Alinda:
Ufafanuzi: nadhani katika posti yangu nimesema unachukia, sijasema unamchukia mkenya au unawachukia wakenya. Kuchukia na kuwachukia ni vitu viwili tofauti japokuwa shina la neno ni moja. Kuna watanzania wengi wanachukia nafasi za kazi kuchukuliwa na wageni lakini hawachukii wageni wenye nafasi hizo.
Kabla hatujasonga mbele ni lazima tusawazishe hii sintofahmu, hivyo basi bado nasisitiza hakuna sehemu nilipoandika neno "chuki" iwe kwa wakenya au kwa nafasi za kazi zinazochukuliwa na wakenya.. SIjaandika kitu cha namna hii kama papo nionyeshe.. Niko radhi kuomba msamaha.
Mkuu tupanue mnakasha kidogo msome kiduchu mwanaukumbi mwenzetu.Mkuu , hayo unayosema ndiyo yangewezesha taifa kusongambele.
Shinyanga na Mwanza wakifanikiwa taifa ,imefanikiwa.
CCM haijawezakutumia fursa hizo, Supreme leader anaona wananchi wa Knjaro na Arusha ndiotatizo
Frustration zake haziwezi kuvumiliwa akitumbukiza chuki naubinafsi. Zitakemewa.
Siasa za ulaghai hapana
Ritz Inawezekana kabisa alisema hivyo, Ila kwa bahati mbaya sikuweza kusiliza hiyo RFA au youtube. Ila hapa kinachojadiliwa ni kitu alichoandika mwenyewe na kutaka watu tujadlili..
Waweza kwenda katika kwenda kwenye Facebook yake.. Ndo nimetoa kila kitu huko... Na katika kuweka msititizo kitu cha kujadili ndo alikuja na hayo maandishi "
Mikoa yenye Maendeleo zaidi ni Arusha, Kilimanjaro na Dar es Salaam. Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7."
Hayo si maneno yangu au ya mwana ukumbi yeyote ni maneno ya Zitto katika Facebook wall yake..
Mkuu tafadhali, mimi nimesikia malalamiko yenu, nikataka kueleweshwa kwani alisema nini. Mkaja na haya maneno nami nikasema sioni ubaya hata kama ameitaja Kilimanjaro kwa sababu mwanasiasa yeyote unapozungumzia hoja lazima awe na mifano hai ili kujenga hoja yake. Na sikasisitiza hata Mbowe aliposema Wasukuma bado sikutafsiri vibaya iwapo lengo lake lilikuwa kuonyesha unyonyaji dhidi ya jamii hiyo. na nikaendelea kutoa mifano hata ya wanawake na kadhalika lkn wapi bado hamkutaka kuelewa.Kuna uwezekano katoa clarification huko face book
Mkandara atakuwa shahidi mzuri tu kwasababu kuanzia jukwa lasiasa hadi hapa, yeye ni kinara wa hoja husika.
Msome hapo juu, '' Shinyanga inachangia Zaidi haipati stahiki, Kilimanjaro inachangia kidogo inapata stahiki''
Mwenzako team Adharusi kaja na data kabisa
Nashangaa hukuona hayo yote. All in all,tunajua alifanya shambulio la kisiasa dhidi ya mikoa ya kaskazini
Haya bado unaendelea na tabia yako ya USupreme yaani unataka kuchaguliwa watu ya kuandika. Kwa nini nianzishe mada nyingine wakati wewe unaweza andika lolote utakalo na huambiwi kaanzishe mada? Hivi kuanzisha mada humu JF inakupa nguvu ya kuambia watu waandke nini?.. Hii ndio tabia yenu na mnashindwa kujitazama wenyewe lakini wepesi sana kuchambua wengine..mada inahusu ACT kuwa mpini wa CCM hili la Supreme umelitoa wapi na kulifanya ndio mada? kwa nini wewe usianzishe mada nyingine tuijadli...Mkandara , kama kuna kundi lisiloguswa, una jukumu kama raia kuonyesha matatizo yaliyopo na wanajamvi watajumuika nawe.
