Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwite achangie la sivyo naona fridge inaelekea kuishiwa gesi😂 tulia mkuu wasijeshtukia sitaki kutajwa kwenye nyuzi
Wengi wabinafsi sana na hata akija na kitu atataka ukigharamikie wewe.Kabisa kuna namna mabinti wakibongo wanatakiwa wabadilike zile zama za kila siku yeye wa kupewa tu zinapitwa na wakati , tuvitu tudogo tu tunahamasisha , mimi nilikua na manzi kila akija lazima aje candies yan nilikua nafurah tu 😄
😁😁😁 zaman kipindi cha ukeketaji ilikua ni haki tugharamike kila kitu ,ila sasa ivi kama ni utamu tunapata wote , ya nini mmoja tu atoboke mfuko?Wengi wabinafsi sana na hata akija na kitu atataka ukigharamikie wewe.
Kuna pisi ilinifanyia suprise ya kijinga sana, imetoa oda ya picha ya kuchora kwa mchoraji, imekamilika ananipigia simu anadaiwa nilipie ile picha nikaona huu ujinga siwezi.
Ipo hivi mkuu, mwanaume ukishaonesha interest kwa ke ukatongoza, ke wengi hutake advantage ya kuanza kutaka fedha, huduma n.k na hapa kama mwanaume kweli umemuelewa ke huna budi kugharamika ili kujiweka karibu na ushindi. Changamoto inaanza ukitaka gemu zinaanza sababu zisizo za msingi alafu bado huyohuyo atataka uendelee kumjali.Ni nani atangulie kumpa mwenziwe sasa?
"Kila mtu afe na chake ndiyo maisha ya mjini kuzoeazoea watu mwisho utazoea majini" - FAHabari wakuu,
Dunia inaenda kasi sana tupo kwenye zama za nipe nikupe, mwanamke unataka hela ya mwanaume(kuhudumiwa) basi uwe tayari kutoa atakachotaka mwanaume.
Sio kutaka kuhudumiwa alafu mwanaume akihitaji tunda zinaanza sababu "ooh bado ni mapema sana kufanya hivyo". Mbona hela na kuhudumiwa hamuoni ni mapema?
Kama haupo tayari kutoa usiwe tayari kutaka pesa na kuhudumiwa, kila mtu abaki na chake.
Ni muda gani ukishapita baada ya kufahamiana ni sahihi kuomba game?
Mtakaokuja kunipa pole nazipokea, ahsanteni 😅
NAWASILISHA.
😂 ananiambia bado mapema tungoje mvua 3 zipite lakini huduma anataka niendelee kutoa.Pole sana,kila njia umefanya hata kabusu tu hujapewa?
😂 anaitwa nani kwani?Mwite achangie la sivyo naona fridge inaelekea kuishiwa gesi
Sure,Ipo hivi mkuu, mwanaume ukishaonesha interest kwa ke ukatongoza, ke wengi hutake advantage ya kuanza kutaka fedha, huduma n.k na hapa kama mwanaume kweli umemuelewa ke huna budi kugharamika ili kujiweka karibu na ushindi. Changamoto inaanza ukitaka gemu zinaanza sababu zisizo za msingi alafu bado huyohuyo atataka uendelee kumjali.
Nijibu swali lako, aanze kutoa mwenye interest baada ya hapo kuwepo na ushirikiano wa faida. Kama hakuna ushirikiano abort misheni.
Siku hizi wanapenda pesa kwanza ndio unafuatia mtu.Ni kama umeuliza kati ya kuku na yai kipi kilianza? ondoa kuku weka pesa, yai weka mbususu
Mimi naamini ukipendwa mbususu utapewa tu bila milolongo
inategemea kama una malengo nae ya muda mrefu, lakin kama ni hit and run. Unamsogeza pembenNdipo dunia ilipo kwa sasa, baadhi ya wanamke ukiwa na ukaribu nao na ukaonesha interest ya mapenzi kinachofuata ni kutaka ahudumiwe ila wewe ukitaka game anaona ni mapema sana.
Zamani waliinjoy sana, siku hizi mwanaume unatoboka mfuko alafu ile gender nyingine inatoboka pia 😅😁😁😁 zaman kipindi cha ukeketaji ilikua ni haki tugharamike kila kitu ,ila sasa ivi kama ni utamu tunapata wote , ya nini mmoja tu atoboke mfuko?
Si wanataka 50/50, reality ndio hiyo 😅Zamani waliinjoy sana, siku hizi mwanaume unatoboka mfuko alafu ile gender nyingine inatoboka pia 😅
Mvua 3,nasikitika sana kukuona unaingia chama cha vijana wafanya mapenzi kwa mkono.😂 ananiambia bado mapema tungoje mvua 3 zipite lakini huduma anataka niendelee kutoa.
Unataka kumkana? Ujue anasoma kimya kimya hataki kuandika chochote😂 anaitwa nani kwani?
Mwanamke wa kujenga nae malengo anaonekana tangu mwanzo, mwanamke anaeomba hela kila uchwao hafai kwa malengo ni chuma ulete.inategemea kama una malengo nae ya muda mrefu, lakin kama ni hit and run. Unamsogeza pemben
Alafu uwa najiuliza kwani wao huwa hwaoni utamu mpaka wawe wanakaza hivi?Inafikirisha sana mkuu kwa mbali naanza kuamini yasemwayo kuwa ke wengi ni wabinafsi. Huwa wanajiwazia wao tu.
😂 akizingua weka pembeniMvua 3,nasikitika sana kukuona unaingia chama cha vijana wafanya mapenzi kwa mkono.