Dunia ya Soka impe Luka Modric heshima yake

Dunia ya Soka impe Luka Modric heshima yake

Hadi leo hii naamini kwamba Modric alifanya kosa kubwa sana kuihama Totenham
Wtf?
Kaenda madrid kashinda vikombe vikubwa, madrid ni mara 1000 ya spurs, ndoo maana wana la decima!ukistaafu soka kinachohesabika ni trophies ngapi na medals unazo kabatini.
 
Mkuu...ningependa nikuweke sawa apo unaposema kroos ni kiungo Wa kawaida kumlinganisha eti na pogba na fabregas unakosea...sasa Huyo jamaa ndo kabisa huwa uwepo wake kwenye match ni kama vile hayupo ila akitolewaga tu utagundua dimba pale kati limepwaya...hii ilijidhihirisha baada ya kroos kutolewa na sub katika 2nd-leg ya atletico kwenye ligi ambapo game iliisha 1-1,so far pale kati dimbani Madrid kuna viungo Wa maana si mchezo...tukianza na Kroos ni Master pass na penetration kuntu(HUYU NI MZURI ZAIDI TIMU IKIWA INASHAMBULIA),MODRIC ni mmiliki mzuri wa mpira na hutuliza pressure ya mpira pale dimbani(HUYU NI MZURI ZAIDI TIMU INAPO POSSESS MPIRA)...Pia kuna CASEMIRO huyu ni mkabaji makini(HUYU NI MUHIMU SANA TIMU IKIWA INASHAMBULIWA)...Na kila mmoja ana umuhimu wake kwa mfano Casemiro akitokaga na timu ikiwa inashambuliwa lazima Ramos adungwe RED...tafsiri yake mabeki wameelemewa na pale kati kumekuwa uchochoro,Modric asipokuwepo utaona kabisa midfilders za timu pinzani wanamiliki Mpira kuliko madrid na mipira mingi huwa inapotea sana pale kati(hapa naona Isco sherehe hii ya kumiliki Mpira pale kati anaweza ifanya vyema sikuizi isipokuwa tatizo lake huwa anapoza sana mipira anayopewa na wenzie maana hadi afanye udambwi wake ule ndo atoe Pasi...muda mwengine hii hukata morale ya timu) na Kroos asipokuwepo utagundua utoaji wa pasi za mwisho na penetration ni ovyo ila Kroos huwa sio mzuri pale Ramos anapopataga RED ambapo Casemiro inamlazimu arudi pale nyuma kumsaidia varane/nacho na hivyo inawalazimu Kroos na modric kubaki pale kati...apa mzigo huwa unamwelemea sana modric kwa kuwa Kroos si mkabaji kivile bora modric na kwa kuwa timu haipandi kama awali Kroos anashindwa kufanya kazi yake anayoifanyaga ya kutoa pasi za mwisho(katika situation kama hii kroos anakuwaga mzigo na huchoka vibaya kwa kuwa dimba huchafukwa na wao pale kati wapo Wawili tu yeye na luka...ukizingatia kukaba sana sio haiba yake...na apa mara nyingi sub inayoingia badala yake utaona ni Kovacic ana afadhali kwenye kukaba kuliko Kroos).
kwa hiyo Ramos yeye kazi yake kubwa ni kupewa RED CARD?
 
Ha ha ha hii ni sawa na Aguero Pale Man City,,,ukicheza timu ya kawaida hata delle Ali anakuzidi...kule kuna benzema,ronaldo,bale halafu Umfikirie Modric ha ha ha kwel mkali ila ni wakawaida kwa waliomzunguka ,,Shikamoo Marcelo
 
Fans wa Madrid wamelewaa ujinga wanaolishwa na marefa wao kwa huyo mbebwaji wao anaetengebezewa magoli

Ronaldo kama uwanjan hakuna bale wala benzema
Magoli anayaskia tu kwa wenzie
Bale pia hapewi heshma
Yake

Waache uzandik waangalie

Wanaoitendea haki tim
Bale na luka
ni bora ya ronaldo kuwategenea wachezaji wenzake, kulikon yule wa kwenu kutegemewa na timu.
 
kwa hiyo Ramos yeye kazi yake kubwa ni kupewa RED CARD?

Kwasasa ndiye mchezaji anayeshikilia record ya red-cards pale madrid na hadi kufikia Kwenye ile El-Classico iliyopita ya 2-3 loss for realmadrid to Barca alipatiwa red-card yake ya 22 angalia apo mwenyewe na list ya red-card zingine za [HASHTAG]#Nahodha[/HASHTAG] huyu Wa Real ,naomba uelewe kuwa sijasema Ramos ni beki mbaya...hapana kwa kuwa ukabaji ndio kazi yake ila anapomiss discpline kidogo kwenye ukabaji ndo huwa yanamkuta hayo,Mara zingine hana namna maana timu inakuwa imeelemewa na muda mwengine huwa tu amekamia sana match hasa za El-classico(huyu jamaa anazikamiaga sana),Na hiyo ndo sababu ya Mimi kumtolea yeye mfano kwenye suala la red-cards...maana huandamwa sana na jinamizi hilo la red-cards kila msimu...So far "SERGIO RAMOS GARCIA is the one of the Most Valuable [HASHTAG]#CenteBack[/HASHTAG] in the World".

