Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Mkuu,
Unachopinga ni mimi kutafuta document ya Uchumi kiholela? ndio nini kiholela ikiwa hukusoma swali la Alinda ambalo majibu yake yapo katika link hiyo kwa sababu aliuliza swali hili:- Je ni kweli kigezo cha maendeleo katika mikoa husika ni uchangiaji wa pato la taifa?


Nachopinga ni matumizi ya hiyo PDF ili kujibu swali kiholela. Hiyo PDF haina majibu kwa swali la Alinda, labda Kama unatafuta majibu ya kusokomeza.

Inaonekana haukuelewa swali la Alinda kwamba:

*Je ni kweli kigezo cha maendeleo katika mikoa husika ni uchangiaji wa pato la taifa?

Hilo swali umelielewaje?

Ndipo nilipomuonyesha hiyo link kwa sababu amechanganya vitu aidha kwa makusudi ama sielewi kwa sababu huwezi kuwa na maendeleo pasipo ongezeko la pato na huwezi kupata ongezeko la pato pasipo GDP kupanda maanake GDP ni kama kusema utavuna ulichopanda.

Unaposema huwezi kuwa na maendeleo pasipo ongezeko la "pato", una maanisha pato gani?


Na unaposema huwezi kupata ongezeko la "Pato" pasipo GDP kupanda, una maanisha pato lipi?

Unapopanda zaidi una mategemeo ya kuvuna zaidi. sasa iweje Shinaynga walopanda zaidi wasiwe na maendeleo ikiwa Uchumi wake umekua?.

Zitto aliteleza katika hili lakini bado mpo tayari kuteleza Nae mpaka Maka.
Wananchi wa shinyanga wamepanda nini? Wananchi wa shinyanga wanastahili kuvuna nini?

Kwa maana nyingine, Unaweza kutufanyia mchanganuo hapa kwamba wamepanda kiasi hiki kwa hiyo wanastahili kuvuna hiki?

Mnachotaka nyie kusema ni kwamba kupanda mbegu hainamaana utapata mavunio zaidi na hata ukipata mavuno zaidi haina maana ndio utaendelea kwa sababu hizi ni dhana!. Mnachojaribu kupinga ni kuhusisha GDP na maendeleo ya nchi ama Mkoa, jambo ambalo wachumi wote duniani wanaafiki isipokuwa nyie tu.

Tufanyie uchambuzi na mchanganuo wa mchango wa wananchi wa shinyanga katika GDP ya mkoa wa shinyanga. Katika mchanganuo huo, pia tuonyeshe mchango husika unastahili kuvuna nini na kiasi gani.

Hiii hii Tanzania yetu Uchumi wake umekuwa sana tu kutokana na uwekezaji mkubwa ulofanyika miaka ya nyuma na muda wote GDP halisi imepanda na ilitegemewa kuwepo na maendeleo makubwa lakini maendeleo hayo hayakuwafikia wananchi ina maana kuna mapungufu fulani.
Kwa mtazamo wako, Nini uhusiano baina ya kukua kwa GDP na uwepo wa maendeleo kwa wananchi? Kwa maana nyingine, mwananchi anatakiwa afaidike vipi na GDP?

Maendeleo yetu yamejenga madaraja ya walokua nacho wa wasokuwa nacho, na wala sio kosa la walokuwa nacho lbali mfumo uliopo. Vivyo hivyo sisi tunasema kwa udogo wake tunaitazama Shinyanga kwa sababu maendeleo ya nchi ama ujenzi wa nchi unaanzia chini. Kama mikoa yetu haiwezi kuwa mfano bora wa maendeleo yatokanayo na makuzi ya uchumi ina maana kuna mapungufu makubwa ya kimfumo..

Kwa mtazamo wako - Matabaka ya waliokuwa Nacho na wasiokuwa Nacho yanajengwaje na GDP? Kwa maana nyingine, kuna uhusiano wa aina gani katika ya GDP na matabaka ya walionacho na wasionacho?
 
Last edited by a moderator:
Nachopinga ni matumizi ya hiyo PDF ili kujibu swali kiholela. Hiyo PDF haina majibu kwa swali la Alinda, labda Kama unatafuta majibu ya kusokomeza.

Inaonekana haukuelewa swali la Alinda kwamba:

*Je ni kweli kigezo cha maendeleo katika mikoa husika ni uchangiaji wa pato la taifa?

Hilo swali umelielewaje?



Unaposema huwezi kuwa na maendeleo pasipo ongezeko la "pato", una maanisha pato gani?


Na unaposema huwezi kupata ongezeko la "Pato" pasipo GDP kupanda, una maanisha pato lipi?



Zitto aliteleza katika hili lakini bado mpo tayari kuteleza Nae mpaka Maka.
Wananchi wa shinyanga wamepanda nini? Wananchi wa shinyanga wanastahili kuvuna nini?

Kwa maana nyingine, Unaweza kutufanyia mchanganuo hapa kwamba wamepanda kiasi hiki kwa hiyo wanastahili kuvuna hiki?



Tufanyie uchambuzi na mchanganuo wa mchango wa wananchi wa shinyanga katika GDP ya mkoa wa shinyanga. Katika mchanganuo huo, pia tuonyeshe mchango husika unastahili kuvuna nini na kiasi gani.


Kwa mtazamo wako, Nini uhusiano baina ya kukua kwa GDP na uwepo wa maendeleo kwa wananchi? Kwa maana nyingine, mwananchi anatakiwa afaidike vipi na GDP?



Kwa mtazamo wako - Matabaka ya waliokuwa Nacho na wasiokuwa Nacho yanajengwaje na GDP? Kwa maana nyingine, kuna uhusiano wa aina gani katika ya GDP na matabaka ya walionacho na wasionacho?
Mkuu wangu yaani sijui nikueleze kitu gani maana inaonekana unabishana juu ya kitu usichoelewa ama unafanya makusudi kuuuliza ili ujue kama naelewa Uchumi.

Kwa sababu nashangaa waniuliza mimi hili ni Pato gani? yaani muda wote hujui tunazungumzia pato ganiina maana kuwa hukuelewa Alinda alouliza mahusiano ya maendeleo na Pato la Taifa alimaanisha Pato gani!.. maajabu haya.

Ndio maana hukuweza kumuelewa Zitto aliposema inakuwaje mkoa unaochangia zaidi GDP uwe ndio maskini zaidi?. Kwa sababu huoni mahusiano baina ya GDP, Economic growth na National Income kufuatia kigezo cha mgao wa keki ya Taifa!. Msomi wa Uchumi wangu weee mbona umeegesha!

Hata hivyo labda turudi darasani na uzuri wa mitando siku hizi kila kitu kinapatikana.. Sasa basi kwa ufupi nachozungumzia miye ama sisi Ritz, Adharusi , Barubaru na Gamba la Nyoka ni kwa maelezo ya mfano huu HAPA naomba bofya upate darasa kisha rudi katika swali la Zitto. Na ikiwa bado hujaelewa basi itanipa shida sana kukuelezea kwa sababu nilidhani pengine wewe una upeo mpana zaidi kumbe ushabiki kama mapenzi hauna ELIMU kuwafanya watu kuwa vipofu..
 
Hapa ndo umenichanganya ila inawezekana tatizo ni muuliza swali.. Ngoja nijaribu tena kivingine.

Kama nikiuuza Mihogo yenye thamani ya mil.20.. Je hizi mi 20 zitakaweka katika majumuisho ya pato la Mkoa/Taifa? (kumbuka hizi Mil. 20 ziko mfukoni mwangu)





Sasa kama hizi mil 20 ziko mfukoni mwangu, na mie sijazilipia kodi, je Serikali itatoa wapi pes za kuniletea huduma za jamii? shule, barabara, umeme na nk (tuchukulie kijiji kizima wamelima, wameuza mazao yao, lakini hawakulipa ushuru/kodi)

GDP ni kama suruali yenye mifuko minne.. haijalishi utaweka kiasi gani mfuko gani ila kila mfuko utabeba kiasi gani, unategemea weka fedha zaidi mfuko wa nyuma zaidi ya mingine lakini in Total fedha ulotegemea kuwa nazo ndizo tunazozungumzia.

Kwa hiyo usipolipa kodi serikalini, bado fedha ulokuwa nayo itahesabika kuwa mchango wako katk GDP pengine wewe umeongeza ukubwa shamba na upo Shinyanga ina maana unategemea kutakuwa na ongezeko la mapato yako mwaka kesho. Ulipaji kodi ni muhimu kwa sababu unaiwezesha serikali kukabiri makadirio uloyafanya katika matumizi yake na kikubwa zaidi ni kutokuwa tegemezi la misaada ya nje badala ya wananchi wenyewe kuwa msingi wa pato lake. Lakini katika mipango yake haiwezi kuzuiwa kwa sababu Shinyanga wamechangia kidogo kwani asilimia kubwa ya mipango ama bajeti ya nchi inatangulia mapato ya kodi itakayo kusanya. Serikali inapanga mwaka 2015 - 2016 itafanya mambo gani mbele ya pato watalokusanya..

Kama vile wewe ukiamua kujenga nyumba haina maana una Tsh. Mil. 200 tayari mfukoni isippokuwa umeweka projection kuwa katika mwaka mzima utaweza kupata hizo Tsh. mil.200, haijalishi utazipata wapi. Hivyo basi unapotaka kujenga nyumba hutazami mshahara wako bali mipango mingi mingine ya mikopo na kadhalika ikiwemo na mshahara.

Shule, barabara, Umeme ni mipango ya serikali inayopangwa kabla ya kodi yako haijapokelewa. Katika upangaji wa utekelezaji huo tunategemea misaada kupitia wafadhili wa nje ambao hutuwekea mikataba mibovu ikiwa ni pamoja na maliasili zetu zimilikiwe na mashirika yao pasipo masharti magumu. Kwao hawa mataifa makubwa neno masharti magumu ni kutaka kupunguza faida zao na uwezo wa kumiliki. Hivyo wapo hapa kuwekeza ili wapate faida zaidi na ndio maana dhahabu yetu tunaigawa karibu na bure ili wao watupe mikopo ama misaada ya kujenga barabara, mashule, umeme na kadhalika..

