Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Hapa bado unazunguka mkuu. Hoja ni kuwa kauli ipi ni sahihi?

1. Mwenyekiti Anna anasema ukitamka tu UKAWA tayari umeshapoteza uanachama
2. Zitto anasema, wapo tayari kuungana na UKAWA

Kama Chair Anna Mghirwa yupo sahihi kwa mujibu wa katiba ya ACT, na Zitto yupo sahihi kwa mujibu wa katiba ya ACT kama msemaji wa chama, ni kauli ipi ipo sahihi?
Unajua wewe huwa mgumu sana kusoma kitu ukaelewa.. Msome tena Mchambuzi alichoeleza juu ya Mwenyekiti Anna alisema nini baada ya neno BILA YA...

Labda utapeli mkubwa upo UKAWA ambao wanadai Umoja wa Katiba ya Wananchi halafu wanachagua watu wa kuingia kama vile katiba ya Warioba wameihodhi wao. Mkuu unaweza tumia lugha yoyote kukashifu mtu ama kitu lakini ukweli tunaujua. Mlisema kwanza Zitto atahamia NCCR - haikuwa, Zitto atahamia CCM - haikuwa, Zitto anapeleka habari TISS wakati Slaa anapokea habari toka TISS. Ni kosa kubwa kuwasiliana na TISS ni Uhaini..kweli?

Yaani kuema kweli CDM walikosea sana kutafuta awamu ya tatu kwa nguvu za kisiasa wakati ukweli umekuja jitokeza kuwa wao ndio wana matatizo. Binafsi yangu Kamati kuu kuendelea na muhula wa 3, halfu kesho wakichukua nchi ndio waachie Uongozi wa chaa ni kujihakikishia nafasi za juu wao tu kila hatua ya maendeleo ya Chama.

Na ndio maana sishangai sana pale Slaa alipotaka mshahara mkubwa kuacha kugombea Ubunge iii awe katibu mkuu wa chama. Aliweka masharti ambayo Chadema haikuwa na jinsi wakati kina Mbowe na Ndesa walitumia fedha yao toka mfuko kukisimamisha chama..Mkuu kuna upuuzi upuuzi unafanyika Chadema inahitaji sana moyo kuuvumilia.
 
Mchambuzi,

Nime quote sehemu hii ndogo ili nipate kukueleza kwamba Zitto hakuwa nje ya Katiba, wala kanuni za ACT kwa sababu masharti aloyatoa ndio lengo la ACT nayo ni - Kufumua mfumo wa KINYONYAJI uliopo ili kuwaletea wananchi mapinduzi ya kiuchumi. Sasa Zitto analijua hili kwamba UKAWA hawawezi kuufumua mfumo uliopo wa Kinyonyaji ila wanataka kuuboresha na hivyo malengo yao hayapo sawa. Kwa maana nyingine niseme hivi ACT haiwezi kuungana na UKAWA kwa sababu UKAWA hawaamini katika UJAMAA...Zitto kawapa UKAWA mtihani ambao hawawezi kuupokea kutokana na masharti yake yanaegemea mrengo wa ACT..
Mkandara, ujamaa ilikuwa ni itikadi ya TANU (baadae CCM), kupitia azimio la arusha. Walioliua ni CCM, na kama wapo wa kulirejesha ni CCM. Hoja ya msingi ya Nguruvi3 ni kwamba ACT inatumika kama mpini wa CCM kuua upinzani nchini. Tukibakia katika hoja hii hii ya itikadi ya ujamaa, msajili wa vyama siasa hawezi haat siku moka kuruhusu vyama viwili vya siasa visajiliwe chini ya itikadi ile ile moja. Hilo linawezekana iwapo tu msajili wa vyama atapewa amri ya kufanya hivyo na watawala, na sio vinginevyo kwani mantiki, na pia kanuni haziruhusu. Je unasemaje kuhusu hilo kabla hatujaendelea kuchambua ujamaa wa ACT?
 
Last edited by a moderator:
Unajua wewe huwa mgumu sana kusoma kitu ukaelewa.. Msome tena Mchambuzi alichoeleza juu ya Mwenyekiti Anna alisema nini baada ya neno BILA YA...

Labda utapeli mkubwa upo UKAWA ambao wanadai Umoja wa Katiba ya Wananchi halafu wanachagua watu wa kuingia kama vile katiba ya Warioba wameihodhi wao. Mkuu unaweza tumia lugha yoyote kukashifu mtu ama kitu lakini ukweli tunaujua. Mlisema kwanza Zitto atahamia NCCR - haikuwa, Zitto atahamia CCM - haikuwa, Zitto anapeleka habari TISS wakati Slaa anapokea habari toka TISS. Ni kosa kubwa kuwasiliana na TISS ni Uhaini..kweli?

