Dunia ya zama za nipe nikupe, wanawake kama huna utayari wa kutoa usitegemee kupokea

Dunia ya zama za nipe nikupe, wanawake kama huna utayari wa kutoa usitegemee kupokea

Wee sijawahi bro baadhi yao Hawa huwa balaa na nusu....hata mama mzazi mwenyewe ukiwa nae anaweza kukuomba buku Tano 🤣🤣🤣
Wanawake ni mama na dada zetu lakini sijui waliagana nini na pesa.
 
Katema madini haswa ila swali linakuja kwa kizazi cha sasa kuwapata hao alioeleza hapo sio shughuli ndogo na ndio ndoto ya waoaji wengi.
He said it all kwakweli!!!👊🏾👊🏾

Mi naamini kwamba kuna wakati huwa mnajifelisha wenyewe!!!

Shimba ya Buyenze amesema kitu kimoja chamsingi sana. Pamoja na kwamba "wanawake wa maana" kwa standard zenu sio wengi, wapo, na inawapasa na nyie kuji-package in a way that you'll qualify to be with one. You cannot be with a high-value woman if you yourself are not a high-value man.

Lingine ni APPROACH!!!!

Ukikutana na mimi, hunijui, sikujui na uka-express interest yako kwangu kabla hata hatujawa na one deep/meangful conversation itakayokusaidia kujua mimi ni mtu aina gani, sitoweza kukuchukulia serious. I mean, utawezaje kujua kama nafaa kuingia kwenye mahusiano ya maana na wewe kama hunijui kiundani??? Kama ukiniambia kabisa unataka tuburudishane tu (one night stand, something casual etc. Etc...) ntakuelewa, ila sio zaidi ya hapo.

Katika kitu ambacho mnapaswa kutilia maanani (ikiwa you after a meaningful relationship that is..) ni kujaribu kuelewa hao kina dada mnaokutana nao ni watu wa aina gani before making a move.

Yes, umevutiwa na kasura kake, umbo limekaa vizuri, akitembea ana swagg...but what about her values?? Principles zake about life?? What does she believe about this or that??? Because those are the things that makes a person.
Anzeni ku-invest on deep conversations. Ask her tricky questions zitakazokusaidia kujua misimamo yake ni ipi...
Uelewa wake ukoje...
Maturity Level...
Is she a GIVER or a TAKER...?
Matarajio yake kwenye mahusiano ni yapi...
Etc. Etc...

That way, kwanza utaweza kuchuja mapema ili usipoteze muda wako na mtu asiyekufaa, pili kama umekutana na mwanamke wa maana nae ataelewa interest yako inatokea wapi, pia wewe ni mwanaume wa aina gani.
 
He said it all kwakweli!!!👊🏾👊🏾

Mi naamini kwamba kuna wakati huwa mnajifelisha wenyewe!!!

Shimba ya Buyenze amesema kitu kimoja chamsingi sana. Pamoja na kwamba "wanawake wa maana" kwa standard zenu sio wengi, wapo, na inawapasa na nyie kuji-package in a way that you'll qualify to be with one. You cannot be with a high-value woman if you yourself are not a high-value man.

Lingine ni APPROACH!!!!

Ukikutana na mimi, hunijui, sikujui na uka-express interest yako kwangu kabla hata hatujawa na one deep/meangful conversation itakayokusaidia kujua mimi ni mtu aina gani, sitoweza kukuchukulia serious. I mean, utawezaje kujua kama nafaa kuingia kwenye mahusiano ya maana na wewe kama hunijui kiundani??? Kama ukiniambia kabisa unataka tuburudishane tu (one night stand, something casual etc. Etc...) ntakuelewa, ila sio zaidi ya hapo.

Katika kitu ambacho mnapaswa kutilia maanani (ikiwa you after a meaningful relationship that is..) ni kujaribu kuelewa hao kina dada mnaokutana nao ni watu wa aina gani before making a move.

Yes, umevutiwa na kasura kake, umbo limekaa vizuri, akitembea ana swagg...but what about her values?? Principles zake about life?? What does she believe about this or that??? Because those are the things that makes a person.
Anzeni ku-invest on deep conversations. Ask her tricky questions zitakazokusaidia kujua misimamo yake ni ipi...
Uelewa wake ukoje...
Maturity Level...
Is she a GIVER or a TAKER...?
Matarajio yake kwenye mahusiano ni yapi...
Etc. Etc...

That way, kwanza utaweza kuchuja mapema ili usipoteze muda wako na mtu asiyekufaa, pili kama umekutana na mwanamke wa maana nae ataelewa interest yako inatokea wapi, pia wewe ni mwanaume wa aina gani.
Well said daktari nakubaliana na yote uliyoyaeleza. Kwa sasa kwa experience yangu ni ngumu sana kumpata mwanamke wa aina hiyo tena kwa mjini ndio changamoto sana.