.
Kama nimekuelewa vizuri serikali inajiendesha/itajiendesha kwa makusanyo na kodi na makusanyo mengineo si kuangalia pato la Taifa.. (nimekuelewa vizuri?)(tuondoe misaada na pesa za wafadhili)

Na ili eneo fulani iliwe na maendeleo ni lazima liwe na huduma za jamii, na ili kupata huduma za jamii ni lazima ulipe kodi.(kama ulivyosema hapo juu matumizi ya serikali)Hapa sioni husiano wa uchangiaji wa pato la Taifa na maendeleo ya sehemu husika.

Tukirudi kwenye swali lingine ili linaweza kujibiwa na wewe, MCHumbuzi au mtu yeyote mwenye ufahamu (hapo kwenye ufahamu nina weka msisitizo la sivyo mtanichanganya)

Na kama kigezo cha maendeleo ni uchangiaji pato la Taifa inakuwaje Lindi mkoa ambao ni kati ya mikoa inayochangia kiasi kidogo sana ishike no.9?

Kutoka na maelezo yako hapo juu, Mimi nilivyokuelewa (nipo tayari kusahihishwa) ni kuwa ili watu wapate maendeleo ni lazima serikali iwe na fedha, na hizi fedha zinatokana na kodi na makusanyo mengine ya serikali. (sawa au nilikuelewa vibaya?)

Unaposema watu wapate stahiki zao kutokana na uchangiaji katika pato la Taifa.. Hapo ninarudia ile ile swali langu hapo juu.. Je serikali itokoa wapi pesa za kuletea watu maendeleo. (tusiongele misaada ua wafadhili)?

Umetoa mfn wa wafanyakazi lakini kwangu mimi huu mfano hauwendani na situation tunayozungumzia. Mfn ambao unaweza kuendana na hii hali labda ni huu:

Tusema tuna Mikoa miwili na serikali

Mikoa hiyo miwili mmoja ni Mkoa Alinda na Mkoa Gamba la Nyoka na Serikali ni Mkandara.

Mkoa wa Alinda unachangia mil 30 katika pato la Taifa na unachangia mil.10 katika kodi na makusanyo mengine ya serikali. Mkoa Gamba la Nyoka unachangia mil 50 lkatika pato la Taifa na unachangia mil.2 katika kodi na makusanyo mengineyo.

Katika uelewa wako ni mkoa upi na kwa sababu zipi utakuwa na maendeleo kuliko mkoa mwingine?
Na katika swala lako la Stahiki ni mkoa hupi unastahili stahiki kubwa kuliko mkoa mwingine na kwa sababu zipi..
 
Mkuu wangu yaani sijui nikueleze kitu gani maana inaonekana unabishana juu ya kitu usichoelewa ama unafanya makusudi kuuuliza ili ujue kama naelewa Uchumi.

Kwa sababu nashangaa waniuliza mimi hili ni Pato gani? yaani muda wote hujui tunazungumzia pato ganiina maana kuwa hukuelewa Alinda alouliza mahusiano ya maendeleo na Pato la Taifa alimaanisha Pato gani!.. maajabu haya.

Ndio maana hukuweza kumuelewa Zitto aliposema inakuwaje mkoa unaochangia zaidi GDP uwe ndio maskini zaidi?. Kwa sababu huoni mahusiano baina ya GDP, Economic growth na National Income kufuatia kigezo cha mgao wa keki ya Taifa!. Msomi wa Uchumi wangu weee mbona umeegesha!

Hata hivyo labda turudi darasani na uzuri wa mitando siku hizi kila kitu kinapatikana.. Sasa basi kwa ufupi nachozungumzia miye ama sisi Ritz, Adharusi , Barubaru na Gamba la Nyoka ni kwa maelezo ya mfano huu HAPA naomba bofya upate darasa kisha rudi katika swali la Zitto. Na ikiwa bado hujaelewa basi itanipa shida sana kukuelezea kwa sababu nilidhani pengine wewe una upeo mpana zaidi kumbe ushabiki kama mapenzi hauna ELIMU kuwafanya watu kuwa vipofu..

Mkandara,

Unazidi kujichanganya kwa sababu, badala ya kujifunza au kusimamia unachoelewa wewe, unazidi kusimamia alichoeleza Zitto kwamba ni sahihi.

Bandiko #1740 unasema hivi:
Mnachojaribu kupinga ni kuhusisha GDP na maendeleo ya nchi ama Mkoa, jambo ambalo wachumi wote duniani wanaafiki isipokuwa nyie tu.

GDP haina uhusiano wa moja kwa moja na maendeleo ya nchi au mkoa. Nilieleza hilo. Ili maendeleo hayo yaje, lazima kuwe na an intervening force. And that intervening force lazima iwe ni serikali. Kwa njia ipi? KODI, hence the equation:
GDP = C + I + G (Exports Minus Imports).

Role of government hapo ni moja tu – kukusanya mapato na kufanya matumizi ya mapato husika kuendeleza jamii kwa njia ya provision of basic social services, and basic physical and economic infrastructure. Lakini kwa mtazamo wako finyu sana, mtazamo ambao hata kiongozi wenu zitto anao ni kwamba, kwenu ni kwamba ili wananchi wa Shinyanga waendelee, basi serikali haina budi kugawia wananchi hawa GDP au serikali inatakiwa kutumia GDP kuwapelekea wananchi maendeleo.

Niliwahi kukuuliza, je:

Serikali inawezaje kuchukua GDP na kuitumia au kuigawa kwa wananchi? Tangia lini kazi hiyo ikawa ni ya serikali? Tangia lini serikali inashika GDP (physically) kama pato lake? Inawezekana vipi hilo kufanyika? Kwanini mnalazimisha umbumbumbu Mkandara badala ya kufunguka na kuamua kujifunza? Wazalishaji wa huduma na bidhaa (ambao ndio hutoa national output/income/GDP) wana haki ya kutumia mapato yatokanayo na uzalishaji wao kwa jinsi wanavyotaka ili mradi hawavunji sheria. Na moja ya hizo sheria ni kwamba "Wazalishaji woe huduma na bidhaa kulipa KODI", na ni lazima na ni kwa mujibu wa sheria". Ni katika mukatdha huo, kauli mbiu ya TRA imekuwa kwamba "Pamoja Tunajenga Taifa letu". Vinginevyo tangia lini tukasikia idara ya takwimu ya taifa (National Bureau of Statistics) ambako takwimu za GDP hukaa huko, tangia lini takwimu za NBS zikachukuliwa na kwenda kuletea wananchi maendeleo? Mbona hata common sense unakosa Mkandara?

Pia Maswali niliyokuuliza ni je na ambayo unaendelea kuyakwepa kama ukoma ni pamoja:

· Nini ni mchango wa wananchi wa shinyanga katika GDP ya mkoa huo?
· Wananchi wa Shinyanga wanastahili kugawiwa kiasi gani kutokana na mchango huo kwenye GDP?
· Je, kwa mtazamo wako, formula ya mgao kwa wana shinyanga, mgao ambao utaendana na uchangiaji wao katika GDP ni ipi au unapendekeza formula hiyo iwe ya namna gani?

Huko juu unasema kwamba "Mnachojaribu kupinga ni kuhusisha GDP na maendeleo ya nchi ama Mkoa, jambo ambalo wachumi wote duniani wanaafiki isipokuwa nyie tu." Sasa kama wachumi wote duniani wanahusisha GDP na maendeleo ya wananchi, kwanini wewe usituonyeshe hilo katika muktadha wa Shinyanga, hasa kwa kujibu maswalu yangu hayo hapo juu kwa manufaa ya mjadala?

Tutabaini vipi haki ya wana shinyanga iwapo hautaki kujadili mchango wao katika GDP ya mkoa, hasa ikizingatiwa kwamba hoja yako ya msingi ni kwamba wananchi wa shinyanga wanachangia sana kwenye GDP hivyo wanastahili kuwa na maendeleo yanayoenda sambamba na mchango wao?

Halafu ukasema kwamba:
Mnachotaka nyie kusema ni kwamba kupanda mbegu haina maana utavuna zaidi na hata ukipata mavuno zaidi haina maana ndio utaendelea kwa sababu hizi ni dhana tu.
Maswali yangu ni yale yale – unaposema kupanda mbegu maana yako ni mchango wa wananchi wa shinyanga ni kwa njia ya GDP tu.

Maswali yangu tena:
· Nini ni mchango wa wananchi wa shinyanga katika GDP ya mkoa huo?
· Wananchi wa Shinyanga wanastahili kugawiwa kiasi gani kutokana na mchango huo kwenye GDP?
· Anayefanikisha mgao huo ni serikali? Kwa njia ipi?

Katika bandiko 1742 unasema hivi:

Kwa sababu nashangaa waniuliza mimi hili ni Pato gani? yaani muda wote hujui tunazungumzia pato ganiina maana kuwa hukuelewa Alindaalouliza mahusiano ya maendeleo na Pato la Taifa alimaanisha Pato gani!.. maajabu haya.

Na kabla ya hapo ulisema hivi:

huwezi kuwa na maendeleo pasipo ongezeko la "pato"
Nikauliza – ni pato gani unalozungumzia? Inawezekana una maanisha mapato la serikali (tax revenues) au pato la taifa (GDP). Huoni kwamba ni wewe ndiye usiyekuwa makini katika uwasilishaji wa hoja? Fafanua ni pato gani ulimaanisha hapo juu.
Na ukaongeza kwamba

huwezi kupata ongezeko la "Pato" pasipo GDP kupanda
Hapa ndio ukatuchanganya kabisa. Pato gani hilo linatakiwa kupanda baada ya GDP kupanda? Si ni wewe ambae unasema pato ni GDP? Mbona hapo ni kama pato na GDP ni vitu viwili tofauti kabisa?
Mwisho unasema:

Ndio maana hukuweza kumuelewa Zitto aliposema inakuwaje mkoa unaochangia zaidi GDP uwe ndio maskini zaidi?. Kwa sababu huoni mahusiano baina ya GDP, Economic growth na National Income kufuatia kigezo cha mgao wa keki ya Taifa!. Msomi wa Uchumi wangu weee mbona umeegesha!
Wewe na zitto wote hamna uelewa wa kutosha katika suala hili. Zitto tulishamjadili kwanini hoja yake ilikuwa na mapungufu. Na wewe umeongeza kituko kingine hapa:

Kwanza Unajadili GDP na National Income kama vile hizi ni dhana tofauti.

