Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #101
Apigwi mtu mkuu, huwa natoa ila nikishaona mtu ananichukulia poa nasitisha.Umeingia chama cha mikopo chef chef! Shtukaaa mzee😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apigwi mtu mkuu, huwa natoa ila nikishaona mtu ananichukulia poa nasitisha.Umeingia chama cha mikopo chef chef! Shtukaaa mzee😂
Wanaume wengi tumekuwa dhaifu bila sababu kwa kivuli cha kutaka kuonekana gentleman uchwara, Nigga tell her straight away that you wanna get wild with her akileta utoto kick her to the curbs huna cha kupoteza. Always just be straight atachukia at first ila ataelewa baada ya muda kidogo.Ipo hivi mkuu, mwanaume ukishaonesha interest kwa ke ukatongoza, ke wengi hutake advantage ya kuanza kutaka fedha, huduma n.k na hapa kama mwanaume kweli umemuelewa ke huna budi kugharamika ili kujiweka karibu na ushindi. Changamoto inaanza ukitaka gemu zinaanza sababu zisizo za msingi alafu bado huyohuyo atataka uendelee kumjali.
Nijibu swali lako, aanze kutoa mwenye interest baada ya hapo kuwepo na ushirikiano wa faida. Kama hakuna ushirikiano abort misheni.
😂😂😂😂😂😂😂 ningechimba haki ya nani!😂 mwaka juzi ilinitokea hiyo ila mbinu ya kuwa na akiba mfukoni au kwenye simu iliniokoa/ilituokoa.
Hii pisi ilinijulisha inakuja town imetoka mkoa tukutane nikakubali, ikajitutumua imenimiss tukae mahali tule tunywe nikataka kumpiga chenga ya mwili ila akaniambia kashaweka oda mahali ni vyema tukienda, nikakubali. Tumekula tumemaliza bill inakuja ananiambia amechanganya pochi, yenye hela kaacha nyumbani, nilikuwa na hela ya rejesho ikabidi nilipie vinginevyo ilikuwa ni kuaibishana.
Kesi ya nyani kwa ngedere😂😂😂hela zenu tunakula na mbususu hatuwapi hata kwa pichaa
😂 nisingeweza ila nilikuja kugundua miaka/muda ukishapita maisha hubadilika na watu hubadilika pia. Sio yule niliekuwa namjua kabla.😂😂😂😂😂😂😂 ningechimba haki ya nani!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] si ana makaka bhas akawaombe hao.Kama Kawa, akikuomba helaa mwambie aje achukulie bar x, akifika mpe bia mbili unamweleza kuzama room! Akizingua akawaombe kaka zake
Ni angalizo tu jirani tumewashtukia.Pesa utaliwa na tukiamua hata kidole hutumbikizi na cha kutufanya huna!!
Hebu punguzeni kelele kwa vihela gani haswaa mpk mlalamike 😂😂😂😂
Huruma ni kitu kizuri ya kuwa nayo ila kwa walimwengu wa sasa ni hatari haswa hawa maraya kery😂😂 nisingeweza ila nilikuja kugundua miaka/muda ukishapita maisha hubadilika na watu hubadilika pia. Sio yule niliekuwa namjua kabla.
Mkuu mimi nna huruma sana hasa kwa watu nnaofahamiana nao wakiwa kwenye hali ngumu na za kudhalilika.
Ntahama na usinifuate huko ntakapohamia jirani, huko hatutaki majirani 😂Ww usitupangie na vipochi vyetu, kitendo cha kuzaliwa bongo elewa hiyo misukosuko lazima upitie 😂😂😂😂
Hawa viumbe kuna muda wana huruma ila kuna muda ni makatili mno hawana ata chembe ya huruma hasa kwenye kula hela zetu.Huruma ni kitu kizuri ya kuwa nayo ila kwa walimwengu wa sasa ni hatari haswa hawa maraya kery😂
Ujumbe umefikaHii imeenda 😘
Oyooo.....hataki bas arudi na UTI yake🤒🙄Ujumbe umefika
Tit for tat
Mpe muluke
Nipe nikupe
Ukitaka yangu nataka yako
Kaka zao tupo,naam maana vizinga vimezidi lakini wanakaza kama vipi akawaombe tu kaka zake.
Akome kabisa huyo dada anaagiza na kula kama anaenda kubeba zege 😂Kuna jamaa nilikutana naye Mgahawa Fulani wa Chakula, alikuwa na Manzi Mmoja white hivi.
Picha linaanza Yule Manzi kaagiza Kuku mzima, mishikaki, Chipsi, Soda sijui na mazaga gani.
Baada ya dakika 10 hivi jamaa, akatoka nje kama anapiga simu hivi.
Ndiyo hakurudi kabisa.
Inaonekana yule Manzi hakuwa na fedha ya kulipa na alikuwa anamtegemea yule Jamaa.
Hivyo alilazimika kuacha Simu Janja yake (Smartphone) kama dhamana.
Inaonekana yule Dada alikutana na Vijana wenye roho ngumu kama ya Mtoa Mada Half american 😜
Yule Binti hakujua Vijana wanahitaji "Game" kabla ya kuanza kuhudumia 🤗