Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Mchambuzi Nguruvi3 nazani wanaugua kila wanapoona Zitto anashine na amekuwa hana mbadara kwa kizazi cha kina Zitto katika siasa,na wanaumia sana kuona Zitto anakubalika Nchi mzima,anaweza kufanya mkutano sehemu yoyote TZA na watu wakaenda kumsikiliza,kabla Mnyika ajawa mtumwa kifikra kwa MBOWE alikua anakuja kuwa mshindani mzuri wa siasa kwa vijana,na angekua adhina,Mara akaanza kuwa MTU wa matusi,alimtukana Mzee Sitta,na sasa hivi siasa chafu imekua kawaida ,Zitto hana hayo anazungumza issue,hasubili madereva wagome ili haongee...
"Kumchukia Zitto katika siasa za bongo na Africa ni sawa kumchukia Messi katika soka,au Diamond katika bongo freva, utajikuta unakesha kutafuta madhahifu yake ili upate cha kusema,yeye ni binadamu hakosi madhaifu ,tunakubali,ata waraka wa mabadiriko ulisema ilo"
Namshangaa Mchambuzi anakuja na dai jipya ooh anajifananisha na Nyerere,wapi kasema?kazungumzia ujamaa ambao uliletwa kipindi cha Nyerere,baadhi ya mambo ACT itayapigania,kama usaliti ata mwalimu alikua nao,katuingiza vitani na Uganda sababu ya kutaka Obote arudi madarakani,alichofanya IDD Amin,akuanzae Mmalize.umeleta wewe Mchambuzi mambo ya Mwalimu Nyerere, maana Nguruvi3 achelewi kunishutmu Mimi nimetoka nje ya mada.
Nguruvi3 Mchambuzi kuna jambo silielewi Zitto alipola Chama au alianzisha Chama?maana mnanichanganya nyie Manguri wa siasa,mnaejua mpaka maisha ya baadae ya siasa ya Zitto
Kila jambo litakalo letwa(social media),kuandikwa (magazeti),tena likiwa Hasi kwa Zitto Nguruvi3 hataki kutumia akili yake kuhoji,atalimeza kama lilivyo,na kumtaka Zitto aje kukanusha,vinginevyo anausika,wakati kuna mambo mengi Zitto amekanusha,waraka,usalama wa Taifa,n.k lakini Nguruvi3 hataki kukubali,sasa sijui kwa nini anataka awe anakuja kukanusha kitu ambacho hawezi kukubali
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3,
Pengine wewe unakijua kiswahili vizuri kuliko sisi, ebu tuambie kama chama kinatumia neno viongozi, itifaki ya Uongozi wa chama Kitaifa toka juu utasemaje? maana akiitwa Rais wa chama ndio mtammaliza kabisa kwamba aliutaka urais kajipa chamani..Sasa ulitaka watumie jina gani haswa..
Hata sijui kwanini watu hatuelewani ikiwa tunaelewana kwa namna ile ile. Ni hivi hakuna tatizo na jina na wala hilo siyo issue kabisa.

Katiba imemtambua kama kiongozi mkuu, tunaweza kutumia kifaransa au kiyunani katika maana hiyo hiyo. Sisi tuisojua lugha tunatumia hii ya malkia aliyotuachia yaani supreme leader. Ni maana ile ile kiongozi mkuu, tatizo li wapi jamani?

Wengine wanaita tomato wengine tometo, mwisho wa siku tunajua ni nyanya, tatizo lipo wapi wakuu?

Hebu hili tuliweke pembeni, atakayemwita masiah, mhusika mkuu, kiongozi mkuu au supreme au Sup ni matakwa tu, sote tunajua ni nani. Tuliache hili jamani, tusiingilie katiba ya ACT. Hapo tutakuwa tunatafuta ubaya tu bila sababu

Tuangalie hili la kusema wale wanapora rasilimali za wale. Ni kweli jamani K'njaro inawapora Washinyanga?
 
Mchambuzi Nguruvi3 nazani wanaugua kila wanapoona Zitto anashine na amekuwa hana mbadara kwa kizazi cha kina Zitto katika siasa,na wanaumia sana kuona Zitto anakubalika Nchi mzima,anaweza kufanya mkutano sehemu yoyote TZA na watu wakaenda kumsikiliza,kabla Mnyika ajawa mtumwa kifikra kwa MBOWE alikua anakuja kuwa mshindani mzuri wa siasa kwa vijana,na angekua adhina,Mara akaanza kuwa MTU wa matusi,alimtukana Mzee Sitta,na sasa hivi siasa chafu imekua kawaida ,Zitto hana hayo anazungumza issue,hasubili madereva wagome ili haongee...
"Kumchukia Zitto katika siasa za bongo na Africa ni sawa kumchukia Messi katika soka,au Diamond katika bongo freva, utajikuta unakesha kutafuta madhahifu yake ili upate cha kusema,yeye ni binadamu hakosi madhaifu ,tunakubali,ata waraka wa mabadiriko ulisema ilo"
Namshangaa Mchambuzi anakuja na dai jipya ooh anajifananisha na Nyerere,wapi kasema?kazungumzia ujamaa ambao uliletwa kipindi cha Nyerere,baadhi ya mambo ACT itayapigania,kama usaliti ata mwalimu alikua nao,katuingiza vitani na Uganda sababu ya kutaka Obote arudi madarakani,alichofanya IDD Amin,akuanzae Mmalize.umeleta wewe Mchambuzi mambo ya Mwalimu Nyerere, maana Nguruvi3 achelewi kunishutmu Mimi nimetoka nje ya mada.
Nguruvi3 Mchambuzi kuna jambo silielewi Zitto alipola Chama au alianzisha Chama?maana mnanichanganya nyie Manguri wa siasa,mnaejua mpaka maisha ya baadae ya siasa ya Zitto
Kila jambo litakalo letwa(social media),kuandikwa (magazeti),tena likiwa Hasi kwa Zitto Nguruvi3 hataki kutumia akili yake kuhoji,atalimeza kama lilivyo,na kumtaka Zitto aje kukanusha,vinginevyo anausika,wakati kuna mambo mengi Zitto amekanusha,waraka,usalama wa Taifa,n.k lakini Nguruvi3 hataki kukubali,sasa sijui kwa nini anataka awe anakuja kukanusha kitu ambacho hawezi kukubali
Kama tungetafuta maneno pembeni kweli tungekuwa na chuki. Tunachoonyesha hapa ni kile alichosema. Kwa kutumia akili ndogo tulizo nazo pamoja na kaujinga tunahoji hivi

1. Je, si kweli Zitto aliahusishwa na Waraka? Kitila na Mwigamba watanitetea kama hili ni chuki
2. Je, Je si kweli kuwa Zitto alianzisha tuhuma kupitia PAC ili kukihujumu chama chake?
3. Je, si kweli kuwa ACT wamebadili katiba kama walivyolalamika ile ya CDM kubadilishwa kinyemela?
4. Je, si kweli kuwa Supreme leader aliongoza magenge ya vijana(wamemtaja wao) kuleta vurugu ndani ya CDM
5. Je, si kweli kuwa Zitto alitoka nje ya BMLK
6. Je, si kweli kuwa alisema kutoka nje ni makosa? Lengo lake lilikuwa kufikia hatua gani alipotoka nao?
7. Je, si kweli kuwa alikwenda mahakamani kuvuta muda wa Ubunge wake
8. Je, si kweli kuwa aliungana na CCM katika kunadi wagombea Urais wengine na si wa chama chake?
9. Je, si kweli kuwa supreme alikwenda Shinya na Mwanza kueleza kuhusu mgawanyo wa rasilimali za nchi hii?
10. Je, si kweli kuwa alituhumu K'njaro/Arusha kuchangia kidogo katika pato la taifa na kuchukua zaidi?
11. Je, si kweli kuwa alisema Shinyanga inachangia zaidi na kupata kidogo kuliko Kilimanjaro na Arusha
12. Je, si kweli kuwa katiba ya ACT ilibadilishwa ili kuunda rasimi nafasi iliyokuwa haipo kwa ajili ya mh Sup

Katika hayo chuki ipo wapi?
 
Mchambuzi:
Ujamaa comes in many forms and as a matter of fact a person doesn’t need to follow Azimio la Arusha to be mjamaa. So he might as well follow the Swedish or British model of socialism. Who knows?

Furthermore, Azimio la Arusha isn’t a constitutional document or the law of the land. It was an ideological document which rose to prominence during the era of the single party system. Back then, the ruling party used to align its ideologies with the business of running the government. But that practice doesn’t exist anymore, and I don’t know why you try to build your argument using irrelevant document.

Yes Zitto isn’t Nyerere. But the thing you need to understand is many Tanzanians don’t know Nyerere very well. This is because during his reign he was the real supreme leader. He controlled media outlets and every aspect of our lives. We didn’t know what was going on within our own country without his permission. So why do you want to compare him with Zitto or any modern Tanzanian politician for that matter?
Zakumi,

Zitto amesema kwamba Yeye ni muumini wa Azimio la Arusha, na kwamba nia Ya ACT wazalendo ni kulirejesha Azimio hilo. Zitto amesema Yeye ni mjamaa, na amejiweka wazi kwamba nia yake ni kuvaa viatu Vya mwalimu Nyerere kutetea wanyonge. You didn't know? Hajasema lolote juu Ya Sweden, Britain au China. Ndio maana tunahoji ujamaa wa Zitto, uzalendo wa Zitto kwa mujibu wa Azimio la Arusha. Tunasubiri majibu.
 
Last edited by a moderator:
Mchambuzi[/MENTION] kuna jambo silielewi Zitto alipola Chama au alianzisha Chama?maana mnanichanganya nyie Manguri wa siasa,mnaejua mpaka maisha ya baadae ya siasa ya Zitto

Zitto alianzisha ACT lini?

Alipeleka Katiba, nembo na bendera kwa msajili wa vyama lini?

Bendera, katiba na nembo alizopeleka zilikuwa zipi?

Alifanya all the above Akiwa mwanachama wa Chama gani cha Siasa?

Kesi iliyopo mahakamani, Ya Limbu dhidi Ya genge la Zitto, msingi wake wa Madai ni nini?
 
Last edited by a moderator:
Alinda.

Awali ya yote nilitaka nikupe kiduchu kuhusu nia na madhumuni ya chama chochote cha siasa duniani ni KUTAKA KUCHUKUA MADALAKA YA KUONGOZA DOLA. Hilo si kwa Tz tu bali ni kwa dunia nzima.

Sasa ili kichukue madaraka hayo ya kuongoza Dola kuna mbinu mbalimbali zinatumika katika ilani zao na hata kauli zao. Kwa upande wa Tz ulaghai na ghilba ndio zimeshika chati kubwa kwa kutumia ignorance ya wananchi wake. Ilmu ya uraia na uchumi zimewapiga chenga wengi sana huko na hivyo wanasiasa kutumia mwanya huo kuongopa na kulaghai ili kupata kura nyingi ambazo zitawafanya waweze kuchukua madaraka ya uongozi wa nchi.


Mimi kama mchumi niliyesheheni nakwambia CHUKUA ILANI YA CHAMA CHOCHOTE HUKO TZ itazame kwa jicho la kiuchumi utaona hakuna ilani inayoweza kutekelezeka kwa kipindi cha miaka mitano kutokana na mfumo wenu wa bajeti (Cash Budget), mfumo wenu wa kodi na makusanyo yake, mipango na mikakati ya nchi ikiwemo seriousness ya watawala katika kuinua uchumi na mwisho UZALENDO wa wananchi na viongozi katika kulinda rasilimali za nchi yenu Na tatizo sugu la ubinafsi na RUSHWA.

Labda nikwambie ukisema Zitto msomi unakosea Zitto si msomi katika wasomi na wala si mwanasiasa bora miongoni mwa wanasiasa bora huko Tz. Zito ni mchanga sana kielimu na hata Degree zake bado hazijakauka wino uliosainiwa na mtoto mchanga sana katika siasa.

Kama ukizungumzia Ulaghai na Ghilba hizi zilianza toka enzi za Nyerere na wengine walifuata. Kumbuka Nyerere aliwaambia wananchi wake wafunge mikanda ya kiuchumi kwa miezi 18 baada ya vita ya Uganda. Jiulize je ilipofika miezi 18 aliwaambia wafungue? je unajuwa kwanini?

Kifupi tatizo la Tz ni kuwa Siasa ndio zimeshika hatamu za uongozi hata katika mambo ya kitaalamu kama uchumi. Viongozi wengi sana huko wanatumia siasa katika mambo ya uchumi matokeo yake ni kuikwamisha nchi. Hata huo mgomo wa madereva utaona wanatatua kisiasa tu wakati ni jambo serious linalohusu maisha ya watu.

Ombi langu kwa wa Tz ili waweze kuendelea wanahitajika kwanza kuwa WAZALENDO wa kuipenda na kulinda rasilimali za nchi yenu, Kuacha siasa katika mambo ya msingi ya maendeleo ya nchi yenu.

Na mwisho katika uchaguzi wenu MCHAGUE KIONGOZI SAHIHI na SIO KIONGOZI BORA. Kwani kiongozi sahihi ni yule anayefanya maamuzi sahihi yenye manufaa kwa nchi japo maamuzi hayo sometimes hayatawapendeza baadhwi ya watu. Kiongozi Bora ni yule anayefanya maamuzi yake ili kufurahisha watu japo maamuzi hayo yanaweza kuwa na athari kubwa katika maendeleo ya nchi.

Hizo ndio siasa zenu. Zito yupo correct kufuata nyayo za waliomtangulia na waliopo katika medani hiyo huko Tz.

Tuwaseme wote tusimkazie pekee Zitto. Tuuangalie mfumo mzima na sio mtu mmoja mmoja tutaonekana wabaguzi na kuacha ushabiki wa vyama.



Mkuu Barubaru nashukuru sana kwa mchango wako uliokwenda shule.

Ni kweli kuwa wanasiasa wote ni walaghai hapa na Ziitto yumo na hii imetoka na elimu duni kama ulivyosema hapo juu. Lakini hii hali hatutakiwa tuiache itamalaki tunabidi tuanza kuikomesha na tunaikomesha pale tutakapo anza kumuweka kikaangoni wanasiasa mmoja baada ya mwingine na kuwambia "hapana ili jambo ni uongo" tukiwaacha waendelee kufaidika kwa kupitia migongo yetu tutakuwa hatujatenda haki kwa taifa letu na hatuwatendei haki watoto wetu. Maana unafahamu kuwa tunadanganywa na si tunakaa kimya na kutegemea kuwa hawa watu ipo siku wataanza kutuonea huruma na kutimiza ahadi zao kitu ambacho hakitakaa kitokee.

Naelewa kuwa siasa ni lazima "kauongo kawemo" lakini basi haka kauongo kafanane ukweli, Mfn mwanasiasa anapokwenda kutoa ahadi ya kujenga bara bara, na baada ya kuchanguliwa kweli akashirikiana na wananchi wa eneo husika wakatengeneza barabara ya "tope" huyu mwanasiasa alitoa ahadi na ahadi yake ameitimiza ingwaje si kwa kiwango tulichokusudia. Lakini inapotokea mwanasiasa akaenda Dodoma na kutoa ahadi ya kuleta meli Dodoma kitu ambacho hata huyu mwanasiansa nafahamu fika ni uongo hawezi kufanya kitu cha namna hiyo, na sie watu wazima tukamucha endelee na ulaghai wake, hapa tukakuwa hatujajitendea haki, hatujalitendea haki taifa letu na hutujawatendea haki watoto na wajukuu wetu.. Mwanasiasa wa namna hii dawa yake ni kwambia ukweli kuwa "uongo wako ukomee hapa hapa hiki kitu hakiwezekeni" na tukifanya hivi basi huyu mwanasiasa ataogopa atafahamu kuwa hawa watu si wajinga tena, "hivyo hata mie inabidi nitanye siasa zinazoelekea katika ukweli".

Hebu tumuangalie Zitto na chama chake.. Sote hapa ni mashaidi kuwa wakati Ztto, Kitila, Mwigamba wako Chadema, walikuwa watetezi wakubwa wa Chadema, walitembea vifua mbele wakitetea sera za chama, katiba ya chama na nk. Ni kwa nini walifanya haya? Walifanya haya kwa sababu katika moyoni yao waliamini sera za chama, walipikwa wakaiva na Chadema, hawakuteteleka kuelezea sera za chama kwa sababu zinaeleweka na zinatekelezeka.

Sasa basi tujiulize ni kwanini watu hawa hawa walioshinda humu ndani kujibu hoja tofauti tofauti zinazohusu Chadema, Wako wapi? mbona hatuwaoni wakijibu maswali, wakieleze sera za chama chao? je ni kweli watu hawa hawamo humu ndani? Je ni kweli hawana muda? Jibu ni wamo humu ndani tena Zitto amekuwa akileta mada mbali mbali zihusuzo ufisadi (jambo ambalo ni jema) lakini hatumuoni kabisa hakijibu hoja za watu mbali mbali kuhusu chama chake, kuhusu sera za chama chake, kuhusu Unyerere alotwambia, Kuhusu sera za ujamaa (??) kuhusu azimio la Arusha kuhus uwazi waliohuribi usiku na mcana.. Amekuwa bubu si kwa sababu hasomi dukuduku wa wanaJF ni kwasababu sera za chama chao hata wao hawazielewi wanafahamu kuwa ni ulaghai, wanaogopa kuumbuliwa mapema hivyo wamebaki wasomaji tu.Sasa basi tukifika hapa ndo sie akina Alinda tunasema huu ni ulaghai, utapeli kama Kiongozi mkuu ambaye ni kioo cha chama anashindwa kuja huku kutueleza sera za chama chake ili mimi na wewe tuzielewe sasa huyu mtu aitwaje? kama si mlaghai? Na wanasiasa wa aina hii hatuwezi kumfumbia macho tuwambie ukweli kuwa wakati wa ulaghai umepitwa na wakati huu ni wakati wa ukweli.. Na hii si kwa Zitto to bali ni kwa wanasiasa wote kwenye hulka km za Zitto na wale wote wanaotaka utajiri wa haraka haraka kwa kupitia uelewa duni wa wananchi. Ndo hapo ninachukua fursa hii kumpongeza Nguruv3 kwa huu uzi..


Kuhusu swala la uchumi na sera za vyama vya siasa..Mimi si mchumi, inawezekana ni kweli unachokisema lakini nafikiri utatutendea haki pale unakapotumia elimu yako kufunua madudu ya hivyo vyama. Tunaomba uchambuzi wa kisomi ni jinsi gani sera zao haziwezi fanya kazi, Ukifanya hivyo utakuwa umetufumbua macho, umefumbua macho hivyo vyama na hata umelitendea haki taifa lako. Na hapo ndipo wanasiasa wataacha hizo longo longo maana watatambua tukilete longo longo kuna Barubaru.

Kuhusu siasa kushika hatamu.. Hilo ni kweli kabisa yaani Tanzania wanasiasa ni kila kitu, utamkuta yuko kwenye GAs, utamkuta yuko kwenye umeme, utamkuta yuko kwenye ujenzi wa bara bara, utamkuta yuko katika uandikaji wa katiba mpya. Yaani ni basi wanasiasa wameharibu nchi yetu.

Kuhusu Swala la Zitto kuwa mchanga katika uchumi.. Ni kweli ni mchanga ila akipewa muda anaweza kufanya vizuri..

Kuhusu Zitto kutokuwa wanasiasa mzuri.. Na hapa ni kweli ila uzuri wake ni mpenda media na ana bebwa sana na Media na ndo maana watu wanategemea makubwa kutoka kwake (maana media ndivyo zinavyotuaminisha) na pale anapofanya yale anayoyaweza ambayo ni ya kawaida tu, basi watu utaka zaidi kutoka kwake matokeo yake ni kujichanganya hapa na pale hivyo kuharibu zaidi.

Kama akichukua ushauri wa watu na kuufanyia kazi in 10yrs anaweza kuchomoza chomoza ingawaje namuona Salum Mwalimu, Myika, Kafurila, Tundu Lissu wanakuja kwa kasi na ni watu watulivu (kasoro Tundu) na si watu wa media.

Ila naye ni binadamu kila binadamu ana mapungufu zake..(hapa naongea kama mama):teeth:
 
Mkandara, Waberoya, Ritz, adhurusi:

Kwa mujibu wa Kitila Mkumbo ndani Ya gazeti la raia mwema, anasema kwamba - Chama chake cha ACT "kimechukua Muundo Mpya wa kuwa na kiongozi mkuu sambamba na mwenyekiti wa Chama ili kuepuka kutengeneza Chama Dola." Kwa maneno yake mwenyewe, kitila anasema huu ni Muundo Mpya. Mkandara et al, mnachotaka kutuelewesha ambacho ni tofauti na maneno Ya mmoja wa waasisi wa uporaji wa ACT Tanzania Kutoka kwa Akina Limbu ni nini hasa.

Kitila akaendelea kujadili kwamba Katika Nchi nyingi Barani africa, kumekuwa na vyama Dola Jambo ambalo limesababisha kunyimwa kwa demokrasia. Akatolea mifano Ya UK, South Africa na Kenya. Kwa mfano, Kwa UK anasema kwamba - Chama cha conservatives Kina kiongozi wa Chama Ambae ni David Cameroon huku wenyeviti wake wakiwa ni Akina Grant Shapps na Lord Fieldman.

Anaendelea na mifano kwamba kiongozi wa Chama cha Liberal Democrats ni Nick Clegg huku mwenyekiti wa Chama Akiwa ni Sal Brinton.

Anaenda Africa Ya kusini na kutoa mfano kwamba kiongozi wa ANC ni Jacob Zuma na mwenyekiti wa Chama ni Beleka Mbete.

Mkumbo anasema kwamba hata CCM, hiki ni Chama Dola Kwa sababu hautenganishi mwenyekiti wake na kiongozi wa serikali.

Kitila na Pengine nyie mnasahau kwamba udola wa Chama unatokana na katiba Ya Chama, sio porojo tu kama za Kitila. Kwa mfano, udola wa CCM Ambao Kitila anausemea, udola huo ni Kwa mujibu wa katiba Ya Chama cha mapinduzi (1977). Katiba hii inasema wazi Kabisa kwamba ikitokea rais wa JMT atakuwa ni mwanachama wa CCM, basi automatically atakuwa pia ni mwenyekiti wa CCM taifa. Hata kama kabla Ya urais alikuwa ni jambazi. Akipata tu urais, jambazi Huyo Mwenye cheo kipya cha uenyekiti wa CCM taifa atakuwa anaongoza vikao vyote vya Ngazi za juu vya CCM. Pia atakuwa na mamlaka Ya kuteua watendaji wakuu wa Chama Ngazi Ya taifa na mikoa. Uteuzi wake hautahojiwa na mtu wa chombo chochote.

Katiba Ya CCM (1977) haitoi fursa Kwa wanachama wengine kushindania nafasi Ya uenyekiti wa CCM taifa. Wanachofanya wajumbe wa Mkutano mkuu ni kupiga Kura Ya ndio au hapana, basi.

Hadi hapa nikuulize, zitto alishindanishwa vipi na wenzake katika nafasi yake Ya supreme leader?

Ukweli uliopo ni kwamba - supreme leader Zitto amepewa madaraka kama Ya mwenyekiti wa CCM, hakuna tofauti, kwahiyo Kitila anadanganya umma anaposema kwamba nia Ya ACT ni Kuja na cheo ambacho kitaondoa udola wa ACT. Pamoja na Elimu yake, a nasahau kwamba maneno yake sio Mazito kama yale ndani Ya Katika Ya ACT ambayo kimsingi yameleta Chama kipya Dola. Kumbuka udola wa Chama sio lazima kiwe madarakani.

Zitto kama supreme leader, hakuna mwanachama Ambae anaweza kushindanishwa nae. Huu ni udola kama uliopo ndani Ya Chama mama cha ACT, yani CCM.

Zitto as supreme leader ndio mkuu wa Chama kwenye mikutano yote mikuu au vikao vyote vikuu vya Chama. Haya yote ni Kwa mujibu wa katiba ya Chama Dola cha ACT. Supreme leader atakuwa ndiye kiongozi mkuu wa Kisiasa, Mshauri mkuu wa Chama, na mwelekezaji wa kila kitu ndani ya Chama. Walio chini yake watatakiwa kuwa watiifu tu. Hii ni sawa na Chama mama cha ACT, Chama cha mapinduzi ambacho Kitila analaghai kwamba ACT inajaribu kuachana na Mfumo huo lakini hajui kwamba katiba ya ACT inapingana nae. Pengine mgongano huu ulijitokeza kutokana na mabadiliko Ya haraka haraka waliyofanya kwenye Chama walichoibia watanzania wengine - ACT Tanzania.

Kitila asifananishe ACT na conservatives UK, Liberal Dems UK au ANC South Africa. Kwa kiwango chake cha elimu Ngazi Ya uprofesa, ilitakiwa afahamu kwamba utafiti Mdogo tu ambao hauhitaji any complex research methodology unaonyesha wazi kwamba Kwa vyama hivi vya UK, RSA hakuna kiongozi mkuu kule bali "kiongozi wa Chama", basi. Hata ANC, hakuna kiongozi mkuu wa Chama bali Kiongozi wa Chama, basi.

Na ipo tofauti kubwa sana baina Ya "kiongozi mkuu wa Chama" na "kiongozi wa Chama". Kama alivyojadili Nguruvi3, Mag3 na wengine, hadhi Ya Zitto ni sawa na hadhi Ya kiongozi mkuu wa kidini wa Iran "---------".
Mkandara, mwisho ni kwamba, kama unataka kuchukua kadi Ya ACT na kugombea Ubunge au udiwani kupitia Chama cha ACT, Mtu utakayemshinda atakubwaga mahakamani kwasababu ACT Wazalendo sio Chama halali Kwa mujibu wa Sheria Ya vyama vya Siasa. Msajili is mute Kwa sababu ACT Wazalendo ni Mpini wa CCM, lakini mbele Ya Sheria, Chama halali ni ACT Tanzania. Tutawaelimisha wananchi kutopigia Kura Chama hiki kwani Kura zao zitakuja futwa na mahakama Baada ya uchaguzi mkuu. ACT Wazalendo is a timing bomb. Mnapoteza tu muda wenu.
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha Mchambuzi believe me or not Zitto amekutawala kwa kila kitu!! to you CCM is no longer a problem!!!

Ni kweli, lakini hajanitawala mimi tu bali wananchi wenzangu Wengi ambao anawazingukia na kuwalaghai. Again, kama Zitto angekuwa ameacha Siasa na kuendesha kampuni binafsi Ya clearing and forwarding n.k, tusingekuwa na mida nae. Lakini hali haipo hivyo, hivi Sasa Yupo busy kutafuta ridhaa yetu wananchi Kwa Siasa za kisaliti, ulaghai, utapeli, uchonganishi, kwanini asinitawale? Nikuulize - nia yake si niku capture akili Ya electorate tumpe dhamana Ya uongozi? Kwa maana nyingine at atawale akili zetu Hadi siku Ya uchaguzi? Au ACT ni kampuni inayouza samaki? Tuambieni ukweli ili tujue kama soko lake Zitto ni electorate au Walaji wa samaki ili tu achane nae.


Think big bro...kama energy yako yote unaimaliza simply kwa sababu unamchukia huyu mtu.....then he is bigger..higher...far higher than you

chuki mbaya ...majina yote muiteni; he will grow up ....atakuwa kiongozi mkubwa; just train your son aje kumzidi...ila sio wewe

Simchukii Zitto bali matendo na kauli zake. Nipo katika rekodi Ya kumuunga Mkono na kumuona kama an inspiration before the expiration. Zitto katika Siasa hatufai, kapoteza sifa zote za kiongozi anayehitajika na watanzania. Akiamua kuwa mwalimu chuo Kikuu au mtafiti na kuandika juu Ya masuala mbalimbali Ya kiuchumi na kijamii, nadhani bado ana objectivity Ya kutosha, atachangia mengi Kwa taifa. Lakini sio nafasi Ya uongozi, Zitto ni sumu.


post zako za mwisho umenichekesha umemuita majina yote!! umemaliza?
Ndio. Kwa hoja, nimemuita Msaliti, mlaghai, tapeli wa Kisiasa, kigeugu, mchonganishi, kwanini haupingi haya Kwa hoja?

walisema kafa kisiasa, akiondoka cdm ndo bas tena.....yako wapi?

Kuisha Kisiasa Kuna maana kuu mbili. Kwanza ni kufilisika kimawazo na kifikra, pili kupoteza nafasi Ya uongozi wa Kisiasa. Kifikra, maono na mawazo yenye Maslahi Ya taifa, Zitto ameshafilisika. Tumejadili kwanini lakini hamjibu hoja. Kufilisika Kisiasa Kwa maana Ya kupoteza nafasi Ya uongozi, ameshapoteza Akiwa Chadema kutokana na usaliti, amepata uongozi ACT kupitia uporaji wa demokrasia. Kura za wajumbe waliompigia Kura ni wananchi waliokotwa okotwa tu Kimara, Ubungo...

Sasa anasubiria kupoteza ubunge. Hana tena sifa za kuwa Mbunge wa upande wa upinzani. Wananchi watamkataa. Mark my words.


believe me in the next ten years utamwona akipaa sana...na utakuwa ukiandika sana . he is just himself ndio tatizo lake....
Akipaa kwenda Wapi? Kwa Siasa zipi, za Kubagua watanzania? Kusaliti watafuta mabadiliko?

Upo sahihi, sitaacha kuandika. Nimejipanga kuandika makala Ya kila wiki za kukataa hatari anayotaka kuwaletea watanzania.

wewe mchambuzi sio wewe huwezi ukajisimamia ndio maana sijui uko ccm au chadema? u used to wear ccm uniform just recently ha ha hw

Nimefukuzwa Kwa usaliti kama Zitto?
 
Kitila akaendelea kujadili kwamba Katika Nchi nyingi Barani africa, kumekuwa na vyama Dola Jambo ambalo limesababisha kunyimwa kwa demokrasia. Akatolea mifano Ya UK, South Africa na Kenya. Kwa mfano, Kwa UK anasema kwamba - Chama cha conservatives Kina kiongozi wa Chama Ambae ni David Cameroon huku wenyeviti wake wakiwa ni Akina Grant Shapps na Lord Fieldman.

Anaendelea na mifano kwamba kiongozi wa Chama cha Liberal Democrats ni Nick Clegg huku mwenyekiti wa Chama Akiwa ni Sal Brinton.

Anaenda Africa Ya kusini na kutoa mfano kwamba kiongozi wa ANC ni Jacob Zuma na mwenyekiti wa Chama ni Beleka Mbete.

Mkumbo anasema kwamba hata CCM, hiki ni Chama Dola Kwa sababu hautenganishi mwenyekiti wake na kiongozi wa serikali.

Kitila na Pengine nyie mnasahau kwamba udola wa Chama unatokana na katiba Ya Chama, sio porojo tu kama za Kitila. Kwa mfano, udola wa CCM Ambao Kitila anausemea, udola huo ni Kwa mujibu wa katiba Ya Chama cha mapinduzi (1977). Katiba hii inasema wazi Kabisa kwamba ikitokea rais wa JMT atakuwa ni mwanachama wa CCM, basi automatically atakuwa pia ni mwenyekiti wa CCM taifa. Hata kama kabla Ya urais alikuwa ni jambazi. Akipata tu urais, jambazi Huyo Mwenye cheo kipya cha uenyekiti wa CCM taifa atakuwa anaongoza vikao vyote vya Ngazi za juu vya CCM. Pia atakuwa na mamlaka Ya kuteua watendaji wakuu wa Chama Ngazi Ya taifa na mikoa. Uteuzi wake hautahojiwa na mtu wa chombo chochote.

Katiba Ya CCM (1977) haitoi fursa Kwa wanachama wengine kushindania nafasi Ya uenyekiti wa CCM taifa. Wanachofanya wajumbe wa Mkutano mkuu ni kupiga Kura Ya ndio au hapana, basi.

Mchambuzi unajua kuna baadhi ya wakati tunasoma vitabu kupita kiasi. Huwa nawadharau sana wanaoangalia zaidi nje na kuacha kuangalia hapa ndani. Zitto ni mahiri kwenye kuongea, lakini Kitila ni mchanga sana kwenye siasa kubwa. Huwezi kusema kwa kuwa UK, SA na Kenya kuko hivi basi Tanzania nako kuwe hivi. Huwezi kusema kwa kuwa Marekani kuko hivi basi tanzania na sisi tufuate hivyo.

Ndio maana nasema tunaweza kuwa na uhuru, lakini uhuru wetu unatakiwa kuongozwa na wajibu. Tamaa iliua fisi, haya ndio mambo pekee ninayoweza kuwaambia ZZK na Kitila. Kwa kuwa fulani aligombea na kuwa mwenyekiti Uingereza, au kwa kuwa fulani Uingereza ni "supreme" haina maana kuwa wazo hilo linafaa kwa Tanzania. To serve the course you do not have to be Chairman alone, you can be a member and if your ideas are strong, they can well guide the whole organisation to work.
 
Zakumi,

Zitto amesema kwamba Yeye ni muumini wa Azimio la Arusha, na kwamba nia Ya ACT wazalendo ni kulirejesha Azimio hilo. Zitto amesema Yeye ni mjamaa, na amejiweka wazi kwamba nia yake ni kuvaa viatu Vya mwalimu Nyerere kutetea wanyonge. You didn't know? Hajasema lolote juu Ya Sweden, Britain au China. Ndio maana tunahoji ujamaa wa Zitto, uzalendo wa Zitto kwa mujibu wa Azimio la Arusha. Tunasubiri majibu.

Mchambuzi:

I am politically passive. But one day, out of curiosity, I attended CDM meeting in my local area. Mbowe was in the house. So did Sugu and other party officials. The climax of the meeting was Mbowe's speech. He gave a long rambling one and he literary pulled some lines from Nyerere's textbooks.

Even though other members of the audience went wild in support of the speech, I thought that the guy wasn't sincere in the sense that he's a wealth businessman and if he wants to help people, he should have started long time ago. After I probed, I found out that CDM made a strategic decision to move the party from right to left. One the paper, the central creed of the part will remain same (the center right). However, on the campaign trails, the party will not shy away from leftist and populist ideas. This pragmatic approach don't hurt CDM because many voters aren't attuned to political philosophies in the books.

The point I want to make is while they were still active members of CDM, ACT leaders learned this strategy and probably they were its architects. They saw it working and they know if you want to capture the attentions of Tanzanian voters and make your name, don't go to the right. Go to the left and be a populist.

Is that a crime? It isn't. Are they morally correct? They aren't. They deceive people the same other politicians do.
 
Mchambuzi:

I am politically passive. But one day, out of curiosity, I attended CDM meeting in my local area. Mbowe was in the house. So did Sugu and other party officials. The climax of the meeting was Mbowe's speech. He gave a long rambling one and he literary pulled some lines from Nyerere's textbooks.

Even though other members of the audience went wild in support of the speech, I thought that the guy wasn't sincere in the sense that he's a wealth businessman and if he wants to help people, he should have started long time ago. After I probed, I found out that CDM made a strategic decision to move the party from right to left. One the paper, the central creed of the part will remain same (the center right). However, on the campaign trails, the party will not shy away from leftist and populist ideas. This pragmatic approach don't hurt CDM because many voters aren't attuned to political philosophies in the books.

The point I want to make is while they were still active members of CDM, ACT leaders learned this strategy and probably they were its architects. They saw it working and they know if you want to capture the attentions of Tanzanian voters and make your name, don't go to the right. Go to the left and be a populist.

Is that a crime? It isn't. Are they morally correct? They aren't. They deceive people the same other politicians do.

Thank you. I agree with you that Zitto doesn't offer any new hope, and instead he is a deceiver just like the rest.
 
Yes indeed, meaningful speech not just speech

The speech must be supported by facts and data, not mere fabrications, incendiary and inflammatory rhetoric

Kuna vitu havieleweki, tuviweke sawa. Kuna sheria na kanuni. (Regulations, Law and ethics)
Kuvunja sheria ni kosa, kuvunja kanuni ni kosa lisilo la kisheria na linaegemea zaidi katika maadili

Supreme leader ana haki ya kufanya siasa kwa kutumia uhuru wake wa kutenda na kuongea.

Ana haki ya kujiunga na kambi yoyote ya kisiasa bila kuvunja sheria za nchi. Hiyo ni haki yao wewe, mimi , yule na wale pia.

Wakati anafuata sheria, akiwa kiongozi anapaswa pia kuangalia kanuni.

Uvunjaji wa kanuni unapelekea kupatikana kitu 'moral decay' ambacho ni ukosefu wa maadili.
Ukosefu wa maadili una maana pana sana

Akiwa kiongozi, supreme leader anapaswa kusimamia misingi inayotuweka pamoja kama taifa ili sote tushiriki siasa anazozifanya kwa mtazamo tofauti tukiwa kama taifa moja.

Zitto atambue, hawezi kufanya siasa akiwa jukwaani peke yake watu wakiwa na mapanga wanachinjana, au kutafuta ukimbizi

Rwanda walijaribu na matokeo yake tunayajua. Hakuna mshindi bali wote walishindwa.
Kenya wamejaribu kwa kutumia ukabila, matokeo yake tunayajua, hakuna mshindi bali wote wlishindwa

Tendo la Supreme kwenda kutoa speech Mwanza na Shinyanga halina tatizo na hajavunja sheria yoyote ya nchi.

Tendo la kutumbukiza chuki za wananchi wa Shinyanga/Mwanza kuwa masikini kwasababu wanaporwa na wananchi wa Kilimanjaro na Arusha ni la kuvunja umoja wa taifa.

Akiwa kiongozi ni tendo la kukiuka maadili lakini pia lina element za kuvunja sheria kwa uchochezi

Tumeomba data alizotumia kujenga hoja, wote mlikimbia. Mchambuzi kaweka data hapa, Mag3 kauliza mara 3 zipo wapi za Zitto tufanye comparison na kuona kama kuna mapungufu. Nyote mumekimbia mkisubiri uzi usonge mbele

Lakini pia tumeomba ninyi watetezi wa Zitto, mtuelemishe ni wapi, namna gani na njia gani mikoa ya kaskazini inapora na kuwadhulumu watu wa mikoa ya kanda aliyeosema supreme, hamna majibu bali kutueleza kuhusu uzalendo

Hivi kuna mtu anavuruga nchi yake na kubaki mzalendo, ebo ! Yaani mchonganishi anapewa nishani ya ushujaa! alaa!

Tunabaki na hoja moja, alichokifanya ni uchochezi wa kuligawa taifa.

Si ukosefu wa maadili peke yake, bali uchochezi wa kulivuruga taifa kwa njia za xenophobia kama ile ya Afrika kusini na ni tendo linalohitaji kulaaniwa na watu wanaotumia vichwa vyao sawa.

Sote tuna vichwa, tofauti ni matumizi ya vichwa vyetu.

It has been mentioned many times that politicians reflect people they serve. As such they hardly bring new divides into play, but rather they exploit the existing ones. Take for example, Kenya and Rwanda, the countries you like to mention. Tribal dominance, not the words of politicians, was the real cause of conflicts in both countries.

Tell me what’s have you done personally or collectively to address social imbalance and tribal divisions in the country? If you haven’t done anything, the fault lines between those who have and those who haven’t will continue to persist and politicians will exploit them. So don’t think that your education alone will provide you immunity.

Every time I ask you why you don’t take hard stance against top government officials, and business owners who practice nepotism in workplaces, you don’t reply my posts. It seems to me you accept discrimination at workplaces.
 
It has been mentioned many times that politicians reflect people they serve. As such they hardly bring new divides into play, but rather they exploit the existing ones. Take for example, Kenya and Rwanda, the countries you like to mention. Tribal dominance, not the words of politicians, was the real cause of conflicts in both countries.

Tell me what’s have you done personally or collectively to address social imbalance and tribal divisions in the country? If you haven’t done anything, the fault lines between those who have and those who haven’t will continue to persist and politicians will exploit them. So don’t think that your education alone will provide you immunity.

Every time I ask you why you don’t take hard stance against top government officials, and business owners who practice nepotism in workplaces, you don’t reply my posts. It seems to me you accept discrimination at workplaces.

You do have a point mkuu, there is a lot that we have not done to be of a help to our country. Back to the main issue. ZZK eroded that hope. The trouble is people are looking at ZZK as part of sarakasi za CDM, but i look at him as hope kwa vijana wa Tanzania bila kujali uko chama gani. He was the hope of nation, he started to let politics have a meaning again. Now from hero to zero, all those hopes gone. Kama vijana nchi hii wakionesha tofauti kwenye siasa, na kukwepa siasa za kinafiki, ubinafsi, tamaa na migogoro...tungeweza kuwa nguvu ya msukumo kwenye kubadilisha hali ya Tanzania.
 
....
Mkandara, mwisho ni kwamba, kama unataka kuchukua kadi Ya ACT na kugombea Ubunge au udiwani kupitia Chama cha ACT, Mtu utakayemshinda atakubwaga mahakamani kwasababu ACT Wazalendo sio Chama halali Kwa mujibu wa Sheria Ya vyama vya Siasa. Msajili is mute Kwa sababu ACT Wazalendo ni Mpini wa CCM, lakini mbele Ya Sheria, Chama halali ni ACT Tanzania. Tutawaelimisha wananchi kutopigia Kura Chama hiki kwani Kura zao zitakuja futwa na mahakama Baada ya uchaguzi mkuu. ACT Wazalendo is a timing bomb. Mnapoteza tu muda wenu.
Ahsante mkuu 'tekinikalite' hii ya kisheria nilikuwa siijui .
 
Wanaukumbi.

Hebu tuwasome kiduchu hawa matapeli wa kisiasa ambao tunaambiwa wanataka kuwakomboa wadanganyika.

Kwa siku za karibuni, umezuka mjadala mkali ndani ya mitandao ya kijamii- hasa baada ya-Samson Mwigamba-ambaye ni Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Arusha kuwatuhumu viongozi wa kitaifa wa CHADEMA kuwa wamebadilisha katiba kinyemela kwa kuondoa ukomo wa uongozi wa awamu mbili ili waendelee kubaki madarakani.-Mwigamba alitoa shutuma hizo akitumia jina bandia la-Maskini Mkulima. Katika shutuma zake Mwigamba alisema yafuatayo;"Wakati tukifanya mabadiliko ya katiba mwaka 2006 hatukugusa kipengele kinachomzuia kiongozi kuongoza kwenye nafasi moja kwa zaidi ya vipindi viwili vya miaka mitanomitano.-"Lakini wakati katiba inachapwa chini ya uongozi uliopo, kipengele hicho kiliondolewa kinyemela. Mambo yanayotokea hivi leo yanaonyesha dhahiri kipengele hicho kiliondolewa kwa makusudi kwa maslahi na kwa faida ya viongozi waliopo madarakani kwa sasa.-"Hiki kinaweza kuchukuliwa kama kitendo kidogo lakini kama viongozi wetu wanaweza kutokuwa waaminifu katika jambo kama hili, ni dhahiri hawawezi kuaminika na wanaweza kufanya mambo mengine makubwa nayenye athari zisizomithirika kwa chama.-"Ni muhimu wanachadema mkafahamu kwamba kitendo cha kuondolewa kwa kipengele hicho ndicho kinacholeta mpasuko leo kwenye chama unaotokana na Mbowe na Zitto kupigania uenyekiti."Kama kingekuwepoleo Mbowe alikuwa anakatazwa na katiba kugombea kipindi cha tatu na hivyo vita iliyopo kati yake na Zitto isingekuwepo na chama kingekuwa imara zaidi.-"Ni dhahiri Mbowe aliondoa kipengele hicho kwa makusudi ili aweze kuendelea kugombea bila mwisho na huu ni udikteta kama ule tu wa akina Lyatonga Mrema, John Cheyo na wengineo, na wanachadema hatupaswi kuuruhusu si kwa Mbowe tu bali kwa yeyote atakayepata nafasi ya kuwa mwenyekiti wa chama chetu."Mara baada ya taarifa hiyo ambayo ilibebwa kwa jina la-Wito kwa wana CHADEMA wote!-ambayo ilieleza madhaifu ya chama na kubadilishwa kwa vipengele vya katiba kinyemela, Dr Slaa, Katibu Mkuu wa CHADEMA alitoa ufafanuzi ufuatao;"Nataka kuwahakikishia wanachadema wote kuwa- nimekuwa ndani ya Chadema kuanzia 1998 ambapo nilikuwa Makamu Mwenyekiti Bara, na baadaye 2003 Kaimu Katibu Mkuu, na hatimaye Katibu Mkuu, hivyo nimeshiriki kikamilifu kuandaa Katiba ya 2004 na pia Katiba ya 2006 baada ya Rebranding ya Chama.-"Nataka niwahakikishie wanachadema, hakuna toleo lolote la Katiba ndani ya Chadema imeweka " muda wa Uongozi kuwa vipindi viwili tu", kuanzia Katiba aliyoiasisi Mzee Mtei na kupitishwa na Mkutano Mkuu, wala si ya 2004 au ya 2006.-"Kama kuna mtu anasema ilikuwepo na imeondolewa kinyemela, basi aonyeshe kifungu hicho kwenye Katiba yeyote ile, au miniti za kikao chochote kile."Hata hivyo, majibu hayo ya Dr Slaa yanaonekana kutofautiana na yale ya JOHN MNYIKA aliposema kuwa kwenye katiba ya 2004 kipengele cha ukomo wa uongozi kiliwekwa lakini hakikuingizwa kwenye katiba ya 2006. John Mnyika anasema- yafuatayo;"Kuhusu Katiba, nina nakala mango (hard copy) tu ya katiba ya 2004, ilikuwa na kipengele cha vipindi viwili vya nafasi ile ile. Hata hivyo, katiba mpya iliyoandikwa mwaka 2006 haikuwa na kipengele hicho. Hivyo, sio kwamba kimeondolewa kinyemela ila hakikuwepo kwenye katiba mpya. "Baada ya malumbano hayo, nilifanya utafiti mdogo ili kujiridhisha na hoja zilizotolewa na viongozi hao. Kwa msaada mkubwa kutoka kwa wadau muhimu ndani ya CHADEMA, nimefanikiwa kupata nyaraka zifuatazoNakala ya Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2004 iliyoandikwa kwa lugha ya KiingerezaNakala ya Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006 iliyoandikwa kwa lugha ya kiswahiliMuhtasari wa Mkutano Mkuu Maalum wa CHADEMA uliofanyika katika ukumbi wa PTA Dar es Salaam tarehe 13, Agosti 2006Nitajaribu kuweka vipengele muhimu mahsusi kwa mjadala huu. Nitajikita kwenye hoja moja tu ya Mwigamba kuwa Viongozi wamefanya marekebisho ya katiba kinyemela kwa kuondoa ukomo wa madaraka ili waendelee kuwepo madarakani.--Katiba ya mwaka 2004 ipo wazi kabisa katika hoja ya ukomo wa madaraka. Ibara ya 6.3.2 kipengele cha (c) kinasema ifuatavyo;-''Leaders who finish their term of office can be eligible for re-election provided he qualifies but-no leader can hold the same post at the same level of the party structure for more than two terms.-Kutokana na kipengele hiki, kauli ya Dr Slaa kuwa hakuna katiba ya CHADEMA iliyoweka ukomo wa madaraka ni ya kushangaza ikizingatiwa kuwa yeye ni Katibu Mkuu na hakupaswa kusema uongo mbele ya watu ambao wanaelewa mengi kuhusu katiba hizo.Katika Mkutano Mkuu Maalum wa mwaka 2006 ambao ulikuwa na ajenda 4 ambazo ni;Kufungua MkutanoMaboresho ya KatibaMaazimio juu ya Katiba Mpya naKufunga Kikaoulijadili vifungu 10 ambavyo vimefanyiwa marekebisho kutoka kwenye katiba ya 2004. Kati ya vipengele hivyo, kipengele cha ukomo wa madaraka hakimo na hii ni kusema kuwa hoja hiyo haikuwa na marekebisho. Vipengele vilivyofanyiwa marekebisho kwa mujibu wa muhtasari huo vimeambatishwa na taarifa hii.--Katiba ya Mwaka 2006 ndiyo inayolalamikiwa kuchakachuliwa kwa vile kipengele cha ukomo wa madaraka hakimo na hakuna mkutano uliojadili hoja hiyo.---Kutokana na hali hiyo, ni wazi kuwa hoja za Samson Mwigamba ni sahihi na viongozi wa CHADEMA hususan DR WILBROAD SLAA NA JOHN MNYIKA wametoa majibu ya uongo kupinga hoja za kweli. Kwa mantiki hiyo,-ni wazi kuwa katiba imechakachuliwa kwa maslahi ya wanaotetea uchakachuaji huo.--

Sijui madhumini ya kuweka huu uzi hapa ni nini, maana haukutoa maelezo yeyote na kwa vile hatuko ndani ya kichwa chako hivyo hatuwezi elewa nini madhumuni yako. Hivyo basi inabidi tu"bashiri bashiri tu" Inawezakana kabisa madhumuni ya article ni kuonyesha "unafiki na ulaghai wa Zitto und Co..

Hapa wanalalamika kuhusu kubadilisha katiba ya chama tena katiba waliobadilisha na wao wakiwa wamoja wao. Lakini cha ajabu hawa hawa watu tena bila kuona aibu wanaunda/vamia chama na kubadilisha katiba ya chama tena bila wajumbe na wanachama kufahamu wanapachika kipelengele cha "Kiongozi mkuu" na sifa za kugombea unachama zinabadilishwa ili kukidhi mahitaji /matamanio ya mwanachama mmoja. Kwa maana nyingine Katiba inabadilishwa kwa ajili ya mtu mmoja ambaye ni ZItto tu..

Na katika kuthibitisha ili tuliona masaa 24 kabla ya mkutano mkuu wanaACT chama cha Uwazi kama walivyotuaminisha walileta humu ndani orodha ya nafasi zitakazofanyiwa uteuzi/uchaguzi na katika hii orodha cheo cha Kiongozi mkuu wa chama hakikuwepo.

Haikuishia hapo tu Kiongozi mkuu alikwenda kwenye media (kama ilivyo kawaida yake) na kutangazia umma kuwa yeye hatagombea Unyekiti (kitu ambacho kilikuwa sahihi) na wapambe wake walikuja na ongojera, mapambio na vibwagizo kuwa "Si mna ona Zitto hagombei nafasi yeyote yeye ni mzalendo, lakini ambacho hawakufahamu ni kuwa kuna cheo chake kimeandaliwa"Specila" kwa ajili ya Zitto.. Na kibaya zaidi cheo hiki alipeewa tu kama zawadi hakushindanishwa na mtu yeyote..

Hivi kweli hawa watu wanaotuaminisha kuwa wao ni wasomi, na wana akili saaana walishindwa hata kumshindanisha Zitto na Doto Ringimoto? au hata Mwl.Kaijage? Hizi akili zao wakti wingine wanaziweka wapi? Hivi si hawa walikuwa walalamika kuwa Mbowe hakushindanishwa na mtu hivyo hiyo sio demokrasia?

Sasa swali linakuja je huu si ulaghai? je huu si unafiki?
 
Sijui madhumini ya kuweka huu uzi hapa ni nini, maana haukutoa maelezo yeyote na kwa vile hatuko ndani ya kichwa chako hivyo hatuwezi elewa nini madhumuni yako. Hivyo basi inabidi tu"bashiri bashiri tu" Inawezakana kabisa madhumuni ya article ni kuonyesha "unafiki na ulaghai wa Zitto und Co..

Hapa wanalalamika kuhusu kubadilisha katiba ya chama tena katiba waliobadilisha na wao wakiwa wamoja wao.

Lakini cha ajabu hawa hawa watu tena bila kuona aibu wanaunda/vamia chama na kubadilisha katiba ya chama tena bila wajumbe na wanachama kufahamu wanapachika kipelengele cha "Kiongozi mkuu" na sifa za kugombea unachama zinabadilishwa ili kukidhi mahitaji /matamanio ya mwanachama mmoja.
Kwa maana nyingine Katiba inabadilishwa kwa ajili ya mtu mmoja ambaye ni ZItto tu..

Na katika kuthibitisha ili tuliona masaa 24 kabla ya mkutano mkuu wanaACT chama cha Uwazi kama walivyotuaminisha walileta humu ndani orodha ya nafasi zitakazofanyiwa uteuzi/uchaguzi na katika hii orodha cheo cha Kiongozi mkuu wa chama hakikuwepo.

Haikuishia hapo tu Kiongozi mkuu alikwenda kwenye media (kama ilivyo kawaida yake) na kutangazia umma kuwa yeye hatagombea Unyekiti (kitu ambacho kilikuwa sahihi) na wapambe wake walikuja na ongojera, mapambio na vibwagizo kuwa "Si mna ona Zitto hagombei nafasi yeyote yeye ni mzalendo, lakini ambacho hawakufahamu ni kuwa kuna cheo chake kimeandaliwa"Specila" kwa ajili ya Zitto.. Na kibaya zaidi cheo hiki alipeewa tu kama zawadi hakushindanishwa na mtu yeyote..

Hivi kweli hawa watu wanaotuaminisha kuwa wao ni wasomi, na wana akili saaana walishindwa hata kumshindanisha Zitto na Doto Ringimoto? au hata Mwl.Kaijage? Hizi akili zao wakti wingine wanaziweka wapi? Hivi si hawa walikuwa walalamika kuwa Mbowe hakushindanishwa na mtu hivyo hiyo sio demokrasia?

Sasa swali linakuja je huu si ulaghai? je huu si unafiki?
Ahsante sana , haya yakisemwa tunaambiwa tuna 'chuki'
Hayarakiwi kabisa kusemwa, ni taboo, kinachotakiwa kusemwa ni ngonjera na mashairi matamu ya kumsifia supreme, yaani utamaduni ule ule unaotumiwa na ma supreme, Kim Ill Sung akiwemo!

1. Uvamizi wa Chama ulihusisha kuwafukuza akina Limbu, ili uchaguzi uitishwe mara moja ili kuepusha 'unemployment' na kukidhi haja ya mh kupata nafasi ya kugombea ubunge. Huko nyuma tuliaminishwa 'hakukuwa na demokrasia walikotoka''


2. Katiba ikabadilishwa chap chap! hiyo ni dhambi walikotoka, na ni halali walipo sasa.


3. Nafasi ya supreme huwa haitangazwi, ni uteuzi tu wa jopo.Ulishawahi kusikia uchaguzi wa Khomein au Khamenei?
Nafasi ilifichwa mahususi kwasababu ni nafasi isyohitaji ushindani. Kule walikotoka walilalamika kuhusu Uenyekiti !


4. Kwenda katika media ni sehemu ya ulaghai. Wametumia media kulaghai sana, hivyo ni utamaduni wao. Kwabahati mbaya hali iliyopo haiwaruhusu kulaghai tena 'wapo under scrutiny' na ndicho chanzo cha watu kuhoji, 'hagombei uenyekiti! for real' Mashaka tu yalishatoa jibu.

5. Kuhusu usomi, nadhani kuna mahali unapoishia. You can imagine ule Waraka! usome tu halafu unga dot..
 
Hata sijui kwanini watu hatuelewani ikiwa tunaelewana kwa namna ile ile. Ni hivi hakuna tatizo na jina na wala hilo siyo issue kabisa.

Katiba imemtambua kama kiongozi mkuu, tunaweza kutumia kifaransa au kiyunani katika maana hiyo hiyo. Sisi tuisojua lugha tunatumia hii ya malkia aliyotuachia yaani supreme leader. Ni maana ile ile kiongozi mkuu, tatizo li wapi jamani?

Wengine wanaita tomato wengine tometo, mwisho wa siku tunajua ni nyanya, tatizo lipo wapi wakuu?

Hebu hili tuliweke pembeni, atakayemwita masiah, mhusika mkuu, kiongozi mkuu au supreme au Sup ni matakwa tu, sote tunajua ni nani. Tuliache hili jamani, tusiingilie katiba ya ACT. Hapo tutakuwa tunatafuta ubaya tu bila sababu

Tuangalie hili la kusema wale wanapora rasilimali za wale. Ni kweli jamani K'njaro inawapora Washinyanga?
Tunaelewana vizuri tu isipokuwa wewe hukuzoea kusikia neno kiongozi likitumiwa zaidi nyadhifa za chama kuwa na Wenyeviti, Makatibu na kadhalika unawaona kama watawala badala ya viongozi, wakati ACT kuna uongozi wa chama ya uongozi wa Taifa. na ajabu sana yaani mmemsoma Ritz mmeshindwa kuelewa lengo la bandiko lake hadi awaeleze wapi na wapi kuna utata, ndio maana kumbe hatuelewani!

Kwa hiyo ukiambiwa Obama ni kiongozi mkuu wa Democratic Kitaifa utashangaa kwa sababu neno MKUU utalitafsiri kama Supremacy wala sio Great wakati wengine wote ni viongozi vile vile na huwezi tenganisha. Na kibaya zaidi mimi hutumia sana hili neno Mkuu napojadili na wenzangu kama ishara ya kuwatunuku Great thinkers waliopo kama wewe, kumbe hukosema nakupa u Supremacy ktk fikra zako... Sikujua itabidi kila mwana Chadema niepuka kutumia MKUU maana hunielewa vibaya.
 
"Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people." - Eleanor Roosevelt

What is this obsession about Zitto?, He is brave doing what he is believing, don't you move forward and be the persons that you want to see in him?

Cc Nguruv , Mchambuzi
 
Nguruvi3
Per #636 ,

Hakuna mjadala kwamba Kitila Mkumbo na wenzake walilenga "kumjenga Zitto", kwa maana ya kwenda ACT kujenga MTU na sio kujenga CHAMA. Baada ya akina Mkumbo na Mwigamba kumjenga MTU (Supreme leader Zitto), supreme leader akaanza ziara zake za ulaghai ambapo alikuwa akiwaeleza wananchi katika mikoa kumi aliyotembelea kwamba "ndani ya ACT hakujengwi mtu bali Chama". Akazidi kuwalaghai wananchi kwamba kinachowaunganisha ACT ni undugu wao na uzalendo wao wa kutetea ukandamizaji wa "vyama vingine".
Mkandara, Waberoya, Ritz, adhurusi, huu ni ulaghai wa mchana kweupe kabisa. Kwa mfano, ugomvu mkubwa uliowatoa hawa wasaliti watatu chadema ni hoja kwamba ndani ya Chadema hapakuwa na Demokrasia. Maswali kwenu:

1. Kama ACT hakujengwi MTU bali CHAMA, kwanini ACT sasahivi inakabiliwa na mgogoro kutokana na uvamizi na uporaji wa chama cha ACT Tanzania uliofanywa na Zitto, Kitila na Mwigamba?

2. Kama kweli ndani ya ACT Wazalendo kuna demokrasia kuliko Chadema, akina Limbu wanafanya nini mahakamani?

3. Ni demokrasia ya aina gani hiyo ndani ya ACT ambayo inaruhusu mapinduzi ya watu watatu (zitto, kitila na mwigamba) kwa kuchakachua kadi za chama, falsafa, itikadi, nembo na jina la chama?

4. Demokrasia gani iliyopo ACT ambayo inafanya watu wachache kufukuza wenye chama (akina Limbu) kwa nia ya kumjenga mtu mmoja (Zitto) kuwa supreme leader? Cheo hiki lengo lake ni nini hasa kama sio kuuwa demokrasia?

5. Kama kuna demokrasia ndani ya ACT, ni wapi katiba ya chama inaelezea utaratibu wa kugombea nafasi ya Kiongozi Mkuu wa Chama?

Ukiangalia katiba ya akina Kitila na Mwigamba, inasema kwamba:

"Kiongozi mkuu atakuwa ndiye nuru na taswira ya ACT Wazalendo.

Maswali zaidi:

6. Tangia lini chini ya mfumo wa demokrasia popote duniani nuru na taswira ya chama inakuwa ni ya mtu mmoja?

7. Je, huku sio kujenga nidhamu na utamaduni wa "Zidumu Fikra sahihi za Kiongozi Mkuu wa Chama"?
 
Last edited by a moderator:
Mchambuzi,

Kwa hiyo mnataka kusema Katibu MKUU ni Supreme Sectretary wa chama? Maana siwaelewi mnapolitumia hili neno Supreme mnalenga haswa kitu gani au ndio mnachuki tu basi. Kwa nini Dr. Slaa ni katibu MKUU hii mkuu yake mmeikubali vipi ikiwa ina maana ya Supreme. Sikia nimewaambia ya kwamba kuna mengi siwezi yaandika JF lakini najua lengo la kina Kitila halikuwa baya kama vile watu walivyoelewa. na kibaya zaidi huyo Mhusika namba mbili M2, mbona bado yupo chama na anaheshimiwa au kwa yeye alikuwa Mpelelezi sio mhusika! mimi namjua wala sio Ben msidhanie...

Sasa tazama basi jinsi watu hawa mnaowaita wasaliti walivyotumia Hekima na kutunza Heshima, walikubali wao watoswe lakini wameweza kuhifadhi siri kubwa ya chama. Hujamsikia Kitila wala Mwigamba wakitukana wazi chama ama Uongozi wa Chadema isipokuwa chama chenyewe na papara zao wakataka kuonyesha Umma waraka ule ili kujenga hofu kwa wanachama.

Lakini mmeshindwa kujiuliza iweje kina Kitila waliweza kusetiri siri za chama hadi kesho wakati chama kinaendelea kuwatukana kila waendako?. Kitila knows a lot na hata Zitto ya ndani ya chama lakini mara nyingi utawasikia wakijibu tu mapigo ya mtu kwa mtu ama kiongozi anayewabeza lakini still wanaonyesha mapenzi kwa chama. Hizi ndizo hekima mkuuu wangu.

Nyie kila siku Zitto hivi, ACT hivi ACT vile, hivi kweli wakiamua kumwaga mboga hiyo Chadema itaaminika, nani ambaye hatamuamini Zitto, Kitila na Mwigamba wakiamua wote kuishambulia Chadema kwa ubaya kila gazeti na kila siku. Fikrieni jamani msitake kujipa moyo wakati nyoyo zenu dhaifu, mnapiga kelele kuingia vitani mkipewa bunduki na kupelekwa msitari wa mbele mtasema subiri kwanza..
 
Back
Top Bottom