Pili ni Kuhusu Mahusiano baina ya GDP (ambayo ndio National Income kama ulikuwa hujui). Mahusiano haya ni straight forward kama ifuatavyo:

Wakati "GDP" maana yake ni market value of all final goods and services zinazosalishwa ndani ya uchumi husika katika kipindi cha miezi kumi na mbili (mara nyingine hupimwa quarterly), "Economic Growth" maana yake ni ongezeko katika idadi au kiasi ya uzalishaji wa bidhaa na huduma katika uchumi husika over a period of time. Kasi hii hupimwa wa asilimia Fulani, kwa kufananisha mwaka mmoja na mwaka au miaka mingine. Kwa kawaida takwimu hizi huwa ni estimations tu.

Tatu, hapo juu umejadili keki ya taifa. Ni muhimu ukajua kwamba Mjadala wowote kuhusu keki ya taifa hauna mashiko kama mjadala huo haujengi uhusiano na dhana muhimu sana ya "income distribution or redistribution of income" katika uchumi husika. Sasa wewe na Zitto wote hamuelewi haya. Na mbaya zaidi, hamuelewi kwamba the only way to redistribute income in an economy ni kwa matumizi ya Taxation as the main tool. Kwa bahati mbaya zaidi, mjadala wa kodi mnaufanya secondary, lakini primary ni GDP.

Ndio maana I have always maintained the argument kwamba suala la maendeleo ya wananchi linahusiana moja kwa moja na suala la Kodi kuliko suala la GDP (pato la taifa). Kwa maana nyingine, GDP ina affect maendeleo ya wananchi iwapo katika mchakato wa uzalishaji wa bidhaa na huduma (GDP/National Output/National Income), serikali itakuwa inakusanya KODI. Pia, effect ya GDP kwa maendeleo ya wananchi husika itakuja pale tu GDP itakazaa ajira kwa wananchi, lakini muhimu zaidi, pale wanapokuwa na mapato rasmi (income) ambayo ili wapate huduma za kijamii au wafaidi jasho lao, au wapate mgao wa keki ya taifa, income yao italazimika kukatwa KODI.

Tukirudi kwenye hoja yako na Zitto juu ya Shinyanga, Je:
· Katika muktadha wa GDP na maendeleo ya mkoa Shinyanga, tatizo ni GDP au tatizo ni GDP kutozaa Kodi kwa serikali?
· Wananchi wa Shinyanga wanashiriki kwa namna gani au kiwango gani katika uzalishaji wa pato la mkoa (GDP) – kwa maana kwamba, mchango wa wananchi wa Shinyanga katika hiyo GDP mnayoropoka na kiongozi wenu Zitto, mchango wao ni upi?
· Je, katika ujenzi wa GDP ya wananchi wa shinyanga, ni wangapi wanalipa kodi?
 
Kutoka na maelezo yako hapo juu, Mimi nilivyokuelewa (nipo tayari kusahihishwa) ni kuwa ili watu wapate maendeleo ni lazima serikali iwe na fedha, na hizi fedha zinatokana na kodi na makusanyo mengine ya serikali. (sawa au nilikuelewa vibaya?)

Unaposema watu wapate stahiki zao kutokana na uchangiaji katika pato la Taifa.. Hapo ninarudia ile ile swali langu hapo juu.. Je serikali itokoa wapi pesa za kuletea watu maendeleo. (tusiongele misaada ua wafadhili)?

Umetoa mfn wa wafanyakazi lakini kwangu mimi huu mfano hauwendani na situation tunayozungumzia. Mfn ambao unaweza kuendana na hii hali labda ni huu:

Tusema tuna Mikoa miwili na serikali

Mikoa hiyo miwili mmoja ni Mkoa Alinda na Mkoa Gamba la Nyoka na Serikali ni Mkandara.

Mkoa wa Alinda unachangia mil 30 katika pato la Taifa na unachangia mil.10 katika kodi na makusanyo mengine ya serikali. Mkoa Gamba la Nyoka unachangia mil 50 lkatika pato la Taifa na unachangia mil.2 katika kodi na makusanyo mengineyo.

Katika uelewa wako ni mkoa upi na kwa sababu zipi utakuwa na maendeleo kuliko mkoa mwingine?
Na katika swala lako la Stahiki ni mkoa hupi unastahili stahiki kubwa kuliko mkoa mwingine na kwa sababu zipi..
Bibie nakuomba unisome vizuri sana na taratibu. Anayetumia Taxes katika pato la taifa ni Mchambuzi sio mimi na nakumbuka ndivyo alivyodhania toka mwanzo kuwa ile ndio ilikuwa kauli ya Zitto.

Nijuavyo mimi Rax haina mahusiano na hoja yetu kwa sababu Pato la Taifa linaweza ongezeka zaidi ikiwa kuna Tax ndogo kwa sababu tax ndogo huwavuta wawekezaji kuwekeza zaidi na hivyo uzalishaji kuongezeka na hata ajira kuongezeka. Nimesema mara nyingi kuwa taxes zetu ni pato la serikali ambalo hulitumikia zaidi ktk matumzi yake na hivyo kuwa sehemu ya mchango wa GDP. Kuwepo na tax kubwa ama mchango mkubwa wa Taxes haina maana ndio growth ya uchumi wala maendeleo ya watu. isipokuwa Taxes ni muhimu kama vyanzo vya serikali (mihimili mitatu) kuweza kuhudumia jamii (recurrent account)..

Sasa basi nachosema mimi ni sehemu ya Uchumi kulingana na hoja ya Zitto na ndipo nimeweka hiyo link na baadaye kuweka video ya huyo mtu akielezea. Katika maelezo yake hakuna mahala amegusia Tax serikali innazokusanya wala haihusu, na japo alichokuwa akizungumzia yeye ni inequality ya mgao wa keki wakati mwingine sio mbaya, lakini hakupewa mfano wetu badala ya watu weka mkoa (SHY) upo katika wale 10% wanaochangia 1/3 ya Pato la Taifa, lakini unakuja ikuta upande la pili wa 2/3 kwenye mgao wa keki ya Taifa! na hii ndio maana Zitto akasema haiwezekani mkoa unaochangia zaidi unaukuta watu wake ndio maskini zaidi ina maana hapa kuna unyonyaji na unyonyaji huo sio toka mikoa mingine isipokuwa mfumo mzima wa uwekezaji.

Sasa msikilize huyo jamaa kwa makini acha habari za Shinyanga na Kilimanjaro (kufananisha) utagundua kwamba mfumo wa CCM ndio unaochangia Shinyanga kuwa chini pamoja na kuwa mkoa unaochangia zaidi Pato la Taifa lakini mchango wa mkoa hauonekani kwa sababu mashirka kama Barrick ni mashirika ya nje, yanaiuza mali zao nje, benki zao ziko nje na mzunguko wa fedha zao unakwenda nje japo serikali inapokea tax zake (ruzuku) lakini hakuna impact ya uwekezaji huo kwa wananchi. Kwa hiyo ukiendelea kuzungumzia Tax utakuwa unanitoa nje ya mmjadala kabisa. Tafuta kwanza How and what is supposed to be kisha jenga hoja yako.

naiweka tena ile video HAPA
 
Mkandara hapo juu, hapa ndipo nadhani wengi hawakuelewi. Endapo unatambua hivyo, kwanini Kiongozi mkuu alikwenda mbali na kulinganisha GDP za mikoa tena akichagua kwa 'makini na random'
Kama wewe unajua ni mfumo, ilikuwepo haja gani ya kulinganisha mikoa kwa GDP hiyo hiyo. Lengo lilikuwa ni nini

Pili, tunauliza, kama GDP ndilo chimbuko la maendeleo hebu tufafanulie, kule Arusha alikokutaja na kufananisha na Shinyanga si kuna Tanzanite ? Tofauti inatokea wapi ikiwa mikoa yote miwili ipo chini ya mfumo ule ule unaosema ndio tatizo?
 
Last edited by a moderator:
Bibie nakuomba unisome vizuri sana na taratibu. Anayetumia Taxes katika pato la taifa ni Mchambuzi sio mimi na nakumbuka ndivyo alivyodhania toka mwanzo kuwa ile ndio ilikuwa kauli ya Zitto.

Nijuavyo mimi Rax haina mahusiano na hoja yetu kwa sababu Pato la Taifa linaweza ongezeka zaidi ikiwa kuna Tax ndogo kwa sababu tax ndogo huwavuta wawekezaji kuwekeza zaidi na hivyo uzalishaji kuongezeka na hata ajira kuongezeka. Nimesema mara nyingi kuwa taxes zetu ni pato la serikali ambalo hulitumikia zaidi ktk matumzi yake na hivyo kuwa sehemu ya mchango wa GDP. Kuwepo na tax kubwa ama mchango mkubwa wa Taxes haina maana ndio growth ya uchumi wala maendeleo ya watu. isipokuwa Taxes ni muhimu kama vyanzo vya serikali (mihimili mitatu) kuweza kuhudumia jamii (recurrent account)..

Hiyo Tax ndogo kwamba watu wanatozwa kiasi kidogo tusema badala ya 19% wanatozwa 10% au kidogo kwa kuwa mkoa husika watu hawalipi kodi kwa sababu mbali mbali?


HAPA[/URL]

Asante sana kwa video pamoja na majibu yako.

Nimesoma na kusoma na kusoma tena lakini mpaka sasa ninashindwa kufahamu kama mkulima (rejea mkulima wangu wa mihongo) baada ya kuuza mazao yake yaani mil.20 ambayo hiyo mil 20 itaonekana katika pato la Taifa. Lakini huyu mtu mil.20 hiko katika mifuko yake ( hajalipa kodi na makato mengine) Je mtu huyu atapaje maendeleo?

