Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

  • MARA YA KWANZA ALIANDIKA HIVI
  • "Dar inaongoza kwa kuchangia pato la Taifa
    -16.9% Dar
    -9.2% Mwanza kabla haijagawanya
    -7.3%. Mbeya
    -6%. Shinyanga
    -5.3% Iringa
    Hata hivyo Shinyanga ni moja ya mikoa yenye Umaskini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia pato la Taifa, mikoa yenye Maendeleo Zaidi ni Arusha,Kilimanjaro na Dar es salaam.Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7 kuchangia Pato la Taifa.
  • BAADA WA WATU KUMBANA HASA AL GUIDO:: NDO AKAJA KIVINGINE NA NDO HAPO IKATOKEA SINTOFAHAMU NDO ZITTO KAANDIKA HAYO MANENO LAKINI KWA KUYATENGANISHA: HIYO ILIKUWA KABLA YA HOTUBA YA YEYOTE ILE: KAMA ANABISHI AJE HAPA ADHIBITISHE:




  • Dar inaongoza kwa kuchangia Pato la Taifa ambapo mchango wake kwenye pato la Taifa ni 16.9%. Inafuatiwa na Mwanza [kabla haijagawanywa] 9.2%, Mbeya 7.3%, Shinyanga 6% na Iringa 5.3%. Hata hivyo Shinyanga ni mmoja wa mikoa yenye umasikini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia Pato la Taifa.
    Ndio maana ni lazima kubomoa mfumo wa sasa wa uchumi. Huwezi kuwa na mkoa unashika namba 5 kuchangia Pato la Taifa lakini unashika namba 16 kati ya mikoa 21 kwa maendeleo ya watu. Shinyanga ina migodi 2 ya dhahabu na migodi 2 ya Almasi. Shinyanga ina Ng'ombe na Pamba.
    Shinyanga tarehe 17 Aprili, tujadiliane jinsi ya kufanya mapinduzi ya kiuchumi mkoani mwenu
  • Na ukisoma michango ya watu wanataja "Kilimanjaro" lakini Kilimanjaro hap juu katika maelezo yake mapya hakuna Kilimanjaro.. Sasa tujiulize kama hakufuta Kilimanjaro katika michango ya watu ilitoka wapi?
  • Like · Comment · Share
  • Mubarak Kibarabara Go Zitto Kabwe Go zitto...always ahead of them all
    5 April at 14:47 · Like · 13
  • Mseeni Merin Erick Arusha haiko tatu bora?
    5 April at 14:48 · Like · 2
  • Alphonce Isangu Mkuu, Kigoma imesimamaje ktk kuchangia pato la serikali na vipi nafasi yake ktk maendeleo ya Watu wake?
    5 April at 14:59 · Like · 11
  • Al Guido Mh Zitto Kabwe, hapa kwa kiasi fulani naona kama unataka kupotosha haswa kwa mkoa wa Kilimanjaro kwa kuweka hisia haustahili maendeleo uliyonayo, nakupa mfano wa mkoa wa Kilimanjaro kwa maana naujua zaidi ya hiyo mikoa mingine.

    Kwanza, ni mkoa mdogo zaidi Tanzania bara ukiacha Dar maana yake mgawanyo wa maendeleo unatapakaa kirahisi zaidi. Ukiacha hayo mahali mkoa huu ulipo ni katika ukanda wa njia kuu za uchumi! Mkoa huu unapakana na Arusha (jiji ambalo lipo ndani ya nafasi za juu za kuingiza mapato Kitaifa), Tanga (bandari) na Kenya (mshirika mkuu wa biashara na Tanzania na pia ukaribu wake na bandari ya Mombasa unarahisisha uchukuzi);

    Pili, una historia pia ya kuchangia mapato makubwa kwa Taifa kipindi cha zao la kahawa kuvuma kipindi cha nyuma kabla na baada ya uhuru mpaka miaka ya sabini kabla ya Brazili na Colombia kuingia rasmi na kunyakua soko la kahawa duniani;

    Tatu, uchumi wake unalalia kwenye kutoa huduma baada ya zao la kahawa na viwanda kufa, yaani elimu, utalii na kwa mbali afya ambazo kwa kiasi kikubwa ni juhudi binafsi za wahusika wa huko! Nyingi ya taasisi zinazotoa huduma hizi ni binafsi zikimilikiwa na madhehebu ya Kilutheri na Katoliki na hata zile za serikali zipo zilizotaifishwa toka taasisi binafsi za kidini na pia hata chama cha Ushirika;

    Nne, kihistoria wamisionari na walowezi wa Kizungu walipenda mandhari za mkoa huu tangu mwanzo na waliweka makazi na kuamsha muamko wa maendeleo toka enzi hizo. Jaribu kufanya siasa safi na usipotoshe hali halisi maana huo mkoa unaojaribu kuweka hisia unapendelewa, hauna wawakilishi katika serikali kuweka upendeleo huo maana uko upinzani.

    Zaidi ya hayo, utuelezee ni mapato yapi unayoongelea kama ni (VAT, royalty tax, revenue tax, income tax, PAYE, corporate tax ama?); maana kwenye list ya TRA 2014-2015 direct tax (million Tshs) hiyo mikoa uliyosema inachangia mapato zaidi haipo. Kumi bora ni Ilala, Kinondoni, Temeka, Arusha, Mwanza, Kilimanjaro, Morogoro, Dodoma, Iringa na Tanga. Tanzania Revenue Authority - Tax collection statistics



    Tanzania Revenue Authority - Tax collection statistics
    Tanzania Revenue Authority website
    tra.go.tz|By Super User












    5 April at 19:42 · Edited · Unlike · 69
  • Cristous Saprapasen ... Al Guido pamoja na maelezo yako mazuri kuhusu mkoa wa Kilimanjaro.

    1. Hapa Zittohakuutaja mkoa wa Kilimanjaro zaidi ya kuonesha kutaka kupiga campaign Shinyanga.
    5 April at 18:41
    · Like · 16
  • Al Guido Cristous Saprapasen, nimemjibu kwenye hitimisho alianza hapo https://www.facebook.com/zittokabwe/posts/914235375263827... Na ningefurahi kama angetuonyesha mgao wa hayo mapato ya serikali (Taifa) kwa shughuli za maendeleo kwa kila mkoa katika hii hoja yake!Zitto Kabwe

    Mikoa yenye Maendeleo zaidi ni Arusha, Kilimanjaro na Dar es Salaam. Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7.













    5 April at 19:02 · Edited · Like · 29
  • Josephat Lotto Zitto jibu sasa umekutana na wenye upeo na takwimu zenye reference
    5 April at 21:30 · Like · 9
  • Manywele Omary Watanzania acheni chuki na dhihaki, hapa suala ni mkoa gani unachangia kiasi gani ktk GDP kupitia kodi, na siyo mkoa gani una nini. So maendeleo yako yawe yanalipiwa kodi pia. Huwezi kuwa tajiri then ukawa was mwisho ktk kutoa kodi hapo lazima kuna walakini...nawaomba muwe mnaangalia jambo kwa kina na siyo kuwa na biased arguments.
    5 April at 21:41 · Like · 7
  • Al Guido Manywele Omary, soma vizuri utaelewa nimemuomba ufafanuzi wa aliyosema, haya ni majadiliano na kama kuna upotoshaji ama wa makusudi au bahati mbaya tutarekebishana! Na kuhusu makusanyo ya kodi kwa mkoa uliotajwa http://www.ippmedia.com/.../functions/print_article.php...
    Why Kilimanjaro regional revenue collection efficient
    Amidst challenges the Tanzania Revenue Authority (TRA) in Kilimanjaro region has success story to be proud of during the 2012/2013 financial year. During the year TRA in Kilimanjaro recorded a tax collection of 90.6 bn/- compared to the previous year of 2011/12 when it collected 77.2 bn/-. This incr…
    ippmedia.com












    6 April at 08:03 · Edited · Like · 12
  • Daniel George Ngwenya Nadhani kunakuchanganya mambo hapa!
    Mikoa iliyo "changamka" inatokana na watu wenyewe kuwa na uchungu wa maendeleo na Siyo wamepewa kiasi gani kutoka kwenye mgawo wa mapato!
    Majengo na kasi ya uchumi mfano Arusha ni watu wenyewe. Nyumba gani unaifahamu...See More
    6 April at 06:47 · Like · 7
  • Manywele Omary Asante Al Guido, umeonesha ni kiasi gani unashiriki kufuatilia mambo muhimu, hii ni report ya individual performance kwa mkoa wa Kilimanjaro only, kuonesha walivyokaribia target ya makusanyo ya 103bn (90.6n collected with PAYE being above VAT). Labda t...See More
    6 April at 07:54 · Edited · Like · 4


  • Max Mushi Zitto acha chuki na ubaguzi

Hisia za watu huwezi kuzitumia wewe great thinker kujengea hoja NZITO kama hii.

