Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Nguruvi3.

Msome hapa chini kiduchu Dr.Slaa anavyowagawa watanzania.


KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbroad Slaa amemtaka Mbunge wa Mtwara Vijijini, Hawa Ghasia kuacha kutisha na kuwakamata wananchi wanaomuuliza maswali katika mikutano ya hadhara akidai amekashifiwa.Akihutubia umati wa wananchi katika Kata ya Mtimbwilimbwi na Nanyamba, Slaa alisema ni uvunjaji wa sheria na ubabe kukamata wananchi waliowapigia kura.Slaa alisema hayo baada ya wananchi kumwelezea kuwa, wamekuwa wakikamatwa na viongozi wa serikali na CCM wanapouliza maswali, ndiyo maana wameingiwa woga.Alisema Ghasia ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), anafanya vitendo hivyo kwa kuwa ana uhakika wa kutogombea tena ubunge katika Jimbo la Mtwara Vijijini baada ya kutambua kuwa hawezi tena kushinda.Slaa alisema maisha ya wakazi wa Mtwara Vijijini na umasikini unaowazunguka, ni aibu kwa uongozi katika miaka 50 ya uhuru, ambapo wajawazito wanalazimika kwenda hospitali wakiwa na vifaa.“Enzi za Mwalimu Nyerere hakukuwa na suala hilo, leo hata mtoto mdogo anajua kuwa mama yake anakaribia kujifungua kwa kuwa ni lazima atakuwa anahangaika kutafuta vifaa vya kujifungulia,” alisema Dk. Slaa.Alibainisha kuwa, Jimbo la Karatu ambalo wananchi wake hawakuwahi kuwa na waziri kwa miaka 15 sasa, wanafikiria kuingiza maji ndani ya nyumba zao wakati Mtwara Vijijini ambayo mbunge wake ni waziri, wananchi wanatafuta maji umbali wa zaidi ya kilometa 10.Katika hatua iliyoonesha kukithiri kwa umasikini, Dk. Slaa alilishwa supu ya ngozi ya ng’ombe kama kitoweo, ambapo wananchi walidai wamefanya hivyo kwa kuwa hawana uwezo wa kununua nyama.Walisema hata hizo ngozi ni lazima aende mtu kuzifuata Mtwara mjini na siku inapokosekana wanajihesabia kama wamekosa nyama halisi.Kufuatia hali hiyo, Dk. Slaa aliwataka wananchi wa Mtwara mjini kujiepusha na kuuza uhuru wao kwa gharama ya shilingi elfu tano na badala yake wasimamie ukombozi wa kweli.
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3.

Msome hapa chini kiduchu Dr.Slaa anavyowagawa watanzania.


KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbroad Slaa amemtaka Mbunge wa Mtwara Vijijini, Hawa Ghasia kuacha kutisha na kuwakamata wananchi wanaomuuliza maswali katika mikutano ya hadhara akidai amekashifiwa.Akihutubia umati wa wananchi katika Kata ya Mtimbwilimbwi na Nanyamba, Slaa alisema ni uvunjaji wa sheria na ubabe kukamata wananchi waliowapigia kura.Slaa alisema hayo baada ya wananchi kumwelezea kuwa, wamekuwa wakikamatwa na viongozi wa serikali na CCM wanapouliza maswali, ndiyo maana wameingiwa woga.Alisema Ghasia ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), anafanya vitendo hivyo kwa kuwa ana uhakika wa kutogombea tena ubunge katika Jimbo la Mtwara Vijijini baada ya kutambua kuwa hawezi tena kushinda.Slaa alisema maisha ya wakazi wa Mtwara Vijijini na umasikini unaowazunguka, ni aibu kwa uongozi katika miaka 50 ya uhuru, ambapo wajawazito wanalazimika kwenda hospitali wakiwa na vifaa."Enzi za Mwalimu Nyerere hakukuwa na suala hilo, leo hata mtoto mdogo anajua kuwa mama yake anakaribia kujifungua kwa kuwa ni lazima atakuwa anahangaika kutafuta vifaa vya kujifungulia," alisema Dk. Slaa.Alibainisha kuwa, Jimbo la Karatu ambalo wananchi wake hawakuwahi kuwa na waziri kwa miaka 15 sasa, wanafikiria kuingiza maji ndani ya nyumba zao wakati Mtwara Vijijini ambayo mbunge wake ni waziri, wananchi wanatafuta maji umbali wa zaidi ya kilometa 10.Katika hatua iliyoonesha kukithiri kwa umasikini, Dk. Slaa alilishwa supu ya ngozi ya ng'ombe kama kitoweo, ambapo wananchi walidai wamefanya hivyo kwa kuwa hawana uwezo wa kununua nyama.Walisema hata hizo ngozi ni lazima aende mtu kuzifuata Mtwara mjini na siku inapokosekana wanajihesabia kama wamekosa nyama halisi.Kufuatia hali hiyo, Dk. Slaa aliwataka wananchi wa Mtwara mjini kujiepusha na kuuza uhuru wao kwa gharama ya shilingi elfu tano na badala yake wasimamie ukombozi wa kweli.
Unajua kufanya ni spinning ya maneno ni kuondoa hoja iliyopo mezani.
Hata hivyo itasaidia sana katika kueleza wapi supreme alikosea na hakika itafumua zaidi tuliyokuwa tumeyaweka kiporo

Sijui kama maneno hayo kayasema Slaa kwasababu sina vyanzo vya habari vya kwangu. Hata hivyo, tuyajadili kwa uchache wake kwa assumption kuwa kasema

1. Alichoongelea ni kuwa Hawa Ghasia hajafanya jitihada kwa wananchi wake

2. Kusema Tanzania ni masikini kwa miaka 50, hilo kila mtu analisema.

Nipo katika rekodi zaidi ya mara 1000 nikisema, umasikini wetu ni kutokana na hawa CCM waliolifikisha taifa hapa kuwa la wala rushwa, walanguzi na sasa wanafikiri hata wezi kuliongoza.

3. Sioni mahali kwa mujibu wa taarifa yako, Slaa aliposema, Karatu wana maji kwasababu wanapata keki kubwa ya rasilimali za taifa. Kama alisema hayo, he is equally wrong.

Endapo amesema umasikini wa Mtwara ni kwasababu ya mgao hafifu wa rasilimali wakati wanachangia sana, he is wrong. Hayo ni kama amesema

4. Zitto akiwa katika mikutano Tabora na Mtwara(CUF), alisema matumizi mabaya ya rasilimali ndicho chanzo cha kuwatia umasikini wananchi wa Tanzania. He was right.

Maneno aliyosema Slaa kama angeyasema Zitto, hakuna tatizo na wala kusingekuwepo na hoja

5. Akiwa Shinganya na Mwanza, Zitto alisema upo mgawanyo mbaya wa rasilimali.

Mikoa hiyo inchangia kwa wingi pato la taifa na inapata kidogo UKILINGANISHA na Kilmanajro na Arusha wanaochangia kidogo lakini kimaendeloeo wapo mbele

Kauli kama hiyo aliwahi kuitoa kwa kusema, Tanzania isiogope EAC kwasababu kuna tofauti ya maendeleo kati ya Kigoma na Kilimanjaro. Alichkoifanya ni kuendeleza kile anachokiamini si sawa. Tunajua ana matatizo ya kisiasa na mtu wa Kilimanjaro, hatudhani kama ana matatizo ya kisiasa na kanda nzima ya kaskazini kiasi cha kuituhumu kwa tuhuma nzito kama hizo

Zitto alimaanisha kuwa umasikini wa wananchi wa kanda fulani unatokana na wananchi wa kanda nyingine kuchukua mgao mkubwa wa keki ya taifa.

Anachojaribu kuonyesha ni kuwa maendeleo ya Kilimanjaro na Arusha ukilinganisha na Mwanza na Shinyanga, ni matokeo ya mikoa ya kaskazini kujimegea pato kubwa la taifa. He is wrong !!!

Akiwa Mbunge hakuonyesha takwimu za vipi kaskazini inaowanyima kanda ya ziwa.

Kilichomsukuma ni ukanda. Supreme hana maono.

Hakuweza kuwaeleza wananchi hao maendeleo ni nini na yanatokana na nini( Tumejadili) @Mchambuzi kajadili kwa kina

Hoja, supreme leader ajitokeze aeleze,wapi na kwanini wananchi wa Kili na Arusha wamewadhulumu wa Shinyanga na Mwanza.

Na si kueleza tu, bali afafanue dhana nzima ya maendeleo na ni namna gani rasilimali za taifa zimetumika vibaya upande mmoja na kunufaisha upande mwingine.

Lakini pia supreme leader atueleze, je shinnyanga wanaishi wasukuma tu? Je hakuna watu kutoka maeneo mengine wanaochangia pato lao kubwa? Je, Kilimanajaro wanaishi wapare na wachaga tu?

Je hakuna watu wa maeneo mengine wanaonufaika na maendeleo ya huko kama alivyosema?
Supreme aonyeshe wapi wananchi wa eneo moja walinyimwa fursa eneo lingine

Supreme aeleze kwanini hajafanya comparison na kanda zingine?
Je kanda ya kaskazini ikisema supreme ma ACT wanachuki nayo watakuwa wamekosea?

Je, si kweli kuwa supreme anapumbaza watu kwa kuwaficha ukweli na kuwajengea chuki bila takwimu, vigezo au hoja?

Nadhani mnaona hoja ilipo unless mna hoja tofauti, tuijadili
 
Mkuu Zakumi , njaribu sana kukusoma sielewi wapi hasaunasimamia achilia mbali unazungumzia.

Hoja zako zimekosa vionjo auzimeacha vionjo muhimu makusudi kabisa. Nitakujibu kwa mabandiko mawili


Sehemu ya I

1 Unaposema forum hazina nafasi kubadili jamii unashindwakuelewa mwenendo wa dunia kwasasa achilia mbali Tanzania.

Mabadiliko yana sehemu kadhaa.
Kuna Revolution changeszinazosababishwa na ukandamiza, uonevu na unyanyaswaji.
Pia zaweza kusababishwana mabadiliko ya kiuchumi, kijamii na kisiasa(social, political or economic)


Revoulution inaweza kutokea kwa wananchi au kwa serikali.
Endapo serikali husika itafanya mabadiliko kukidhi haja za kijamii, kiuchumi au kisiasa, hayo ni mapinduzi


2. Kuna passive changes ,mabadiliko yanayotokea bila udhibiti bali hutokea tu kwa vile imelezimu na hakuna njia ya kuzuia

3 Radical changes, ambayo ni mabadiliko ya lazima yanayotumia nguvu

Mabadiliko hayo(baadhi) yametokea kwa njia tofauti nanyakati tofauti.

