Duru za Siasa: Kuelekea bunge la katiba,Je, katiba itatokana na wananchi?

Duru za Siasa: Kuelekea bunge la katiba,Je, katiba itatokana na wananchi?

Nguruvi3

Platinum Member
Joined
Jun 21, 2010
Posts
15,773
Reaction score
32,431
Sehemu ya I

Ndugu wana Duru, Tunaomba tuweke rekodi vema kuhusu katiba mpya.

Kuanzia mwanzo hadi sasa msimamo wa duru ni katiba mpya itakayoandikwa na wananchi haitapatikana.

Utaratibu uliopaswa kufuatwa kwa mazingira yetu ulirukwa makusudi kuwafumba macho Watanzania.

Uandikaji wa katiba haikuwa agenda ya CCM. Hata ilipotokea ilitolewa kama agenda ya Kikwete. Ni wazo asilo asisi bali kudandia.

Kikwete alilazimika kwani presha ya katiba ingelazimu taifa kukaa na kuandika.
Kwa Kuogopa hilo akachukua wazo na kuliingiza CCM na bungeni kijanja janja. Ikawa agenda ya taifa.

Tulizungumzia tatizo hilo kabla ya tume ya Warioba. Tukasema ni lazima kuwe na muafaka wa kitaifa kuhusu mambo kadhaa na dira.

Mawazo hayakuingia akilini mwa viongozi na wasomi ambao tulitegemea wasingeingia katika tume bila kuhoji, wakakimbilia huko.

Tadhali pitia uzi huu bandiko 188 n.k. Duru za siasa - Matukio

Watanzania ni watu wa matukio wakasahau ulaghai uliotangulia na kuangalia tume ambayo kimsingi haikupaswa kuundwa na rais bali mkutano wa kitaifa.

Hili ni tukio la wananchi na walipaswa waratibu, serikali ikisiadia usimamizi wa taratibu inapobidi.

Wapinzani waliopaswa hawakuona ulagahai na undumila kuwili wa JK,wakaishia kunywa juisi za maembe Ikulu. Walipotoka Ikulu hawakueleza chochote kwa kuaminiana na Kikwete.

Kwa ufupi kulikuwa na matatizo katika sehemu hizi
1. Rais hakuwa na nia ya dhati ya kupata katiba, ameafanya ili kuacha jina tu
2. Wasomi wa tume ya Warioba walipaswa kumueleza matatizo mbeleni kabla ya kuanza kazi
3. Wapinzani walikubali ghilba wakishindwa kusoma dhamira ya JK na serikali yake
4.Wananchi wa Tanzania kuliacha suala la katiba kama sehemu ya siasa
5. Wananchi wa Tanzania kuvutwa na matukio zaidi badala ya kutafakari kwa maono.

Watanzania ambao ni watu wa matukio, leo wanachambua majina ya wabunge wa bunge la katiba na kusahau matatizo ya huko nyuma na makubwa mbeleni.

Jana Rais ameongea na viongozi wa vyama vya vya siasa akiwaasa kutanguliza masilahi ya taifa na si vyama vyao, wakubaliane na kupingana kwa hoja. Jk aliwapa majukumu makubwa ya kuwasimamia watu wao ili katiba mpya ipatikane.

Angalia video hii VIDEO: Rais Kikwete azungumzia Bunge la katiba na wajumbe

Wakati akieleza kuhusu utaifa na kukemea misimamo ya vyama, rais Kikwete ameshindwa kumkemea katibu mwenezi wake anayehubiri msimamo wa chama chake badala ya kutanguliza utaifa

Hii maana yake ni kutoa kwa mkono wa kulia na kuchukua kwa mkono wa kushoto.
Ndiyo hulka ya JK kutaka kupendeza kila upande.

Majina ya wajumbe wa bunge yametoka. Tangu mwanzo tulionya majina hayo ni lazima yakifikishwa kwa rais yawe final.

Ujanja uliotumika ni kutaka rais apelekewe majina mengi ili achague wajumbe anaowataka yeye na siyo waliopendekezwa.

