wapi - mleta uzi una mimba ya mbowe aise na mnapendana
Niko hapa kwenu nimekuja kukutolea posa.Unatia aibu ukiwa wapi?
Nchimbi kaondoa maji yote kwenye bwawa- kambale wamehamia kwenye birth dayHata mimi nimeona ni vema nikaungana na Dunia yote kumtakia heri hiyo Mtu huyu, Tunu ya Taifa na Mwamba wa siasa za kisasa barani Afrika.
Tajiri/Bilionea aliyeamua kutumia Utajiri wake wa Halali kupigania haki za Masikini wa Tanzania waliopachikwa Jina la kudhalilisha la Wanyonge na Watawala.
Tofauti na Matajiri wengi wa Tanzania walioupata Utajiri kwenye siasa, Yeye alipata Utajiri wake Nje ya Siasa lakini ameamua kuutumia kukomboa wananchi walioporwa kila kitu na wenye madaraka.
View attachment 3095656
224- wote kupe wa MboweMatusi, Uchawi na Utekaji ndio nguzo ya ccm