Miaka ya ya 60 kurudi nyuma kulikuwa na passive changes pamojana revolution.
Nchi nyingi zikajitawala. Nyingine zikafanya mabadiliko kwasababu ilikuwa ni lazima


Miaka ya 70 hadi 90, kulikuwa na mabadiliko ‘radical changes’.
Hayo yaliambatana na maafa kama mapinduzi kwa nchi za Afrika, ulaya ya mashariki na hata magharibi kwa ujumla


Miaka ya 2000 kwenda mbele yamekuwepo mabadiliko ‘passivechanges’ kwamba ni lazima kitu kitokeo hata kwa udhibiti.

Tanzania iliwahi passive changes kwa kubadili mfumo wa siasa na uchumi kiasi. wimbi halikuleta madhara.

Kuanzishwa kwa vyama vingi na ubepari ni sehemu yamabadiliko ambayo yasingeweza kuzuilika


Mabadiliko yanayotokea sasa duniani ni mchanganyiko. Yapo ya revolution, radical na passive.

Ni wazi passive changes ndio inaongoza revolution na radical changes.
Tumeona Arab spring ikianza kama passive nahatimaye inakuwa radical


Nchi zilizoendelea kama Marekani nazo zimekumbwa na mabadiliko. Tunaona uwepo wa viongozi vijana, nchi hizo zikibadili sera zao kuhusu mambo ya uchumi, siasa na jamii

Kichocheo kikubwa kimekuwa mitandao ya jamii(forums) ambako watu wamekuwa na nafasi ya kuzieleza serikali na taasisi zao nini wanataka.

Tumeshuhudia kampeni kama za Obama zikitumia mitandao kukusanya pesa,kuwasiliana na wapiga kura, na hata kuratibu upigaji wa kura

Inaendelea……


Nguruvi3:

I didn't say that using JF to engaging in our national favorite sport (political debates) doesn't have any values. It has its own values. JF is a good outlet. When we feel angry, we come here and vent our frustrations. Isn't that great. It's. The forum has given us the sense of belonging and I can't undervalue that.

However, when it comes to the impact of our contributions to the well being of our fellow citizens, I think we are underachievers in sense that more often we have used the forum for confirmation of our own intellectual abilities and nothing more. You write something and then wait for us to read and click like. If you are a true revolutionary, this isn't enough.

It's true that Obama used the internet to rise money and for campaigning. However, before that he had to quit his corporate job and directly work and talk with the people. So the use of the internet was only a tool to amplify the voice that was already there. How should I take you message very seriously, when I hardly know you. I don't know your full name, what you do for living, and where you live.

You can't just put a good message out there and expect people to listen to you and then take your message seriously. Are you Mbowe, Mtikila, Nnauye, Zitto or Makongoro? We don't know.

I don't condone what Zitto says. But the fact that he has put his real name on line and is talking to people directly, he's a chance to convey his distructive message more efficiently than you.
 
Zakumi,
Nani kakudanganya kwamba Zitto is tapping the energy of the uneducated? Na ni kina nani hao?

Kwikwikwi, He's not tapping. He's harnessing the untapped potential. Who are they? Nguruvi3 knows them better. By the way, when is CDM next meeting in DMV?
 
"wasukuma Mungu amewapa bahati sana,amewapa Ng'ombe,Madini,lakini nyie ni maskini sana kuliko kabila lolote Tanzania kwa zaidi ya miaka 50"-Mbowe,amesema haya maneno katika mkutano huko Simiyu(itirima),_ na amepewa uchifu.
haya maneno kwa Nguruvi3 ni yenye afya kwa Taifa lakini Zitto kasema shinyanga ni mkoa unachangia vizuri pato la Taifa,ila ni mkoa maskini kuliko inayochangia kidogo pato la Taifa, Nguruvi3 Kasema Zitto analigawa Taifa,kwanini hakui kisiasa,Mbowe anazaidi ya miaka 20 Katika siasa anataja Kabila kuwa ni maskini kisa kura.. Zitto kazungumzia mkoa(ndani yake kuna makabila yote),kuwa ni maskini,kuna shida ya maji,elimu,afya ,barabara nk.tabu hizi wanapata wananchi wote wa mkoa wa shinyanga,tabora,Mwanza ndio mana akaongea katika mikoa hiyo, Nguruvi3 anamlisha Zitto maneno kuwa analeta siasa za makabila,hakuna halipotaja kabila,maana hizo shida wanapata mpaka wachaga wanaoishi shinyanga nk .Ila MBOWE kataja kabisa wasukuma source ITV taarifa ya habari SAA mbili
Mwaka 2009 nilikua kikazi kigoma ,wakati nafika kulikua na shida ya umeme sana,barabara mbovu,kwa ufupi huduma za jamii ziko chini,Mimi ni mmakonde mmraba wa Lindi,je sababu Mimi ni MTU wa Lindi je siathiriki na hali ambayo hipo hapo kigoma
Tusemezane

Zitto alisema yafuatayo:

"Mkoa wa Mwanza una rasilimali nyingi, lakini ni mkoa wa 13 katika ukuwaji kimaendeleo, huku mkoa wa Kilimanjaro wenye rasilimali chache ni wa pili kimaendeleo nchini".

Mbowe alisema yafuatayo:

"Wasukuma Mungu amewapa bahati sana,amewapa Ng'ombe,Madini,lakini nyie ni maskini sana kuliko kabila lolote Tanzania kwa zaidi ya miaka 50."

Kweli hauoni tofauti ya kauli hizi mbili?
 
Ukiangalia mambo kwa mtazamo mfupi na mwembamba, siku zote utaona vitu kwa wembamba na ufupi ule ule.
Labda wewe ndio umeamua kuangalia kwa ufupi,mimi nafuatilia wanasaiasa wote wanachosema na maoni ya watu wengine
Ukifungua kichwa, ukakipa nafasi ya kutoa na kuchukua, siku zote utakuwa na maono tofauti

Sisi wengine tunaiangalia Tanzania kwanza, halafu watu na mwisho mtu.
Mimi nimefungua kichwa changu ndio mana nipo tofauti nawe,sababu naona uandikaji wako haupo kuijenga NCHI bali kuibomowa na kumfuruhisha mfalme wa CDM
Tunaposema Lukuvi kakosea kuhubiri katiba katiba kanisani, tuna maana hiyo.
Tunaposema JK kumuacha kama waziri wake ni tatizo, tuna maana hiyo
Tunaposema CCM wamelifikisha taifa hapa lilipo, tuna maana hiyo
Ninaelewa kwa CCM kwako huwa haukopeshi unataoa CASH(GWAJIMA).ila kwa MBOWE na SLAA unaangalia pembeni na kutoa maneno laini
Wewe unatafuta mizani, ndio maana leo umemsikiliza Mbowe kwa makini na kuja na habari inayokidhi haja yako
Nikisoma tu habari yako, inaonyesha kuna mapungufu mengi, ima umeficha ukweli au umeubadili ili ufike unapotaka
sitafuti MIZANI nazungumzia ukweli unaoukwepa wewe,ukweli wa habari naomba utafute habari ya jana ya MBOWE simiyu,sina haja kutafuta sehemu wewe unayoifikilia
Siwezi kuzungumzia habari yako kwa kutambua wewe upo katika kundi la kwanza la mashabiki wa supreme leader
Sijawai kuwa shabiki wa ZITTO kama unabisha tafuta minakasha yangu ya zamani,huwa namueleza ukweli pale anapokosea,usinichagulie mtu,je wewe nikikuambia wewe una mahaba na Mbowe unajisikiaje,maana unakuwa una tofauti na Mnyika,anaweza kutoka adharani na kumkashifu JK(RAIS),ila madhaifu ya MBOWE na SLAA hayaoni,ila ninavutiwa na siasa za vijana makini kama kama ZITTO,naamani kwa sasa kwa TANZANIA hajapatikana mbadala wake,na ndiomana ata nyinyi mnapata hofu mnajuwa nguvu alionayo,maana angekua hadhi sawa na kina LEMA mjadala usingekuwepo,kwa nyie mamfuatialia kwa kuangalia mapungufu yake tu,kwanini sisi wengine tusiangalie mazuri yake,sijawi kukuona ukiandika chanya la ZITTO,nakumbuka kisa cha Gore(mgombea urais marekani) alieshindana na BUSH uchaguzi wa kwanza na RAIS,katika kampeni Gore alikua anasema wamarekani tunataka tumpe nchi mhuni Bush,mcheza kamari,n.k..Bush akifika anasema sawa Gore kasema haya maneno,ila kasahu kusema kitu kimoja,alitakiwa aseme ila BUSH sasa hivi ni mlokole(maana yake usizungumze mabaya tu na mazuri pia,mkitaka watu wote JF tuandike machache anayoteleza zitto,na kuacha mazuri ya msingi si sawa
Leo unataka kuhalalisha makosa yake unatafuta utetezi tu ilimradi.
Wewe upo katika kundi la kwanza,linaloamini tu katika supremacy hata kama hakuna cha kuamini. Lina amini tu bila sababu
SIWEZI AMINI BILA SABABU,nilianza kumuangalia zitto katika hali chanya pale LEMA alipoleta uzi JF kumkashifu ZITTO na kuona CDM iko kimya uongozi wote,naamini kilichofanya na LEMA angefanya ZITTO hayo maneno yangeubiriwa Taifa ZIMA,hivi baada ya LEMA kuleta yale maneno mlisikia wapi uongozi umemkemea LEMA,nikapoteza ushabiki CDM,NIKAGUNDUA PALE HAKUNA SIASA ni ulaji wa fedha za wananchi tu,matumaini ya kwa chadema kwangu kuleta mabadiliko yakapotea,angalizia uzi zangu za zamani nimeshaandika sana na kushahuri kuhusu CDM,nimekikosoa sana chama changu cha CCM.
Kuongelea makabila si tatizo. Kibaya ni pale unapoongea kwa kukosa busara.
Mbowe kaongea kwa busara eeeh
Mfano, ukisema Kilimanjaro kuna utapia mlo zaidi ya mikoa mingine,hujatukana kwasababu ni ukweli.

Unachotakiwa ni kuendelea kuwaeleza wachaga na wapare kuwa, kwavile wao busy sana mara nyingi husahau lishe kwa watoto na ndicho chanzo cha utapia mlo. Hivyo wafanye balance ya kazi na afya.

Ukisema mkoa wa Shinyanga unachangia sana pato la taifa na kupata mgao wa rasilimali kidogo, wakati mikoa ya Arusha na Kilimanjaro inachangia kidogo na inapata zaidi, kwa akili isiyohitaji elimu ya VETA kuna upungufu wa busara na hekima
Hakuhitaji semina kujua ni uchochezi, wala kongamano kubaini ni upuuzi.
Itafika SEHEMU nyie manguri wetu wa JF MUENDE likizo,ili mjichaji upya,maana ukiandika kila siku mwisho,unajikuta unaandika tu
Umeelewa?