Kwani hujasikia kuna watu wanahisi kuwa Benard Membe na Rais Kikwete ni watoto wa Baba mmoja?sasa great thinker ukija hapa na kutuletea data hizo kwa ushahidi wa hisia za watu hatutawashangaa watu hao bali tutakushangaa wewe.

Inabidi uombe msamaha kwa kumislead watu kwa kunyofoa tu kipande wakati ungeweza kuleta taarifa nzima watu wajisomee wenyewe na wakafanya judgement.Hili sio jambo la kiungwana.

NA tena, unatoa kijipande alafu unajifanya kuuliza alimaanisha nin?kwani huwezi kusoma taarifa nzima ukaelewa?na kama huwezi kuielewa si ungewapa watu taarifa nzima wakueleweshe?bu tuache propaganda kwenye mambo muhimu.Vinginevyo tuombe JF waanzishe jukwaa la propaganda ili wanaotaka kufanya propaganda wakafanye huko.

Unajua mambo mengine yanakera sana.

Maana kama hii ndio level yake ya ukweli wake chini ya kiapo,unajiuliza je asipoapa sasa inakuwaje?soma hapo post yake ya kwa Barubaru leo, hajadeclare kuwa ni VIPANDE VYA SEHEMU NZIMA alafu ANAAPA KWELI KWELI TUPU!shame.

Inakera sana, wakati wote ni propaganda propaganda propaganda propaganda.

Hakuna tofauti ya aliyekwenda shule na ambaye hakwenda.


hapo hakuna hisia ni mwendo wa Fact tu..
Je hilo bandiko liko Facebook au halipo?

Je umesoma hapo juu kuna Kilmanajaro au haipo? Kama haipo je wachangiaji wanaoitaja Kili wameitoa wapi? na umemsoma Zitto mwenyewe alirudisha alichokuwa amenyofoa lakini kwa namna nyingine? (na hii ni baada ya wachangiaji kupoteza muelekeo) hiyo ni tarehe 5.4 hata kabla ya Nguvuri3 hajaleta uchambuzi wake humu.

Sasa basi kuchukua hayo maandishi ya juu, unganisha na maandishi ya Zitto aliyonyofoa na kuyarudisha, unganisha hayo maneno.. Sema ni wapi nimeongeza hata neno moja?? twende taratibu si kwa kukashifiana..
 
Kapwela, ngoja niudhi jamvi kwa kurudi nyuma. Kwa kuanzia msome Mkandara halafuumuulize source hizo amezileta kwa hoja gani? Nakuja kukuonyesha mahali ambapo JokaKuu alikuita.
Namsifu sana Jokakuu kwasababualifahamu mbele ya safari kutakuwa na watu kama wewe watakaovuruga mjadala kwasababu tu pengine hawasomi, hawaelewi au watadandia treni bila kujua inakwenda au imetoka wapi
Nguruvi3, naona wafanya maskhala kwa sababu unapenda sana kubadilisha hoja za watu ama hukuelewa toka mwanzo na ndio maana wewe hurudisha hoja zilizopita kwa sababu toka mwanzo hukumsoma mtu ukamuelewa ama unafikiri tunasahau hoja zetu hutokana na hoja ilotangulia. Mjadala maana yake ni kutafuta nguvu ya hoja na ndio maana Hoja hujibiwa kwa Hoja.. hivyo huwezi chomoa jibu la hoja pasipo kutanguliza swali la mjadakla ulokuwepo wakati ule.

Hotuba ya Zitto kama alivyoiweka Ritz imetokana na utafiti wa report ya HDI ya Tanzania ambayo mkuu Adharusi alitangulia kutufahamisha wakati tukirumbana. Mimi na wewe tulikuwa hatufahamu Zitto kapata wapi ushahidi wa maneno aloyahutubia, tukadhani pengine ni Total reveune ya kila mkoa kama alivyotueleza Mchambuzi akitumia revenues report ya TRA akithibitisha kwamba Mkoa wa Kilimanjaro ulikuwa ukichangia zaidi ya Shinyanga.

Sasa kwa mwenye kuutafuta ukweli tungejiuliza WHY? why sisi tunatafuta kujua ni mkoa gani unachangia zaidi ya mwingine ikiwa sisi hatuamini katika Ukabila ama Ukanda? hatuamini katika haki ya mkoa kuchangia zaidi wanastahili mgao zaidi pia..Hadi mkatafuta kuthibitisha Kilimanjaro ilichangia zaidi ya Shinyanga? why go through all that kama hamkuamini katika hayo..Na kwa nini tulianza kuamini Mkoa wa Kilimanjaro ulichangia zaidi ya Shinyanga na kuanza kusema sababu gani Shinyanga kuwa chini? wengine wakisema Mkoa wa Shinyanga ni wavivu hawachangamkii fursa zilizopo, hawajitumi ama kushughulisha kama wana Kilimanjaro!.
Haya yote hayakuwa na Ukabila isipokuwa maelezo ya Zitto na kwamba ni wivu tu unamsumbua Zitto mliyasema haya na kadhalika.. haya oyte niliyasoma humu lakini nikayapuuza maana sikutaka kutoka nje ya mada tukaanza mkupishana ila nikasema Ukabila tunaso sisi wenyewe kwa kufikiria na kutetea mikoa yetu wakati hakuna baya lilozungumzwa.

Na Adharusi alipokuja na Ushahidi wa hotuba ya Zitto kuwa imetokana na report ya HDI ambayo inaonyesha Kilimanjaro inachangia kidogo kuliko Shinyanga (GDP) mkaanza kugeuka tena na kusoma maelezo ya mwandishi Adharusi kutafuta makosa katika hotuba hiyo ndio mkajenga hoja kwa nini Zitto kasema Hata hivyo Kilimanjaro inachangia blaa blaa blaa mkipindisha makusudi maandishi ya Adharusi yalotangulia na neno PIA ALISEMA, hii ikiwa na maana Adharusi anaelezea kile anachokumbuka pasipo mtiririko wa hotuba yenyewe ambayo Ritz kaiweka na imeonyesha alichosema Zitto ni Mkoa wa Lindi anaochangia kidogo kuliko Shinyanga.

Kilichozidi kutushangaza sisi ni kwamba Zitto hakulinganisha mkoa wa Shinyanga na Kilimanjaro isipokuwa alilinganisha Mkoa wa Shinaynga na Lindi. Sasa kama kweli nyie mngekuwa na uchungu sana wa Ukabila mngezungumzia ya mkoa wa Lindi na Shinyanga lakini wapi bado swala ni kuitaja mikoa ya Kilimanjaro na Arusha wakati Zitto kaitaja mikoa zaidi ya 10. Iweje mnyofoe mikoa miwili tu ya Kilimanjaro na Arusha kujengea hoja yenu dhidi ya Zitto?.

Kwa hiyo kama unadhani Kapwela kadandia Treni basi nimetoa habari nzima kwa kifupi chake tu ili mjue sisi tumesimama wapi na nadhani kwa jinsi mnavyoitetea mikoa hiyo imetupa wasiwasi mkubwa juu ya Msimamo wa Chadema nayo imechukua ule mchezo wa CUF kabla ya uchaguzi wa mwaka 2010. Na fikra hizi ndizo zimetuogopesha wengi wetu juu ya mwelekeo wa CDM baada ya uchaguzi wa mwaka 2010..