Nakushauri uanzishe uzi kama huu ili tuchangie huko. Sisi tumeonyesha mfano kuwa pale tusipokubaliana napo tutaweka wazi. Hivyo una nafasi ya kufanya hivyo bila ku-adulterate mjadala, kuupindisha ili kuondoa ukweli unaomkabili supreme
Supreme leader anawajibika kwa kauli zake za uchochezi, za kutaka kuvuruga taifa.
Tunajua historia yake ni kuleta sintofahamu ndani ya vyama vya siasa. Inapovuka mipaka na kuingia katika utaifa, hatutakaa kimya.
Nawe pia usikae kimya kama wapo wanaotenda kinyume. Lakini pia usitake ku insinuate habari zako katika uzi usiohusika
Pili, kumwita supreme leader siyo sisi. Chama chake kinamtambua kama kiongozi mkuu.
Unless uje na tafasiri nyingine supreme leaderni tafsiri halali.
Ni kama vile Kim II sung(Grate leader), Kim Jong (Dear leader).
ACT wana mfumo kama huo, ambako Anna ni Mwenyekiti na Zitto ni supreme leader.
Kwa maneno mengine, ni kama Iran ambako kuna Rais wa nchi na kiongozi mkuu wa nchi kama Khomeni au Khemenei
Neno supreme leader lina maana kiongozi mkuu. La sivyo tuambie kiongozi mkuu kwa lugha ya kigeni anaitwa nani, nasi tutaheshimu
Supreme leader anaweza kuota ndoto zote bila kikwazo aukizuizi.
Ndoto zake zisielekee kuligawa na kulivuruga taifa kwa misingi ya ukanda.
Huko tutaingilia kati ndoto hizo kwani zitakuwa si ndoto bali njozi.
Tunajua njozi zinaweza kuwa na matokeo mabaya na hatutapenda matokeo hayo katika taifa letu.
Anaweza kufanya siasa hizo anakojua si Tanzania. Hatuta kaa kimya kamwe!
Chama cha supreme hakiwezi kulinganishwa na maono ya Nyerere.Tungekuomba umwache mzee Nyerere apumzike kwa Amani. Nyerere alipigania taifa,supreme anapigania kugawa nchi. Usifaninishe kichuguu na mlima Kilimanjaro
Hatuna wivu wala majungu, maneno anayesema mwenyewe. Waraka waliandika wenyewe, na sasa yupo katika rekodi akieneza siasa za kushambulia mikoa ya kaskazini dhidi ya kanda ya ziwa. Hatuwezi kukaa kimya wananchi wakichonganishwa na genge dogo lisilifokia watu 10 lenye kueneza uongo, uzushi na unafiki. Hatutakaa kimya asilani
Mkuu Zitto anafahamu haya isipokuwa Zitto anazungumzia pia mikabtaba mibovu ya serikali ni sehemu ya mchango wa wananchi wa Shinyanga kuwa na maisha duni. Kiuchumi amechukulia GDP na matunda yake kayaona ktk HDI. Haina maana anawazungumzia Watu wa Kilimanjaro, Dar au Arusha isipokuwa anaonyesha uwezekano wa mkoa huo kuwa bora zaidi.Mkandara,
..ni kweli mwanasiasa anatakiwa kujenga hoja kwa mifano hai.
..sasa mfano hai ambao Zitto alipaswa kuutumia kule Shinyanga ni kueleza matatizo yaliyoko ktk sekta za pamba, ufugaji, na wachimbaji madini wadogo-wadogo.
..mimi sikubaliani kabisa na hii habari ya kulinganisha mkoa mmoja vs mwingine, au kulinganisha jamii moja vs nyingine kwa namna ile alivyofanya Zitto.