Hata kama mjumbe amependekezwa sheria inampa rais nafasi ya kuondoa jina lake.
Hapo ndipo Watanzania walipofikishwa kwasababu tu ya kuwa washabiki wa matukio bila kuona mbali na pengine kukataa ulaghai, wataaminishwa katiba imetokana tukijua imetokana na Kikwete na kundi lake

Utashangaa kuona kuna makundi mbali mbali ya kijamii yakayowakilishwa.
Lipo kundi linalojulikana kama 'mrengo sawa' ambalo limepatikana kwa utashi wa Rais

Utashi wa Rais ungetakiwa utangulize utaifa mbele kwa kuweka watu wenye weledi katika mambo ya katiba na ushawishi wa kitaaluma na kimaono katika jamii. Hilo halikutokea, Rais kachagua watu ambao tunajiuliza kama kweli kulikuwa na 'professioanl vetting' au ilikuwa bora liende.

Rais kaacha manguli katika fani na jamii kwasababu tu anapinga nao kimisimamo.
Ni Rais huyo huyo anayesema kupingana kwa hoja ni muhimu hata kama watu hawaelewani.

Ukisoma majina ya wajumbe aliotoa ni dhahiri kuna tatizo, na kwamba Rais ameongozwa na chuki dhidi ya wanataaluma na wanajamii wanaopingana na misimamo yake hata kama ni hazina kubwa kwa taifa

Ni kutokana na majina hao duru tunarudia kauli yetu kuwa katiba hii inakabiliwa na tatizo kubwa sana.
Ni katiba itakayopataikana si kwa utashi wa wananchi bali utashi wa viongozi kwa kuwatumia wananchi.

Swali la kujiuliza, hivi ni nini dhamira ya JK katika suala la katiba?
Je ana dhamira ya kweli au ndio mwendelezo akikwepa majukumu siyo tu yanayomhusu bali yanayoamua mustakabali wa taifa kwa siku za usoni.

Inaendelea sehemu ya Pili


Reference tu kwa mjadala huu
���������
TAASISI ZISIZOKUWA ZA KISERIKALI- (WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (13)
1. Magdalena Rwebangira2. Kingunge Ngombale Mwiru
3. Asha D. Mtwangi4. Maria Sarungi Tsehai
5. Paul Kimiti6. Valerie N. Msoka
7. Fortunate Moses Kabeja8. Sixtus Raphael Mapunda
9. Elizabeth Maro Minde10. Happiness Samson Sengi
11. Evod Herman Mmanda12. Godfrey Simbeye
13. Mary Paul Daffa
TANZANIA ZANZIBAR (7)
1. Idrissa Kitwana Mustafa2. Siti Abbas Ali
3. Abdalla Abass Omar4. Salama Aboud Talib
5. Juma Bakari Alawi6. Salma Hamoud Said
7. Adila Hilali Vuai
TAASISI ZA KIDINI- (WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (13)
1. Tamrina Manzi2. Olive Damian Luwena
3. Shamim Khan4. Mchg. Ernest Kadiva
5. Sheikh Hamid Masoud Jongo6. Askofu Mkuu (Mstaafu) Donald Leo Mtetemela
7. Magdalena Songora8. Hamisi Ally Togwa
9. Askofu Amos J. Muhagachi10. Easter Msambazi
11. Mussa Yusuf Kundecha12. Respa Adam Miguma
13. Prof. Costa Ricky Mahalu
TANZANIA ZANZIBAR (7)
1. Sheikh Thabit Nouman Jongo2. Suzana Peter Kunambi
3. Sheikh Nassoro Mohammed Ibrahimu4. Fatma Mohammed Hassan
5. Louis Majaliwa6. Yasmin Yusufali E. H alloo
7. Thuwein Issa Thuwein
VYAMA VYOTE VYA SIASA
VYENYE USAJILI WA KUDUMU – (WAJUMBE 42)
TANZANIA BARA (28)
1. Hashim Rungwe Spunda2. Thomas Magnus Mgoli
3. Rashid Hashim Mtuta4. Shamsa Mwangunga
5. Yusuf S. Manyanga6. Christopher Mtikila
7. Bertha Ng'angompata8. Suzan Marwa
9. Dominick Abraham Lyamchai10. Mbwana Salum Kibanda
11. Peter Kuga Mziray12. Isaac Manjoba Cheyo
13. Dr. Emmanuel John Makaidi14. Prof. Ibrahim Haruna Lipumba
15. Modesta Kizito Ponera16. Prof. Abdallah Safari
17. Salumu Seleman Ally18. James Kabalo Mapalala
19. Mary Oswald Mpangala20. Mwaka Lameck Mgimwa
21. Nancy S. Mrikaria22. Nakazael Lukio Tenga
23. Fahmi Nasoro Dovutwa24. Costantine Benjamini Akitanda
25. Mary Moses Daudi26. Magdalena Likwina
27. John Dustan Lifa Chipaka28. Rashid Mohamed Ligania Rai
TANZANIA ZANZIBAR (14)
1. Ally Omar Juma2. Vuai Ali Vuai
3. Mwanaidi Othman Twahir4. Jamila Abeid Saleh
5. Mwanamrisho Juma Ahmed6. Juma Hamis Faki
7. Tatu Mabrouk Haji8. Fat –Hiya Zahran Salum
9. Hussein Juma10. Zeudi Mvano Abdullahi
11. Juma Ally Khatibu12. Haji Ambar Khamis
13. Khadija Abdallah Ahmed14. Rashid Yussuf Mchenga




