Duniani kuliwahi kuwa na jinsia ya tatu ukiacha ya me na ke

Duniani kuliwahi kuwa na jinsia ya tatu ukiacha ya me na ke

Hii ni kweli kabisa kuna baadhi ya hadithi za biblia hazijaandikwa wazi mfano kumjua baba wa mariamu mama wa yesu

Kuna bandiko niliwahi kulisoma ambalo hata amri za Mungu sio kumi tu zipo 100
 
The only thing I know is Jesus died on the cross for me to be saved.... whatever I don't understand I leave to Jesus.

Na hao Wanefili(majitu) waliendelea kuwepo hata katika kizazi cha Musa

Hesabu 13:32-33
[32]Wakawaletea wana wa Israeli habari mbaya ya ile nchi waliyoipeleleza, wakasema, Ile nchi tuliyopita kati yake ili kuipeleleza, ni nchi inayowala watu wanaoikaa; na watu wote tuliowaona ndani yake ni watu warefu mno.

[33]Kisha, huko tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki, waliotoka kwa hao Wanefili; tukajiona nafsi zetu kuwa kama mapanzi; nao ndivyo walivyotuona sisi.
Inamaana baada ya gharika la nuhu walirudi tena kuzaliana na binadamu? Ninachofahamu mimi kuna mahala wana wa Israel walikutana na watu wa Taifa lengine ambalo walikuwa na miili mikubwa wakawafananisha na wanefili
 
Hapo ulipoandika "jinsia ya tatu" ulimaanisha nini?
NB;Jinsia vs Jinsi.
Nimeuliza kama walikuwepo wanefili wa kike kwa maana wapo wanaoamini walikuwepo wanefili wakiume

Wanefili ilikuwa ni jinsia inayojitegemea yenye uwezo wa kuwaingilia wanawake
 
mkuu unachochea ugomvi sasa mambo yatahamia kwako! utakula makonde ya konde gang!
Hakuna haja ya malumbano ya matusi katika hili ukiona mtu anakimbilia huko ujue hana hoja za msingi na ni mchanga wa kiakili na ufahamu kiujumla
 
Tulikua tunaandaliwa kupokea mabadiliko ya kimwili hapo baadae huenda genetics studies ikaja na viunbe tofauti kidogo.

Hizi story zimewekwa kwenye hivi vitabu kwa malengo maalumu... Mfano sodoma na Gomora ni story ilituandaa na mapokeo ya ushoga na tukaikubali bila kujua Sasa inatuwinda
Hapana mh. Ondoa huo mtazamo siyo kwamba mambo maovu yanayotokea /tunayoyashuhudia ni mipango ya muda mrefu ukihusisha na biblia , watu kumkosea Mungu hawajaanza Leo , biblia ni kitabu kitakatifu kinachobeba historia ya Dunia. Zingatia hakuna dhambi mpya Duniani
 
Fungua kitabu cha Mwanzo soma habari za Nuhu
Najua sana habar Ile

Hakuna andiko lolote linalosema malaika walishuka

Story ya nuhu inaanza Kwa kusema Wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu.....habar za wanefili zimeandikwa hata yeriko walikuwako

Hizi habar za jinsia tatu umetoka wapi?
 
Najua sana habar Ile

Hakuna andiko lolote linalosema malaika walishuka

Story ya nuhu inaanza Kwa kusema Wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu.....habar za wanefili zimeandikwa hata yeriko walikuwako

Hizi habar za jinsia tatu umetoka wapi?
Safi nimependa umeuliza kwa hoja na pia nitakujibu kwa hoja. Je wanefili walikuwepo wanawake ?
 
Tulikua tunaandaliwa kupokea mabadiliko ya kimwili hapo baadae huenda genetics studies ikaja na viunbe tofauti kidogo.

Hizi story zimewekwa kwenye hivi vitabu kwa malengo maalumu... Mfano sodoma na Gomora ni story ilituandaa na mapokeo ya ushoga na tukaikubali bila kujua Sasa inatuwinda
Umenifungua ufahamu kwa njia nyingine.
Ahsante.
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu

Ukisoma maandiko kitabu cha mwanzo kwenye habari za nuhu aliyejenga safina maandiko matakatifu ya biblia yanatumbia kuna malaika walimkosea Mungu wakaja Duniani kwa hali ya kimwili walifahamika kama wanefiri , wanefiri wakavutiwa na wanawake wakawaingilia wakawapa ujauzito ikapelekea wanawake kujifungua watoto wakitofauti waliokuwa ma giant na nguvu sana ukilinganisha na wanaume, ikapelekea wanawake kuvutiwa sana na wanefiri kuliko wanaume, hawa wanefiri walikuwa wamemkosea Mungu na pia hawakuwa watiifu mbele za Mungu ikapelekea Mungu kupata hasira na kuiangamiza Dunia kwa gharika ikawa ndio chanzo cha hawa wanefili kupotea Duniani . Biblia imebeba mambo mengi sana ya sirini na unaambiwa kuna vitabu vingine vimechakachuliwa havipo kwenye kurasa za biblia
Huyu naye ni greater thinker tola atheist. Inasikitisha.
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu

Ukisoma maandiko kitabu cha mwanzo kwenye habari za nuhu aliyejenga safina maandiko matakatifu ya biblia yanatumbia kuna malaika walimkosea Mungu wakaja Duniani kwa hali ya kimwili walifahamika kama wanefiri , wanefiri wakavutiwa na wanawake wakawaingilia wakawapa ujauzito ikapelekea wanawake kujifungua watoto wakitofauti waliokuwa ma giant na nguvu sana ukilinganisha na wanaume, ikapelekea wanawake kuvutiwa sana na wanefiri kuliko wanaume, hawa wanefiri walikuwa wamemkosea Mungu na pia hawakuwa watiifu mbele za Mungu ikapelekea Mungu kupata hasira na kuiangamiza Dunia kwa gharika ikawa ndio chanzo cha hawa wanefili kupotea Duniani . Biblia imebeba mambo mengi sana ya sirini na unaambiwa kuna vitabu vingine vimechakachuliwa havipo kwenye kurasa za biblia
CCM NI WANEFIRI
 
Back
Top Bottom