Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

I think you are the one who is confused, and now you are passing the confusion on us. Ulisema hivi:

"But one thing you have forgotten. States in the United States have power to collect tax, enact their own laws etc etc. They are countries within a country. If we ask the same type of region autonomy in Tanganyika, the wise people will reply that the process will promote tribalism."

You were against fiscal decentralization arguing that it will spur tribalism. Now you are supporting it, criticizing Tanzania's government for not embracing it. What side of the coin are you?



Wrong, tax revenues collected by local government authorities are used for operational costs, mainly salaries and allowance of local government employees. Revisit your facts.



You are deflecting from the main argument. Texas is leading in oil reserves in the US, but does the majority of tax revenues in Texas come from oil and gas? Nope. Over 50% of tax revenues in Texas come from sales and use taxes. Go check your facts on this one too.

Emphasis: Tusiwadanganye wananchi wa mtwara kwamba kwa vile wana gesi na mafuta basi walale raha mstarehe kusubiri kodi from the sector. Nilijadili huko juu on how they can become innovative kiuchumi. Oil and Gas itumike kama mbegu tu to spur other economic and income generating activities.



If we unpack the very same words you use hapa "Development is all about taking advantage of what’s available in your environment", then utaelewa hoja yangu juu ya umuhimu wa ubunifu wa kutumia oil and gas kama means to development, not an end in itself.



Sasa kwanini mnamshabikia Kiongozi kutoka Kigoma (@Zitto) kwenda Shinyanga kudanganya wananchi in a top-down fashion?

Mchambuzi:

If I ask you to bring a post where I say "decentralization emboldens tribalism", you will find none. I have always advocate decentralization. For, Tanzania is so big for one person called 'President' to decides our fate. We have a central government for more than 50 years and it doesn't work.

Now with regard to municipalities in Tanzania, those entities cover a swath of operations including running primary schools. Tell me one local government in Tanzania that can pay salaries of teachers for one fiscal year without the intervention of the central government? If you can mention just one I will revisit my previous statement?

With respect to Texas, you are the one who brought up the issue to prove your point. The truth is the discover of gas/oil came there when the state was already above the average. Texas wasn't a primitive state that badly needed the revenues from gas to launch its own economic revolution. So the comparison you try to make here is misplaced. Why don't you use Qatar instead? Can Mtwara be the next Qatar? Furthermore, why do you like to use tax collections to score points? Why don't you use GDP? The contribution of the gas/oil sector in Texas is about 7-10% of the state GDP. Tell me if that is small.

I am not here to deceive people of Mtwara. I am here to tell them the truth that gas is theirs if they don't fight for what's theirs, nobody will. They shouldn't afraid to make mistakes because they won't be the first.

Finally, let me talk about Zitto. What Zitto said isn't new. In daily conversations, many Tanzanians who aren't from Kilimanjaro harbor the same view.
 
Mchambuzi sina haja ya kurudia yote uliyosema kwa sababu yako wazi kwa kila mtu huru anayeangalia mambo kwa macho yote mawili ila niongezee tu kidogo kuhusu hii ya Zitto kwenda mahakamani.

Lengo la Zitto toka awali ilikuwa ni moja tu nalo ni kuisambaratisha Chadema, chama pekee kilichotokea kuhatarisha maslahi ya mafisadi ndani ya chama tawala, CCM, waliokiteka. Zitto angeweza kujiondoa Chadema mapema sana baada ya kuona itikadi na falsafa zake ni tatizo na haziendani na ndoto yake. Kwa muda wote Zitto alipokuwa ndani ya Chadema, mgogoro wa kimawazo haukuweza kumpa nafasi ya kuupa ushirikiano uongozi wa Chadema kama ilivyotakiwa.

Chama tawala, CCM, waliweza kugundua toka mapema sana kwamba ndani ya Chadema kuna weakest link kupitia kijana huyo ambaye kiukweli alionesha kipaji cha kujieleza. Kupitia sakata la Buzwagi, CCM iliweza kutumia kipaji chake kumnasa Zitto na baada ya hapo matamko yote aliyokuwa akiyatoa, yalikuwa ni kama vile anaongea kupitia mnong'onezi (prompter) mambo yaliyofurahisha pande zote, akiuma na kupuliza bila kuacha madhara kwa Chadema au chama tawala.

Hali iliendelea hivyo hadi akajenga fikra kichwani kwamba yeye ni zaidi ya Chadema na kuuona uongozi kama unampotezea muda kutimiza ndoto yake kama aliyoaminishwa na CCM. Zitto angeweza kujiondoa Chadema muda mrefu tu lakini hakuwa na uhuru huo, chama tawala bado kilimhitaji katika kufanikisha malengo yao akiwa Chadema. Alitakiwa aondoke muda muafaka ukiwadia Chadema ikiwa imedhoofika kutokana na mgogoro uliopangwa kuukumba.

Juzi amesikika Zitto akidai Mahakama Kuu Tanzania kanda ya Dar es Salaam iliingiliwa baada ya kutupilia mbali kesi aliyokuwa ameifungua dhidi ya Chama Cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) ya kuhoji uhalali wa uanachama wake ndani ya chama hicho. Kwa maana nyingina ni kuwa Zitto alijua na aliamini ataibwaga Chadema mahakamani na swali linalofuatia ni je kama maamuzi yangekuwa tofauti, angeendelea kubaki Chadema? Kama kikulacho ki nguoni mwako?

Zitto kubaki Chadema kungekuwa na maana mbili...kuendeleza kufukuta kwa mgogoro ndani ya Chadema na kusogezwa mbele uzinduzi wa ACT ambao haungewezekana bila ya Zitto. Baada ya kuisambaratisha Chadema ndipo Zitto kwa mbwembwe angeitisha vyombo vya habari na kuitangazia dunia kujiondoa akiiacha Chadema vipande vipande. Kwamba mpango huo haukufanikiwa lilikuwa pigo si kwa Supreme Leader tu bali kwa chama tawala na utabiri wao.

Kama mada inavyosema Chama cha ACT - Mpini wa CCM kumaliza Upinzani hakuhitajili akili za ziada kuona ripple effect iwapo mpango huu ungefanikiwa. Kwanza swala la Katiba Mpya lingekuwa limezikwa na Katiba ya Chenge ingepita bila pingamizi. Pili UKAWA ingesambaratika kwani mgogogoro ambao ungeikumba Chadema ungetikisa hadi umoja huu na kuuacha nyang'anyang'a. Tatu mwezi wa kumi na moja CCM ingeunda tean serikali, Zitto akiwa ndani.

A.

Mag3 je una proof yeyote kuonyesha haya uliyoyaandika ( ya zamani au yajayo) , ili yasionekane hekaya au fiction?

B.

Pia unieleze mechanism ya aina ya usaliti anaoufanya zitto ili kashkash zake akiwa PAC na mambo aliyoyafanya against CCM na serikali yake yaonekane ni usanii
1. uhusika wake kwenye escrow ( ambapo chadema nao waliunga mkono) na effects zake kwenye serikali kupelekea kujiuzulu viongozi wengi
2. Madudu kibao au fedha kibao zilizotangazwa kuibiwa AU kutumiwa vibaya na serikali ya CCM akiwa PAC
3. fedha za uswiss/ elezea kuwa ni usanii wa zitto na ccm ( usichanganye kusema anataka sifa) post yako inaelezea kinaga ubaga uhusika wa zitto kuwa katumwa na ccm....just spill out the proof

C

I cant list all of them, just elezea kinagaubaga aina hii ya siasa za zitto za kutumika kwenye serikali ambayo yeye ni no. moja kuwadhalilisha na kuwaonyesha ubaya wao

Unaweza ukaweka kabisa ukataja hata watu ndani ya CCM, specific ambao wana mastermind mambo ambayo wengi hawayaelewi

mfano elezea: kuwa escrow ilipangwa na CCM, ikaibuliwa na kafulila, kisha ilipangwa kwenda bungeni kama vile na ikapangwa mawaziri wajiuzulu.....n.k just elezea vizuri

D.

Mwisho nieleze wapinzani wengine au wapenda mabadiliko kama wewe ( walioko bungeni) ambao wanajua mipango hii, aidha hawachukui hatua au wanaangalia hii filamu

Elezea hoja zao, kazi zao, upinzani wao wanaoufanya, na siasa zao wanazozifanya nje ya zile za zitto ambazo wao wanaona wako sahihi na kwa kupitia hizo CCM itaondoka madarakani
 
wakuu wa mnakasha kuna maswali kadhaa najiuliza, hivi ni kwanini Kiongozi mkuu anapata support kubwa toka kwa viongozi wa CCM? (mfano Mh. Mwigulu Nchemba alimlilia sana KM alivyofukuzwa uanachama)
lakini pia kuna wajumbe wa mnakasha huu hapo kabla walikuwa watetezi wakubwa wa serikali ya CCM na CCM kwa ujumla kama huyu Ritz , imekuaje sasa wamekuwa watetezi wakuu wa Kiongozi Mkuu (KM)? lini walitangaza kuhamia ACT-wazalendo?
 
Last edited by a moderator:
wakuu wa mnakasha kuna maswali kadhaa najiuliza, hivi ni kwanini Kiongozi mkuu anapata support kubwa toka kwa viongozi wa CCM? (mfano Mh. Mwigulu Nchemba alimlilia sana KM alivyofukuzwa uanachama)
lakini pia kuna wajumbe wa mnakasha huu hapo kabla walikuwa watetezi wakubwa wa serikali ya CCM na CCM kwa ujumla kama huyu Ritz , imekuaje sasa wamekuwa watetezi wakuu wa Kiongozi Mkuu (KM)? lini walitangaza kuhamia ACT-wazalendo?