Kumbuka ili sehemu fulani kuwe na maendeleo ni lazima kuwe na huduma za kijamii (barabara, shule, umeme, maji, hospital na nk.) na ili serikali ifanye hayo mambo ni lazima iwe na hela. Swaali langu linakuja serikali inawezaje kufanya haya mambo bila ya pesa? (yaani nikifika hapo ndo sioni mbele)


Na je mchango wa pato la Taifa (yaani hiyo mil.20 ya huyu mkulima inayoonekana kwenye makaratasi) inaletaje maendeleo katika sehemu husika? Maana kama nimewaelewa vema GPD ni pesa/thamani ya vitu iliyoko kwenye makaratasi. (kweli)

Nitafurahi ukinipata ufafanuzi ni wapi serikali itapata hela za kutoa hizo huduma (tutoe misaada na wafadhili)
 
Mkandara hapo juu, hapa ndipo nadhani wengi hawakuelewi. Endapo unatambua hivyo, kwanini Kiongozi mkuu alikwenda mbali na kulinganisha GDP za mikoa tena akichagua kwa 'makini na random'
Kama wewe unajua ni mfumo, ilikuwepo haja gani ya kulinganisha mikoa kwa GDP hiyo hiyo. Lengo lilikuwa ni nini

Pili, tunauliza, kama GDP ndilo chimbuko la maendeleo hebu tufafanulie, kule Arusha alikokutaja na kufananisha na Shinyanga si kuna Tanzanite ? Tofauti inatokea wapi ikiwa mikoa yote miwili ipo chini ya mfumo ule ule unaosema ndio tatizo?
Kwa sababu huwezi kuzungumzia mfumo tu watu wakakuelewa kama walivyokuwa wakifanya Chadema miaka yote ya nyuma. Chadema kudai serikali ya majimbo walijua mfumo uliopo unakandamiza baadhi ya mikoa na kuwepo inequality kutokana na urasimu na Ufisadi ulokufuru.

Hakuna mahala Zitto amefananisha Shinyanga na Arusha wala Kilimanjaro! haya aliyasema Adharusi toka mwanzo hamkutaka kumsikia. Isipokuwa Zitto ameonyesha mchango wa kila Mkoa (mikoa 10) kisha nafasi zake katika maendeleo ya watu wake kuonyesha hatuna mfumo mzuri ulochanganuliwa Kiuchumi na kikubwa akitangaza sera ya majimbo pasipo kusema. Sema watu wengi wamekereka na Zitto kuutaja mikoa ya Kilimanjaro wala sio Arusha hii inaongezwa tu kukoreza kwa sababu kuna Uhasama mkubwa baina ya Zitto na Mbowe na kila Zitto anapozungumzia Kilimanjaro ana maana ya chuki yake binafsi na wachagga!. Sisi wenye kujua kusoma watu tumeelewa hivyo.

Mimi najua fika kwamba watu wanadhani Zitto kaitaja Kilimanjaro makusudi kutokana na chuki zake (wanaamini ana chuki) lakini ukweli tunaupata HDR kuwa hakutunga maneno hayo wala sii swala la chuki. Wenye chuki naye ni wale walomfikiria hivyo na hii imetokana na kwamba sisi tuna siasa za majungu, chuki na unafiki hivyo chochote atakacho zungumza Zitto juu ya Kilimanjaro basi atakuwa na nia mbaya wakati sio kweli. Mbojna Mbowe aliwaema Wasukuma wa Shinyanga ni maskini wakati yeye ni wa Kilimanjaro, huoni kama nayekasema yale yale. Kama nmimi msukuma naweza kuuliza kwa nini kataja Wasukuma badala ya Shinyanga ana maana gani?

Tuacheni hizi roho za korosho hazitatufikisha popote. Zitto kisha toka Chadema kafukuzwa na kweli anaweza kuwa mpini wa CCM ila mpini huo wameuchuonga Chadema. Hili nasisitiza na nitaendela kumuunga mkono kwa saabu naamini Chadema walifanya rmaamuzi magumu badala ya maamuzi sahihi. Japo watu wanaamni Zitto ndiye kajiharibia, mimi nasema hapana Chadema ndio walojiharibia, Zitto ataendelea kuwa Zitto na pengine kuwavuta watu wengi zaidi kwa sababu ya siasa ya UJAMAA ambayo hata mimi ni mfuasi..

Kama nilivyowahi kusema Chadema kuwa sikumfuata Mbowe wala Zitto na nilikuwa mtetezi wa chama hicho leo nasema sikumfuata Zitto ACT ila tunashabihiana katika ufuasi wa mrengo huu wa Kijamaa ambao ndio umekuwa hoja kubwa ya maneno alozungumza Zitto. Pengine ingenishangaza zaidi kumsikia Mbowe akizungumzia hali ya wasukuma wakati chama chake kinahubiri Ubepari na Unyonyaji - Ujenzi wa Tiafa kutoka juu..
 
Last edited by a moderator:
Mkandara hapo juu, hapa ndipo nadhani wengi hawakuelewi. Endapo unatambua hivyo, kwanini Kiongozi mkuu alikwenda mbali na kulinganisha GDP za mikoa tena akichagua kwa 'makini na random'
Kama wewe unajua ni mfumo, ilikuwepo haja gani ya kulinganisha mikoa kwa GDP hiyo hiyo. Lengo lilikuwa ni nini

Pili, tunauliza, kama GDP ndilo chimbuko la maendeleo hebu tufafanulie, kule Arusha alikokutaja na kufananisha na Shinyanga si kuna Tanzanite ? Tofauti inatokea wapi ikiwa mikoa yote miwili ipo chini ya mfumo ule ule unaosema ndio tatizo?


Hii shule inaanza kunichanganya karibia nitamwaga manyaga chini maana nitajikuta naharibu hata kile kidogo nilichojifunza....
 
Nguruvi3 , Mchambuzi , Mkandara , Kapwela , na wengineo.

Hivi nchi zilizoendelea wanapotaja maendeleo katika nchi zao wanamaanisha nini hasa? Yaani wanamaanisha upatikanaji wa maji, umeme, hospital, umri wa watoto kwenda shule, vifo vya wajawazito, wajawazito wanaojifungulia hospital na nk?

Naomba ufafanuzi wapo...mwenye uelewa
 
Last edited by a moderator:
Asante sana kwa video pamoja na majibu yako.

Nimesoma na kusoma na kusoma tena lakini mpaka sasa ninashindwa kufahamu kama mkulima (rejea mkulima wangu wa mihongo) baada ya kuuza mazao yake yaani mil.20 ambayo hiyo mil 20 itaonekana katika pato la Taifa. Lakini huyu mtu mil.20 hiko katika mifuko yake ( hajalipa kodi na makato mengine) Je mtu huyu atapaje maendeleo?

Kumbuka ili sehemu fulani kuwe na maendeleo ni lazima kuwe na huduma za kijamii (barabara, shule, umeme, maji, hospital na nk.) na ili serikali ifanye hayo mambo ni lazima iwe na hela. Swaali langu linakuja serikali inawezaje kufanya haya mambo bila ya pesa? (yaani nikifika hapo ndo sioni mbele)

Nitafurahi ukinipata ufafanuzi ni wapi serikali itapata hela za kutoa hizo huduma (tutoe misaada na wafadhili)
Kifupi nikwambie kuwa Serikali hupanga matumizi yake kabla ya makusanyo wa kodi (mfano bajeti ya mwaka 2015/16. Kila waziri yupo responsible ku outline kiasi gani cha fedha zinahitajika ktk kuendesha shughuli na huduma za wizara yake. Hivyo wanakuwa tayari wameshamua kujenga shule, Hospital, barabara na kadhalika na ndio mchango wa serikali katika GDP, kwa kutegemea vyanzo walivyonavyo na vipya vilivyojitokeza ama wanakusudia kuvitumia ili kukusanya fedha za kulipia gharama hizo. Hii ndio baajeti ya serikali tunayozungumzia, Nadhani hadi hapa tuko pamoja sio..

Sasa wewe mkulima wa Muhogo ambaye hukulipa kodi, hauwezi kusimamisha ujenzi wa barabara wala shule kwa sababu Serikali ina mfuko mmoja tu ilokusudia kuhudunimia wananchi wote. Jirani yako mwenye shamaba la pamba kalipia, mwenye duka kalipia na fedha zote zinakwenda katika mfuko huo serikali ambao hauna tena jina la mtu wala mkoa. Ni jumla ya feda zilizokuswanywa kote nmchini, haitazami nani katoa nini ama zaidi ili apitishwe miradi zaidi upande wake bali bajeti ya serikali inachukua hii ni nchi moja tunakusanya kodi zote mfuko mmoja kisha tunalipia matumizi tuloyafanya.

Kama vile wewe bajeti yako ya nyumbani, unapopanga kununua Chakula sii kwa sababu fedha hizo zimetokana na Chakula, bali unakusanya mapato yako yote kisha unalipia gharama za matumizi muhimu kwako iwe chakula, shule, matumizi ya watoto na kadhalika kwa sababu tayari umeshakusudia ama kujua mwezi huu unategemea kukusanya kiasi gani. Ukilala siku moja utajilaumuu wewe kupoteza pato la siku na hivyo kuharibu mipango yako. Na usipolipwa baadhi ya fedha ambazo aidha ulikuwa unamdai mtu, utaondoa vitu ambavyo sii vya maana, tatizo kwetu sisi wa pembeni ni pale umeamua kuondoa ada ya mtoto shule.
 
Hii shule inaanza kunichanganya karibia nitamwaga manyaga chini maana nitajikuta naharibu hata kile kidogo nilichojifunza....
Kwa sababu huwezi kuzungumzia mfumo tu watu wakakuelewa kama walivyokuwa wakifanya Chadema miaka yote ya nyuma. Chadema kudai serikali ya majimbo walijua mfumo uliopo unakandamiza baadhi ya mikoa na kuwepo inequality kutokana na urasimu na Ufisadi ulokufuru.

Hakuna mahala Zitto amefananisha Shinyanga na Arusha wala Kilimanjaro! haya aliyasema Adharusi toka mwanzo hamkutaka kumsikia. Isipokuwa Zitto ameonyesha mchango wa kila Mkoa (mikoa 10) kisha nafasi zake katika maendeleo ya watu wake kuonyesha hatuna mfumo mzuri ulochanganuliwa Kiuchumi na kikubwa akitangaza sera ya majimbo pasipo kusema. Sema watu wengi wamekereka na Zitto kuutaja mikoa ya Kilimanjaro wala sio Arusha hii inaongezwa tu kukoreza kwa sababu kuna Uhasama mkubwa baina ya Zitto na Mbowe na kila Zitto anapozungumzia Kilimanjaro ana maana ya chuki yake binafsi na wachagga!. Sisi wenye kujua kusoma watu tumeelewa hivyo.

