kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
Hapo ulipoandika "jinsia ya tatu" ulimaanisha nini?Mbona hawakuwepo wanefili wakike ?
sifuniki atakula za uso asichoshe watu vizazi kwa mada za ajabu! mada ya hovyo kabisa na akihojiwa nakujibiwa anakaza fuvu!..🤣Ngoja aione hiyo comment. Ifunike na tambala asiione
The only thing I know is Jesus died on the cross for me to be saved.... whatever I don't understand I leave to Jesus.
Inamaana baada ya gharika la nuhu walirudi tena kuzaliana na binadamu? Ninachofahamu mimi kuna mahala wana wa Israel walikutana na watu wa Taifa lengine ambalo walikuwa na miili mikubwa wakawafananisha na wanefiliNa hao Wanefili(majitu) waliendelea kuwepo hata katika kizazi cha Musa
Hesabu 13:32-33
[32]Wakawaletea wana wa Israeli habari mbaya ya ile nchi waliyoipeleleza, wakasema, Ile nchi tuliyopita kati yake ili kuipeleleza, ni nchi inayowala watu wanaoikaa; na watu wote tuliowaona ndani yake ni watu warefu mno.
[33]Kisha, huko tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki, waliotoka kwa hao Wanefili; tukajiona nafsi zetu kuwa kama mapanzi; nao ndivyo walivyotuona sisi.
Humuogopi? Jamaa ni Moto wa volcano ujuesifuniki atakula za uso asichoshe watu vizazi kwa mada za ajabu! mada ya hovyo kabisa na akihojiwa nakujibiwa anakaza fuvu!..🤣
mkuu unachochea ugomvi sasa mambo yatahamia kwako! utakula makonde ya konde gang!Humuogopi? Jamaa ni Moto wa volcano ujue
Daah, hayo makonde labda yawe fo errbodymkuu unachochea ugomvi sasa mambo yatahamia kwako! utakula makonde ya konde gang!
Nimeuliza kama walikuwepo wanefili wa kike kwa maana wapo wanaoamini walikuwepo wanefili wakiumeHapo ulipoandika "jinsia ya tatu" ulimaanisha nini?
NB;Jinsia vs Jinsi.
wanefil pambaneni ngoja akina annunaki tukale kwanza!..😁Daah, hayo makonde labda yawe fo errbody
Hakuna haja ya malumbano ya matusi katika hili ukiona mtu anakimbilia huko ujue hana hoja za msingi na ni mchanga wa kiakili na ufahamu kiujumlamkuu unachochea ugomvi sasa mambo yatahamia kwako! utakula makonde ya konde gang!
Hapana mh. Ondoa huo mtazamo siyo kwamba mambo maovu yanayotokea /tunayoyashuhudia ni mipango ya muda mrefu ukihusisha na biblia , watu kumkosea Mungu hawajaanza Leo , biblia ni kitabu kitakatifu kinachobeba historia ya Dunia. Zingatia hakuna dhambi mpya DunianiTulikua tunaandaliwa kupokea mabadiliko ya kimwili hapo baadae huenda genetics studies ikaja na viunbe tofauti kidogo.
Hizi story zimewekwa kwenye hivi vitabu kwa malengo maalumu... Mfano sodoma na Gomora ni story ilituandaa na mapokeo ya ushoga na tukaikubali bila kujua Sasa inatuwinda
Najua sana habar IleFungua kitabu cha Mwanzo soma habari za Nuhu
Safi nimependa umeuliza kwa hoja na pia nitakujibu kwa hoja. Je wanefili walikuwepo wanawake ?Najua sana habar Ile
Hakuna andiko lolote linalosema malaika walishuka
Story ya nuhu inaanza Kwa kusema Wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu.....habar za wanefili zimeandikwa hata yeriko walikuwako
Hizi habar za jinsia tatu umetoka wapi?
Umenifungua ufahamu kwa njia nyingine.Tulikua tunaandaliwa kupokea mabadiliko ya kimwili hapo baadae huenda genetics studies ikaja na viunbe tofauti kidogo.
Hizi story zimewekwa kwenye hivi vitabu kwa malengo maalumu... Mfano sodoma na Gomora ni story ilituandaa na mapokeo ya ushoga na tukaikubali bila kujua Sasa inatuwinda
Ilikuwa ni sifa ya watu warefu sana kuliko wewe hapo Kwa maana hiyo walikuwapo wanawake na waume.Safi nimependa umeuliza kwa hoja na pia nitakujibu kwa hoja. Je wanefili walikuwepo wanawake ?
Huyu naye ni greater thinker tola atheist. Inasikitisha.Husika na kichwa cha habari hapo juu
Ukisoma maandiko kitabu cha mwanzo kwenye habari za nuhu aliyejenga safina maandiko matakatifu ya biblia yanatumbia kuna malaika walimkosea Mungu wakaja Duniani kwa hali ya kimwili walifahamika kama wanefiri , wanefiri wakavutiwa na wanawake wakawaingilia wakawapa ujauzito ikapelekea wanawake kujifungua watoto wakitofauti waliokuwa ma giant na nguvu sana ukilinganisha na wanaume, ikapelekea wanawake kuvutiwa sana na wanefiri kuliko wanaume, hawa wanefiri walikuwa wamemkosea Mungu na pia hawakuwa watiifu mbele za Mungu ikapelekea Mungu kupata hasira na kuiangamiza Dunia kwa gharika ikawa ndio chanzo cha hawa wanefili kupotea Duniani . Biblia imebeba mambo mengi sana ya sirini na unaambiwa kuna vitabu vingine vimechakachuliwa havipo kwenye kurasa za biblia
CCM NI WANEFIRIHusika na kichwa cha habari hapo juu
Ukisoma maandiko kitabu cha mwanzo kwenye habari za nuhu aliyejenga safina maandiko matakatifu ya biblia yanatumbia kuna malaika walimkosea Mungu wakaja Duniani kwa hali ya kimwili walifahamika kama wanefiri , wanefiri wakavutiwa na wanawake wakawaingilia wakawapa ujauzito ikapelekea wanawake kujifungua watoto wakitofauti waliokuwa ma giant na nguvu sana ukilinganisha na wanaume, ikapelekea wanawake kuvutiwa sana na wanefiri kuliko wanaume, hawa wanefiri walikuwa wamemkosea Mungu na pia hawakuwa watiifu mbele za Mungu ikapelekea Mungu kupata hasira na kuiangamiza Dunia kwa gharika ikawa ndio chanzo cha hawa wanefili kupotea Duniani . Biblia imebeba mambo mengi sana ya sirini na unaambiwa kuna vitabu vingine vimechakachuliwa havipo kwenye kurasa za biblia