Duru za siasa: Gharama za muungano (siri isiyozungumzwa)

Duru za siasa: Gharama za muungano (siri isiyozungumzwa)

Mchambuzi, mzee hapa umechanganya mambo mengi sana kujaza paragraph. Bandiko lako hili umejikita sana kwenye Gharama za Muungano na kama unavyosimamia kwamba njia mbadala yake ni kuongeza serikali ya tatu, yenye Ikulu yake na Ving'ora vyake. Naomba twende taratibu, na tuchambue namba moja baada ya nyingine. Taratibu:

Kwa sasa Budget ya Tanzania ni 10 Billion Dollar, na Budget ya Zanzibar ni 650Million na sisi tunachangia 450Million na wao wenyewe wanakusanya around 200Million.

Naomaba tutumie dollar kama evaluation currency specific kwa mjadala huu. Naomba utuambie serikali ya Tanganyika gharama zake za uendeshaji zitakuwa vipi, na gharama za serikali kuu ya Tanzania zitakuwa vipi?

Huko kwenye thread nyingine nilisema kwamba hakuna njia ya kupunguza gharama instead tutaongeza gharama. Sasa nyinyi orthodox wa serikali ya tatu hebu tuambieni hapa itakuwaje?
Nilikuuliza swali ukakimbia, kwanza tupe gharama na mgawanyo uliopo kabla ya kufikiria ndege aliyeko mtini. Tumjadili huyu wa serikali 2
 
Mchambuzi, mzee hapa umechanganya mambo mengi sana kujaza paragraph. Bandiko lako hili umejikita sana kwenye Gharama za Muungano na kama unavyosimamia kwamba njia mbadala yake ni kuongeza serikali ya tatu, yenye Ikulu yake na Ving'ora vyake. Naomba twende taratibu, na tuchambue namba moja baada ya nyingine. Taratibu:

Kwa sasa Budget ya Tanzania ni 10 Billion Dollar, na Budget ya Zanzibar ni 650Million na sisi tunachangia 450Million na wao wenyewe wanakusanya around 200Million.

Naomaba tutumie dollar kama evaluation currency specific kwa mjadala huu. Naomba utuambie serikali ya Tanganyika gharama zake za uendeshaji zitakuwa vipi, na gharama za serikali kuu ya Tanzania zitakuwa vipi?

Huko kwenye thread nyingine nilisema kwamba hakuna njia ya kupunguza gharama instead tutaongeza gharama. Sasa nyinyi orthodox wa serikali ya tatu hebu tuambieni hapa itakuwaje?

Mtanganyika, Mchambuzi, @ Nguruvi3

Wasalaam aleikum!

Kwako@ Mtanganyika, hoja yako imenichanganya kidogo hivyo naomba ufafanuzi.

Umesema kuwa kwa sasa budget ya Tanzania (Jamhuri ya Muungano?) ni USD 10 billion plus charity donation of USD 450 million to Cambodia, sorry I meant Newala ....ah nimekumbuka TANZANIA Zanzibar (mahitaji maalum?)!

Msaada tafadhali,
1. Kati ya hizo USD 10 billion kwa mwaka gharama za Tanzania Bara ni kiasi gani? Hii itatupa mwanga kupangilia budget ya Jamhuri ya Muungano.

2. Kwa lugha rahisi kabisa, itakayoeleweka kwa mzee wangu aliyekosa dawa hapa hospitali ya Tumbi, ni kwa nini kodi yake inapelekwa Zanzibar na sio kununua dawa kwa ajili ya hospitali hapa Tumbi?

3.Ni kwanini Tanzania bara inapigania, tena kwa nguvu, kuendelea kuwa baba mlezi wa Zanzibar?
 
Last edited by a moderator:
Nilikuuliza swali ukakimbia, kwanza tupe gharama na mgawanyo uliopo kabla ya kufikiria ndege aliyeko mtini. Tumjadili huyu wa serikali 2

Mkuu nimemekufanyia uchambuzi kwenye forum iliyopita nikaona kama tunazunguka mbuyu kwamba nyinyi mmedhamiria kwamba serikali ya 3 ndio only solution na wengine wote ni Wanazi. Despite the fact kwamba mnaotaka serikali 3 ndio minority lakini mmelibeba jambo hili kama kwamba Bibi yangu wa pale Bumbuli nae anataka jambo hili.

Budget ya Tanzania imekuwa ikikuwa kwa asilimia 15% kwa mwaka, na mwaka 2012/2013 ilikuwa ni 10.08 Billion Dollar. Hapa ndio tulipo sasa. Nimekwambia kati ya hii pesa 58% ndio yakwetu 97% ya hiyo inakusanywa na vyanzo vya Tanzania Bara na 3% inakusanywa na Zanzibar.

Nimeweka wazi ya kwamba kwa sasa pesa tunayowapa Zanzibar ni 450 Million USD ambayo ni 4% ya mapato na pesa tunayokopa. Nikawaambieni ya kwamba hakuna metrics zozote zile ambazo nimeziona kutoka kwa wenye ujuaji wa budget na government expenditure ambazo zitaonyesha matumizi kupungua, instead kuongeza serikali ya tatu kutaongeza gharama za asilimia 21%.

Hadi leo hii hamjui serikali ya Tanganyika itakuwa na wizara ngapi? Itakuwa na Waziri/raisi na bunge la watu wangapi, serikali za mitaa zitabaki katika mfumo huu huu au zitabadilika. Hakuna chochote ambacho kimekamilika. Nikasema kwamba haikimbiliki serikali ya Tanganyika itakuwa na ukubwa huu huu wa serikali ya Tanzania ya leo. Hivyo gharama za kulipa mishahara ambazo ndio kubwa zitabaki palepale bila kubadilika.

Sasa jengeni hoja yenye mashiko ya kwamba gharama hizo hazitaongezaka, instead zitapungua. Tuonyesheni vyazo vya mapato vitakavyo changia serikali ya Muungano, na Kama mnasema serikali ya Tanganyika na Zanzibar itachangia tuambieni hapa uwiano huo wa kuchangia utakuwaje? Huko nyuma nimewaambieni Serikali ya Muungano ikichukua Wizara ya Mambo ya Ndani na Mambo ya Nje tuu gharama yake haipungui 2.5 Billion Dollar sababu ya Jeshi lina high expenditure hapa. Na Tanzania Bara ndio atakae changia kwa asilimia kubwa sababu pato la Zanzibar ni dogo and that is the FACT.