Nimekuelewa na nimekuelekeza tena,UTAKUJA na utetezi wako kuwa uwa upendelei mtu,sababu umewai andika makosa ya mbowe,slaa,na CDM hii haitoi ualali wa kumuandama mtu kwa makosa ya kawaida,eti mtu kutangaza atagombea urais iwe nongwa,wakati chama na nchi inajuwa umri wake bado kikatiba,mwisho chama linalikuza ingelipuuza tu,maana katiba ya nchi kuanzia miaka 40,SIJUI WASHAHURI WA CHADEMA waliwaza nini kulikuza ilo,Leo LEMA au LISU akisema nitagombea urais chama hakistuki,ila zitto ambaye anaupungufu wa umri kikatiba chama kinatingishika kwa hoja ambayo haitaji kumaliza darasa la saba ili kuipuuza..nataka tu kukuambia kua hoja zako kuwa uliwai kuwakosoa kina Mbowe sasa hivi hazina mantiki,maana ata chadema waliwaita CUF mashoja ila leo wanafanya kazi pamoja,ata wewe unakuwa sasa hizi umeungana na Mbowe ,kubenea,nyarocho
 
Nguruvi3:

I didn't say that using JF to engaging in our national favorite sport (political debates) doesn't have any values. It has its own values. JF is a good outlet. When we feel angry, we come here and vent our frustrations. Isn't that great. It's. The forum has given us the sense of belonging and I can't undervalue that.

However, when it comes to the impact of our contributions to the well being of our fellow citizens, I think we are underachievers in sense that more often we have used the forum for confirmation of our own intellectual abilities and nothing more. You write something and then wait for us to read and click like. If you are a true revolutionary, this isn't enough.

It's true that Obama used the internet to rise money and for campaigning. However, before that he had to quit his corporate job and directly work and talk with the people. So the use of the internet was only a tool to amplify the voice that was already there. How should I take you message very seriously, when I hardly know you. I don't know your full name, what you do for living, and where you live.

You can't just put a good message out there and expect people to listen to you and then take your message seriously. Are you Mbowe, Mtikila, Nnauye, Zitto or Makongoro? We don't know.

I don't condone what Zitto says. But the fact that he has put his real name on line and is talking to people directly, he's a chance to convey his distructive message more efficiently than you.

Zakumi, pengine nikuulize:

1. Kwanini serikali ya ccm imekuja na muswaada wa kudhibiti mitandao ya kijamii?
2. Kwanini Zitto, Nape, Mwigulu, January wanatumia muda wao mwingi sana kwenye mitandao ya kijamii kuliko field? Kila siku wapo kwenye social media, lakini sio kila siku wapo on the ground.
3. Kwanini Zitto amekuwa anatumia sana mitandao ya jamii to debut his strategies kuliko in the field?
4. Wawakilishi wa wananchi (the so called uneducated/underprivileged) ni wabunge wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Ni kwanini wabunge wengi huguswa sana na mara nyingine kulalamika juu ya mijadala inayoendelea kwenye mitandao ya kijamii, hasa Jamiiforums?
 
Zitto alisema yafuatayo:

"Mkoa wa Mwanza una rasilimali nyingi, lakini ni mkoa wa 13 katika ukuwaji kimaendeleo, huku mkoa wa Kilimanjaro wenye rasilimali chache ni wa pili kimaendeleo nchini".

Mbowe alisema yafuatayo:

"Wasukuma Mungu amewapa bahati sana,amewapa Ng'ombe,Madini,lakini nyie ni maskini sana kuliko kabila lolote Tanzania kwa zaidi ya miaka 50."

Kweli hauoni tofauti ya kauli hizi mbili?

Tofauti ipo MBOWE anatuaminisha kuwa wasukuma ni masikini kuliko kabila lolote Tanzania,hii ni kauli ya uchochezi juu ya kabila la wasukuma,je makabila mengine yanayoishi kanda ya ziwa,ikitokea wanauwezo ilo kabila mfano wachaga,je haitatokea kama south Africa,kuona makabila mageni yakiwa yana maendeleo hapo kanda ya ZIWA au sababu watu wana mahaba na mbowe hainokeni,hatujengi Taifa kwa mtindo huo
 
Tofauti ipo MBOWE anatuaminisha kuwa wasukuma ni masikini kuliko kabila lolote Tanzania,hii ni kauli ya uchochezi juu ya kabila la wasukuma,je makabila mengine yanayoishi kanda ya ziwa,ikitokea wanauwezo ilo kabila mfano wachaga,je haitatokea kama south Africa,kuona makabila mageni yakiwa yana maendeleo hapo kanda ya ZIWA au sababu watu wana mahaba na mbowe hainokeni,hatujengi Taifa kwa mtindo huo

Ni vyema pia ujadili zitto anatuaminisha nini ili twende sawa. usijadili upande wa mbowe tu.
 
Wanabodi,

Mimi nilikuwa sijafika hapa kwa muda kujadili maswala haya ambayo kwenu wengi yamewatatiza. lakini binafsi yangu hakuna ubaya kabisa kisiasa ni lugha ambayo lazima wanasiasa waitumie, na kuwa hapindishi pindishi, wala kuuma uma maneno.

Swala la Zitto na Shinyanga.
Ni muhimu mwanasiasa kutumia vigezo hai, haya tunaposema kwamba Tanzania na Singapore zilikuwa sawa kiuchumi mwaka 1964 lakini leo Tanzania ni maskini tukiwa na rasilimali na maliasili zaidi ya Singapore ambayo wao wametajirika haina maana tunatumia ubaguzi wa aina fulani. Hapa hakuna nia mbaya yoyote ila lengo ni kuonyesha ubovu wa mipango yetu ya maendeleo kwa kutumia takwimu zinazo thibitisha.

Na ikumbukwe tu kwamba Zitto ameyazungumza haya kutokana na Takwimu zetu wenyewe hivyo ukitaka kusahihisha lolote anza na takwimu kwa nini wameonyesha hivyo! Na zipo Takwimu zinazoonyesha Shinyanga kielemu wako nyuma zaidi ya Mikoa mingine na unaweza kuitumia kutolea mfano kwa lengo lile lile la kuwataarifu wananchi jinsi sera za chama tawala hazikuweza kuwafikia. Na wigo ni kubwa sana toka Umaskini, Ujinga, maradhi na huduma muhimu ni wajibu wa kila mwanasiasa kuzitumia kama wito kwa wananchi kwamba matatizo yao unayafahamu. Hata ile Apartheid tulipambana na utawala wa Kikaburu sio raia wa Kizungu na tulisema wazi wazungu wanatuibia maliaasili zetu kwenda kuejnga Ulaya, haikuwa na maana tunawabagua ama tunaijenga chuki baina ya waafrika na wazungu! Walotubagua ni wao sisi tumeelezea ukweli tu.. Facts lazima tuziseme iwe kuna Ubaguzi ama ni mfumo mbaya wa kisera as long as it's proven..

Hivyo, kama mtasema kweli mnakereka na swala la Ukabila wakati Zitto kasema Shinyanga, iweje Mbowe alosema WASUKUMA wala sio SHINYANGA hakuwa na Ukabila zaidi ya Zitto. jamani wanasiasa wanaweza cheza na wananchi kwa kutambua asili yao, Mbowe anaweza simama Usukumani na akaanza kwa kuwasalimia kwa Kisukuma, hii haina maana kwa sababu yeye Mchagga basi anawadharau bali anatambua mila na tamaduni zao.

Mwisho swala la Ugawanaji wa mapato.
Hili limekuwa tatizo la nchi za Kiafrika toka tupate Uhuru kwa sababu adui yetu mkubwa ni UMASKINI wenyewe. Ni vigumu sana kwa nchi maskini kuweza kuutumia vizuri mfumo wa Kibepari katika ugawanaji wa mapato. Kila Kiongozi hasa baada ya kuingia Ubepari anataka atoke yeye kwanza, kisha familia na ndugu zake, halafu kabila lake na baadaye ndio atazame marafiki zake na kadhalika. Ni vigumu sana kwa mtu maskini kutazama ugawanaji wa kidogo kilichopatikana kwa wote wenye njaa. Ndio maana mimi hutumia mifano hai ya "Sinia la Pilau" ktk Maulidi au Hitma majumbani kwetu, mnajua tunavyoshindwa kuwa na ustaarabu wa kugawana nyama na wali toka sinia moja!.. Njaa ni sawa na Umaskini.

Na mfumo wetu wa Kibepari ambao hauna miiko isipokuwa tunaamini katika soko huria hutoa miaya na ruksa ya rushwa, ufisadi ktk watu kushindana sio katika uzalishaji bali katika kunyang'anyana mapato. Maskini azalishe ninii jimboni kwake ambako hakuna maliasili? Na hata kama zipo hana mtaji wa kuweka Miundombinu. Hivyo inamlazimu kujipa shibe yeye kwanza maana waswahili wanasema huwezi kufundisha ukiwa na tumbo tupu. Vipaumbele vyetu vimetokana na SHIDA badala ya MAHITAJI na ndio maana hufukia kula hadi MBEGU au MTAJI kwa sababu Maskini hatazami ya kesho isipokuwa shida zake za shibe ni LEO.

Ubepari unawezekana tu pale ambapo hapana njaa, wenzetu wana miiko inayodai uadilifu, uwajibikaji na usawa na kikubwa zaidi ambacho wenzetu wa mataifa ya juu wamekiweza ni kwamba hakuna kiongozi ambaye atakuwa juu ya sheria, hivyo Uzalendo unakuwa zao la sheria zilizowekwa. Waarabu na Wayahudi waliamini Ukisha wambia watu ya kwamba ukiiba utakatwa mkono basi hutokea wizi ukapotea wenyewe kwa sababu wanaamini mtu ukiwa na shida ukiomba utasaidiwa kwa nini uibe? Kwa hiyo lengo kuu la sheria ile ilikuwa kusimamisha uadilifu kama una shida ama njaa omba watu wakusaidie badala ya kuiba!.

