Dunia ya zama za nipe nikupe, wanawake kama huna utayari wa kutoa usitegemee kupokea

Dunia ya zama za nipe nikupe, wanawake kama huna utayari wa kutoa usitegemee kupokea

Mwanamke wa kujenga nae malengo anaonekana tangu mwanzo, mwanamke anaeomba hela kila uchwao hafai kwa malengo ni chuma ulete.
Asubuhi hana hela ya kula, usiku luku, kesho yake ana madeni 🤦🏼‍♂, ujakaa sawa kodi, ujageuka anaumwa anahitaji ya kwenda hospitali alafu mtu kama huyo anakubania, hafai hata kuwekwa ndani.
Uko right kabisa, wa malengo analuwa na character tofauti, lakin hawa ambao ni omba omba professional, wana deserve hiyo treatment
 
Habari wakuu,

Dunia inaenda kasi sana tupo kwenye zama za nipe nikupe, mwanamke unataka hela ya mwanaume(kuhudumiwa) basi uwe tayari kutoa atakachotaka mwanaume.

Sio kutaka kuhudumiwa alafu mwanaume akihitaji tunda zinaanza sababu "ooh bado ni mapema sana kufanya hivyo". Mbona hela na kuhudumiwa hamuoni ni mapema?

Kama haupo tayari kutoa usiwe tayari kutaka pesa na kuhudumiwa, kila mtu abaki na chake.

Ni muda gani ukishapita baada ya kufahamiana ni sahihi kuomba game?

Mtakaokuja kunipa pole nazipokea, ahsanteni 😅

NAWASILISHA.
Mkuu ile pisi ya kwenye foleni ya kusubiri usafiri imekuomba maokoto nini.?

Naona unaanza kumsahau shemeji sasa.
 
shemeji hasauliki kamwe.

Ile pisi sijaiona tena ila nimeleta hii mada kwa sababu naona sana hii tabia inazidi kushamiri, wanataka vyetu ila vyao wanakaza.
Tena kwenye mchezo inakuwa ni tamu kinoma sababu huwazi sana kuhusu kiliwa pesa yako.

Vizinga vikiwa vingi alafu akikupa asee ukiwa unaipiga inakuwa haina mzuka sana japokuwa unajitahidi uwe na mzuka lakini wapi sababu unaipiga huku ukifikiria maokoto aliyokuwa anakuomba.

Sisi wanaume tunajua hilo asee demu msumbufu sana wala hawagi mtamu kivile.
 
Jaribu mahusiano yasiyoegemezwa kwenye ngono wala pesa ukibahatika kuyapata. Mahusiano yaliyojengwa katika misingi ya urafiki na ushikaji wa kushibana, kusaidiana, kucheka na kukaa pamoja. Utashangaa sana. Hata hutajua kama unahudumia maana yote utafanya kwa moyo mweupe. Na yeye atakupa papuchi kwa upendo tu tena bila presha; na nyote mtainjoi sana.

Mahusiano ya aina hiyo yapo ila itabidi upate binti anayejielewa na kuijua thamani yake vizuri. Na wewe pia inabidi usiwe furushi; na uwe na mtazamo mpana jumuishi kuhusu maisha, mahusiano, mapenzi, ubinadamu na thamani ya mwanamke.
 
Tena kwenye mchezo inakuwa ni tamu kinoma sababu huwazi sana kuhusu kiliwa pesa yako.

Vizinga vikiwa vingi alafu akikupa asee ukiwa unaipiga inakuwa haina mzuka sana japokuwa unajitahidi uwe na mzuka lakini wapi sababu unaipiga huku ukifikiria maokoto aliyokuwa anakuomba.

Sisi wanaume tunajua hilo asee demu msumbufu sana wala hawagi mtamu kivile.
Kuna pisi zinapenda pesa mpaka zimezidi, unakubaliana nae na unamjali na kutimiza wajibu wako vizuri tu alafu bado chenga zinakuwa nyingi. Ke wa aina hii siku akikupa namba unafuta na ikiwezekana unatia block kabisa.

Napenda ke anisumbue kunipa kwa muda kiasi ila katika hicho kipindi cha kunisumbua niwe najiongeza tu mwenyewe kugharamika sio awe anaomba.
 
Back
Top Bottom