Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko right kabisa, wa malengo analuwa na character tofauti, lakin hawa ambao ni omba omba professional, wana deserve hiyo treatmentMwanamke wa kujenga nae malengo anaonekana tangu mwanzo, mwanamke anaeomba hela kila uchwao hafai kwa malengo ni chuma ulete.
Asubuhi hana hela ya kula, usiku luku, kesho yake ana madeni 🤦🏼♂, ujakaa sawa kodi, ujageuka anaumwa anahitaji ya kwenda hospitali alafu mtu kama huyo anakubania, hafai hata kuwekwa ndani.
Umejuaje anasoma kimya kimyaUnataka kumkana? Ujue anasoma kimya kimya hataki kuandika chochote
Kila mtu abaki na chake
Nataka nijue kwenye sex uwa mnaumia ama mnahisi raha?Kila mtu abaki na chake
Ni rahisi sana
Loh, huna kabebi hapo ukaulizeNataka nijue kwenye sex uwa mnaumia ama mnahisi raha?
Yes wanapenda pesa sikatai na tunawapa ila mwanamke akishatanguliza maslahi mbele ni wa kwenda nae kiakili. Unamtreat kwa namna tabia yake ilivyo.Uko right kabisa, wa malengo analuwa na character tofauti, lakin hawa ambao ni omba omba professional, wana deserve hiyo treatment
Mkuu ile pisi ya kwenye foleni ya kusubiri usafiri imekuomba maokoto nini.?Habari wakuu,
Dunia inaenda kasi sana tupo kwenye zama za nipe nikupe, mwanamke unataka hela ya mwanaume(kuhudumiwa) basi uwe tayari kutoa atakachotaka mwanaume.
Sio kutaka kuhudumiwa alafu mwanaume akihitaji tunda zinaanza sababu "ooh bado ni mapema sana kufanya hivyo". Mbona hela na kuhudumiwa hamuoni ni mapema?
Kama haupo tayari kutoa usiwe tayari kutaka pesa na kuhudumiwa, kila mtu abaki na chake.
Ni muda gani ukishapita baada ya kufahamiana ni sahihi kuomba game?
Mtakaokuja kunipa pole nazipokea, ahsanteni 😅
NAWASILISHA.
Wepesi sana kusema hivyo ila huduma zikisitishwa mnaanza kelele.Kila mtu abaki na chake
Ni rahisi sana
Nikikauliza kananua sipati jibuLoh, huna kabebi hapo ukaulize
shemeji hasauliki kamwe.Mkuu ile pisi ya kwenye foleni ya kusubiri usafiri imekuomba maokoto nini.?
Naona unaanza kumsahau shemeji sasa.
Kila mtu abaki na chake kama hakuna fairness."Kila mtu afe na chake ndiyo maisha ya mjini kuzoeazoea watu mwisho utazoea majini" - FA
Exactly.Kila mtu abaki na chake kama hakuna fairness.
Hakika, dunia ya sasa ili upate kitu lazima ugharamike.Nipe nikupe, nothing goes for nothing, Latin; Quid Pro Quo.
Mama paroko yupi tena mkuu?mama paroko ameleta za kuleta nini?
Tena kwenye mchezo inakuwa ni tamu kinoma sababu huwazi sana kuhusu kiliwa pesa yako.shemeji hasauliki kamwe.
Ile pisi sijaiona tena ila nimeleta hii mada kwa sababu naona sana hii tabia inazidi kushamiri, wanataka vyetu ila vyao wanakaza.
Kuna pisi zinapenda pesa mpaka zimezidi, unakubaliana nae na unamjali na kutimiza wajibu wako vizuri tu alafu bado chenga zinakuwa nyingi. Ke wa aina hii siku akikupa namba unafuta na ikiwezekana unatia block kabisa.Tena kwenye mchezo inakuwa ni tamu kinoma sababu huwazi sana kuhusu kiliwa pesa yako.
Vizinga vikiwa vingi alafu akikupa asee ukiwa unaipiga inakuwa haina mzuka sana japokuwa unajitahidi uwe na mzuka lakini wapi sababu unaipiga huku ukifikiria maokoto aliyokuwa anakuomba.
Sisi wanaume tunajua hilo asee demu msumbufu sana wala hawagi mtamu kivile.