Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #121
Kaka zao wenyewe kuna wanaowataka muwape fedha.Kaka zao tupo,
Waje TU,
Tutawapa pesa for free.
Tumepewa Bure,
Tunatoa Bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka zao wenyewe kuna wanaowataka muwape fedha.Kaka zao tupo,
Waje TU,
Tutawapa pesa for free.
Tumepewa Bure,
Tunatoa Bure.
HatariAisee.
Kuna mwanaume anaezungusha?Utoto raha...
Hivi bado kuna watu wanazungushana?
Mimi kuna mmoja juzi kaniomba hela ya marejesho,nikamwambia aje gheto kuchukuana bila hivyo simu yangu haishiki mtandao wa kutumaHabari wakuu,
Dunia inaenda kasi sana tupo kwenye zama za nipe nikupe, mwanamke unataka hela ya mwanaume(kuhudumiwa) basi uwe tayari kutoa atakachotaka mwanaume.
Sio kutaka kuhudumiwa alafu mwanaume akihitaji tunda zinaanza sababu "ooh bado ni mapema sana kufanya hivyo". Mbona hela na kuhudumiwa hamuoni ni mapema?
Kama haupo tayari kutoa usiwe tayari kutaka pesa na kuhudumiwa, kila mtu abaki na chake.
Ni muda gani ukishapita baada ya kufahamiana ni sahihi kuomba game?
Mtakaokuja kunipa pole nazipokea, ahsanteni [emoji28]
NAWASILISHA.
Ni maelekezo tu sio malalamiko ndio maana nikasema ke akitaka hela awe tayari nayeye kutakwa.Bado mnalalamikaga tu kuhusu wanawake 😃😃.. kampelewele ajira zimeisha huko?? Uwasaidie vijana wako
Naam naam 😂Mimi kuna mmoja juzi kaniomba hela ya marejesho,nikamwambia aje gheto kuchukuana bila hivyo simu yangu haishiki mtandao wa kutuma
Tunaogharamika ni sisi tunaotafuta waifu matirio wa kuweka ndani ila mapenzi ni gharama. Yanagharimu Afya, uchumi na muda.Biashara ya ukahaba haitoisha!!
Kudate Kuna maliza fedha sana kuliko kununua malaya kitaa!!
Mnamalizana Kwa buku Tano,ten au twenty Hadi fifty!!
Sasa ku date mara Kodi ya nyumba,mara ada ya watoto,mama anaumwa,sijasuka,sim mpya n.k!!
Kwenye ndoa ndio balaa sasa!!!
Mungu nusuru kizazi hiki!!
Mawazo ya kimaskini hayo kijana😃😂.. Wacha wakuombe hela akili ichangamke bhanaNi maelekezo tu sio malalamiko ndio maana nikasema ke akitaka hela awe tayari nayeye kutakwa.
😂 ndio ndio mauzo ya azuma yapungue kidogo.Oyooo.....hataki bas arudi na UTI yake🤒🙄
Kama bado unakutana na aina ya wanawake ambao lazima pesa ihusike ndo mkulane ujue kwamba bado unayo safari ndefu.Kuna mwanaume anaezungusha?
Kwamba nisipoombwa hela sitajiriki? Mtu anaomba hela kutwa mara 3 kama dozi. Acha niwe tu masikini😂Mawazo ya kimaskini hayo kijana😃😂.. Wacha wakuombe hela akili ichangamke bhana
Ni hatua kwenye maisha ila sidhani kama umeelewa mada.Kama bado unakutana na aina ya wanawake ambao lazima pesa ihusike ndo mkulane ujue kwamba bado unayo safari ndefu.
Tena mnavutana vutana nipe pesa nikupe papuchi😅😅
HupatikaniBado mnalalamikaga tu kuhusu wanawake 😃😃.. kampelewele ajira zimeisha huko?? Uwasaidie vijana wako
Nimeelewa vizuri...Ni hatua kwenye maisha ila sidhani kama umeelewa mada.
tushushie neti tulale🤣Basi msilie kwa sauti. Mnatusumbua
Wakati anakunania, ni wazi Bado hajaamua uwe wake.Mwanamke wa kujenga nae malengo anaonekana tangu mwanzo, mwanamke anaeomba hela kila uchwao hafai kwa malengo ni chuma ulete.
Asubuhi hana hela ya kula, usiku luku, kesho yake ana madeni [emoji2946], ujakaa sawa kodi, ujageuka anaumwa anahitaji ya kwenda hospitali alafu mtu kama huyo anakubania, hafai hata kuwekwa ndani.
wapo kibao, wasumbufu huwa ni ke.Nimeelewa vizuri...
Kwamba unakutana na wanawake ambao wanaomba pesa tu papuchi hawataki kutoa.
Nusu saa..Ni muda gani ukishapita baada ya kufahamiana ni sahihi kuomba game?