Yaani kuema kweli CDM walikosea sana kutafuta awamu ya tatu kwa nguvu za kisiasa wakati ukweli umekuja jitokeza kuwa wao ndio wana matatizo. Binafsi yangu Kamati kuu kuendelea na muhula wa 3, halfu kesho wakichukua nchi ndio waachie Uongozi wa chaa ni kujihakikishia nafasi za juu wao tu kila hatua ya maendeleo ya Chama.

Na ndio maana sishangai sana pale Slaa alipotaka mshahara mkubwa kuacha kugombea Ubunge iii awe katibu mkuu wa chama. Aliweka masharti ambayo Chadema haikuwa na jinsi wakati kina Mbowe na Ndesa walitumia fedha yao toka mfuko kukisimamisha chama..Mkuu kuna upuuzi upuuzi unafanyika Chadema inahitaji sana moyo kuuvumilia.
Hujajibu hoja na tunajua ni nzito na hazina majibu.

Anyways, tuendele upande mwingine. Kama unadhani UKAWA wanajifanya kuhodhi katiba, Supreme Leader alikuwa nao nje ya bunge la katiba
1. Kwanini Zitto alitoka akijua UKAWA wanafanya makosa
2. Kutoka kwakwe nje kulikuwa ni hatua gani na iliyolenga kufikia lengo gani
3. Sera za ACT ni kuandika katiba kuanzia pale Warioba alipoachia kwa mujibu wao wenyewe. Swali, kama unaamini ukawa wanahodhi katiba, je hawa ACT wanaozungumzia katiba ile ile wanyouzngumzia UKAWA, wanasimama wapi?
 
Mkandara, ujamaa ilikuwa ni itikadi ya TANU (baadae CCM), kupitia azimio la arusha. Walioliua ni CCM, na kama wapo wa kulirejesha ni CCM. Hoja ya msingi ya Nguruvi3 ni kwamba ACT inatumika kama mpini wa CCM kuua upinzani nchini. Tukibakia katika hoja hii hii ya itikadi ya ujamaa, msajili wa vyama siasa hawezi haat siku moka kuruhusu vyama viwili vya siasa visajiliwe chini ya itikadi ile ile moja. Hilo linawezekana iwapo tu msajili wa vyama atapewa amri ya kufanya hivyo na watawala, na sio vinginevyo kwani mantiki, na pia kanuni haziruhusu. Je unasemaje kuhusu hilo kabla hatujaendelea kuchambua ujamaa wa ACT?
Mchambuzi, Mchambuzi mkuu wangu Tanzania kuna vyama 23 ni itikadi gani hizo 23 unazoweza wewe kuorodhesha fungamana na vyama hivi?. Hiyo Chadema yenyewe imebadilisha itikadi zake sii mara moja huoni kama hakuna mfumo wa itikadi na sera nchini ni watu wanavyojisikia tu ama kufuata upepo.

Leo hii Chadema inajiweka Kati kulia lakini wanataka AFYA na ELIMU bure hii kweli ni sera za Kati kulia? Kwa hiyo acha watu wapunyange tu tena bora ACT wamekuja kudai haki ya kuurudisha UJAMAA maana sijaona mahala popote CCM ikitetea UJAMAA in fact JK aliwahi kusema jamani huu wakati sio wa UJAMAA akinadi nchi yetu kwa wawekezaji wa nje. Na wapo viongozi kibao CCM wameukana UJAMAA..
 
Mchambuzi, Mchambuzi mkuu wangu Tanzania kuna vyama 23 ni itikadi gani hizo 23 unazoweza wewe kuorodhesha fungamana na vyama hivi?. Hiyo Chadema yenyewe imebadilisha itikadi zake sii mara moja huoni kama hakuna mfumo wa itikadi na sera nchini ni watu wanavyojisikia tu ama kufuata upepo.

Leo hii Chadema inajiweka Kati kulia lakini wanataka AFYA na ELIMU bure hii kweli ni sera za Kati kulia? Kwa hiyo acha watu wapunyange tu tena bora ACT wamekuja kudai haki ya kuurudisha UJAMAA maana sijaona mahala popote CCM ikitetea UJAMAA in fact JK aliwahi kusema jamani huu wakati sio wa UJAMAA akinadi nchi yetu kwa wawekezaji wa nje. Na wapo viongozi kibao CCM wameukana UJAMAA..
Unakwepa hoja, Mchambuzi kauliza, kanuni zinaruhusu uandikishwaji wa vyama viwili tofauti vyenye itikadi moja?
 
Hujajibu hoja na tunajua ni nzito na hazina majibu.