Kwa hiyo swala la ugawaji wa mapato kulingana na madai ya Zitto nadhani alichokitumia hapa ni muundo wa serikali 3 za muungano wa shirikisho ambao kama sikosei wana mfumo maalum unaogawanyisha mapato bila hata kuleta maswali na hoja za maswala kama haya. Naweza sema mathlan Kila jimbo hurudishiwa asilimia 50 ya mchango wake mfuko wa Taifa, na kisha pengine asilimia 50 hutolewa kutokana na idadi (Population) ya wananchi na kadhalika. Kwa hiyo kila Mkoa ama jimbo hujua mwaka huu tumezalisha kiasi kadhaa na tunategemea kuwa na mtaji kiasi kadhaa, tutaweza wekeza hapa na pale kukuza uzalishaji mwaka ujao, mbele ya matumizi ya mwaka ujao wanajua watakuwa na kiasi gani, sio sisi unategemea kuisikiliza bajeti ya Bunge kama imegusa jimbo lako. Mnaaza kulalalmikaia na ahadi uliahidi hivi sasa mbona imetokea nini? Mnapigwa usanii mpya.

Hata hivyo yasiwe maelezo mengi yanayochosha, lakini wakubwa zangu kisiasa, hakuna kosa kabisa kwa kiongozi yeyote kukemea serikali kwa kutoa mifano inayowalenga wananchi wake kwa kutumia tofauti zao za kimsingi maadam utafiti umeonyesha hali hiyo. Anaweza kabisa kuwakema Waislaam/wanaume kwa kuwakanya mabaya yao haina maana anawapendelea Wakristu/wanawake ama anaweza mkanya kiongozi wa Kikristu/Kiume haina maana ana chuki nao. Hawa wote ni sehemu ya utawala wake na anazitambua tofauti zao isipokuwa haelewi kwa nini wametengwa na serikali iliyopo madarakani.
 
Adharusi, Mkandara:

Kwa mujibu wa Zitto (nimenukuu sehemu):

"Huwezi kuwa na mkoa unashika namba 5 kuchangia Pato la Taifa lakini unashika namba 16 kati ya mikoa 21 kwa maendeleo ya watu"].

Hapa Zitto ana maana gani na hili neno "Huwezi"? Analenga kufanikisha nini?

Walengwa hapa ni wananchi maskini wasio na uelewa mpana kuhusu maneno kama ‘pato la taifa'. Sidhani kama Zitto hatambui hilo. Wanachoelewa wananchi walio wengi katika hadhara hiyo ni kwamba wanapunjwa, wanaonewa, wanabaguliwa, wananyonywa. Wanafanyiwa haya na nani? Kwa hoja ya Zitto, wabaya hawa ni wananchi kutoka mikoa mingine iliyopiga hatua kimaendeleo. Ukweli ni kwamba adui wao namba moja ni sera mbovu za Chama Cha Mapinduzi lakini cha ajabu ni kwamba Zitto hakitaji kabisa CCM katika hoja hii wakati CCM ndio ‘the common denominator'. Ni Ni katika hili ndio maana Nguruvi3 anajadili jinsi gani ACT ni mpini wa CCM kumaliza upinzani kwani badala ya kuungana na ukawa kuelezea wananchi juu ya sera mbovu za CCM, Zitto anakilinda CCM na kuhamishia lawama wananchi wa mikoa mingine ambayo imekuwa na juhudi za aina mbalimbali kujiendeleza. Hii ni hatari sana.

Zitto anaendelea kusema:

"Mikoa iliyo nyuma zaidi kimaendeleo ni Kigoma, Singida, Dodoma, Kagera na Tabora".


Kwa kauli hii, Zitto anazidi kuwagawa wananchi. Kauli hii ‘mobilizes' wananchi wasio nacho waungane against wananchi walionacho. Vinginevyo, Zitto alishindwa nini kwenda katika kila mkoa na kujadili matatizo na changamoto zao individually huku akiwashirikisha katika mawazo juu ya the way forward ikiwa ni pamoja na kujadili fursa zilizopo ndani na nje ya mazingira yao?

Hoja hii ya Zitto is very ‘regressive and divisive'. Kwanini nasema hivyo? Ni hivi:

Watanzania ni watoto wa familia moja, kama ilivyo kwa watoto waliozaliwa, kukuzwa na kuishi katika nyumba moja. Kama tunakubaliana katika hilo, basi tutakubaliana pia kwamba haikuwa busara kwa Zitto kuwafananisha watoto wa nyumba moja kwa lugha za kuwagawanya, lugha yenye kuonyesha kwamba kuna watoto ambao wanapendelewa na ambao wanaendelea kwa kunyonya wengine. Nyumba inayoongozwa kwa namna hii kamwe haiwezi kudumu. Itabomoka kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Zitto anaendelea:

"Mikoa yenye mchango mdogo zaidi kwenye Pato la Taifa ni Pwani (1.85%), Lindi (1.89%) na Singida (1.92%). Hata hivyo Lindi inashika nafasi ya 9 kwa Maendeleo, juu ya Shinyanga inayochangia 6% katika GDP."

Zitto hapa anazidi kujenga uhasama na uadui mkubwa ambao moto wake kuuzima itakuwa ni vigumu sana mbeleni. Tumeshajadili kwamba wananchi hawa hawana uelewa mpana juu ya concepts anazotumia Zitto. Lakini awali tuliona pia jinsi gani Zakumi alivyojadili juu ya umuhimu wa wanasiasa to take advantage of illiteracy and ignorance of the masses for political and private gain. Walichoelewa wananchi hapa sana sana ni kwamba wapo wananchi mikoani ambao mchango wao ni mdogo sana lakini wanafaidika au wanakula zaidi kutokana na kuwanyonya wengine. Kwa mfano, zitto anawaeleza wananchi kwamba wana-Lindi hawana mchango wowote wa maana katika pato la taifa lakini wana maendeleo makubwa kuliko wasukuma wa Shinyanga ambao mchango wao ni mkubwa zaidi ya wana-lindi.

Zitto anazidi kusema kwamba:

"Dar inaongoza kwa kuchangia Pato la Taifa ambapo mchango wake kwenye pato la Taifa ni 16.9%."

Hapa, zitto hafafanui kwamba Dar-es-salaam ni mkoa wa wananchi wote kama ilivyokuwa kwa wananchi wa mikoa mingine. Hawaelezi wananchi kwamba wana ruhusiwa kwenda popote nchini kutumia fursa zilizopo. Katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania inatoa haki kwa raia yeyote kuishi mahali popote na kufanya shughuli yoyote ili mradi havunji sheria za nchi. Ndio maana ni kawaida kwa mikoa Fulani Fulani kuwa na watu wenye uwezo mkubwa wa kipato au kiuchumi ingawa kiasili, hawatoki mikoa hiyo. Zitto akija kuhutubia Jangwani atawaeleza nini Wazaramo? Kwani ni wazi kwamba kwa DSM, wanao ongoza kwa mafanikio ya kiuchumi ni wananchi kutoka mikoa mingine kabisa, sio wazaramo?

Zitto anaendelea kusema:

"DSM inafuatiwa na Mwanza [kabla haijagawanywa] 9.2%.

Kauli ya hatari sana. Maana ya ‘kabla haijagawanywa' ni nini? Na kabla haijagawanywa kwenda wapi au kuchukuliwa na nani na kwa sababu gani? Zitto haji na ufafanuzi wenye mantiki ya kiuchumi, badala yake anakuja na uchochezi wa kiwango kikubwa sana.

Zitto anaendelea kusema:

"…Mbeya 7.3%, Shinyanga 6% na Iringa 5.3%. Hata hivyo Shinyanga ni mmoja wa mikoa yenye umasikini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 kuchangia Pato la Taifa."

Huu ni mwendelezo wa ujenzi wa chuki, uadui, mgawanyiko na uhasama mkubwa sana baina ya wananchi wa Shinyanga na Mikoa mingine kama tulivyojadili.

Zitto anamalizia kwa kusema:

"Mikoa yenye Maendeleo zaidi ni Arusha, Kilimanjaro na Dar es Salaam. Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7".

Hapa, Zitto haelezi ni kwanini mikoa hii ina maendeleo zaidi. Kwa uwazi kabisa, Zitto hapa anachonganisha mikoa ya Kilimanjaro na Arusha dhidi ya mikoa mingine. Kwa hoja hii, tafsiri nyepesi kabisa kwa wananchi husika ni kwamba Kilimanjaro na Arusha ni mikoa ambayo haina michango ya maana katika pato la taifa lakini wananchi wake wamepiga hatua kimaendeleo kwa njia za hila hila, unyonyaji na upendeleo.

Tusikubali Zitto atugawe kama taifa.
 
Last edited by a moderator:
Zitto alisema yafuatayo:

"Mkoa wa Mwanza una rasilimali nyingi, lakini ni mkoa wa 13 katika ukuwaji kimaendeleo, huku mkoa wa Kilimanjaro wenye rasilimali chache ni wa pili kimaendeleo nchini".

Mbowe alisema yafuatayo:

"Wasukuma Mungu amewapa bahati sana,amewapa Ng'ombe,Madini,lakini nyie ni maskini sana kuliko kabila lolote Tanzania kwa zaidi ya miaka 50."

Kweli hauoni tofauti ya kauli hizi mbili?

Mchambuzi.

Msome Mbowe hapa chini.


Chama cha demokrasia na maendeleo ( CHADEMA ), kimesema hakuna sababu ya wananchi wa kabila la wasukuma katika mikoa ya Shinyanga na Simiyu kuendelea kuwa maskini, wakati almasi peke yake iliyoanza kuchimbwa tangu mwaka 1942 katika mgodi wa mwadui, ingeweza kuboresha maisha yao mbali na wingi wa mifugo pamoja na uzalishaji wa zao la pamba na kusema wakati umefika kwa wananchi wa kabila hilo kutumia raslimali walizonazo katika kupiga vita umaskini.Akihutubia mkutano wa hadhara katika uwanja wa lagangabilili wilayani itilima, mwenyekiti wa taifa wa chadema Mh. Freeman Mbowe amesema kwamba licha ya mikoa ya usukumani kusifika kwa uzalishaji wa pamba iliyopelekea kujengwa kwa viwanda vitano vya nguo ambavyo ni pamoja na Mwatex,Mutex,Kilitex,Kunguratex na urafiki wakati wa enzi za mwalimu Julius Nyerere, lakini amedai kuwa bado wasukuma ni maskini ukilinganisha na makabila mengine nchini kwa miaka 53 baada ya uhuru.Mh. Mbowe ambaye pia ni kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni akizungumzia mpango wa Chadema unaojulikana kama ‘FTP 200’ unaokusudia kuwafanya vijana wa kitanzania kuwa wazalendo kwa nchi yao katika kuwaepusha na vikundi vya kihalifu kama vile panya Road na Mbwa Mwitu kwa kusaidiana na jeshi la polisi kufichua vitendo vya uhalifu,amesema pindi ukikamilika mwezi juni mwaka huu utawafikia vijana zaidi ya milioni moja nchi nzima ambao wanaishi bila ajira rasmi kupata stadi za ujasiriamali,Elimu ya afya,nidhamu na kupiga vita Rushwa katika jamii.-Katika hatua nyingine wazee wa kabila la kisukuma wilayani humo wamemsimika mwenyekiti huyo wa taifa Chadema na mbunge wa jimbo la hai Mh.Freeman Mbowe kuwa Chifu wa kabila hilo baada ya kumvisha mgolole pamoja na kumkabidhi mkuki, ngao na kibuyu – huku wazee hao wakimpatia jina la mayengo na kutaka vyombo vya dola kutenda haki kwa vyama vyote vitakavyoshiriki katika uchaguzi mkuu.