Sasa mnataka theories za kina Keynesian Economic Model, kama kweli argument zenu zina mashiko tuanzie kwenye Budget ya 2012/2013, kisha niambieni mtapunguza vipi matumizi na kama sio kuongeza.

Vingenevyo mtaendelea kutuletea hoja za nchi ya kusadikika.
 
Mtanganyika, Mchambuzi, @ Nguruvi3

Wasalaam aleikum!

Kwako@ Mtanganyika, hoja yako imenichanganya kidogo hivyo naomba ufafanuzi.

Umesema kuwa kwa sasa budget ya Tanzania (Jamhuri ya Muungano?) ni USD 10 billion plus charity donation of USD 450 million to Cambodia, sorry I meant Newala ....ah nimekumbuka TANZANIA Zanzibar (mahitaji maalum?)!

Msaada tafadhali,
1. Kati ya hizo USD 10 billion kwa mwaka gharama za Tanzania Bara ni kiasi gani? Hii itatupa mwanga kupangilia budget ya Jamhuri ya Muungano.

2. Kwa lugha rahisi kabisa, itakayoeleweka kwa mzee wangu aliyekosa dawa hapa hospitali ya Tumbi, ni kwa nini kodi yake inapelekwa Zanzibar na sio kununua dawa kwa ajili ya hospitali hapa Tumbi?

3.Ni kwanini Tanzania bara inapigania, tena kwa nguvu, kuendelea kuwa baba mlezi wa Zanzibar?

Mkuu FJM katika 10 Billion Dollar Zanzibar wanachukua kama 650 Million dollar kufanya mambo yao wenyewe. 9.35 Billion inaendeshewa VX huku kwetu bara na kulipia Vimada kwenda Dubai. Mimi nasema tunajikita kwenye non relevant issue sababu ya hawa politician wanataka tuu kuendelea kututawala.

FMJ sasa hivi dawa ya Tumbi inaweza kuwa inachangiwa na watu wa Arusha kwa sababu uchumi wenu wa pwani ni mdogo. Kama tukianza kuchambua nani apewe nini hapa tutabakia na mikoa 3 au minne yenye high product mingine yote inasindikiza tuu.
 
Mkuu FJM katika 10 Billion Dollar Zanzibar wanachukua kama 650 Million dollar kufanya mambo yao wenyewe. 9.35 Billion inaendeshewa VX huku kwetu bara na kulipia Vimada kwenda Dubai. Mimi nasema tunajikita kwenye non relevant issue sababu ya hawa politician wanataka tuu kuendelea kututawala.

FMJ sasa hivi dawa ya Tumbi inaweza kuwa inachangiwa na watu wa Arusha kwa sababu uchumi wenu wa pwani ni mdogo. Kama tukianza kuchambua nani apewe nini hapa tutabakia na mikoa 3 au minne yenye high product mingine yote inasindikiza tuu.

Funny, umetaja kulipia vimada kwenda Dubai lakini hukukumbuka EPA. Umetaja kununu VX lakini ukaacha rada, Richmond na mwanaye Dowans!

Nirudi kwenye hoja. Kuhusu Arusha kuchangia Tumbi kwani si ndivyo itakakiwa? Kwamba kila mmoja anachangia kwenye same basket? Same principle ilitakiwa itumike kwenye Muungano.

Mfumo wa mbeleko hasa mbeleko hizi za post 2010 is not sustainable. Na mbaya zaidi hata anayebebwa hataki. Na huu ndio msingi wa swali ambalo hukujibu, kwanini Tanzania bara wajitwishe jukumu la kuibeba Zanzibar wakati yenyewe (bara) haina uwezo? Zanzibar wenyewe hawati, kwanini bara wanang'ang'ania? Kuna siri gani?
 
FMJ Mimi najulikana kwa kutokupaka sukari. Huu muungano ni wakinadharia zaidi. This is symbolic union zaidi.

Kama mnataka muungano wa equality basi jiungeni na Kenya lakini Zamzibar ambayo ni 3% ya watu wa Tanzania mnataka muwe na muungano wenye usawa? How?

Hapa tunapiga mayoe tuu, as long as CCM are majority watatupa wanacho taka wao.
 
Mtanganyika, Mchambuzi, @ Nguruvi3

Wasalaam aleikum!

Kwako@ Mtanganyika, hoja yako imenichanganya kidogo hivyo naomba ufafanuzi.

Umesema kuwa kwa sasa budget ya Tanzania (Jamhuri ya Muungano?) ni USD 10 billion plus charity donation of USD 450 million to Cambodia, sorry I meant Newala ....ah nimekumbuka TANZANIA Zanzibar (mahitaji maalum?)!

Msaada tafadhali,
1. Kati ya hizo USD 10 billion kwa mwaka gharama za Tanzania Bara ni kiasi gani? Hii itatupa mwanga kupangilia budget ya Jamhuri ya Muungano.

2. Kwa lugha rahisi kabisa, itakayoeleweka kwa mzee wangu aliyekosa dawa hapa hospitali ya Tumbi, ni kwa nini kodi yake inapelekwa Zanzibar na sio kununua dawa kwa ajili ya hospitali hapa Tumbi?

3.Ni kwanini Tanzania bara inapigania, tena kwa nguvu, kuendelea kuwa baba mlezi wa Zanzibar?
Eheee! ndicho mwenzetu anakwepa kutueleza. Ahsante
 
[Mtanganyika;9128748]Mkuu nimemekufanyia uchambuzi kwenye forum iliyopita nikaona kama tunazunguka mbuyu kwamba nyinyi mmedhamiria kwamba serikali ya 3 ndio only solution na wengine wote ni Wanazi. Despite the fact kwamba mnaotaka serikali 3 ndio minority lakini mmelibeba jambo hili kama kwamba Bibi yangu wa pale Bumbuli nae anataka jambo hili
Kwanza si kweli kuwa wanaotaka serikali 3 ni minority. Kuna ushahidi wa kueleweka
1. Kama ni minority CCM isingehaha kufunga midomo Wabunge Dodoma hivi tunavyojadiliana.
The fact that CCM wanapigania hata kubadili kanuni ni ushahidi kuwa nje ya kufunga mikono Wabunge suala hili ni popular
2. Tume ya Shelukindo mwanzoni mwa miaka ya 1977 ilionyesha hofu
3. Jumbe kapoteza kazi kwasababu ya serikali 3
4. Tume ya Nyalali iliyoundwa na serikali ya CCM ilishauri serikali 3
5.Tume ya Amina ikishauri serikali 3
6 Tume ya Kisanga, serikali 3
7. Kundi la G55 lilitaka serikali 3
8. Tume ya Warioba serikali 3 ikiwa na takwimu. Tupeni takwimu za serikali 2 unazopendekeza
Ofisi ya makamu wa Rais, serikali 3
9. Ofisi ya waziri mkuu, serikali 3
10. Wazanzibar ndiyo waasisi wa hoja ya serikali 3