Maanake ni maelezo yenu wenyewe katika kujishtukia pindi jina likitajwa. Ni sawa na maisha ya Uswazi, mtu akisikia pembeni jina lake limetajwa - Aaaaah nani Nguruvi? - basi unaanza kununa ukidhania watu wanakusema vibaya.. Huwezi kusemwa vibaya ikiwa wewe mwenyewe unajitambua una tabia nzuri ila yule anayefikiria anasemwa vibaya ni kwa sababu anajua he is not a good person!.

Kwa hiyo mkiitwa wa Kaskazini mnachukia lakini haya majibu na utetezi wa kanda hata kabla hamjaulizwa. Hofu ya mtu anapoitaja mikoa hiyo ni tabia ile ila ambayo CDM wanapenda sana kuzungungumzia viongozi wa vyama vingine lakini usikosee ukamsema Dr.Slaa au Mbowe. Ni kosa kubwa na Usaliti kwani hawa watu ni manabii au Miungu? na Kilimanjaro a Arusha ni Peponi huku kwingine kote ni Jahanam japo zote zipo mbinguni.
 
Kwa kuwa source sasa ni facebook/instragram, basi ngoja tukusaidie.

Taarifa kwa ujumla wake hii hapa, ALINDA ALICHOFANYA NI KUUNGANISHA VIPANDE VYA BLUE NA KUACHA SEHEMU ZINGINE ili kujenga taswira aliyoikusudia, sio jambo sahihi kufanywa kistaarabu.Labda ndio maana imekuwa ngumu just kucopy hiyo taarifa na kuiweka hapa.

Barubaru na wengine, sitaki na mimi niwachagulie pa kusoma,someni yote wenyewe bila kukata wala kuongeza popote
.................................................................................................................................................................

Zitto Kabwe

April 5 · Dar es Salam, Tanzani


Dar inaongoza kwa kuchangia Pato la Taifa ambapo mchango wake kwenye pato la Taifa ni 16.9%. Inafuatiwa na Mwanza [kabla haijagawanywa] 9.2%, Mbeya 7.3%, Shinyanga 6% na Iringa 5.3%. Hata hivyo Shinyanga ni mmoja wa mikoa yenye umasikini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia Pato la Taifa.

Ndio maana ni lazima kubomoa mfumo wa sasa wa uchumi. Huwezi kuwa na mkoa unashika namba 5 kuchangia Pato la Taifa lakini unashika namba 16 kati ya mikoa 21 kwa maendeleo ya watu. Shinyanga ina migodi 2 ya dhahabu na migodi 2 ya Almasi. Shinyanga ina Ng'ombe na Pamba.Shinyanga tarehe 17 Aprili, tujadiliane jinsi ya kufanya mapinduzi ya kiuchumi mkoani mwenu

Mikoa yenye mchango mdogo zaidi kwenye Pato la Taifa ni Pwani (1.85%), Lindi (1.89%) na Singida (1.92%). Hata hivyo Lindi inashika nafasi ya 9 kwa Maendeleo, juu ya Shinyanga inayochangia 6% katika GDP.

Mikoa iliyo nyuma zaidi kimaendeleo nchini ni Kigoma, Singida, Dodoma, Kagera na Tabora. Hata hivyo Tabora ni mkoa wa 10 kwa kuchangia katika Pato la Taifa na Kagera ni mkoa wa 11 katika GDP.

Mikoa yenye Maendeleo zaidi ni Arusha, Kilimanjaro na Dar es Salaam. Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7.

Tanga ni ya 8 katika kuchangia Pato la Taifa. Pia ni mkoa wa 8 kwa kiwango cha maendeleo ya watu wake.

Mikoa 9 nchini ina idadi ya watu zaidi ya 2m. Dar, Mbeya, Tanga, Morogoro, Mwanza, Tabora, Kagera, Dodoma and Kigoma. Mikoa hii ina 52% ya Watanzania wote

Wakati Dar inachangia 16.93% ya katika Pato la Taifa, inaongoza kwa makusanyo ya kodi ambapo inachangia 81% ya Mapato yote ya Serikali. Kwa makusanyo ya Kodi mkoa wa pili ni Arusha na wa tatu ni Tanga.

Dar, Arusha, Tanga, Mwanza na Kilimanjaro huchangia 90% ya mapato yote ya Serikali nchini

Shinyanga inaendelea kushangaza sana. Wakati inashika nafasi ya nne kuchangia Pato la Taifa (6% of Tanzania GDP), inashika moja ya nafasi ya chini kabisa kuchangia Mapato ya Serikali ( 0.46% of total tax ). Unajua sababu? Shughuli nyingi za kiuchumi za Shinyanga hufanyika Shinyanga lakini kodi zake zakusanywa Dar es Salaam. Mfano migodi ya Buzwagi na Bulyanhulu, kodi zake zinalipwa Dar es Salaam

Mkoa wa Njombe ndio unaongoza kwa kuwa na watu wengi virusi vya ukimwi. 15.4% ya watu wa Njombe wenye umri kati ya 14 - 49 wanaishi na virusi vya ukimwi. Mkoa unaofuata ni Iringa wenye 10.9% ya watu wake kuwa na virusi vya ukimwi.

Dodoma, Manyara na Tanga ndio mikoa yenye watu wachache zaidi wanaoishi na virusi vya ukimwi

Mkoa wa Simiyu ndio mkoa wenye watu wachache zaidi wenye elimu ya sekondari ambapo 3.7% ya watu wa Simiyu wenye umri wa zaidi ya miaka 25 wana elimu ya sekondari. Dar es Salaam ndio mkoa wenye watu wengi zaidi wenye elimu ya Sekondari, 29%

Katika kodi zote zinazokusanywa Dar es Salaam, 75% zinatokana na forodha, 16% kodi ya mapato na 9% kodi ya ongezeko la thamani (VAT). Dar inachangia 81% ya makusanyo yote ya kodi nchini. Hii inaonyesha kuwa Watanzania wengi sana hawalipi kodi. Utegemezi kwenye forodha ni hatari sana kwa uhai wa nchi yeyote.

" there appears to be a disconnect between economic growth on the one hand and human development on the other" Tanzania Human Development Report 2014

Takwimu zote ninazoweka hapa toka jana zinatoka katika Tanzania Human Development Report 2014. Taarifa imesheheni kwa kweli

Tofauti ya Kipato miongoni mwa wananchi (Inequality) ni jambo linalokosekana kabisa kwenye uchambuzi wa Taarifa ya Maendeleo ya Watu ( THDR 2014). Ninadhani moja ya hatari kubwa nchini ni kuongezeka kwa pengo kati ya wenye nacho na wasio nacho. Sifa ya sasa ya uchumi wa Tanzania ni 'kufaidisha wachache na kufukarisha wengi'
.................................................................................................................................................................





Hiki kitu umekitoa wapi? Nimeingia katika facebook ya Zitto ya tarehe 5.4 hakuna kitu kama hiki. hebu twambie hii post umeitoa wapi. Lakini sishangai nilitemea kitu kama hiki kutoka kwako maana wewe kwa kuspinning hauna mfn.
 
tunachotaka kusikia kutoka upande wa pili ni ufafanuzi wa haya maneno."Dar inaongoza kwa kuchangia pato la Taifa
-16.9% Dar
-9.2% Mwanza kabla haijagawanya
-7.3%. Mbeya
-6%. Shinyanga
-5.3% Iringa
Hata hivyo Shinyanga ni moja ya mikoa yenye Umaskini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia pato la Taifa, mikoa yenye Maendeleo Zaidi ni Arusha,Kilimanjaro na Dar es salaam.Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7 kuchangia Pato la Taifa.
[/B]
[/FONT]
Ndio hayo ni maneno ya Zitto ambayo mimi Alinda niliyaona kwa mara ya kwanza Facebook , Twitter, Instragam (Zitto) na hapa Jf. (hapo nimenyoosha na mkono juu kabisa yaani ninaapa maneno niliyosema ni ukweli na ukweli mtupu)

Na kama mimi ni muongo basi Zitto yuko humu aje akanushe. (huu ni mwenzi mtukufu wa Ramadhan hivyo natumaini atasema ukweli)

Naona hili andishi hata wewe linakutatanisha kama sisi. Na ndo maana tukasema aje atupe maana nyingine alikusudia nini? au hata wewe unaweza kutupa shule jinsi ulivyolielewa.

