Duniani kuliwahi kuwa na jinsia ya tatu ukiacha ya me na ke

Duniani kuliwahi kuwa na jinsia ya tatu ukiacha ya me na ke

Moto wa volcano

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2018
Posts
1,148
Reaction score
2,815
Husika na kichwa cha habari hapo juu

Ukisoma maandiko kitabu cha mwanzo kwenye habari za nuhu aliyejenga safina maandiko matakatifu ya biblia yanatumbia kuna malaika walimkosea Mungu wakaja Duniani kwa hali ya kimwili walifahamika kama wanefiri , wanefiri wakavutiwa na wanawake wakawaingilia wakawapa ujauzito ikapelekea wanawake kujifungua watoto wakitofauti waliokuwa ma giant na nguvu sana ukilinganisha na wanaume, ikapelekea wanawake kuvutiwa sana na wanefiri kuliko wanaume, hawa wanefiri walikuwa wamemkosea Mungu na pia hawakuwa watiifu mbele za Mungu ikapelekea Mungu kupata hasira na kuiangamiza Dunia kwa gharika ikawa ndio chanzo cha hawa wanefili kupotea Duniani . Biblia imebeba mambo mengi sana ya sirini na unaambiwa kuna vitabu vingine vimechakachuliwa havipo kwenye kurasa za biblia
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu

Ukisoma maandiko kitabu cha mwanzo kwenye habari za nuhu aliyejenga safina maandiko matakatifu ya biblia yanatumbia kuna malaika walimkosea Mungu wakaja Duniani kwa hali ya kimwili walifahamika kama wanefiri , wanefiri wakavutiwa na wanawake wakawaingilia wakawapa ujauzito ikapelekea wanawake kujifungua watoto wakitofauti waliokuwa ma giant na nguvu sana ukilinganisha na wanaume, ikapelekea wanawake kuvutiwa sana na wanefiri kuliko wanaume, hawa wanefiri walikuwa wamemkosea Mungu na pia hawakuwa watiifu mbele za Mungu ikapelekea Mungu kupata hasira na kuiangamiza Dunia kwa gharika ikawa ndio chanzo cha hawa wanefili kupotea Duniani . Biblia imebeba mambo mengi sana ya sirini na unaambiwa kuna vitabu vingine vimechakachuliwa havipo kwenye kurasa za biblia
Zote ni story za kutunga tunga tu izo
 
Tulikua tunaandaliwa kupokea mabadiliko ya kimwili hapo baadae huenda genetics studies ikaja na viunbe tofauti kidogo.

Hizi story zimewekwa kwenye hivi vitabu kwa malengo maalumu... Mfano sodoma na Gomora ni story ilituandaa na mapokeo ya ushoga na tukaikubali bila kujua Sasa inatuwinda
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu

Ukisoma maandiko kitabu cha mwanzo kwenye habari za nuhu aliyejenga safina maandiko matakatifu ya biblia yanatumbia kuna malaika walimkosea Mungu wakaja Duniani kwa hali ya kimwili walifahamika kama wanefiri , wanefiri wakavutiwa na wanawake wakawaingilia wakawapa ujauzito ikapelekea wanawake kujifungua watoto wakitofauti waliokuwa ma giant na nguvu sana ukilinganisha na wanaume, ikapelekea wanawake kuvutiwa sana na wanefiri kuliko wanaume, hawa wanefiri walikuwa wamemkosea Mungu na pia hawakuwa watiifu mbele za Mungu ikapelekea Mungu kupata hasira na kuiangamiza Dunia kwa gharika ikawa ndio chanzo cha hawa wanefili kupotea Duniani . Biblia imebeba mambo mengi sana ya sirini na unaambiwa kuna vitabu vingine vimechakachuliwa havipo kwenye kurasa za biblia
"Kulikuwa na jinsia tatu"

Hao wanefiri walikuwa jinsia gani ?
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu

Ukisoma maandiko kitabu cha mwanzo kwenye habari za nuhu aliyejenga safina maandiko matakatifu ya biblia yanatumbia kuna malaika walimkosea Mungu wakaja Duniani kwa hali ya kimwili walifahamika kama wanefiri , wanefiri wakavutiwa na wanawake wakawaingilia wakawapa ujauzito ikapelekea wanawake kujifungua watoto wakitofauti waliokuwa ma giant na nguvu sana ukilinganisha na wanaume, ikapelekea wanawake kuvutiwa sana na wanefiri kuliko wanaume, hawa wanefiri walikuwa wamemkosea Mungu na pia hawakuwa watiifu mbele za Mungu ikapelekea Mungu kupata hasira na kuiangamiza Dunia kwa gharika ikawa ndio chanzo cha hawa wanefili kupotea Duniani . Biblia imebeba mambo mengi sana ya sirini na unaambiwa kuna vitabu vingine vimechakachuliwa havipo kwenye kurasa za biblia
Hamna jinsia nyingine kwenye kitabu hicho, tofauti ilikua kwenye ukubwa wa miili yao tu
 
nimesoma na sijaona hiyo jinsia nyengine wewe itakuwa una hangover! wawe na jinsia nyengine na waingiliane na binadamu which is what and how!,mkuu nikikuita wewe ni peremende usione

bwana mdogo acha mabishano ya kitoto always be open for new ideas

Kwahiyo unafikiri wanefili walikuwa watu wa aina gani ? Na unadhani vitabu biblia vimekamilka kwenye kueleza historia ya matukio ya mitume na manabii?
 
bwana mdogo acha mabishano ya kitoto always be open for new ideas

Kwahiyo unafikiri wanefili walikuwa watu wa aina gani ? Na unadhani vitabu biblia vimekamilka kwenye kueleza historia ya matukio ya mitume na manabii?
baiolojia inasema viumbe vikiweza kuzaliana basi vipo kundi moja yani hata chromosome zao hazina tofauti sana mfano 23 kwa 24 hawa wanauwezo wakuzaliana shida inawezakuja kwa hicho kiumbe kilichozaliwa kinaweza kisizae! jinsia ziingiliane zizaliane useme kuna jinsia yatatu sema kuna machotara na sio kuna jinsia nyengine!, sidhani hata kama unaelewa maana ya jinsia!.
 
Mnajitahidi kuhalalisha mambo mabaya, bado natafuta walipoandika kulikua na jinsia ya tatu sioni!!

Mpaka wanawapa wanawake mimba basi ilikua jinsia ya kiume!!
Wanefili ilikuwa ni jinsia ya watu inayojitegemea na ndiomaana wanawake wakaanza kuvutiwa zaidi na hao wanefili
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu

Ukisoma maandiko kitabu cha mwanzo kwenye habari za nuhu aliyejenga safina maandiko matakatifu ya biblia yanatumbia kuna malaika walimkosea Mungu wakaja Duniani kwa hali ya kimwili walifahamika kama wanefiri , wanefiri wakavutiwa na wanawake wakawaingilia wakawapa ujauzito ikapelekea wanawake kujifungua watoto wakitofauti waliokuwa ma giant na nguvu sana ukilinganisha na wanaume, ikapelekea wanawake kuvutiwa sana na wanefiri kuliko wanaume, hawa wanefiri walikuwa wamemkosea Mungu na pia hawakuwa watiifu mbele za Mungu ikapelekea Mungu kupata hasira na kuiangamiza Dunia kwa gharika ikawa ndio chanzo cha hawa wanefili kupotea Duniani . Biblia imebeba mambo mengi sana ya sirini na unaambiwa kuna vitabu vingine vimechakachuliwa havipo kwenye kurasa za biblia
Sasa hiyo jinsia ya tatu ni ipi mbona hauisemi? hao wanefili ni binadamu waliopatikana baada ya malaika waasi kuzaa na binadamu, jinsia ni hizo hizo mbili hakuna jinsia ya tatu hapo
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu

Ukisoma maandiko kitabu cha mwanzo kwenye habari za nuhu aliyejenga safina maandiko matakatifu ya biblia yanatumbia kuna malaika walimkosea Mungu wakaja Duniani kwa hali ya kimwili walifahamika kama wanefiri , wanefiri wakavutiwa na wanawake wakawaingilia wakawapa ujauzito ikapelekea wanawake kujifungua watoto wakitofauti waliokuwa ma giant na nguvu sana ukilinganisha na wanaume, ikapelekea wanawake kuvutiwa sana na wanefiri kuliko wanaume, hawa wanefiri walikuwa wamemkosea Mungu na pia hawakuwa watiifu mbele za Mungu ikapelekea Mungu kupata hasira na kuiangamiza Dunia kwa gharika ikawa ndio chanzo cha hawa wanefili kupotea Duniani . Biblia imebeba mambo mengi sana ya sirini na unaambiwa kuna vitabu vingine vimechakachuliwa havipo kwenye kurasa za biblia
The only thing I know is Jesus died on the cross for me to be saved.... whatever I don't understand I leave to Jesus.
 
Back
Top Bottom