Tusikubali Mbowe atugawe Watanzania.
 
Last edited by a moderator:
Wanaukumbi.

Someni kidogo ilani ya Chadema hapa chini inaongelea Mikoa masikini uliyasahulika kwa umasikini ambayo Zitto aliiongelea kwenye hotuba yake.


CHADEMA itaweka mkazo katika mambo yafuatayo:• Tutaongeza pato la mshahara ili kuhakikisha kuwa mfanyakazi anapata kiwango ambacho kinakidhi mahitaji ya maisha katika mazingira yetu. Ili kuondoa manung’uniko ya mara kwa mara kwa wafanyakazi yanayohusu mishahara na marupurupu, Serikali ya CHADEMA itaanzisha utaratibu wa kupandisha mishahara kwa kutumia kanuni inayoendana na ongezeko la mfumuko wa bei na upandaji wa gharama za maisha. Hii inamaanisha kuwa mishahara itapanda kulingana na kupanda kwa mfumuko wa bei na gharama za maisha.• Tutakomesha pengo lililojengwa la utofauti wa mishara miongoni mwa watumishi wa umma. Pengo la kipato linasababisha manung’uniko na kukata tama miongoni mwa watendaji wa sekta umma, kunakosababisha udokozi, rushwa na hatimaye wizi wa mali za umma.• Ili kumpunguzia mzigo wa kodi wafanyakazi, ambao wanalipa kodi nyingi zaidi kuliko wananchi wengine, tutapunguza kodi ya pato itokanayo na mshahara(PAYE) kutoka asilimia 14 ya sasa hadi asilimia 10.• Tutatoa msukumo na kipaumbele kwa wafanyakazi wanaotoa huduma muhimu za jamii kama vile walimu, madaktari na wauguzi. Mishahara na posho za walimu na watumishi wengine katika huduma nyeti za afya wa maeneo ya mikoa iliyonyuma kimaendeleo haitakatwa kodi ya mapato (PAYE). Mikoa hiyo ni Mtwara, Lindi, Kigoma, Manyara, Rukwa na Katavi.


Huku siyo kuwagawa Watanzania au maneno ya Zitto ndiyo yanawagawa Watanzania.
 
Mchambuzi.

Hapa chini samahani kidogo nimeweka kipande cha huu uzi wako wa 2013.



Leo hii, Tanzania inakadiriwa kuwa na utajiri wa gesi asilia unao karibia-43 trillion cubic feet; Hifadhi hii inakadiriwa kuwa na thamani ya dollar za kimarekani karibia-Billion 450, ambayo ni sawa na karibia-Shillingi trilioni 730; US geological Survey inakadiria uwepo wa hifadhi kubwa zaidi na kwamba tafiti zinazoendelea zitabainisha uwepo wa gesi wa karibia-441 trillion Cubic feet; Nyingi ya gesi hii inakadiriwa kuwepo katika maeneo ya Pwani ya Afrika mashariki, huku Tanzania ikiwa ni sehemu kubwa ya eneo hilo; Ni kwa maana hii, inakadiriwa kwamba miaka kumi ijayo, Tanzania itakuwa ni moja ya mataifa yanayozalisha gesi asilia kwa wingi Duniani; Na ni kwa mantiki hii ndio maana kampuni mbalimbali za sekta ya gesi duniani kama vile British Gas imejipanga kuwekeza Tanzania Dollar billioni 15 (kumi na tano) sawa na shillingi trilioni 24 (ishirini) na nne kwenye sekta ya gesi nchini katika kipindi cha miaka kumi ijayo;-Tufahamu kwamba Dollar Bilioni Kumi na Tani ni zaidi ya nusu ya pato la sasa la nchi (GDP) ya Tanzania!!!Migogoro yote itokanayo na rasilimali aka ‘natural resource curse’, chanzo chake huwa ni tatizo la-rent-seeking behavior-na short-terms gains on part of politicians and other public officials;Watanzania wanazidi kuchoka kuishi na ahadi za kisiasa majukwaani wakati wa kampeni za chaguzi kuu mbalimbali; Vinginevyo katika suala la rasilimali kama hizi (gesi), suala la faida kwa wananchi ni suala la common sense, kwani halihitaji rocket science kutambua kwamba ukosefu wa culture of transparency katika mikataba, hasa isiyoshirikisha wadau; Ndani ya dunia ya leo inayosukumwa na nguvu za utandawazi, wananchi hawahitaji kufundishwa na mtu yoyote kutambua kwamba the expected ‘revenues and investments’ from Gas, Oil, or Gold ni lazima zisaidie nchi to shift towards industrialization na kuzalisha ajira, huku pia mapato kupitia kodi yakienda kuboresha miundo mbinu, sekta za afya, elimu, na maji; Na katika haya, ni common sense kwamba wananchi wa kupewa kipaumbele ni wa vijijini, lakini hasa wale ambao wapo nyuma kimaendeleo kulinganisha na wananchi wa mikoa mingine;Sasa inapotokea kwamba rasilimali husika inatokea maeneo yao lakini hakuna transparency katika mchakato mzima wa utilization ya rasilimali husika, migogoro lazima itajitokeza; Ni kwa mantiki hii, wananchi wa kupewa kipaumbele katika hili ni wananchi wa mikoa ya kusini ambao kwa zaidi ya miaka 50 wamekuwa hawapewi kipaumbele in terms of economic development ikilinganishwa na sehemu nyingine nyingi za nchi; Kwa maana hii, ingawa ni sahihi kusema kwamba Gesi ya Mtwara ni ya Watanzania wote, lakini pia ni sahihi kusema kwamba kwa simple logic tu ya ‘sustainability’ – kisiasa, kiuchumi, kijamii na kimazingira, faida ya gesi hii ni lazima iwe wazi kwanza pale inapotoka (source); Hivi ndivyo mataifa yaliyoendelea yalifanya; Kwa kuzingatia tu ‘simple economics’, mkoa wa Mtwara una mazingira yote muhimu yanayokidhi approach ya namna hii; kwa mfano, Mtwara tayari kuna Bandari, kuna nguvu kazi iliyo ‘idle’ ambayo kutokana na sera mbovu za serikali, nguvu kazi hiyo imegeuka kuwa wachuuzi nchi nzima, pia Mtwara ina eneo kubwa la Ardhi kwa ajili ya maendeleo ya Kilimo na Viwanda; Muhimu zaidi, Mtwara ni a better gateway kwa maendeleo ya uchumi ndani ya SADC Zone; Ni masuala kama haya ndio yanawia vigumu watu wengi kuamini kwamba ni Lazima gesi itokea kwanza Mtwara kwenda sehemu nyingine ya nchi, halafu wananchi wa mtwara waje kupata faida za gesi hii baadae; Hata simple economics zinazozingatia factors nilizojadili hapo juu zinathibitisha kwamba approach ya-is not the best alternative kiuchumi;-pengine;-it’s the best alternative kisiasa,-hasa in the context of rent seeking behavior and short terms gains kwa wahusika;Ebu tuujadili mkoa wa Mtwara KidogoDuniani kote, GDP Per Capita ni kiashiria (indicator) cha hali ya wananchi kiuchumi i.e. kipato/income. Zifuatazo ni takwimu za pato la kila Mtanzania kwa mwaka 2010 - Nimechukua kumi bora na kuziweka in ‘order of ranking’:Jedwali la Kwanza: Vipato Vya Watanzania Kulingana na Mikoa Wanayotoka (GDP Per Capita)MKOAPATO LA KILA MWANANCHI KWA MWAKA (T.Shillings) (2010)1. Dar-es-salaam1,740,947 (million)2. Iringa979,882 (laki)3. Arusha945,4374. Mbeya892,8775. Kilimanjaro879,4326. Ruvuma866,1917. Mwanza829,6478. Tanga763,2039. Morogoro744,23410. Rukwa726,658Source: Bajeti Za Serikali.Tukitizama jedwali namba moja, Mikoa ya Kusini (kama Mtwara) haipo katika orodha hii;-Je, hii ni kwa sababu gani? Pengine tutazidi elewa ndani ya mjadala wetu baadae, lakini kwa sasa tutazame takwimu nyingine:Je, ni Mikoa ipi inachangia Zaidi Kwenye Pato la Taifa/Inayozalisha Bidhaa na Huduma Nyingi Zaidi Tanzania (GDP)?Jedwali la Pili: Kumi Bora Kwa Uzalishaji Wa Bidhaa na Huduma (GDP).MKOAUZALISHAJI WA BIDHAA NA HUDUMA (GDP) T.shillings (2010)1. Dar-es-salaamT.sh 5.4 trillioni2. MwanzaT.sh 3.0 trillioni3. MbeyaT.sh 2.3 trillioni4. ShinyangaT.sh 1.9 trillioni5. IringaT.sh 1.7 trillioni6. MorogoroT.sh 1.6 trillioni7. ArushaT.sh 1.5 trillioni8. KilimanjaroT.sh 1.3 trillioni9. KageraT.sh 1.3 trillioni10. RuvumaT.sh 1.2 trillioni11. TaboraT.sh 1.2 trillioni12. RukwaT.sh 1.1 trillioniSource: Bajeti Za Serikali.Vile vile, tukitazama jedwali la pili hapo juu, mikoa ya kusini (e.g. Mtwara) pia haipo katika kumi bora katika mchango wa uzalishaji na pato la Taifa; Swali linalofuata ambalo ni la kimantiki zaidi hasa kiuchumi kuliko siasa ni je:Kwanini sasa tusitumie fursa hii ya gesi asilia mikoa ya kusini kuigeuza mikoa hii na yenyewe iwe na mchango kwa pato la taifa?Binafsim nadhani ugunduzi wa gesi ya Asilia ndio fursa pakee iliyopo ya kuifanya mikoa ya kusini nayo iwe na mchango mkubwa kwa pato la taifa kupitia uwekezaji utakaotokana na mapato ya gesi; Nasema kwamba ni fursa pekee kwa sababu kwa miaka zaidi ya hamsini, wananchi wa kusini kama nilivyokwisha jadili, wamekuwa wakipuuzwa kimaendeleo; Inaonekana kwamba sera ya serikali ni kuwekeza katika maeneo yenye michango mikubwa kwa pato la taifa (GDP contribution) na ushahidi katika hili upo kwenye takwimu juu ya vipaumbele vya bajeti kwa mikoa mbalimbali kila mwaka; Ushahidi wa hili upo katika jedwali lifuatalo:Jedwali la tatu: Mikoa Yenye Michango Midogo Katika Uzalishaji/Pato la Taifa (bottom 5).MKOAUZALISHAJI WA BIDHAA NA HUDUMA (GDP) T.shillings (2010)1. SingidaT.sh Billioni 6612. PwaniT.sh Billioni 6083.-LindiT.sh Billioni 6214. KigomaT.sh Billioni 9065.MtwaraT.sh Billioni 927Source: Bajeti Za Serikali.Tukitazama jedwali la tatu, tunaona Mtwara, Lindi na mikoa mingine kwamba ni ya mwisho kabisa katika kuchangia pato la taifa (GDP contribution in terms of production of Goods and Services); Note pia Kigoma ni sehemu ya orodhahii na hatupo mbali na mgogoro mwingine mkubwa katika mkoa huu; Vinginevyo si ajabu ndio maana mikoa hii imekuwa ikitengewa fedha ndogo katika bajeti za kila mwaka kama tunavyoona kwenye jedwali namba nne hapo chini:Jedwali la nne: Mikoa inayotengewa fedha ndogo za Bajeti (bottom five)MKOABAJETI YA MWAKA (T.sh) (2010)1.-MtwaraT.sh Billioni 572. KigomaT.sh Billioni 563. SingidaT.sh Billioni 504. ManyaraT.sh Billioni 545. RukwaT.sh Billioni 49Source: Bajeti Za SerikaliJe ni mikoa gani ambayo inapewa kipaumbele katika kila bajeti? Jibu ni – Mikoa ile ile ambayo ndio inachangia kwa kiasi kikubwa pato la taifa (GDP) kama ambavyo tuliona katika jedwali namba mbili hapo juu; Mikoa hiyo pamoja na kiasi cha fedha wanazotengewa katika bajeti ni kama ifuatavyo:Jedwali la tano: Orodha ya kumi bora – vipaumbele katika Bajeti Ya Serikali.MKOABAJETI YA MWAKA (T.sh)1. Dar-es-salaamT.sh Billioni 1542. MwanzaT.sh Billioni 1353. MbeyaT.sh Billioni 1094. ShinyangaT.sh Billioni 1045. KilimanjaroT.sh Billioni 1006. TangaT.sh Billioni 927. KageraT.sh Billioni 888. MorogoroT.sh Billioni 869. IringaT.sh Billioni 8510. ArushaT.sh Billioni 81Source: Bajeti Za SerikaliHitimishoNjia pekee ya ya serikali kutegua bomu lililopo ambalo linaweza pelekea nchi yetu kuingia katika machafuko yasiyokuwa ya lazima ni kwa kuzingatia hoja nilizojenga huko juu; Nimeelezea kwa hoja na takwimu juu ya jinsi gani mikoa mingi ikiwepo ya kusini mwa Tanzania imekuwa ikipuuzwa kimaendeleo kwa miaka zaidi ya hamsini kutokana na sababu moja tu kubwa --Kutokuwa na mchango wa maana kwa pato la taifa; Kama nilivyobainisha kwa hoja na takwimu, mikoa inayopewa kipaumbele katika bajeti zetu ni ile inayochangia zaidi katika pato la taifa (GDP); Kwa mantiki hii, ni muhimu kwa Serikali kusikiliza vilio vya wananchi wa kusini ili na wao wawe sehemu ya mikoa iliyopo katika jedwali namba tano hapo juu; Vinginevyo, kama nilivyokwisha sema awali, the government is shooting on its own foot, na mbaya zaidi, its prescribing tiba ambayo sio sahihi, huku kidonda kikizidi kuchimbika; Sidhani kama serikali ina nia ya kuendelea kuzembea katika hili na kupelekea mguu kukatwa na madaktari kama njia pekee itakayobakia kutibu tatizo;
 