Pole sana

Kwa kuwa source sasa ni facebook/instragram, basi ngoja tukusaidie.
Taarifa kwa ujumla wake hii hapa, ALINDA ALICHOFANYA NI KUUNGANISHA VIPANDE VYA BLUE NA KUACHA SEHEMU ZINGINE ili kujenga taswira aliyoikusudia, sio jambo sahihi kufanywa kistaarabu.Labda ndio maana imekuwa ngumu just kucopy hiyo taarifa na kuiweka hapa.

Barubaru na wengine, sitaki na mimi niwachagulie pa kusoma,someni yote wenyewe bila kukata wala kuongeza popote
.................................................................................................................................................................

Zitto Kabwe

April 5 · Dar es Salam, Tanzani


Dar inaongoza kwa kuchangia Pato la Taifa ambapo mchango wake kwenye pato la Taifa ni 16.9%. Inafuatiwa na Mwanza [kabla haijagawanywa] 9.2%, Mbeya 7.3%, Shinyanga 6% na Iringa 5.3%. Hata hivyo Shinyanga ni mmoja wa mikoa yenye umasikini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia Pato la Taifa.

Ndio maana ni lazima kubomoa mfumo wa sasa wa uchumi. Huwezi kuwa na mkoa unashika namba 5 kuchangia Pato la Taifa lakini unashika namba 16 kati ya mikoa 21 kwa maendeleo ya watu. Shinyanga ina migodi 2 ya dhahabu na migodi 2 ya Almasi. Shinyanga ina Ng'ombe na Pamba.Shinyanga tarehe 17 Aprili, tujadiliane jinsi ya kufanya mapinduzi ya kiuchumi mkoani mwenu

Mikoa yenye mchango mdogo zaidi kwenye Pato la Taifa ni Pwani (1.85%), Lindi (1.89%) na Singida (1.92%). Hata hivyo Lindi inashika nafasi ya 9 kwa Maendeleo, juu ya Shinyanga inayochangia 6% katika GDP.

Mikoa iliyo nyuma zaidi kimaendeleo nchini ni Kigoma, Singida, Dodoma, Kagera na Tabora. Hata hivyo Tabora ni mkoa wa 10 kwa kuchangia katika Pato la Taifa na Kagera ni mkoa wa 11 katika GDP.

Mikoa yenye Maendeleo zaidi ni Arusha, Kilimanjaro na Dar es Salaam. Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7.

Tanga ni ya 8 katika kuchangia Pato la Taifa. Pia ni mkoa wa 8 kwa kiwango cha maendeleo ya watu wake.

Mikoa 9 nchini ina idadi ya watu zaidi ya 2m. Dar, Mbeya, Tanga, Morogoro, Mwanza, Tabora, Kagera, Dodoma and Kigoma. Mikoa hii ina 52% ya Watanzania wote

Wakati Dar inachangia 16.93% ya katika Pato la Taifa, inaongoza kwa makusanyo ya kodi ambapo inachangia 81% ya Mapato yote ya Serikali. Kwa makusanyo ya Kodi mkoa wa pili ni Arusha na wa tatu ni Tanga.

Dar, Arusha, Tanga, Mwanza na Kilimanjaro huchangia 90% ya mapato yote ya Serikali nchini

Shinyanga inaendelea kushangaza sana. Wakati inashika nafasi ya nne kuchangia Pato la Taifa (6% of Tanzania GDP), inashika moja ya nafasi ya chini kabisa kuchangia Mapato ya Serikali ( 0.46% of total tax ). Unajua sababu? Shughuli nyingi za kiuchumi za Shinyanga hufanyika Shinyanga lakini kodi zake zakusanywa Dar es Salaam. Mfano migodi ya Buzwagi na Bulyanhulu, kodi zake zinalipwa Dar es Salaam

Mkoa wa Njombe ndio unaongoza kwa kuwa na watu wengi virusi vya ukimwi. 15.4% ya watu wa Njombe wenye umri kati ya 14 - 49 wanaishi na virusi vya ukimwi. Mkoa unaofuata ni Iringa wenye 10.9% ya watu wake kuwa na virusi vya ukimwi.

Dodoma, Manyara na Tanga ndio mikoa yenye watu wachache zaidi wanaoishi na virusi vya ukimwi

Mkoa wa Simiyu ndio mkoa wenye watu wachache zaidi wenye elimu ya sekondari ambapo 3.7% ya watu wa Simiyu wenye umri wa zaidi ya miaka 25 wana elimu ya sekondari. Dar es Salaam ndio mkoa wenye watu wengi zaidi wenye elimu ya Sekondari, 29%

Katika kodi zote zinazokusanywa Dar es Salaam, 75% zinatokana na forodha, 16% kodi ya mapato na 9% kodi ya ongezeko la thamani (VAT). Dar inachangia 81% ya makusanyo yote ya kodi nchini. Hii inaonyesha kuwa Watanzania wengi sana hawalipi kodi. Utegemezi kwenye forodha ni hatari sana kwa uhai wa nchi yeyote.

" there appears to be a disconnect between economic growth on the one hand and human development on the other" Tanzania Human Development Report 2014

Takwimu zote ninazoweka hapa toka jana zinatoka katika Tanzania Human Development Report 2014. Taarifa imesheheni kwa kweli

Tofauti ya Kipato miongoni mwa wananchi (Inequality) ni jambo linalokosekana kabisa kwenye uchambuzi wa Taarifa ya Maendeleo ya Watu ( THDR 2014). Ninadhani moja ya hatari kubwa nchini ni kuongezeka kwa pengo kati ya wenye nacho na wasio nacho. Sifa ya sasa ya uchumi wa Tanzania ni 'kufaidisha wachache na kufukarisha wengi'
.................................................................................................................................................................

Ni kweli haya ni maneno ya Zitto. Niliyaona Facebook, twitter na Instragam... tarehe 5.4 sasa kama yeye aliedit. hilo haliondoi ukweli kuwa niliyaona.. Nimekupata post hapo juu na nimekuuliza maswali.. Ulichofanya wewe ni kwenda kuleta bandiko ambalo halisusiani na tunachojadili..

JIhoji mwenyewe kama bado una credibility hiyo.

Great thinker anajadili hoja,miezi miwili.

Msingi ya hoja yake ni facebook page, vipande alivyovichagua yeye,anasimamia hivyo vipande miezi miwili, alafu eti macho yake yana makengeza sana kiasi kwamba vipande vingine vinavyokamilisha taarifa hiyo hakuviona,miezi miwili, credibility!

[/B]
[/FONT]
(hapo nimenyoosha na mkono juu kabisa yaani ninaapa maneno niliyosema ni ukweli na ukweli mtupu)

Naona hili andishi hata wewe linakutatanisha kama sisi. Na ndo maana tukasema aje atupe maana nyingine alikusudia nini? au hata wewe unaweza kutupa shule jinsi ulivyolielewa.


Inakera sana
Hisia za watu huwezi kuzitumia wewe great thinker kujengea hoja NZITO kama hii.

Kwani hujasikia kuna watu wanahisi kuwa Benard Membe na Rais Kikwete ni watoto wa Baba mmoja?sasa great thinker ukija hapa na kutuletea data hizo kwa ushahidi wa hisia za watu hatutawashangaa watu hao bali tutakushangaa wewe.

Inabidi uombe msamaha kwa kumislead watu kwa kunyofoa tu kipande wakati ungeweza kuleta taarifa nzima watu wajisomee wenyewe na wakafanya judgement.Hili sio jambo la kiungwana.

NA tena, unatoa kijipande alafu unajifanya kuuliza alimaanisha nin?kwani huwezi kusoma taarifa nzima ukaelewa?na kama huwezi kuielewa si ungewapa watu taarifa nzima wakueleweshe?bu tuache propaganda kwenye mambo muhimu.Vinginevyo tuombe JF waanzishe jukwaa la propaganda ili wanaotaka kufanya propaganda wakafanye huko.
 