Anyways, tuendele upande mwingine. Kama unadhani UKAWA wanajifanya kuhodhi katiba, Supreme Leader alikuwa nao nje ya bunge la katiba
1. Kwanini Zitto alitoka akijua UKAWA wanafanya makosa
2. Kutoka kwakwe nje kulikuwa ni hatua gani na iliyolenga kufikia lengo gani
3. Sera za ACT ni kuandika katiba kuanzia pale Warioba alipoachia kwa mujibu wao wenyewe. Swali, kama unaamini ukawa wanahodhi katiba, je hawa ACT wanaozungumzia katiba ile ile wanyouzngumzia UKAWA, wanasimama wapi?
Mkuu chochote atakacho fanya Zitto mtakuja na maswali tu. Siku ya kuapishwa JK mlitoka akakataa akawekwa hana nidhamu na msaliti, leo katoka na nyie japo hakubaliani mnamuona Mnafiki kwa sababu kafanya nidhamu mloitaka.. Afanye nini kuwaridhisha?
 
Unakwepa hoja, Mchambuzi kauliza, kanuni zinaruhusu uandikishwaji wa vyama viwili tofauti vyenye itikadi moja?
Duh ama kweli wewe mgumu kuelezeka ebu nipe hiyo kanuni za Usajili wa vyama imeorodhesha itikadi aina ngapi, na wapi imesema chama kisisajiliwe ikiwa wana share itikadi. Maana haiwezekani kuwepo na vyama 23 wakati kuna robo tu ya itikadi. Nina hakika kuna vyama vyenye mrengo wa kati kulia vingi tu wakati Chadema wamegeuza mrengo wao walipoandika katiba mpya majuzi..Licha ya hivyo CCM ni kushoto na ACT ni kati kushoto.
 
Mkuu chochote atakacho fanya Zitto mtakuja na maswali tu. Siku ya kuapishwa JK mlitoka akakataa akawekwa hana nidhamu na msaliti, leo katoka na nyie japo hakubaliani mnamuona Mnafiki kwa sababu kafanya nidhamu mloitaka.. Afanye nini kuwaridhisha?
Tunaongelea umma na si watu. Tunachosema hapa ndicho anachosema Alinda kuwa siasa za supreme leader zimejaa unafiki.

Tumekuuliza maswali
1. Endapo anaamini UKAWA ni ya wasaka tonge, kwanini alitoka nje ya bunge
2. Lengo lake kutoka nje lilikuwa ni kufikia hatua gani

Haya ndiyo maswali yanayohitaji majibu na wala si ya kukaa ndani ya bunge.
In fact wenzake walitoka kupinga hatua iliyomtangaza Rais kukiwa na matokeo nusu. Jaji Mrehemu Lewis Makame alisema hilo wazi

Ukishajibu hayo tutarudi kweye siasa za ujamaa, ambazo zinasisitiza kufanya kazi kwa pamoja na kugawana kwa pamoja.
Ujamaa anaouhubiri Zitto ni ule wa kuwasakama wananchi wa kanda ya kaskazini kuwaonea wa Shinyanga na Mwanza

Tutarudi huko, tufafanulie kwanza malengo ya Zitto kutoka BML na sasa anataka UKAWA halafu unasema anatega watu ni kitu gani hasa anachowaambia wananchi
 
Duh ama kweli wewe mgumu kuelezeka ebu nipe hiyo kanuni za Usajili wa vyama imeorodhesha itikadi aina ngapi, na wapi imesema chama kisisajiliwe ikiwa wana share itikadi. Maana haiwezekani kuwepo na vyama 23 wakati kuna robo tu ya itikadi. Nina hakika kuna vyama vyenye mrengo wa kati kulia vingi tu wakati Chadema wamegeuza mrengo wao walipoandika katiba mpya majuzi..Licha ya hivyo CCM ni kushoto na ACT ni kati kushoto.
Nimehitaji ufafanuzi tu kutokana na hoja za Mchambuzi ambazo unaonekana kuzikwepa! kama ipo au hakuna unaweza kutoa elimu, ndio mjadala unavyokwenda
 
Nguruvi3: Anyways, tuendele upande mwingine. Kama unadhani UKAWA wanajifanya kuhodhi katiba, Supreme Leader alikuwa nao nje ya bunge la katiba

1. Kwanini Zitto alitoka akijua UKAWA wanafanya makosa

2. Kutoka kwakwe nje kulikuwa ni hatua gani na iliyolenga kufikia lengo gani

3. Sera za ACT ni kuandika katiba kuanzia pale Warioba alipoachia kwa mujibu wao wenyewe. Swali, kama unaamini ukawa wanahodhi katiba, je hawa ACT wanaozungumzia katiba ile ile wanyouzngumzia UKAWA, wanasimama wapi?[
Mkandara;12639295]Mkuu chochote atakacho fanya Zitto mtakuja na maswali tu. Siku ya kuapishwa JK mlitoka akakataa akawekwa hana nidhamu na msaliti, leo katoka na nyie japo hakubaliani mnamuona Mnafiki kwa sababu kafanya nidhamu mloitaka.. Afanye nini kuwaridhisha?]
Hapa hoja hazijahibiwa ndio maana watu hawaridhiki.