Mimi najua fika kwamba watu wanadhani Zitto kaitaja Kilimanjaro makusudi kutokana na chuki zake (wanaamini ana chuki) lakini ukweli tunaupata HDR kuwa hakutunga maneno hayo wala sii swala la chuki. Wenye chuki naye ni wale walomfikiria hivyo na hii imetokana na kwamba sisi tuna siasa za majungu, chuki na unafiki hivyo chochote atakacho zungumza Zitto juu ya Kilimanjaro basi atakuwa na nia mbaya wakati sio kweli. Mbojna Mbowe aliwaema Wasukuma wa Shinyanga ni maskini wakati yeye ni wa Kilimanjaro, huoni kama nayekasema yale yale. Kama nmimi msukuma naweza kuuliza kwa nini kataja Wasukuma badala ya Shinyanga ana maana gani?

Tuacheni hizi roho za korosho hazitatufikisha popote. Zitto kisha toka Chadema kafukuzwa na kweli anaweza kuwa mpini wa CCM ila mpini huo wameuchuonga Chadema. Hili nasisitiza na nitaendela kumuunga mkono kwa saabu naamini Chadema walifanya rmaamuzi magumu badala ya maamuzi sahihi. Japo watu wanaamni Zitto ndiye kajiharibia, mimi nasema hapana Chadema ndio walojiharibia, Zitto ataendelea kuwa Zitto na pengine kuwavuta watu wengi zaidi kwa sababu ya siasa ya UJAMAA ambayo hata mimi ni mfuasi..

Kama nilivyowahi kusema Chadema kuwa sikumfuata Mbowe wala Zitto na nilikuwa mtetezi wa chama hicho leo nasema sikumfuata Zitto ACT ila tunashabihiana katika ufuasi wa mrengo huu wa Kijamaa ambao ndio umekuwa hoja kubwa ya maneno alozungumza Zitto. Pengine ingenishangaza zaidi kumsikia Mbowe akizungumzia hali ya wasukuma wakati chama chake kinahubiri Ubepari na Unyonyaji - Ujenzi wa Tiafa kutoka juu..
Mkuu mbona hoja za Alinda na Mchambuzi zipo wazi? Haya ya chuki na Chadema yanaingaije katika kile Alinda anachouliza takribani wiki kadhaa sasa

Kitendo cha kiongozi mkuu kuorodhesha mikoa na GDP kwa kulinganisha na maendeleo peke yake kinaleta sintofahamu
Ndio msingi wa Alinda kuuliza, uhusiano uliopo kati ya maendeleo na GDP. Amejaribu sana kuliweka swali kwa njia mbadala, bado mnazunguka zunguka. Tumeweka kwa njia tofauti bado mnazunguka zunguka

Huko nyuma Mchambuzi aliuliza, Sumbawanga ina GDP kubwa kuliko Kigoma, na Kigoma ina teax revenue kubwa kuliko Sumbawanga. Wewe na kiongozi mkuu mnaweza kutaumbia ulinganisho wa mikoa hiyo unafuta kanuni ipi?
Mchambuzi kasema kama tax hukubaliani nayo, basi tuonyeshe GDP inagawiwa vipi kama alivyouliza Alinda mara kibao.

Na mwisho katika hotuba zote zilizowekwa hapa kiongozi mkuu kataja Kilimanjaro na Arusha kwa namba na kwa nadharia. Hatuhitaji kuzungumzia chuki zake na mikoa hiyo, huko tumevuka, sasa hivi yupo katika ukweli wa uchumi.

Mkuu hapa hakuna kubabaisha, hayo ya kiongozi mkuu na Mbowe na Wachagga na supreme n.k.pembeni. Lete na tetea hoja kwa mantiki
 
Last edited by a moderator:
Kifupi nikwambie kuwa Serikali hupanga matumizi yake kabla ya makusanyo wa kodi (mfano bajeti ya mwaka 2015/16. Kila waziri yupo responsible ku outline kiasi gani cha fedha zinahitajika ktk kuendesha shughuli na huduma za wizara yake. Hivyo wanakuwa tayari wameshamua kujenga shule, Hospital, barabara na kadhalika na ndio mchango wa serikali katika GDP, kwa kutegemea vyanzo walivyonavyo na vipya vilivyojitokeza ama wanakusudia kuvitumia ili kukusanya fedha za kulipia gharama hizo. Hii ndio baajeti ya serikali tunayozungumzia, Nadhani hadi hapa tuko pamoja sio..

Sasa wewe mkulima wa Muhogo ambaye hukulipa kodi, hauwezi kusimamisha ujenzi wa barabara wala shule kwa sababu Serikali ina mfuko mmoja tu ilokusudia kuhudunimia wananchi wote. Jirani yako mwenye shamaba la pamba kalipia, mwenye duka kalipia na fedha zote zinakwenda katika mfuko huo serikali ambao hauna tena jina la mtu wala mkoa. Ni jumla ya feda zilizokuswanywa kote nmchini, haitazami nani katoa nini ama zaidi ili apitishwe miradi zaidi upande wake bali bajeti ya serikali inachukua hii ni nchi moja tunakusanya kodi zote mfuko mmoja kisha tunalipia matumizi tuloyafanya.
Alinda usibwage manyanga, twende taartibu wapo wanaochanganya umma na hawa ndio tatizo .

Usichoke maana , kiongozi mkuu akiungana na akina Mkandara ndipo tunaona GDP ikitumika kulinganisha mikoa. GDP inatumika kuleta farki kati ya mikoa na mikoa. Taifa linakuwa njia panda.

Mkandara anachosema hapa ni kuwa GDP ni indicator tu ya hali ya uchumi itakyotoa picha ya vitu kama ukusanyaji wa kodi (paragrapgh 1)

Para 2 anasema shule na hospitali zinagharamiwa kwa kodi iliyokusanywa.
Kwa maneno mengine anakubali kuwa katika kutoa huduma zinatopelekea eneo kufikia maendeleo kodi ni muhimu sana .

Hata kama hakulipa mtu mmoja, bado anaamini kodi ni muhimu katika maendeleo!

Mwisho kuna hoja hapo kwa Mchambuzi 1744 na zile za Alinda, mkuu Mkandara zipitie kidogo utupe ufahamu
 
Nguruvi3 , Mchambuzi , Mkandara , Kapwela , na wengineo.

Hivi nchi zilizoendelea wanapotaja maendeleo katika nchi zao wanamaanisha nini hasa? Yaani wanamaanisha upatikanaji wa maji, umeme, hospital, umri wa watoto kwenda shule, vifo vya wajawazito, wajawazito wanaojifungulia hospital na nk?

Naomba ufafanuzi wapo...mwenye uelewa
Mimi nimechoka labda wengine wakje kuwaeleza kwa sababu Tax has nothing to do with uchangiaji wa pato la Taifa. Kuna nchi hazina Tax ama kuna states zina kodi ndogo kabisa na ndizo zinavutia wawekezaji zaidi. mahala popote penye kodi kubwa ina maana matumuzi ya serikali ni makubwa zaidi iwe kulipia mishahara, posho, misafara na kadhaika.

Umaskini wetu umetugfanya hatuna Capital nia hivyo ndio maana tumejitumbukiza kwenye misaada ya IMF. Huku ndiko kuna mipango ya ujenzi wa mabarabara, shule, miradi ya maji na kadhalika. Huku ndiko kwenye mipango ya maendeleo sijui Millenium 2025. Ni sisi ambao tunaweza ku exports ziadi ya Imports sio kodi ya serikali.. Yaani hata siwaelewi kabisa ni kama vile mtu anatumia mbegu anayoivuna kuwa ndio kipimo cha mapato kwa sababu mbegu hizo zimetokana na mavuno..


[SIZE=+0]Causes of Low Per Capita Output in Less Developed Countries[/SIZE]

[SIZE=-1]The problems of a particular nation with low per capita output are unique. It is possible, however, to list some basic causes:[/SIZE]
  1. [SIZE=-1]Lack of capital and low rate of savings.[/SIZE]
[SIZE=-1]The key to economic growth is accumulation of capital, and to accumulate capital requires savings. In less developed countries workers have little physical capital (roads, structures, bridges, equipment, vehicles, etc) to work with. As a result, their productivity is low and output per capita is low. Consequently, there is little or no savings, which in turn is necessary to accumulate capital.[/SIZE]
  1. [SIZE=-1]Lack of human capital.[/SIZE]
[SIZE=-1]Human capital is as important as the physical capital. Often the labor force in less developed countries is illiterate or lacks necessary training.[/SIZE]
  1. [SIZE=-1]Old fashion production methods.[/SIZE]
[SIZE=-1]The use of old technology is related to the lack of physical and human capital.[/SIZE]
  1. [SIZE=-1]Political instability and government policies that discourage production.[/SIZE]
[SIZE=-1]Less developed countries are sometimes plagued by guerilla warfare, political insurgence, and political corruption which create the wrong environment for investment and production.[/SIZE][SIZE=-1]All these problems are linked with each other and may require assistance from international organizations or other nations to be resolved.[/SIZE]

[SIZE=+0]How can less developed countries acquire capital?[/SIZE]

[SIZE=-1]Here are some suggestions:[/SIZE]
  • [SIZE=-1]Gifts of direct aid and technical assistance from developed nations.[/SIZE]

  • [SIZE=-1]Trade with foreign nations to obtain capital: increase exports of agricultural and industrial products.[/SIZE]

  • [SIZE=-1]Direct investment of private corporations. To attract private foreign investment usually requires social and political stability, good transportation and communications infrastructure, and human capital, all or some of which may be lacking in the less developed countries.[/SIZE]

  • [SIZE=-1]Loans from a number of unique public international financial institutions, such as, the World Bank and the International Monetary Fund. The World Bank provides loans at reduced interest rates to help developing nations acquire capital. The International Monetary Fund (IMF) lends to countries over the short term to remedy balance of payments deficits, and requires in exchange rigorous economic policy measures from the borrowing nation to cut internal expenditures and increase exports.[/SIZE]
 
Mkandara,

In reference to post #1754 .
Mimi nimechoka labda wengine waje kuwaeleza kwa sababu Tax has nothing to do with uchangiaji wa pato la Taifa.

