Dunia yashangazwa na kubadilika ghafla kwa Rais Samia kutoka kuwa mtenda haki na kuanza uonevu

acha wanyooshwe,ndiyo unafiki utawatoka.
 
Mama samia,kasimu majaliwa,hii nchi itawashinda mmeshatia doa kuna wahuni watawaharibia vibaya na tutaishia pabaya ....rekebisheni hizi vitu mapema

Wewe tulia. So mbowe nchi ndo ameiweza. Wewe umekosa Nini. Hizi drama za mbowe zilishampa mtz Nini. Yani wewe kushindwa nchi ni kutoacha ujinga uendelee. Zile nguo za mbowe na damu damu ndo kushindwa kwake. So Acha Kazi na iendelee. Vipi hela mlizorudishiwa kisiasa na Bwana cha matusi mdude. Ndo hao wanaweza nchi.
 
Inn and out ....mbona ni taarifa za kawaida sana
 
Huyo Bwana ni yule uliyembeza wakati Magu anasema tuombe kwa ajili ya corona?
Sio yule Maana bwana ,asingeweza ishi katika moyo wa Magu,alikua anamlazimisha tu , kusujudu,ni kitu kingine na matendo ni kitu kingine,

Sory nilikujibu, but Mungu wangu akaniongezea Hili nikupe , na akutaka utafakari, utaki sawa , unataka sawa
 
Sio yule Maana bwana ,asingeweza ishi katika moyo wa Magu,alikua anamlazimisha tu , kusujudu,ni kitu kingine na matendo ni kitu kingine,

Sory nilikujibu, but Mungu wangu akaniongezea Hili nikupe , na akutaka utafakari, utaki sawa , unataka sawa
Unafikiri huyo Bwana ana akiri kama za Lisu au Amsterdam?
 
Unafikiri huyo Bwana ana akiri kama za Lisu au Amsterdam?
Thanks Sasa Kama Dunia ilivyo mduala, atakuonyeshe yu hai na anaishi kila siku katika ,shughuli,zako na familia yako, BWANA NJOO ,na shughulika nae, ajue utukufu wako ni wajabu, tenda, fanya, kazia zege KWA ndugu huyu ,mpaka akutambue, na sio bule BWANA mpaka asaidie maskini na vilema wasiozidi 747 ,imekua bwana
 
Hoja yako inavutia kuisoma, kama unamlengo wa uamini huo, lakini ni hoja potofu.

Mama anatumia "delaying tactics" na maneno matamu kama anawalambisha wanae pipi wasisikie uchungu wa pilipili!

Wewe unajuwa "...hadi kurekebisha uchumi" ina maana gani? Utasubiri uchumi urekebishwe hadi sehemu gani ndipo anayeombwa(?) akubali kusikiliza!

Kwani unapokuwa kiongozi, ukiombwa mkutane na kundi ambalo mtajadiliana usikilize hoja zao, ukaahidi tu, na kuanza kupiga dana dana, huku ukiendelea na makundi mengine, wewe kama kiongozi huoni picha unayowapelekea hao uliowaahidi mkutane, kwamba huna nia ya kusikia wanayosema?

Wewe ni kiongozi unayetafuta kutatua matatizo ya nchi, siyo kutafuta kuonyesha ukuu wa madaraka uliyonayo kwa kutumia vyombo vya wananchi kukandamizi baadhi yao wanaotafuta ufumbuzi wa matatizo yaliyopo!

Mabunduki anayopewa kuyasimamia kiongozi hapewi kuwanyanyasia wananchi; anapewa kuyatumia kulinda usalama na haki za wananchi wote katika mipaka ya sheria zilizopo.
Wewe yote haya huyaoni, kwa sababu ya mlengo wa siasa tu au mapenzi kwa kiongozi?
 
Hujui siasa we we ni mpambe tuu,hata uhandishi wako wakuweka nukta nukta unatia shaka
 
Mkuu, ulichokiandika nakiunga mkono 100/100. Umeniongezea upana wa kutafakari vilevile. Ahsante sana!
 
Hizi ni assumptions zako tu.

Hulaumiwi mkuu.

Mmezoeleka tu kwamba nyinyi ni vigeugeu. Sasa hivi mama haupigi mwingi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…