Wanafunzi wa Nyerere
1. Warioba ameridhia serikali 3
2. Salim Ahmed Salim ameridhia serikali 3
3. Butiku, ndugu na jamaa ya Nyerere ameona hakuna jinsi isipokuwa serikali
4. J.S malecela serikali 3
5. Samwel J Sitta serikali 3
6. ado kuna kundi la wasomi wasio na idadi

orodha inaendelea. Hawa wanaijua Tanzania vema.B



 
Katika integration yoyote huwezi kuwa mtazamaji.

Yes,kuna udogo lakini lazima mkono uwepo. Burundi na Rwanda zinachangia EAC hakuna udogo. Znz inaenda EAC lazima ichangie haiwezi kuwa msikilizaji wa kudai madaraka eti Kenya iwahudumie kwasababu ya Integration.

Tunasema hivi, mambo yamebaki 7 ya muungano, katika hayo kila mmoja atie mkono mfukoni na kuweka japo senti.

Mfano, kuna tatizo gani SMZ ikuhudumia watalii 81 wanaokuja kuwakilisha nchi yao?
Hawana maana wala mafao na Tanganyika, wapo kwa ajili ya znz.

Kunasababu gani ada za Tanzania kule International Maritime(IMO) organization zilipwe na Tanganyika, znz ikusanye kodi(ZMO) bila kufanya remittance hata ya senti tano.
Udogo upo wapi, kuchukua na si kuweka.

Kuhusu Ujerumani, Ujerumani mashariki inachangia katika shirikisho.
Mchango wa Magharibi ni mkubwa lakini haiondoi ukweli kuwa mashariki wanachangia pia.
Sisi kwa ata least miaka 10 znz haina mchango, unawezaje kuweka katika mizani nchi hizo na sisi

Ujerumani na EU:
Ujerumani inafanya bail out ya Greece, Italy etc. Haitoi pesa kama msaada, ipo siku zitarudishwa tena na interest. Ujerumani ina bail out nchi hizo kwasababu investors wengi wamewekeza huko kutoka Ujerumani.

Kuziacha zifilisike maana yake ni kuacha mitaji ya mabenki na makampuni ya magari izame.
Impact ya hilo itaathiri sana uchumi wa Ujerumani kwa kuzingati wawekezaji hao ndio wenye mitaji katika masoko ya Ujerumani na ndio wanaochangia katika mabenki kwa uwekezaji.
Hivyo Ujerumani si Tanganyika, Tanganyika inatoa sadaka.

Wazanzibar anaotaka serikali 3 wapo Dodoma. Katika kura wamesema 'ndiyo'
Wao ndio vinara wa kuandika kanuni na kuzisimamia wakati Sitta anachakachua.
wznz hawasimami na Warioba wanasimama na CCM na wengine wakiwa CUF wamejificha.

Kuhusu wabunge kinachogomba si kiasi wanacholipwa.
Tatizo ni kuwa ni wataliim, kwasababu mambo yanayozungumzwa Dodoma hayawahusu.
Kwa mfano, lini umemsikia Pinda amekwenda znz kukagua shughuli za maendeleo?
Wakiwa Dodoma wanamsikiliza Pinda kama PM lakini inabaki kuwa hadithi kwasababu hawagusi kwa lolote.

Tunachosema ni kuwa badala ya kupeleka 9.6 bilioni kwa watu 81 gharama hizo zichukuliwe na SMZ kwasababu wanawakilisha znz.

Hatuna tatizo hata kama watalipwa milioni 50 kwa siku provided hizo ni pesa za Zanzibar siyo za mlala hoi wa Mtimbira, Kinesi au Isevya.

Mlipa kodi wa Kadewele, Magoroto au Viwanjasitini hana faida na uwepo wa watalii wa znz kwasababu wao hawamjui na hawana sababu za kumuongelea.

Lini umsesikia Pinda kaenda kukagua shughuliz znz.
Lini umesikia wabunge wa bunge la JMT wapo znz wakikagua shughuli.
Hata hao watalii 81 hawana kazi kwao kwanini sisi tuingie gharama za kuwahudumia?

Nguruv3:

Unapiga longolongo hapa na ujuhi hata kanuni za kuunda majimbo. Zanzibar inapata wabunge 81, kutokana na katiba ya JMT na kanuni za kuunda majimbo. Hivyo kuita wabunge wa Zanzibar wataii ni kushindwa kujenga hoja. Watu mnataka mabadiliko ya katiba wakati mnashindwa kusoma na kuelewa katiba iliyopo.

Hoja yako haionyeshi kuwa umewai kusoma katiba iliyopo sasa. Wazanzibar hawajaomba kuwa na wabunge 81, ni katiba na kanuni za kuunda majimbo.

Katika maoni ya mwaka 1983-1984, watanganyika wengi waliunga mkono muundo wa serikali mbili na wazanzibar wengi walitaka serikali tatu. Muundo wa serikali mbili ambao watanganyika wengi waliukubali ndio unaofanya wabunge wa Zanzibar kuwa 81.

Wabunge hawa kama wabunge wengine wa bunge la JMT wanalipwa na serikali ya JMT. Hivyo kulalamikia gharama kwa kitu ambacho umekiomba mwenyewe is pure cr@p.
 
Mtanganyika:udget ya Tanzania imekuwa ikikuwa kwa asilimia 15% kwa mwaka, na mwaka 2012/2013 ilikuwa ni 10.08 Billion Dollar. Hapa ndio tulipo sasa.
Nimekwambia kati ya hii pesa 58% ndio yakwetu 97% ya hiyo inakusanywa na vyanzo vya Tanzania Bara na 3% inakusanywa na Zanzibar.


Nimeweka wazi ya kwamba kwa sasa pesa tunayowapa Zanzibar ni 450 Million USD ambayo ni 4% ya mapato na pesa tunayokopa.