..hapa Tz kuna umasikini mkubwa sana. vilevile uelewa wa wananchi wetu siyo mkubwa kiasi hicho. hii habari ya kulinganisha jamii moja vs nyingine inaweza kuleta chuki kuliko kutatua matatizo yaliyopo.
NB:
..kuna mahali eti tunaambiwa Lindi ni mkoa wa kumi kwa maendeleo. mimi nadhani taarifa hizi zinadhihirisha kwamba Tanzania hakuna maendeleo. period.
cc Ritz, Alinda, Mchambuzi, Nguruvi3
Mkuu Kwani kwasasa hivi hali iko vipi? Hebu fafanua
Kabla hatujasonga mbele ni lazima tusawazishe hii sintofahmu, hivyo basi bado nasisitiza hakuna sehemu nilipoandika neno "chuki" iwe kwa wakenya au kwa nafasi za kazi zinazochukuliwa na wakenya.. SIjaandika kitu cha namna hii kama papo nionyeshe.. Niko radhi kuomba msamaha.
Mkandara,
..ni kweli mwanasiasa anatakiwa kujenga hoja kwa mifano hai.
..sasa mfano hai ambao Zitto alipaswa kuutumia kule Shinyanga ni kueleza matatizo yaliyoko ktk sekta za pamba, ufugaji, na wachimbaji madini wadogo-wadogo.
..mimi sikubaliani kabisa na hii habari ya kulinganisha mkoa mmoja vs mwingine, au kulinganisha jamii moja vs nyingine kwa namna ile alivyofanya Zitto.
..hapa Tz kuna umasikini mkubwa sana. vilevile uelewa wa wananchi wetu siyo mkubwa kiasi hicho. hii habari ya kulinganisha jamii moja vs nyingine inaweza kuleta chuki kuliko kutatua matatizo yaliyopo.
NB:
..kuna mahali eti tunaambiwa Lindi ni mkoa wa kumi kwa maendeleo. mimi nadhani taarifa hizi zinadhihirisha kwamba Tanzania hakuna maendeleo. period.
cc Ritz, Alinda, Mchambuzi, Nguruvi3
Mkandara,
..hoja ya Zitto ni kwamba kuna dhuluma inayofanywa na Kilimanjaro na Arusha dhidi ya Shinyanga.
..sisi tukasema hilo siyo kweli. wachangiaji wenzetu,particularly Mchambuzi, wamempinga kwa hoja na data.
..ndiyo maana sisi wengine ktk kumsaidia, tukasema hoja hiyo inaweza kujadilika bila kusukumiana lawama baina ya jamii moja vs jamii nyingine.
JokaKuu.Mkandara,
..hoja ya Zitto ni kwamba kuna dhuluma inayofanywa na Kilimanjaro na Arusha dhidi ya Shinyanga.
..sisi tukasema hilo siyo kweli. wachangiaji wenzetu,particularly Mchambuzi, wamempinga kwa hoja na data.
..ndiyo maana sisi wengine ktk kumsaidia, tukasema hoja hiyo inaweza kujadilika bila kusukumiana lawama baina ya jamii moja vs jamii nyingine.
Ikiwa hotuba ya Zitto ni hiyo hapo juu aloiweka Ritz ebu nifafanulie ni wapi kasema Dhulma inafanywa na mikoa hiyo na sio mfumo (mrengo) wa serikali tawala, pengine mimi sielewi!Mkandara,
..hoja ya Zitto ni kwamba kuna dhuluma inayofanywa na Kilimanjaro na Arusha dhidi ya Shinyanga.
..sisi tukasema hilo siyo kweli. wachangiaji wenzetu,particularly Mchambuzi, wamempinga kwa hoja na data.
..ndiyo maana sisi wengine ktk kumsaidia, tukasema hoja hiyo inaweza kujadilika bila kusukumiana lawama baina ya jamii moja vs jamii nyingine.