���������������
TAASISI ZA ELIMU- (WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA
1. Dr. Suzan Kolimba2. Prof. Esther Daniel Mwaikambo
3. Dr. Natujwa Mvungi4. Prof. Romuald Haule
5. Dr. Domitila A.R. Bashemera6. Dr. Jasmine Bendantunguka Tiisekwa
7. Prof. Bernadeta Kilian8. Teddy Ladislaus Patrick
9. Dr. Francis Michael10. Prof. Remmy J. Assey
11. Dr. Tulia Ackson12. Dr. Ave Maria Emilius Semakafu
13. Hamza Mustafa Njozi
TANZANIA ZANZIBAR (7)
1. Makame Omar Makame2. Fatma Hamid Saleh
3. Dr. Aley Soud Nassor4. Layla Ali Salum
5. Dkt. Mwinyi Talib Haji6. Zeyana Mohamed Haji
7. Ali Ahmed Uki
WATU WENYE ULEMAVU-(WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (13)
1. Zuhura Musa Lusonge2. Frederick Msigala
3. Amon Anastaz Mpanju4. Bure Zahran
5. Edith Aron Dosha6. Vincent Venance Mzena
7. Shida Salum Mohamed8. Dr. Henry Mwizengwa Nyamubi.
9. Elias Msiba Masamaki10. Faustina Jonathan Urassa
11. Doroth Stephano Malelela12. John Josephat Ndumbaro
13. Ernest Njama Kimaya
TANZANIA ZANZIBAR (7)
1. Haidar Hashim Madeweyya2. Alli Omar Makame
3. Adil Mohammed Ali4. Mwandawa Khamis Mohammed
5. Salim Abdalla Salim6. Salma Haji Saadat
7. Mwantatu Mbarak Khamis
VYAMA VYA WAFANYAKAZI-(WAJUMBE 19)
TANZANIA BARA (13)
1. Honorata Chitanda2. Dr. Angelika Semike
3. Ezekiah Tom Oluoch4. Adelgunda Michael Mgaya
5. Dotto M. Biteko6. Mary Gaspar Makondo
7. Halfani Shabani Muhogo8. Yusufu Omari Singo
9. Joyce Mwasha10. Amina Mweta
11. Mbaraka Hussein Igangula12. Aina Shadrack Massawe
13. Lucas Charles Malunde
TANZANIA ZANZIBAR (6)
1. Khamis Mwinyi Mohamed2. Jina Hassan Silima
3. Makame Launi Makame4. Asmahany Juma Ali
5. Mwatoum Khamis Othman6. Rihi Haji Ali
VYAMA VINAVYOWAKILISHAWAFUGAJI-(WAJUMBE 10)
TANZANIA BARA (7)
1. William Tate Olenasha2. Makeresia Pawa
3. Mabagda Gesura Mwataghu4. Doreen Maro
5. Magret Nyaga6. Hamis Mnondwa
7. Ester Milimba Juma
TANZANIA ZANZIBAR (3)
1. Said Abdalla Bakari2. Mashavu Yahya
3. Zubeir Sufiani Mkanga
VYAMA VINAVYOWAKILISHAWAVUVI –(WAJUMBE 10)
TANZANIA BARA (7)
1. Hawa A. Mchafu2. Rebecca Masato
3. Thomas Juma Minyaro4. Timtoza Bagambise
5. Tedy Malulu6. Rebecca Bugingo
7. Omary S. Husseni
TANZANIA ZANZIBAR (3)
1. Waziri Rajab2. Issa Ameir Suleiman
3. Mohamed Abdallah Ahmed