Last edited by a moderator:
Mchambuzi.

Hapa chini samahani kidogo nimeweka kipande cha huu uzi wako wa 2013.



Leo hii, Tanzania inakadiriwa kuwa na utajiri wa gesi asilia unao karibia-43 trillion cubic feet; Hifadhi hii inakadiriwa kuwa na thamani ya dollar za kimarekani karibia-Billion 450, ambayo ni sawa na karibia-Shillingi trilioni 730; US geological Survey inakadiria uwepo wa hifadhi kubwa zaidi na kwamba tafiti zinazoendelea zitabainisha uwepo wa gesi wa karibia-441 trillion Cubic feet; Nyingi ya gesi hii inakadiriwa kuwepo katika maeneo ya Pwani ya Afrika mashariki, huku Tanzania ikiwa ni sehemu kubwa ya eneo hilo; Ni kwa maana hii, inakadiriwa kwamba miaka kumi ijayo, Tanzania itakuwa ni moja ya mataifa yanayozalisha gesi asilia kwa wingi Duniani; Na ni kwa mantiki hii ndio maana kampuni mbalimbali za sekta ya gesi duniani kama vile British Gas imejipanga kuwekeza Tanzania Dollar billioni 15 (kumi na tano) sawa na shillingi trilioni 24 (ishirini) na nne kwenye sekta ya gesi nchini katika kipindi cha miaka kumi ijayo;-Tufahamu kwamba Dollar Bilioni Kumi na Tani ni zaidi ya nusu ya pato la sasa la nchi (GDP) ya Tanzania!!!Migogoro yote itokanayo na rasilimali aka ‘natural resource curse’, chanzo chake huwa ni tatizo la-rent-seeking behavior-na short-terms gains on part of politicians and other public officials;Watanzania wanazidi kuchoka kuishi na ahadi za kisiasa majukwaani wakati wa kampeni za chaguzi kuu mbalimbali; Vinginevyo katika suala la rasilimali kama hizi (gesi), suala la faida kwa wananchi ni suala la common sense, kwani halihitaji rocket science kutambua kwamba ukosefu wa culture of transparency katika mikataba, hasa isiyoshirikisha wadau; Ndani ya dunia ya leo inayosukumwa na nguvu za utandawazi, wananchi hawahitaji kufundishwa na mtu yoyote kutambua kwamba the expected ‘revenues and investments’ from Gas, Oil, or Gold ni lazima zisaidie nchi to shift towards industrialization na kuzalisha ajira, huku pia mapato kupitia kodi yakienda kuboresha miundo mbinu, sekta za afya, elimu, na maji; Na katika haya, ni common sense kwamba wananchi wa kupewa kipaumbele ni wa vijijini, lakini hasa wale ambao wapo nyuma kimaendeleo kulinganisha na wananchi wa mikoa mingine;Sasa inapotokea kwamba rasilimali husika inatokea maeneo yao lakini hakuna transparency katika mchakato mzima wa utilization ya rasilimali husika, migogoro lazima itajitokeza; Ni kwa mantiki hii, wananchi wa kupewa kipaumbele katika hili ni wananchi wa mikoa ya kusini ambao kwa zaidi ya miaka 50 wamekuwa hawapewi kipaumbele in terms of economic development ikilinganishwa na sehemu nyingine nyingi za nchi; Kwa maana hii, ingawa ni sahihi kusema kwamba Gesi ya Mtwara ni ya Watanzania wote, lakini pia ni sahihi kusema kwamba kwa simple logic tu ya ‘sustainability’ – kisiasa, kiuchumi, kijamii na kimazingira, faida ya gesi hii ni lazima iwe wazi kwanza pale inapotoka (source); Hivi ndivyo mataifa yaliyoendelea yalifanya; Kwa kuzingatia tu ‘simple economics’, mkoa wa Mtwara una mazingira yote muhimu yanayokidhi approach ya namna hii; kwa mfano, Mtwara tayari kuna Bandari, kuna nguvu kazi iliyo ‘idle’ ambayo kutokana na sera mbovu za serikali, nguvu kazi hiyo imegeuka kuwa wachuuzi nchi nzima, pia Mtwara ina eneo kubwa la Ardhi kwa ajili ya maendeleo ya Kilimo na Viwanda; Muhimu zaidi, Mtwara ni a better gateway kwa maendeleo ya uchumi ndani ya SADC Zone; Ni masuala kama haya ndio yanawia vigumu watu wengi kuamini kwamba ni Lazima gesi itokea kwanza Mtwara kwenda sehemu nyingine ya nchi, halafu wananchi wa mtwara waje kupata faida za gesi hii baadae; Hata simple economics zinazozingatia factors nilizojadili hapo juu zinathibitisha kwamba approach ya-is not the best alternative kiuchumi;-pengine;-it’s the best alternative kisiasa,-hasa in the context of rent seeking behavior and short terms gains kwa wahusika;Ebu tuujadili mkoa wa Mtwara KidogoDuniani kote, GDP Per Capita ni kiashiria (indicator) cha hali ya wananchi kiuchumi i.e. kipato/income. Zifuatazo ni takwimu za pato la kila Mtanzania kwa mwaka 2010 - Nimechukua kumi bora na kuziweka in ‘order of ranking’:Jedwali la Kwanza: Vipato Vya Watanzania Kulingana na Mikoa Wanayotoka (GDP Per Capita)MKOAPATO LA KILA MWANANCHI KWA MWAKA (T.Shillings) (2010)1. Dar-es-salaam1,740,947 (million)2. Iringa979,882 (laki)3. Arusha945,4374. Mbeya892,8775. Kilimanjaro879,4326. Ruvuma866,1917. Mwanza829,6478. Tanga763,2039. Morogoro744,23410. Rukwa726,658Source: Bajeti Za Serikali.Tukitizama jedwali namba moja, Mikoa ya Kusini (kama Mtwara) haipo katika orodha hii;-Je, hii ni kwa sababu gani? Pengine tutazidi elewa ndani ya mjadala wetu baadae, lakini kwa sasa tutazame takwimu nyingine:Je, ni Mikoa ipi inachangia Zaidi Kwenye Pato la Taifa/Inayozalisha Bidhaa na Huduma Nyingi Zaidi Tanzania (GDP)?Jedwali la Pili: Kumi Bora Kwa Uzalishaji Wa Bidhaa na Huduma (GDP).MKOAUZALISHAJI WA BIDHAA NA HUDUMA (GDP) T.shillings (2010)1. Dar-es-salaamT.sh 5.4 trillioni2. MwanzaT.sh 3.0 trillioni3. MbeyaT.sh 2.3 trillioni4. ShinyangaT.sh 1.9 trillioni5. IringaT.sh 1.7 trillioni6. MorogoroT.sh 1.6 trillioni7. ArushaT.sh 1.5 trillioni8. KilimanjaroT.sh 1.3 trillioni9. KageraT.sh 1.3 trillioni10. RuvumaT.sh 1.2 trillioni11. TaboraT.sh 1.2 trillioni12. RukwaT.sh 1.1 trillioniSource: Bajeti Za Serikali.Vile vile, tukitazama jedwali la pili hapo juu, mikoa ya kusini (e.g. Mtwara) pia haipo katika kumi bora katika mchango wa uzalishaji na pato la Taifa; Swali linalofuata ambalo ni la kimantiki zaidi hasa kiuchumi kuliko siasa ni je:Kwanini sasa tusitumie fursa hii ya gesi asilia mikoa ya kusini kuigeuza mikoa hii na yenyewe iwe na mchango kwa pato la taifa?Binafsim nadhani ugunduzi wa gesi ya Asilia ndio fursa pakee iliyopo ya kuifanya mikoa ya kusini nayo iwe na mchango mkubwa kwa pato la taifa kupitia uwekezaji utakaotokana na mapato ya gesi; Nasema kwamba ni fursa pekee kwa sababu kwa miaka zaidi ya hamsini, wananchi wa kusini kama nilivyokwisha jadili, wamekuwa wakipuuzwa kimaendeleo; Inaonekana kwamba sera ya serikali ni kuwekeza katika maeneo yenye michango mikubwa kwa pato la taifa (GDP contribution) na ushahidi katika hili upo kwenye takwimu juu ya vipaumbele vya bajeti kwa mikoa mbalimbali kila mwaka; Ushahidi wa hili upo katika jedwali lifuatalo:Jedwali la tatu: Mikoa Yenye Michango Midogo Katika Uzalishaji/Pato la Taifa (bottom 5).MKOAUZALISHAJI WA BIDHAA NA HUDUMA (GDP) T.shillings (2010)1. SingidaT.sh Billioni 6612. PwaniT.sh Billioni 6083.-LindiT.sh Billioni 6214. KigomaT.sh Billioni 9065.MtwaraT.sh Billioni 927Source: Bajeti Za Serikali.Tukitazama jedwali la tatu, tunaona Mtwara, Lindi na mikoa mingine kwamba ni ya mwisho kabisa katika kuchangia pato la taifa (GDP contribution in terms of production of Goods and Services); Note pia Kigoma ni sehemu ya orodhahii na hatupo mbali na mgogoro mwingine mkubwa katika mkoa huu; Vinginevyo si ajabu ndio maana mikoa hii imekuwa ikitengewa fedha ndogo katika bajeti za kila mwaka kama tunavyoona kwenye jedwali namba nne hapo chini:Jedwali la nne: Mikoa inayotengewa fedha ndogo za Bajeti (bottom five)MKOABAJETI YA MWAKA (T.sh) (2010)1.-MtwaraT.sh Billioni 572. KigomaT.sh Billioni 563. SingidaT.sh Billioni 504. ManyaraT.sh Billioni 545. RukwaT.sh Billioni 49Source: Bajeti Za SerikaliJe ni mikoa gani ambayo inapewa kipaumbele katika kila bajeti? Jibu ni – Mikoa ile ile ambayo ndio inachangia kwa kiasi kikubwa pato la taifa (GDP) kama ambavyo tuliona katika jedwali namba mbili hapo juu; Mikoa hiyo pamoja na kiasi cha fedha wanazotengewa katika bajeti ni kama ifuatavyo:Jedwali la tano: Orodha ya kumi bora – vipaumbele katika Bajeti Ya Serikali.MKOABAJETI YA MWAKA (T.sh)1. Dar-es-salaamT.sh Billioni 1542. MwanzaT.sh Billioni 1353. MbeyaT.sh Billioni 1094. ShinyangaT.sh Billioni 1045. KilimanjaroT.sh Billioni 1006. TangaT.sh Billioni 927. KageraT.sh Billioni 888. MorogoroT.sh Billioni 869. IringaT.sh Billioni 8510. ArushaT.sh Billioni 81Source: Bajeti Za SerikaliHitimishoNjia pekee ya ya serikali kutegua bomu lililopo ambalo linaweza pelekea nchi yetu kuingia katika machafuko yasiyokuwa ya lazima ni kwa kuzingatia hoja nilizojenga huko juu; Nimeelezea kwa hoja na takwimu juu ya jinsi gani mikoa mingi ikiwepo ya kusini mwa Tanzania imekuwa ikipuuzwa kimaendeleo kwa miaka zaidi ya hamsini kutokana na sababu moja tu kubwa --Kutokuwa na mchango wa maana kwa pato la taifa; Kama nilivyobainisha kwa hoja na takwimu, mikoa inayopewa kipaumbele katika bajeti zetu ni ile inayochangia zaidi katika pato la taifa (GDP); Kwa mantiki hii, ni muhimu kwa Serikali kusikiliza vilio vya wananchi wa kusini ili na wao wawe sehemu ya mikoa iliyopo katika jedwali namba tano hapo juu; Vinginevyo, kama nilivyokwisha sema awali, the government is shooting on its own foot, na mbaya zaidi, its prescribing tiba ambayo sio sahihi, huku kidonda kikizidi kuchimbika; Sidhani kama serikali ina nia ya kuendelea kuzembea katika hili na kupelekea mguu kukatwa na madaktari kama njia pekee itakayobakia kutibu tatizo;