Kama anaweza kusema wananchi wa kanda ya kaskazini wanawaonea wa kanda nyingine, wewe unataka tuache sumu hiyo ienee bila kukemea!

Mkuu hoja hizo hapo juu ndizo zinahitaji ufafanuzi
 
Mchambuzi, Mchambuzi mkuu wangu Tanzania kuna vyama 23 ni itikadi gani hizo 23 unazoweza wewe kuorodhesha fungamana na vyama hivi?. Hiyo Chadema yenyewe imebadilisha itikadi zake sii mara moja huoni kama hakuna mfumo wa itikadi na sera nchini ni watu wanavyojisikia tu ama kufuata upepo.

Leo hii Chadema inajiweka Kati kulia lakini wanataka AFYA na ELIMU bure hii kweli ni sera za Kati kulia? Kwa hiyo acha watu wapunyange tu tena bora ACT wamekuja kudai haki ya kuurudisha UJAMAA maana sijaona mahala popote CCM ikitetea UJAMAA in fact JK aliwahi kusema jamani huu wakati sio wa UJAMAA akinadi nchi yetu kwa wawekezaji wa nje. Na wapo viongozi kibao CCM wameukana UJAMAA..
Mkandara:

Zitto anadai kwamba ACT ndio chama pekee nchini kinachokubaliana na itikadi ya Ujamaa na kinaamini katika falsafa ya Nyerere. Hapa hakuna ukweli wowote zaidi ya kudanganya umma.

Sio kweli kwamba kwamba ACT ndio chama pekee kinachokubaliana na itikadi ya Ujamaa Tanzania. KWa mujibu wa rekodi zilizopo kwa msajili wa vyama vya siasa, chama kinachokubaliana na falsafa ya Ujamaa ni CCM. Mkandara, angalia vizuri maneno ya Zitto, "Chama kinachokubaliana na Itikadi ya Ujamaa". Je zitto ana maana gani hapa? Kumbuka, CCM haijawahi kufanya mabadiliko hayo kupitia kikao cha aina yoyote.

Katika ziara zake, Zitto anajisifia kwamba yeye ni Mjamaa, huku akijifananisha na Nyerere. Zitto hawezi kufanana na Mwalimu Nyerere, na ni kwa sababu:

1. Tofauti na Mwalimu, Zitto sio Mjamaa.
2. Tofauti na Mwalimu, Zitto hana maono (Vision).
3. Tofauti na Mwalimu, Zitto hamaanishi anachokisema. Mwalimu walked the talk.
4. Tofauti na Mwalimu, Zitto ni Msaliti.
5. Mwalimu alitenganisha maisha yake binafsi na ya uongozi; Zitto anatumia uongozi kujikweza na kujinufaisha binafsi.
6. Nyerere hakuwahi kuleta migongano miongoni mwa wanachama wenzake kwa maslahi binafsi. Zitto amefanya hivyo kwa maslahi binafsi akiwa Chadema.
7. Nyerere hakuwahi kutumiwa na ‘forces' za ndani na za nje kuleta mifarakano ndani ya chama chake cha CCM. Zitto ametumiwa kuvuruga Chadema, na bado anaendelea kutumika kama mpini wa CCM kumaliza upinzani nchini, kupitia ‘chama wakala wa ccm', ACT.
8. Tofauti na Mwalimu, Zitto anatumia nafasi yake ya uongozi kujilimbikizia mali kwa njia za ujanja ujanja. Kwa mfano, tulielezwa kwamba Zitto ana uhusiano na kampuni iliyochota Shillingi Milioni 500 kutoka mashirika mawili ya umma kwa njia za ujanja ujanja, mashirika hayo ni TANAPA na NSSF. Ushahidi juu ya hili umeshatolewa mara kadhaa, na Zitto hajakanusha tuhuma hizo. Nyerere hajawahi kuwa na madudu kama haya.
9. Akiwa mwenyekiti wa PAC (kamati ya bunge ya mashirika ya umma), Zitto amedaiwa kuwa na mahusiano yenye kutia mashaka mashaka taasisi zinazosimamiwa na PAC kwa maana ya kwamba wamekuwa wakigharamia masuala yake binafsi ya ndani na nje ya nchi. Hajakanusha hilo.

Mkandara, Zitto na Ujamaa wapi na wapi? Zitto na Uzalendo wapi na wapi? Zitto na Nyerere wapi na wapi?
 
