guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
acha wanyooshwe,ndiyo unafiki utawatoka.Kunya anye kuku, akinya bata kaharisha. Wakati Sabaya anakamatwa Mbowe na genge lake walishangilia sana na kumuona mama kuwa ni mtoa haki pekee ambae hajawahi kupatikana toka dunia iumbwe, leo imekuwa zamu ya Mbowe watu waliomsifu mama wanaanza tena kumeza matapishi yao kwa kugeuza sifa zake kuwa matusi. Lkn hili wenye akili hatushangai maana ni kawaida upinzani kubadilika badilika, leo lowasa fisadi, kesho lowasa sio fisadi, leo kikwete dhaifu kesho kikwete ni raisi bora na magufuli ni dikteta, leo mama anaupiga mwingi, kesho mama ni katili zaidi ya ukatili wa magufuli nk.
Endeleeni kupiga domo mitandaoni, polisi wapo kazini, gaidi hana chamaUnaskia we msambaa kwani hatuna macho ya kuona?.
Hii nchi so yako peke yako,udhalimu Wa ccm unajulikana hata na watoto wadogo.
Mama samia,kasimu majaliwa,hii nchi itawashinda mmeshatia doa kuna wahuni watawaharibia vibaya na tutaishia pabaya ....rekebisheni hizi vitu mapema
Inn and out ....mbona ni taarifa za kawaida sanaNdugu zangu,sisi tunachangia kwa kutukanana bila ushahidi wowote wa Ugaidi nchini.
CNN wanachambua kwa hoja bila kujali neno GAIDI ni hatari.
Mwisho wanasema huo ni mwendelezo wa awamu ya tano ambayo haikupenda demokrasia na ilitamka kuwa Katiba mpya sio kipaumbele
CNN na wachambuzi wamedai walifurahi kusikia hotuba ya Rais Samia kuwa atadumisha demokrasia na ameonyesha katika siku zake mia moja,lakini amegeuka ghafula.
CNN ni nani hadi watujue inn and out
Polisi wengi ni failures, hivi walimaanisha gaidi=guide.Endeleeni kupiga domo mitandaoni, polisi wapo kazini, gaidi hana chama
Nenda kawe wewe polisi, ila kwasasa Mbowe yupo kwenye uchunguzi, hatuwezi endesha nchi kwa makelele ya mitandaoniPolisi wengi ni failures, hivi walimaanisha gaidi=guide.
Sio yule Maana bwana ,asingeweza ishi katika moyo wa Magu,alikua anamlazimisha tu , kusujudu,ni kitu kingine na matendo ni kitu kingine,Huyo Bwana ni yule uliyembeza wakati Magu anasema tuombe kwa ajili ya corona?
Sawa basi namitakia mchana mwema mgosi.Nenda kawe wewe polisi, ila kwasasa Mbowe yupo kwenye uchunguzi, hatuwezi endesha nchi kwa makelele ya mitandaoni
Mgosi ndio nini? hii misukule ya Mbowe ni shida sana ahahahahahaSawa basi namitakia mchana mwema mgosi.
Unafikiri huyo Bwana ana akiri kama za Lisu au Amsterdam?Sio yule Maana bwana ,asingeweza ishi katika moyo wa Magu,alikua anamlazimisha tu , kusujudu,ni kitu kingine na matendo ni kitu kingine,
Sory nilikujibu, but Mungu wangu akaniongezea Hili nikupe , na akutaka utafakari, utaki sawa , unataka sawa
Mgosi=mkuuMgosi ndio nini? hii misukule ya Mbowe ni shida sana ahahahahaha
Sawa mkuu kama ndio maana yake hakuna shidaMgosi=mkuu
Thanks Sasa Kama Dunia ilivyo mduala, atakuonyeshe yu hai na anaishi kila siku katika ,shughuli,zako na familia yako, BWANA NJOO ,na shughulika nae, ajue utukufu wako ni wajabu, tenda, fanya, kazia zege KWA ndugu huyu ,mpaka akutambue, na sio bule BWANA mpaka asaidie maskini na vilema wasiozidi 747 ,imekua bwanaUnafikiri huyo Bwana ana akiri kama za Lisu au Amsterdam?
