Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Kaangalie last seen yakeUmejuaje anasoma kimya kimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaangalie last seen yakeUmejuaje anasoma kimya kimya
Tatizo lililopo kwa sasa ni kumpata mwanamke anaejielewa, wamekuwa adimu sana, unaemuona ana uafadhali ndio anakuja kukuacha midomo wazi.Jaribu mahusiano yasiyoegemezwa kwenye ngono wala pesa ukibahatika kuyapata. Mahusiano yaliyojengwa katika misingi ya urafiki na ushikaji wa kushibana, kusaidiana...
Guna tenaMmmh
factinategemea kama una malengo nae ya muda mrefu, lakin kama ni hit and run. Unamsogeza pemben
Kipi kikuginishashoGuna tena
Kinakugunisha nini?
🤣🤣🤣Uzi huu uwekewe Lamination..Yaani Mtu sio ndugu yako Halafu unataka akupe tu hela bila sababu ya msingi...ila ww hutaki kumpa utamu..aisee hilo ni Nope
nimekuelewa 😂😂😂Kutoa sio tatizo kama kuna kupewa, tatizo ni kutoa bila kupokea kwa kisingizio cha muda/ bado mapema.
Sijamaanisha hivyo.Kipi kikuginishasho
Nimeufikiria uzi wako kwamba tunakaa meza moja tunabagain au?
Au kubiziana
Kama hivi
Mimi “100k”
Wewe “napiga leo leo”?
Leo umenielewa ? Kwa mara ya kwanzanimekuelewa 😂😂😂
😂😂somo la leo haliihitaji tuition 😂😂Leo umenielewa ? Kwa mara ya kwanza
Hivi ukiweka pesa katikati ya penzi una enjoy kweli si kama punyeto tuSijamaanisha hivyo.
Kwa hali ilivyo sasa wanawake mmeshakubali kuwa pesa na huduma mbele kama tai, kama ni hivyo basi muwe tayari kutoa ushirikiano kwa anaetoa pesa na huduma.
Sio utake huduma na fedha lakini nikitaka mechi uanze kona kona alafu nikisitisha huduma uanze kusema sikupendi n.k
🤣🤣🤣🙌🙌😂 siendi
Ila we jamaa
Tunategemeana ili kukamilisha hulka yetu kama binadamu ,hiyo kanuni yako haitafanya kazi.Kila mtu abaki na chake
Ni rahisi sana
Basi msilie kwa sauti. MnatusumbuaTunategemeana ili kukamilisha hulka yetu kama binadamu ,hiyo kanuni yako haitafanya kazi.
Hatulii wala hatujinyogiBasi msilie kwa sauti. Mnatusumbua
😂 nmecheki kwa mbaaaaali🤣🤣🤣🙌🙌
Najua umeona neno hela ndio maana umeelewa haraka 😂😂😂somo la leo haliihitaji tuition 😂😂