Tatizo lako wewe ni mbishi hata pale ambapo hauna hoja ya msingi. Nani kasema taxation inachangia pato la taifa? Tulichosema mara nyingi sana ni kwamba pato la taifa (GDP) lina maana kwa wananchi in terms of zile Human Development Index mnazozijadili, ikiwa tu serikali inanufaika kwa njia ya kutoza KODI kwenye National Output (goods and services produced), corporate income tax, and income taxes on individuals. Tumejadili kwamba - role of the government in an economy ni kupitia Fiscal Policy ambayo ina instruments mbili kubwa:

(1) Kodi.
(2) Matumizi.

Tatizo lako unakwepa maswali yote ya msingi ambayo unaulizwa, maswali ambayo mjadala wake ungetufikisha mbali sana. Awali nilieleza kwamba pato la taifa lina ‘equation' ifuatayo, na nimelisema hili mara nyingi sana lakini unakwepa kujadili:

GDP (Pato la Taifa) = C + I + G (Exports - Imports).

C = Consumption (households)
I = Investments by businesses
G = Government Expenditures including revenues from Taxes.
E-M = Net Exports.

Nakuuliza tena kwa mara ya kumi labda: Je,

1. Unadhani Kwanini government is included katika equation hii? Kwa maana nyingine, kwanini unadhani equation ya GDP is incomplete without the role of government?

Kuna nchi hazina Tax ama kuna states zina kodi ndogo kabisa na ndizo zinavutia wawekezaji zaidi. mahala popote penye kodi kubwa ina maana matumuzi ya serikali ni makubwa zaidi iwe kulipia mishahara, posho, misafara na kadhaika.

Hapa unajichanganya tu bila sababu ya msingi. Unazungumzia Kodi za aina gani? How do those governments or states survive kwa kutokuwa na aina yoyote ya KODI? Every country or State has a public sector, whether small or large sector. Regardless, eery public sector is run under public finance system. Generally speaking, composition of taxes katika nchi nyingi duniani huwa ipo hivi:

1. Taxes on International Trade. (Nchi maskini na za uchumi wa kati hutegemea zaidi aina hizi za kodi kuliko nchi zilizoendelea)
2. Domestic Commodity Taxes. (nchi za maskini na za uchumi wa kati hutegemea zaidi kodi hizi kuliko nchi zilizoendelea)
3. Domestic Income taxes. (Nchi zilizoendelea hutegemea sana aina hii ya kodi. Nchi za uchumi wa kati zinazidi kujitahidi katika hili. Nchi maskini kama Tanzania bado zipo nyuma sana. Kwa nchi zilizoendelea, over 70% of income is captured by tax. Kwa nchi kama zetu, less than 20%, including wananchi wa Shinyanga ambao wewe na zitto mnasema wapewe wanachostahili. Kipi? Hamna majibu.
4. Social Security. (Nchi zilizoendelea zinategemea sana aina hii ya kodi kuliko nchi maskini).
5. Other taxes.(Nchi maskini na za uchumi wa kati zina aina nyingine nyingi za taxes na huzitegemea sana.

Muhimu:
Tulishajadili kwamba, nchi zenye maendeleo ni zile ambazo Taxation to GDP ratio ipo juu. Mjadala huu unaendelea kukwepa, huku ukiendeleza ubishi wa kitoto kwamba hakuna uhusiano wowote kati ya GDP & Taxation.

Kwa hoja yako hapo juu, unataka kutuaminisha kwamba zipo nchi ambazo hakuna aina yoyote ya kodi. Ebu tutajie hizo nchi - sovereign states ambazo hakuna aina yoyote ya kodi - inward oriented and outward oriented.

Umaskini wetu umetugfanya hatuna Capital nia hivyo ndio maana tumejitumbukiza kwenye misaada ya IMF.

Do you know sources of capital accumulation in a country ni zipi? Hakuna siri katika hili. Main source of Capital Accumulation ni "SAVINGS". Savings come from two main front namely: Private Savings and Public Savings. In neo classical economics, SAVINGS ndio huwa ni sources of INVESTMENTS, in both public and private sectors. Hata ukiona nchi inapokea misaada au inapokea foreign investments, kwa akili ya kawaida tu unatakiwa kufahamu kwamba hizo ni SAVINGS za wenzetu huko nje.

Tujadili kidogo suala hili la Savings as a source of capital accumulation, dhana ambayo ni wewe umetuletea to justify the unjustified. Savings huanza na Income. Equation yake ipo kama ifuatavyo:

Y = C + I + G.

"Y" ni income za households and entrepreneurs.

"C" ni Consumption za housefolds and entrepreneurs on goods and services in the economy.

"G" ni matumizi ya serikali kwa ajili ya bidhaa na huduma za UMMA, ambazo moja ya vyanzo vyake vikuu ni KODI.

Swali linalofuatia ni je:

Savings ambayo hupelekea capital accumulation, hutokea wapi? Kumbuka, savings, chanzo chake ni Income; pia savings is what goes into investment (private savings and public savings), hence capital accumulation. Kwahiyo:

I = Y – C – G

Hapa:

I = Investment
Y = Income
C = Consumption by households…
G = Government expenditures on public goods and services.

Kwahiyo hapa, Investment ndio "National Savings", na National Savings ndio CAPITAL ACCUMULATION. National Savings ina sura kuu mbili.
1) Private Savings
2) Public Savings

Private savings.
Hizi ni savings in the private domain of the economy (savings done by businesses and individuals).

Public Savings.
Hizi ni savings in the public domain, na zina uhusiano wa moja kwa moja na kodi. Public savings determines the amount of government's budget i.e budget surplus or budget deficit.

Equation ya National Savings (jumla ya public and private savings in an economy) imekaa hivi:

(Y-T-C) + (T-G) = I(investment or Capital Accumulation).

Tuanze na upande wa "Private Savings", ambayo hapo juu inawakiishwa na "Y-T-C":


*Y ni income ya businesses and households (income before taxes)
*T, ni taxes on the income above
*C, ni consumption on goods and services made by households etc.

Tukija kwenye upande wa Public Savings, hii inawakilishwa hapo juu na "T- G":

*T ni taxes by government on businesses and individuals.
*G ni government expenditures on goods and services.

Tuangalie savings (or investments or capital accumulation) ya private sector and public sector. Tuanza na jinsi gani capital gets accumulated in the private sector:

Upande wa sekta binafsi, tuliona equation yetu kuwa: National Savings = Y-T-C. Maana yake hapa ni kwamba "National Savings" (upande wa Private Savings) ni:

"Income" i.e (Y) MINUS "Taxes" i.e (T) MINUS "Consumption" i.e (C). After deducting these from income, ndio unapata "Private Savings" (Savings in the Private Sector). Hizi ndio huchukuliwa kama capital accumulation needed for Investments in an economy.

Tukija kwenye upande wa Public Sector, the rest of the formula ipo hivi:

T- G:
T ni taxes levied by government.
G ni expenditures by government on private sector. Kwahiyo:

"Taxes" MINUS "Government Expenditures", kinachobakia ndio savings in the public sector/accumulation of capital in the public sector, needed for public investmen. Hii huwa ndio "Budget Surplus" ya serikali.

Hadi hapa nadhani unaona kwamba key word ni KODI KODI KODI.

Naendelea na majibu kwa hoja zako zilizosalia hapo chini…
 
Mkandara, post #1754 uliendelea kujadili hivi:

Huku ndiko kuna mipango ya ujenzi wa mabarabara, shule, miradi ya maji na kadhalika. Huku ndiko kwenye mipango ya maendeleo sijui Millenium 2025. Ni sisi ambao tunaweza ku exports ziadi ya Imports sio kodi ya serikali.

Awali unawataja IMF as credible institution on economic development and poverty alleviation efforts. Hivi unajua kwamba its IMF ambao walishinikiza Tanzania ifanye reforms kwenye public finance system yake na ndio sababu TRA ikazaliwa? Kwanini unadhani such reforms were necessary?

Leo taifa linakusanya mapato mengi kutokana na vyanzo mbalimbali vya kodi kutokana na hizo reforms. Huko nyuma, mapato ya serikali yalikuwa hafifu sana. Changamoto bado zipo, lakini tumeenda mbali kidogo na suala hili la public finance for development. Tukumbuke tena kauli mbiu ya TRA…

Huko juu unajitapa kuwa wewe ni mjamaa kama Zitto, sijui kama unajua kwamba ujamaa unaenda sambamba na kujitegemea. Na kujitemea maana yake ni kutegemea domestic sources of revenues to finance development, badala ya kutegemea AID from donors. Hapo juu unasema kwamba we dont need tax revenues, but we need more exports. Je maana yako ni kwamba we should have a "zero tax policy on exports?" Do you know anything about protectionism in developed countries?

Yaani hata siwaelewi kabisa ni kama vile mtu anatumia mbegu anayoivuna kuwa ndio kipimo cha mapato kwa sababu mbegu hizo zimetokana na mavuno.
.

Wewe ndio hujielewi. Laiti ungekuwa unajibu maswali yetu, mjadala ambao ungefuatia ungekuweka katika hali ya uelewa kuliko sasa. Unajadili suala la uchumi by EMOTIONS. Hii ni mbaya sana Mkandara kwani kamwe hautakaa uelewe zitto anakosea wapi, na wewe utaishia kuwa na uelewa uliojaa upotoshaji.

Kwanini hautaki kujibu maswali haya?:

*Katika muktadha wa GDP na maendeleo ya mkoa Shinyanga, tatizo ni GDP au tatizo ni GDP kutozaa Kodi kwa serikali?
*Hayo mavuno ya wananchi (kwa mtazamo wenu ni GDP), yanaenda wapi? Nani ana wadhulumu wananchi wa shinyanga mavuno yao (GDP)?
*Katika ujenzi wa GDP ya wananchi wa shinyanga, ni wangapi wanalipa kodi?
*Kigoma ina pato kubwa zaidi (GDP) kuliko Sumbawanga lakini Sumbawanga mchango wake wa mapato ya serikali (KODI) ni mkubwa sana kuliko Kigoma. Unazungumziaje ligi ya maendeleo baina ya mikoa hii miwili?

