Duru za siasa: Gharama za muungano (siri isiyozungumzwa)

Duru za siasa: Gharama za muungano (siri isiyozungumzwa)

Nguruvi3 na Mchambuzi,

Wakuu zangu nimewasoma sana toka mwazo nikasema ngoja niwe msomajj tu kwa sababu wenzangu waliweza kuwapa darasa lakini hamkutaka kuelewa. Na nimejiuliza sana kwa nini inakuwa vigumu kwenu kuelewa hadi nimepata jibu. Tatizo lenu kubwa, kwanza ni kufikiria watu humu wanatetea muundpo wa serikali 2 dhidi ya serikali 3 kama vile muundo wa serikali 2 hauna mapungufu.

Na kama ingelikuwa hivyo ungewaona wasomi wengine wote humu wanaopingana na serikali3 wakitetea mazuri ya serikali 2 Kiuchumi lakini ukiwasoma kwa makini wamekuwa wakipinga tu hoja zetu kuhusiana na serikali 3, hivyo haiwafanyi wao kuwa watetezi wa serikali 2. Imefikia mahala kila mmoja wao kuwaeleza utetezi wake japo pia sii kweli kwamba wanakubaliana na kila kilichomo.

Turudi ktk hoja iliyopo Ubaoni. Sii kweli Zanzibar wanadhani wanayo haki zaidi katika mambo ya uchumi kuliko Tanganyika ama kweli ati Mtanganyika hana kauli kwa sababu yeye ni Mtanzania ambaye ndani yake yupo Mzanzibar. Hii umeipata kutoka wapi? maana Mtanganyika ndiye serikali kuu ya JMT na maamuzi yote yanaanza kwake.

Nitarudia kusema hao walosema Tanganyika inachangia kiasi fulani kwa Zanzibar siwaelewi kabisa ikiwa wao wenyewe wanakiri kuwa hili neno Tanzania lina Tanganyika na Zanzibar. Utawezaje kupima mchango wa watu walioungana kiasi kwamba kuna Wazanzibar wanaishi na kufanya kazi Tanganyika kwa uhamisho wa serikali au mashirika ya Umma kuwa hawa sii Wazanzibar bali Watanganyika.

Unaweza vipi kuitenganisha Tanganyika toka Tanzania ikiwa leo Bakhresa, Mzaanzibar anachangia kodi karibu 1/4 ya kodi zinzokusanywa mkoa wa Dar. Na kisha kuna Wazanzibar zaidi ya mil.2 huku Bara wakifanya kazi na biashara idadi ambayo ni kubwa kuliko wakazi wa Zanzibar kwenyewe.

Hivi kweli unaweza kunambia Mkoa wa Rukwa hauitaji fedha zaidi ili kuendelezwa kwa sababu tu ya mchango wake mdogo ktk mfuko wa Taifa? Na unaweza kunambia kweli ni akili nzuri kuiacha mikoa mlo orodhesha hapo juu kubakia chini kutokana na wao kuchangia kiasi kidogo ktk mfuko wa Taifa! Je, tukiwa na serikali 3 kuna fikra zozote za kuziendeleza mikoa hiyo ama tutabakia na mfumo huu wa serikali ambao umeikwaza mikoa hiyo kwa miaka 30 ilopita.

Tazama mkoa kama wa Mtwara wamegundua gas na pato lake linahamishiwa Dar, sasa hivi ili ugawaji wa umeme ufanyike toka mkoa wa Dar na kuongeza pato la mauzo na kodi zake wakati Mtwara ni njia panda tu (via). Je kulalamika kwa wana Mtwara kuhusiana na hilo ni makosa! Je Mtwara wakitaka kila pato la gas wakatiwe asilimia 40 ya kodi kwa sababu umezalishwa kwao serikali 3 watakubali?

Jamani matatizo yapo ktk mfumo mzima wa Kiutawala, jamaa kawaeleza vizuri kuhusu ukusanyaji kodi Scotland, ni vivyo hivyo uende Marekani au Canada. Kama Zanzibar wanataka pango zaidi haina maana wao wanadai haki zaidi ya Bara - Hapana ni sawa na wanawake wanapo omba mshahara sawa na wanaume haina maana wao wana haki zaidi yetu. Kinachotakiwa ni kutazama Zanzibar ina watu wangapi na kwa nini pato la mwananchi wa Zanzibar ni chini ya hata mwananchi wa Rukwa wakati nchi zetu zimeungana.

Usitazame fedha ngapi zimelipwa ila tumewawezeshaje Zanzibar kama nchi kupata maendeleo zaidi na kuongeza pato la Taifa maana kinachotakiwa ni kodi kutokuwa ktk mambo yasokuwa ya Muungano. Lazima asilimia kubwa ya kodi iende ktk mfuko wa JMT toka kila upande na asilimia ndogo ibakie ktk nchi husika, tena tunaweza shindana kisheria Zanzibar wakawa na Kodi ndogo zaidi ya Bara au vise verse.

Mfano Kodi ya nchi (Zanzibar) inaweza kuwa asilimia 10 ya mauzo na Kodi ya JMT ni asilimi 20 hivyo kila transaction ya kodi wanawajibika kulipa asilimia 30,na bara tukapitisha kodi ya asilimia 15 ya mauzo kuwa yetu na asilimia 20 ya JMT, hivyo tunalipia kodi asilimi 35 ya uwekezaji au transaction yoyote ya mauzo. Hivyo utaona ile asilimia 20 inabakia pale pale tunatofautiana tu kkodi za ndani ya nchi. Na hata kama Znz watakusanya Bil. 2 nasi tukakusanya Bil. 200 kinachotazamwa ni fedha hizo zitumike vipi kuendelea JMT na sii bara tuna Bil. 200 hizo ni zetu.

Utasemaje ati Bara hatuna sauti ikiwa Kati ya mawaziri wa serikali kuu na manaibu wake asilimi 90 wanatoka bara? na mambo yote ya maendeleo ya JMT hupitia mkono wao. Viongozi wengine woote hutega bakuli lao kuomba msaada. Mfumo wa serikali zetu unamfanya hata Mbunge aache kazi yake ya kutunga sheria awe mleta maendeleo na kupewa heshima wasostahili.

Mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya ni viongozi wawakilishi wa Rais aliyepo madarakani na sii lazima wawe wakazi ama wazawa wa sehemu hizo. Mwananchi hana sauti sehemu yoyote ya uongozi. Miaka miwili ama mitatu utasikia kahamishwa hata kama kaifanya kazi nzuri ktk wilaya au Mkoa huo. Yaani mfumo mzima wa kiutawala bado ni wa Ujima na hapa ndipo tunapolikoroga! Hii habari ya Zanzibar na matumizi makubwa ya Muungano ni habari za mitaani tu hakuna ukweli wala hatutaki ku learn kama vile imani ya dini. Ukizaliwa Mkristu/Muislaam ni vigumu sana kubadilisha imani yako hata kama kuna mambo yanakukwaza. Inatakiwa moyo wa kishujaa na kujaliwa UFAHAMU kukubali kubadilika.
 
Nguruvi3 na Mchambuzi,Na nimejiuliza sana kwa nini inakuwa vigumu kwenu kuelewa hadi nimepata jibu. Tatizo lenu kubwa, kwanza ni kufikiria watu humu wanatetea muundpo wa serikali 2 dhidi ya serikali 3 kama vile muundo wa serikali 2 hauna mapungufu.

Na kama ingelikuwa hivyo ungewaona wasomi wengine wote humu wanaopingana na serikali3 wakitetea mazuri ya serikali 2 Kiuchumi lakini ukiwasoma kwa makini wamekuwa wakipinga tu hoja zetu kuhusiana na serikali 3, hivyo haiwafanyi wao kuwa watetezi wa serikali 2. Imefikia mahala kila mmoja wao kuwaeleza utetezi wake japo pia sii kweli kwamba wanakubaliana na kila kilichomo.

Turudi ktk hoja iliyopo Ubaoni. Sii kweli Zanzibar wanadhani wanayo haki zaidi katika mambo ya uchumi kuliko Tanganyika ama kweli ati Mtanganyika hana kauli kwa sababu yeye ni Mtanzania ambaye ndani yake yupo Mzanzibar. Hii umeipata kutoka wapi? maana Mtanganyika ndiye serikali kuu ya JMT na maamuzi yote yanaanza kwake.

Nitarudia kusema hao walosema Tanganyika inachagia kiasi fulani kwa Zanzibar siwaelewi kabisa ikiwa wao wenyewe wanakiri kuwa hili neno Tanzania lina Tanganyika na Zanzibar.

Utawezaje kupima mchango wa watu walioungana kiasi kwamba kuna Wazanzibar wanashi na kufanya kazi Tanganyika kwa uhamisho wa serikali au mashirika ya Umma kuwa hawa sii Wazanzibar bakli Watanganyika.

Unaweza vipi kuitenganisha Tanganyika toka Tanzania ikiwa leo Bakhresa Mzaanzibar anachangia kodi karibu 1/4 ya kodi zinzokusanywa mkoa wa Dar.

Na kisha kuna Wazanzibar zaidi ya mil.2 huku Bara wakifanya kazi na biashara idadi ambayo ni kubwa kuliko wakazi wa Zanzibar kwenyewe.

Hivi kweli unaweza kunambia Mkoa wa Rukwa hauitaji fedha zaidi kuendelezwa kwa sababu tu ya mchango wake mdogo ktk mfuko wa Taifa? Na unaweza kunambia kweli ni akili nzuri kuiacha mikoa mlo orodhesha kubakia chini kkutokana na wao kuchagia kiasi kidogo ktk mfuko wa Taifa! Je, tukiwa na serikali 3 kuna fikra zozote za kuziendeleza mikoa hiyo ama tutabakia na mfumo huu wa serikali ambao umeikwaza mikoa hiyo kwa miaka 30 ilopita.

Tazama mkoa kama wa Mtwara wamegundua gas na pato lake linahamishiwa Dar sasa hivi ili ugawaji wa umemem ufanyike mkoa wa Dar na kuongeza pato lake, kodi zake wakati Mtwara ni njia panda tu (via).

Kama Zanzibar wabnataka pango zaidi haina maana wao wana haki zaidi ya Bara -Hapana ni sawa na wanawake wanapoomba mshahara sawa na wanaume haijna maana wao wana haki zaidi yetu. Kinachotakiwa ni kutazama Zanzibar ina watu wangapi na kwa nini pato la mwananchi wa Zanzibar ni chini ya hata mwananchi wa Rukwa wakati nchi zetu zimeungana. Usitazame fedha ngapi zimelipwa ila Tumewawezesha vipi Zanzibar kama nchi kupata maendeleo zaidi na kuongeza pato la Taifa maana kinachotakiwa ni kodi kutokuwa ktk mambo yasokuwa ya Muungano. Lazima asilimia kubwa ya kodi iende ktk mfuko wa JMT toka kila upande na asilimia ndogo ibakie ktk nchi husika. tena tunaweza shindana Zanzibar wakawa na Kodi ndogo zaidi ya Bara au vise verse.

Mfano Kodi ya nchi (Zanzibar) ni asilimia 10 ya mauzo na Kodi ya JMT ni asilimi 20 hivyo kila transaction ya kodi ni inaongezwa asilimia 30 Na bara tukapitisha kodi ya asilimia 15 ya mauzo kwa asilimia 20 ya JMT hivyo tunalipia kodi asilimi 35 ya uwekezaji au transaction yoyote ya mauzo. Hivyo ile asilimia 20 inabakia pale pale hata kama Znz watakusanya Bil. 2 nasi tukakusanya Bil. 200 kinachotazamwa ni fedha hizo zitumike vipi kuendelea JMT na sii bara tuna Bil. 200 hizo ni zetu.

Mtsemaje ati Bara hatun sauti ikiwa Kati ya mawaziri wa serikali kuu na manaibu wake asilimi 90 wanatoka bara na mambo yote ya maendeleo ya nchi hii hupitia mkono wao. Viongozi wengine woote hutega bakuli lao kuomba msaada. Mfumo wa serikali zetu unamfanya hata Mbunge aache kazi yake ya kutuna sheria awe mleta maendeleo.
Mkuu Mkandara ni ukweli kuwa watu wanapinga S3 bila kuwa na hoja za S2. Kukosekana kwa hoja kunatokana na mfumo wa S2 wa miaka 50 ambao umeshindwa kutoa majibu. Kushindwa kutoa majibu si makosa, ni tatizo la mfumo. Ni kwasababu hizo tunatakiwa tuangalie mfumo kuanzia miaka 50 iliyopita na kujirisha kuwa kuna mafanikio au matatizo.

Miaka 50 ni mingi, matatizo yanapoongezeka inaeleza ukubwa wake na wala si mafanikio. Mtoto wa miaka 15 anaposhindwa kutamka A na mzazi kuendelea kuamini ana mafanikio badala ya kuangalia tatizo, hilo ni tatizo na wala si mtoto kutamka A.