Hapa hoja hazijahibiwa ndio maana watu hawaridhiki.

Kama anaweza kusema wananchi wa kanda ya kaskazini wanawaonea wa kanda nyingine, wewe unataka tuache sumu hiyo ienee bila kukemea!

Mkuu hoja hizo hapo juu ndizo zinahitaji ufafanuzi
Mkuu hapa hatujadili ili kumridhisha mwingine na najua sitoweza kukuridhisha isipokuwa soma hoja zangu kwa kunielewa mimi sio kutaka jibu ulotegemea. Mbowe kawaita Wasukuma ni maskini kwa sababu kadhaa... hiyo ina tofauti gani ikiwa yeye ni wa Kaskazini? Nimeshasema wanasiasa wana Uhuru mpana wa kutumia maneno na vigezo vya sehemu yoyote kuwaahidi mageuzi na kwa sababu gani hata kama hukubaliani naye weka viashirio vyako.

Mbona niliwahi kumsikia Lema akisema wakazi wa Dar ni Wajinga ndio maana huichagua CCM kila mara, ati CCM haiwezi kushinda kaskazini, na watu tulipotezea tu! Acheni hizi siasa za maji taka mkichagua wa kumbomoa wakati ukiwasikiliza viongozi wote hutumia mifano ambayo mtu yeyote unaweza itafsiri apendavyo.
 
Mkandara:

Zitto anadai kwamba ACT ndio chama pekee nchini kinachokubaliana na itikadi ya Ujamaa na kinaamini katika falsafa ya Nyerere. Hapa hakuna ukweli wowote zaidi ya kudanganya umma.

Sio kweli kwamba kwamba ACT ndio chama pekee kinachokubaliana na itikadi ya Ujamaa Tanzania. KWa mujibu wa rekodi zilizopo kwa msajili wa vyama vya siasa, chama kinachokubaliana na falsafa ya Ujamaa ni CCM. Mkandara, angalia vizuri maneno ya Zitto, "Chama kinachokubaliana na Itikadi ya Ujamaa". Je zitto ana maana gani hapa? Kumbuka, CCM haijawahi kufanya mabadiliko hayo kupitia kikao cha aina yoyote.

Katika ziara zake, Zitto anajisifia kwamba yeye ni Mjamaa, huku akijifananisha na Nyerere. Zitto hawezi kufanana na Mwalimu Nyerere, na ni kwa sababu:

1. Tofauti na Mwalimu, Zitto sio Mjamaa.
2. Tofauti na Mwalimu, Zitto hana maono (Vision).
3. Tofauti na Mwalimu, Zitto hamaanishi anachokisema. Mwalimu walked the talk.
4. Tofauti na Mwalimu, Zitto ni Msaliti.
5. Mwalimu alitenganisha maisha yake binafsi na ya uongozi; Zitto anatumia uongozi kujikweza na kujinufaisha binafsi.
6. Nyerere hakuwahi kuleta migongano miongoni mwa wanachama wenzake kwa maslahi binafsi. Zitto amefanya hivyo kwa maslahi binafsi akiwa Chadema.
7. Nyerere hakuwahi kutumiwa na ‘forces' za ndani na za nje kuleta mifarakano ndani ya chama chake cha CCM. Zitto ametumiwa kuvuruga Chadema, na bado anaendelea kutumika kama mpini wa CCM kumaliza upinzani nchini, kupitia ‘chama wakala wa ccm', ACT.
8. Tofauti na Mwalimu, Zitto anatumia nafasi yake ya uongozi kujilimbikizia mali kwa njia za ujanja ujanja. Kwa mfano, tulielezwa kwamba Zitto ana uhusiano na kampuni iliyochota Shillingi Milioni 500 kutoka mashirika mawili ya umma kwa njia za ujanja ujanja, mashirika hayo ni TANAPA na NSSF. Ushahidi juu ya hili umeshatolewa mara kadhaa, na Zitto hajakanusha tuhuma hizo. Nyerere hajawahi kuwa na madudu kama haya.
9. Akiwa mwenyekiti wa PAC (kamati ya bunge ya mashirika ya umma), Zitto amedaiwa kuwa na mahusiano yenye kutia mashaka mashaka taasisi zinazosimamiwa na PAC kwa maana ya kwamba wamekuwa wakigharamia masuala yake binafsi ya ndani na nje ya nchi. Hajakanusha hilo.