Mkuu tafadhali, mimi nimesikia malalamiko yenu, nikataka kueleweshwa kwani alisema nini. Mkaja na haya maneno nami nikasema sioni ubaya hata kama ameitaja Kilimanjaro kwa sababu mwanasiasa yeyote unapozungumzia hoja lazima awe na mifano hai ili kujenga hoja yake. Na sikasisitiza hata Mbowe aliposema Wasukuma bado sikutafsiri vibaya iwapo lengo lake lilikuwa kuonyesha unyonyaji dhidi ya jamii hiyo. na nikaendelea kutoa mifano hata ya wanawake na kadhalika lkn wapi bado hamkutaka kuelewa.
Sisi wenyewe hujiuliza Kwa nini Tanzania masikini hali tulipata Uhuru sawa na nchi kama Singapore au Maleysia, wakati hao wenzetu hawana maliasili nyingi kama sisi?. Japo ni swali la kujiuliza lakini jibu lake lipo ama linaangukia wananchi wenyewe au Utawala mbovu. Ili kuwaondoa wananchi unaweza onyesha mchango wao ktk pato la taifa hivyo unabakia na moja tu la Uongozi Bora!. Hapa Maleysia ama Singapore hazihusiki, ni mifano hai inayokupa uwezekano wa kuwepo sababu ndani za kutoendelea kwetu.
Na ndivyo nilivyoelewa mimi, Zitto kaweza kufanya siasa za Kiitikadi, kuonyesha mfumo mbovu wa kiutawala na hivyo wananchi wachague chama chenye dhamira ya kweli ktk kubadilisha maisha yao. Mimi nadhani kwa sababu nyie mmezeoa siasa za majitaka basi kila kitu lazima kitafsirike katika misingi hiyo - Kutafuta mchawi.
Hii habari ya Siasa za kiitikadi ni ngeni kwenu na itawapa shida sana kuelewa pasipo kutenganisha hisia zenu maana kwenu siasa ni WATU. Ukimsema Mbowe au Dr.Saa umeua Chadema, Ukiwasema Wachagga una maana Chadema, Ukiwasema Waislaam ni CUF, Ukimsema Zitto unaua ACT, hizi ndizo siasa tulojengwa nazo kwa miaka 20 ilopita. Kumbe wenzetu wameondoka katika siasa hizo na kuchukua hatua nyingine kabisa ya kutumia ITIKADI na SERA kufafanua ukombozi ktk falsafa nzima ya UJAMAA wa Demokrasia.
Pamoja na juhudi za kututoa kwenye mada ya Nguruvi3 inayosema; Re: Duru za siasa: Chama cha ACT - Mpini wa CCM kumaliza upinzani, naomba nikuulize Mkandara, kwa nini unaamini hayo ndiyo maneno aliyoyatamka Supreme Leader akiwa Shinyanga? Sijui kwa nini leo umwamini Ritz kwa kutoa nukuu anayodai ni ya Zitto...huu ushikaji umeanza lini! Kabla sijarudi kwenye mada na mimi naomba nikukumbushe kidogo onyo lililotolewa na Kamati ya Usaliti chini ya Samson Mwigamba na Dr. Kitila Mkumbo, nanukuu;Ikiwa hotuba ya Zitto ni hiyo hapo juu aloiweka Ritz ebu nifafanulie ni wapi kasema Dhulma inafanywa na mikoa hiyo na sio mfumo (mrengo) wa serikali tawala, pengine mimi sielewi!
Mkakati wa Mabadiliko2013 said:Udhaifu wa tunayemtaka:
Maneno yake mara nyingine hayazingatii anayazungumza katika mazingira gani na hivyo kuwasha masikio ya wanataasisi jambo linalompunguzia kukubalika kwake taratibu.
Kama ilivyo kwa maneno, kuna matendo pia ambayo mara nyingine huyafanya bila kuzingatia mazingira na wasikilizaji wake na hivyo kupunguza imani ya wana taasisi kwake.
