Dunia ya zama za nipe nikupe, wanawake kama huna utayari wa kutoa usitegemee kupokea

Dunia ya zama za nipe nikupe, wanawake kama huna utayari wa kutoa usitegemee kupokea

Jaribu mahusiano yasiyoegemezwa kwenye ngono wala pesa ukibahatika kuyapata. Mahusiano yaliyojengwa katika misingi ya urafiki na ushikaji wa kushibana, kusaidiana...
Tatizo lililopo kwa sasa ni kumpata mwanamke anaejielewa, wamekuwa adimu sana, unaemuona ana uafadhali ndio anakuja kukuacha midomo wazi.

Binafsi napenda sana aina ya mahusiano uliyoyaeleza hapo, yanayoanzia kwenye urafiki.
 
Kipi kikuginishasho

Nimeufikiria uzi wako kwamba tunakaa meza moja tunabagain au?
Au kubiziana
Kama hivi
Mimi “100k”
Wewe “napiga leo leo”?
Sijamaanisha hivyo.
Kwa hali ilivyo sasa wanawake mmeshakubali kuwa pesa na huduma mbele kama tai, kama ni hivyo basi muwe tayari kutoa ushirikiano kwa anaetoa pesa na huduma.

Sio utake huduma na fedha lakini nikitaka mechi uanze kona kona alafu nikisitisha huduma uanze kusema sikupendi n.k
 
Sijamaanisha hivyo.
Kwa hali ilivyo sasa wanawake mmeshakubali kuwa pesa na huduma mbele kama tai, kama ni hivyo basi muwe tayari kutoa ushirikiano kwa anaetoa pesa na huduma.

Sio utake huduma na fedha lakini nikitaka mechi uanze kona kona alafu nikisitisha huduma uanze kusema sikupendi n.k
Hivi ukiweka pesa katikati ya penzi una enjoy kweli si kama punyeto tu
 
Back
Top Bottom