Umesahu mambo mawili CHADEMA waliwatukana CUF na kuwaita chama cha M.A.S.H.O.G.A pi awaliwaita CCM B ila nimeshangaa kuwa wako pamoja,sasa huyu shoga itakuaje tena,Pia LIPUMBA alimwambia MBOWE si mwanasiasa,wala mpinzani wa kweli....leo wanafanya kazi pamoja.........SLAA alimuita KAFULILA eti ni SISIMIZI leo anafanya nae kazi sijui amebadilika......................
ZITTO kasema tuweke AKIBA YA MANENO
 
wakuu wa mnakasha kuna maswali kadhaa najiuliza, hivi ni kwanini Kiongozi mkuu anapata support kubwa toka kwa viongozi wa CCM? (mfano Mh. Mwigulu Nchemba alimlilia sana KM alivyofukuzwa uanachama)
lakini pia kuna wajumbe wa mnakasha huu hapo kabla walikuwa watetezi wakubwa wa serikali ya CCM na CCM kwa ujumla kama huyu Ritz , imekuaje sasa wamekuwa watetezi wakuu wa Kiongozi Mkuu (KM)? lini walitangaza kuhamia ACT-wazalendo?
Sijakuelewa kwa hiyo hapa ni mahususi kwa pro-Chadema tu ambao wanapambana na Zitto?

Yeyote mwenyewe fikra tofauti na nyie kuhusu Zitto hatakiwi kuwepo yaani mnataka wote tuwe na fikra moja na kushikiana akili hapana sisi wengine tupo tofauti.

Mnajidanganya wenyewe na kualika shutuma na dhihaka kama bado unaendelea kuamini basi kazi unayo.
 
Last edited by a moderator:
Dr Kitila Mkumbo anakula ‘matapishi yake’
ACT kuvuruga juhudi za katiba ya Wananchi
Mbona sijaona wanapovuruga katiba ya wananchi naomba utuonyeshe mkuu maana unaoteshwa mwenzetu,vinginevyo utakua mpiga RAMLI,wale ambao wamepigwa marufuku kwa ishu ya ALBINO,nawe unapiga ramli kwa kuleta vitu vya kutishia watanzania

CCM yapumua, ujio wa ACTkupunguza nguvu za upinzani
Nataka utuambie ACT inapunguzaje nguvu ya upinzani,wakati Zitto hana nguvu kisiasa,na hakubaliki sababu ni msaliti,ACT chama cha mfukoni tu,kina nguvu gani kupunguza nguvu ya VYAMA VYAKO(maana upinzani ni pamoja na ACT,na vile vilivyotengwa na vyama unavyoshabikia)..je vyama vingine havina nguvu kupunguza nguvu ya vyama vyako unavipenda,Kwanini ACT ndiyo iwe na nguvu,kuliko vyama vingine vilivyo nje ya UKAWA tuambie,sababu nini,wana fedha? Mtu makini? kinapendwa? mtu maarufu au..huo muungano wa UKAWA una udhahifu,maana wao ni maarufu kuliko ACT,fedha wanazo nyingi kuliko ACT,wana VIONGOZI wengi MAARUFU kuliko ACT,sasa wanapunguzaje nguvu ya UKAWA....ina maana ZITO ana nguvu kiasi hiki.......



Naomba utuambie nguvu ya ACT kupunguza nguvu ya UKAWA inatokana na nini,kukubalika kwa ZITTO au Uchanga wa ACT....yaani watu wale wote maarufu UKAWA nguvu yao kwa ZITTO inapwaya...huu ni utani kwa UKAWA,yaani uwekezaji wote waliofanya UKAWA wapunguzwe nguvu na ACT isio na miaka miwili...basi UKAWA wajitathimini...vinginevyo mkubali tu ZITTO anakubalika sana katika jamiii,pamoja anakasoro kama binadamu,kama ulivyosema waraka
 
Mchambuzi, sijui kama Zakumi ni Mtanzania ama la ila matumizi ya Kiingereza katika michango yake katika hii mada yananipa mashaka juu ya uwezo wake ama wa kujielewa au kuelewa wanachosema wengine. Ni kama vile anajaribu kuficha mapungufu yake kwa kivuli cha lugha za watu na katika kufanya hivyo anazidi tu kujichanganya...haeleweki anatetea wala kusimamia nini katika huu mnakasha.

Mimi nasubiri Supreme Leader atakapofika Dar es Salaam zilipo wilaya kuu tatu zenye tofauti kubwa kimaendeleo, kiuchumi na kisiasa...je atawaambia wana Temeke kuwa wako nyuma kimaendeleo kwa sababu ya Ilala/Kinondoni? Na je vipi atakapokuwa Kinondoni atawaambia nini...kwamba wanainyonya Temeke/Ilala? Na vipi kwa majimbo ya Dar es Salaam na tofauti zake kimandeleo? Mfano Upanga na Buguruni?

Zitto alikuwa na sababu maalum ya kuitaja kanda ya Kaskazini na yote ni katika zile propaganda ya kuikandia chama kikuu cha Upinzani, Chadema. Mara ngapi wanaihusisha na Ukaskazini/Udini/Uchaga? Mbinu zile zile zinazotumiwa na CCM ndizo hizo hizo zinatumiwa na ACT Tanzania/Wazalalendo; kupanda mbegu za chuki katika jamii kwa mgongo wa ubaguzi kuhusu maendeleo kikanda, je huu ndio uzalendo?

Naona nyote mmeamua kufikili kama anavyofikili Nguruvi3 KAWATEKA na hamtaki kufikili tofauti naye,wapi Zitto alisema KILIMANJARO inahinyonya SHINYANGA hayo ni maneno ya Nguruvi3 ... Zitto kazungumzia mgawanyo unawafanya na serikali katika kapu la taifa hauko sawa,akatoa takwimu SHINYANGA ni ya tatu kuchangia kitaifa,lakini inapata gawio dogo,kuliko KILIMANJARO inayochangia kidogo,lakini inapewa zaidi ya SHINYANGA..MIMI ninaetumia AKILI yangu kufikili naona mantiki ya Zitto ni kuwa serikali haigawanyi sawa rasilimali za Taifa,na serikali ni ya chama cha mapinduzi,kwahiyo hapo Zitto anawataka watu wabadili fikra kuachana na CCM na kuungana na ACT...kila MTU anajua makusanyo yanafanywa na serikali,na mgao wanafanya serikali(ya ccm)..kwahiyo watu wataichukia serikali(CCM),na kujiunga ACT ili kuiondoa kwa kura CCM.. Zitto hatoi mfukoni TAKWIMU,anatoa za serikali,na ata akifika LINDI ataweleza wanachangia nini na wanagawiwa nini kupitia TAKWIMU za serikali MBOWE kasema wasukuma ni kabila maskini kuliko kabila lolote TANZANIA takwimu kazitoa wapi hizi Zitto anawajibika kwa alichokisema sio tafsri aliotoa Nguruvi3 ILI ATENGENEZE CHUKI haikusaidii,lengo lako ni kuwa ZITTO akienda KILIMANHARO arushiwe mawe jukwaani ili useme si nilisema...hatujengi nchi kwa tafsri zako za kiuchochezi,unaweka maneno kasema kilimanjaro inawanyonya shinyanga,punguza chuki kwa mtu ulietofatianae kifikra...tulitakiwa tujadili hizo TAKWIMU alizoleta ZITTO sio maneno ya Nguruvi3
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mag3, kwani unadhani Ritz hatambui hilo! anachokifanya ni spinning tu katika kuhakikisha ima ana 'adulterate' hoja nzito zinazomkabili supreme au anabadili mwelekeo. Tunamsoma tu

Ukisoma hoja ya Mnyika, hakuna mahali amaesema matatizo ya Geita yanaletwa na Dar es Salaam.
Ni maneno ametunga tu, hayapo katika maneno ya Mnyika.

Pili, mtu akisema pesa zote zinakwenda Dar, haina maana mkoa wa Dar. Ina maana makao makuu.

Ritz anataka kutuaminisha kuwa gazeti liandika ' Dar rejects EAC common market' ina maana Dar es salaam kama mkoa na si Tanzania !!!

Kinyume chake, sisi tuna kauli za supreme kutoka kinywani. Ni pale aliposema matatizo ya Shinyanga na Mwanza yanaletwa na Arusha na Kilimanjaro. Ukizingatia kauli zake za nyuma kuwa Kigoma na Kilimanjaro hazina uwiano wa maendeleo, tifu lna viongozi, na jinsi alivyoshutumu mgao kwa wanaochangia kidogo na kupata zaidi, wanaochangia zaidi kupata kidogo, haihitaji fikra kubaini kuwa Supreme leader alilenga kutengeneza kanda. Hoja hii ilikuwepo moyoni

Hilo ndilo lengo lake haswa, kwamba aungwe mkono sehemu fulani.

Well, kwa hii Tanzania iliyo na mchanganyiko na maingiliano sijui kama ulikuwa mkakati mzuri.

Tunachokilaani zaidi ni kuanza kutumbukiza sumu za ukanda.

Hili tutalikemea kwa nguvu zote

Supreme anapaswa kuelewa dhambi ya ukabila na ukanda kuliko mtu mwingine.

Ameyaona kwa macho pale Kigoma anakotoka. Kilomita chache sumu hiyo imevuruga mataifa mawili.