Sasa Alinda na wewe unatuchanganya, wewe unasema kwenye facebook hapo awali alisema hivi

Dar inaongoza kwa kuchangia pato la Taifa
-16.9% Dar
-9.2% Mwanza kabla haijagawanya
-7.3%. Mbeya
-6%. Shinyanga
-5.3% Iringa
Hata hivyo Shinyanga ni moja ya mikoa yenye Umaskini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia pato la Taifa, mikoa yenye Maendeleo Zaidi ni Arusha,Kilimanjaro na Dar es salaam.Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7 kuchangia Pato la Taifa.

HALAFU BAADAE UNATWAMBIA KUWA ALISEMA HVI:
Dar inaongoza kwa kuchangia Pato la Taifa ambapo mchango wake kwenye pato la Taifa ni 16.9%. Inafuatiwa na Mwanza [kabla haijagawanywa] 9.2%, Mbeya 7.3%, Shinyanga 6% na Iringa 5.3%. Hata hivyo Shinyanga ni mmoja wa mikoa yenye umasikini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia Pato la Taifa.
Ndio maana ni lazima kubomoa mfumo wa sasa wa uchumi. Huwezi kuwa na mkoa unashika namba 5 kuchangia Pato la Taifa lakini unashika namba 16 kati ya mikoa 21 kwa maendeleo ya watu. Shinyanga ina migodi 2 ya dhahabu na migodi 2 ya Almasi. Shinyanga ina Ng'ombe na Pamba.
Shinyanga tarehe 17 Aprili, tujadiliane jinsi ya kufanya mapinduzi ya kiuchumi mkoani mwenu

HIVI ALINDA KWA MACHO YA KAWAIDA UNATAKA KUTUAMBIA KUWA MABANDIKO HAYO MAWILI NI SAWA?, Huoni ommissions zozote katika bandiko la kwanza ukicompare na la pili?
 
hapo hakuna hisia ni mwendo wa Fact tu..
Je hilo bandiko liko Facebook au halipo?

Je umesoma hapo juu kuna Kilmanajaro au haipo? Kama haipo je wachangiaji wanaoitaja Kili wameitoa wapi? na umemsoma Zitto mwenyewe alirudisha alichokuwa amenyofoa lakini kwa namna nyingine? (na hii ni baada ya wachangiaji kupoteza muelekeo) hiyo ni tarehe 5.4 hata kabla ya Nguvuri3 hajaleta uchambuzi wake humu.

Sasa basi kuchukua hayo maandishi ya juu, unganisha na maandishi ya Zitto aliyonyofoa na kuyarudisha, unganisha hayo maneno.. Sema ni wapi nimeongeza hata neno moja?? twende taratibu si kwa kukashifiana..

Jihoji mwenyewe

Hisia za watu huwezi kuzitumia wewe great thinker kujengea hoja NZITO kama hii.

Kwani hujasikia kuna watu wanahisi kuwa Benard Membe na Rais Kikwete ni watoto wa Baba mmoja?sasa great thinker ukija hapa na kutuletea data hizo kwa ushahidi wa hisia za watu hatutawashangaa watu hao bali tutakushangaa wewe.

NA tena, unatoa kijipande alafu unajifanya kuuliza alimaanisha nin?kwani huwezi kusoma taarifa nzima ukaelewa?na kama huwezi kuielewa si ungewapa watu taarifa nzima wakueleweshe?bu tuache propaganda kwenye mambo muhimu.Vinginevyo tuombe JF waanzishe jukwaa la propaganda ili wanaotaka kufanya propaganda wakafanye huko.
 
Ni kweli haya ni maneno ya Zitto. Niliyaona Facebook, twitter na Instragam... tarehe 5.4 sasa kama yeye aliedit. hilo haliondoi ukweli kuwa niliyaona.. Nimekupata post hapo juu na nimekuuliza maswali.. Ulichofanya wewe ni kwenda kunga unga kama iliyokawaida yako. Hiki ulicholeta hapa hakipo Facebook.. Labda utwambie umekitoa wapi?

Hakipo facebook?

Wewe ulikipata wapi kama hakipo facebook?

Kwa kuwa japo source ya hoja yako ni facebook nimeamua kukuunganishia taarifa nzima ya ripoti hiyo kwenye page ya Zitto.
 
Hakipo facebook?

Wewe ulikipata wapi kama hakipo facebook?

Kwa kuwa japo source ya hoja yako ni facebook nimeamua kukuunganishia taarifa nzima ya ripoti hiyo kwenye page ya Zitto.

Nimekuuliza ulicholeta umekitoa wapi?
 
Sasa Alinda na wewe unatuchanganya, wewe unasema kwenye facebook hapo awali alisema hivi

Dar inaongoza kwa kuchangia pato la Taifa
-16.9% Dar
-9.2% Mwanza kabla haijagawanya
-7.3%. Mbeya
-6%. Shinyanga
-5.3% Iringa
Hata hivyo Shinyanga ni moja ya mikoa yenye Umaskini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia pato la Taifa, mikoa yenye Maendeleo Zaidi ni Arusha,Kilimanjaro na Dar es salaam.Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7 kuchangia Pato la Taifa.

HALAFU BAADAE UNATWAMBIA KUWA ALISEMA HVI:
Dar inaongoza kwa kuchangia Pato la Taifa ambapo mchango wake kwenye pato la Taifa ni 16.9%. Inafuatiwa na Mwanza [kabla haijagawanywa] 9.2%, Mbeya 7.3%, Shinyanga 6% na Iringa 5.3%. Hata hivyo Shinyanga ni mmoja wa mikoa yenye umasikini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia Pato la Taifa.
Ndio maana ni lazima kubomoa mfumo wa sasa wa uchumi. Huwezi kuwa na mkoa unashika namba 5 kuchangia Pato la Taifa lakini unashika namba 16 kati ya mikoa 21 kwa maendeleo ya watu. Shinyanga ina migodi 2 ya dhahabu na migodi 2 ya Almasi. Shinyanga ina Ng'ombe na Pamba.
Shinyanga tarehe 17 Aprili, tujadiliane jinsi ya kufanya mapinduzi ya kiuchumi mkoani mwenu

HIVI ALINDA KWA MACHO YA KAWAIDA UNATAKA KUTUAMBIA KUWA MABANDIKO HAYO MAWILI NI SAWA?, Huoni ommissions zozote katika bandiko la kwanza ukicompare na la pili?

Hacha hizo dana dana basi.. Nimesome hapo juu...
 
Jihoji mwenyewe

Hayo si majibu ya maswali yangu, Ni ukweli kuwa hawezi kuyajibu maana yanakutia hatiani.. mnadzidi kujiacha uchi pale mnapojaribu kumtetea kwa mabandiko yenu ya kuunga unga. Kama hutaki kujibu soma basi michango ya watu.. Sisi tumenyofoa je na hao wamenyofoa? si umemuona Zitto akirudisha kipande alichonyofoa??


nimekuuliza hivi.. hapo hakuna hisia ni mwendo wa Fact tu..
Je hilo bandiko liko Facebook au halipo?

Je umesoma hapo juu kuna Kilmanajaro au haipo? Kama haipo je wachangiaji wanaoitaja Kili wameitoa wapi? na umemsoma Zitto mwenyewe alirudisha alichokuwa amenyofoa lakini kwa namna nyingine? (na hii ni baada ya wachangiaji kupoteza muelekeo) hiyo ni tarehe 5.4 hata kabla ya Nguvuri3 hajaleta uchambuzi wake humu.

Sasa basi kuchukua hayo maandishi ya juu, unganisha na maandishi ya Zitto aliyonyofoa na kuyarudisha, unganisha hayo maneno.. Sema ni wapi nimeongeza hata neno moja?? twende taratibu si kwa kukashifiana..
 
Hakipo facebook?

Wewe ulikipata wapi kama hakipo facebook?

Kwa kuwa japo source ya hoja yako ni facebook nimeamua kukuunganishia taarifa nzima ya ripoti hiyo kwenye page ya Zitto.

Ulicholeta hakipo Facebook....Umeleta vitu vya kungaunga kukidhi matakwa yako. Na kudhihisha ilo bandiko langu kutoka Facebook pg yake linakutia hatiani..

Muulize na Adharusi bandiko lake amelitoa wapi? ingaweje naye aliedit...
 