Nikawaambieni ya kwamba hakuna metrics zozote zile ambazo nimeziona kutoka kwa wenye ujuaji wa budget na government expenditure ambazo zitaonyesha matumizi kupungua, instead kuongeza serikali ya tatu kutaongeza gharama za asilimia 21%.


Hadi leo hii hamjui serikali ya Tanganyika itakuwa na wizara ngapi? Itakuwa na Waziri/raisi na bunge la watu wangapi, serikali za mitaa zitabaki katika mfumo huu huu au zitabadilika. Hakuna chochote ambacho kimekamilika.

Nikasema kwamba haikimbiliki serikali ya Tanganyika itakuwa na ukubwa huu huu wa serikali ya Tanzania ya leo. Hivyo gharama za kulipa mishahara ambazo ndio kubwa zitabaki palepale bila kubadilika.


Sasa jengeni hoja yenye mashiko ya kwamba gharama hizo hazitaongezaka, instead zitapungua. Tuonyesheni vyazo vya mapato vitakavyo changia serikali ya Muungano, na Kama mnasema serikali ya Tanganyika na Zanzibar itachangia tuambieni hapa uwiano huo wa kuchangia utakuwaje? Huko nyuma nimewaambieni Serikali ya Muungano ikichukua Wizara ya Mambo ya Ndani na Mambo ya Nje tuu gharama yake haipungui 2.5 Billion Dollar sababu ya Jeshi lina high expenditure hapa. Na Tanzania Bara ndio atakae changia kwa asilimia kubwa sababu pato la Zanzibar ni dogo and that is the FACT.

Sasa mnataka theories za kina Keynesian Economic Model, kama kweli argument zenu zina mashiko tuanzie kwenye Budget ya 2012/2013, kisha niambieni mtapunguza vipi matumizi na kama sio kuongeza. Vingenevyo mtaendelea kutuletea hoja za nchi ya kusadikika.
Kwanza, niweke sawa hesabu ambazo unatumia ili kuuchanganya umma.

1. Bajeti kwa mujibu wako ni 10.08 B dollar

2. Wasema 58% ndiyo yetu na 42% ni ya donor, loans na grants. 42% zinatolewa kwa jina la Tanzania, cha pesa zetu ni 100%.
42% ukiiondoa ile 58% ya kwetu inakuwa 100% kwasababu ndiyo yetu.

Usema hivi, regardless of loans, grants and other sources Tanzania bara inakusanya 97% na Zanzibar 3%. Usibabaishe watu kwa % ukizungumzia kitu kile kile.

Hoja ya pili: Umekubali znz wanapata 4% ya pesa tunazokopa. Je, tunawapa kiasi gani kwa pesa cha deni la ndani. Tueleze huduma zisizotegemea mikopo ngapi zinakwenda Zanzibar.

Hoja ya tatu:Matumizi kuongezeka katika serikali 3. Unaposema kuongezeka unaongelea general term ili kuficha ukweli.Je, una maana matumizi yataongezeka Tanganyika au Zanzibar?

Hadi sasa tuna wizara inayoshughulikia muungano. Tuna mambo 22 ya muungano.
Tunaendesha serikali 2 ya JMT na ya Zanzibar. Ile ya JMT ina znz humo ndani.
Kimsingi tunaendesha serikali 3, ya muungano, ya znz ndani ya muungano na kuna ya znz.

Kupungua matumizi.
Tanganyika: Mambo yakipunguzwa kutoka 22 hadi 7 itaongezaje gharama kwa asilimia 21.
I mean ukiondoa mambo 15 ya muungano unaongezeka vipi gharama kwa Tanganyika.
Rasilimali ya mambo 15 inayokwenda znz itatumika Rukwa ambako mchango wao ni zaidi ya znz

Kuonezeka gharama:
Mambo 15 yatakayoondolewa yatarudi Znz, hilo litaongeza gharama kwao.
Ili kuficha ukweli nwatu wanatumia general term ''gharama zinaongezeka'
Unatakiwa uwe specific gharama kwa upande gani.

Hoja ya michango na mapato
Itatokana na makusanyo kama yalivyoainishwa na tume ya Warioba.
Washirika watachangia gharama zingine.

Kwasasa Tanganyika inachangia jeshi na mambo ya nje kama ulivyodai.
Hili halijapunguza gharama hata kidogo kwasababu mzigo ni wa Tanganyika 100%

Katika shirikisho Tanganyika itachangia kiwango cha jeshi hata bila muungano. Zanzibar nje ya muungano itakuwa na jeshi. Kiwango cha matumizi ya jeshi lao nje ya muungano kiingizwe katika shirikisho hata kama ni peanut kuliko free ride ambayo Mtanganyika anadai inapunguza gharama.

Gharama zitapungua kwasababu kila nchi itakuwa na fiscal autonomy.
Znz kwasasa ina wajumbe 50 wa BLW kwasababu ndiyo size ya uchumi wao.
Watalii ni 81 kwasababu gharama hizo anazibeba Mtanganyika.

Itakuwa dhima ya kila mshirika kuunda serikali kutokana na mapato na matumizi yake.

Katika kiwango cha shirikisho, mambo 7 yaliyoanishwa yanagawanywa.
Mfano, wabunge 75, 30 wa znz wanagharamiwa na SMZ na 45 Tanganyika.
Hawa 75 gharama zao zitakuwa sawa na 81 wanaotalii Dodoma.

Tanganyika itapunguza gharama za mambo 22 kwa kuwa na eneo lake bila kuwa na 'Special Zanzibar' ambayo peke yake inachukua milioni 450 USD kiasi kisichofikiwa na mkoa wowote.

Hata kama 450 ni mikopo na misaada, znz ina collateral kwasababu haina deni la nje na wala haijawahi kulipa. In fact 4% ya mikopo wanayopewa ni misaada kwasababu hawadaiwi nje, wala hawana deni la ndani. Deni la ndani analibeba mluguru, mbondei na mmang'ati.

Gharama za kuendesha serikali ya muungano katika mambo 7 kuliko 22.
Labda utuonyeshe kwa mifano ya kuwiana, ni kwa vipi gharama za shirikisho, Tanganyika na zn zitaongezeka.

Hoja ya Utayari wa Tanganyika
Hapa nakushangaa sana. Umesema Tanganyika inaipa znz 45millioni dollar, inakusanya 97% ya makusanyo ya muungano.