Leo aisogeze nchini tukae kimya!

tuwekee video au audio tusikie wenyewe
 
Wakati Ukawa inaundwa, Zitto alikuwa ni Mwanachama wa Chadema. Zitto alikuwa anaamini katika itikadi, falsafa, na malengo ya Chadema. Akiwa Chadema, kama mwanachama, aliapa kuwa mwaminifu kwa chama, na kwa maneno yake, katika nyakati tofauti, alisema kwamba ‘adui wa maendeleo ya watanzania ni chama cha Mapinduzi’.

Baada, Zitto akaanza unduminakuwili, na hapa ndio akaanza kutuacha tumeduwaa tusijue la kufanya kwani, akiwa bado mwanachama wa Chadema, akaanza kushutumu UKAWA kwamba wanataka kuvunja muungano. Akaanzea kusema kwamba UKAWA sio lolote bali ni “wasaka tonge.” Leo kapata tonge lake la supreme leader, sasa anageuka na kusema kwamba yupo tayaru kuungana na Ukawa, lakini tatizo ni kwamba uongozi wa Ukawa unamzuia kufanya hilo. Hivi kweli inaingia akilini kumkubalia kiongozi wa chama cha upinzani kinachopambana na upinzani kujiunga na movement ambayo awali alisema kwamba movement husika itavunja muungano, na kwamba ni kundi la wasaka tonge??

Tukirudi kwenye hoja ya zitto juu ya UKAWA kuwa na nia ya kuvunja muungano, je ni kwanini zitto alisema hivyo? Ni kwa sababy moja tu, nayo ni kwamba UKAWA uliamua kuungana na wananchi, UKAWA uliamua kuegemea kwenye maoni ya wananchi juu ya Katiba mpya. Zitto kama mwanachama wa Chadema aliwahi kuunga mkono serikali tatu. Kwa hoja yake kwamba UKAWA utavunja muungano, wakati ukweli ni kwamba moyo wa katiba mpya ni muundo wa Muungano:

· Je tutakuwa tunakosea kusema kwamba zitto alianza kutumika na CCM?
· Je tutakuwa tunakosea kusema kamba ni wazi alikuwa na mpango wa kuivuruga chadema?

Mkiwa kama wafuasi wa zitto, huwa mnaamini sana uwezo wake mkubwa wa kujenga hoja na kuwasilisha takwimu. Swali kwenu - Mkandara, Ritz, adhurusi et al:

· Je, Zitto aliposema kwamba hoja ya UKAWA juu ya serikali tatu inalenga kuvunja muungano, Zitto alifanya utafitihuu wapi? Lini? Na alitumia methodology gani kufikia hitimisho hilo?
Mkandara, tafadhali tusaidie katika hili.

Tuangalie masuala mengine muhimu:

Tume ya Nyalali ilikuja na utafiti kupitia kura ya maoni kwamba wananchi walio wengi (80%) walitaka mfumo wa chama kimoja uendelee, huku walio wachache (20%) wakipendelea mfumo wa vyama vingi vya siasa uanzishwe nchini Tanzania. Tatizo ni kwamba wapo wasioelewa kwanini maoni ya wachache yalichukuliwa badala ya maoni ya wengi. Ni hivi - kweli ni kwamba, ukisoma kwa undani juu ya maoni yale (80/20), utagundua mara moja kwamba wananchi walitoa conditions za kuendelea na mfumo wa chama kimoja, conditions ambazo hazingeweza kutekelezeka chini ya chama kimoja, na kuendelea kung’ang’ania mfumo huo bila kutekeleza conditions za wananchi, CCM ingekufa mapema zaidi. Mwalimu aliona hilo, hivyo akashauri busara itumike.

Tangia kurudi kwa mfumo wa vyama vingi, CCM imeshindwa kutekeleza mambo mengi sana kwa wananchi, na kufikia hatua kwamba wananchi wengi hivi sasa wamekuwa wakililia sana kuiangusha CCM, hasa ikizingatiwa kwamba kuimarika kwa upinzani (hasa Chadema) kumewapa matumaini mapya. Wakati Chadema ipo katika peak ya mafanikio kuelekea safari hiyo, anatokea kiongozi mmoja wa chadema “zitto” na kuanza kuvuruga mafanikio hayo. Mara kutoa kauli hii, mara kutoshiriki harakati zile, mifano hai ipo wazi mingi sana. Baada ya kushindwa njam zake ndani ya Chadema, amehamia ACT, chama ambacho wenzake waliotangulia walishaweka wazi tena kwa maandishi kwenye gazeti la Raia Mwema kwamba – kunahitajika chama kipya cha upinzani kwenda kupambana na Chadema. Sio na CCM, CUF, NCCR, au vyama vingine, bali CHADEMA.

Katika hali kama hiyo, wananchi wakikutana na wapinzani wa upinzani, wapinzani wanaoifanyia kazi CCM, tena kwa kauli zao wenyewe, kwa maandishi yao wenyewe, kwa vitendo, wananchi hawa wanakatishwa sana tamaa kwani viongozi wa aina ya zitto wanawacheleweshea mageuzi waliyoyatafuta kwa muda mrefu sana, harakati ambazo zimepelekea wengi kupoteza kazi zai, maisha yao, viungo vyao, mali zao, n.k.

Tumalizie kwa kuchambua baadhi ya hoja za Zitto MPYA wa ‘ACT’:

1. Siku ya uzinduzi wa ACT – Wazalendo, Zitto alisema kwamba amejiunga na ACT kwa kuwa chama hicho kinaendana na kitu ambacho amekuwa anakipigania kwa miaka yake yote ya kisiasa. Kitu hicho ni “maslahi ya taifa”. Mkandara, Ritz, et al, je ni maslahi yepi hayo ambayo Chadema haikuyapigania?

2. Zitto akazidi kusema kwamba ACT ni chama pekee ambacho kinakubaliana na itikadi na falsafa ya Ujamaa na Kujitegemea na kwamba chama hicho kimeamua kurudisha Azimio la Arusha, azimio ambalo liliasisiwa na Mwalimu Nyerere.

· Je, itikadi ya Ujamaa ipo kwenye rasimu mpya (tume ya warioba) ya katiba?
· Au ACT imepanga kuja na amendments za katika ikitwaa madaraka?
· Wananchi gani wamesema wanataka kuendelea na ujamaa kama itikadi? Kwa utafiti upi?
· Je, sio sahihi kusema kwamba ACT inaiga ujamaa wa CCM ili iwe rahisi kwa vigogo wa CCM kuhamia ACT bila kuonekana wasaliti wa itikadi ya chama cha mapinduzi? Kumbuka, Ujamaa na mfumo wa muungano wa serikali mbili ndio nguzo kuu za kufanya mwanachama wa ccm aonekane kwamba ni mwaminifu kwa chama cha mapinduzi,

3. Zitto akaendelea kusema kwamba amejiunga na ACT kwa vile ni chama pekee ambacho kinaamini katika uadilifu, chama ambacho pia kimeweka wazi miiko ya maadili ya uongozi na pia kuhakikisha kwamba viongozi wote wa ACT wanakubaliana na hayo na wamesaini juu ya hayo.
· Je kwake yeye, maadili ni nini, kutangaza hadharani mali ulizokuwa nazo? Je hiyo inatosha? Vipi kuhusu kujibu tuhuma za kupokea rushwa, hiyo sio sehemu ya maadili? Zitto hajajibu tuhuma lukuki dhidi yake.

4. Zitto akazidi kusema kwamba kwenye ACT, hakujengwi mtu, badala yake kinajengwa chama. Kinachounganisha wanachama wote wa ACT ni vitu vikuu viwili – undugu wao na uzalendo wao.
· Supreme leadership structure inalenga kujenga nini kama sio mtu?
· Kama nguzo kuu za ACT ni ungudu na uzalendo, kwanini Zitto anaenda kinyume na misingi hiyo kwa kuanza kuwagawanya wananchi kwa njia ya ukabila na sehemu walipotoka, hasa Kilimanjaro na Arusha?

5. Zitto akaambia wananchi pia kwamba kati ya mafanikio yake akiwa mbunge, amefanikiwa kuiangusha serikali ya CCM mara nyingi, huku akitaja suala la buzwagi, escrow n.k.
· Kama anamzungumzia Waziri Karamagi, huyu aliondolewa na kashfa ya Buzwagi au Richmond?
· Hoja ya buzwagi iliibuliwa na nani kati yake na gazeti la -----------?
· Sakata la escrow, kati yake na Kafulila, nani ndiye mwasisi wa hoja hii? Kwanini mwishoni aliamua kujiunga na upande wa hoja wa Chenge, ambae alikuwa ni mtuhumiwa?

Kwa kweli, katika hoja zote za Zitto, hakuna hata moja hapo juu ambayo ina ukweli. Vinginevyo, Ritz, Mkandara, adhurusi, tuelimisheni, pengine hatuna ufahamu.

Vinginevyo, tunachosikia kutoka kwenu sana sana ni hoja ‘redundant’ kwamba Zitto ameonewa, na amehamia ACT kwa sababu amefukuzwa Chadema, hivyo ameenda ACT kusimamia na kupigania maslahi ya taifa.

Ndugu zangu, tukubaliane katika ukweli ufuatao:

· Zitto amejiunga ACT baada ya dhamira yake na wenzake ya usaliti dhidi ya Chadema, kugundulika.
· Zitto amejiunga na ACT kutokana na tuhuma dhidi yake juu ya kuhujumu Chadema kwa kushirikiana na Chama Cha Mapinduzi.
· Zitto alishtukiwa mapema kwamba alikuwa anatumika kukivuruga chadema. Kwahiyo, kilichomvua uanachama Zitto ni kanuni, taratibu, na katiba ya chadema. Haya ya Kanuni, taratibu, katiba, yote zitto alikuwa anayajua vyema. Na hata siku anaenda mahakamani kuweka pingamizi, alikuwa anajua hatima ya mwanachama kutafuta suluhu mahakamani ni nini, kwamba bila ya kujalisha kama angeshinda au angeshindwa kesi, uanachama wake ulikuwa umefika kikomo.