Hapa chini kama kawaida yako unatuletea copy and pastes bila uchambuzi, ufafanuzi wala mjadala. Tutakusaidia:

The problems of a particular nation with low per capita output are unique. It is possible, however, to list some basic causes:
Lack of capital and low rate of savings.
The key to economic growth is accumulation of capital, and to accumulate capital requires savings. In less developed countries workers have little physical capital (roads, structures, bridges, equipment, vehicles, etc) to work with. As a result, their productivity is low and output per capita is low. Consequently, there is little or no savings, which in turn is necessary to accumulate capital.

Nadhani hili nimejibu kwenye bandiko langu la awali # 1755.

Lack of human capital.
Human capital is as important as the physical capital. Often the labor force in less developed countries is illiterate or lacks necessary training

Incase ulikuwa hauna uelewa, basi ujue kwamba "Human Capital" ni combination of education and health status ya wananchi. Swali kwako, je:
· Kati ya GDP na Tax Revenues, what finances Human Capital?

Old fashion production methods.
The use of old technology is related to the lack of physical and human capital
.

Hapa pia nikuulize, je:
· Kati ya GDP na Tax revenues, what finances Physical and Human Capital?

How can less developed countries acquire capital? Here are some suggestions:
Gifts of direct aid and technical assistance from developed nations.
Ukiwa kama Mjamaa, nini kinakufanya ujitegemee kama taifa, is it gifts, aid and technical assistance au Mobilization of domestic revenues (KODI) kufanikisha hayo yote kwa kujitegemea?
Trade with foreign nations to obtain capital: increase exports of agricultural and industrial products.
Its obvious, as it would complement other key source of capital accumulation that we have discussed earlier – private and public savings.
Direct investment of private corporations. To attract private foreign investment usually requires social and political stability, good transportation and communications infrastructure, and human capital, all or some of which may be lacking in the less developed countries.
Again, KODI KODI KODI. Bila Sisi kuwekeza wenyewe kupitia KODI zetu wenyewe, real investment in public infrastructure and human capital will remain a distant dream.
Loans from a number of unique public international financial institutions, such as, the World Bank and the International Monetary Fund. The World Bank provides loans at reduced interest rates to help developing nations acquire capital. The International Monetary Fund (IMF) lends to countries over the short term to remedy balance of payments deficits, and requires in exchange rigorous economic policy measures from the borrowing nation to cut internal expenditures and increase exports.

Ukiwa kama mjamaa, nadhani Kujitegemea kama taifa ni muhimu. Kwanini hauoni hilo na badala yake unaendeleza utamaduni wako wa copy and paste? Kama taifa, tunatakiwa kuweka kipaumbele katika kuondokana na uchumi tegemezi, na moja ya njia sahihi ni mobilization of domestic revenues (KODI) ili kuondokana na utegemezi kwenye mikopo na misaada.
 
Mchambuzi,

Mkuu unarudi kule kule tulikotoka mwanzo maana nilishakwamba kuwa serikali ni sehemu ya Taifa, hivyo unapozungumzia PATO LA TAIFA kuna role serikali inafanya na ndio tukafikia matumizi ya serikali kulingana na Bajeti yake na ndio maana tukasema Kodi ni sehemu ya pato la Taifa. Kwa maana hiyo Shinyanga ina mchango wake, Kilimanjaro ina mchango wake na serikali ina mchango wake. Maneno ya J F Kennedy alisema - Usifikirie serikali itakufanyia nini bali fikiria wewe utaifanyia nini serikali, yanadhihirisha kuwa sisi sote tuna mchango mkubwa katika maendeleo ya Taifa.

Kwa nini sipendi ubishi wa kodi kwa sababu kodi ni matokeo ya Investment nchini na serikali inaweza kuwa sababu ya kodi kupungua sio lazima wananchi. japo sipendi kuzungumzia kodi zaidi lakini unanilazimisha niulize hivi Kwa nini serikali ijenge shule 300 Kilimanjaro lakini imejenga shule 100 Shinyanga ambako kuna population kubwa zaidi ya Kilimanjaro? Na kuwepo kwa shule 300 Kilimanjaro, serikali imeajiri walimu zaidi Kilimanjaro kuliko Shinyanga (matumizi yake) unategemea vipi walimu wa Shinyanga wachangie kodi sawa au kubwa kuliko Kilimanjaro? Je kutochangia kodi kubwa kwa Shinyanga kunatokana na uvivu wao kwa sababu ilitakiwa Shinyanga pamoja na kuwa na shule chache walimu wachache lakini wangelipa kodi sawa na Kilimanjaro! Kwa hiyo wamekwepa kodi na hii habari ya kukwepa kodi sijui mnaitoa wapi.

Hakuna mahala nimekataa kwamba matumizi ya serikali hayatokani na kodi lakini pia yanatokana na mapato mengine kama vile mikopo (Borrowing), hivyo huwezi kuisolate one case ya mkulima wa muhogo ku justify kwa nini wananchi wa Shinyanga hawana maendeleo. case ambayo mtu unadhania pengine kuwa ndio sababu wakati hujui sababu. Mnaacha mkulima wa Pamba wa Shinyanga ambaye Pamba yake imeuzwa nje (export) kama mfano bora mnaenda chukua mkulima wa Muhogo!

Kama vile huwezi kusema wananchi wa Tanzania ni maskini kwa sababu hawalipi Kodi, hii hukumu haikukaa sawa na hata kujijadili maana sio kweli. Na nina hakika wewe, Nguruvi3 na Alinda mkiingia mjadala wa kwa nini Tanzania ni nchi tajiri lakini watu wake ni maskini? Hakuna mmoja wenu atasema ni kwa sababu wananchi hawalipi kodi!. Ila inapokuja swala la Shinyanga mnatafuta sababu ambayo hazina ukweli kiuchumi wala utafiti isipokuwa mnachukua figures mlizoona TRA kunadia hoja yenu dhidi ya Zitto.

Mkuu wangu, kwa dhana hiyo hiyo naweza kusema hivi:- Kilmanjaro inalipa kodi kubwa kwa sababu ya ukubwa wa Investment za serikali huko, simnataka ubishi usiokuwa na maana?. Viwanda vya Bia na Nguo pekee yake vimelipa kodi sawa na wafanyakazi wote wa Shinyanga! Sasa kwa nini mtu ufikirie Shinyanga hawaendelei kwa sababu wanalipa kodi ndogo ilihali hawana kiwanda cha Bia hata kimoja kutokana na ukosekanaji wa maji. Watu wote wanalipa kodi lakini hazifikii kodi kubwa iunayolipwa na viwanda vya bia vya kilimanjaro.

Anyway, mimi nadhani maelezo yangu yametosha na kama hamjaelewa na mnaendelea kushutumu wananchi wa Shinyanga kwa sababu hawalipi Kodi sawa na Kilimanjaro wakati malalamiko yao ni ukosefu wa policies bora ktk investments za serikali zinazoweza ku trickle down kuwawezesha wananchi basi hizi siasa zenu za CDM dhidi ya Zitto sintoziweza kwa sababu hata niseme nini hamtakubali.

Kumalizia pengine nikubali maneno yenu yasokuwa ya Ukabila ya nkwamba Shinyanga ni maskini kwa sababu hawalipi kodi na Watanzania kwa ujumla ni maskini kwa sababu hawalipi kodi. Zitto hakuliona hilo aache kulalamikia na kujenga chuki na Ukabila maana wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro (Wachagga) wameendeea kwa sababu ni wachapa kazi na wanalipa kodi..Tumemaliza au sio?...
 
Mkandara , kuna hoja unazojaribu kubadilisha hoja kwa kutusingizia. Hoja iliyopo mbele ni maneno ya kiongozi mkuu akitumia GDP kulinganisha maendeleo ya mikoa. Hiyo imezua mjadala mzito na maswali mazito kutoka kwa wachangiaji.

Alinda anauliza uhusiano kati ya GDP na maendeleo,kutaka kujua ni kwa namna gani mkoa unaochangia GDP kama namba 4 unakuwa wa 16 kimaendeleo, wakati Arusha na Kilimnjaro zinachangia 7 na 9 lakini ZIPO KUU KWA MAENDELEO. Hadi sasa huna jibu
Mchambuzi akaja ku-debunk hoja ya kiongozi mkuu kwa kuonyesha kuwa kuna GDP na tax revenue.
Vitu hivi vinatumika nyakati tofauti kwa namna tofauti kupata takwimu tofauti.

Akaja na mfano wa Sumbawanga yenye GDP kubwa kuliko Kigoma lakini tax revenu ndogo, Kigoma ikiwa ni kinyume chake.
Hada sasa hamja thibitisha kama kasema uongo

Ndipo inakuja hoja nyingine. Kama kiongozi mkuu ametumia GDP kuonyesha wachangaiji kidogo wanakula zaidi, mbona Lindi wanachngia GDP kidogo lakini wapo juu ya Shinyanga? Hakuna anayejibu

Ndio msingi wa wewe kuulizwa, uonyeshe uhusiano wa moja kwa moja wa maendeleo na GDP kama anavyosema kiongozi mkuu

Hoja yako ya pili kuhusu Kilimanjaro, hii tutaijibu kwasababu kuzunguka kote kumelenga mikoa hiyo.
Tunajua kuna kila jitihada za kueneza uongo ili hoja ya supreme ionekane kama ina mantiki.

Kwanza, serikali haijajenga sekondari 300 kama unavyodai. Hayo ni madai yasiyo na ukweli.
Tumekueleza jinsi mwamko wa elimu ulivyokuwepo tangu enzi za mkoloni kutokana na historia.
Na katika kukuoneysha hilo nityakupa baadhi ya hoja

Katika miaka 1990 kurudi nyuma, shule za sekondari za Tanzania zilijulikana kwa majina.
Maana yake zilikuwa ni chache. Kwa wale wa zamani mtakumbuka wanafunzi na walijuana kwa shule.

Kilimanjaro nakumbuka kwa uchache ilikuwa na shule zifuatazo
Moshi Sekondari, Weru weru, Lyamungo, Umbwe, Same, Mawenzi, Machame.
Upo uwezekano hatukubuki ziingine na kwa maana hiyo tunaongeza idadi zaidi ya 5. Jumla inakuwa 15

Mkoa huo ulikuwa na shule za sekondari zaidi zilizojengwa na madhehebu ya dini, wazazi au taasisi nyingine

Kwamba, Wilaya moja tu ilikuwa na shule nyingi kuliko mikoa 3 kwa pamoja zote zikiwa za binafsi

Wakati serikali inapanua elimu ya sekondari, mikoa hiyo tayari ilishakuwa katika mipango ya kuendeleza kidato cha tano

Huu mpango wa shule za kata ni kuongezea tu, wao walikuwa mbele siku nyingi na mifano ipo hai ukitaka tutakupa.