Kuhusu Wasomi, si kwamba hawana hoja, ni woga na matumizi dhaifu ya usomi wao. Unaona bungeni kulivyosheheni wasomi, huwezi kuamini wanaitwa chumba kimoja na kufundishwa waseme nini. Unatagemea watasema nini. Angalia wasomu wa CCM wenye mtima wa aibu wengi wamekaa kimya kwasababu mbili.
1. Kutetea matumbo yao kwa mfumo unaowapa uluwa
2. Kukinzana na nafasi zao zinazowaeleza kuwa lipo tatizo. Option waliyo nayo ni kukaa kimya.

Kwanini Zanzibar ina haki zaidi ya kiuchumi kuliko Tanganyika.
ZNZ inatumia jina tu katika kutafuta haki. Mfano, tume ya Warioba ilitotumia bilioni 60 imehudumiwa na kodi za Mtanganyika. ZNZ ilipoambiwa ichangie ikasema hilo ni jambo la muungano. Wakagoma!

Pili, Znz ina wawakilishi 81 ndani ya bunge la JMT. Hao wapo kwa masilahi ya znz ndani ya muungano. SMZ haiwalipi, wanaolipa kodi Tanganyika wanawahudumia kwa kusimamia masilahi ya Zanzibar

Tatu, znz ina fiscal autonomy ndiyo maana wanaweza kusema hatutaki kufanya ABCD. Mtanganyika hana fursa hiyo kwasababu ndani ya kodi yake kuna jina la mtu. Ni kama vile tuwe na kampuni ya Mkandara and Nguruvi (Mkangu Ltd), halafu Mkandara ana kampuni inayoitwa Mkandara Inc. Mkandara ana uwezo wa kuchota kutoka Mkangu Ltd.
Mimi sina uwezo wa kufanya lolote nje ya Mkangu Ltd hata kama ningependa.
Sina fiscal autonomy.
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3 na Mchambuzi,Utawezaje kupima mchango wa watu walioungana kiasi kwamba kuna Wazanzibar wanashi na kufanya kazi Tanganyika kwa uhamisho wa serikali au mashirika ya Umma kuwa hawa sii Wazanzibar bakli Watanganyika.

Unaweza vipi kuitenganisha Tanganyika toka Tanzania ikiwa leo Bakhresa Mzaanzibar anachangia kodi karibu 1/4 ya kodi zinzokusanywa mkoa wa Dar.

Na kisha kuna Wazanzibar zaidi ya mil.2 huku Bara wakifanya kazi na biashara idadi ambayo ni kubwa kuliko wakazi wa Zanzibar kwenyewe.

Hivi kweli unaweza kunambia Mkoa wa Rukwa hauitaji fedha zaidi kuendelezwa kwa sababu tu ya mchango wake mdogo ktk mfuko wa Taifa? Na unaweza kunambia kweli ni akili nzuri kuiacha mikoa mlo orodhesha kubakia chini kkutokana na wao kuchagia kiasi kidogo ktk mfuko wa Taifa! Je, tukiwa na serikali 3 kuna fikra zozote za kuziendeleza mikoa hiyo ama tutabakia na mfumo huu wa serikali ambao umeikwaza mikoa hiyo kwa miaka 30 ilopita.

Tazama mkoa kama wa Mtwara wamegundua gas na pato lake linahamishiwa Dar sasa hivi ili ugawaji wa umemem ufanyike mkoa wa Dar na kuongeza pato lake, kodi zake wakati Mtwara ni njia panda tu (via).

Kama Zanzibar wabnataka pango zaidi haina maana wao wana haki zaidi ya Bara -Hapana ni sawa na wanawake wanapoomba mshahara sawa na wanaume haijna maana wao wana haki zaidi yetu. Kinachotakiwa ni kutazama Zanzibar ina watu wangapi na kwa nini pato la mwananchi wa Zanzibar ni chini ya hata mwananchi wa Rukwa wakati nchi zetu zimeungana. Usitazame fedha ngapi zimelipwa ila Tumewawezesha vipi Zanzibar kama nchi kupata maendeleo zaidi na kuongeza pato la Taifa maana kinachotakiwa ni kodi kutokuwa ktk mambo yasokuwa ya Muungano. Lazima asilimia kubwa ya kodi iende ktk mfuko wa JMT toka kila upande na asilimia ndogo ibakie ktk nchi husika. tena tunaweza shindana Zanzibar wakawa na Kodi ndogo zaidi ya Bara au vise verse.

Mfano Kodi ya nchi (Zanzibar) ni asilimia 10 ya mauzo na Kodi ya JMT ni asilimi 20 hivyo kila transaction ya kodi ni inaongezwa asilimia 30 Na bara tukapitisha kodi ya asilimia 15 ya mauzo kwa asilimia 20 ya JMT hivyo tunalipia kodi asilimi 35 ya uwekezaji au transaction yoyote ya mauzo. Hivyo ile asilimia 20 inabakia pale pale hata kama Znz watakusanya Bil. 2 nasi tukakusanya Bil. 200 kinachotazamwa ni fedha hizo zitumike vipi kuendelea JMT na sii bara tuna Bil. 200 hizo ni zetu.

Mtsemaje ati Bara hatun sauti ikiwa Kati ya mawaziri wa serikali kuu na manaibu wake asilimi 90 wanatoka bara na mambo yote ya maendeleo ya nchi hii hupitia mkono wao. Viongozi wengine woote hutega bakuli lao kuomba msaada. Mfumo wa serikali zetu unamfanya hata Mbunge aache kazi yake ya kutuna sheria awe mleta maendeleo.
Mkuu Mkandara Ukiongelea mchango wa wznz kwasababu wanaishi bara, nadhani tutahoji kwanini wao wadhani Mtanganyika akiIshi znz lazima awekewe vikwazo vya ukaazi na ukaaji. Kuishi Tanganyika ni kwa faida yao na wala hakuna malalamiko kama wataondoka hata leo hii. Tuna watu wengi waliokosa fursa ambazo wamepewa wznz kwa uzanzibar wao tu.

Kuhusu Bakhresa, nishakuambia kuhusu hili. Hakuna mtu aliyemshikilia akae Tanganyika.
Nguvu ya soko ndiyo inamsukuma. Kama analipa kodi hiyo siyo favor ni haki yake kama haki ile ya kufikia soko la milioni 41 ukilinganisha na 1 milioni

Niseme kuwa uwepo wa wznz bara si kwa manufaa ya bara ni kwa manufaa yao.
Hivyo kulipa kodi si hisani kama unavyosema, ni wajibu.
Wanatumia huduma na ni wajibu kuzilipia.

Kuhusu mkoa wa Rukwa, tumeonyesha kuwa mchango wao kwa pato la taifa ni mkubwa.
Ukienda Rukwa hutaulizwa kitambulisho cha ukazi au kibali cha kufanya kazi.
Leo Wasambaa wanalima mahindi, wachaga wanaendesha shughuli zao, Wakurya wanafanyakazi n.k.

Kodi ya mtu ikitoka Tanga ikaenda Rukwa hakuna tatizo kwasababu ni watu wamoja.
Huko Tanga kuna wasumbawanga wengi tu hakuna tatizo.

Znz ni nchi nawe umethibitisha. Ina sheria zake ambazo nyingi zimetungwa kwa ajili ya kumdhibiti Mtanganyika.

Wana fiscal autonomy inayowawezesha kuamua nani asome, nani apate huduma ABCD n.k. Wanakusanya mapato yao, wana serikali yao amabyo Rukwa hawana.
Rukwa tunachangia serikali moja, tunaumia na tunanufaika as a team.

Hakuna usawa wa kukusanya kodi ya Mwananchi wa Rukwa kuipeleka katika nchi jirani.
Kuna sababu za kuchukua kodi za Rukwa kuzifanyia kazi Kigoma na Lindi.
Hivyo kuchangia jina wakati muungano haupo ni kuwadanganya watanganyika.

Labda nikukumbushe kuwa Rukwa wanavuna mahindi. Hata siku moja hawajawahi kusema ni ya Rukwa.

Leo wznz wamesikia kuna gesi na mafuta kitu cha kwanza ni kuiondoa katika muungano.
Hao ndio Mkandara anasema ni Watanzania.
Utanzania gani wa ubinafsi, uchoyo na roho ya kinyongo.

Kuhusu Mtwara, nipo katika rekodi ya kusema wana haki ya kudai gesi.
Haki ya Mtwara si kuzuia gesi au kupata asilimia 40. Haki yao si kufanya gesi ni yao.
Haki ya watu wa Mtwara ni kupelekewa huduma zinazolingana na uwepo wa gesi.

Haki ya Mtwara si kuwajengea VETA eti kuwafundisha taaluma ya gesi kama JK alivyofanya.
Haki ya Mtwara si kujengenewa chuo kikuu

Haki ya Mtwara ni kujengewa hospitali ya rufaa itakayokabiliana na ongezeko la watu na mahitaji yanayoletwa na shughuli za gesi.

Haki za wana Mtwara ni kujengewa shule na kupata hamasa za kupeleka watoto wao shule.
Haki za Wanamtwara ni kupatiwa fursa zinazolingana na uwezo huku wakijengewa uwezo wa kusonga mbele.

Haki ya Mtwara ni kuhakikisha bandari inajengwa ili kukidhi haja ya gesi.
Kutengeneza south corridor. Si kuacha bandari ijengwe znz kama Mkandara anavyoshauri ili kuwafurahisha majirani zetu wa nchi ya znz

Kufufuliwa korosho, kuendelezwa kwa zao la karanga.
Mtwara haihitaji pesa za gesi, inahitaji manufaa yanayotokana na uwepo wa gesi ili mama ntilie naye afaidike na gesi hiyo.

Kuongeza shughuli mbali mbali ni kuinua pato la Mtwara.
 
Mkuu Mkandara Ukiongelea mchango wa wznz kwasababu wanaishi bara, nadhani tutahoji kwanini wao wadhani Mtanganyika akiIshi znz lazima awekewe vikwazo vya ukaazi na ukaaji. Kuishi Tanganyika ni kwa faida yao na wala hakuna malalamiko kama wataondoka hata leo hii. Tuna watu wengi waliokosa fursa ambazo wamepewa wznz kwa uzanzibar wao tu.

Kuhusu Bakhresa, nishakuambia kuhusu hili. Hakuna mtu aliyemshikilia akae Tanganyika.
Nguvu ya soko ndiyo inamsukuma. Kama analipa kodi hiyo siyo favor ni haki yake kama haki ile ya kufikia soko la milioni 41 ukilinganisha na 1 milioni

Niseme kuwa uwepo wa wznz bara si kwa manufaa ya bara ni kwa manufaa yao.
Hivyo kulipa kodi si hisani kama unavyosema, ni wajibu.
Wanatumia huduma na ni wajibu kuzilipia.

Kuhusu mkoa wa Rukwa, tumeonyesha kuwa mchango wao kwa pato la taifa ni mkubwa.
Ukienda Rukwa hutaulizwa kitambulisho cha ukazi au kibali cha kufanya kazi.
Leo Wasambaa wanalima mahindi, wachaga wanaendesha shughuli zao, Wakurya wanafanyakazi n.k.

Kodi ya mtu ikitoka Tanga ikaenda Rukwa hakuna tatizo kwasababu ni watu wamoja.
Huko Tanga kuna wasumbawanga wengi tu hakuna tatizo.

Znz ni nchi nawe umethibitisha. Ina sheria zake ambazo nyingi zimetungwa kwa ajili ya kumdhibiti Mtanganyika.

Wana fiscal autonomy inayowawezesha kuamua nani asome, nani apate huduma ABCD n.k. Wanakusanya mapato yao, wana serikali yao amabyo Rukwa hawana.
Rukwa tunachangia serikali moja, tunaumia na tunanufaika as a team.

Hakuna usawa wa kukusanya kodi ya Mwananchi wa Rukwa kuipeleka katika nchi jirani.
Kuna sababu za kuchukua kodi za Rukwa kuzifanyia kazi Kigoma na Lindi.
Hivyo kuchangia jina wakati muungano haupo ni kuwadanganya watanganyika.

Labda nikukumbushe kuwa Rukwa wanavuna mahindi. Hata siku moja hawajawahi kusema ni ya Rukwa.

Leo wznz wamesikia kuna gesi na mafuta kitu cha kwanza ni kuiondoa katika muungano.
Hao ndio Mkandara anasema ni Watanzania.
Utanzania gani wa ubinafsi, uchoyo na roho ya kinyongo.

Kuhusu Mtwara, nipo katika rekodi ya kusema wana haki ya kudai gesi.
Haki ya Mtwara si kuzuia gesi au kupata asilimia 40. Haki yao si kufanya gesi ni yao.
Haki ya watu wa Mtwara ni kupelekewa huduma zinazolingana na uwepo wa gesi.

Haki ya Mtwara si kuwajengea VETA eti kuwafundisha taaluma ya gesi kama JK alivyofanya.
Haki ya Mtwara si kujengenewa chuo kikuu

Haki ya Mtwara ni kujengewa hospitali ya rufaa itakayokabiliana na ongezeko la watu na mahitaji yanayoletwa na shughuli za gesi.