Last edited by a moderator:
JIhoji mwenyewe kama bado una credibility hiyo.

Great thinker anajadili hoja,miezi miwili.

Msingi ya hoja yake ni facebook page, vipande alivyovichagua yeye,anasimamia hivyo vipande miezi miwili, alafu eti macho yake yana makengeza sana kiasi kwamba vipande vingine vinavyokamilisha taarifa hiyo hakuviona,miezi miwili, credibility!



Inakera sana


Ulichotuletea humu ndani umekitoa wapi?? ndilo swali la msingi.. Kwa nini hukuleta hivyo vipande vipande kama vilivyo? unaongopa nini kuleta vipande vipande? Wakati anaweka hivyo vipande vipande mbona hakuwambia wachangiaji wasubiri kwanza watachángia akimaliza?
 
Nisome kwa umakini Nguruvi3 magie3 Mchambuzi
Naeleza kilichosemwa na Zitto na source ya Takwimu alizozizotoa
Source ya Takwimu alizotoa Zitto zinatoka Tanzania Human Development Report 2014(THDR 2014).
Nanukuu maelezo ya Zitto
"Dar inaongoza kwa kuchangia pato la Taifa
-16.9% Dar
-9.2% Mwanza kabla haijagawanya
-7.3%. Mbeya
-6%. Shinyanga
-5.3% Iringa
Hata hivyo Shinyanga ni moja ya mikoa yenye Umaskini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia pato la Taifa,pia akasema Mikoa yenye Maendeleo Zaidi ni Arusha,Kilimanjaro na Dar es salaam.Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7 kuchangia Pato la Taifa.(Sijaona Zitto aliposema Arusha,Kilimanjaro zinapora utajili wa Shinyanga) kinachofanywa na Nguruvi3 nikuleta uchochezi na chuki ili watu wa Arusha na KLM wamchukie Zitto,na ikiwezekana wamletee fujo,ili aje aandike si tulisema...narudia tena ulistahili ban kwa kupotosha kwa lengo unalolijua mwenyewe
Mchambuzi nawe naomba usome maelezo ya Zitto hapo chini,maana wewe unataka Zitto ataje CCM
" Zitto akasisitiza ndio mana ni lazima kubomoa mfumo wa sasa wa uchumi,huwezi kuwa na mkoa unashika nafasi ya 4 kuchangia Pato la Taifa lakini unashika namna 16 kati ya mikoa 21 kwa maendeleo ya watu,Shinyanga ina migodi 2 ya dhahabu na migodi 2 ya Almasi,ina Ng'ombe na Pamba.Tunavita moja tu,kufanya Mapinduzi ya mfumowetu was uchumi kutoka mfumo wa kinyonyaji na kifisadi na kujenga uchumi shirikishi,pia Zitto aligusia Takwimu za watu wenye elimu ya sekondari simiyu ni 3.7%, na Dar ni 29% inaongoza nchi mzima
Wapi Zitto kasema Arusha,Kilimanjaro,zinaipokonya Shinyanga,bora weredi wenu mngeonyesha kujadili Takwimu(THDR2014).Kuliko kumlisha maneno Zitto kwa Chuki zenu bila sababu

Hakipo facebook?

Wewe ulikipata wapi kama hakipo facebook?

Kwa kuwa japo source ya hoja yako ni facebook nimeamua kukuunganishia taarifa nzima ya ripoti hiyo kwenye page ya Zitto.

Ulicholeta sijakiona Facebook labda kama ukiambia umeuga uga kukidhi matakwa yako. Kama ungekuwa muungawana ungeleta hivyo vipande vipande kama vilivyo.. Lakini huwezi fanya hivyo maana vinakutia aibu.
Hebu tujifanye kuwa mimi nilichoandika ni uongo kama unavyotaka kutuaminisha.. sasa na huyu naye kachomoa mikoa? na maelezo yangu yake yanapishana?
 
Hiki kitu umekitoa wapi? Nimeingia katika facebook ya Zitto ya tarehe 5.4 hakuna kitu kama hiki. hebu twambie hii post umeitoa wapi. Lakini sishangai nilitemea kitu kama hiki kutoka kwako maana wewe kwa kuspinning hauna mfn.
Ulicholeta hakipo Facebook....Umeleta vitu vya kungaunga kukidhi matakwa yako. Na kudhihisha ilo bandiko langu kutoka Facebook pg yake linakutia hatiani..

Nimekuuliza ulicholeta umekitoa wapi?

Ulicholeta sijakiona Facebook labda kama ukiambia umeuga uga kukidhi matakwa yako. Kama ungekuwa muungawana ungeleta hivyo vipande vipande kama vilivyo.. Lakini huwezi fanya hivyo maana vinakutia aibu.
Hebu tujifanye kuwa mimi nilichoandika ni uongo kama unavyotaka kutuaminisha.. sasa na huyu naye kachomoa mikoa? na maelezo yangu yake yanapishana?

Sasa unasema source yako ni facebook na facebook page yenyewe hujaisoma sasa ulikuwa na moral authority gani ya kujadili miezi miwili yote hii?maana vitu vyote hivyo vipo kwenye page hiyohiyo.

WEWE ULICHOFANYA UMECHUKUA NUSU YA KIPANDE CHA KWANZA NA KIPANDE CHA NNE, vipande vingine HUJAVIONA, propaganda!

Kumbuka wakati wote hili sio jukwaa la propaganda.

Kwa sababu hutaki kwenda kujisomea basi narudia kukurahisishia kazi:
.................................................................................................................................................................
Zitto Kabwe

April 5 · Dar es Salam, Tanzania


Dar inaongoza kwa kuchangia Pato la Taifa ambapo mchango wake kwenye pato la Taifa ni 16.9%. Inafuatiwa na Mwanza [kabla haijagawanywa] 9.2%, Mbeya 7.3%, Shinyanga 6% na Iringa 5.3%. Hata hivyo Shinyanga ni mmoja wa mikoa yenye umasikini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia Pato la Taifa.

Ndio maana ni lazima kubomoa mfumo wa sasa wa uchumi. Huwezi kuwa na mkoa unashika namba 5 kuchangia Pato la Taifa lakini unashika namba 16 kati ya mikoa 21 kwa maendeleo ya watu. Shinyanga ina migodi 2 ya dhahabu na migodi 2 ya Almasi. Shinyanga ina Ng'ombe na Pamba.Shinyanga tarehe 17 Aprili, tujadiliane jinsi ya kufanya mapinduzi ya kiuchumi mkoani mwenu

Zitto Kabwe
April 5 · Dar es Salam, Tanzania ·
Mikoa yenye mchango mdogo zaidi kwenye Pato la Taifa ni Pwani (1.85%), Lindi (1.89%) na Singida (1.92%). Hata hivyo Lindi inashika nafasi ya 9 kwa Maendeleo, juu ya Shinyanga inayochangia 6% katika GDP.

Zitto Kabwe
April 5 · Dar es Salam, Tanzania ·

Mikoa iliyo nyuma zaidi kimaendeleo nchini ni Kigoma, Singida, Dodoma, Kagera na Tabora. Hata hivyo Tabora ni mkoa wa 10 kwa kuchangia katika Pato la Taifa na Kagera ni mkoa wa 11 katika GDP.

Zitto Kabwe
April 5 · Dar es Salam, Tanzania ·
Mikoa yenye Maendeleo zaidi ni Arusha, Kilimanjaro na Dar es Salaam. Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7.

Zitto Kabwe

April 5 · Dar es Salam, Tanzania ·
Tanga ni ya 8 katika kuchangia Pato la Taifa. Pia ni mkoa wa 8 kwa kiwango cha maendeleo ya watu wake.

Zitto Kabwe
April 5 · Dar es Salam, Tanzania ·
Mikoa 9 nchini ina idadi ya watu zaidi ya 2m. Dar, Mbeya, Tanga, Morogoro, Mwanza, Tabora, Kagera, Dodoma and Kigoma. Mikoa hii ina 52% ya Watanzania wote

Zitto Kabwe
April 6 · Dar es Salam, Tanzania ·
Wakati Dar inachangia 16.93% ya katika Pato la Taifa, inaongoza kwa makusanyo ya kodi ambapo inachangia 81% ya Mapato yote ya Serikali. Kwa makusanyo ya Kodi mkoa wa pili ni Arusha na wa tatu ni Tanga.

