Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Ni nani amekudanganya kwamba Pirlo amestaafu?Peak yake Na heshima aliyostaafu nayo ilihitimishwa Na ushindi wa Kombe la Dunia. Ni Kama Ronaldo Na umaarufu wote heshima yake ilipaa zaidi baada ya Ureno kuchukua Kombe la Ulaya. Lionel Messi naye atafikia heshima hiyo pale tu atakapoongeza kombe la dunia katika hazina yake. Sizungumzii upenzi wa mashabiki kwa mchezaji.
Hujui soka nenda kashabikie Masumbwi
Tangu aondoke Tottenham kashanyanyua champions League 3. Hapo Tottenham angeziota tuHadi leo hii naamini kwamba Modric alifanya kosa kubwa sana kuihama Totenham
Amestaafu national team Na ndiyo ilikuwa central idea yangu. Najua yuko Marekani kutafuta hela national team amestaafu. .Ni nani amekudanganya kwamba Pirlo amestaafu?
Wengi ukiwaeleza hili hawataki kuelewa labda kwa makusudi au kutokujua...hivi mtu kama Vardy unafikiri ni mjinga kuendelea kuichezea Leicester city ilhari kuna club kubwa zinamhitaji? No! ni kwa sababu anajua pale ndipo ilipo thamani yake na heshima yake kubwa ya soka anaipata pale.Huwa inatokea. Mpaka leo sielewi ALEXANDER SONG, ALEXANDER HLEB na Thomas Vermalin walifuata nini Barca, waliondoka The Gunnez wakiwa wafalme kila mmoja kwa muda wake!
Sent using Jamii Forums mobile app
We unajua soka gani?kakojoe ulale hukoHujui soka nenda kashabikie Masumbwi
Nashukuru sana mkuuLeo modric amepewa tunzo, nahisi uefa wamesikia kilio chenu. Asante kwa kufatilia mpira kwa uangalifu na kujua nani yuko juu. Kwa sasa madrid wana balaa. Casemero, kroose akiungana na luka modric wanatengeneza combination moja matata sana. Wacha modric aitwe modric na tutashuhudia modric na bale wakicheza naspurse.
Siku nyingine ukivuta bange uwe unakula chakula..Peak yake Na heshima aliyostaafu nayo ilihitimishwa Na ushindi wa Kombe la Dunia. Ni Kama Ronaldo Na umaarufu wote heshima yake ilipaa zaidi baada ya Ureno kuchukua Kombe la Ulaya. Lionel Messi naye atafikia heshima hiyo pale tu atakapoongeza kombe la dunia katika hazina yake. Sizungumzii upenzi wa mashabiki kwa mchezaji.
Mtoa mada una jicho la eagle, hongera sana.Bila kumung'unya maneno wanazi na wazandiki wa soka duniani hawamtendei haki Luka Modric. Wamekuwa wakimu-underrate na kumuona mchezaji wa kawaida.
Lakini kwa misimu kama mitatu Luka yupo katika ubora wa kipekee aking'arisha vilivyo safu ya kiungo ya Real Madrid.
Ila bahati mbaya, wazandiki wa soka wanawasifia viungo wa kawaida kama Pogba, Fabregas, Kroos, na Rakitic.
kikosini Real Madrid, wachezaji wanaosujudikiwa ni Ronaldo, Marcelo, Sergio Ramos na Casemiro. Wanamsahau mtu ambaye yuko nyuma ya pazia ya mafanikio ya hao wengine.
Kwanini dunia ya soka haimpi heshima yake Luka?
Bila kumung'unya maneno wanazi na wazandiki wa soka duniani hawamtendei haki Luka Modric. Wamekuwa wakimu-underrate na kumuona mchezaji wa kawaida.
Lakini kwa misimu kama mitatu Luka yupo katika ubora wa kipekee aking'arisha vilivyo safu ya kiungo ya Real Madrid.
Ila bahati mbaya, wazandiki wa soka wanawasifia viungo wa kawaida kama Pogba, Fabregas, Kroos, na Rakitic.
kikosini Real Madrid, wachezaji wanaosujudikiwa ni Ronaldo, Marcelo, Sergio Ramos na Casemiro. Wanamsahau mtu ambaye yuko nyuma ya pazia ya mafanikio ya hao wengine.
Kwanini dunia ya soka haimpi heshima yake Luka?