Haki za wana Mtwara ni kujengewa shule na kupata hamasa za kupeleka watoto wao shule.
Haki za Wanamtwara ni kupatiwa fursa zinazolingana na uwezo huku wakijengewa uwezo wa kusonga mbele.

Haki ya Mtwara ni kuhakikisha bandari inajengwa ili kukidhi haja ya gesi.
Kutengeneza south corridor. Si kuacha bandari ijengwe znz kama Mkandara anavyoshauri ili kuwafurahisha majirani zetu wa nchi ya znz

Kufufuliwa korosho, kuendelezwa kwa zao la karanga.
Mtwara haihitaji pesa za gesi, inahitaji manufaa yanayotokana na uwepo wa gesi ili mama ntilie naye afaidike na gesi hiyo.

Kuongeza shughuli mbali mbali ni kuinua pato la Mtwara.
Mkuu nadhani unajibu tu ili mradi kupingana lakini Hujui Economics. Hivi unafikiri kwa nini Marekani na Canada huchukua wahamaji toka nje acha mbali swala la Tanganyika na Znz ambazo ni nchi moja. Hivi kweli wewe unafikiri mtu akihama kutoka NewYork state kwenda Houston ni kwa faida ya Newyork na sii ya Texas na USA nzima.
Hivi unaelewa mfumo wa ukusanyaji kodi unavyozifaidisha nchi kwa kuwa na wahamiaji?. Dar leo hii inaongoza Tz nzima kwa mchango wake kwa Taifa, hivi kweli unaamini hawa hawahamiaji wapo Dar kwa faida ya Kilimanjaro, Mwanza na mikoani? hiyo mikoa inafaidika vipi. Sasa naelewa vizuri kwa nini mnataka sS# wala msijue tutafaidika vipi na hapo ndipo mnaposhinda kunishawishi mimi na wengine maana kazi kubwa ni kukikashifu chama cha CCM. badala ya kueleza mazuri ya S3. Kumbe hamjui hata faida zake isipokuwa kugawana tu umaskini..

Mkuu wangu, tupo hapa kuandika katiba mpya hivyo yote yalokuwepo sasa hivi ktk katiba tulokuwa nayo ndio changamoto yenyewe. Wazanzibar wanailalamikia katiba ya JMT na sii Watanganyika kwa kutumia jina la Muungano kujinufaisha na sisi leo tunailalamikia katiba yao kwa kuwa ni mapatano baina ya CCM na CUF kupeana mamlaka na madaraka kinyume cha Katiba ya Jamhuri na sii kosa la Wazanzibar ama Wazanzibar wanaohoji swala la Tanganyika kuvaa koti la Muungano. Hizi zote ni facts na ndizo changamoto za utunzi wa Katiba mpya. Kinachotakiwa kuzungumzwa na pande zote ni mamlaka ya serikali za pande mbili ndani ya Katiba mpya tunayotaka kuitunga sii ya Zanzibar wala hii ya JMT itumiwe tena. Wewe upo tu ktk katiba ya zamani kuitetea Tanganyika ukitumia katiba mpya ya Zanzibar kama sababu.

Kwa upande wa Zanzibar, wamezuia immigrants ili kuhakikisha visiwa vile havimezwi na Bara sio tu kisiasa na kiuchumi bali hata watu wanaweza kimeza nchi kwa kuhamisha wakazi. Kama unakumbuka Mwl. Nyerere alipotangaza Utaifishaji wa majumba ya wahindi mijini, sisi wananchi walalahoi wafanyakazi walipewa majumba hayo ya kuishi wakapangishwa kwa bei ndogo sana na shirika la Nyumba NHC na Msajili wa Majumba.

Baada tu ya Ruksa ya Mwinyi Mpeku, wahindi wakarudi na kununua appartment hizo toka kwa wale walalahoi, hivi leo mjini Dar nyumba zote za mjini wanaishi wahindi na wamesha uteka tena mji wa Dar, ngozi nyeusi tumesukumwa vitongojini huku Ubungo,Sinza Manzese kwa mfuga mbwa! Ajizi nyumba ya njaa (umaskini), watu weusi wameuacha mji walopewa ktk sahani ya dhahabu kwa umaskini wao.

Sasa tazama nyodo yake, usafiri tu wa kwenda kazini mjini, mtu hutumia mafuta zaidi ya laki 4 kwa mwezi, hudamka saa 10 asubuhi na kurudi nyumbani usiku wa manane wengine hata hawakutani na watoto wao. Wakitoka watoto wamelala wakirudi watoto wamelala kijakazi ndio amekuwa mama na baba mlezi wakati yule mhindi anayeishi ktk ghorofa mjini analipa laki hizo hizo 4 nyumba ya NHC au msajili na hana adha ya msongamano wa magari, kuchelewa appointment ama kutafuta huduma, kuwapeleka watoto shule n.k. Mateja sisi wenyewe tunasongamana mabarabarani leo kuwafuata wahindi mjini kwa gharama kubwa zaidi.

Hata ukienda nchi za magharibi utakuta maeneo yalomilikiwa na wahamiaji na kuitwa China Town, Little Italian, Portuguese, Spanish na kadhalika na haswa Marekani na Canada sehemu hizo walokuwa wakiishi awali waklikuwa watu weusi (African America) leo hii wamesukumwa nje zaidi ya miji. Tembelea hata DC au LA sehemu zote zile zilizokuwa zikiitwa south east siku hizi vitongoji hivyo vimevamiwa na wageni wamewekezaji na zinabadilika haraka sana kwa mazuri lakini wazawa wa sehemu hizo wamesukumwa nje kabisa ya mji na wamezidi ktk umaskini.

Hivyo kuna sababu za maana kabisa kuweka pingamizi la uhamiaji Zanzibar na hii isiwe sababu ya kujenga chuki na ubaguzi, maana hujabaguliwa. Mwanaume anaweza kuona wake wanne lakini mwanamke kwa mume mmoja kwa wakati. Huu sii ubaguzi bali ni hekima, wanasema mwanamke ktk ndoa ama mapenzi hutafuta protection ya bwana na sii kinyume. Akibisha inakuwa aibu kwake ataitwa Malaya na kujivunjia heshima. Ndio yale yale madai ya nchi za magharibi wakisema Mwanamke nchi za Kiarabu haruhusiwi kuendesha gari ni Kunyimwa haki za binadamu, lakini wao kila kiongozi haruhusiwi kuendesha gari lake kwa sababu ni Mheshimiwa lazima apewe derava. Sasa inakuwaje wao wasifahamu kwamba mwanamke kwa mila na desturi za waarabu ni Mheshimiwa ambaye anahitaji dereva kama kiongozi na mlezi wa familia na sii habari ya wivu na ukandamizaji?.
 
Mkandara;9424155]Mkuu nadhani unajibu tu ili mradi kupingana lakini Hujui Economics. Hivi unafikiri kwa nini Marekani na Canada huchukua wahamaji toka nje acha mbali swala la Tanganyika na Znz ambazo ni nchi moja. Hivi kweli wewe unafikiri mtu akihama kutoka NewYork state kwenda Houston ni kwa faida ya Newyork na sii ya Texas na USA nzima.
Hivi unaelewa mfumo wa ukusanyaji kodi unavyozifaidisha nchi kwa kuwa na wahamiaji?. Dar leo hii inaongoza Tz nzima kwa mchango wake kwa Taifa, hivi kweli unaamini hawa hawahamiaji wapo Dar kwa faida ya Kilimanjaro, Mwanza na mikoani? hiyo mikoa inafaidika vipi. Sasa naelewa vizuri kwa nini mnataka sS# wala msijue tutafaidika vipi na hapo ndipo mnaposhinda kunishawishi mimi na wengine maana kazi kubwa ni kukikashifu chama cha CCM. badala ya kueleza mazuri ya S3. Kumbe hamjui hata faida zake isipokuwa kugawana tu umaskini..
Huko Marekani na Canada unakoongelea mkuu wangu mbona tunakujua vema. Unaposema China Town walikuwa wanaishi watu weusi nadhani hujatazama hstoria jinsi gani Wachina walivyofika nchi hizo n.k

Ninachosema hapa ni kuwa wznz lakini tano wakiishi Tanganyika siyo sababu ya kutudhalilisha.
Ni hivi wapo hapa kwa faida zao na kwamba wakiondoka leo hatunahaki ya kuwazuaia au kulalamika.
Wengi wamekuja na familia zinazofanya kazi kama ma TX katika muungano. Wanafanya remittance kwao.

Faida za S3 ni fiscal autonomy, kwamba Tanganyika nayo iweze kupanga mipango yake kulingana na mahitaji ya wakaazi wake. Kwa mfano, huwezi kupanga ukuaji wa elimu au afya kama huna control. Huko Texas na Houston huiingii tu lazima uwe katika system ukilipa kodi. Hapa kwetu mzigo wa gharama za mznz anazibeba Mtanganyika, na si kinyume chake.







M
 
kuu wangu, tupo hapa kuandika katiba mpya hivyo yote yalokuwepo sasa hivi ktk katiba tulokuwa nayo ndio changamoto yenyewe. Wazanzibar wanailalamikia katiba ya JMT na sii Watanganyika kwa kutumia jina la Muungano kujinufaisha
Hapa tunazunguka mbuyu, wanajinufaisha vipi?

Mbona hawalalamiki kuwa wanafaidika na huduma nzito kama za ulinzi na usalama kwa jina la Tanzania? Mbona hawalalamiki kuwa watoto wao ambao basically si Watanganyika wanafaidika na huduma za elimu ya juu na hata kuwanyang'anya Watanganyika nafasi zao kwa jina la Tanzania.

Mbona hawalalamiki kuwa wanalala na umeme usiku kucha na wake zao bili hizo wakimtwishwa Mtanganyika kwa jina la Tanzania.

Mbona hawalalamiki kuwa wananufaika na huduma kama ajira na ardhi kwa jina la Tanzania.
Mbona hawalalamiki kuwa bajeti yao nusu inagharamiwa na Mkurya na Mbondei wasioijua znz hata ilipo.

Message kubwa ni kuwa kama wanadhani wananyimwa fursa, sisi hatuna sababu za kuwaonea.
Tunataka Tanganyika ili tuvue koti la muungano.

Halafu kuna mambo 7 hayo tukae na kuangalia yapi tutasaidiana.
Hakuna njia mbadala ya kuwabeba tena, mwisho wa lawama matusi na kejeli umefika.

Wamefikia mahali hawaheshimu katiba ya nchi, this is too much.
Kiburi hicho hakina suluhu ila kila mmoja aangalie utaratibu wa nchi na watu wake.

Sisi tupo tayari kabisa kuvua koti la muungano na wao wawe tayari kutoka ndani ya koti hilo.
Hatuna cha kupoteza Mkandara! Wala hawana sababu za kulalamika, njia nyeupe.

Tusichokubaliana nao ni kuchukua kodi zetu kuzipeleka nchi jirani. Hilo hatutalikubali.
Wakilazimisha tutarudi mitaani huko ni rule of the jungle.

Tanganyika haikwepeki na ni lazima. Iwe kishieria au kishari hilo linakuja.
Hatuwezi kubabishwa na watu laki 5. Tuwanyonye znz kwa lipi hasa.

Mkandara uchumi wa znz hauna impact yoyote kwa maisha yetu.
Wanatutaka hivyo lazima wawe na adabu.

Hawawezi kukaa mgongoni wakicheza msewe nasi tukae kimya.
Nasema tena, ikishindikana kisheria tutarudi mitaani huko ni sheria za mwituni tu.
 
na sisi leo tunailalamikia katiba yao kwa kuwa ni mapatano baina ya CCM na CUF kupeana mamlaka na madaraka kinyume cha Katiba ya Jamhuri na sii kosa la Wazanzibar ama Wazanzibar wanaohoji swala la Tanganyika kuvaa koti la Muungano. Hizi zote ni facts na ndizo changamoto za utunzi wa Katiba mpya. Kinachotakiwa kuzungumzwa na pande zote ni mamlaka ya serikali za pande mbili ndani ya Katiba mpya tunayotaka kuitunga sii ya Zanzibar wala hii ya JMT itumiwe tena. Wewe upo tu ktk katiba ya zamani kuitetea Tanganyika ukitumia katiba mpya ya Zanzibar kama sababu.
Mkuu unapoongea serikali 2 zikae pamoja, ni zipi hizo?

Ukisema JMT na SMZ hapa hakuna S2.
Tumeona kero za muungano zikishughulikiwa na Gharibu Bilal, Seif Idd na Samia Suluhu kama JMT. Matokeo yake ni kuhalalisha Ukupe wa znz dhidi ya kodi ya Manganyika.
Hao wamekaa pamoja na SMZ Mtanganyika anayelipa kodi akiwa nje.

Leo wamejadili kuongeza kiwango cha kuchota kutoka BoT ambayo Tanganyika ndiyo mwenyewe. Wakaongeza nafasi za elimu ya juu ambazo ni kodi za Mtanganyika.

Hawakusema watachangia nini katika ulinzi kwasababu wao ni wazanzibar ,hapo JMT wapo kwa masilahi ya znz. Wanapounganisha nguvu na SMZ kinachotokea ni kodi kwa Mtanganyika.