Zitto Kabwe
April 6 · Dar es Salam, Tanzania ·
Dar, Arusha, Tanga, Mwanza na Kilimanjaro huchangia 90% ya mapato yote ya Serikali nchini

Shinyanga inaendelea kushangaza sana. Wakati inashika nafasi ya nne kuchangia Pato la Taifa (6% of Tanzania GDP), inashika moja ya nafasi ya chini kabisa kuchangia Mapato ya Serikali ( 0.46% of total tax ). Unajua sababu? Shughuli nyingi za kiuchumi za Shinyanga hufanyika Shinyanga lakini kodi zake zakusanywa Dar es Salaam. Mfano migodi ya Buzwagi na Bulyanhulu, kodi zake zinalipwa Dar es Salaam

Zitto Kabwe
April 6 · Dar es Salam, Tanzania ·
Mkoa wa Njombe ndio unaongoza kwa kuwa na watu wengi virusi vya ukimwi. 15.4% ya watu wa Njombe wenye umri kati ya 14 - 49 wanaishi na virusi vya ukimwi. Mkoa unaofuata ni Iringa wenye 10.9% ya watu wake kuwa na virusi vya ukimwi.

Zitto Kabwe
April 6 · Dar es Salam, Tanzania ·
Dodoma, Manyara na Tanga ndio mikoa yenye watu wachache zaidi wanaoishi na virusi vya ukimwi

Zitto Kabwe
April 6 · Dar es Salam, Tanzania ·
koa wa Simiyu ndio mkoa wenye watu wachache zaidi wenye elimu ya sekondari ambapo 3.7% ya watu wa Simiyu wenye umri wa zaidi ya miaka 25 wana elimu ya sekondari. Dar es Salaam ndio mkoa wenye watu wengi zaidi wenye elimu ya Sekondari, 29%

Zitto Kabwe
April 6 · Dar es Salam, Tanzania ·
Katika kodi zote zinazokusanywa Dar es Salaam, 75% zinatokana na forodha, 16% kodi ya mapato na 9% kodi ya ongezeko la thamani (VAT). Dar inachangia 81% ya makusanyo yote ya kodi nchini. Hii inaonyesha kuwa Watanzania wengi sana hawalipi kodi. Utegemezi kwenye forodha ni hatari sana kwa uhai wa nchi yeyote.

Zitto Kabwe
April 7 · Dar es Salam, Tanzania ·
" there appears to be a disconnect between economic growth on the one hand and human development on the other" Tanzania Human Development Report 2014

Zitto Kabwe
April 7 · Dar es Salam, Tanzania ·
Takwimu zote ninazoweka hapa toka jana zinatoka katika Tanzania Human Development Report 2014. Taarifa imesheheni kwa kweli

Zitto Kabwe
April 7 · Dar es Salam, Tanzania ·
Tofauti ya Kipato miongoni mwa wananchi (Inequality) ni jambo linalokosekana kabisa kwenye uchambuzi wa Taarifa ya Maendeleo ya Watu ( THDR 2014). Ninadhani moja ya hatari kubwa nchini ni kuongezeka kwa pengo kati ya wenye nacho na wasio nacho. Sifa ya sasa ya uchumi wa Tanzania ni 'kufaidisha wachache na kufukarisha wengi'
.................................................................................................................................................................

TEMBELEA HIYO PAGE KAJISOMEE MWENYEWE
 
Ndiyo maana Nguruvi3 hataki haya mambo ya Facebook.

Teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Danadana zipi?, wewe umetuletea mabandiko mawili tofauti ya Facebook halafu unataka kutufanya tuamini kuwa yanafanana?

Nimekwambia soma badiko langu hapo juu kutoka facebook ya Zitto na jibu maswali yangu.. Na uniambie utofauti ni ni nami nitatoa maelezo.. Ila nawe ujibu maswali yangu. Maana wewe ni mkwepaji maswali mzuri.. rejea swali la "Stahiki"
 
Sasa source yako facebook alafu hujaisoma?credibility!
.................................................................................................................................................................
Zitto Kabwe

April 5 · Dar es Salam, Tanzania


Dar inaongoza kwa kuchangia Pato la Taifa ambapo mchango wake kwenye pato la Taifa ni 16.9%. Inafuatiwa na Mwanza [kabla haijagawanywa] 9.2%, Mbeya 7.3%, Shinyanga 6% na Iringa 5.3%. Hata hivyo Shinyanga ni mmoja wa mikoa yenye umasikini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia Pato la Taifa.

Ndio maana ni lazima kubomoa mfumo wa sasa wa uchumi. Huwezi kuwa na mkoa unashika namba 5 kuchangia Pato la Taifa lakini unashika namba 16 kati ya mikoa 21 kwa maendeleo ya watu. Shinyanga ina migodi 2 ya dhahabu na migodi 2 ya Almasi. Shinyanga ina Ng'ombe na Pamba.Shinyanga tarehe 17 Aprili, tujadiliane jinsi ya kufanya mapinduzi ya kiuchumi mkoani mwenu

Zitto Kabwe
April 5 · Dar es Salam, Tanzania ·
Mikoa yenye mchango mdogo zaidi kwenye Pato la Taifa ni Pwani (1.85%), Lindi (1.89%) na Singida (1.92%). Hata hivyo Lindi inashika nafasi ya 9 kwa Maendeleo, juu ya Shinyanga inayochangia 6% katika GDP.

Zitto Kabwe
April 5 · Dar es Salam, Tanzania ·

Mikoa iliyo nyuma zaidi kimaendeleo nchini ni Kigoma, Singida, Dodoma, Kagera na Tabora. Hata hivyo Tabora ni mkoa wa 10 kwa kuchangia katika Pato la Taifa na Kagera ni mkoa wa 11 katika GDP.

Zitto Kabwe
April 5 · Dar es Salam, Tanzania ·
Mikoa yenye Maendeleo zaidi ni Arusha, Kilimanjaro na Dar es Salaam. Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7.


Zitto Kabwe

April 5 · Dar es Salam, Tanzania ·
Tanga ni ya 8 katika kuchangia Pato la Taifa. Pia ni mkoa wa 8 kwa kiwango cha maendeleo ya watu wake.

Zitto Kabwe
April 5 · Dar es Salam, Tanzania ·
Mikoa 9 nchini ina idadi ya watu zaidi ya 2m. Dar, Mbeya, Tanga, Morogoro, Mwanza, Tabora, Kagera, Dodoma and Kigoma. Mikoa hii ina 52% ya Watanzania wote

Zitto Kabwe
April 6 · Dar es Salam, Tanzania ·
Wakati Dar inachangia 16.93% ya katika Pato la Taifa, inaongoza kwa makusanyo ya kodi ambapo inachangia 81% ya Mapato yote ya Serikali. Kwa makusanyo ya Kodi mkoa wa pili ni Arusha na wa tatu ni Tanga.

Zitto Kabwe
April 6 · Dar es Salam, Tanzania ·
Dar, Arusha, Tanga, Mwanza na Kilimanjaro huchangia 90% ya mapato yote ya Serikali nchini

Shinyanga inaendelea kushangaza sana. Wakati inashika nafasi ya nne kuchangia Pato la Taifa (6% of Tanzania GDP), inashika moja ya nafasi ya chini kabisa kuchangia Mapato ya Serikali ( 0.46% of total tax ). Unajua sababu? Shughuli nyingi za kiuchumi za Shinyanga hufanyika Shinyanga lakini kodi zake zakusanywa Dar es Salaam. Mfano migodi ya Buzwagi na Bulyanhulu, kodi zake zinalipwa Dar es Salaam

Zitto Kabwe
April 6 · Dar es Salam, Tanzania ·

Mkoa wa Njombe ndio unaongoza kwa kuwa na watu wengi virusi vya ukimwi. 15.4% ya watu wa Njombe wenye umri kati ya 14 - 49 wanaishi na virusi vya ukimwi. Mkoa unaofuata ni Iringa wenye 10.9% ya watu wake kuwa na virusi vya ukimwi.