Maswali kwenu:
· Iwapo Zitto asingefukuzwa Chadema, JE angeondoka na kwenda ACT?0
· Iwapo itikadi na falsafa ya chadema kwake ilikuwa ni tatizo, kwanini aliendelea kutafuta haki mahakamani, haki ndani ya chama ambacho itikadi na falsafa zake haziendani na ndoto yake?

Zitto.

Mwanzo walipotufukuza walituambia tukatafute vyama vingine hilo likafanyika, tulipopata vyama vya kufanyia siasa wakasema vipo kwa ajili ya kugawa upinzani tukasema tupo tayari kuunganisha nguvu ya pamoja kwa ajili ya kuiondoa CCM…wenzetu pia hili hawalitaki sasa ni wajibu wenu kutambua watu gani hawataki kuiondoa CCM,"-alisema Zitto.-Alisema wao (ACT) wana nia ya dhati lakini wenzao wanaweka ugomvi binafsi mbele ya masilahi ya taifa.-"Sisi ACT Wazalendo bado tupo tayari kushirikiana kwa mujibu wa misingi. Shabaha yetu ni moja tu, kubomoa mfumo wa uchumi wa kinyonyaji na ufisadi ili kujenga uchumi shirikishi wa wananchi,"-alisema na kuongeza:-"Sikufundishwa kugombana na watu barabarani au kusema ovyo mitaani, kufanya hivi hakuna tofauti na kumsema mke au mume mlioachana…mmoja kwa kukosa busara na kwa kuwa aliachana na yule mke anaamua kwenda vijiweni na kutoa siri za mzazi mwenzie, hili kwetu hapana.-"Tunakuja na jahazi jipya ambalo ndugu zangu wa Mwanza nimekuja kuwakabidhi, kubwa tunataka kulirudisha taifa katika misingi yake ya ujamaa na kujitegemea, tunahitaji ujamaa wa demokrasia,"-alisema Zitto.
 
Huko nyuma niliwahi kukuuliza, kwani Zitto alizungumza nini? Hukuwahi kujibu, nikaamua kukuacha tu.
Hapa nitakujibu kwasababu kuna tuhuma unazotakiwa kuthibitisha. Kwanza, tupitie hoja zako

Adharusi;12610111]Naona nyote mmeamua kufikili kama anavyofikili Nguruvi3 KAWATEKA na hamtaki kufikili tofauti naye,wapi Zitto alisema KILIMANJARO inahinyonya SHINYANGA hayo ni maneno ya Nguruvi3 ...
Kufikiri tofauti maana yake ni kukubaliana na supreme au!!

Kama Jua linatoka mashariki kuelekea magharibi, hebu jaribu kutofautina na kauli hiyo ili tujue unafikiri tofauti.

Kuhusu maneno ya Kilimanjaro kuinyonya Shinyanga, hivi huoni tunafikiri tofauti kitu unachokihubiri?
Wewe unaamini hakuwa na maana hiyo, sisi tunasema ndiyo maana yake, huko si ndiko kufikiri tofauti mkuu
Zitto kazungumzia mgawanyo unawafanya na serikali katika kapu la taifa hauko sawa,akatoa takwimu SHINYANGA ni ya tatu kuchangia kitaifa,lakini inapata gawio dogo,kuliko KILIMANJARO inayochangia kidogo,lakini inapewa zaidi ya SHINYANGA..
Well, hapa huoni unathibitisha zile fikra zetu kuhusu dhana aliyokuwa nayo supreme?
MIMI ninaetumia AKILI yangu kufikili naona mantiki ya Zitto ni kuwa serikali haigawanyi sawa rasilimali za Taifa,na serikali ni ya chama cha mapinduzi,kwahiyo hapo Zitto anawataka watu wabadili fikra kuachana na CCM na kuungana na ACT...kila MTU anajua makusanyo yanafanywa na serikali,na mgao wanafanya serikali(ya ccm)..kwahiyo watu wataichukia serikali(CCM),na kujiunga ACT ili kuiondoa kwa kura CCM..
Mkuu kama unatumia akili kufikiri, wewe unadhani wengine wanatumia nini?

Na kama unatumia mantiki kujua Zitto kasema nini, kuna kosa gani tukitumia mantiki kuonyesha Zitto amesema Kilimanjaro inainyonya Shinyanga. Haki ya wewe jufikiri kakupa nani, na haki gani inatunyima sisi kufikiri.
Hata hivyo, Zitto alitaja serikali na maneno unayosema?
Zitto hatoi mfukoni TAKWIMU,anatoa za serikali,na ata akifika LINDI ataweleza wanachangia nini na wanagawiwa nini kupitia TAKWIMU za serikali MBOWE kasema wasukuma ni kabila maskini kuliko kabila lolote TANZANIA takwimu kazitoa wapi hizi Zitto anawajibika kwa alichokisema sio tafsri aliotoa Nguruvi3
Mchambuzi hapo juu kaweka takwimu, vipi mbona huzipitii ili kutusaidia sisi mabubusa?
Mkuu hebu ongea na Mchambuzi kwa takwimu ili sisi vihiyo tupate manufaa kidogo. Ukumbi wako sasa
ILI ATENGENEZE CHUKI haikusaidii,lengo lako ni kuwa ZITTO akienda KILIMANHARO arushiwe mawe jukwaani ili useme si nilisema...hatujengi nchi kwa tafsri zako za kiuchochezi,unaweka maneno kasema kilimanjaro inawanyonya shinyanga,punguza chuki kwa mtu ulietofatianae kifikra...tulitakiwa tujadili hizo TAKWIMU alizoleta ZITTO sio maneno ya Nguruvi3
Hizi ni tuhuma nzito! Hata hivyo, mwenye jukumu la kumtia mshatkiwa hatiani ni mwendesha mashtaka.

Na hapa mwendesha mashtaka ni wewe. Ni vema ukathibitisha bila chembe ya shaka kuwa ipo chuki dhidi ya Zitto.
Hilo ni muhimu kwasababu tutafikia mahali mashtaka yakithibika basi tunawajibika kwayo

Kama chuki ni kueleza kile alichokisema, kuchambua, kutathmini , kuonya na kukemea, basi na iwe.

Hatutarudi nyuma tukishangilia wahuni wakiligawa taifa hili vipande vipande.

Narudia kusema, kauli alizitoa Zitto ambaye alipaswa kujua madhara yake kuliko mtu mwingine.

Ametoka Kigoma, ameona ya Rwanda na Burundi. Hata kama kwa jinsi fulani anaamini mgawanyiko au ana vinasaba vinavyoelekeza huko, Tanzania itakuwa ya wajinga, wakikaa kimya, kupiga manyanga, kufumga vibwewe na njuga kumshangilia supreme.

Supreme ameshaonja utamu wa kugawanya watu, anakoelekea sasa hatukubaliani naye.

Afanye siasa zake, atuachie taifa letu. Akipita ana hubiri habari njema usiku na mchana, hutatusikia wengine.

Akitumbukiza sumu, tutatoka tulipo na kukemea. Hatutarajii itawapendeza wote, lakini wengi watapendezwa na wachache kama wewe watakirihika.

Kuhusu kuandika, siombi yatokee yasiyotarajiwa kwani si lengo letu.

Zitto ni mwanasiasa na ana haki ya kushiriki mambo ya nchi kama mwananchi na mwanasiasa.
 
... Zitto kazungumzia mgawanyo unawafanya na serikali katika kapu la taifa hauko sawa,akatoa takwimu SHINYANGA ni ya tatu kuchangia kitaifa,lakini inapata gawio dogo,kuliko KILIMANJARO inayochangia kidogo,lakini inapewa zaidi ya SHINYANGA..
Adharusi, unajua tatizo lako ni nini? Ni kudandia hoja bila kufuatilia kinachoendelea...siju hii ni kwa makusudi au kwa udhaifu wa ufuatiliaji. Swali la nani anachangia zaidi lilimalizwa pale takwimu zilipotolewa lakini wewe bado kwa malengo unayoyajua unaturudisha kule kule. Ngoja nikukumbushe kwa kutumia takwimu alizotuletea Mchambuzi