Hao akina Bilal, Seif na Samia hawajaweza kusimama na kukemea uhuni wa SMZ kujitenga na muungano ule ule wanaokaa kugawana mapato tena wakiwa wanachangia sifuri isipokuwa jina.

Walipa kodi wa Tanganyika hawana mwakilishi.
Kikao kilikuwa kati ya Bilal, Samia, Seif Idd na SMZ ambao ni wznz.

Sisi tunasema hapana! huu ni udhalilishaji, wakati umefika tusimame kwa masilahi ya nchi yetu.
Tuliikomboa Tanganyika wenyewe, miaka 50 hatuna sababu za kualika watu wa taifa jirani kuja kuamua kodi zetu zinatumika wapi.

Miaka 50 iliyopita tulimzuia mwingereza asibebe kodi zetu, znz hawawezi kuja na ulaghai huo.

Leo wznz wakae wenyewe waamue kodi zetu wanzitumaije eti tukae kimya kwasababu tuna muungano.

S3, Tanganyika iwe na fisca autonomy, znz iwe na fiscala autonomy halafu tuangalie mambo 7 tu.
Kama hilo haliwezekani hatupo tayari kubeba zigo la mambo 22 bila sababu.

Ni wakati Mtanganyika aamue hatima ya nchi yake, avue koti la muungano na waliomo ndani ya koti.

Ikishindikana kwa majadiliano, basi wenye nchi wataamua huko mitaani
 
Kwa upande wa Zanzibar, wamezuia immigrants ili kuhakikisha visiwa vile havimezwi na Bara sio tu kisiasa na kiuchumi bali hata watu wanaweza kimeza nchi kwa kuhamisha wakazi.
Mkuu Mkandara, wznz hawana sheria ya kuzuia immigrant kama unavyodai. Wanasheria ya kuzuia Watanganyika.

Sheria iliyopo haiwahusu Wakenya, Wataliano au Waarabu. Ni mahususi kwa Mtanganyika.
Katika mazingira ya kawaida demand and supply ingeamua hatima. Kwavile lengo lao kila siku ni kumchukia Mtanganyika sheria zinatungwa kumlenga Mtanganyika.

Kwani umeshasikia raia wa nchi gani nyingine akichomewa biashara zake zaidi ya Mtanganyika.

Hatutaki tufike walipofikia, ndiyo maana tunasema S3, mambo 7 mengine kila mmoja na njia yake.
Kisheria wakikataa basi sheria zile zile zitatumika pande zote kwa hiari kwa shari.
 
UPOTOSHAJI WA GHARAMA

Kumekuwa na upotoshaji wa hali ya juu kuhusu gharama za S3
Swali la kwanza la kujiuliza ili kuweza kupata majibu ya kuongezeka au kupungua kwa gharama ni hili.

Katika mfumo wa S2 ambao hadi sasa una mambo 22 ya muungano, gharama za muungano ni kiasi gani na zinatoka wapi.Baada ya swali hilo ndipo tujadili gharama za S3

Kwa upande wa S3, imependekezwa kuwe na STG, SMZ na Shirikisho.
Gharama za shirikisho ndizo za pamoja na zitahusu mambo 7 tu.

Katika mambo hayo 7 hata bila muungano bado nchi husika zitabaki nayo.
Hivyo mambo 7 kwa shirikisho ni ya lazima ndani au nje ya muungano.
Kinachofanyika ni kuyafanya kwa pamoja kila mmoja akiwajibika.

S3 zinatoa fiscal autonomy kwa washirika ambao ni Tanganyika, na Zanzibar. Fiscal autonomy ni mamlaka yanayopatikana kikatiba katika kuendesha mambo ya jamii au nchi husika.

Kwa msingi huo Serikali ya Tanganyika itakuwa na mipango yake kulingana na mapato na matumizi yake. Hayo hayatahusu serikali ya shirikisho, au ya Zanzibar.

Mfano, STG ikiamua kuwa na wizara 80, hilo ni jukumu lao kuzihudumia na wala hawatasaidiwa na shirikisho au zanzibar.

Ndivyo ambavyo SMZ kwasasa inavyofanya. SMZ inaamua wizara ngapi, mashirika gani au taasisi gani ni za umma na zihudumiwe vipi.

Gharama za SMZ hazipaswi kupelekwa kwa Tanganyika au shirikisho. Wakiamua BLW litakuwa na wabunge 500 hiyo ndiyo fiscal autonomy na wala haigusi mshirika au serikali ya shirikisho.

Ni upotoshaji kusema kuwa S3 zitaongeza gharama. Zitaongezaje gharama ikiwa kila moja ina mamlaka yake ?

Wapotoshaji wanaeleza kuwa serikali 3 zitakuwa na wizara 3 kwa kila eneno. Eti wizara ya elimu ya SMZ, Tanganyika na shirikisho. Kwa mtu asiyeweza kupambanua mambo hoja hii inamwingia haraka sana.

Ukweli ni kuwa wizara za shirikisho hazitakuwepo kwa washirika
Wizara, idara na taasisi za washirika hazitakuwepo katika shirikisho.

Kwa mfumo wa S2 wa sasa, wizara za muungano hazina mipaka.
SMZ ina wizara zake , lakini inaendesha pesa hizo kwa kuchukua sehemu ya bajeti ya JMT.

Hapo Mtanganyika ananyimwa fiscal autonomy ya mapato yake kwasababu mapato ya Tanganyika ndiyo ya muungano ambayo znz ina haki nayo. Hivyo gharama anazibeba Mtanganyika.

Kusudio la wapotoshaji ni kukwepa ukweli kuwa S3 zitailazimu znz kuendesha wizara zake bila kutegemea ruzuku kutoka Tanganyika.

Kwa maana kuwa Tanganyika haitakubali kutoa rasilimali zake chache nje ya utaratibu wa shirikisho.Kwasasa Tanganyika inahudumia wizara zote ikiwa na mambo 22

Kupunguza mambo 22 hadi 7 maana yake ni kuondoa mzigo kwa Mtanganyika.
Kama hilo litakuwa znz kubeba mzigo hiyo si hoja ya Mtanganyika.

Hivyo Mtanganyika asishirikishwe katika kauli za ongezeko la gharama kwasababu kwakwe ni punguzo la gharama. Kutoka 22 hadi 7 maana yake tuna mambo 15 tunayoyahudumiwa Watanganyika wenyewe.

Wapotoshaji wanashindwa kusema hilo kwasababu litafumua ukweli wa utegemezi wa znz katika muungano.

Kwasasa ni tegemezi mkubwa, ujio wa S3 huenda ukaongeza gharama za SMZ.
Hicho ndicho wapotoshaji hawasemi wanajaribu kutufumba macho kwa kusema gaharama zinazoongezeka.

Kama tunayosema yana walakini, njooni hapa mtetee S2 kwa hoja.
 
GHARAMA ZISIZOSEMWA ANAZOBEBESHWA MTANGANYIKA
MAMBO YASIYO YA MUUNGANO ZNZ INAYASUKUMA KWA MLIPA KODI WA TANGANYIKA
TANZANIA NI JINA TU ILI ZNZ IPATE UCHOCHORO WA KUNUFAIKA.

Katika mambo yasiyo ya muungano sehemu kubwa SMZ imeyaondoa.
Kwasasa tumebaki pengine na mambo si zaidi ya 4 ya muungano.

Jambo ambalo znz hakika hailiongelei ni ulinzi na usalama.

Gharama za ulinzi na usalama wa visiwa hivyo itakula nusu ya bajeti yake.
Kwasasa gharama hizo inabebwa na Mtanganyika kwa kupitia jina la Tanzania.

Elimu ya juu si muungano na znz imelalamika suala hilo kuongezwa kinyemela.
Wakati analalamika hivyo, znz wanalalamika pia kuwa wanapaswa kupewa nafasi zaidi za elimu ya juu.

Mwaka jana walipewa nafasi za wizara hiyo ya kinyemela zipatazo 1000.
Mwaka huu ni 1700. Siyo tu kuwa wanapewa nafasi, bali mwaka jana walipewa Bilioni 5 kwa wizara ya elimu ya juu ya znz ambayo Mtanganyika hana nafasi hata kwa bahati mbaya.
Gharama hizi zinabebwa na Tanganyika kupitia kodi za Mtanganyika.

Mwaka huu wamelalamika kuhusu nafasi za kazi za muungano.
Tume ya Seif Idd, makamu wa Rais na Gharibu Bilal pamoja na Samia Sukuhu wote kwa pamoja wamekaa kitako kama JMT na SMZ na kuamua kuwa ajira zitolewe kwa uwiano wa 21% znz na 79 Tanzania. (wznz wankaa pamojana kuijgawa kama SMZ na JMT)

79 ya Tanzania itawahusu wznz wanaoishi Tanganyika na hivyo asilimia ya wznz inaweza kufikia zaidi ya 40. Hii ni kwasababu ile 21 inakuja moja kwa moja kutoka znz.
Kuna asilimia inayoishi na kusoma Tanganyika, hiyo nayo itaingia katika kinyang'anyiro kama Tanzania.

Baada ya wznz kukaa kikao chao na kujipangia nafasi hizo, kuna maswali mengi yanajiyokeza.
Tunafahamu nafasi za ajira zinahusu mambo ya muungano.

Hata hivyo mambo hayo ya muungano mengine si ya muungano.
Kwa mfano wizara ya afya si ya muungano, kilimo, ujenzi, elimu ya juu, uvuvi na utalii, mifugo, miundombinu n.k.

Tunajua kuwa taasisi zingine znz imeziondoa katika muungano kama baraza la mitihani, bandari, viwango na anga.

Kwa maneno mengine ajira za serikali ya muungano hazihusu mambo zaidi ya 4 na sehemu kubwa ikiwa ni ulinzi na usalama.

Kwasasa ajaira za watumishi wa serikali ya muungano ni zaidi ya 100,000.
Hii maana yake ni kuwa kuna wazanzibar wapatao 21,000 wanaopata ajiara za Tanganyika katika taasisi, wizara na mashirika yasiyo ya muungano.

SMZ haina watumishi zaidi ya 10,000. Kwahiyo Tanganyika inayoitwa koloni ndicho kiwanda cha ajira za wznz tena kwa matusi na kejeli

Wafanyakazi hao wa znz wanaopata ajira zisizowahusu wanalipwa na JMT ambayo ni Tanganyika na wala si SMZ.

Hii maana yake ni kuwa tunawanyima raia wa Tanganyika nafasi zao za kazi kwa kutoa nafasi hizo kwa wananchi wa nchi jirani ya znz.

Tunatumia kodi za Watanganyika kulipa mishahara na mafao ya uzeeni na pensheni wananchi wa nchi jirani kama malawi.

Gharama hizi hazisemwi ingawa ni kubwa na zinamuumiza Mtanganyika.
Wakati huo huo znz inaleta watalii 81 Dodoma kwa gharama za Mtanganyika.

Watalii hao hawana la kufanya zaidi ya kupiga soga kwasababu mambo yanayowahusu hayazidi 4.

Ni jambo la kushangaza kuwa wznz wanataka ajira za muungano.
Ajira za muungano zipo chini ya ofisi yawaziri mkuu wa Tanzania.
Waziri mkuu hatambuliki znz hata kwa bahati mbaya.

Nini maana yake?
Ni kuwa wanadai wasichopaswa kupata.
Huwezi kumkana waziri mkuu halafu uakrudi kupenda ajira zake.

Hii ndiyo njia inayotumika kumu exploit Tanganyika kwa jina la Tanzania.

Ninyi Watanganyika, kama mtazidi kung'ang'ania S2, mtakuwa mnajenga mazingira mazuri sana ya vijana wenu kuendelea na huduma za nchi jirani kwa miaka mingine 50 kama ilivyo sasa.

Kwanini ulipe kodi mtoto wako akose mkopo kwasababu tu kuna mtoto wa jirani anataka?

Kwanini mwanafunzi wa Tanganyika atembee na bahasha ya khaki kutafuta ajira tena akiwa na bahasha ya kurudisha mkopo ili hali mwenzake wa znz ambaye si kuwa mzazi wake halipi kodi bali pia alipewa msaada na mkopo na sasa nafasi za ajira aendelee kukunyanyasa?

Ninyi vijana mnayaona haya au mnaimba tu S2

Leo huwezi kusema jambo kwasababu wewe ni Tanzania kama mzanzibar mwingine, hata hivyo wewe ni Mtanganyika ukivuka bahari, hupati ajira, mkopo na huenda ukaishia kutiwa kiberiti kama ilivyowahi kutokea.

Ndiyo maana tunawaambia hivi kwanini hamuoni?
Mnataka taa ya kandili mchana.

Tusemezane
 
GHARAMA ZISIZOSEMWA ANAZOBEBESHWA MTANGANYIKA
MAMBO YASIYO YA MUUNGANO ZNZ INAYASUKUMA KWA MLIPA KODI WA TANGANYIKA
TANZANIA NI JINA TU ILI ZNZ IPATE UCHOCHORO WA KUNUFAIKA.