Zitto Kabwe
April 6 · Dar es Salam, Tanzania ·
Dodoma, Manyara na Tanga ndio mikoa yenye watu wachache zaidi wanaoishi na virusi vya ukimwi

Zitto Kabwe
April 6 · Dar es Salam, Tanzania ·
koa wa Simiyu ndio mkoa wenye watu wachache zaidi wenye elimu ya sekondari ambapo 3.7% ya watu wa Simiyu wenye umri wa zaidi ya miaka 25 wana elimu ya sekondari. Dar es Salaam ndio mkoa wenye watu wengi zaidi wenye elimu ya Sekondari, 29%

Zitto Kabwe
April 6 · Dar es Salam, Tanzania ·
Katika kodi zote zinazokusanywa Dar es Salaam, 75% zinatokana na forodha, 16% kodi ya mapato na 9% kodi ya ongezeko la thamani (VAT). Dar inachangia 81% ya makusanyo yote ya kodi nchini. Hii inaonyesha kuwa Watanzania wengi sana hawalipi kodi. Utegemezi kwenye forodha ni hatari sana kwa uhai wa nchi yeyote.

Zitto Kabwe
April 7 · Dar es Salam, Tanzania ·
" there appears to be a disconnect between economic growth on the one hand and human development on the other" Tanzania Human Development Report 2014

Zitto Kabwe
April 7 · Dar es Salam, Tanzania ·
Takwimu zote ninazoweka hapa toka jana zinatoka katika Tanzania Human Development Report 2014. Taarifa imesheheni kwa kweli

Zitto Kabwe
April 7 · Dar es Salam, Tanzania ·
Tofauti ya Kipato miongoni mwa wananchi (Inequality) ni jambo linalokosekana kabisa kwenye uchambuzi wa Taarifa ya Maendeleo ya Watu ( THDR 2014). Ninadhani moja ya hatari kubwa nchini ni kuongezeka kwa pengo kati ya wenye nacho na wasio nacho. Sifa ya sasa ya uchumi wa Tanzania ni 'kufaidisha wachache na kufukarisha wengi'
.................................................................................................................................................................


Sasa hapa tutaelewana.. Hoja ni kujua ukweli si kukashifiana..


Katika hilo bandiko lako la kwanza ambalo (blue) Zitto kaliedit.. wasome wachangiaji wanataja Kilimanjaro je katika hilo Bandiko kuna neno Kilmanjaro?

Msome tena Zitto akirejesha hiyo Kilimanjaro.. Naomba kwa hisani yako leta mchango ya wachangiaji katika hilo bandiko la kwanza (maana mie sina utaalamu wa mambo haya)

Katika bandiko hili hapo mwenye blue..

Pia si umeona Zitto naye kachangia hapo umesoma kama kuna sehemu amesema watu wasubiri kwanza mpaka amalize report nzima?

NB: Kwa sasa ninatoka hivyo nitarudi baadaye sana au kesho...
 
Sasa hapa tutaelewana.. Hoja ni kujua ukweli si kukashifiana..


.. wasome wachangiaji wanataja Kilimanjaro je katika hilo Bandiko kuna neno Kilmanjaro?

Msome tena Zitto akirejesha hiyo Kilimanjaro.

Kilimanjaro imetajwa tarehe 05/04 na ndio siku hiyo hizo comment ulizozileta zilipotolewa,refer chini

.................................................................................................................................................................
Zitto Kabwe

April 5 · Dar es Salam, Tanzania


Dar inaongoza kwa kuchangia Pato la Taifa ambapo mchango wake kwenye pato la Taifa ni 16.9%. Inafuatiwa na Mwanza [kabla haijagawanywa] 9.2%, Mbeya 7.3%, Shinyanga 6% na Iringa 5.3%. Hata hivyo Shinyanga ni mmoja wa mikoa yenye umasikini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia Pato la Taifa.

Ndio maana ni lazima kubomoa mfumo wa sasa wa uchumi. Huwezi kuwa na mkoa unashika namba 5 kuchangia Pato la Taifa lakini unashika namba 16 kati ya mikoa 21 kwa maendeleo ya watu. Shinyanga ina migodi 2 ya dhahabu na migodi 2 ya Almasi. Shinyanga ina Ng'ombe na Pamba.Shinyanga tarehe 17 Aprili, tujadiliane jinsi ya kufanya mapinduzi ya kiuchumi mkoani mwenu

Zitto Kabwe
April 5 · Dar es Salam, Tanzania ·
Mikoa yenye mchango mdogo zaidi kwenye Pato la Taifa ni Pwani (1.85%), Lindi (1.89%) na Singida (1.92%). Hata hivyo Lindi inashika nafasi ya 9 kwa Maendeleo, juu ya Shinyanga inayochangia 6% katika GDP.

Zitto Kabwe
April 5 · Dar es Salam, Tanzania ·

Mikoa iliyo nyuma zaidi kimaendeleo nchini ni Kigoma, Singida, Dodoma, Kagera na Tabora. Hata hivyo Tabora ni mkoa wa 10 kwa kuchangia katika Pato la Taifa na Kagera ni mkoa wa 11 katika GDP.

Zitto Kabwe
April 5 · Dar es Salam, Tanzania ·
Mikoa yenye Maendeleo zaidi ni Arusha, Kilimanjaro na Dar es Salaam. Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7.

Zitto Kabwe

April 5 · Dar es Salam, Tanzania ·
Tanga ni ya 8 katika kuchangia Pato la Taifa. Pia ni mkoa wa 8 kwa kiwango cha maendeleo ya watu wake.

Zitto Kabwe
April 5 · Dar es Salam, Tanzania ·
Mikoa 9 nchini ina idadi ya watu zaidi ya 2m. Dar, Mbeya, Tanga, Morogoro, Mwanza, Tabora, Kagera, Dodoma and Kigoma. Mikoa hii ina 52% ya Watanzania wote
Naomba kwa hisani yako leta mchango ya wachangiaji katika hilo bandiko la kwanza (maana mie sina utaalamu wa mambo haya)

Katika bandiko hili hapo mwenye blue..

Pia si umeona Zitto naye kachangia hapo umesoma kama kuna sehemuamesema watu wasubiri kwanza mpaka amalize report nzima?..

Sasa Alinda kama tayari ulimsoma Zitto akiwaambia watu wasubiri amalize report nzima,miezi yote hii miwili hukwenda kusoma ili uwe na uhakika na kile unachojadili humu?mpaka leo unamjibu Barubaru ulikuwa kama hujaiona hiyo report Zitto aliyosema uisubiri, na Zitto kamalizia tarehe 7/04/,miezi miwili iliyopita.

Michango ya watu sio hoja maana tunajua watu wanaweza kutafsiri vitu tofauti kwa namna tofauti cha msingi ambacho ndio hoja ya hapa ni kwani Zitto alisemaje?je Zitto aliingiza ubaguzi?je Zitto alisema mikoa fulani inapendelewa?je alisema kuna mikoa inanyonywa?je alisema mgawanyo wa mapato ni kigezo pekee cha maendeleo?utagundua sio kweli.

KUna michango mizuri juu ya maendeleo na uchumi imetolewa humu,ni mizuri,lakini watu kwa kuwa walikuwa hawajapewa taarifa sahihi walikuwa wanajadili juu ya USAHIHI wa ZITTO au KUKOSEA KWAKE wakati hakuna kitu kama hicho,nakumbuka kuna watu mpaka wakawa wanaeleza jinsi KIlimanjaro na ARusha wanavyolipa kodi kubwa, unajiuliza kama source ni Zitto kwani Zitto alisemaje juu ya hilo?miezi miwili iliyopita.Huu ni mfano mmojawapo,kuna maeneo mengi ya aina hiyo.Hii yote ni kwa sababu msingi wa mjadala ulikuwa PROPAGANDA CHAFU.

Nadhani hii hoja inahitaji kuisha sasa.

Ni vizuri Alinda na Nguruvi mkubali tu kuwa HAIKUWA HOJA YA KWELI.Kuna mambo mengi bado tunaweza kujadili kuhusu ACT ama Zitto, tusimame kwenye UKWELI na SIO UONGO WALA PROPAGANDA.
 
Back
Top Bottom