[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD="colspan: 5"]Direct Tax (Regional wise) - Domestic Revenue Department for 2012/2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2012/13 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MJKNIA[/TD]
[TD] 4,439.4[/TD]
[TD] 4,951.6[/TD]
[TD] 3,842.0[/TD]
[TD] 13,233.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD] 4,147.7
[/TD]
[TD] 3,195.3
[/TD]
[TD] 3,371.5
[/TD]
[TD] 10,714.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 69.9[/TD]
[TD] 74.1[/TD]
[TD] 144.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 0.3[/TD]
[TD] 1.1[/TD]
[TD] 1.5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 7.4[/TD]
[TD] 28.8[/TD]
[TD] 13.9[/TD]
[TD] 50.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 885.6[/TD]
[TD] 1,143.1[/TD]
[TD] 1,343.8[/TD]
[TD] 3,372.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 36.9[/TD]
[TD] 243.3[/TD]
[TD] 178.0[/TD]
[TD] 458.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro
[/TD]
[TD] 3,564.7
[/TD]
[TD] 3,765.7
[/TD]
[TD] 2,666.5
[/TD]
[TD] 9,996.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 2.2[/TD]
[TD] 5.7[/TD]
[TD] 7.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 4,146.7[/TD]
[TD] 4,703.0[/TD]
[TD] 4,603.2[/TD]
[TD] 13,453.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 1,482.4[/TD]
[TD] 1,084.4[/TD]
[TD] 1,067.1[/TD]
[TD] 3,633.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 1.7[/TD]
[TD] 15.8[/TD]
[TD] 20.4[/TD]
[TD] 38.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 5.1[/TD]
[TD] 245.1[/TD]
[TD] 126.6[/TD]
[TD] 376.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza
[/TD]
[TD] 1,031.3
[/TD]
[TD] 910.1
[/TD]
[TD] 1,243.3
[/TD]
[TD] 3,184.7 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 19.4[/TD]
[TD] 34.9[/TD]
[TD] 31.4[/TD]
[TD] 85.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga
[/TD]
[TD] 4.9
[/TD]
[TD] 14.1
[/TD]
[TD] 15.8
[/TD]
[TD] 34.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 1.8[/TD]
[TD] 3.5[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 5.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 4.4[/TD]
[TD] 2.6[/TD]
[TD] 0.1[/TD]
[TD] 7.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 883.5[/TD]
[TD] 3,197.6[/TD]
[TD] 4,517.9[/TD]
[TD] 8,599.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 9.9[/TD]
[TD] 3.8[/TD]
[TD] 7.2[/TD]
[TD] 20.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 20,672.9 [/TD]
[TD] 23,615.3 [/TD]
[TD] 23,129.6 [/TD]
[TD] 67,417.7
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]------[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 5"]Indirect Tax (Regional wise) - Domestic Revenue Department for 2012/2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2012/13 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ilala[/TD]
[TD] 13,052.4[/TD]
[TD] 16,958.5[/TD]
[TD] 17,079.3[/TD]
[TD] 47,090.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kinondoni[/TD]
[TD] 5,205.8[/TD]
[TD] 8,330.5[/TD]
[TD] 8,810.6[/TD]
[TD] 22,346.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Temeke[/TD]
[TD] 432.9[/TD]
[TD] 3,213.8[/TD]
[TD] 3,636.2[/TD]
[TD] 7,282.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD] 6,033.4
[/TD]
[TD] 5,208.5
[/TD]
[TD] 7,045.7
[/TD]
[TD] 18,287.6 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] 95.2[/TD]
[TD] 230.2[/TD]
[TD] 209.9[/TD]
[TD] 535.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 199.7[/TD]
[TD] 558.3[/TD]
[TD] 352.3[/TD]
[TD] 1,110.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 415.5[/TD]
[TD] 766.6[/TD]
[TD] 506.0[/TD]
[TD] 1,688.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 473.1[/TD]
[TD] 602.5[/TD]
[TD] 520.7[/TD]
[TD] 1,596.3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 157.5[/TD]
[TD] 195.4[/TD]
[TD] 188.1[/TD]
[TD] 541.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro
[/TD]
[TD] 1,060.9
[/TD]
[TD] 1,192.9
[/TD]
[TD] 1,298.7
[/TD]
[TD] 3,552.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] 25.0[/TD]
[TD] 64.6[/TD]
[TD] 187.1[/TD]
[TD] 276.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 388.4[/TD]
[TD] 447.3[/TD]
[TD] 324.0[/TD]
[TD] 1,159.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 739.1[/TD]
[TD] 930.4[/TD]
[TD] 870.1[/TD]
[TD] 2,539.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 720.8[/TD]
[TD] 767.0[/TD]
[TD] 847.0[/TD]
[TD] 2,334.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 53.8[/TD]
[TD] 1,535.7[/TD]
[TD] 271.8[/TD]
[TD] 1,861.3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza
[/TD]
[TD] 1,231.5
[/TD]
[TD] 1,542.3
[/TD]
[TD] 1,831.3
[/TD]
[TD] 4,605.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 165.3[/TD]
[TD] 212.8[/TD]
[TD] 210.9[/TD]
[TD] 588.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga
[/TD]
[TD] 531.3
[/TD]
[TD] 374.7
[/TD]
[TD] 264.4
[/TD]
[TD] 1,170.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 103.5[/TD]
[TD] 108.2[/TD]
[TD] 138.2[/TD]
[TD] 349.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 342.4[/TD]
[TD] 377.0[/TD]
[TD] 338.3[/TD]
[TD] 1,057.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 149.4[/TD]
[TD] 1,025.3[/TD]
[TD] 919.1[/TD]
[TD] 2,093.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 93.1[/TD]
[TD] 122.4[/TD]
[TD] 122.9[/TD]
[TD] 338.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] 37.7[/TD]
[TD] 259.5[/TD]
[TD] 236.8[/TD]
[TD] 534.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 31,707.6 [/TD]
[TD] 45,024.4 [/TD]
[TD] 46,209.5 [/TD]
[TD] 122,941.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]----------[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 5"]Customs and Excise (Regional wise) - Department for 2012/2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2012/13 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]D'Salaam SC[/TD]
[TD] 206,972.3[/TD]
[TD] 233,347.1[/TD]
[TD] 209,441.3[/TD]
[TD] 649,760.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MJKNIA[/TD]
[TD] 4,439.4[/TD]
[TD] 4,951.6[/TD]
[TD] 3,842.0[/TD]
[TD] 13,233.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD] 4,147.7
[/TD]
[TD] 3,195.3
[/TD]
[TD] 3,371.5
[/TD]
[TD] 10,714.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 69.9[/TD]
[TD] 74.1[/TD]
[TD] 144.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 0.3[/TD]
[TD] 1.1[/TD]
[TD] 1.5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 7.4[/TD]
[TD] 28.8[/TD]
[TD] 13.9[/TD]
[TD] 50.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 885.6[/TD]
[TD] 1,143.1[/TD]
[TD] 1,343.8[/TD]
[TD] 3,372.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 36.9[/TD]
[TD] 243.3[/TD]
[TD] 178.0[/TD]
[TD] 458.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro
[/TD]
[TD] 3,564.7
[/TD]
[TD] 3,765.7
[/TD]
[TD] 2,666.5
[/TD]
[TD] 9,996.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 2.2[/TD]
[TD] 5.7[/TD]
[TD] 7.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 4,146.7[/TD]
[TD] 4,703.0[/TD]
[TD] 4,603.2[/TD]
[TD] 13,453.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 1,482.4[/TD]
[TD] 1,084.4[/TD]
[TD] 1,067.1[/TD]
[TD] 3,633.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 1.7[/TD]
[TD] 15.8[/TD]
[TD] 20.4[/TD]
[TD] 38.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 5.1[/TD]
[TD] 245.1[/TD]
[TD] 126.6[/TD]
[TD] 376.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza
[/TD]
[TD] 1,031.3
[/TD]
[TD] 910.1
[/TD]
[TD] 1,243.3
[/TD]
[TD] 3,184.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 19.4[/TD]
[TD] 34.9[/TD]
[TD] 31.4[/TD]
[TD] 85.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga
[/TD]
[TD] 4.9
[/TD]
[TD] 14.1
[/TD]
[TD] 15.8
[/TD]
[TD] 34.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 1.8[/TD]
[TD] 3.5[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 5.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 4.4[/TD]
[TD] 2.6[/TD]
[TD] 0.1[/TD]
[TD] 7.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 883.5[/TD]
[TD] 3,197.6[/TD]
[TD] 4,517.9[/TD]
[TD] 8,599.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 9.9[/TD]
[TD] 3.8[/TD]
[TD] 7.2[/TD]
[TD] 20.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 227,645.2 [/TD]
[TD] 256,962.4 [/TD]
[TD] 232,570.9 [/TD]
[TD] 717,178.5 [/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Source: TRA
--------------- Adharusi, naomba na wewe utupe Source ya madai ya Zitto tusije tukawa tunazungushana tu kama vile hatujui tulikotoka na tunakokwenda.
 
Last edited by a moderator:
Adharusi, unajua tatizo lako ni nini? Ni kudandia hoja bila kufuatilia kinachoendelea...siju hii ni kwa makusudi au kwa udhaifu wa ufuatiliaji. Swali la nani anachangia zaidi lilimalizwa pale takwimu zilipotolewa lakini wewe bado kwa malengo unayoyajua unaturudisha kule kule. Ngoja nikukumbushe kwa kutumia takwimu alizotuletea Mchambuzi