Hadi unavyoandika Znz haijachangia muungano at least kwa miaka 10.
In other words kipindi hicho Tanganyika ndiyo imeendesha muungano.
Kipi unadhani kinahitajika ili Tanganyika iunde serikali yake?

Kuhusu muundo wa serikali ya Tanganyika hilo haliuhusu znz. Kama itaunda bunge la watu 2000 na mawaziri 600 ni juu ya Tanganyika, ndiyo fiscal autonomy yenyewe inayotakiwa.

Kwasasa hakuna kitu hicho kwasababu kila jambo lazima lizangitie muungano, hapo ndipo tunapata watalii 81 kila mmoja akiwa anawakilisha watu 5,337 kwa gharama za Msukuma, myao na msambaa
 
Unapiga longolongo hapa na ujuhi hata kanuni za kuunda majimbo. Zanzibar inapata wabunge 81, kutokana na katiba ya JMT na kanuni za kuunda majimbo. Hivyo kuita wabunge wa Zanzibar wataii ni kushindwa kujenga hoja. Watu mnataka mabadiliko ya katiba wakati mnashindwa kusoma na kuelewa katiba iliyopo.

Hoja yako haionyeshi kuwa umewai kusoma katiba iliyopo sasa. Wazanzibar hawajaomba kuwa na wabunge 81, ni katiba na kanuni za kuunda majimbo.

Katika maoni ya mwaka 1983-1984, watanganyika wengi waliunga mkono muundo wa serikali mbili na wazanzibar wengi walitaka serikali tatu. Muundo wa serikali mbili ambao watanganyika wengi waliukubali ndio unaofanya wabunge wa Zanzibar kuwa 81.

Wabunge hawa kama wabunge wengine wa bunge la JMT wanalipwa na serikali ya JMT. Hivyo kulalamikia gharama kwa kitu ambacho umekiomba mwenyewe is pure cr@p.
Tafadhali usiite ZNZ jimbo, katiba ya zanzibar ya mwaka 2010 inaitambua kama nchi ikiwa na bendera,wimbo wa taifa, vikosi vya majeshi,Bunge lao, Rais na makamu wawili, taasisi na mashirika yao.

Watalii wa znz wamechaguliwa kwa kura, ni wabunge kama wabunge wengine na wana kila haki kama wabunge wengine hilo kidemokrasia na katiba unayosema ni kweli, kimantiki, fikra ukweli na uchumi ni watalii wazuri tu, tutafafnua;

Kwanini ni Watalii?
Wamekuja kuwakilisha znz katika bunge la JMT kwa mujibu wa katiba. Tatizo hawatambuliki Zanzibar walikotoka na wao hawatambui Tanganyika walikofikia.
Hapo ndipo dhana ya utalii iliposimama wima.

ZNZ: Kwa mujibu wa katiba ya znz (2010), jambo lolote lililoamuliwa na bunge la JMT lazima likubaliwe na BLW. Shiviji kapotosha kusema tabled as procedure, ukweli ni kuwa katiba ya 2010 imesesema penye mgongano, katiba ya znz ipo juu, kwa maana juu ya katiba ya JMT.

Kama wabunge wamekuja Dodoma kutoka znz na hawawezi kuaminiwa na znz hadi jambo liende BLW, hapo wana kazi gani kama si utalii.

Wakiwa Dodoma waziri mkuu wao ni Pinda, Pinda akikutana nao Unguja hakuna anayemjua.
kwamba, hakubaliki znz nao wanamuona kama talii.
Hawaana kazi znz wala Tanganyika, Dodoma wanafanya kazi gani zaidi ya Utalii.

Wakiwa Dodoma ni wajumbe wa kamati za bunge ikiwemo ya serikali za mitaa.
Serikali za mitaa kwa mujibu wa Shivji si la muungano.
Wabunge wa znz wanapokwenda kukagua shughuli Kahama wanakwenda kufanya kazi ipi? Serikali za mitaa si suala la muungano. Maana yake huenda kutalii na ndio maana tunwaita Watalii.

Wakiwa Dodoma wanajadili suala la gesi Mtwara. Gesi na mafuta wamekimbia BLW kuyaondoa katika mambo ya muungano. Wanajadili gesi ya Tanganyika ili iweje? Si suala la muungano, hapo kama si Utalii ni kitu gani.

Wakiwa Dodoma wanataka pesa za elimu ya juu. Elimu ya juu si suala la muungano, ingawa Shivji amelificha kwasababu lina mafao kwao. Ple Dodoma wanaomba pesa zisizo zao. Huko znz mwanafunzi wa Tanganyika hapati udhamini, pesa za huko zinatoka JMT.
Mwaka jana wamekula bilioni 4, pamoja na wanafunzi 1,000 buree.

Watalii wakiwa Dodoma wanazungumzia uvuvi. Uvuvi si suala la muungano kwa mujibu wa Shivji. Kasema limeingizwa kinyemela na wznz wana haki ya kulifanya lao. Sasa Dodoma wanaongeleaje uvuvi wa Mwanza na Musoma kwa jambo lisilo la muungano. Huo kama si utalii ni kitu gani.

Wizara ya Afya si muungano. Wanapoongelea afya ya Mmachame au Mkirua inawahusu nini kama si utalii.

Bandari wamekimbia kuondoa, lakini wajumbe wa bodi ya bandari za Tanganyika miongoni mwao ni watalii. Wanaongelea bandari zipi ikiwa walishaondoa zao?

Mwaka jana wakadai pesa za radar zilizofisadiwa zigawanywe sawa ili ziende znz. Hoja ya watalii ni kuwa pesa zimetoka hazina Dar. Ina mantiki sana uh, wait a minute! Hapo hazina hawajachangia takribani miaka 10, sasa kama si Utalii ni kitu gani.

Nimalizie kwa kukuambia kuwa hata kama wamechaguliwa na watu 2,500 bado wana hadhi na haki sawa kama wabunge. Tunachotaka si kuwazuia kuja Dodoma, ni kuwaepusha kuzungumzia mambo yasiyowahusu kwasababu ni raia wa nchi ya znz(2010)

Na kwavile wanakuja kwa ajili ya znz basi gharama zao zilipwe na wale waliowatuma ambao ni wznz. Hilo litawezekana tukiweka mambo ya muungano sehemu moja na mengine kila mtu na lake kwa kupitia serikali 3. Wakija katika bunge la shirikisho kwa kulipwa na wananchi wao wana haki na hawatakuwa watalii.

