Duniani kuna kipi cha maana mpaka ushukuru wazazi kukuleta?

Duniani kuna kipi cha maana mpaka ushukuru wazazi kukuleta?

Maisha yanaanza kuwa na maana pale utakapojiuliza na utakapopata majibu ya maswali haya matatu:
1-WEWE NI NANI.
2-NI KWANINI UKO DUNIANI.
3-NINI KITAFUATA BAADA YA MAISHA HAYA.

tofauti na hivyo, life is meaningless!
Hahaha
Hayo maswali ndiyo yaliyo nifanya nijue life is meaningless

We born, we live , we die, we cry, we lough and then others comes and then life goes on, they do the same and it's a useless circle
 
Mm bado naona dunia sio sehem sahihi ya mm kuja. Bora ningeachwa huko
Mkuu unaweza kurudi pia njia zipo wazi, lakini pia kwa nini wazazi nao wasikulaumu wewe kwa kiherehere chako chakukimbilia duniani kati ya wenzako wengi zaidi ya bilion moja? Kwa nini hukuacha mbio ukabaki huko huko pengine angekuja mwenzako mstaarabu.
 
Lakini wazazi wana stahiki zao zinatakiwa zilindwe na Watoto wao. I mean they have to be respected during their lives. ..
 
Mkuu unaweza kurudi pia njia zipo wazi, lakini pia kwa nini wazazi nao wasikulaumu wewe kwa kiherehere chako chakukimbilia duniani kati ya wenzako wengi zaidi ya bilion moja? Kwa nini hukuacha mbio ukabaki huko huko pengine angekuja mwenzako mstaarabu.
Kwan bila wao kusex ningekimbia naenda wapi?
 
Nipe muda nifikirie kwa undani sana hili suala....ni wazo zito sana.
 
What is the purpose of life?[emoji17] ....Can somebody help me on this please![emoji30]
 
Huwa nashangaa kweli watu tukishukuru Wazazi hasa Mama eti kwa kukuleta duniani.
Kuna kipi hasa cha maana huku duniani mpaka uwashukuru hao wazazi?

Yani tumetengeneza kitu kwamba huko ulikokuwepo hapakuwa sehem nzuri kuliko dunian.

Kama dunia kwako imejaa Mateso kwanini isiwe Lawama kwao? Hivi kwanza uliwaomba hao wazazi wakuzae?

Mi naona hakuna haja ya kushukuru mzazi yoyote katika hili. Kwasababu hamkukubaliana kukuleta duniani, walifanya kwa malengo yao, hivyo wao ndio walipaswa kukunyenyekea kukuleta huku.

Maisha hayana maana yoyote ile kwani mwisho wa siku kuna kufa, baada ya kufa kila ulichokifanya hakina maana tena kwako.
Pole mkuu kimekupata nini?
Lakini una ka Ukweli haya maisha sioni raha yoyote
 
Ikiwa umesha baini...ni kosa WAZAZI wako kukuleta hapa Dunia....Immediately ungesitisha harakati zote za kimaisha ....kama kuoga..kula ...kwenda shule...na mengine kama hayo....

Na zaidi usinge fikia hatua ya kumtafuta mwenza wa kushiriki ama kuishi nae kwa lengo la kuwa na FAMILIA...!!
 
Mkuu mada yako iko sawa ila tatizo hata hao waliokuleta nao waliletwa bila idhini yao hata mia pia huwa najiuliza nimekuja duniani kufanya nini kuishi nikiona watu wanauliwa, kufa kwa njaa, kufa kwa vita sipati jibu ningekuwa na uwezo nisingezaliwa maana mimi kuishi duniani sijafaidi na wala siishi kama paradise.

Nachukia dunia.
 
What is the purpose of life?[emoji17] ....Can somebody help me on this please![emoji30]
Nakumbuka hili swali nilishawahi kuulizwa na mwalimu wangu wa somo la philosophy enzi hizo niko form six...by that time sikuweza hata kuelewa !

This is very wide topic...! It would need a day debate between the experts trying to give a promising answers because one one will find unquestionable answer..

To understand this you should believe in Theism. Theists believe God created the universe and that God had a purpose in doing so. Theists also hold the view that humans find their meaning and
purpose for life in God's purpose in creating...

Car is made for purpose of being driven..

Weapons are made for purpose of being used in war..

Door is purposefully made for allowing passage to the building and acting as security tool on the same...

Human being, we are made in an image of God ! We are 100% related to God...we are made for his fulfilments...
 
Kuzaliwa kuishi na kufa iyo nikanuni ya maisha(principal of natural life).Sasa umuhim wako utategemea nawewe mwenyewe umetumiaje maisha yako ukiwa hai.Kwaiyo kama unamaisha chanya dunian lazima ushukuru nakuwaheshim wazaz kwakukubali kubeba jukum lakukamilisha nature iliyowachagua uzaliwe kupitia wao.Iyo tu inatosha kushukuru.Ila kama maisha yako ni bure lazima uone hakuna maana kuapo dunian kwaiyo hutakua nasababu yakushukuru wazazi wako.Swala lakufa ilo bado nimatakwa ya nature na hatuna mamlaka nalo ivyo iyo sio sababu yakufanya uone maisha ni meaningless.
 
Kuzaliwa kuishi na kufa iyo nikanuni ya maisha(principal of natural life).Sasa umuhim wako utategemea nawewe mwenyewe umetumiaje maisha yako ukiwa hai.Kwaiyo kama unamaisha chanya dunian lazima ushukuru nakuwaheshim wazaz kwakukubali kubeba jukum lakukamilisha nature iliyowachagua uzaliwe kupitia wao.Iyo tu inatosha kushukuru.Ila kama maisha yako ni bure lazima uone hakuna maana kuapo dunian kwaiyo hutakua nasababu yakushukuru wazazi wako.Swala lakufa ilo bado nimatakwa ya nature na hatuna mamlaka nalo ivyo iyo sio sababu yakufanya uone maisha ni meaningless.
Maisha chanya ni yapi na maisha hasi ni yapi?
 
Huwa nashangaa kweli watu tukishukuru Wazazi hasa Mama eti kwa kukuleta duniani.
Kuna kipi hasa cha maana huku duniani mpaka uwashukuru hao wazazi?

Yani tumetengeneza kitu kwamba huko ulikokuwepo hapakuwa sehem nzuri kuliko dunian.

Kama dunia kwako imejaa Mateso kwanini isiwe Lawama kwao? Hivi kwanza uliwaomba hao wazazi wakuzae?

Mi naona hakuna haja ya kushukuru mzazi yoyote katika hili. Kwasababu hamkukubaliana kukuleta duniani, walifanya kwa malengo yao, hivyo wao ndio walipaswa kukunyenyekea kukuleta huku.

Maisha hayana maana yoyote ile kwani mwisho wa siku kuna kufa, baada ya kufa kila ulichokifanya hakina maana tena kwako.
Swali lingine: Kwanini watu wanaogopa kufa?
 
Back
Top Bottom