Duniani kuliwahi kuwa na jinsia ya tatu ukiacha ya me na ke

Duniani kuliwahi kuwa na jinsia ya tatu ukiacha ya me na ke

Hapo ulipoandika "jinsia ya tatu" ulimaanisha nini?
NB;Jinsia vs Jinsi.
Nadhani kinachomsumbua mtoa mada ni hajui maana ya neno jinsia ndio maana anakuwa mbishi kwa kutoelewa kitu anachokibishia.
Akisema kuna jinsia 3 hiyo jinsia ya 3 watakuwa na uchi wa aina gani kwenye sehemu za siri?
 
Maandiko yanatuambia walivaa mwili wa nyama lakini hayajazungumza kuhusu jinsia. Na pia kuna mambo mengi kwenye biblia hii unayoisoma haijakueleza kuhusu hao wanefili .
Hata wewe hapo umeuvaa mwili! Kama hawakuua wanaume waliwezaje kuzaa na wanawake wazuri wa dunia hii? Au na wao waliwabadilishia mwili?

Ni kweli sio kila kitu kimeandikwa vitabuni, sasa wewe haya umeyatoa wapi?
 
Yaani huyu mungu lengo la kuyatupa mapepo duniani ni nini ina maana hapakuwa na sehemu nyingine ya kuwatupa
 
Iwe n kinu da sha mao nsire iwee,kwaicho kulikoshwa na yei ito?nsuti wa mao.kulitileba iya isebwe iwe?
 
Wanefili ilikuwa ni jinsia ya watu inayojitegemea na ndiomaana wanawake wakaanza kuvutiwa zaidi na hao wanefili
Walikua wanaume hakukua namwanamke sasa wew unalazimisha wawe wanawake, najua unataka kupenyeza unyoga wako humu
 
Bible iko kamili, but hao wanefili? mijitu yenye nguvu, .. I like this.
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu

Ukisoma maandiko kitabu cha mwanzo kwenye habari za nuhu aliyejenga safina maandiko matakatifu ya biblia yanatumbia kuna malaika walimkosea Mungu wakaja Duniani kwa hali ya kimwili walifahamika kama wanefiri , wanefiri wakavutiwa na wanawake wakawaingilia wakawapa ujauzito ikapelekea wanawake kujifungua watoto wakitofauti waliokuwa ma giant na nguvu sana ukilinganisha na wanaume, ikapelekea wanawake kuvutiwa sana na wanefiri kuliko wanaume, hawa wanefiri walikuwa wamemkosea Mungu na pia hawakuwa watiifu mbele za Mungu ikapelekea Mungu kupata hasira na kuiangamiza Dunia kwa gharika ikawa ndio chanzo cha hawa wanefili kupotea Duniani . Biblia imebeba mambo mengi sana ya sirini na unaambiwa kuna vitabu vingine vimechakachuliwa havipo kwenye kurasa za biblia
Naona kama maandishi yako hakuna sehemu yametaja uwepo wa jinsia ya tatu bali yametaja uwepo wa kiumbe mwingine.
Ni sawa na kusema duniani kuliwahi kuwa na dinosaurs, hapo hujataja jinsia ya tofauti. Na hao dinosaurs kulikuwa na wa jinsia ya kike na wa kiume. Sasa hao wanefiri walikuwa wakifanya mapenzi na wanawake na kuwapa ujauzito, hapo ishaonekana walikuwa na jinsia ya kiume.
 
Dunia ina viumbe mbalimbali. Ukiacha kundi la wanyama ambao ni mamalia kuna viumbe ambavyo ni hermaphrodite kama konokono, minyoo( chambo) au baadhi ya samaki ambao wanakuwa na sifa ya kuwa na jinsia zote mbili kwa wakati mmoja kutegemeana na mazingira aliyopo na aina ya viumbe wenzake wanaomzunguka.
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu

Ukisoma maandiko kitabu cha mwanzo kwenye habari za nuhu aliyejenga safina maandiko matakatifu ya biblia yanatumbia kuna malaika walimkosea Mungu wakaja Duniani kwa hali ya kimwili walifahamika kama wanefiri , wanefiri wakavutiwa na wanawake wakawaingilia wakawapa ujauzito ikapelekea wanawake kujifungua watoto wakitofauti waliokuwa ma giant na nguvu sana ukilinganisha na wanaume, ikapelekea wanawake kuvutiwa sana na wanefiri kuliko wanaume, hawa wanefiri walikuwa wamemkosea Mungu na pia hawakuwa watiifu mbele za Mungu ikapelekea Mungu kupata hasira na kuiangamiza Dunia kwa gharika ikawa ndio chanzo cha hawa wanefili kupotea Duniani . Biblia imebeba mambo mengi sana ya sirini na unaambiwa kuna vitabu vingine vimechakachuliwa havipo kwenye kurasa za biblia
Mapunga hamchoki
 
Hahahahahaha porojo tuu hizo, mara Mungu kawaumba mara Mungu kashikwa na hasira akawaua, hadithi za kusadikika hizoo
 
Back
Top Bottom