[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD="colspan: 5"]Direct Tax (Regional wise) - Domestic Revenue Department for 2012/2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2012/13 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MJKNIA[/TD]
[TD] 4,439.4[/TD]
[TD] 4,951.6[/TD]
[TD] 3,842.0[/TD]
[TD] 13,233.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD] 4,147.7
[/TD]
[TD] 3,195.3
[/TD]
[TD] 3,371.5
[/TD]
[TD] 10,714.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 69.9[/TD]
[TD] 74.1[/TD]
[TD] 144.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 0.3[/TD]
[TD] 1.1[/TD]
[TD] 1.5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 7.4[/TD]
[TD] 28.8[/TD]
[TD] 13.9[/TD]
[TD] 50.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 885.6[/TD]
[TD] 1,143.1[/TD]
[TD] 1,343.8[/TD]
[TD] 3,372.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 36.9[/TD]
[TD] 243.3[/TD]
[TD] 178.0[/TD]
[TD] 458.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro
[/TD]
[TD] 3,564.7
[/TD]
[TD] 3,765.7
[/TD]
[TD] 2,666.5
[/TD]
[TD] 9,996.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 2.2[/TD]
[TD] 5.7[/TD]
[TD] 7.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 4,146.7[/TD]
[TD] 4,703.0[/TD]
[TD] 4,603.2[/TD]
[TD] 13,453.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 1,482.4[/TD]
[TD] 1,084.4[/TD]
[TD] 1,067.1[/TD]
[TD] 3,633.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 1.7[/TD]
[TD] 15.8[/TD]
[TD] 20.4[/TD]
[TD] 38.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 5.1[/TD]
[TD] 245.1[/TD]
[TD] 126.6[/TD]
[TD] 376.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza
[/TD]
[TD] 1,031.3
[/TD]
[TD] 910.1
[/TD]
[TD] 1,243.3
[/TD]
[TD] 3,184.7 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 19.4[/TD]
[TD] 34.9[/TD]
[TD] 31.4[/TD]
[TD] 85.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga
[/TD]
[TD] 4.9
[/TD]
[TD] 14.1
[/TD]
[TD] 15.8
[/TD]
[TD] 34.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 1.8[/TD]
[TD] 3.5[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 5.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 4.4[/TD]
[TD] 2.6[/TD]
[TD] 0.1[/TD]
[TD] 7.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 883.5[/TD]
[TD] 3,197.6[/TD]
[TD] 4,517.9[/TD]
[TD] 8,599.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 9.9[/TD]
[TD] 3.8[/TD]
[TD] 7.2[/TD]
[TD] 20.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 20,672.9 [/TD]
[TD] 23,615.3 [/TD]
[TD] 23,129.6 [/TD]
[TD] 67,417.7
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]------[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 5"]Indirect Tax (Regional wise) - Domestic Revenue Department for 2012/2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2012/13 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ilala[/TD]
[TD] 13,052.4[/TD]
[TD] 16,958.5[/TD]
[TD] 17,079.3[/TD]
[TD] 47,090.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kinondoni[/TD]
[TD] 5,205.8[/TD]
[TD] 8,330.5[/TD]
[TD] 8,810.6[/TD]
[TD] 22,346.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Temeke[/TD]
[TD] 432.9[/TD]
[TD] 3,213.8[/TD]
[TD] 3,636.2[/TD]
[TD] 7,282.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD] 6,033.4
[/TD]
[TD] 5,208.5
[/TD]
[TD] 7,045.7
[/TD]
[TD] 18,287.6 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] 95.2[/TD]
[TD] 230.2[/TD]
[TD] 209.9[/TD]
[TD] 535.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 199.7[/TD]
[TD] 558.3[/TD]
[TD] 352.3[/TD]
[TD] 1,110.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 415.5[/TD]
[TD] 766.6[/TD]
[TD] 506.0[/TD]
[TD] 1,688.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 473.1[/TD]
[TD] 602.5[/TD]
[TD] 520.7[/TD]
[TD] 1,596.3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 157.5[/TD]
[TD] 195.4[/TD]
[TD] 188.1[/TD]
[TD] 541.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro
[/TD]
[TD] 1,060.9
[/TD]
[TD] 1,192.9
[/TD]
[TD] 1,298.7
[/TD]
[TD] 3,552.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] 25.0[/TD]
[TD] 64.6[/TD]
[TD] 187.1[/TD]
[TD] 276.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 388.4[/TD]
[TD] 447.3[/TD]
[TD] 324.0[/TD]
[TD] 1,159.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 739.1[/TD]
[TD] 930.4[/TD]
[TD] 870.1[/TD]
[TD] 2,539.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 720.8[/TD]
[TD] 767.0[/TD]
[TD] 847.0[/TD]
[TD] 2,334.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 53.8[/TD]
[TD] 1,535.7[/TD]
[TD] 271.8[/TD]
[TD] 1,861.3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza
[/TD]
[TD] 1,231.5
[/TD]
[TD] 1,542.3
[/TD]
[TD] 1,831.3
[/TD]
[TD] 4,605.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 165.3[/TD]
[TD] 212.8[/TD]
[TD] 210.9[/TD]
[TD] 588.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga
[/TD]
[TD] 531.3
[/TD]
[TD] 374.7
[/TD]
[TD] 264.4
[/TD]
[TD] 1,170.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 103.5[/TD]
[TD] 108.2[/TD]
[TD] 138.2[/TD]
[TD] 349.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 342.4[/TD]
[TD] 377.0[/TD]
[TD] 338.3[/TD]
[TD] 1,057.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 149.4[/TD]
[TD] 1,025.3[/TD]
[TD] 919.1[/TD]
[TD] 2,093.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 93.1[/TD]
[TD] 122.4[/TD]
[TD] 122.9[/TD]
[TD] 338.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] 37.7[/TD]
[TD] 259.5[/TD]
[TD] 236.8[/TD]
[TD] 534.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 31,707.6 [/TD]
[TD] 45,024.4 [/TD]
[TD] 46,209.5 [/TD]
[TD] 122,941.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]----------[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 5"]Customs and Excise (Regional wise) - Department for 2012/2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2012/13 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]D'Salaam SC[/TD]
[TD] 206,972.3[/TD]
[TD] 233,347.1[/TD]
[TD] 209,441.3[/TD]
[TD] 649,760.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MJKNIA[/TD]
[TD] 4,439.4[/TD]
[TD] 4,951.6[/TD]
[TD] 3,842.0[/TD]
[TD] 13,233.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD] 4,147.7
[/TD]
[TD] 3,195.3
[/TD]
[TD] 3,371.5
[/TD]
[TD] 10,714.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 69.9[/TD]
[TD] 74.1[/TD]
[TD] 144.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 0.3[/TD]
[TD] 1.1[/TD]
[TD] 1.5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 7.4[/TD]
[TD] 28.8[/TD]
[TD] 13.9[/TD]
[TD] 50.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 885.6[/TD]
[TD] 1,143.1[/TD]
[TD] 1,343.8[/TD]
[TD] 3,372.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 36.9[/TD]
[TD] 243.3[/TD]
[TD] 178.0[/TD]
[TD] 458.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro
[/TD]
[TD] 3,564.7
[/TD]
[TD] 3,765.7
[/TD]
[TD] 2,666.5
[/TD]
[TD] 9,996.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 2.2[/TD]
[TD] 5.7[/TD]
[TD] 7.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 4,146.7[/TD]
[TD] 4,703.0[/TD]
[TD] 4,603.2[/TD]
[TD] 13,453.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 1,482.4[/TD]
[TD] 1,084.4[/TD]
[TD] 1,067.1[/TD]
[TD] 3,633.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 1.7[/TD]
[TD] 15.8[/TD]
[TD] 20.4[/TD]
[TD] 38.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 5.1[/TD]
[TD] 245.1[/TD]
[TD] 126.6[/TD]
[TD] 376.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza
[/TD]
[TD] 1,031.3
[/TD]
[TD] 910.1
[/TD]
[TD] 1,243.3
[/TD]
[TD] 3,184.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 19.4[/TD]
[TD] 34.9[/TD]
[TD] 31.4[/TD]
[TD] 85.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga
[/TD]
[TD] 4.9
[/TD]
[TD] 14.1
[/TD]
[TD] 15.8
[/TD]
[TD] 34.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 1.8[/TD]
[TD] 3.5[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 5.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 4.4[/TD]
[TD] 2.6[/TD]
[TD] 0.1[/TD]
[TD] 7.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 883.5[/TD]
[TD] 3,197.6[/TD]
[TD] 4,517.9[/TD]
[TD] 8,599.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 9.9[/TD]
[TD] 3.8[/TD]
[TD] 7.2[/TD]
[TD] 20.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 227,645.2 [/TD]
[TD] 256,962.4 [/TD]
[TD] 232,570.9 [/TD]
[TD] 717,178.5 [/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Source: TRA
--------------- Adharusi, naomba na wewe utupe Source ya madai ya Zitto tusije tukawa tunazungushana tu kama vile hatujui tulikotoka na tunakokwenda.
Mag3.

Soma hii kiduchu.

Thursday, 2 April 2015

Ripoti yataja mikoa 7 yenye maendeleo duni ya watu-Tanzania.

DODOMA, KIGOMA, SINGIDA, KAGERA, TABORA, SHINYANGA na PWANI ndio mikoa inayoongoza kwa maisha duni ya watuTanzania

Hayo yamo katika ripoti iliyozinduliwa Ijumaa na serikali, ripoti hiyo pia imeitaja mikoa inayoongoza kwa hali bora za maisha ya watuTanzania-kuwa ni:

-DAR ES SALAAM, ARUSHA, KILIMANJARO, IRINGA,-RUVUMA, MBEYA and TANGA.

Vigezo vilivyotumika katika utafiti uliozaa ripoti hiyo ni, wastani wa muda wa kuishi (Life expectancy, max 83.6 - min 20), expected years of schooling, upatikanaji wa maji-safi-na salama, umeme, lishe, vifo vya mama wajawazito na watoto, maendeleo ya jinsia.

Vigezo vingine ni, mazingira, kipato, umaskini, uhuru na upatikanaji wa mahitaji ya msingikama-chakula, maji na nyumba.

Utafiti huo ulifanywa na Economic & Social Research Foundation (ESRF) kwa kushirikiana na;

- National Bureau of Statistics (NBS).

- The Office of the Chief Government Statistician of-Zanzibar.

- The Department of Economics of theUniversity-of-Dar es Salaam.

Na kudhaminiwa na UN.
 