Katika mambo yasiyo ya muungano sehemu kubwa SMZ imeyaondoa.
Kwasasa tumebaki pengine na mambo si zaidi ya 4 ya muungano.

Jambo ambalo znz hakika hailiongelei ni ulinzi na usalama.

Gharama za ulinzi na usalama wa visiwa hivyo itakula nusu ya bajeti yake.
Kwasasa gharama hizo inabebwa na Mtanganyika kwa kupitia jina la Tanzania.

Elimu ya juu si muungano na znz imelalamika suala hilo kuongezwa kinyemela.
Wakati analalamika hivyo, znz wanalalamika pia kuwa wanapaswa kupewa nafasi zaidi za elimu ya juu.

Mwaka jana walipewa nafasi za wizara hiyo ya kinyemela zipatazo 1000.
Mwaka huu ni 1700. Siyo tu kuwa wanapewa nafasi, bali mwaka jana walipewa Bilioni 5 kwa wizara ya elimu ya juu ya znz ambayo Mtanganyika hana nafasi hata kwa bahati mbaya.
Gharama hizi zinabebwa na Tanganyika kupitia kodi za Mtanganyika.

Mwaka huu wamelalamika kuhusu nafasi za kazi za muungano.
Tume ya Seif Idd, makamu wa Rais na Gharibu Bilal pamoja na Samia Sukuhu wote kwa pamoja wamekaa kitako kama JMT na SMZ na kuamua kuwa ajira zitolewe kwa uwiano wa 21% znz na 79 Tanzania. (wznz wankaa pamojana kuijgawa kama SMZ na JMT)

79 ya Tanzania itawahusu wznz wanaoishi Tanganyika na hivyo asilimia ya wznz inaweza kufikia zaidi ya 40. Hii ni kwasababu ile 21 inakuja moja kwa moja kutoka znz.
Kuna asilimia inayoishi na kusoma Tanganyika, hiyo nayo itaingia katika kinyang'anyiro kama Tanzania.

Baada ya wznz kukaa kikao chao na kujipangia nafasi hizo, kuna maswali mengi yanajiyokeza.
Tunafahamu nafasi za ajira zinahusu mambo ya muungano.

Hata hivyo mambo hayo ya muungano mengine si ya muungano.
Kwa mfano wizara ya afya si ya muungano, kilimo, ujenzi, elimu ya juu, uvuvi na utalii, mifugo, miundombinu n.k.

Tunajua kuwa taasisi zingine znz imeziondoa katika muungano kama baraza la mitihani, bandari, viwango na anga.

Kwa maneno mengine ajira za serikali ya muungano hazihusu mambo zaidi ya 4 na sehemu kubwa ikiwa ni ulinzi na usalama.

Kwasasa ajaira za watumishi wa serikali ya muungano ni zaidi ya 100,000.
Hii maana yake ni kuwa kuna wazanzibar wapatao 21,000 wanaopata ajiara za Tanganyika katika taasisi, wizara na mashirika yasiyo ya muungano.

SMZ haina watumishi zaidi ya 10,000. Kwahiyo Tanganyika inayoitwa koloni ndicho kiwanda cha ajira za wznz tena kwa matusi na kejeli

Wafanyakazi hao wa znz wanaopata ajira zisizowahusu wanalipwa na JMT ambayo ni Tanganyika na wala si SMZ.

Hii maana yake ni kuwa tunawanyima raia wa Tanganyika nafasi zao za kazi kwa kutoa nafasi hizo kwa wananchi wa nchi jirani ya znz.

Tunatumia kodi za Watanganyika kulipa mishahara na mafao ya uzeeni na pensheni wananchi wa nchi jirani kama malawi.

Gharama hizi hazisemwi ingawa ni kubwa na zinamuumiza Mtanganyika.
Wakati huo huo znz inaleta watalii 81 Dodoma kwa gharama za Mtanganyika.

Watalii hao hawana la kufanya zaidi ya kupiga soga kwasababu mambo yanayowahusu hayazidi 4.

Ni jambo la kushangaza kuwa wznz wanataka ajira za muungano.
Ajira za muungano zipo chini ya ofisi yawaziri mkuu wa Tanzania.
Waziri mkuu hatambuliki znz hata kwa bahati mbaya.

Nini maana yake?
Ni kuwa wanadai wasichopaswa kupata.
Huwezi kumkana waziri mkuu halafu uakrudi kupenda ajira zake.

Hii ndiyo njia inayotumika kumu exploit Tanganyika kwa jina la Tanzania.

Ninyi Watanganyika, kama mtazidi kung'ang'ania S2, mtakuwa mnajenga mazingira mazuri sana ya vijana wenu kuendelea na huduma za nchi jirani kwa miaka mingine 50 kama ilivyo sasa.

Kwanini ulipe kodi mtoto wako akose mkopo kwasababu tu kuna mtoto wa jirani anataka?

Kwanini mwanafunzi wa Tanganyika atembee na bahasha ya khaki kutafuta ajira tena akiwa na bahasha ya kurudisha mkopo ili hali mwenzake wa znz ambaye si kuwa mzazi wake halipi kodi bali pia alipewa msaada na mkopo na sasa nafasi za ajira aendelee kukunyanyasa?

Ninyi vijana mnayaona haya au mnaimba tu S2

Leo huwezi kusema jambo kwasababu wewe ni Tanzania kama mzanzibar mwingine, hata hivyo wewe ni Mtanganyika ukivuka bahari, hupati ajira, mkopo na huenda ukaishia kutiwa kiberiti kama ilivyowahi kutokea.

Ndiyo maana tunawaambia hivi kwanini hamuoni?
Mnataka taa ya kandili mchana.

Tusemezane

Solution Mujarrabu wa haya siyo serikali tatu bali ni mazungumzo ya kuona ni kwa namna gani fairness inapatikana!. Kama viongozi wa serikali wanashindwa kujenga hoja nzuri ipo siku Wazanzibari watadai Fifty Fifty, na hii siyo kwa sababu ya serikali mbili, bali ni kwa sababu ya Appeasement!, Muungano ulipoanza Zanzibar ilikuwa inapewa asilimia 4.3 ya pato la taifa kama gawiwo, na hii ilikuwa ndani ya muundo wa serikali mbili, leo hii wamelalamika Mpaka kuongezewa hadi asilimia 21, na hii pia imefanyika ndani ya serikali mbili!, KWA HIYO ISHU HAPA SIYO MUUNDO WA MUUNGANO, BALI NI NAMNA GANI SERIKALI ZA MUUNGANO ZINAFANYA KAZI NA WATU WANAOONGOZA SERIKALI HIZO!.

Nguruvi3, kwa hoja zako, ili kuondokana na wanyonyaji wa Zanzibar, kwa nini basi BILA KUMUNG'UNYA MANENO USITAMKE KUWA MUUNGANO HUU NA ZANZIBAR HAUNA MAANA YOYOTE KWA MTANGANYIKA?. Labda nikuulize swali moja ambalo nakuomba unijibu, JE MTANGANYIKA ANANUFAIKA NA NINI KWA MUUNGANO HUU NA ZANZIBAR?
 
Solution Mujarrabu wa haya siyo serikali tatu bali ni mazungumzo ya kuona ni kwa namna gani fairness inapatikana!. Kama viongozi wa serikali wanashindwa kujenga hoja nzuri ipo siku Wazanzibari watadai Fifty Fifty, na hii siyo kwa sababu ya serikali mbili, bali ni kwa sababu ya Appeasement!, Muungano ulipoanza Zanzibar ilikuwa inapewa asilimia 4.3 ya pato la taifa kama gawiwo, na hii ilikuwa ndani ya muundo wa serikali mbili, leo hii wamelalamika Mpaka kuongezewa hadi asilimia 21, na hii pia imefanyika ndani ya serikali mbili!, KWA HIYO ISHU HAPA SIYO MUUNDO WA MUUNGANO, BALI NI NAMNA GANI SERIKALI ZA MUUNGANO ZINAFANYA KAZI NA WATU WANAOONGOZA SERIKALI HIZO!.

Nguruvi3, kwa hoja zako, ili kuondokana na wanyonyaji wa Zanzibar, kwa nini basi BILA KUMUNG'UNYA MANENO USITAMKE KUWA MUUNGANO HUU NA ZANZIBAR HAUNA MAANA YOYOTE KWA MTANGANYIKA?. Labda nikuulize swali moja ambalo nakuomba unijibu, JE MTANGANYIKA ANANUFAIKA NA NINI KWA MUUNGANO HUU NA ZANZIBAR?
Heee! Umekimbilia huku na kuacha suala la Amir jeshi. Tumekueleza vema kuhusu Amir Jeshi wawili, huna jibu na umekubaliana nasi kuwa nchi moja ina maamir jeshi wawili. Muulize kwanza wakati mnapotumwa, si kutupa picha tu bila kujua protocol na mambo mengine muhimu.
Bado mnataka S2 mkiamini muundo wake ni mzuri.
Suala la Amir jeshi wawili tumelimaliza, tunajua yupo wa JMT na SMZ. Yupi mkubwa na yupi ni mdogo ndilo swali la kujadili.

Kuhusu gharama hili tumeliongea sana na sijui ulikuwa wapi.
Muundo wa S2 ndio unaosababisha appeasement unayosema kwasababu Tanganyika haina mtetezi.

Na kila mara wataendelea kuwaumiza watanganyika kwa mwendo huo kwasababu ipo znz,hakuna wa kusimamia rasilimali za Tanganyika. Matokeo ni kudai hata wasichopaswa au wasicho changia.

Kuhusu muungano, naona pia husomi mabandiko ya watu vizuri.
Kila siku tunasema kuliko kumbebesha Mtanganyika gharama zisizomhusu vunja jahazi tugawane mbao.Huu muungano hauna faida kwa Mtanganyika, ni kubebeshwa mzigo wa kumhudumia mzanzibar akicheza bao. Huo ni ukweli usio na shaka na lazima usemewe.

Nikupe mfano, fungu la mwaka huu la mikoa yote kwa ujumla ni Tsh 260 Bilioni.
Kwa wastani ni kila mkoa kupata kitu kama bilioni 10.

Dar es salamaa ina wakazi wapatao milioni 5, ikiwa ni mara 10 ya wakazi wa znz(kumbuka nusu yao wanaishi bara)

Bajeti ya JMT kwa Dar es salaam ni bilioni 10 kwa kwa mujibu wa bajti ya waziri mkuu mwaka huu.
Dar es salaama ni mkoa ulio na watu wengi na mchango mkubwa kwa pato la taifa.

Znz mwaka jana imepewa bilioni 32 zisizo na maelezo kwa mipango ya maendeleo.
Hiyo ni nje ya baeti ya znz ambayo zaidi ya nusu inachangiwa na JMT ambayo ni Tanganyika.
Kwa maana kuwa znz ilipewa mara 10 ya Dar es salaam, pesa zisojulikana ni za nini

Deni la umeme la znz linalolipwa na JMT ni Tsh 70 Milioni. Kwa maana kuwa JMT ambayo ni Tanganyika inalipa deni la znz kwa kiasi cha pesa za maendeleo ya mikoa 7 ya Tanganyika

Znz haipo katika mikoa inayochangia pato la taifa. Hata Manyara mkoa mpya kabisa una mchango mkubwa kuliko znz. Manyara inapewa mgao ambao ni chini ya asilimia 5 ya kile znz inachopata.

Znz imetaka asilimia 21 za ajira za muungano. Ukiacha wizara ya muungano, zilizobaki zote hazina mahusiano na znz ni za Tanganyika. Pamoja na hayo znz inapewa nafasi za ajira katika maeneo yasiyo ya muungano.

Gharama za ajira 21 asilimia zinalipwa na Mtanganyika siyo SMZ.
Gharama hizo ni pamoja na mishahara, masufuru na mafao ya uzeeni.

Kwa maana nyingine raia wa nchi jirani ya znz atafanya kazi bara, akistaafu atarudi nchi kwake znz akilipwa mafao na nchi nyingine. Huu kama si ujinga wa Watanganyika sijui ni kitu gani.

Wakati Tanganyika inabeba gharama za muungano na uendeshaji wa SMZ, wazanzibar wapo busy kutafuta mbinu za kumnyanyasa mtanganyika. Kuandika sheria zinazomhusu Mtanganyika siyo Mwarabu, Italiano au Mkenya.

Hapa ndipo Mtanganyika lazima aelewe kuwa muundo wa sasa umelenga kumpindisha mgongo ili kuihudumia nchi ya znz. Kwamba, kodi yake si kwamba inajenga Tanganyika tu, bali pia inakwenda kujenga nchi ya znz.

Hawa watu wamevunja muungano kwa kutumia katiba ya 2010, hivi kuna sababu gani za kuendelea kuwasikiliza wanaodai kile wasichokitambua, kile wasichochangia na kile wasichostahili.

Tunasema watalazimisha kwa kutumia marungu, bunduki na mabomu, Watanganyika wameamka na wanajua nani kupe. Tutarudi mitaani kujadili kuzinduka kwa Tanganyika. Huko hakna sheria.
Mznz italazimika kuizundua Tanganyika .