Mkuu Mkandara , the more supremes zelotes open up, they expose him in precarious situation.
Hayo maneno si ya supreme leader. Tangu mjadala uanze jukwaa la siasa ulikoshiriki vema hadi wakati huu, hujawahi kutumia maneno stahiki
Unachokifanya ni spinning inayoonyesha ulivyotekwa na fikra za ulaghai kama supreme, wanasema disingenuous
Umetaja Knjaro na Shinyanga ili kupunguza wigo wa eneo supreme aliloshambulia .
Tuweke rekodi sawa, supreme alishambulia Knjaro na Arusha kutokea Shinyanga na Mwanza. No more no less
Tutayatumia maneno yako kukuonyesha twisting haimsaidii supreme
1 Shinyanga wanachangia sana hawapewi stahiki,Kilimanjarowanachangia kidogo wanapewa stahiki
Tunarudia kusisitiza haya si maneno yake,lakin tuyajadili kama ulivyoyaumba
Historia : Tume ya Kamala ikikusanya maoni (EAC)kushirikisha Burundi na Rwanda, Zitto alisema bungeni Msiogope EAC,MbonaKilimanjaro wameendelea kuliko Kigoma?
Ukisoma kauli yake(kwa mujibu wako) Supreme leader anasema Knjaro inapata stahiki, Shinyanga haipati stahiki(ukiondoa Arusha) ili kupunguza wigo wa shambulio la kisiasa alilofanya
Tunakuuliza, kwanini alisema Knjaro inapata stahiki yake?
Je,alikuwa na takwimu za kuthibitisha hilo? Kwanini alitumia Knjaro na si mikoa 6 iliyoko mbele ya Knjaro?
Ni stahiki gani inayopata ambayo Shinyangahaipati?
Je, hii si historia ya chuki dhidi ya Knjaro kama alivyoanza wakatiwa EAC?
Tungependa wewe na Zitto mtuonyeshe stahiki zipi na kiwango gani ambazo Shinyanga inanyimwa na Arusha/Knjaro zinapata.
Ndio maana tunasema, kadri mnavyoleta utetezi usio na mashiko, mnamweka mahali pabaya kisiasa.
Leo tunajua kumbe Zitto ana data zinazoonyesha Knjaro inapata stahiki dhidi ya Shinyanga, na wala si Sumbawanga, Tabora au Lindi
Mnajribu kutuonyesha attack ya Zitto-ACT dhidi ya mikoa ya kaskazini ni ya kukusudia kabisa.
Mkuu Nguruvi3 ACT bado ni mpini wa CCM kumaliza wapinzani? Maana naona zile mbwembwe za mpini zimepungua ghafla au ndo unajipanga kuja na kasi,ari na nguvu mpya??
Ila swali letu bado liko pale pale pesa ya kuendesha mkutano mkuu wa chama, pesa za kuzunguka mikoa 11 zilitoka wapi?
Pamoja na zunguka mikoa 11 waliweza kupata wanachama 7000tu.. Kwangu mimi hii ni idadi ndogo sana ukiangalia umaarufu wa Zitto, nguvu zlizotumika kutangaza chama chake, watu walivyokuwa wanajaa katika mikoni yake nilitegemea idadi kubwa zaidi ya hii.
Hii si dalili nzuri kwa kijana mdogo kama Zitto kupata mwitikio mdogo kiasi hiki. Sijui ngoja tuone katika uchaguzi mkuu ni vipi ACT itapanda chati.
Mkandara, rangi yako inazidi kunawiri. Unakumbuka jukwaa lasiasa ulijadili nini?Ikiwa hotuba ya Zitto ni hiyo hapo juu aloiweka Ritz ebu nifafanulie ni wapi kasema Dhulma inafanywa na mikoa hiyo na sio mfumo (mrengo) wa serikali tawala, pengine mimi sielewi!