Tetesi: Duru: Shamsi Vuai Nahodha kuteuliwa awe Waziri anayeshughulikia Muungano

Tetesi: Duru: Shamsi Vuai Nahodha kuteuliwa awe Waziri anayeshughulikia Muungano

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Za ndani kabisa huenda Mzaramo akatoswa kwa sababu chawa wanamwaminisha mama eti haaminiki na ni muumini wa kundi la mwendazake hivyo wanahisi huenda atatoboa mtumbwi wenye nyingi siri ndani ya Baraza la Mawaziri.

Inasemekana mabadiriko yale yangeshafanyika tokea wiki jana lakini mtego aliokuwa ametegewa Mzaramo ili anase na atoswe,aliuruka.
 
Vuai ni mbunge wa bunge lipi? Hata nafasi 10 za ubunge wa Bure zimejaa labda achukue nafasi ya Polepole a.k.a mzee wa Malawi.
 
Jafo arudi hapa kisarawe tusaidizane kukata vitunguu na nyanya na Dc shombe shombe
 
Za ndani kabisa huenda Mzaramo akatoswa kwa sababu chawa wanamwaminisha mama eti haaminiki na ni muumini wa kundi la mwendazake hivyo wanahisi huenda atatoboa mtumbwi wenye nyingi siri ndani ya Baraza la Mawaziri.

Inasemekana mabadiriko yale yangeshafanyika tokea wiki jana lakini mtego aliokuwa ametegewa Mzaramo ili anase na atoswe,aliuruka.
Wizara inagawanywa?
 
Kila zama na kitabu chake. Ukiwa wa muhimu leo unaweza usiwe hata na thamani kesho. Kuna kipindi ilikuwa kama Jafo ndie waziri pekee nchini leo hii ni kama hayupo. Huu ni ukumbusho mkubwa kuwa cheo ni dhamana.

Ila hata akipoteza uwaziri hana atakachopungukiwa zaidi ya cheo, kama ubunge anao, kama pesa keshajilimbikizia nyingi na wake wakutosha anao pia. Maisha yanaendelea.
 
... sura zilezile hadi inakera. Mtu ameshakuwa hadi Waziri Kiongozi (kwa wale akina Gen.Z na Gen.Alpha hiki cheo ni equivalent to PM kwa upande wa Zanzibar kabla ya Katiba yao mpya) ana nini kipya kitakachoipeleka nchi mbele kwa nafasi ya uwaziri?
 
... sura zilezile hadi inakera. Mtu ameshakuwa hadi Waziri Kiongozi (kwa wale akina Gen.Z na Gen.Alpha hiki cheo ni equivalent to PM kwa upande wa Zanzibar kabla ya Katiba yao mpya) ana nini kipya kitakachoipeleka nchi mbele kwa nafasi ya uwaziri?
Tena for 10 yrs.
 
... sura zilezile hadi inakera. Mtu ameshakuwa hadi Waziri Kiongozi (kwa wale akina Gen.Z na Gen.Alpha hiki cheo ni equivalent to PM kwa upande wa Zanzibar kabla ya Katiba yao mpya) ana nini kipya kitakachoipeleka nchi mbele kwa nafasi ya uwaziri?
Ajabu sana. Halafu anakubali kuwa mbunge wa kawaida na waziri wa kawaida. Uwaziri wa mwisho alijiuzulu wakati wa sakata na opereshen tokomeza.
 
Back
Top Bottom