Ndio, Ndio, Ndio Mkuu Ritz. Kama umenisoma vyema, common denominator ni Serikali Ya Chama cha mapinduzi. Kwanini Zitto haoni ukweli huo?
 
Last edited by a moderator:
Ritz, nisaidie Majibu hapa:

*Kwanini Zitto haoni kwamba common denominator katika hoja yake Ya uneven development nchini ni sera Mbovu za CCM?

Mchambuzi.

Msome Zitto hapa chini kiduchu.



Utajiri wa Gesi Asilia: Tuwasikilize Watanzania wa Mtwara na Lindi. TusipuuzeMaandamano ya amani yaliyofanyika mjini Mtwara siku ya alhamis wiki hii yameibua hoja mbali mbali kutoka kwa viongozi, wananchi, vyombo vya habari na mjadala wa siku nzima kwenye mitandao ya kijamii hasa facebook, twitter na JamiiForums. Mkuu wa Mkoa wa Mtwara ameita waandamanaji wapuuzi na Waziri wa Nishati na Madini amewaita watu hatari na wahaini. CHADEMA tumetoa kauli kupitia kwa Waziri Kivuli wa Nishati na Madini kwamba udhaifu wa utendaji serikalini ndio chanzo cha maandamano haya.Lakini kuna tatizo kubwa zaidi ambalo linaonekana siyo katika sekta hii tu bali pia katika sekta nyingine ambapo tunaona matokeo yake katika maisha ya watu wetu na naweza kusema ni dalili za kushindikana kwa sera za CCM. Sera hizi ndizo ambazo zimelifikisha taifa hili hadi hapa. Kama hadi wananchi wa Mtwara ambako kwa muda mrefu imekuwa ni ngombe ya CCM wanaanza kuhoji matokeo ya sera za chama tawala basi ni dalili kuwa Watanzania wamefungua macho yao na wanaona.Wanaona katika nishati, wanaona katika utawala bora, wanaona katia elimu (kuanzia ya msingi hadi ya juu kabisa!), wanaona katika afya, wanaona katika utendaji wa jeshi la polisi wanaona katika madini. Sera za CCM zimeshindwa. Zimeshindwa kuinua maisha yao na zinaonekana kuendelea kushindwa.Mtwara na Lindi wanataka nini?Watu wa Mtwara wanataka gesi isiondoke Mtwara na badala yake viwanda na mitambo ijengwe Mtwara kisha kama ni umeme au mbolea isafirishwe kupelekwa sehemu nyingine ya nchi. Watu wa Mtwara hawasemi kwamba Gesi yote na mazao yake vibaki Mtwara na Lindi. Wanasema umeme uzalishwe Mtwara usambazwe nchi nzima. Mbolea izalishwe Mtwara na kusambazwa nchi nzima. Wanataka Bandari ya Mtwara iboreshwe na kuhudumia mikoa ya Kusini. Watu wa Mtwara hawasemi kwamba mapato yote ya Gesi yatumike Mtwara tu la hasha.Sio dhambi hata kidogo kwa watu wa Mtwara kudai masuala haya. Watu wa Mtwara wamefanya maandamano kwa amani kabisa bila kuharibu mali na kutoa maoni yao. Kwanini tuwasute na kuwasusubika kwa madai yao haya? Kwa nini tusiwasikilize? Kosa lao nini kudai viwanda ili wapate ajira? Tumesahau kuwa mikoa ya Lindi na Mtwara ni mikoa masikini kabisa nchini? Tumesahau kuwa mikoa ya Lindi na Mtwara ilitumika kwa ukombozi wa kusini mwa Afrika kiasi cha kuwa katika hatari kabisa? Tumesahau ‘sacrifice’ ya watu wa Mtwara na Lindi dhidi ya usalama wa nchi yetu? Tumesahau kuwa Korosho imekuwa zao kubwa la biashara na linaloingiza mapato mengi sana ya Fedha za kigeni? Waziri Muhongo anasema Mtwara warudishe Fedha za Mkonge na Kahawa. Mbona hataji fedha za Korosho? Mwaka 2011 Korosho ilikuwa zao la pili kwa kuingiza fedha nyingi za kigeni baada ya Tumbaku.Lakini tujiulize, watu wa Mtwara na Lindi walifadi fedha za Mkonge? Walifaidi fedha za Kahawa? Wamefaidi fedha zao za Korosho? Tumesahau hata Reli iliyoachwa na Mkoloni ya Nachingwea – Mtwara iling’olewa na Serikali huru ya Tanzania?Tujiulize zaidi, hivi watu wa Nzega wamefaidika vipi na Mgodi wa Resolute pale Lusu? Mgodi umefungwa ukiwa umezalisha na kuuaza dhahabu ya thamani ya dola za marekani 3.3 bilioni. Hivi katika uhai wa mgodi huu Serikali Kuu imekusanya kodi kiasi gani? Halmashauri ya Wilaya ya Nzega imepata ushuru kiasi gani? Watu wa Mtwara wanayaona haya yaliyotokea Nzega na yanayotokea Tarime, Biharamulo, Kahama na Geita. Watu wa Mtwara wana Haki kuandamana kuzuia haya yaliyotokea wenzao yasiwatokee wao kwenye Gesi asilia.Mtwara na Lindi wanakosea wapi?Madai yao halali na mimi binafsi na chama changu tunayaunga mkono. Lakini kuna mahala lazima waelimishwe.Watu wa Mtwara pia wanapaswa kuelewa kuwa juhudi zao zisiwatenganishe na Watanzania wengine kwani bado utajiri wa Taifa unafadisha kikundi cha Watanzania wachache sana. Watu wa Mtwara wanahitaji kuungana na watu wa Mara, watu wa Mwanza, watu wa Shinyanga na watu wa Kagera kudai utajiri wa nchi utumike kwa maendeleo ya watu badala ya kunufaisha kundi dogo la watu. Watu wa Mtwara wanapaswa kuunganisha nguvu na Watanzania wengine kuzuia uporaji wa rasilimali ya nchi dhidi ya kizazi kijacho. Watu wa Mtwara wasijitenge wakawa peke yao na Gesi yao. Nguvu ya mnyonge ni umoja.Serikali isiyosikiaSerikali ina hoja kuhusu kujenga Bomba la Gesi kwa ajili ya kuzalisha umeme kwa gharama nafuu. Umeme unaotumiwa na asilimia 14 tu ya Watanzania. Kwa kuwa hii asilimia 14 ndio wenye sauti basi watu wa Mtwara wataonekana hawana hoja kabisa. Lakini Serikali imejiuliza mara mbilimbili kuhusu mradi huu wa Bomba? Tunaambiwa na Wataalamu kwamba kuna uwezekano mkubwa mwakani gesi asilia ya kiasi cha futi za ujazo trillioni 20 itakuwa imegunduliwa katika Kitalu namba 7( block 7) ambacho kipo mkoani Dar es Salaam katika Wilaya ya Temeke. Iwapo gesi nyingi hivi itakuwa hapa Dar karibu kabisa na mitambo ya kuzalisha umeme, mradi huu wa Bomba unaojengwa kwa trillioni za shilingi utakuwa na maana tena? Huu mkopo utakuwa na tija?Serikali imewaambia watu wa Mtwara gharama za kuleta bomba Dar dhidi ya gharama za kujenga mtambo wa kuzalisha umeme Mtwara na kuusafirisha umeme kwenda maeneo mengine ya Tanzania? Serikali imeangalia faida ya kujenga gridi nyingine badala ya kuwa na gridi moja tu yenye kushikwa na bwawa la Mtera? Leo bwawa la Mtera lisipozalisha hata megawati moja hata Dar es Salaam izalishe megawati alfu kumi umeme hautakuwapo maana uti wa mgongo wa gridi ni Mtera! Kwa nini tusiwe na gridi nyingine yenye uti wa mgongo Lindi au Mtwara?
 