������
VYAMA VYAWAKULIMA-(WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (13)
1. Agatha Harun Senyagwa2. Veronica Sophu
3. Shaban Suleman Muyombo4. Catherine Gabriel Sisuti
5. Hamisi Hassani Dambaya6. Suzy Samson Laizer
7. Dr. Maselle Zingura Maziku8. Abdallah Mashausi
9. Hadijah Milawo Kondo10. Rehema Madusa
11. Reuben R. Matango12. Happy Suma
13. Zainab Bakari Dihenga
TANZANIA ZANZIBAR (7)
1. Saleh Moh'd Saleh2. Biubwa Yahya Othman
3. Khamis Mohammed Salum4. Khadija Nassor Abdi
5. Fatma Haji Khamis6. Asha Makungu Othman
7. Asya Filfil Thani
WATU WENYE MALENGO YANAYOFANANA – (WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (14)
1. Dr. Christina Mnzava2. Paulo Christian Makonda
3. Jesca Msambatavangu4. Julius Mtatiro
5. Katherin Saruni6. Abdallah Majura Bulembo
7. Hemedi Abdallah Panzi8. Dr. Zainab Amir Gama
9. Hassan Mohamed Wakasuvi10. Paulynus Raymond Mtendah
11. Almasi Athuman Maige12. Pamela Simon Massay
13. Kajubi Diocres Mukajangwa14. Kadari Singo
TANZANIA ZANZIBAR (6)
1. Yussuf Omar Chunda2. Fatma Mussa Juma
3. Prof. Abdul Sheriff4. Amina Abdulkadir Ali
5. Shaka Hamdu Shaka6. Rehema Said Shamte
 
Je, unaweza labda kwa kifupi kutueleza jinsi wajumbe kutoka asasi mbalimbali wangeweza kuchaguliwa na wananchi?
Kama umenisoma vema nimesema kuwa kwa upande wa majina, rais alitakiwa apelekewa majina ya mwisho (final names) ambazo zinatakiwa.

Kilichofanyika ni kupelekewa mapendekezo ya majina na kuchagua.

Jambo hili linatoa nafasi ya yeye kuchagua anayemtaka pengine kumuacha aliyekuwa anatakiwa zaidi.


Kwa maneno mengine asasa zilipaswa zichague majina na rais aidhinishe kwa mujibu wa sheria na si kumpa nafasi ya kuchekecha zaidi. Hakutakiwa kucheka


Pili, nimeeleza kuwa kulikuwa na nafasi za ‘watu wenye mrengo unaofanana'

Kundi hili halitokani na sehemu yoyote ya jamii.


Ni nafasi aliyoachiwa rais achague majina kutoka kwa wanajamii ambao kwa namna moja au nyingine hawakupata nafasi lakini wana umuhimu na mchango mkubwa katika jamii.


Kwa mfano,nafasi hiyo badala ya kumuingiza kamanda wa chipukizi wa CCM ingeweza kutumiwa na nguli kama profesa Shivji, Jenerali n.k, ambao situ wana ushawishi katika jamii bali pia maono na uzoefu.


Kundi hilo pia angeweza kuwepo Mansour Himid. Licha ya kufukuzwa CCM bado ana ushawishi katika jamii na hiyo ingelikuwa nafasi ya yeye kuwa sehemu ya consensus.


Hata kama wana mitazamo taofauti rais alipaswa kutanguliza nchi na kuacha chuki binafsi kama alivyosema mwenyewe. Kilichotokea ni kuhubiri asichokifanya.

 
Nadhani ingekuwa bora zaidi kama tume ya katiba ingependekeza majina. Ingepewa nguvu zaidi iweze kusimamia majina ya wabunge 201 (au less ukiondoa vyama).

Hata hivyo, ukichukulia kuwa rais ni mwakilishi wa wananchi wote bungeni sioni tatizo la yeye kuchagua kwa niaba yetu. Alishinda uchaguzi na zaidi ya hapo ana bunge. Sioni kama wananchi wamepigwa chenga.
 
Kobello;8632054]Nadhani ingekuwa bora zaidi kama tume ya katiba ingependekeza majina. Ingepewa nguvu zaidi iweze kusimamia majina ya wabunge 201 (au less ukiondoa vyama).

Hata hivyo, ukichukulia kuwa rais ni mwakilishi wa wananchi wote bungeni sioni tatizo la yeye kuchagua kwa niaba yetu. Alishinda uchaguzi na zaidi ya hapo ana bunge. Sioni kama wananchi wamepigwa chenga
.Wananchi wamepigwa chenga kwasababu kuna eneo ambalo hawana 'say'.