Mkandara, Zitto na Ujamaa wapi na wapi? Zitto na Uzalendo wapi na wapi? Zitto na Nyerere wapi na wapi?
Azimio la Zanzibar liliiondoa CCM katika UJAMAA.. Mkuu tuwe wakweli na nafasi zetu maana sasa tunabishaana ili kubishana. Wewe unaufahamu UJAMAA wa Nyerere, sasa wanayoyafanya CCM ni Ujamaa? yaani kweli leo hii mimi hapa naweza kusimama na kusema ISIS ndio waislaam wa kweli wakati wanafanya kinyume ati kwa sababu wamebeba Msahafu?.. Come now Mchambuzi kuwa realistic japo kidogo..

Kutokuwa na vision haina maana hawezi kupatikana mtu wa kuiendeleza na ndicho ACT wamedai kwa kuita UNYERERE na kibaya zaidi hakuna mwanasasa yeyote Afrika asiyekuwa na Vision, kila mtu ana yake inategemea katazama kufanya nini hata kama iwe kuiga ataiweka ktk mazingira alokuwepo...
 
Azimio la Zanzibar liliiondoa CCM katika UJAMAA.. Mkuu tuwe wakweli na nafasi zetu maana sasa tunabishaana ili kubishana. Wewe unaufahamu UJAMAA wa Nyerere, sasa wanayoyafanya CCM ni Ujamaa? yaani kweli leo hii mimi hapa naweza kusimama na kusema ISIS ndio waislaam wa kweli wakati wanafanya kinyume ati kwa sababu wamebeba Msahafu?.. Come now Mchambuzi kuwa realistic japo kidogo..

Ujamaa wa Zitto ni upi?
 
Ujamaa wa Zitto ni upi?
tatizo lako unatazama mtu badala ya chama, ACT imeondoa fikra za mtu mmoja kutawala maamuzi. Yeye ni msemaji mkuu wa chama kama Padre vile kwa hiyo unachompima Zitto lazima uuweke UJAMAA mkono mmoja na Zitto mkono wa pili kisha ukatazama policies zao. Zitto haku fit Chadema kwa sababu pale wote ni Wahafidhina, hata Nyerere aliwageuka wahafidhina alipotangaza Ujamaa na wanamchukia mpaka kesho.
 
Mkuu hapa hatujadili ili kumridhisha mwingine na najua sitoweza kukuridhisha isipokuwa soma hoja zangu kwa kunielewa mimi sio kutaka jibu ulotegemea. Mbowe kawaita Wasukuma ni maskini kwa sababu kadhaa... hiyo ina tofauti gani ikiwa yeye ni wa Kaskazini? Nimeshasema wanasiasa wana Uhuru mpana wa kutumia maneno na vigezo vya sehemu yoyote kuwaahidi mageuzi na kwa sababu gani hata kama hukubaliani naye weka viashirio vyako.

Mbona niliwahi kumsikia Lema akisema wakazi wa Dar ni Wajinga ndio maana huichagua CCM kila mara, ati CCM haiwezi kushinda kaskazini, na watu tulipotezea tu! Acheni hizi siasa za maji taka mkichagua wa kumbomoa wakati ukiwasikiliza viongozi wote hutumia mifano ambayo mtu yeyote unaweza itafsiri apendavyo.
Ok wamesema, amesema!
Bado hoja iliyopo mbele yetu haijajibiwa. Huwezi kufidia mapungufu ya mtu kwa kitu kingine.

Nimeeleza huko nyuma, ukisema Wamasai wamesoma kuliko Wahaya, utakuwa umewatukana. Ni Kinyume chake
Tumesema, kuzungumzia umasikini wa watu si tatizo. Sisi sote ni masikini ndani ya umasikini huo kuna umasikini zaidi.

Supreme ameshaongelea umasikini wa nchi yetu, rasilimali na mfumo mbovu wa kukusanya mapato. Hatukuwahi kusema kaharibu au kaenda fyongo! alizungumzia taifa

Mbowe(kama ninavyokusoma) hakusema Wasukuma ni masikini kwa sababu ya Wachaga au Wapare

Hiyo ni tofauti na kauli za supreme leader aliyesema mikoa ya Mwanza na Shinyanga ni masikini kwasababu inapata mgao mdogo huku ikichangia zaidi. Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha inapata zaidi huku ikichangia kidogo

Maana yake ni kuwa uimasikini wa Shinyanga na Mwanza ni zao la unyang'anyi linalofanywa na mikoa mingine

Hapana! hatuwezi kukaa kimya sumu mbaya na chafu ya uchochezi wa namna hii ikisambazwa na wanasiasa waliofilisika

Hakuna mkoa Tanzania unaopata matatizo kutokana na mkoa Mwingine, mheshimiwa Supreme leader.
Ney, ni uzushi, uchonganishi na unafiki the least to say

Supreme alikuwa Bungeni miaka 15, hakuweza kuleta hoja hiyo hata siku moja

Supreme kaleta takwimu kuonyesha uporajwi unaofanywa na mikoa ya kaskazaini.

