Mkuu
Nguruvi3,
You made very strong and valid points. Sina haja Ya kurudia Lakini Suala la msingi Ni kwamba harakati Za
Zitto kuhadaa wananchi haziwezi kunyamaziwa. Huyu ni mtu hatari sana Kwa Taifa kwani anaanza ujenzi wa Mgao wa wananchi, suala ambalo binafsi sikumbuki kiongozi aliyejaribu kufanya hivyo kwa mafanikio. Kama ulivyo jadili, tofauti Ya maendeleo nchini Tanzania ni matokeo Ya factors mbalimbali. Kwa mfano, factors muhimu ni Historical, physical, social, political and economic.
Tukianza na Physical factors, Hizi ni pamoja Na uwepo wa rasilimi mbalimbali Katika maeneo husika pamoja na and climatic issues; hizi ndio zilipelekea historical issues ulizojadili kwa kina. Zitto anaacha kujadili Adui Namba moja Ambae ni foreign capital ambayo inakuja kiholela. Na bado anathubutu kusema kwamba ACT ni Chama cha kijamaa. Katika physical factors Pia zipo climatic issues lakini hajadili mawazo on how we can overcome them via technology; Aidha hana muda huo au hana uelewa huo; social implies education and literacy and population growth; literacy opens up opportunities for the population;
Zitto anatakiwa kujadili hilo kisera; kwa mfano suala la family planning, hili ni moja Ya matatizo mkoani kwake Kigoma ambapo population growth overtakes government's ability (manispaa yake) to provide education, health, water and jobs; tukija kwenye political factors, these are divided into conflict and stability and leadership; on conflict, example is civil wars na unajadili vyema suala la wakimbizi Kigoma; and on leadership, mfano mzuri ni good governance which leads to stable government, stable policies, and safer investments;
Zitto hana muda au hajui umuhimu wa good governance; suala hilo no muhimu kwani it leads to less corruption which in the end it encourages capital accumulation via citizen's willingness to pay taxes and inflow of FDI; good governance also leads to accountability, results being stronger and supportive civil society;lastly is economic factors. Katika hilo kuna core periphery theory & cumulative causations. The former is more important and it has two fronts namely spread effect and backwash effect. Core regions ni Zile
Nguruvi3 addressed ambazo zimeendelea for historical, physical and other reasons. In other words, development of core regions are often associated with physical, historical, social and political advantages that make them develop faster than ones in the periphery(kama Kigoma and others); the core are able to go to periphery and take advantage of abundant resources untapped there.
Lastly nifafanue kidogo juu Ya Backwash effect and spread effect. Backwash effect inajitokeza pale resources & labour zinapo elekea to the core meaning kwamba the core develops at the expense of the pheriphery.
Na Spread effects implies kwamba maendeleo in the core regions ( example Dsm, mwanza, etc) inasambaa over onto peripheries (eg Kigoma), kwa mfano spill over of wealth & knowledge. Kwa maana hii, na kwa hoja Ya
Nguruvi3, even regions that are at disadvantage kama Kigoma still have potentials kuendelea iwapo watakuja na mikakati na sera bora that will take advantage of knowledge And resources in core areas.
Lawama za Zitto hazina tija.