Kujipa muda wa kujuana na kufahamiana ni vizuri zaidi.

Ushauri wako nimeupokea na nitaufanyia kazi.
 
Well said daktari nakubaliana na yote uliyoyaeleza. Kwa sasa kwa experience yangu ni ngumu sana kumpata mwanamke wa aina hiyo tena kwa mjini ndio changamoto sana.

Kujipa muda wa kujuana na kufahamiana ni vizuri zaidi.

Ushauri wako nimeupokea na nitaufanyia kazi.
🤗👊🏾

Njoo huku kijijini tupo wengi!!😁😁

From now on fanya hivi...ukikutana na mdada akakuvutia kwa muonekano, kama mpo kwenye mazingira ambayo mnaweza kupiga stori kiasi, tumia huo muda kumfanyia assessment ya mwanzo. Achana na small talks....
Yani ukimuomba namba unajua kabisa "This is someone I would like to see/talk to again..."

Kama mazingira au muda hauruhusu, omba namba, then make sure conversation yenu ya kwanza will either be the last or the begging of something awesome. Iwe mtaishia kuwa wapenzi, au marafiki, utakua umejipatia mtu wa maana/faida kwenye circle yako.
 
Kuna wakati wanawake huwa tunazidiwa na ushamba mpaka tunajiabisha na kujichoresha kupita maelezo.
Kwa kweli nilijisikia vibaya na nilitamani kumsaidia maana alikuwa anadaiwa shilingi 32,500 tu ila bahati mbaya nilikuwa na Bibi yenu ingeleta picha mbaya.
 
Jaribu mahusiano yasiyoegemezwa kwenye ngono wala pesa ukibahatika kuyapata. Mahusiano yaliyojengwa katika misingi ya urafiki na ushikaji wa kushibana, kusaidiana, kucheka na kukaa pamoja. Utashangaa sana. Hata hutajua kama unahudumia maana yote utafanya kwa moyo mweupe. Na yeye atakupa papuchi kwa upendo tu tena bila presha; na nyote mtainjoi sana.

Mahusiano ya aina hiyo yapo ila itabidi upate binti anayejielewa na kuijua thamani yake vizuri. Na wewe pia inabidi usiwe furushi; na uwe na mtazamo mpana jumuishi kuhusu maisha, mahusiano, mapenzi, ubinadamu na thamani ya mwanamke.
Mzee hao mabinti sidhani Kama zama hizi Wana patikana😂.

Sema kudos to you, ume Tema cheche za kizee.
 
He said it all kwakweli!!!👊🏾👊🏾

Mi naamini kwamba kuna wakati huwa mnajifelisha wenyewe!!!

Shimba ya Buyenze amesema kitu kimoja chamsingi sana. Pamoja na kwamba "wanawake wa maana" kwa standard zenu sio wengi, wapo, na inawapasa na nyie kuji-package in a way that you'll qualify to be with one. You cannot be with a high-value woman if you yourself are not a high-value man.

Lingine ni APPROACH!!!!

Ukikutana na mimi, hunijui, sikujui na uka-express interest yako kwangu kabla hata hatujawa na one deep/meangful conversation itakayokusaidia kujua mimi ni mtu aina gani, sitoweza kukuchukulia serious. I mean, utawezaje kujua kama nafaa kuingia kwenye mahusiano ya maana na wewe kama hunijui kiundani??? Kama ukiniambia kabisa unataka tuburudishane tu (one night stand, something casual etc. Etc...) ntakuelewa, ila sio zaidi ya hapo.

Katika kitu ambacho mnapaswa kutilia maanani (ikiwa you after a meaningful relationship that is..) ni kujaribu kuelewa hao kina dada mnaokutana nao ni watu wa aina gani before making a move.

Yes, umevutiwa na kasura kake, umbo limekaa vizuri, akitembea ana swagg...but what about her values?? Principles zake about life?? What does she believe about this or that??? Because those are the things that makes a person.
Anzeni ku-invest on deep conversations. Ask her tricky questions zitakazokusaidia kujua misimamo yake ni ipi...
Uelewa wake ukoje...
Maturity Level...
Is she a GIVER or a TAKER...?
Matarajio yake kwenye mahusiano ni yapi...
Etc. Etc...

That way, kwanza utaweza kuchuja mapema ili usipoteze muda wako na mtu asiyekufaa, pili kama umekutana na mwanamke wa maana nae ataelewa interest yako inatokea wapi, pia wewe ni mwanaume wa aina gani.
Madam nime screen shot hii, ume sema deep concept aisee.

My mom taught me this, hata yule jirani yetu proffesor wa saikolojia ali nambia nikiwa mtoto, don't play with any dog around.
 
Back
Top Bottom