Tofauti yao na Wajerumani kule Serengeti ni kuwa wajerumani wanaleta dollar, hawa watalii wa znz wanachukua hata kisicho chao.
 
FMJ Mimi najulikana kwa kutokupaka sukari. Huu muungano ni wakinadharia zaidi. This is symbolic union zaidi.

Kama mnataka muungano wa equality basi jiungeni na Kenya lakini Zamzibar ambayo ni 3% ya watu wa Tanzania mnataka muwe na muungano wenye usawa? How?

Hapa tunapiga mayoe tuu, as long as CCM are majority watatupa wanacho taka wao.

Sentence ya mwisho kuhusu CCM kuwa majority na hivyo kutupa kitu wanachotaka wao, Nguruvi3 amefafanua vizuri sana kwamba, kama kweli CCM ilikuwa na majority kwenye hoja ya serikali 2 basi wasingehangaika na uhuni tunaoona huko Dodoma. Kura wazi, majadiliano siri!

Labda nikukumbishe jambo moja. Kamati ya uongozi ya Baraza la wawakilishi la Zanzibar ina wajumbe 15. Kati yao 12 wanatoka CCM na 3 tu ndio wanatoka CUF. Maoni yao kwa niaba ya Baraza lenye CCM kedekede including Speaker si unayajua? hiyo majority unayosema ni majority ya mtutu, and it will not last!

Kama kuna jambo moja linakosekana sasa hivi CCM ni visionary leadership. Hii haipo na ndio sababu naamini kinachofanyika Dodoma sasa hivi ni maandalizi ya mgogoro wa kisiasa.

Visionary leadership inasadia kufanya maamuzi ambayo yataepusha balaa mbeleni. Nikupe mfano, Mwl Nyerere aliongoza kufuta mfumo wa vyama vingi vya siasa. Lakini mbeleni Mwl Nyerere huyo huyo aliongoza kufuta mfumo aliouasisi na kuwa vyama vingi vya siasa, tena kinyume na 'majority' ndani na nje ya CCM. As a result Tanzania ni miongoni mwa nchi barani Africa zilizoingia kwenye mfumo wa vyama vingi vya siasa bila kumwaga damu. Lakini sio hilo tu, kitendo hicho kilileta hamasa & confidence kwa nchi nyingine barani kubadili mifumo yao.

That kind of visionary leadership kwa sasa hakuna na ndio maana Dodoma inaonekana kama machinjio ya Watanzania.
 
Last edited by a moderator:
Sentence ya mwisho kuhusu CCM kuwa majority na hivyo kutupa kitu wanachotaka wao, Nguruvi3 amefafanua vizuri sana kwamba, kama kweli CCM ilikuwa na majority kwenye hoja ya serikali 2 basi wasingehangaika na uhuni tunaoona huko Dodoma. Kura wazi, majadiliano siri!

Labda nikukumbishe jambo moja. Baraza la wawakilishi la Zanzibar lina wajumbe 15. Kati yao 12 wanatoka CCM na 3 tu ndio wanatoka CUF. Maoni ya hili Baraza si unayajua? hiyo majority unayosema ni majority ya mtutu, and it will not last!

Kama kuna jambo moja linakosekana sasa hivi CCM ni visionary leadership. Hii haipo na ndio sababu naamini kinachofanyika Dodoma sasa hivi ni maandalizi ya mgogoro wa kisiasa.

Visionary leadership inasadia kufanya maamuzi ambayo yataepusha balaa mbeleni. Nikupe mfano, Mwl Nyerere aliongoza kufuta mfumo wa vyama vingi vya siasa. Lakini mbeleni Mwl Nyerere huyo huyo aliongoza kufuta mfumo aliouasisi na kuwa vyama vingi vya siasa, tena kinyume na 'majority' ndani na nje ya CCM. As a result Tanzania ni miongoni mwa nchi barani Africa zilizoingia kwenye mfumo wa vyama vingi vya siasa bila kumwaga damu. Lakini sio hilo tu, kitendo hicho kilileta hamasa & confidence kwa nchi nyingine barani kubadili mifumo yao.

That kind of visionary leadership kwa sasa hakuna na ndio maana Dodoma inaonekana kama machinjio ya Watanzania.
Unaweza kujiuliza hivi rais anaposikia maneno ya mitaani na kusema 'Nimesikia' tena akihutubia taifa hapo vision ipo wapi. Kinachotokea Dodoma ni ujanja ujanja ule wa mitaani si leadership. Na hapo Magogoni ndiko kabisa kiasi kwamba siku hizi kila mtu anatamani kuchukua fomu
 
FMJ kuna usemi wa kingereza unasema Election Have Consequences. Uchaguzi wowote una matokeo yake. When 2010 mlipo wachagua CCM Kwa kishindo ( I didn't vote) and then seek Katiba mpya that is matokeo yake. Unfortunately hata kama CCM wataleta ile katiba 1977 itapita bila kupingwa. As much as I hate CCM but I admire it sababu it is a political party ambacho kina vision and mission hawa wengine wachumia tumbo wapo valuvalu.
 
FMJ kuna usemi wa kingereza unasema Election Have Consequences. Uchaguzi wowote una matokeo yake. When 2010 mlipo wachagua CCM Kwa kishindo ( I didn't vote) and then seek Katiba mpya that is matokeo yake. Unfortunately hata kama CCM wataleta ile katiba 1977 itapita bila kupingwa. As much as I hate CCM but I admire it sababu it is a political party ambacho kina vision and mission hawa wengine wachumia tumbo wapo valuvalu.

Nadhani unaongelea CCM ya maktaba. Hii ya sasa wangekuwa na vision (maono) wasingejikuta kwenye catch 22. Zanzibar is gone gone gone and any attempt kujaribu kuirudisha kwapani itazua balaa. Muda utafafanua hiki ninachosema hapa
 
Nadhani unaongelea CCM ya maktaba. Hii ya sasa wangekuwa na vision (maono) wasingejikuta kwenye catch 22. Zanzibar is gone gone gone and any attempt kujaribu kuirudisha kwapani itazua balaa. Muda utafafanua hiki ninachosema hapa

Mkuu the only balaa ni Zanzibar kujitoa kwenye muungano, as to any war or things of that nature kwa Tanzania tusahau. Tupo busy kujadili kukaa kwenye njia kuu na less concern kuhusu any political endeavor. Yaani wanao jali who won and who lost ni less than 15%, waliobaki wengi ni wasindikizaji tuu and that is a fact.

