Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #161
ndivyo inavyotakiwa.Kama hana time na wewe piga chini. Wa kuendana nae yupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndivyo inavyotakiwa.Kama hana time na wewe piga chini. Wa kuendana nae yupo
Sio lazima umpe mara zote😂Hapana kwa kweli ndio kutwa mara 3?😂
🤗🥴😂 ndio ndio mauzo ya azuma yapungue kidogo.
Naelewa ila acha wampe wengine tu mimi baaash 😅Sio lazima umpe mara zote😂
Utakata tamaa kwa wangapi sasa😂Naelewa ila acha wampe wengine tu mimi baaash 😅
THREAD IFUNGWE!!!!!Jaribu mahusiano yasiyoegemezwa kwenye ngono wala pesa ukibahatika kuyapata. Mahusiano yaliyojengwa katika misingi ya urafiki na ushikaji wa kushibana, kusaidiana, kucheka na kukaa pamoja. Utashangaa sana. Hata hutajua kama unahudumia maana yote utafanya kwa moyo mweupe. Na yeye atakupa papuchi kwa upendo tu tena bila presha; na nyote mtainjoi sana.
Mahusiano ya aina hiyo yapo ila itabidi upate binti anayejielewa na kuijua thamani yake vizuri. Na wewe pia inabidi usiwe furushi; na uwe na mtazamo mpana jumuishi kuhusu maisha, mahusiano, mapenzi, ubinadamu na thamani ya mwanamke.
Sitafuti wakula, natafuta uwekezaji wa kudumu ingekuwa ni wakula tu wanaojiuza wamejaa tele ningeshanunua.Utakata tamaa kwa wangapi sasa😂
Katema madini haswa ila swali linakuja kwa kizazi cha sasa kuwapata hao alioeleza hapo sio shughuli ndogo na ndio ndoto ya waoaji wengi.THREAD IFUNGWE!!!!!
Ulishakula mkuu, ukishakula kuhudumia ni kawaida kwa mwanamke anaekuheshimu.
Naaam turudi BC huko zama za mawe.Mambo ya barter trade [emoji2][emoji2]
Kuna wakati wanawake huwa tunazidiwa na ushamba mpaka tunajiabisha na kujichoresha kupita maelezo.Kuna jamaa nilikutana naye Mgahawa Fulani wa Chakula, alikuwa na Manzi Mmoja white hivi.
Picha linaanza Yule Manzi kaagiza Kuku mzima, mishikaki, Chipsi, Soda sijui na mazaga gani.
Baada ya dakika 10 hivi jamaa, akatoka nje kama anapiga simu hivi.
Ndiyo hakurudi kabisa.
Inaonekana yule Manzi hakuwa na fedha ya kulipa na alikuwa anamtegemea yule Jamaa.
Hivyo alilazimika kuacha Simu Janja yake (Smartphone) kama dhamana.
Inaonekana yule Dada alikutana na Vijana wenye roho ngumu kama ya Mtoa Mada Half american 😜
Yule Binti hakujua Vijana wanahitaji "Game" kabla ya kuanza kuhudumia 🤗
Hapana bado hamjamaliza, siku mkiachana na mtazamo wa kwamba mwanamke kuchelewa kuolewa au kuwa na wanaume wengi ni Malaya, basi wanawake nao wataanza kutoboka kama nyie [emoji4][emoji4][emoji16][emoji16][emoji16] zaman kipindi cha ukeketaji ilikua ni haki tugharamike kila kitu ,ila sasa ivi kama ni utamu tunapata wote , ya nini mmoja tu atoboke mfuko?
Haaaahaaahaa....hiyo utatoa hutoi ndio hiyo sasaHabari wakuu,
Dunia inaenda kasi sana tupo kwenye zama za nipe nikupe, mwanamke unataka hela ya mwanaume(kuhudumiwa) basi uwe tayari kutoa atakachotaka mwanaume.
Sio kutaka kuhudumiwa alafu mwanaume akihitaji tunda zinaanza sababu "ooh bado ni mapema sana kufanya hivyo". Mbona hela na kuhudumiwa hamuoni ni mapema?
Kama haupo tayari kutoa usiwe tayari kutaka pesa na kuhudumiwa, kila mtu abaki na chake.
Ni muda gani ukishapita baada ya kufahamiana ni sahihi kuomba game?
Mtakaokuja kunipa pole nazipokea, ahsanteni 😅
NAWASILISHA.
Huko tulishatoka mkuu yote hayo tuliyafanya ili kumheshimisha mwanamke ila kwa sasa tumegundua hamtaki hizo mishe tena.Hapana bado hamjamaliza, siku mkiachana na mtazamo wa kwamba mwanamke kuchelewa kuolewa au kuwa na wanaume wengi ni Malaya, basi wanawake nao wataanza kutoboka kama nyie [emoji4][emoji4]
Kwa nini ufanye siri?😂 nusu saa mbona ndogo sana
😂😂😂 nimekosa mimi, nimekosa sana, siku zisizidi 7😂 miezi miwili upo na mtu kila siku ni kilio cha shida. Hapana, hapana, hapanaaa siku 60 nyingi sana kutoboka.