Hakuna shule 300 za serikalii! ni uongo kama uchochezi wa supreme.

Hata mazingira ya siku ya leo 8/7/2015 ni uongo mkubwa kusema serikali imejenga shule 300.
Hakuna kitu kama hicho! ni uongo mkubwa. Tumia akili kidogo, utabaini hilo, usiongozwe na chuki, maradhi mabaya sana

Hata kama mnachuki wewe supreme kuhusu mikoa hiyo, chuki hizo ziwe za maendeleo. Huwezi kujenga hoja za uongo ilimradi kudhihiri chuki.

Sisi tunaoijua Tanzania tunajua wenzetu kwanini wameendelea. Nilikuwa Ukerewe(Murutunguru enzi hizo) na kwingine, tunajua tunachoandika. Tumeishi na tunaijua Tanzania, hatuhadithiwi

Narudia tena, acha uongo jenga hoja kwa kutumia ukweli. Chuki za kiongozi mkuu zisikuingie kiasi cha kupoteza fahamu.

Jamvi zima linakubali kubali kuwa kiongozi mkuu aanjenga chuki katika taifa, tusimame kumkemea,unaona jinsi mbegu anazopanda zinavyoanza kubeba watu hata wale tunaodhani wana weledi.

Jenga hoja, jibu hoja acha uzushe uongo. Mkoa wa Kilimanjaro hauna sekondari 300, muongo mkubwa.
Halafu unzaungumzia Shinyanga, mbona hujaongelea kwetu Tanga , jirani tu!

Ndio mentality ya supreme kuwa mikoa ya kaskazini inanyonya mingine. Tunaipiga kauli za namna hii.
Kwa hili tutasimama pamoja, hakuna sababu za kuvuta watu nyuma kwa chuki.
 
Mchambuzi,

Mkuu unarudi kule kule tulikotoka mwanzo maana nilishakwamba kuwa serikali ni sehemu ya Taifa, hivyo unapozungumzia PATO LA TAIFA kuna role serikali inafanya na ndio tukafikia matumizi ya serikali kulingana na Bajeti yake na ndio maana tukasema Kodi ni sehemu ya pato la Taifa. Kwa maana hiyo Shinyanga ina mchango wake, Kilimanjaro ina mchango wake na serikali ina mchango wake. Maneno ya J F Kennedy alisema - Usifikirie serikali itakufanyia nini bali fikiria wewe utaifanyia nini serikali, yanadhihirisha kuwa sisi sote tuna mchango mkubwa katika maendeleo ya Taifa.

Kwa nini sipendi ubishi wa kodi kwa sababu kodi ni matokeo ya Investment nchini na serikali inaweza kuwa sababu ya kodi kupungua sio lazima wananchi. japo sipendi kuzungumzia kodi zaidi lakini unanilazimisha niulize hivi Kwa nini serikali ijenge shule 300 Kilimanjaro lakini imejenga shule 100 Shinyanga ambako kuna population kubwa zaidi ya Kilimanjaro? Na kuwepo kwa shule 300 Kilimanjaro, serikali imeajiri walimu zaidi Kilimanjaro kuliko Shinyanga (matumizi yake) unategemea vipi walimu wa Shinyanga wachangie kodi sawa au kubwa kuliko Kilimanjaro? Je kutochangia kodi kubwa kwa Shinyanga kunatokana na uvivu wao kwa sababu ilitakiwa Shinyanga pamoja na kuwa na shule chache walimu wachache lakini wangelipa kodi sawa na Kilimanjaro! Kwa hiyo wamekwepa kodi na hii habari ya kukwepa kodi sijui mnaitoa wapi.

Hakuna mahala nimekataa kwamba matumizi ya serikali hayatokani na kodi lakini pia yanatokana na mapato mengine kama vile mikopo (Borrowing), hivyo huwezi kuisolate one case ya mkulima wa muhogo ku justify kwa nini wananchi wa Shinyanga hawana maendeleo. case ambayo mtu unadhania pengine kuwa ndio sababu wakati hujui sababu. Mnaacha mkulima wa Pamba wa Shinyanga ambaye Pamba yake imeuzwa nje (export) kama mfano bora mnaenda chukua mkulima wa Muhogo!

Kama vile huwezi kusema wananchi wa Tanzania ni maskini kwa sababu hawalipi Kodi, hii hukumu haikukaa sawa na hata kujijadili maana sio kweli. Na nina hakika wewe, Nguruvi3 na Alinda mkiingia mjadala wa kwa nini Tanzania ni nchi tajiri lakini watu wake ni maskini? Hakuna mmoja wenu atasema ni kwa sababu wananchi hawalipi kodi!. Ila inapokuja swala la Shinyanga mnatafuta sababu ambayo hazina ukweli kiuchumi wala utafiti isipokuwa mnachukua figures mlizoona TRA kunadia hoja yenu dhidi ya Zitto.

Mkuu wangu, kwa dhana hiyo hiyo naweza kusema hivi:- Kilmanjaro inalipa kodi kubwa kwa sababu ya ukubwa wa Investment za serikali huko, simnataka ubishi usiokuwa na maana?. Viwanda vya Bia na Nguo pekee yake vimelipa kodi sawa na wafanyakazi wote wa Shinyanga! Sasa kwa nini mtu ufikirie Shinyanga hawaendelei kwa sababu wanalipa kodi ndogo ilihali hawana kiwanda cha Bia hata kimoja kutokana na ukosekanaji wa maji. Watu wote wanalipa kodi lakini hazifikii kodi kubwa iunayolipwa na viwanda vya bia vya kilimanjaro.

Anyway, mimi nadhani maelezo yangu yametosha na kama hamjaelewa na mnaendelea kushutumu wananchi wa Shinyanga kwa sababu hawalipi Kodi sawa na Kilimanjaro wakati malalamiko yao ni ukosefu wa policies bora ktk investments za serikali zinazoweza ku trickle down kuwawezesha wananchi basi hizi siasa zenu za CDM dhidi ya Zitto sintoziweza kwa sababu hata niseme nini hamtakubali.

Kumalizia pengine nikubali maneno yenu yasokuwa ya Ukabila ya nkwamba Shinyanga ni maskini kwa sababu hawalipi kodi na Watanzania kwa ujumla ni maskini kwa sababu hawalipi kodi. Zitto hakuliona hilo aache kulalamikia na kujenga chuki na Ukabila maana wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro (Wachagga) wameendeea kwa sababu ni wachapa kazi na wanalipa kodi..Tumemaliza au sio?...

Wakishindwa hoja uja na viloja....

Mkandara naona shule ya Mchambuzi ya (Y-T-C) + (T-G) = I(investment or Capital Accumulation).
imekuchanganya kweli.. Pole ukibishana na Mchambuzi uje umejiandaa tena ujiandae kweli kweli...


Naona umeamua kufa na myonge wako Alinda...

Hakuna niliposema Shinyanga hawalipi kodi,
Hakuna niliposema wachagga ni wachapakazi kama papo nionyeshe..
Hakuna lipojustify Mihongo kuwa ndio sababu ya Shinyanga kutokuwa na maendeleo kama papo nionyeshe.
Ulichoandika hapo juu ni uongo wako wa wazi juu yetu. Sasa sijui dhamira ya uongo wako ni nini?

Pia huu ni uongo wa mchana kweupe Serikali hajawai kujenga shule 300 Kilimanjaro labda leta ushaidi.


Nafahamu utanipa za uso kama ulivyozoea sasa nikupunguzie kazi kabisa kabisa:

quote_icon.png
By Mkandara


Sikia kama unataka kujadili hoja ningependelea uwe unazungumzia mawazio yako wewe na sio kuniongoza mimi niseme nini? Mmi sii mtoto mdogo najua nilichokiandika na kwa maana yake. Mbona nyie mnamwita Zitto Ayatola, mnamuita Zitto Msaliti hili neno msaliti mnalichukulia dogo kwa upande wenu, na hata sisi kutupa majina na makundi lakini hamtaki kutiwa doa lolote.

Hizi fikra za kufikiria unaweza kuwaongoza watu na kuwachagulia waseme nini, kunichukulia mimi kama mwanao ama mtoto mdogo wa kuongozwa ndizo zinazotushinda sisi wengine!. JF ni uwanja huru na kila mwenye mawazo anayaweka wazi, hoja hujibiwa kwa hoja, kosa ni kumtukana mtu. Neno MIJITU ina maana ya watu walokosa UTU katika maamuzi yao ama matendo yao haina maana zaidi ya hiyo na hatupo darasani kiasi kwamba unapomsoma mtu unatafuta makosa yake katika maandishi ili kumfundiusha kuandika vizuri huu ni mjadala pokea hoja na jibu hoja ya mtu, kazi nyingine waachie moderators.. Sorry kama nimekukwaza but please usitake kuniongoza niandike nini humu., sote watu wazima hapa..


 
Mkandara,
#1754 ulijadili hivi:


Mimi nimechoka labda wengine wakje kuwaeleza kwa sababu Tax has nothing to do with uchangiaji wa pato la Taifa.

#1757 unajadili hivi:

Mkuu unarudi kule kule tulikotoka mwanzo maana nilishakwamba kuwa serikali ni sehemu ya Taifa, hivyo unapozungumzia PATO LA TAIFA kuna role serikali inafanya na ndio tukafikia matumizi ya serikali kulingana na Bajeti yake na ndio maana tukasema Kodi ni sehemu ya pato la Taifa.

Inanifanya niamini kwamba hauna hoja bali ubishi tu wenye nia ya kumuondoa Zitto kwenye kitanzi. Unless uwe umechanganyikiwa mkuu. Asante sana kwa mchango wako, ngoje tuendelee na hoja nyingine. Alinda ana maswali mengi sana ya kujenga ambayo tuliyaweka pembeni kwa ajili yako.
 
Back
Top Bottom