ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Mtindo wa maisha mkuu, maisha yanaenda kasi sana kiasi kwamba kila mtu anakimbizana nayo namna anayoona inamfaa.
Teknolojia imekuja na mengi, mabaya na mazuri, mabaya ndio yanafahya tuishie kufa tukiwa na nguvu. Siku hizi, 30s na 40s ndio wanakufa sana, tena wanazimikq kama mishumaa tu.
Teknolojia imekuja na mengi, mabaya na mazuri, mabaya ndio yanafahya tuishie kufa tukiwa na nguvu. Siku hizi, 30s na 40s ndio wanakufa sana, tena wanazimikq kama mishumaa tu.