barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Wtf?Hadi leo hii naamini kwamba Modric alifanya kosa kubwa sana kuihama Totenham
kwa hiyo Ramos yeye kazi yake kubwa ni kupewa RED CARD?Mkuu...ningependa nikuweke sawa apo unaposema kroos ni kiungo Wa kawaida kumlinganisha eti na pogba na fabregas unakosea...sasa Huyo jamaa ndo kabisa huwa uwepo wake kwenye match ni kama vile hayupo ila akitolewaga tu utagundua dimba pale kati limepwaya...hii ilijidhihirisha baada ya kroos kutolewa na sub katika 2nd-leg ya atletico kwenye ligi ambapo game iliisha 1-1,so far pale kati dimbani Madrid kuna viungo Wa maana si mchezo...tukianza na Kroos ni Master pass na penetration kuntu(HUYU NI MZURI ZAIDI TIMU IKIWA INASHAMBULIA),MODRIC ni mmiliki mzuri wa mpira na hutuliza pressure ya mpira pale dimbani(HUYU NI MZURI ZAIDI TIMU INAPO POSSESS MPIRA)...Pia kuna CASEMIRO huyu ni mkabaji makini(HUYU NI MUHIMU SANA TIMU IKIWA INASHAMBULIWA)...Na kila mmoja ana umuhimu wake kwa mfano Casemiro akitokaga na timu ikiwa inashambuliwa lazima Ramos adungwe RED...tafsiri yake mabeki wameelemewa na pale kati kumekuwa uchochoro,Modric asipokuwepo utaona kabisa midfilders za timu pinzani wanamiliki Mpira kuliko madrid na mipira mingi huwa inapotea sana pale kati(hapa naona Isco sherehe hii ya kumiliki Mpira pale kati anaweza ifanya vyema sikuizi isipokuwa tatizo lake huwa anapoza sana mipira anayopewa na wenzie maana hadi afanye udambwi wake ule ndo atoe Pasi...muda mwengine hii hukata morale ya timu) na Kroos asipokuwepo utagundua utoaji wa pasi za mwisho na penetration ni ovyo ila Kroos huwa sio mzuri pale Ramos anapopataga RED ambapo Casemiro inamlazimu arudi pale nyuma kumsaidia varane/nacho na hivyo inawalazimu Kroos na modric kubaki pale kati...apa mzigo huwa unamwelemea sana modric kwa kuwa Kroos si mkabaji kivile bora modric na kwa kuwa timu haipandi kama awali Kroos anashindwa kufanya kazi yake anayoifanyaga ya kutoa pasi za mwisho(katika situation kama hii kroos anakuwaga mzigo na huchoka vibaya kwa kuwa dimba huchafukwa na wao pale kati wapo Wawili tu yeye na luka...ukizingatia kukaba sana sio haiba yake...na apa mara nyingi sub inayoingia badala yake utaona ni Kovacic ana afadhali kwenye kukaba kuliko Kroos).
ni bora ya ronaldo kuwategenea wachezaji wenzake, kulikon yule wa kwenu kutegemewa na timu.Fans wa Madrid wamelewaa ujinga wanaolishwa na marefa wao kwa huyo mbebwaji wao anaetengebezewa magoli
Ronaldo kama uwanjan hakuna bale wala benzema
Magoli anayaskia tu kwa wenzie
Bale pia hapewi heshma
Yake
Waache uzandik waangalie
Wanaoitendea haki tim
Bale na luka
kwa hiyo Ramos yeye kazi yake kubwa ni kupewa RED CARD?
Jamaa namuelewa mnoHapo umesema vyema
yule hata,c wa kwang n wa wenyeweni bora ya ronaldo kuwategenea wachezaji wenzake, kulikon yule wa kwenu kutegemewa na timu.
Bora tu skua mchezaj maanaKwasasa ndiye mchezaji anayeshikilia record ya red-cards pale madrid na hadi kufikia Kwenye ile El-Classico iliyopita ya 2-3 loss for realmadrid to Barca alipatiwa red-card yake ya 22 angalia apo mwenyewe na list ya red-card zingine za [HASHTAG]#Nahodha[/HASHTAG] huyu Wa Real ,naomba uelewe kuwa sijasema Ramos ni beki mbaya...hapana kwa kuwa ukabaji ndio kazi yake ila anapomiss discpline kidogo kwenye ukabaji ndo huwa yanamkuta hayo,Mara zingine hana namna maana timu inakuwa imeelemewa na muda mwengine huwa tu amekamia sana match hasa za El-classico(huyu jamaa anazikamiaga sana),Na hiyo ndo sababu ya Mimi kumtolea yeye mfano kwenye suala la red-cards...maana huandamwa sana na jinamizi hilo la red-cards kila msimu...So far "SERGIO RAMOS GARCIA is the one of the Most Valuable [HASHTAG]#CenteBack[/HASHTAG] in the World".
View attachment 508646
Sergio Ramos and his 22 Real Madrid red cards: a retrospective
Yote n kutaka umaarufu zaidTatizo toteniham ni timu ya kawaida ndio maana akaona aende kuleeeeeee
Agiza chochote hapo nitalipa mkuu,sioni namna ya kukuelezea ulivyonifurahisha kwa kumbukumbu hii mujarab.Modric huyu kijana wa Kicrotia Fundi sana sijui anatumia Petrol jinsi unavyomkuta kila kona ya uwanja na zile pasi zake za outer kwa kifupi anajua kusakata kabumbu.
Sitasahau goli alimfunga De Gea UEFA champions league pale OT
Matahira kuliko wewe?tatzo wa Madrid wengi matahira wanamsifia anaelishwa ananenepa bila kumjua mtafutaji
Umaarufu my foot!!.Yaani mtu hadi sasa ana UEFA 2 halafu unamwambia mambo ya cjui umaarufu akiwa Spurs?..Hata mwenyewe Luke akikuskia atakuona fala sana.Umaarufu wake ulipungua alipohama...pale Totenham alikuwa mchezaji wakutegemewa zaidi na alipewa heshimakubwa zaidi ya huku alipo sasa.
Nimemshangaa sana uyo jamaa na post yake..daaah.kila mchezaji ana malengo yake kama kupata vikombe na pesa sasa huoni kama hapo Madrid kapata vikombe vya Uefa 2, Super cup 1 wakati tot huko hata Epl tu wanashindwa kuchukua
Bora tu skua mchezaj maana
Ngekua nishafungiwa maisha
Kumsujudia mwanadam kama
Mungu aiseee n.mlima kwang
Mfn hapo mpaka anaonekana
Kilia jamaa