Hoja yako inavutia kuisoma, kama unamlengo wa uamini huo, lakini ni hoja potofu.Hivi hamjaelewa tu where is the diverting point started? Mama alianza vizuri na infact hakutaka kabisa kuishi kwenye siasa za mivurugano na mitifuano. Anaamini kwenye kuliendea jambo kwa njia ya utaratibu na mazungumzo. Bado sijajua why intelligensia ya Chadema ni mbovu kiasi cha kushindwa kwenda naye na kupenyeza agenda zao na kuziweka sawa.
Sadly wakachagua njia ya vurugu. Ukizingatia tabia za wanawake kutopenda kuonekana wanyonge na nguvu kubwa iliyokuwa imezoea siasa za mipasho, umekuwa rahisi kwao kumshawishi mama kwamba "Hawa watu hawabebeki".
In short kinachoendelea ni kile kiitwacho LISILO BUDI HUTENDWA.
Katika hili sioni pa kumlaumu Samia zaidi ya bad approach ya Mbowe na Chama chake. Honestly speaking, Chadema imekuwa na utaratibu kutuchanganya tunaoiamini.
Kuna sehemu nilisema nataka kuwa rais?Hahahaahahahahha.
Kuwa wewe rais ufanye hivyo.
Hujui siasa we we ni mpambe tuu,hata uhandishi wako wakuweka nukta nukta unatia shakaWewe tulia. So mbowe nchi ndo ameiweza. Wewe umekosa Nini. Hizi drama za mbowe zilishampa mtz Nini. Yani wewe kushindwa nchi ni kutoacha ujinga uendelee. Zile nguo za mbowe na damu damu ndo kushindwa kwake. So Acha Kazi na iendelee. Vipi hela mlizorudishiwa kisiasa na Bwana cha matusi mdude. Ndo hao wanaweza nchi.
Mkuu, ulichokiandika nakiunga mkono 100/100. Umeniongezea upana wa kutafakari vilevile. Ahsante sana!Hivi kwa namna gani angeweza kutimiza demand za upinzani ndani ya miezi minne? Tuwe rational kidogo.
Mama ameingia amekuta Hali ya uchumi mbaya kabisa kwa uharibifu wa magufuli. Private sector almost dead, graduates hawana ajira. Kuna janga la Corona ambalo solution yake bado ni kitendawili. Amekuta miradi mingi kuliko uwezo wa serikali ku finance miradi hiyo. Bado katika Hali hizo tunamtaka aanze kuwaita wabunge wale posho au kuitisha referendum ya katiba mpya? Are we serious? Hizo pesa zinatoka wapi na Hali ya uchumi ingekuwaje? Na Chama chake kingemuelewa vipi? Ametumia lugha ya kiungwana kwamba aanze na kuweka sawa uchumi then atageukia katiba. Definitely hayo ni maneno ya kutafuta namna ya kuongea na Chama chake ili agenda ya katiba airudishe. What's wrong with this approach? Sad, mnamtisha na mnaruhusu wavuta bange akina mdude watumie maneno ya kifedhuli huku tukitoa mashinikizo yasiyo na maana.
Sote tunajua kwa tuliyoyashuhudia kwa JPM, katiba mpya ni MUHIMU ili kuaddress changamoto zilizopo lakini kea namna gani katiba mpya tunaidai na kufanya katiba mpya kama ni agenda ya Chadema na si wananchi, hapo ndipo shida ilipo. Kwa maoni yangu yanayoendelea ni fundamental mistakes za Chadema wenyewe.
Hizi ni assumptions zako tu.Huyo mama ni Mzanzibari, na kiuhalisia urais wa muungano kwa sasa ni watanzania Bara tu. Yeye ameupata kwa bahati mbaya. Hivyo ni lazima aongoze kwa maagizo ya watu wa bara, na kosa lake kubwa ni kubaki na mitume wa Magufuli kama sehemu ya kumshauri. Kwa vyovyote ni lazima wamshuritishe kutawala kwa approach za Magufuli. Hivyo huyo mama hana jinsi zaidi ya kuliridhisa kundi la Magufuli lililokuwa limefedheheka, baada ya yeye kuanza kutawala kwa kutenda haki.
Aiseeee Leo umeongea vyema sana mkuu haahahahaahahahKwanza hatuna President Hassan...
Huo ni upotoshaji, tuna President Samia Suluhu Hassan...
Kingine mambo yetu watuachie wenyewe, wao wahangaike na corona yao...