Last edited by a moderator:
Katika mkutano wa ACT Mwanza uliohutubiwa na Zitto, Naibu Waziri wa uchukuzi, Charles Chizeba alikaa jukwaa kuu. Chizeba ni kiongozi wa Ngazi Ya juu wa serikali, ni Mbunge wa CCM/mwana Chama wa CCM, mjumbe wa CCM NEC, na mjumbe wa mkutano mkuu wa Taifa CCM. Nini kinaendelea hapa? Mzee Moyo Zanzibar amefukuzwa uanachama kwa sababu Ya kuhudhuria mikutano Ya CUF, why the double standard? Kwanini tusiamini kwamba ACT ni Mpini wa CCM kumaliza upinzani?

Cc Ritz, Adharusi Waberoya, Mkandara.
 
Last edited by a moderator:
Mchambuzi.

Msome Zitto hapa chini kiduchu.



Utajiri wa Gesi Asilia: Tuwasikilize Watanzania wa Mtwara na Lindi. TusipuuzeMaandamano ya amani yaliyofanyika mjini Mtwara siku ya alhamis wiki hii yameibua hoja mbali mbali kutoka kwa viongozi, wananchi, vyombo vya habari na mjadala wa siku nzima kwenye mitandao ya kijamii hasa facebook, twitter na JamiiForums. Mkuu wa Mkoa wa Mtwara ameita waandamanaji wapuuzi na Waziri wa Nishati na Madini amewaita watu hatari na wahaini. CHADEMA tumetoa kauli kupitia kwa Waziri Kivuli wa Nishati na Madini kwamba udhaifu wa utendaji serikalini ndio chanzo cha maandamano haya.Lakini kuna tatizo kubwa zaidi ambalo linaonekana siyo katika sekta hii tu bali pia katika sekta nyingine ambapo tunaona matokeo yake katika maisha ya watu wetu na naweza kusema ni dalili za kushindikana kwa sera za CCM. Sera hizi ndizo ambazo zimelifikisha taifa hili hadi hapa. Kama hadi wananchi wa Mtwara ambako kwa muda mrefu imekuwa ni ngombe ya CCM wanaanza kuhoji matokeo ya sera za chama tawala basi ni dalili kuwa Watanzania wamefungua macho yao na wanaona.Wanaona katika nishati, wanaona katika utawala bora, wanaona katia elimu (kuanzia ya msingi hadi ya juu kabisa!), wanaona katika afya, wanaona katika utendaji wa jeshi la polisi wanaona katika madini. Sera za CCM zimeshindwa. Zimeshindwa kuinua maisha yao na zinaonekana kuendelea kushindwa.Mtwara na Lindi wanataka nini?Watu wa Mtwara wanataka gesi isiondoke Mtwara na badala yake viwanda na mitambo ijengwe Mtwara kisha kama ni umeme au mbolea isafirishwe kupelekwa sehemu nyingine ya nchi. Watu wa Mtwara hawasemi kwamba Gesi yote na mazao yake vibaki Mtwara na Lindi. Wanasema umeme uzalishwe Mtwara usambazwe nchi nzima. Mbolea izalishwe Mtwara na kusambazwa nchi nzima. Wanataka Bandari ya Mtwara iboreshwe na kuhudumia mikoa ya Kusini. Watu wa Mtwara hawasemi kwamba mapato yote ya Gesi yatumike Mtwara tu la hasha.Sio dhambi hata kidogo kwa watu wa Mtwara kudai masuala haya. Watu wa Mtwara wamefanya maandamano kwa amani kabisa bila kuharibu mali na kutoa maoni yao. Kwanini tuwasute na kuwasusubika kwa madai yao haya? Kwa nini tusiwasikilize? Kosa lao nini kudai viwanda ili wapate ajira? Tumesahau kuwa mikoa ya Lindi na Mtwara ni mikoa masikini kabisa nchini? Tumesahau kuwa mikoa ya Lindi na Mtwara ilitumika kwa ukombozi wa kusini mwa Afrika kiasi cha kuwa katika hatari kabisa? Tumesahau ‘sacrifice’ ya watu wa Mtwara na Lindi dhidi ya usalama wa nchi yetu? Tumesahau kuwa Korosho imekuwa zao kubwa la biashara na linaloingiza mapato mengi sana ya Fedha za kigeni? Waziri Muhongo anasema Mtwara warudishe Fedha za Mkonge na Kahawa. Mbona hataji fedha za Korosho? Mwaka 2011 Korosho ilikuwa zao la pili kwa kuingiza fedha nyingi za kigeni baada ya Tumbaku.Lakini tujiulize, watu wa Mtwara na Lindi walifadi fedha za Mkonge? Walifaidi fedha za Kahawa? Wamefaidi fedha zao za Korosho? Tumesahau hata Reli iliyoachwa na Mkoloni ya Nachingwea – Mtwara iling’olewa na Serikali huru ya Tanzania?Tujiulize zaidi, hivi watu wa Nzega wamefaidika vipi na Mgodi wa Resolute pale Lusu? Mgodi umefungwa ukiwa umezalisha na kuuaza dhahabu ya thamani ya dola za marekani 3.3 bilioni. Hivi katika uhai wa mgodi huu Serikali Kuu imekusanya kodi kiasi gani? Halmashauri ya Wilaya ya Nzega imepata ushuru kiasi gani? Watu wa Mtwara wanayaona haya yaliyotokea Nzega na yanayotokea Tarime, Biharamulo, Kahama na Geita. Watu wa Mtwara wana Haki kuandamana kuzuia haya yaliyotokea wenzao yasiwatokee wao kwenye Gesi asilia.Mtwara na Lindi wanakosea wapi?Madai yao halali na mimi binafsi na chama changu tunayaunga mkono. Lakini kuna mahala lazima waelimishwe.Watu wa Mtwara pia wanapaswa kuelewa kuwa juhudi zao zisiwatenganishe na Watanzania wengine kwani bado utajiri wa Taifa unafadisha kikundi cha Watanzania wachache sana. Watu wa Mtwara wanahitaji kuungana na watu wa Mara, watu wa Mwanza, watu wa Shinyanga na watu wa Kagera kudai utajiri wa nchi utumike kwa maendeleo ya watu badala ya kunufaisha kundi dogo la watu. Watu wa Mtwara wanapaswa kuunganisha nguvu na Watanzania wengine kuzuia uporaji wa rasilimali ya nchi dhidi ya kizazi kijacho. Watu wa Mtwara wasijitenge wakawa peke yao na Gesi yao. Nguvu ya mnyonge ni umoja.Serikali isiyosikiaSerikali ina hoja kuhusu kujenga Bomba la Gesi kwa ajili ya kuzalisha umeme kwa gharama nafuu. Umeme unaotumiwa na asilimia 14 tu ya Watanzania. Kwa kuwa hii asilimia 14 ndio wenye sauti basi watu wa Mtwara wataonekana hawana hoja kabisa. Lakini Serikali imejiuliza mara mbilimbili kuhusu mradi huu wa Bomba? Tunaambiwa na Wataalamu kwamba kuna uwezekano mkubwa mwakani gesi asilia ya kiasi cha futi za ujazo trillioni 20 itakuwa imegunduliwa katika Kitalu namba 7( block 7) ambacho kipo mkoani Dar es Salaam katika Wilaya ya Temeke. Iwapo gesi nyingi hivi itakuwa hapa Dar karibu kabisa na mitambo ya kuzalisha umeme, mradi huu wa Bomba unaojengwa kwa trillioni za shilingi utakuwa na maana tena? Huu mkopo utakuwa na tija?Serikali imewaambia watu wa Mtwara gharama za kuleta bomba Dar dhidi ya gharama za kujenga mtambo wa kuzalisha umeme Mtwara na kuusafirisha umeme kwenda maeneo mengine ya Tanzania? Serikali imeangalia faida ya kujenga gridi nyingine badala ya kuwa na gridi moja tu yenye kushikwa na bwawa la Mtera? Leo bwawa la Mtera lisipozalisha hata megawati moja hata Dar es Salaam izalishe megawati alfu kumi umeme hautakuwapo maana uti wa mgongo wa gridi ni Mtera! Kwa nini tusiwe na gridi nyingine yenye uti wa mgongo Lindi au Mtwara?
Nielimishe:
Alizungumza haya Ya CCM kushindwa Akiwa Chama gani cha Siasa?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom