Hii hotuba si ya kweli, maneno yamefichwa.
Tumemuuliza aliyeileta kama inafanana na ile nyingine, wote wakakimbia. Maneno yameongezwa na kupunguzwa
Tukirudi nyuma, Mkandara hupaswi kutumia hotuba yoyote ile zaidi ya ile uliyosikia mwenyewe iliyokuwa na maneno
'' Kilimanjaro inachangia kidogo inapasta stahiki, Shinyanga inachangia sana haipati stahiki''
Tumekuuliza ni stahiki gani Kilimanjaro inapata? Ni stahiki gani Shinyanga haipati
Hivyo usibabaike kwa kutumia hotuba ziliazoandikwa kwa kuhaririwa.
Soma ile ya Adharusi halafu linganisha na hiyo unayosema. Usiturudishe kule tuliko acha.
Tetea hotuba yako au nenda katika maneno aliyonukuu
Alinda katika twits
Pili, video iliyoletwa imekatwa pale Kilimanjaro ilipotajwa, why? Nini kinafichwa
Tatu, Kilimanjaro na Aeusha hazipo katika top list ya kuchangia au maendeleo. Neno ''hata hivyo'' limetumika kwa maana gani.
Nne, kwanini Zitto amechomoa Kilimanjaro(9) , Arusha(7) na kuacha mikoa iliyo mbele ya hiyo. Ni kigezo gani alitumia
Nne, Zitto alishawahi kusema Kigoma na Kilimnajaro zinatofautiana kwa maendeleo hivyo watu waisogope EAC
Zitto hakuwahi kusema Dar au Lindi, bali alikwenda moja kwa kule anakolenga. Safari hii kaingiza na Arusha. Ukweli huu ni mchungu lakini lazima usemwe. Kuendelea kulinda uhuni ni kuliangamiza taifa. Taifa kwanza mtu baadaye
Mnavyozidi kuleta utetezi dhaifu ndivyo mnazidi kufungua 'pandora box'
Ukweli unabaki pale pale Kiongozi mkuu wa ACT( naambiwa nisutumie kiingereza) alilenga mikoa ya kaskazini katika kutaka kuwavuta wapiga kura ya kanda ya ziwa na kati
Hapo ndipo tunasema,tatizo la ACT si CCM
Si mpini tu bali pia ACT ni tatizo la umoja wa kitaifa, chimbuko la ukanda na kutaka kuleta siasa za ukabila