Duniani asilimia kubwa ya wanavyuo wana part-time jobs inayowafanya kuepuka kuwa tegemezi

Duniani asilimia kubwa ya wanavyuo wana part-time jobs inayowafanya kuepuka kuwa tegemezi

Joined
Oct 8, 2018
Posts
8
Reaction score
23
"Uko duniani asilimia kubwa ya wanavyuo wana part-time jobs inayowafanya kuepuka kuwa tegemezi pindi wanapograduate. Na hii inatokana na mifumo mizuri ya uendeshaji inayozingatia upatikanaji wa mda kwa mwanachuo kujitafuta nje ya ratiba ya masomo yake.

"Huku kwetu, nmekutana na kijana mmoja aliesoma course fulani ya Engineering katika moja ya chuo hapa nyumbani, tumepotezana mda kidogo toka enzi za O-level japo yeye alibahatika kuendelea na masomo hadi university.

''Kijana ananipa story jinsi ambavyo alikua hapati mda wa kulala kipindi yuko chuoni kutokana na mrudikano wa masomo hapo chuoni. Nilimshangaa kidogo nkamuuliza mbona tunaambiwa nenda chuo ukale bata ww unakosaje mda wa kulala...?.

''Kijana anadai kwa siku mnaudhuria vipindi kama kawaida, na task kama zote mara personal assignments zaidi ya tatu, groups assignment huko practical report inakusubili na mengine mengi kwa iyo iyo siku moja tu.

'' Kijana anadai hakuwahi hata kufikiria kitu chochote cha kumuingizia kipato nje ya masomo huku vitisho vya ku disqualify vikiwa vimepamba moto chuoni hapo. Kijana anadai unaamkia venue, unashinda na kukesha Library kukabiliana na task ulizopewa.

''Mimi nilibaki kumsikiliza tu maana sina uzoefu na mambo ya vyuoni huko, lakn kama hali ndo hii kijana kama huyu kwann asiwe tegemezi pindi anapograduate....?, maana hana maarifa yoyote nje ya kukariri ayo masomo yake........, exposure zero, n.k
 
Kwa ulaya wengi wanafanya hizo kazi weekend na night shift, sio kwamba wana muda et katikati ya siku za masomo, kikubwa vijana wa ulaya wanajifunza kutokuwa tegemezi mapema, na pia kutochagua kazi, mana wengi utawakuta wanafanya kazi za mabox, (unskilled)
Ila kikubwa ni upatikanaji wa hizo kazi nao ni wa kuridhisha
 
"Uko duniani asilimia kubwa ya wanavyuo wana part-time jobs inayowafanya kuepuka kuwa tegemezi pindi wanapograduate. Na hii inatokana na mifumo mizuri ya uendeshaji inayozingatia upatikanaji wa mda kwa mwanachuo kujitafuta nje ya ratiba ya masomo yake.

"Huku kwetu, nmekutana na kijana mmoja aliesoma course fulani ya Engineering katika moja ya chuo hapa nyumbani, tumepotezana mda kidogo toka enzi za O-level japo yeye alibahatika kuendelea na masomo hadi university.

''Kijana ananipa story jinsi ambavyo alikua hapati mda wa kulala kipindi yuko chuoni kutokana na mrudikano wa masomo hapo chuoni. Nilimshangaa kidogo nkamuuliza mbona tunaambiwa nenda chuo ukale bata ww unakosaje mda wa kulala...?.

''Kijana anadai kwa siku mnaudhuria vipindi kama kawaida, na task kama zote mara personal assignments zaidi ya tatu, groups assignment huko practical report inakusubili na mengine mengi kwa iyo iyo siku moja tu.

'' Kijana anadai hakuwahi hata kufikiria kitu chochote cha kumuingizia kipato nje ya masomo huku vitisho vya ku disqualify vikiwa vimepamba moto chuoni hapo. Kijana anadai unaamkia venue, unashinda na kukesha Library kukabiliana na task ulizopewa.

''Mimi nilibaki kumsikiliza tu maana sina uzoefu na mambo ya vyuoni huko, lakn kama hali ndo hii kijana kama huyu kwann asiwe tegemezi pindi anapograduate....?, maana hana maarifa yoyote nje ya kukariri ayo masomo yake........, exposure zero, n.k
Kwa hiyo unataka kusema nini mkuu?....
 
Ordinary diploma transcript ya civil engineering ina jumla ya masomo 70 . Masomo mengi mda wa kusoma uku unafanya kazi ni ngumu
 
"Uko duniani asilimia kubwa ya wanavyuo wana part-time jobs inayowafanya kuepuka kuwa tegemezi pindi wanapograduate. Na hii inatokana na mifumo mizuri ya uendeshaji inayozingatia upatikanaji wa mda kwa mwanachuo kujitafuta nje ya ratiba ya masomo yake.

"Huku kwetu, nmekutana na kijana mmoja aliesoma course fulani ya Engineering katika moja ya chuo hapa nyumbani, tumepotezana mda kidogo toka enzi za O-level japo yeye alibahatika kuendelea na masomo hadi university.

''Kijana ananipa story jinsi ambavyo alikua hapati mda wa kulala kipindi yuko chuoni kutokana na mrudikano wa masomo hapo chuoni. Nilimshangaa kidogo nkamuuliza mbona tunaambiwa nenda chuo ukale bata ww unakosaje mda wa kulala...?.

''Kijana anadai kwa siku mnaudhuria vipindi kama kawaida, na task kama zote mara personal assignments zaidi ya tatu, groups assignment huko practical report inakusubili na mengine mengi kwa iyo iyo siku moja tu.

'' Kijana anadai hakuwahi hata kufikiria kitu chochote cha kumuingizia kipato nje ya masomo huku vitisho vya ku disqualify vikiwa vimepamba moto chuoni hapo. Kijana anadai unaamkia venue, unashinda na kukesha Library kukabiliana na task ulizopewa.

''Mimi nilibaki kumsikiliza tu maana sina uzoefu na mambo ya vyuoni huko, lakn kama hali ndo hii kijana kama huyu kwann asiwe tegemezi pindi anapograduate....?, maana hana maarifa yoyote nje ya kukariri ayo masomo yake........, exposure zero, n.k
Mazingira ya kazi na uchumi, angalia matajiri wakubwa wa nchi na linganisha na mazingira ya kazi ya wafanyakazi wao. Je TBL anaingiza hela kuliko Bakhresa, Mo Dewji ? Kwa nini TBL wafanyakazi wana mazingira mazuri kuliko AZAM na Metl. Je Vodacom anaingiza faida kuliko Tigo, Airtel na Halotel ? Kwa nini wafanyakazi wa vodacom wana mazingitra mazuri kuliko hao wengine ? Ujerumani ukifanya kazi Mcdonald unaweza ukapanga apartment na ukikaza matako unaweza hadi kununua gari ya kutembelea. Kuna mgahawa gani utafanya kazi hapa Tanzania ukaweza kufikia haya malengo. Vijana wa huku wajilipia likizo za kusafiri sehemu mbali mbali duniani. Huku vijana wanajua thamani ya hela yao.
 
Back
Top Bottom