 
Heee! Umekimbilia huku na kuacha suala la Amir jeshi. Tumekueleza vema kuhusu Amir Jeshi wawili, huna jibu na umekubaliana nasi kuwa nchi moja ina maamir jeshi wawili. Muulize kwanza wakati mnapotumwa, si kutupa picha tu bila kujua protocol na mambo mengine muhimu.
Bado mnataka S2 mkiamini muundo wake ni mzuri.
Suala la Amir jeshi wawili tumelimaliza, tunajua yupo wa JMT na SMZ. Yupi mkubwa na yupi ni mdogo ndilo swali la kujadili.

Kuhusu gharama hili tumeliongea sana na sijui ulikuwa wapi.
Muundo wa S2 ndio unaosababisha appeasement unayosema kwasababu Tanganyika haina mtetezi.

Na kila mara wataendelea kuwaumiza watanganyika kwa mwendo huo kwasababu ipo znz,hakuna wa kusimamia rasilimali za Tanganyika. Matokeo ni kudai hata wasichopaswa au wasicho changia.

Kuhusu muungano, naona pia husomi mabandiko ya watu vizuri.
Kila siku tunasema kuliko kumbebesha Mtanganyika gharama zisizomhusu vunja jahazi tugawane mbao.Huu muungano hauna faida kwa Mtanganyika, ni kubebeshwa mzigo wa kumhudumia mzanzibar akicheza bao. Huo ni ukweli usio na shaka na lazima usemewe.


Nikupe mfano, fungu la mwaka huu la mikoa yote kwa ujumla ni Tsh 260 Bilioni.
Kwa wastani ni kila mkoa kupata kitu kama bilioni 10.

Dar es salamaa ina wakazi wapatao milioni 5, ikiwa ni mara 10 ya wakazi wa znz(kumbuka nusu yao wanaishi bara)

Bajeti ya JMT kwa Dar es salaam ni bilioni 10 kwa kwa mujibu wa bajti ya waziri mkuu mwaka huu.
Dar es salaama ni mkoa ulio na watu wengi na mchango mkubwa kwa pato la taifa.

Znz mwaka jana imepewa bilioni 32 zisizo na maelezo kwa mipango ya maendeleo.
Hiyo ni nje ya baeti ya znz ambayo zaidi ya nusu inachangiwa na JMT ambayo ni Tanganyika.
Kwa maana kuwa znz ilipewa mara 10 ya Dar es salaam, pesa zisojulikana ni za nini

Deni la umeme la znz linalolipwa na JMT ni Tsh 70 Milioni. Kwa maana kuwa JMT ambayo ni Tanganyika inalipa deni la znz kwa kiasi cha pesa za maendeleo ya mikoa 7 ya Tanganyika

Znz haipo katika mikoa inayochangia pato la taifa. Hata Manyara mkoa mpya kabisa una mchango mkubwa kuliko znz. Manyara inapewa mgao ambao ni chini ya asilimia 5 ya kile znz inachopata.

Znz imetaka asilimia 21 za ajira za muungano. Ukiacha wizara ya muungano, zilizobaki zote hazina mahusiano na znz ni za Tanganyika. Pamoja na hayo znz inapewa nafasi za ajira katika maeneo yasiyo ya muungano.

Gharama za ajira 21 asilimia zinalipwa na Mtanganyika siyo SMZ.
Gharama hizo ni pamoja na mishahara, masufuru na mafao ya uzeeni.

Kwa maana nyingine raia wa nchi jirani ya znz atafanya kazi bara, akistaafu atarudi nchi kwake znz akilipwa mafao na nchi nyingine. Huu kama si ujinga wa Watanganyika sijui ni kitu gani.

Wakati Tanganyika inabeba gharama za muungano na uendeshaji wa SMZ, wazanzibar wapo busy kutafuta mbinu za kumnyanyasa mtanganyika. Kuandika sheria zinazomhusu Mtanganyika siyo Mwarabu, Italiano au Mkenya.

Hapa ndipo Mtanganyika lazima aelewe kuwa muundo wa sasa umelenga kumpindisha mgongo ili kuihudumia nchi ya znz. Kwamba, kodi yake si kwamba inajenga Tanganyika tu, bali pia inakwenda kujenga nchi ya znz.

Hawa watu wamevunja muungano kwa kutumia katiba ya 2010, hivi kuna sababu gani za kuendelea kuwasikiliza wanaodai kile wasichokitambua, kile wasichochangia na kile wasichostahili.

Tunasema watalazimisha kwa kutumia marungu, bunduki na mabomu, Watanganyika wameamka na wanajua nani kupe. Tutarudi mitaani kujadili kuzinduka kwa Tanganyika. Huko hakna sheria.
Mznz italazimika kuizundua Tanganyika .


Sasa nimeanza kukuelewa vizuri KWAMBA WEWE UNAPENDA MUUNGANO USIWEPO, KWA LUGHA NYINGINE UNATAKA TUVUNJE MUUNGANO!, Afadhali sasa tumekuelewa kuwa wewe ni Anti- Union. Na ushahidi wa wazi kabisa kwamba wewe ni Anti-Union ni hiyo quote katika maelezo yako niliyoiwekea rangi ya bluu na kuipigia msitari.

sasa kwetu sisi tunaotaka muungano, tena muungano strong, hakuna mahali popote tunaweza kukutana kifikra na watu wasiotaka muungano kama wewe, i dont think so!, tofauti zetu kumbe ni za msingi kabisa, ni kama mashariki na magharibi, Au mbingu na ardhi!.

Ukweli huu niliougundua, unathibitika na Ukweli mpana kwamba KWA KUWA HATA NDANI YA MUUNDO WA SERIKALI TATU TUTAENDELEA KUWA NA MUUNGANO, NA KWA KUWA KATIKA MUUNGANO HUO PIA MTANGANYIKA HATONUFAIKA NA CHOCHOTE CHA ZIADA, BASI NI DHAHIRI NYINYI KUPENDEKEZA SERIKALI TATU NI SMOKE SCREEN YA KUPATA JAPO TANGANYIKA YENYE NGUVU HUKU MKIWA NA TANZANIA DHAIFU AMABAYO HATIMAYE LENGO LENU LA KUVUNJA MUUNGANO LITAFANIKIWA!.

Kwa hivyo basi, kamwe hatuwezi kuelewana wala kukubaliana kwa sababu wewe na wenzio ni dhahiri ni Wapinga Muungano!, sisi Tunataka Muungano uwepo tena muungano imara!.

Sisi hofu yetu kuhusu serikali tatu ni kwamba bado kuna gharama itabidi ziendeshe serikali ya Shirikisho, wewe umsema zitakuwa ndogo kuliko hivi sasa, sisi wengine tumesema ni kubwa!. Lakini hoja ya msingi hapa ni kwamba hizo gharama zipo, na kama jinsi ilivyo sasa katika serikali mbili ambapo mtanganyika anazibeba gharama hizo, pia katika seriklai tatu mtanganyika ndo ataendelea kuzibeba!!. KWA HOJA YAKO YA KUKEREKA NA MTANGANYIKA KUBEBA GHARAMA HIZO NI DHAHIRI KWAMBA THE ONLY SOLUTION YA MTANGANYIKA KUTOKUZIBEBA GHARAMA HIZO ZENYE KUMNUFAISHA MTU WA NCHI JIRANI YAANI MZAZNZIBARI NI PALE MTANGANYIKA ATAKAPOKUWA HURU, NA HILI HALIWEZEKANI ISIPOKUWA KWA MUUNGANO HUU KUVUNJIKA!!! hiyo ndiyo implication ya quotation yako hapo juu. Binafsi ninapinga kwa nguvu zote mtizamo huu wa kuvunja muungano kwa kisingizio cha gharama!
 
Sasa nimeanza kukuelewa vizuri KWAMBA WEWE UNAPENDA MUUNGANO USIWEPO, KWA LUGHA NYINGINE UNATAKA TUVUNJE MUUNGANO!, Afadhali sasa tumekuelewa kuwa wewe ni Anti- Union. Na ushahidi wa wazi kabisa kwamba wewe ni Anti-Union ni hiyo quote katika maelezo yako niliyoiwekea rangi ya bluu na kuipigia msitari.
sasa kwetu sisi tunaotaka muungano, tena muungano strong, hakuna mahali popote tunaweza kukutana kifikra na watu wasiotaka muungano kama wewe, i dont think so!, tofauti zetu kumbe ni za msingi kabisa, ni kama mashariki na magharibi, Au mbingu na ardhi!.

Ukweli huu niliougundua, unathibitika na Ukweli mpana kwamba KWA KUWA HATA NDANI YA MUUNDO WA SERIKALI TATU TUTAENDELEA KUWA NA MUUNGANO, NA KWA KUWA KATIKA MUUNGANO HUO PIA MTANGANYIKA HATONUFAIKA NA CHOCHOTE CHA ZIADA, BASI NI DHAHIRI NYINYI KUPENDEKEZA SERIKALI TATU NI SMOKE SCREEN YA KUPATA JAPO TANGANYIKA YENYE NGUVU HUKU MKIWA NA TANZANIA DHAIFU AMABAYO HATIMAYE LENGO LENU LA KUVUNJA MUUNGANO LITAFANIKIWA!.

Kwa hivyo basi, kamwe hatuwezi kuelewana wala kukubaliana kwa sababu wewe na wenzio ni dhahiri ni Wapinga Muungano!, sisi Tunataka Muungano uwepo tena muungano imara!.

Sisi hofu yetu kuhusu serikali tatu ni kwamba bado kuna gharama itabidi ziendeshe serikali ya Shirikisho, wewe umsema zitakuwa ndogo kuliko hivi sasa, sisi wengine tumesema ni kubwa!. Lakini hoja ya msingi hapa ni kwamba hizo gharama zipo, na kama jinsi ilivyo sasa katika serikali mbili ambapo mtanganyika anazibeba gharama hizo, pia katika seriklai tatu mtanganyika ndo ataendelea kuzibeba!!. KWA HOJA YAKO YA KUKEREKA NA MTANGANYIKA KUBEBA GHARAMA HIZO NI DHAHIRI KWAMBA THE ONLY SOLUTION YA MTANGANYIKA KUTOKUZIBEBA GHARAMA HIZO ZENYE KUMNUFAISHA MTU WA NCHI JIRANI YAANI MZAZNZIBARI NI PALE MTANGANYIKA ATAKAPOKUWA HURU, NA HILI HALIWEZEKANI ISIPOKUWA KWA MUUNGANO HUU KUVUNJIKA!!! hiyo ndiyo implication ya quotation yako hapo juu. Binafsi ninapinga kwa nguvu zote mtizamo huu wa kuvunja muungano kwa kisingizio cha gharama!
Gamba la Nyoka , kwanza nikuhakikishie kuwa muungano unaozungumzia haupo. kwasasa hakuna muungano.
Narudia tena kwasasa hakuna muungano, isipokuwa kwa asiyetumia fikra na akili.

Huwezi kuvunja katiba ya JMT ukabaki kusema kuna muungano.
ZNZ imevunja katiba ya JMT na kuifanya chini ya katiba ya zanzibar ya 2010.

Hivyo unapodai unataka muungano uliopo uendelee unajidanganya, hakuna muungano usioheshimu katiba.

Pili, Miaka 50 hakuna suluhu ya makapi ya muungano.
Hali ya muungano ni mbaya kuliko wakati mwingine wowote wa uhai wake.

Hakuna hata suluhu kutoka CCM na serikali yake.
Kusema unataka muungano uliOkufa na usioweza kuuamsha ni kujidanganya.

Mwenye kutumia akili ataliona hilo, wakimbiza matonge na wachumia matumbo watatafuta justifications za kipuuzi wakijua ukweli.

Tatu, Zanzibar imevunja katiba kwa katiba yake ya 2010. Hakuna mwana CCM au Serikali aliyewahi kukemea.

Leo tuna nchi jirani ya znz na si sehemu ya Tanzania.
Kikwete ni mgeni znz, Pinda hajulikani na katiba ya JMT ni takataka kule znz.
Tatizo si sisi tunaosema, mbona hujasema znz imeshavunja muungano.

Nne, Wananchi wametaka S3 baada ya miaka 50 na tume zaidi ya 10 kushindwa kufanyiwa kazi. Hivyo wazo la S3 ni la wananchi pamoja na tume za Kisanga, Nyalali, Shelukindo, Amina, Shamhuna ambazo zote zi;iundwa chini ya chama kimoja.

Waliotaka S3 ni G55 wa CCM, ni Jumbe, ni CUF n.k. hilo si wazo la Nguruvi3, wazo lipo miaka zaidi ya 30 iliyiopita likigharimu watu kazi na maisha yao.

Mimi nipo katika rekodi kuanzia mwaka 2011 nikisema kama muungano hauna maridhaiano ni bora kuvunja.Kama S3 zenye mambo 7 hazina maana kwa pande zote, bora kuvunja muungano

Maneno ya kuvunjwa yamehitimishwa na Kikwete aliyekaa kimya katiba ikibunjwa na historia itamwandika hivyo.Hivyo Kikwete amevunja muungano wala si nguruvi3.

