Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
- Thread starter
- #21
Kumbe Mungu si mpangaji wa kila kitu,.Mungu ni muweza wa yote, ila japokua ni muweza wa yote, mambo mengine Duniani yanatokea kama uchaguzi mbaya wa mwanadam ,na hatakiwi kulaumiwa.