Last edited by a moderator:
Huko nyuma niliwahi kukuuliza, kwani Zitto alizungumza nini? Hukuwahi kujibu, nikaamua kukuacha tu.
Hapa nitakujibu kwasababu kuna tuhuma unazotakiwa kuthibitisha. Kwanza, tupitie hoja zako

Kufikiri tofauti maana yake ni kukubaliana na supreme au!!

Kama Jua linatoka mashariki kuelekea magharibi, hebu jaribu kutofautina na kauli hiyo ili tujue unafikiri tofauti.

Kuhusu maneno ya Kilimanjaro kuinyonya Shinyanga, hivi huoni tunafikiri tofauti kitu unachokihubiri?
Wewe unaamini hakuwa na maana hiyo, sisi tunasema ndiyo maana yake, huko si ndiko kufikiri tofauti mkuu Well, hapa huoni unathibitisha zile fikra zetu kuhusu dhana aliyokuwa nayo supreme? Mkuu kama unatumia akili kufikiri, wewe unadhani wengine wanatumia nini?

Na kama unatumia mantiki kujua Zitto kasema nini, kuna kosa gani tukitumia mantiki kuonyesha Zitto amesema Kilimanjaro inainyonya Shinyanga. Haki ya wewe jufikiri kakupa nani, na haki gani inatunyima sisi kufikiri.
Hata hivyo, Zitto alitaja serikali na maneno unayosema? Mchambuzi hapo juu kaweka takwimu, vipi mbona huzipitii ili kutusaidia sisi mabubusa?
Mkuu hebu ongea na Mchambuzi kwa takwimu ili sisi vihiyo tupate manufaa kidogo. Ukumbi wako sasa Hizi ni tuhuma nzito! Hata hivyo, mwenye jukumu la kumtia mshatkiwa hatiani ni mwendesha mashtaka.

Na hapa mwendesha mashtaka ni wewe. Ni vema ukathibitisha bila chembe ya shaka kuwa ipo chuki dhidi ya Zitto.
Hilo ni muhimu kwasababu tutafikia mahali mashtaka yakithibika basi tunawajibika kwayo

Kama chuki ni kueleza kile alichokisema, kuchambua, kutathmini , kuonya na kukemea, basi na iwe.

Hatutarudi nyuma tukishangilia wahuni wakiligawa taifa hili vipande vipande.

Narudia kusema, kauli alizitoa Zitto ambaye alipaswa kujua madhara yake kuliko mtu mwingine.

Ametoka Kigoma, ameona ya Rwanda na Burundi. Hata kama kwa jinsi fulani anaamini mgawanyiko au ana vinasaba vinavyoelekeza huko, Tanzania itakuwa ya wajinga, wakikaa kimya, kupiga manyanga, kufumga vibwewe na njuga kumshangilia supreme.

Supreme ameshaonja utamu wa kugawanya watu, anakoelekea sasa hatukubaliani naye.

Afanye siasa zake, atuachie taifa letu. Akipita ana hubiri habari njema usiku na mchana, hutatusikia wengine.

Akitumbukiza sumu, tutatoka tulipo na kukemea. Hatutarajii itawapendeza wote, lakini wengi watapendezwa na wachache kama wewe watakirihika.

Kuhusu kuandika, siombi yatokee yasiyotarajiwa kwani si lengo letu.

Zitto ni mwanasiasa na ana haki ya kushiriki mambo ya nchi kama mwananchi na mwanasiasa.

Nguruvi3:

Isn't Zitto using your cook book? Do you recall the debate you brought here to discussion the contribution of Zanzibar in the union? The fiery attitude you displayed in that debate is similar to that Zitto.
 
A.

Mag3 je una proof yeyote kuonyesha haya uliyoyaandika ( ya zamani au yajayo) , ili yasionekane hekaya au fiction?

B.

Pia unieleze mechanism ya aina ya usaliti anaoufanya zitto ili kashkash zake akiwa PAC na mambo aliyoyafanya against CCM na serikali yake yaonekane ni usanii
1. uhusika wake kwenye escrow ( ambapo chadema nao waliunga mkono) na effects zake kwenye serikali kupelekea kujiuzulu viongozi wengi
2. Madudu kibao au fedha kibao zilizotangazwa kuibiwa AU kutumiwa vibaya na serikali ya CCM akiwa PAC
3. fedha za uswiss/ elezea kuwa ni usanii wa zitto na ccm ( usichanganye kusema anataka sifa) post yako inaelezea kinaga ubaga uhusika wa zitto kuwa katumwa na ccm....just spill out the proof

C

I cant list all of them, just elezea kinagaubaga aina hii ya siasa za zitto za kutumika kwenye serikali ambayo yeye ni no. moja kuwadhalilisha na kuwaonyesha ubaya wao

Unaweza ukaweka kabisa ukataja hata watu ndani ya CCM, specific ambao wana mastermind mambo ambayo wengi hawayaelewi

mfano elezea: kuwa escrow ilipangwa na CCM, ikaibuliwa na kafulila, kisha ilipangwa kwenda bungeni kama vile na ikapangwa mawaziri wajiuzulu.....n.k just elezea vizuri

D.

Mwisho nieleze wapinzani wengine au wapenda mabadiliko kama wewe ( walioko bungeni) ambao wanajua mipango hii, aidha hawachukui hatua au wanaangalia hii filamu

Elezea hoja zao, kazi zao, upinzani wao wanaoufanya, na siasa zao wanazozifanya nje ya zile za zitto ambazo wao wanaona wako sahihi na kwa kupitia hizo CCM itaondoka madarakani
Waberoya, kwanza pole sana...najua maumivu uliyo nayo na naelewa kwa nini unaumia kiaso hicho. Naomba tukubaliane kutokubaliana...I chose never to stoop to anybody for material gain and that's why I am where I am. Ukitaka kunihusisha na Chadema, sawa. Ukweli ni kwamba UKAWA kwa sasa ndiyo inainyima CCM usingizi na kikundi chochote kinachoweza kulitia hofu hilo genge la wezi, ni rafiki yangu. Hivyo hivyo kikundi chochote kitakachohusishwa kwa namna yoyote ile na CCM ni adui yangu. Nakubali UKAWA inaweza kuwa si lolote si chochote lakini kwa sasa angalau inaitesa CCM na kuleta tumaini. Usiku mwema.
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3:

Isn't Zitto using your cook book? Do you recall the debate you brought here to discussion the contribution of Zanzibar in the union? The fiery attitude you displayed in that debate is similar to that Zitto.
Tena ninshangaa sana hili swali sijaulizwa, na nakushukuru sana kwa kulisema

Nasimama katika hoja yangu, Zanzibar haina mchango katika muungano. Period

Zanzibar ni nchi ikiwa na vyombo vyake. Haki wanayodai ni pamoja na ile ya kutawala, kupewa nafasi za uongozi, kupewa mgao wa fedha zisizowahusu na wasiochangia. Znz wana katiba na Rais wao, wana mambo yasiyotuhusu hata kidogo.
Hoja yao ni kuwa wao ni washirika wa muungano.

Kigoma, Kilimanjaro, Mtwara, Singida n.k. ni watu wa nchi moja ya Tanganyika.
Hakuna katiba ya pembeni inayowatawala, na sote tunakusanya na kugawana kutoka kikapu kimoja.

Hakuna mahali mkoa wa Tanganyika umewahi kupewa haki na hadhi kama Zanzibar.

Sisi ni wa Taifa moja Tanganyika, tuna vyombo vyote kama taifa moja.

Hivyo suala la Zanzibar halifanani na hoja ya Zitto. Tena hapa ninatetea utaifa wa Tanganyika kwa maana kuwa hatuhitaji Zitto aanze kutugawa, historia, jiografia na asili haikubaliani na hoja zake, inakubaliana na hoja zangu

Nikupe mfano, makamu wa Rais amepataikana kwa uzanzibar wake. Mawaziri wa muungano wengine wanachaguliwa kwa uzanzibar wao tu. Hakuna mkoa wa Tanganyika kiongozi anapatikana kwa u-mkoa wake.

Hawa wznz wanapewa fursa hizo kwasababu wao ni washirika ingawa ushirika wao ni wa kudai bila kuchangia
Mkoa wa mwisho kwa uchangiaji Tanganyika, unachangia zaidi ya Znz. Haipo katika orodha ni wa kubebwa tu, usione aibu kusema

Kama ZNZ watakubali kuwa mkoa mmojawapo wa Tanganyika hatutakuwa na matatizo.

Na wakikubali hatutaki kusikia upuuzi wa kugawana uongozi, katiba ya pembeni, bendera ya pembeni wala bunge la pembeni.

Nadhani unaona jinsi chungwa na kalimati yanavyotofautiana.

Hoja anazojenga Zitto na ACT zinataka kuwagawa watu wamoja na hizo tunazikataa.
Lini Shinyanga na Kilimanjaro wakawa nchi tofauti. Supreme anaelewa hilo, anachokifanya ni kutaka kuligawa taifa.

Nilisubiri sana hii hoja nikijua ataibuka nayo Mkandara, mjanja aliona itazidi kuingiza maji ndani ya jahazi

Baada ya kushindwa utetezi kwa supreme mnaona mtafute kila kitu mtupe jamvini kutuondoa katika mada
Adharusi ameulizwa na Mag3 atuletee twakimu za Zitto ! kakimbia, mambo yakipoa anaibuka na jingine

Guess what, tunajua tunaongelea nini, na siku zote huwa tumejiandaa

Hoja imepoteza mashiko na imefungwa.
 
Mchambuzi:

If I ask you to bring a post where I say "decentralization emboldens tribalism", you will find none. I have always advocate decentralization. For, Tanzania is so big for one person called 'President' to decides our fate. We have a central government for more than 50 years and it doesn't work.

Now with regard to municipalities in Tanzania, those entities cover a swath of operations including running primary schools. Tell me one local government in Tanzania that can pay salaries of teachers for one fiscal year without the intervention of the central government? If you can mention just one I will revisit my previous statement?

With respect to Texas, you are the one who brought up the issue to prove your point. The truth is the discover of gas/oil came there when the state was already above the average. Texas wasn't a primitive state that badly needed the revenues from gas to launch its own economic revolution. So the comparison you try to make here is misplaced. Why don't you use Qatar instead? Can Mtwara be the next Qatar? Furthermore, why do you like to use tax collections to score points? Why don't you use GDP? The contribution of the gas/oil sector in Texas is about 7-10% of the state GDP. Tell me if that is small.

I am not here to deceive people of Mtwara. I am here to tell them the truth that gas is theirs if they don't fight for what's theirs, nobody will. They shouldn't afraid to make mistakes because they won't be the first.

Finally, let me talk about Zitto. What Zitto said isn't new. In daily conversations, many Tanzanians who aren't from Kilimanjaro harbor the same view.
Zakumi,

Local government authorities account for about 6% to 10% of tax revenues collected annually countrywide. Majority of this goes to finance operations costs - salaries and allowances. So you are wrong to say that LGAs can't even pay salaries for their employees. You should have said that LGAs don't have enough funds to finance development projects in their jurisdictions, and thats where subsidies in terms of transfers from central government becomes handy.

About GDP- tax revenues argument,while the international development community is in the final stage of getting rid of GDP as a measure of economic well being in the society, looks like you have decided to stick your head into the past. I will return to explain further...

Lastly about Zitto, it's the "HOW said" that we are talking about here, not the "WHAT said".
 
Last edited by a moderator:
wakuu wa mnakasha kuna maswali kadhaa najiuliza, hivi ni kwanini Kiongozi mkuu anapata support kubwa toka kwa viongozi wa CCM? (mfano Mh. Mwigulu Nchemba alimlilia sana KM alivyofukuzwa uanachama)
lakini pia kuna wajumbe wa mnakasha huu hapo kabla walikuwa watetezi wakubwa wa serikali ya CCM na CCM kwa ujumla kama huyu Ritz , imekuaje sasa wamekuwa watetezi wakuu wa Kiongozi Mkuu (KM)? lini walitangaza kuhamia ACT-wazalendo?

Kinacho nishangaza Zaidi ni ukimya wa Zitto juu Ya unconditional support anayopata kutoka kwa Viongozi waandamizi wa Chama cha mapinduzi. Does this break him or make him?

Upinzani kazi yake ni kutoa mbadala wa Serikali kwa wananchi. Je upinzani wa ACT ni mbadala wa serikali Ya CCM? Kwa yepi?
Ritz, adhurusi, Mkandara, tusaidieni tafadhali na ufafanuzi juu Ya Suala hili.
 
Last edited by a moderator:
Waberoya, kwanza pole sana...najua maumivu uliyo nayo na naelewa kwa nini unaumia kiaso hicho. Naomba tukubaliane kutokubaliana...I chose never to stoop to anybody for material gain and that's why I am where I am. Ukitaka kunihusisha na Chadema, sawa. Ukweli ni kwamba UKAWA kwa sasa ndiyo inainyima CCM usingizi na kikundi chochote kinachoweza kulitia hofu hilo genge la wezi, ni rafiki yangu. Hivyo hivyo kikundi chochote kitakachohusishwa kwa namna yoyote ile na CCM ni adui yangu. Nakubali UKAWA inaweza kuwa si lolote si chochote lakini kwa sasa angalau inaitesa CCM na kuleta tumaini. Usiku mwema.

Mag3 nimeandika nini na umejibu nini?

Kesho itatungwa story/hekaya/fiction kama hiyo inayohusu mimi kutembea na mkeo au mama yako na utaiamini na kuniua bure

at least kubali kupokea matusi na majina maana umeruhusu akili yako kutumiwa na kudanganywa na wanasiasa kwa malengo yao, pole hii ni yako wewe maana hakuna ulichoweza kukijibu na kamwe hautaweza kujibu hayo maswali....believe me, hautaweza kujibu...NEVER

kumbuka kuwa wote tuna akili na kama umedanganywa wewe, wenzako hatujadanganywa........

I thought you will come out with tangible proof, hakuna sehemu niliyosema UKAWA!!!

by the way, kwa akili zako fupi unafikiri naichukia ukawa???? leo hii ukawa wakichukua nchi nitakuwa wa kwanza kushangilia ila iwe kwa kutokuua wengine wala kuchafua wengine iwe clean and credible moves

ukinifumania na ukawa na vithibitisho nimetembea na mkeo una haki ya kunifanya na kusema lolote lile inapofika kuwatangazia watu na kutunga mpaka chupi niliyovaa na gesti niliyoenda na mkeo kisa umehisi TUau unanichukia TU unakosea!!!

at least kwa wewe kushindwa kujibu yale maswali acha nikuache na wanaoudumaza ubongo wako ambao ndio level yako ya kufikiri bwana Mchambuzi na Nguruvi, at least they keep you on smiling

However, I DESIRE michango ambayo ya kujenga na strategy za kuondoa CCM kwa kuweka nafasi/kuruhusu hata ya kuukosoa upinzani, ili kuuamsha TUFIKIE LENGO! nalijua mkuu ungehusika katika hilo na kwa busara ambazo nilijua unazo

ila umekuwa mzee wa ndiyo tu, pasi kuuliza mpaka unakubali kudanganywa kitoto kabisa na kupata hasira kwa vitu ambavyo ukishirikisha ubongo kidogo tu unajua ni uongo

Tuhuma za Mbowe juu ya zitto zote ni uongo na is all about politics na madaraka! get that straight, kubali kataa akina Nyerere waliishawahi kufanya hivyo kwa akina kambona na jumbe, Mbowe alifanya hivyo pia kwa chacha wangwe!!! au Wangwe naye alikuwa msaliti??

Mag3 mchukie zitto kwa mengine ila sio tuhuma hizi mnazompaka, mchukie mwa mafanikio yake, mchukie kwa kimbelembele chake cha utaifa na kuwatibulia dili zenu za ufisadi, mchukie kwa hayo!! mchukie kwa kusimamia anayoyaamini.....
ebu weka jina lako kamili hapa na uniambie unafanya kazi wapi nitafuatilia nijue zitto amekuathiri kwa namna gani,

maana Mag3 KWA AKILI ZA KAWAIDA KABISA, HAINIINGII AKILI KUWA ETI HAUAMINI KUWA TUHUMA ZA ZITTO NI ZA KUPIKWA kweli siamini, na kama unaamini kabisa kabisa, believe me siijui familia yako, ila mnaweza kuwa mna tatizo la akili la kurithi, na likely umezaa watoto wenye mtindio.....believe me, chuki zenu kwa zitto sio issues za usaliti, kawatibulia chakula yenu ya ufisadi


bora kukaa na mtoto ukaongea vitu vya busara na ukapata jambo jipya, kuliko kuongea na mzee mpumbavu aliyekuwa na mitazamo hasi na frustration aliyejaa chuki zisizo na tija

I gave u second chance nione kama umekua ila kwa mara ya pili ninakudharau!! ungeweza kuthibitisha au kujibu maswali yangu kwa hoja ningekuona wa maana

nauliza maswali unanieleza habari za UKAWA ....you have exhibited high level of stupidity and foolishness ever!! na umenidharau mkuu.....ULIANDIKA POST wewe mwenyewe, ulitegemea hautaulizwa?? umetoa tuhuma na very well narrated kuhusu kuwa zitto msaliti, nakuuliza maswali machache tu, unashindwa kujibu na kutoa habari za UKAWA...mkuu kubali this time tena umechemka

na mimi nimekudharau na plz get life sitajibizana na wewe

Nguruvi na mchambuzi mfarijini huyu rafiki yenu, sidhani kama post hii ina wa exclude na nyie, kila penye jina mag3 replace na yenu kama na kama tu mnakubaliana na mawazo ya mag3, kwa kumpenda mtakubali tu!!
 
Kinacho nishangaza Zaidi ni ukimya wa Zitto juu Ya unconditional support anayopata kutoka kwa Viongozi waandamizi wa Chama cha mapinduzi. Does this break him or make him?

Upinzani kazi yake ni kutoa mbadala wa Serikali kwa wananchi. Je upinzani wa ACT ni mbadala wa serikali Ya CCM? Kwa yepi?
Ritz, adhurusi, Mkandara, tusaidieni tafadhali na ufafanuzi juu Ya Suala hili.


chuki zenu hizi zitawaua ndio maana hata maada mnarukaruka mno!

Mchambuzi unaweza kuweka vithibitisho vya unayoyasema??

ukishindwa post no #498 ina kuhu
 
Mag3 nimeandika nini na umejibu nini? Kesho itatungwa story/hekaya/fiction kama hiyo inayohusu mimi kutembea na mkeo au mama yako na utaiamini na kuniua bure at least kubali kupokea matusi na majina maana umeruhusu akili yako kutumiwa na kudanganywa...na mimi nimekudharau na plz get life sitajibizana na wewe
Hah ha haa...! I knew it, I knew it was coming. Birds of a feather fly together. Maneno yako hayana tofauti na aliyotumia Supreme Leader wako way back in 2008/2009. For your information, I am not offended, so rest easy.
 
Back
Top Bottom