Tumechambua takwimu na kuziona ni mbovu, hazina ukweli

Sote tunachangia hazina, iwe kwa rasilimali au kwa kodi. Anayegawa rasilimali na kuzielekeza mahali husika ni CCM sio wananchi wa Kilimanjaro na Arusha, Manyara au Musoma.

Supreme hakunyooshea kidole yule aliyekuwa naye jukwaani mwana CCM, ananyooshea kidole wananchi masikini wa Kilimanjaro na Arusha wasio na hatia ya aina yoyote

Huko nyuma alishawahi kusema, tusiogope EAC kwasababu kuna tofauti ya maendeleo kati ya Kilimanjaro na Kigoma.

Kumbe funda hilo lipo siku nyingi, na baada ya kutibuana na wanasiasa wenzake, anahamishia mgogoro wao kwa wananchi wa Shinyanga, Kilmanjaro, Arusha na Mwanza. Eti tukae kimya

Tukiuliza ana mantiki gani tunapewa majibu nyanya , mbona fulani kasema!

Kama fulani kasema hiyo haiondoi kauli ya supreme. Leteni hoja za fulani pembeni tujadili

Hili la ACT na Supreme leader halipaswi kunyamaziwa.

Burundi na Rwanda walianza mchezo huu huu na mwisho wake tunaujua.

Supreme alipaswa kuelewa vema zaidi ya kauli zake hatarishi dhidi ya taifa na utaifa
 
tatizo lako unatazama mtu badala ya chama, ACT imeondoa fikra za mtu mmoja kutawala maamuzi. Yeye ni msemaji mkuu wa chama kama Padre vile kwa hiyo unachompima Zitto lazima uuweke UJAMAA mkono mmoja na Zitto mkono wa pili kisha ukatazama policies zao. Zitto haku fit Chadema kwa sababu pale wote ni Wahafidhina, hata Nyerere aliwageuka wahafidhina alipotangaza Ujamaa na wanamchukia mpaka kesho.
Well, sasa tunatenga vipi kauli ya Zitto kujiunga UKAWA na ACT kujiunga UKAWA?

Tunatenga vipi kauli ya Chair Anna kuhusu wanachama kushangilia UKAWA na kufukuzwa na kauli ya Supreme kujiuunga na UKAWA. NI ipi kauli ya mtu, ipi ya watu na ipi ya ACT
 
Well, sasa tunatenga vipi kauli ya Zitto kujiunga UKAWA na ACT kujiunga UKAWA?

Tunatenga vipi kauli ya Chair Anna kuhusu wanachama kushangilia UKAWA na kufukuzwa na kauli ya Supreme kujiuunga na UKAWA. NI ipi kauli ya mtu, ipi ya watu na ipi ya ACT
Ni kazi kubwa kukufahamisha wewe na sintoweza, mbona mimi nimemsoma Mchambuzi na kuelewa kuwa kauli zao ni moja.. Anna kasisitiza kufuata katiba na Zitto katoa masharti ya ndani ya katiba yao..
 
Ok wamesema, amesema!
Bado hoja iliyopo mbele yetu haijajibiwa. Huwezi kufidia mapungufu ya mtu kwa kitu kingine.

Nimeeleza huko nyuma, ukisema Wamasai wamesoma kuliko Wahaya, utakuwa umewatukana. Ni Kinyume chake
Tumesema, kuzungumzia umasikini wa watu si tatizo. Sisi sote ni masikini ndani ya umasikini huo kuna umasikini zaidi.

Supreme ameshaongelea umasikini wa nchi yetu, rasilimali na mfumo mbovu wa kukusanya mapato. Hatukuwahi kusema kaharibu au kaenda fyongo! alizungumzia taifa

Mbowe(kama ninavyokusoma) hakusema Wasukuma ni masikini kwa sababu ya Wachaga au Wapare

Hiyo ni tofauti na kauli za supreme leader aliyesema mikoa ya Mwanza na Shinyanga ni masikini kwasababu inapata mgao mdogo huku ikichangia zaidi. Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha inapata zaidi huku ikichangia kidogo

Maana yake ni kuwa uimasikini wa Shinyanga na Mwanza ni zao la unyang'anyi linalofanywa na mikoa mingine

Hapana! hatuwezi kukaa kimya sumu mbaya na chafu ya uchochezi wa namna hii ikisambazwa na wanasiasa waliofilisika

Hakuna mkoa Tanzania unaopata matatizo kutokana na mkoa Mwingine, mheshimiwa Supreme leader.
Ney, ni uzushi, uchonganishi na unafiki the least to say

Supreme alikuwa Bungeni miaka 15, hakuweza kuleta hoja hiyo hata siku moja

Supreme kaleta takwimu kuonyesha uporajwi unaofanywa na mikoa ya kaskazaini.

