Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ndio ndio anataka hela nataka tunda, ni mwendo wa kubadilishana.Shoo shoo nipe nikupe
naam maana vizinga vimezidi lakini wanakaza kama vipi akawaombe tu kaka zake.Kama Kawa, akikuomba helaa mwambie aje achukulie bar x, akifika mpe bia mbili unamweleza kuzama room! Akizingua akawaombe kaka zake
Uzi huu uwekewe Lamination..Yaani Mtu sio ndugu yako Halafu unataka akupe tu hela bila sababu ya msingi...ila ww hutaki kumpa utamu..aisee hilo ni NopeHabari wakuu.
Dunia inaenda kasi sana tupo kwenye zama za nipe nikupe, mwanamke unataka hela ya mwanaume(kuhudumiwa) basi uwe tayari kutoa atakachotaka mwanaume...
Na kama hamko tayari kutoa pia msitegemee kupokea papuchiππππ au sioHabari wakuu.
Dunia inaenda kasi sana tupo kwenye zama za nipe nikupe, mwanamke unataka hela ya mwanaume(kuhudumiwa) basi uwe tayari kutoa atakachotaka mwanaume....
Ndipo dunia ilipo kwa sasa, baadhi ya wanawake ukiwa na ukaribu nao na ukaonesha interest ya mapenzi kinachofuata ni kutaka ahudumiwe ila wewe ukitaka game anaona ni mapema sana.Uzi huu uwekewe Lamination..Yaani Mtu sio ndugu yako Halafu unataka akupe tu hela bila sababu ya msingi...ila ww hutaki kumpa utamu..aisee hilo ni Nope
Kutoa sio tatizo kama kuna kupewa, tatizo ni kutoa bila kupokea kwa kisingizio cha muda/ bado mapema.na kama hamko tayari kutoa pia msitegemee kupokea papuchiππππ au sio
Swali la kuku na yai hili....Sio kutaka kuhudumiwa alafu mwanaume akihitaji tunda zinaanza sababu "ooh bado ni mapema sana kufanya hivyo". Mbona hela na kuhudumiwa hamuoni ni mapema?
Kabisa hii ni kweli, unakuwa free kutoa kwa ambae nayeye kakupa ushirikiano.Sio tu watoe utam , ata date ya mara moja mwanamke anaekutoa hachoshi ata kumuhudumia.
Moja ya nyuzi Bora jamii forumsHabari wakuu.
Dunia inaenda kasi sana tupo kwenye zama za nipe nikupe, mwanamke unataka hela ya mwanaume(kuhudumiwa) basi uwe tayari kutoa atakachotaka mwanaume. Sio kutaka kuhudumiwa alafu mwanaume akihitaji tunda zinaanza sababu "ooh bado ni mapema sana kufanya hivyo". Mbona hela na kuhudumiwa hamuoni ni mapema?
Kama haupo tayari kutoa usiwe tayari kutaka pesa na kuhudumiwa, kila mtu abaki na chake.
Ni muda gani ukishapita baada ya kufahamiana ni sahihi kuomba game?
Mtakaokuja kunipa pole nazipokea, ahsanteni π
NAWASILISHA.
π tulia mkuu wasijeshtukia sitaki kutajwa kwenye nyuziWe jamaa una akili sana sema ndo hvo yule manzi wa humu anakunyima uhuru wa kutema facts
Sijakuelewa umemaanisha nini mdogo wake nanii?Swali la kuku na yai hili....
Inafikirisha sana mkuu kwa mbali naanza kuamini yasemwayo kuwa ke wengi ni wabinafsi. Huwa wanajiwazia wao tu.Moja ya nyuzi Bora jamii forums
Kabisa kuna namna mabinti wakibongo wanatakiwa wabadilike zile zama za kila siku yeye wa kupewa tu zinapitwa na wakati , tuvitu tudogo tu tunahamasisha , mimi nilikua na manzi kila akija lazima aje candies yan nilikua nafurah tu πKabisa hii ni kweli, unakuwa free kutoa kwa ambae nayeye kakupa ushirikiano.
Ni kama umeuliza kati ya kuku na yai kipi kilianza? ondoa kuku weka pesa, yai weka mbususuSijakuelewa umemaanisha nini mdogo wake nanii?