Nii hii CCM ambayo tulisema by 2015 watakuwa dead fish in the water, leo hii tunaona kama vile wapo on steroid they win far and between. CCM wapo very organized na they're strategic and tactic sound, I give credit when credit are due. UKAWA wapo wapo tuu like zombies leo wanashika hili kesho wanashika lile, I don't see any articulation or vision from that side of the fence.

Mimi pia nilikuwa kwenye lile boat la kwamba CCM are in the coma and it's matter of time watakufa, lakini honest i see the resurrection kwamba they're strategic and tactic. Wamekuja na firm idea kwamba we're going in na idea ya serikali mbili, and we will spin it to make a talking memo and by large wameshinda.
 
Tafadhali usiite ZNZ jimbo, katiba ya zanzibar ya mwaka 2010 inaitambua kama nchi ikiwa na bendera,wimbo wa taifa, vikosi vya majeshi,Bunge lao, Rais na makamu wawili, taasisi na mashirika yao.

Watalii wa znz wamechaguliwa kwa kura, ni wabunge kama wabunge wengine na wana kila haki kama wabunge wengine hilo kidemokrasia na katiba unayosema ni kweli, kimantiki, fikra ukweli na uchumi ni watalii wazuri tu, tutafafnua;

Kwanini ni Watalii?
Wamekuja kuwakilisha znz katika bunge la JMT kwa mujibu wa katiba. Tatizo hawatambuliki Zanzibar walikotoka na wao hawatambui Tanganyika walikofikia.
Hapo ndipo dhana ya utalii iliposimama wima.

ZNZ: Kwa mujibu wa katiba ya znz (2010), jambo lolote lililoamuliwa na bunge la JMT lazima likubaliwe na BLW. Shiviji kapotosha kusema tabled as procedure, ukweli ni kuwa katiba ya 2010 imesesema penye mgongano, katiba ya znz ipo juu, kwa maana juu ya katiba ya JMT.

Kama wabunge wamekuja Dodoma kutoka znz na hawawezi kuaminiwa na znz hadi jambo liende BLW, hapo wana kazi gani kama si utalii.

Wakiwa Dodoma waziri mkuu wao ni Pinda, Pinda akikutana nao Unguja hakuna anayemjua.
kwamba, hakubaliki znz nao wanamuona kama talii.
Hawaana kazi znz wala Tanganyika, Dodoma wanafanya kazi gani zaidi ya Utalii.

Wakiwa Dodoma ni wajumbe wa kamati za bunge ikiwemo ya serikali za mitaa.
Serikali za mitaa kwa mujibu wa Shivji si la muungano.
Wabunge wa znz wanapokwenda kukagua shughuli Kahama wanakwenda kufanya kazi ipi? Serikali za mitaa si suala la muungano. Maana yake huenda kutalii na ndio maana tunwaita Watalii.

Wakiwa Dodoma wanajadili suala la gesi Mtwara. Gesi na mafuta wamekimbia BLW kuyaondoa katika mambo ya muungano. Wanajadili gesi ya Tanganyika ili iweje? Si suala la muungano, hapo kama si Utalii ni kitu gani.

Wakiwa Dodoma wanataka pesa za elimu ya juu. Elimu ya juu si suala la muungano, ingawa Shivji amelificha kwasababu lina mafao kwao. Ple Dodoma wanaomba pesa zisizo zao. Huko znz mwanafunzi wa Tanganyika hapati udhamini, pesa za huko zinatoka JMT.
Mwaka jana wamekula bilioni 4, pamoja na wanafunzi 1,000 buree.

Watalii wakiwa Dodoma wanazungumzia uvuvi. Uvuvi si suala la muungano kwa mujibu wa Shivji. Kasema limeingizwa kinyemela na wznz wana haki ya kulifanya lao. Sasa Dodoma wanaongeleaje uvuvi wa Mwanza na Musoma kwa jambo lisilo la muungano. Huo kama si utalii ni kitu gani.

Wizara ya Afya si muungano. Wanapoongelea afya ya Mmachame au Mkirua inawahusu nini kama si utalii.

Bandari wamekimbia kuondoa, lakini wajumbe wa bodi ya bandari za Tanganyika miongoni mwao ni watalii. Wanaongelea bandari zipi ikiwa walishaondoa zao?

Mwaka jana wakadai pesa za radar zilizofisadiwa zigawanywe sawa ili ziende znz. Hoja ya watalii ni kuwa pesa zimetoka hazina Dar. Ina mantiki sana uh, wait a minute! Hapo hazina hawajachangia takribani miaka 10, sasa kama si Utalii ni kitu gani.

Nimalizie kwa kukuambia kuwa hata kama wamechaguliwa na watu 2,500 bado wana hadhi na haki sawa kama wabunge. Tunachotaka si kuwazuia kuja Dodoma, ni kuwaepusha kuzungumzia mambo yasiyowahusu kwasababu ni raia wa nchi ya znz(2010)

Na kwavile wanakuja kwa ajili ya znz basi gharama zao zilipwe na wale waliowatuma ambao ni wznz. Hilo litawezekana tukiweka mambo ya muungano sehemu moja na mengine kila mtu na lake kwa kupitia serikali 3. Wakija katika bunge la shirikisho kwa kulipwa na wananchi wao wana haki na hawatakuwa watalii.

Tofauti yao na Wajerumani kule Serengeti ni kuwa wajerumani wanaleta dollar, hawa watalii wa znz wanachukua hata kisicho chao.

Naomba utaje sehemu niliyoita Zanzibar ni jimbo. Inaonyesha unazua vitu ambavyo sikuandika. Tukirudi kwenye mada unapokuwa na sheria za nchi, jaribu kuziheshimu. Katiba ya JMT ndio inayotambua nani ni mbunge wa bunge la JMT. Mbunge akishachaguliwa, atafanya kazi kwa utaratibu wa bunge na anayo haki ya kuuliza swali lolote lile linalohusiana na JMT. Usimnyime mtu sheria wakati sheria umempa mwenyewe.

Mpaka pale sheria ya nchi itakapobadilika, mbunge yoyote wa JMT anayo haki ya kujadili kitu chochote kile kinachohusiana na JMT.
 