Wananchi wamesema kupitia tume ya Warioba. Wazee wanaoifahamu CCM kama Salim na Butiku pamoja na marofesa wamekubali kuwa S3 ndio muundo utakaoweza ku sustain muungano ulikokufa chini ya mikono ya kikwete.

Si nguruvi wala Gamba la Nyoka wanaosema S3
 
Hapa tunazunguka mbuyu, wanajinufaisha vipi?

Mbona hawalalamiki kuwa wanafaidika na huduma nzito kama za ulinzi na usalama kwa jina la Tanzania? Mbona hawalalamiki kuwa watoto wao ambao basically si Watanganyika wanafaidika na huduma za elimu ya juu na hata kuwanyang'anya Watanganyika nafasi zao kwa jina la Tanzania.

Mbona hawalalamiki kuwa wanalala na umeme usiku kucha na wake zao bili hizo wakimtwishwa Mtanganyika kwa jina la Tanzania.

Mbona hawalalamiki kuwa wananufaika na huduma kama ajira na ardhi kwa jina la Tanzania.
Mbona hawalalamiki kuwa bajeti yao nusu inagharamiwa na Mkurya na Mbondei wasioijua znz hata ilipo.

Message kubwa ni kuwa kama wanadhani wananyimwa fursa, sisi hatuna sababu za kuwaonea.
Tunataka Tanganyika ili tuvue koti la muungano.

Halafu kuna mambo 7 hayo tukae na kuangalia yapi tutasaidiana.
Hakuna njia mbadala ya kuwabeba tena, mwisho wa lawama matusi na kejeli umefika.

Wamefikia mahali hawaheshimu katiba ya nchi, this is too much.
Kiburi hicho hakina suluhu ila kila mmoja aangalie utaratibu wa nchi na watu wake.

Sisi tupo tayari kabisa kuvua koti la muungano na wao wawe tayari kutoka ndani ya koti hilo.
Hatuna cha kupoteza Mkandara! Wala hawana sababu za kulalamika, njia nyeupe.

Tusichokubaliana nao ni kuchukua kodi zetu kuzipeleka nchi jirani. Hilo hatutalikubali.
Wakilazimisha tutarudi mitaani huko ni rule of the jungle.

Tanganyika haikwepeki na ni lazima. Iwe kishieria au kishari hilo linakuja.
Hatuwezi kubabishwa na watu laki 5. Tuwanyonye znz kwa lipi hasa.

Mkandara uchumi wa znz hauna impact yoyote kwa maisha yetu.
Wanatutaka hivyo lazima wawe na adabu.

Hawawezi kukaa mgongoni wakicheza msewe nasi tukae kimya.
Nasema tena, ikishindikana kisheria tutarudi mitaani huko ni sheria za mwituni tu.
Alaa sasa wewe unapoilalamikia CCM kwa ubabe wake ina maana unatakiwa kwanza kutazama yale CCM ilokuwezesha?..Unavyoongeza ni sawa na mzazi ambaye mwanaye analalamika kwa kutoandikishwa shule wewe unasema mbona husemi ulala wapi au unakula nini..Ni jukumu la serikali kuu ya Muungano kusimamia uongozi wa nchi nzima bila kujali hapa ni Zanzibar ama Tanganyika. Nani alowambia wananchi wanataka mkataba wa shirikisho? tutashirikiana nini na nchi ambayo haina la kutupa kama unavyodai. Nini itakuwa mchango wao ktk shirikisho hilo maana hatuwahitaji.

Ni watu kama nyie mnaoanzisha Ubaguzi wa ajabu kabisa. Kusema kweli navyomshangaa Jussa basi haina tofayuti kabisa na navyokushangaa wewe na ndio maana mmeunda timu moja kupambana na msichokijua. Ebu jiulize wewe inakuwaje leo huyo anayeidai Zanzibar na kufanya makosa yoote ya Uandishi wa katiba ya mwaka 2010, leo ndiye mnashirikiana kudai Tanganyika. Malalamiko yako yote kuhusu Zanzibar yameasisiwa na watu hao hao unaungana nao leo ktk UKAWA kuidai Tanganyika sasa wambie unaitaka serikali1 utaona jinsi watakavyo kuacha mataani.

Lakini wao wakisema wanaitaka serikali 1 wewe hutakuwa na pingamizi mkwa sababu una react kudai Tanganyika kutokana na usongo wa kero hali ni katiba yetu yenye mapungufu kibao. Mkuu tumia akili yako msivutwe hovyo hovyo na watu wenye malengo yao wakati wewe hutazami kesho ila unaitaka Tanganyika pasipo kujua umefungiwa nini! Yamewakuta South Sudan,Libya na watu kama sisi tulifahamu mapema kwamba itakuja vita ya wenyewe kwa wenyewe, huku Marekani wakivuta wafuta.. Amani iko wapi?

Mkuu Zanzibar ni nchi ilokombolewa kutoka mikono ya Sultan, ni nchi ya Mapinduzi hivyo hao wa Ukraine wanaotumia mbinu za shirikisho kama EU, hawatapewa mwanya hata kidogo, sisi tutasimama kama Russia kutetea Muungano uliopo maana kesho Sultan atakuja kudai mikoa ya Tanga, Pwani, Dar, Lindi na Mtwara kkuwa ilikuwa sehemu ya Utawala wake kutokana na historia ambayo vizazi vyetu hawataifahamu.
 
Alaa sasa wewe unapoilalamikia CCM kwa ubabe wake ina maana unatakiwa kwanza kutazama yale CCM ilokuwezesha?..Unavyoongeza ni sawa na mzazi ambaye mwanaye analalamika kwa kutoandikishwa shule wewe unasema mbona husemi ulala wapi au unakula nini..Ni jukumu la serikali kuu ya Muungano kusimamia uongozi wa nchi nzima bila kujali hapa ni Zanzibar ama Tanganyika. Nani alowambia wananchi wanataka mkataba wa shirikisho? tutashirikiana nini na nchi ambayo haina la kutupa kama unavyodai. Nini itakuwa mchango wao ktk shirikisho hilo maana hatuwahitaji.

Ni watu kama nyie mnaoanzisha Ubaguzi wa ajabu kabisa. Kusema kweli navyomshangaa Jussa basi haina tofayuti kabisa na navyokushangaa wewe na ndio maana mmeunda timu moja kupambana na msichokijua. Ebu jiulize wewe inakuwaje leo huyo anayeidai Zanzibar na kufanya makosa yoote ya Uandishi wa katiba ya mwaka 2010, leo ndiye mnashirikiana kudai Tanganyika. Malalamiko yako yote kuhusu Zanzibar yameasisiwa na watu hao hao unaungana nao leo ktk UKAWA kuidai Tanganyika sasa wambie unaitaka serikali1 utaona jinsi watakavyo kuacha mataani.

Lakini wao wakisema wanaitaka serikali 1 wewe hutakuwa na pingamizi mkwa sababu una react kudai Tanganyika kutokana na usongo wa kero hali ni katiba yetu yenye mapungufu kibao. Mkuu tumia akili yako msivutwe hovyo hovyo na watu wenye malengo yao wakati wewe hutazami kesho ila unaitaka Tanganyika pasipo kujua umefungiwa nini! Yamewakuta South Sudan,Libya na watu kama sisi tulifahamu mapema kwamba itakuja vita ya wenyewe kwa wenyewe, huku Marekani wakivuta wafuta.. Amani iko wapi?

Mkuu Zanzibar ni nchi ilokombolewa kutoka mikono ya Sultan, ni nchi ya Mapinduzi hivyo hao wa Ukraine wanaotumia mbinu za shirikisho kama EU, hawatapewa mwanya hata kidogo, sisi tutasimama kama Russia kutetea Muungano uliopo maana kesho Sultan atakuja kudai mikoa ya Tanga, Pwani, Dar, Lindi na Mtwara kkuwa ilikuwa sehemu ya Utawala wake kutokana na historia ambayo vizazi vyetu hawataifahamu.
Mkuu Mkandara nipo katika rekodi tangu mwaka 2011 nikisimama kidete kwa kuandika kuhusu Tanganyika.

Wakati huo hata baadhi ya wajumbe wa UKAWA hawajaingia bungeni.
Nitasimama kidete kutetea nchi yangu ya Tanganyika ambayo nina utaifa nayo.

Usitutishe kuhusu sultan kurudi. Sultan alikuwepo wakati tunachukua hati ya nchi kutoka kwa mwingereza.
Tanganyika ilikuwa chini ya udhamini wa UN na si sultan.

Mjerumani alitawala Tanganyika na si sultan.
Hakuna namna ambayo unaweza kututisha kuwa sulatana atarudi. Nyerere aliyekabidhiwa nchi hii na mwingereza alisema 'kama znz hawataki muungano hatawapiga mabomu'.

Leo wameamua kuwa nchi na taifa, wanadhalilisha katiba iliyopo kiasi cha kutufanya tumobe ruhusu za kujenga wodi za wake zetu kwa akina Pandu na wenzake 50.

Leo tunalipa kodi kwenda kuneemesha watu wenye nchi na taifa lao.
Tunalipia uslama na ulinzi, achilia mbali makando kando mengine.
Ofisi ya waziri mkuu mwaka huu imetengewa sh bilioni 260 kwa ajili ya maendeleo ya mikoa 26 ya Tanganyika.

Wakati huo huo kodi za Watanganyika kiasi cha bIlioni 15 kwa znz yenye wakazi chini ya laki tano wengine wakiishi Tanganyika imepelekwa znz kama kodi ya Wafanyakazi wa muungano wanaofanya kazi znz. Kwamba muungano unaowapa ajira sasa unawalipa kodi.

Hayo yakitokea kuna wabunge 81 wa znz wanaokuja kwa znz lakini wanalipwa mishahara na masufuru na Tanganyika kuwakilichi nchi na taifa la znz kwa gharama za kodi za wabondei, wahaya na wamakonde.

Kiasi cha watu hao 81 wasio na mchango wowote kwa Tanganyika ni sawa na bilioni 9.6 kwa mwaka.
Kiasi hicho ni sawa na pesa za mkoa wa Manyara kutoka ofisi ya waziri mkuu kwa mwaka.

Manyara inachangia pato la yaifa, znz haina mchango, ajabu wanapewa fungu kubwa sana kuliko mikoa 10 kwa pamoja. Huu ndio muungano unaoutaka wewe wa watu kulipiwa gharama wakiwa wanapunga upepo.

Tunasema hivi kwa spirit ya ushirikiano wa kuwasaidia waznz kuna mambo 7 unayoweza kuwasaidia. Kinyume cha hapo waendelee na yao na sisi tuanye yetu.
Nimekuuliza swali rahisi nini mchango wa znz kwa Tanganyika! huna jibu.

Tumechoka kubeba watu wakicheza ngoma za msewe na matusi, sasa basi wana nchi yao nasi tunataka yetu.
Siku 67 zimepotea badala ya kujadili umasikini wa wananchi wetu tunajadili namna ya kuwabeba watu.

Tena wakituwekea masharti wanataka hiki wanataka kile.
Imefika mahali sasa wanawasha hadi taa usiku kucha bili anabeba Mtanganyika.

Mwezi Januari kurudi nyuma SMZ ilikuwa inatumia milioni 800 kwa umeme wa Pemba.
Juzi wamesema bila aibu, sasa deni hilo ni la Tanesco wakimaanisha JMT italipa ambayo ni Tanganyika.

Watu wetu waumie kwa kodi halafu watukanwe, wawekewe masharti ya kutumia rasilimali zao na watu 50 tu wanaojiita BLW. Huu kama si uzezeta ni kitu gani.

Serikali 1 hawataki na sisi hatuna sababu za kuwashinikiza kwa hilo.
Hatuna sababu kwasababu hatuna mafao kutoka znz, Mkandara!

Sisi kusema znz haina mchango wowote(ukweli) wewe unasema ni ubaguzi, je wznz wanapowapiga viberiti Watanganyika hicho unaita nini.

 
CCM TUNASUBIRI MAJIBU YA S2

Gazeti la habari leo la majuzi limewakariri wajumbe wa BLW (http://www.habarileo.co.tz/index.ph...awakilishi-wataka-kero-za-muungano-zitatuliwe).

Wamesema ipo kero nyingine ya kufanya biashara inayotakiwa kuangaliwa.
Wajumbe hao walimaanisha kodi za bidhaa zinazoteremeka Zanzibar ziiingie Tanganyika bure.
Kwa maana kuwa serikali ya Tanganyika ikose mapato kwa kisingizio cha muungano.

Huko nyuma iliwahi kufanyika, wznz wakalamika kuwa TRA inachukua mapato yote na kuiacha znz ikiwa haina kitu.

Malalmiko hayo yakapelekea znz kuanzisha ZRA kwa minajili ya kukusanya kodi yake na kuibakiza huko kwa maendeleo ya znz .

Uhuni wa kukusanya kodi ukaikosesha Tanganyika mapato kwasababu wznz hawakujali kukusanya mapato kwavile tayari wameshakusanya kupitia ZRA.

