Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Ni miaka 18 sasa, tangu Man Utd alipofanya maajabu katika fainali ya UCL ya mwaka 1999 kwa kutoka nyuma na kubeba ubingwa. Man Utd akatawala soka la Ulaya na Dunia nzima chini ya Sir Alex. Tuambie unapoona kikosi hiki unakumbuka wapi? Mchezaji gani ulimkubali katika kikosi hiki? Karibu utiririke...