Tumechambua takwimu na kuziona ni mbovu, hazina ukweli

Sote tunachangia hazina, iwe kwa rasilimali au kwa kodi. Anayegawa rasilimali na kuzielekeza mahali husika ni CCM sio wananchi wa Kilimanjaro na Arusha, Manyara au Musoma.

Supreme hakunyooshea kidole yule aliyekuwa naye jukwaani mwana CCM, ananyooshea kidole wananchi masikini wa Kilimanjaro na Arusha wasio na hatia ya aina yoyote

Huko nyuma alishawahi kusema, tusiogope EAC kwasababu kuna tofauti ya maendeleo kati ya Kilimanjaro na Kigoma.

Kumbe funda hilo lipo siku nyingi, na baada ya kutibuana na wanasiasa wenzake, anahamishia mgogoro wao kwa wananchi wa Shinyanga, Kilmanjaro, Arusha na Mwanza. Eti tukae kimya

Tukiuliza ana mantiki gani tunapewa majibu nyanya , mbona fulani kasema!

Kama fulani kasema hiyo haiondoi kauli ya supreme. Leteni hoja za fulani pembeni tujadili

Hili la ACT na Supreme leader halipaswi kunyamaziwa.

Burundi na Rwanda walianza mchezo huu huu na mwisho wake tunaujua.

Supreme alipaswa kuelewa vema zaidi ya kauli zake hatarishi dhidi ya taifa na utaifa
Una tafsiri zako ambazo mimi sielewi zaidi ya ksuema kwamba mwanasiasa anaweza tumia vigezo hai hata kama ni kuzungumzia Ubaguzi. Mandela angeogopa kuwasema Makarubu ati kwa sababu wapo wazungu maskini au wasobagua tusingefika hapa tulipo leo.

Hata mimi naweza jenga hoja za kipuuzi vile vile na zikaleta maana ikiwa lengo langu ni kumtupia madongo Mbowe. Haya nikupe zangu, Mbowe asingesema Wasukuma ni maskini kama yeye mwenyewe angekuwa Msukuma, kisha Shinyanga sio nchi yenye wakazi wa kabila hilo tu, kwa nini kawatenga Wasukuma kuwa ndio maskini ilihali Shinyanga kumejaa pia Wachagga!.

Ndio maana nikasema mwanasiasa anaruhusiwa kusema kweli pale inapohitajika maadam lengo lake ni kuufikisha ujumbe pasipo kutafsirika vibaya..Wote Mbowe na Zitto wamefurahiwa na wakazi wa mji huo na wamewapa pongezi wewe/mimi nani wa kutafsiri kuwa hotuba zao zimejaa ukabila.
 
Una tafsiri zako ambazo mimi sielewi zaidi ya ksuema kwamba mwanasiasa anaweza tumia vigezo hai hata kama ni kuzungumzia Ubaguzi. Mandela angeogopa kuwasema Makarubu ati kwa sababu wapo wazungu maskini au wasobagua tusingefika hapa tulipo leo.

Hata mimi naweza jenga hoja za kipuuzi vile vile na zikaleta maana ikiwa lengo langu ni kumtupia madongo Mbowe. Haya nikupe zangu, Mbowe asingesema Wasukuma ni maskini kama yeye mwenyewe angekuwa Msukuma, kisha Shinyanga sio nchi yenye wakazi wa kabila hilo tu, kwa nini kawatenga Wasukuma kuwa ndio maskini ilihali Shinyanga kumejaa pia Wachagga!.

Ndio maana nikasema mwanasiasa anaruhusiwa kusema kweli pale inapohitajika maadam lengo lake ni kuufikisha ujumbe pasipo kutafsirika vibaya..Wote Mbowe na Zitto wamefurahiwa na wakazi wa mji huo na wamewapa pongezi wewe/mimi nani wa kutafsiri kuwa hotuba zao zimejaa ukabila.
Mkuu, mtoa kauli ni supreme leader na anawajjibika kwa kauli yake. Mlolongo wote uliopo hapa ni kuhusu kauli hatarishi za kiongozi wa ACT

Huwezi kufidia mapungufu ya mtu kwa kauli za mtu mwingine. Mbowe asingesema hayo leo ungetuambia nini?

Kwa kukusoma, nikuulize tena, je, unaridhika na kauli kuwa Kilimanjaro na Arusha wanachangia kidogo na kupata zaidi?
Je, Shinyanga na Mwanza wanachingia sana na kupata kidogo?

Hizo kauli mbili si tafasiri yangu, ni maneno ya supreme, sasa tusaidie ili tuslilete tafasiri za 'kipuuzi''
 
Back
Top Bottom