Malalamiko ya wznz yakaenda mbali na kuondoa bandari katika mambo ya muungano.
Katika yale 11 ya 1964 bandari na anga ni sehemu ya muungano. Bila kushauriana na JMT, wznz wakaondoa wakijua wapo juu ya katiba ya JMT au basi 'watatufanya nini' tukikataa.

Kwa msingi huo, mambo ya kodi na bandari hayawezi kutumiwa katika kuimarisha muungano. Huwezi kudhoofisha sehemu kubwa inayochangia muungano kwa kuacha sehemu isiyo na mchango wowote kufanya itakavyo.

ZNZ ina banadari huru, haipaswi kulalamika kuhusu makusanyo au taratibu za kuendesha bandari.
Kwasasa inafanya hivyo kwa kujua yenyewe pia ni sehemu ya Tanzania.
Hapa ndipo Mtanganyika anapaswa kujiuliza, yeye anatetewa na nani katika masuala haya?

Akina Nape Nnauye wanazunguka nchi wakipambana na UKAWA.
Hatudhani tatizo la muungano ni ukawa.
Matatizo ya muungano ni muundo ambao unainyima Tanganyika uwezo wa kujipangia mambo yake (fiscal autonomy) kama ilivyo znz.

Kila kunapokucha wznz hawaishi kuzua madai, kwakujua wanapolilia hupewa.
Hili la wafanyabiashara kutozwa kodi limeanza hivi karibuni. Lakini basi wangekuwa waungwana na kujiona kama sehemu ya taifa hili. WZNZ hawakubali kuwa ni Watanzania kwa mujibu wa katiba yao ya 2010. Wana utaifa, nchi na serikali yao.

Wznz wanataka tu kuitumia Tanganyika katika kukidhi haja zao na wala si muungano kama inavyosemekana. Akina Nape hawayaelezi haya, wanachosema ni uzuri wa S2 ambao pia hawauelezi.

Nape yupo tayari kuiuza Tanganyika ili mradi tu abaki katika nafasi ya ukatibu mwenezi.

Ndio maana tunasema, CCM ieleze mtatizo na suluhu. Hatuhitaji kusikia mambo ya ukawa.
CCM ni chama tawala, iweje kikose hoja za kutetea S2?

Tunawauliza akina Nape, wapi hoja za kutuonyesha kero zinakwisha?
Mbona kila uchao kero zinazidi kama madai mapya ya wznz kuhusu kodi, bandari na biashara?

Kwanini Mtanganyika abebe gharama mbili, kuendesha muungano na kuendesha SMZ?
 
CCM TUNASUBIRI MAJIBU YA S2

Gazeti la habari leo la majuzi limewakariri wajumbe wa BLW (http://www.habarileo.co.tz/index.ph...awakilishi-wataka-kero-za-muungano-zitatuliwe).

Wamesema ipo kero nyingine ya kufanya biashara inayotakiwa kuangaliwa.
Wajumbe hao walimaanisha kodi za bidhaa zinazoteremeka Zanzibar ziiingie Tanganyika bure.
Kwa maana kuwa serikali ya Tanganyika ikose mapato kwa kisingizio cha muungano.

Huko nyuma iliwahi kufanyika, wznz wakalamika kuwa TRA inachukua mapato yote na kuiacha znz ikiwa haina kitu.

Malalmiko hayo yakapelekea znz kuanzisha ZRA kwa minajili ya kukusanya kodi yake na kuibakiza huko kwa maendeleo ya znz .

Uhuni wa kukusanya kodi ukaikosesha Tanganyika mapato kwasababu wznz hawakujali kukusanya mapato kwavile tayari wameshakusanya kupitia ZRA.

Malalamiko ya wznz yakaenda mbali na kuondoa bandari katika mambo ya muungano.
Katika yale 11 ya 1964 bandari na anga ni sehemu ya muungano. Bila kushauriana na JMT, wznz wakaondoa wakijua wapo juu ya katiba ya JMT au basi 'watatufanya nini' tukikataa.

Kwa msingi huo, mambo ya kodi na bandari hayawezi kutumiwa katika kuimarisha muungano. Huwezi kudhoofisha sehemu kubwa inayochangia muungano kwa kuacha sehemu isiyo na mchango wowote kufanya itakavyo.

ZNZ ina banadari huru, haipaswi kulalamika kuhusu makusanyo au taratibu za kuendesha bandari.
Kwasasa inafanya hivyo kwa kujua yenyewe pia ni sehemu ya Tanzania.
Hapa ndipo Mtanganyika anapaswa kujiuliza, yeye anatetewa na nani katika masuala haya?

Akina Nape Nnauye wanazunguka nchi wakipambana na UKAWA.
Hatudhani tatizo la muungano ni ukawa.
Matatizo ya muungano ni muundo ambao unainyima Tanganyika uwezo wa kujipangia mambo yake (fiscal autonomy) kama ilivyo znz.

Kila kunapokucha wznz hawaishi kuzua madai, kwakujua wanapolilia hupewa.
Hili la wafanyabiashara kutozwa kodi limeanza hivi karibuni. Lakini basi wangekuwa waungwana na kujiona kama sehemu ya taifa hili. WZNZ hawakubali kuwa ni Watanzania kwa mujibu wa katiba yao ya 2010. Wana utaifa, nchi na serikali yao.

Wznz wanataka tu kuitumia Tanganyika katika kukidhi haja zao na wala si muungano kama inavyosemekana. Akina Nape hawayaelezi haya, wanachosema ni uzuri wa S2 ambao pia hawauelezi.

Nape yupo tayari kuiuza Tanganyika ili mradi tu abaki katika nafasi ya ukatibu mwenezi.

Ndio maana tunasema, CCM ieleze mtatizo na suluhu. Hatuhitaji kusikia mambo ya ukawa.
CCM ni chama tawala, iweje kikose hoja za kutetea S2?

Tunawauliza akina Nape, wapi hoja za kutuonyesha kero zinakwisha?
Mbona kila uchao kero zinazidi kama madai mapya ya wznz kuhusu kodi, bandari na biashara?

Kwanini Mtanganyika abebe gharama mbili, kuendesha muungano na kuendesha SMZ?

Mkuu uzuri ni kuwa kila unapoweka bandiko kuhusu suala la muungano unaonesha wazi kabisa, kwanini serikali mbili ni kero. Pamoja na kuwa bara huwa hatusemi sana hizo kero in fact kwa bara ziko nyingi sana. CCM hadi dakika hii inasema serikali mbili , lakini haisemi kero hizo zinazondolewa vipi ndani ya serikali mbili, au haisemi serikali tatu itaongeza kero kiasi gani zaidi ya zilizopo sasa.

Mimi mpaka sasa ni Unionist...sikubaliani na serikali mbili za sasa na za CCM zilizoboreshwa, napendelea serikali moja ambayo watanzania tuna haki, majukumu na wajibu sawa kwa nchi. kama CCM haiwezi kuprovide hilo, serikali 3 ndio suluhisho.
 
Mkuu uzuri ni kuwa kila unapoweka bandiko kuhusu suala la muungano unaonesha wazi kabisa, kwanini serikali mbili ni kero. Pamoja na kuwa bara huwa hatusemi sana hizo kero in fact kwa bara ziko nyingi sana. CCM hadi dakika hii inasema serikali mbili , lakini haisemi kero hizo zinazondolewa vipi ndani ya serikali mbili, au haisemi serikali tatu itaongeza kero kiasi gani zaidi ya zilizopo sasa.

Mimi mpaka sasa ni Unionist...sikubaliani na serikali mbili za sasa na za CCM zilizoboreshwa, napendelea serikali moja ambayo watanzania tuna haki, majukumu na wajibu sawa kwa nchi. kama CCM haiwezi kuprovide hilo, serikali 3 ndio suluhisho.
Mkuu , tumejaribu kuonyesha kila mara matatizo ya S2.

Tunachoomba kutoka kwa wahusika ni utatuzi. Jambo la kushangaza, hao wa S2 hawakujua hata uwepo wa baadhi ya matatizo.

Na kila tunapowaonyesha bado hawana majibu. Wanachotuambia ni kuwa S2 ndizo zimetufikisha hapa kwa maiaka 50. Hawaelezi tumefika tukiwa salama au tumechoka.

Hizi zinazoitwa kero kwakweli hakuna kitu kama hicho.
Kero kwa wazanzibar ni kudai na kupewa zaidi.

Mfano, sasa wanataka ZNZ iruhusiwe kuingiza bidhaa Tanganyika bila ushuru.
Hii maana yake ni kuwa ushuru na kodi zote zinabaki znz halafu znz inakuwa uchochoro wa wahalifu. Wanadai hii ni kero na iangaliwe.

Tuna ushahidi wa kutosha kutoka kwa wznz wenyewe na Serikali kuwa makusanyo ya TRA hayavuki bahari.

Makusanyo ya ZRA hayavuki bahari. Bado wanataka uchochoro wa kuingiza bidhaa zao katika soko. Kwamba, Tanganyika ikose mapato na kupandisha kodi kwa wafanyakazi na wakulima kwasababu tunawapenda sana hawa viumbe.

Huko nyuma ilijaribiwa, kilichotokea ni SMZ kutokusanya kodi tena.
Wanachukua pesa za import tax halafu mizigo inakuja Tanganyika free.

Waliofanya uhuni huo ni viongozi wa SMZ na pesa walikusanya mifukoni mwao.
Ndipo Mkapa akasema upumbavu huo mwisho chumbe, sasa hivi kodi mtindo mmoja na upo umuhimu wa kuongeza mara mbili kuziba mianya ya wahalifu wanaotumia SMZ kama chaka.

Kwa Upande wa Tanganyika, inaonekana kama hawana kero.
In fact katika huu muungano Watanganyika wana kero nyingi sana.

Kwa mfano, hivi ni kwanini kuwe na waziri mzanzibar, katibu mkuu mzanz, au mkurugenzi mzn, na mfanyakzi mznz katika wizara zisizo za muungano kama afya, kilimo, ujenzi n.k.

Leo wznz wanapewa nafasi asilimia 21` kwa shughuli zisizo za muungano.
Ni kiasi gani kimetengwa kwa Mtanganyika katika SMZ.

Kisha wakipewa asilimia 21 ya ajira zisizowahusu na kupunguza unemployment, waznz wamekuja na kero mpya.

Eti wanadai kodi za mapato ya mishahara ya wafanyakazi wa muungano zilipwe znz.
Kwa sasa wanapata bilioni 15 kutokana na ajira zisizo za muungano.

Yaani Watanganyika wanapunguza upungufu wa ajira kwao, halafu tunawalipa tena kwa kuwasaidia kuondoa tatizo huko kwao. Huu kama si wendawazimu sijui tuite nini.

Nenda Tanganyika, wznz walioko wizara ya ardhi ambayo si ya muungano wapo bize wakigawa mapande ya ardhi ya Tanganyika kwa wazanzibar.

Kumbuka hawa hawana uchungu na ardhi ya Tanganyika ingawa wanafanya kazi ya kugawa ardhi hiyo kwa ndugu zao. Huko znz Mtanganyika haruhusiwi hata kumiliki kibanda.
Hili wznz kwa ubinafsi hawalisemi.


Tukiwauliza wenzetu wa S2 watueleze wanamaliza vupi tatizo , hawana jibu.
Hakuna mwenye jibu.

JK amejitahidi kuwapa kila wanachotaka, matokeo yake wazanzibar wakarudi na kumpaka kinyesi kichwani.

Kuvunja katiba ya JMT bila kuchukua hatua ni tatizo kubwa sana ambalo JK siku moja itabidi alieleze taifa.

Siku hizi tunawaambia kama wamechoka njia nyeupe, hawafungui vinywa wala hawana maandamano.

Wanajua kuwa wao ni kupe tu katika muungano na kwamba Tanganyika haiwahitaji.
Bahati nzuri Watanganyika wanaelewa sasa, kwamba huu muungano wamejitwisha mzigo usio na faida.

Tunataka kuwasaidi wznz, na jibu ni S3.
Kama hawatakubali Tanganyika ipate inachokitaka, basi ipo siku wazanzibar wataongozwa kuizindua Tanganyika kwa gharama zao.

Watatangulizwa mbele kuelekea magogoni kumtawaza rais wa Tanganyika kwa nguvu na pengine wakilambwa mijeledi. Baada ya kufika magogoni na kuirudisha Tanganyika, watapita jengo la Nasaco kuelekea bandari warejee kwao.

Huu ni ukweli watu wasiotaka kuusikia, lakini ndio ukweli.
Watu wanaita chuki ili kuficha ukweli, nasema huo ndio ukweli na unakuja.

Ni kwamba ili Mtanganyika apate serikali yake, lazima mznz aondoke.
Ataondoka katika mazingira gani hilo ndilo watu wajadili.

Tulisema tukaonekana tuna chuki, kasema prof Kabudi na watu wengi wenye busara.

Tanganyika imehifadhi yao moyoni, siku yakitoka hakuna muda wa kujadiliana.
Wapo watakaolipa gharama
 
Back
Top Bottom