Screenshot_2017-05-13-12-58-38.png

Sergio Ramos and his 22 Real Madrid red cards: a retrospective
 
ni bora ya ronaldo kuwategenea wachezaji wenzake, kulikon yule wa kwenu kutegemewa na timu.
yule hata,c wa kwang n wa wenyewe
Na inajulikana tu kuwa co yule
Pekeake hata ronaldo
Aspokuwepo uwanjan
N sawa na yule mwemzie

Tim itaenda sare kama co kupoteza
Game kabsa
 
Kwasasa ndiye mchezaji anayeshikilia record ya red-cards pale madrid na hadi kufikia Kwenye ile El-Classico iliyopita ya 2-3 loss for realmadrid to Barca alipatiwa red-card yake ya 22 angalia apo mwenyewe na list ya red-card zingine za [HASHTAG]#Nahodha[/HASHTAG] huyu Wa Real ,naomba uelewe kuwa sijasema Ramos ni beki mbaya...hapana kwa kuwa ukabaji ndio kazi yake ila anapomiss discpline kidogo kwenye ukabaji ndo huwa yanamkuta hayo,Mara zingine hana namna maana timu inakuwa imeelemewa na muda mwengine huwa tu amekamia sana match hasa za El-classico(huyu jamaa anazikamiaga sana),Na hiyo ndo sababu ya Mimi kumtolea yeye mfano kwenye suala la red-cards...maana huandamwa sana na jinamizi hilo la red-cards kila msimu...So far "SERGIO RAMOS GARCIA is the one of the Most Valuable [HASHTAG]#CenteBack[/HASHTAG] in the World".

View attachment 508646

Sergio Ramos and his 22 Real Madrid red cards: a retrospective
Bora tu skua mchezaj maana
Ngekua nishafungiwa maisha

Kumsujudia mwanadam kama
Mungu aiseee n.mlima kwang

Mfn hapo mpaka anaonekana
Kilia jamaa
 
Ushukuriwe mtoa mada kwa kuliona hili,Luka huwa ananikuna sana kwa pasi na krosi zake matata.
 
Modric huyu kijana wa Kicrotia Fundi sana sijui anatumia Petrol jinsi unavyomkuta kila kona ya uwanja na zile pasi zake za outer kwa kifupi anajua kusakata kabumbu.

Sitasahau goli alimfunga De Gea UEFA champions league pale OT
Agiza chochote hapo nitalipa mkuu,sioni namna ya kukuelezea ulivyonifurahisha kwa kumbukumbu hii mujarab.

Kama sikosei ilikuwa mwanzoni mwa 2013,na hii game niliicheki pale Coco Beach.
Nilishangilia kiasi mashabiki wa Man U waliniona nuksi.
Baadae ndio Ronaldo alipoongeza goli la pili (hakushangilia) na kuhitimisha karamu ya magoli 2-1 dhidi ya Man U iliyopelekea Man U kutupwa nje ya michuano ya UEFA.
Asante.
 
Umaarufu wake ulipungua alipohama...pale Totenham alikuwa mchezaji wakutegemewa zaidi na alipewa heshimakubwa zaidi ya huku alipo sasa.
Umaarufu my foot!!.Yaani mtu hadi sasa ana UEFA 2 halafu unamwambia mambo ya cjui umaarufu akiwa Spurs?..Hata mwenyewe Luke akikuskia atakuona fala sana.
 
kila mchezaji ana malengo yake kama kupata vikombe na pesa sasa huoni kama hapo Madrid kapata vikombe vya Uefa 2, Super cup 1 wakati tot huko hata Epl tu wanashindwa kuchukua
Nimemshangaa sana uyo jamaa na post yake..daaah.
 
Bora tu skua mchezaj maana
Ngekua nishafungiwa maisha

Kumsujudia mwanadam kama
Mungu aiseee n.mlima kwang

Mfn hapo mpaka anaonekana
Kilia jamaa

Mkuu...ndio maana saa zingine wanapigwaga hawa marefa,yani ukiangalia kwenye orodha ya red-cards za jamaa hiyo ya 19 na ata kama unaikumbuka ile mechi...ni Neymar tu alicheza na akili ya referee na referee hakuliona hilo...alichofanya ni kumtolea tu RED Ramos...ila ile card ilikuwa ina Doubt sana ata kweny bodi ya ligi huko laliga waliireview ile action a day after that game...ila ndo vile haikuwa na impact kwa kuwa match ilishachezwa na barca walishapata matokeo yao!
 
Back
Top Bottom