Joseph Gadiel
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 407
- 713
Wapi kwenye Biblia wamesema hao Wanefili ndiyo jinsia ya tatu?? Hao walikuwa binadamu wa kawaida isipokuwa walikuwa nusu binadamu nusu malaika, hivyo walikuwa wakubwa na wenye uwezo mkubwa, lakini jinsia zitabaki kuwa ME na KE
Tusipotoshe maandiko
Tusipotoshe maandiko