Zakumi;9135205]Naomba utaje sehemu niliyoita Zanzibar ni jimbo. Inaonyesha unazua vitu ambavyo sikuandika
Zakumi;9129260]Nguruv3:

Unapiga longolongo hapa na ujuhi hata kanuni za kuunda majimbo. Zanzibar inapata wabunge 81, kutokana na katiba ya JMT na kanuni za kuunda majimbo. Hivyo kuita wabunge wa Zanzibar wataii ni kushindwa kujenga hoja. Watu mnataka mabadiliko ya katiba wakati mnashindwa kusoma na kuelewa katiba iliyopo.
Hivyo kulalamikia gharama kwa kitu ambacho umekiomba mwenyewe is pure cr@p.
Nadhani tutakuwa on the same page kwa hili.
 
Tukirudi kwenye mada unapokuwa na sheria za nchi, jaribu kuziheshimu. Katiba ya JMT ndio inayotambua nani ni mbunge wa bunge la JMT. Mbunge akishachaguliwa, atafanya kazi kwa utaratibu wa bunge na anayo haki ya kuuliza swali lolote lile linalohusiana na JMT. Usimnyime mtu sheria wakati sheria umempa mwenyewe.

Mpaka pale sheria ya nchi itakapobadilika, mbunge yoyote wa JMT anayo haki ya kujadili kitu chochote kile kinachohusiana na JMT.
Nakubaliana nawe, wala sijasema wabunge (Watalii) wa nchi jirani ni haramu, la hasha.Hata kama wamechaguliwa na watu 1,500 bado wana hadhi ya ubunge.

Kutokana na kuwa na katiba mbovu, znz inapata loophole za kutengeneza ajira kwa gharama za Tanganyika.

watalii hawana kauli znz, wala katika bunge la JMT, wana kazi gani?
Tukikubaliana waendelee kupunga upepo, hoja muhimu inabaki kuwa wametumwa na Zanzibar kwa masilhai ya Znz. Katiba imewapa uwezo wa 2/3 kukataa jambo. Gharama za authority ya 2/3 znz zinapaswa kulipwa na wazanzibar.

Pili, 2/3 kwa mujibu wa katiba ya JMT haiwapi nafasi kukagua shughuli za maendeleo. Kinadharia haki hiyo wanayo, kimantiki na kiakili hawana,wao ni 2/3 ya znz.

Pia hujaelewa wakiwa ndani ya bunge la JMT wanapewa 2/3 kwa niaba ya znz.
Wakirudi znz hawana nafasi ya kufanya shughuli za maendeleo.

Kama watafanya na kumwalika PM Pinda kufuatilia waliyokubaliana Dodoma, Pinda akiteremka znz hajulikani, itabidi aombe kibali cha kazi kama mzanzibar mkazi. Hivi huoni Utalii kweli!!!

Watalii wa znz wakiwa Dodoma wanaweza kupitisha jambo kwa 2/3 wakiwakilisha znz. Huko znz hawatambui (katiba ya mwaka 2010) inasema jambo hilo lipelekwe BLW,kama kuna mgongano katiba ya znz (2010) itakuwa juu.

Kwamba huko znz hawajui kama wana watu wenye nguvu ya 2/3.
Huo kama si Utalii, wewe unaweza kuiita kitu gani.

Hata hivyo una point, kutokana na mkanganyiko huo ni vema kutenga shughuli ili kila mmoja ajue anafanya nini. Leo huwezi kuingia BLW kutalii hata kwa bahati mbaya, vipi tukiwa na Tanganyika halafu tukawa na eneo la pamoja ambalo ni shirikisho.

 
Leo nimewaza na kuwazua jee hii katiba itakuwa muongozo wa kuwatoa Watanzania million 35 ambao wameghubikwa na umasikini wa kutupwa.

Wakati wengi wetu tukijikita kwenye kujua mipaka ya nchi kama ni kuanzia mkondo wa Nugwi mpaka holili au wengine tukiwa tumejikita kwenye swala ambalo ni aslimia 7% ya uchumi wa nchi wote tunapoteza nafasi ya kujikita kwenye swala muhimu ambalo ni kuwang'amua Watanzania 35 million ambao hawajui Kesho watakula nini.

Nilitegemea wengi tungelia katiba iweke mwongozo wa kuwatoa ndugu zetu hawa ambao ni masikini wa mwisho. Miaka zaidi ya 230 marekani ilitengeneza katiba ambayo ilijikita kwenye kuwakwamua wamarekani kutoka kwenye umasikini ambao mpaka Leo America ni nchi tajiri kupitia kufikirika.

Ndugu zanguni tumeshasahu miaka michache iliyopita Nchi ilikubwa na dholuba la Ufisadi. Tuliowapa wadhfa wakuwa viongozi wetu walitia saini mikataba kwenye parking lot usiku kwa kutumia mwangaza wa mbalamwezi pasina kujua wanasaini nini. Leo tunapata chini ya 3% kwenye migodi ambayo 30 years kutoka Leo itakuwa mahandaki.

Nilitegemea tujikite kwenye kulilia katiba ambayo itatoa muongozo wa jinsi ya kuwapata viongozi bora. Katiba ambayo itatuongoza kwenye swala la mali asiri zetu. Tanzania leo ina gesi asilia ya kutosha. Tusipo angalia hawa hawa tunaowaamini watatoa katiba bora watatumaliza na tutakuwa pale pale.

Umasikini ulio kithiri. Nchi ambayo ilijengwa Kwa misingi ya usawa leo ile misingi yote imebomoka tunachopanda hata sijui ni nini. Katiba ni mbegu ambayo ikipandwa vizuri Kwenye Ardhi nzuri basi umea. Ndugu zanguni nashauri tuongeze nguvu kwenye kuwabana viongozi hawa ambao wanajali matumbo yao na familia zao. Watoto wao wanasoma Ivy League institutions wakati watoto wa masikini hawapati hata nafasi ya kuingia Sebastian Koloa University.

Ndugu zanguni naongea haya Kwa uchungu nikijua kabisa tusipoangalia katiba hii itakuwa ni kipande cha karatasi tuu ambacho hakina faida zaidi ya kuweza kufungia maandazi tuu. Sasa ni jukumu letu ama tujikite kwenye kujadili sehemu mmoja ya katiba au tujadili mwongozo wa kuwabana hawa wezi tulionao ambao tinawaita viongozi.

Nchi ambayo haiwezi kusaidia wengi walio masikini haiwezi kusaidia wachache matajiri.
 
Back
Top Bottom