Dunia ya zama za nipe nikupe, wanawake kama huna utayari wa kutoa usitegemee kupokea

Dunia ya zama za nipe nikupe, wanawake kama huna utayari wa kutoa usitegemee kupokea

Habari wakuu,

Dunia inaenda kasi sana tupo kwenye zama za nipe nikupe, mwanamke unataka hela ya mwanaume(kuhudumiwa) basi uwe tayari kutoa atakachotaka mwanaume.

Sio kutaka kuhudumiwa alafu mwanaume akihitaji tunda zinaanza sababu "ooh bado ni mapema sana kufanya hivyo". Mbona hela na kuhudumiwa hamuoni ni mapema?

Kama haupo tayari kutoa usiwe tayari kutaka pesa na kuhudumiwa, kila mtu abaki na chake.

Ni muda gani ukishapita baada ya kufahamiana ni sahihi kuomba game?

Mtakaokuja kunipa pole nazipokea, ahsanteni 😅

NAWASILISHA.
pole sana kwa kunyimwa 😂
muda sahihi haupo itategemea na context ya kwenu tu ! lakini in general (kama hakuna distance relationship) ndani ya miez miwili uwe ushakua nae full faragha (chumbani) ata kama usipokula, na ndani ya siku 90 ujilie 😂
 
Wakati anakunania, ni wazi Bado hajaamua uwe wake.
Amekiweka kwenye kipimo kutaka kujua malengo Yako kwake kwamba ni ya muda mfupi au muda mrefu.
Kakupa pia mitihani kujua uvumilivu wako na uwezo na utayari wako wa kuhudumia familia in case it happen ukawa mume ama baba watoto wake.
Shukuru Mungu hata Kwa kupewa fursa hiyo, maana ni kama yule alieomba nafasi kusoma chuo,
Atalipa ada, na Bado Kuna kufaulu ama kufeli , na ada hairudi
Kwa hawa mabinti wa sasa? We utahudia pesa, john atasomesha, paul atamvalisha ila tunda atapewa omary.

Bora kuyafanya hayo yote kwa binti anaejitambua na kujitunza.
 
pole sana kwa kunyimwa 😂
muda sahihi haupo itategemea na context ya kwenu tu ! lakini in general (kama hakuna distance relationship) ndani ya miez miwili uwe ushakua nae full faragha (chumbani) ata kama usipokula, na ndani ya siku 90 ujilie 😂
😂 miezi miwili upo na mtu kila siku ni kilio cha shida. Hapana, hapana, hapanaaa siku 60 nyingi sana kutoboka.
 
Wewe ndo unapenda wakusumbue unawafatafata wengi. Fata mmoja ambae mtaendana...papuchi atatoa na wewe wajibika bila kuombwa.
Sipendi usumbufu hata kidogo, mimi sio mtu wa pisi nyingi huwa nawinda moja tu, nina ugonjwa wa kupenda baada ya muda mrefu sana.

Kutoa bila kuombwa mbona kawaida ila inategemea siwezi tu kutoa kwa mtu nnaeona hana time namimi, tunaviziana.
 
Back
Top Bottom