Rais amechaguliwa na wananchi hiyo haimpi nguvu za kutenda kila jambo.
Ingalikuwa ni hivyo basi kusingekuwa na haja ya kutaka NGO au asasi zingine zichague wabunge. Rais angekuwa na nguvu ya kuchagua tu.

Kitendo cha kusema watu walete majina halafu yeye anayachekecha hakina uaminifu ndani yake.
Kwa mfano, katika mapendekezo ya wajumbe 10 kutoka majina 200 jina la Kobello limeongoza kwa kuwa nambari 1.Katika final list ya rais Kobello hayupo.

Hapa inapeleka ujumbe gani kwa waliochagua na Kobello.
Ni kigezo gani alichotumia rais ambacho wajumbe 200 walishindwa kukiona.

Na je kulikuwa na sababu za kupendekeza majina kama rais alikuwa na power ya kuchagua amtakaye? Hivi huoni hiyo ni loop hole ya rais kupenyeza interest zake akilindwa na sheria?

Nakubali kuwa tume ingepewa nguvu zaidi za kuchagua angalau ingeleta maana.
Tatizo ni kuwa tume yenyewe haiaminiwi.
Mfano, wajumbe wa tume si wajumbe wa bunge la katiba. Nani atafanua yaliyotokana na rasimu?

Ukiangalia matatizo yote yanatokana na short cuts ambazo rais amezifanya.
Hakufuata utaratibu kwasababu tu aliogopa hoja zingine zisiligawe taifa.
Hata hivyo hoja hizo zitarudi kwa mlango wa nyuma na kuliumiza taifa.

Mfano, ilitakiwa kwanza kura ya maoni kwa wznz kama wanataka muungano au la.
Baada ya hapo tugeweza ima kuwa na muungano na wa aina gani na kuteneza dira ya taifa au kuvunja kila mmoja kivyake.

Rais aliogopa hilo ndio maana mswada wa kwanza ulisema muungano usijadiliwe.
Matokeo ya hayo ni kuwa na mapendekezo ya serikali 3. Lakini wapo wanaotaka 2 na wengine kuvunja kabisa. Suala linabaki kama tume haikuweza kuja na muafaka unaokubaliwa, watu 600 watawezaje?

Suala la muungano litaendelea kujitokeza na pengine rais atakosa control kwasababu hakukuwa na consensus from the very begining. Sijui kama atakuwa ame solve tatizo.
 
Reference tu kwa mjadala huu
[TABLE="width: 643, align: center"]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TAASISI ZISIZOKUWA ZA KISERIKALI- (WAJUMBE 20)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA BARA (13)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Magdalena Rwebangira [/TD]
[TD]2. Kingunge Ngombale Mwiru[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Asha D. Mtwangi[/TD]
[TD]4. Maria Sarungi Tsehai[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Paul Kimiti[/TD]
[TD]6. Valerie N. Msoka[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Fortunate Moses Kabeja[/TD]
[TD]8. Sixtus Raphael Mapunda[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9. Elizabeth Maro Minde[/TD]
[TD]10. Happiness Samson Sengi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11. Evod Herman Mmanda[/TD]
[TD]12. Godfrey Simbeye[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13. Mary Paul Daffa[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA ZANZIBAR (7)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Idrissa Kitwana Mustafa[/TD]
[TD]2. Siti Abbas Ali[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Abdalla Abass Omar[/TD]
[TD]4. Salama Aboud Talib[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Juma Bakari Alawi[/TD]
[TD]6. Salma Hamoud Said[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Adila Hilali Vuai[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TAASISI ZA KIDINI- (WAJUMBE 20)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA BARA (13)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Tamrina Manzi[/TD]
[TD]2. Olive Damian Luwena[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Shamim Khan[/TD]
[TD]4. Mchg. Ernest Kadiva[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Sheikh Hamid Masoud Jongo[/TD]
[TD]6. Askofu Mkuu (Mstaafu) Donald Leo Mtetemela[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Magdalena Songora[/TD]
[TD]8. Hamisi Ally Togwa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9. Askofu Amos J. Muhagachi[/TD]
[TD]10. Easter Msambazi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11. Mussa Yusuf Kundecha[/TD]
[TD]12. Respa Adam Miguma[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13. Prof. Costa Ricky Mahalu[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA ZANZIBAR (7)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Sheikh Thabit Nouman Jongo[/TD]
[TD]2. Suzana Peter Kunambi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Sheikh Nassoro Mohammed Ibrahimu[/TD]
[TD]4. Fatma Mohammed Hassan[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Louis Majaliwa[/TD]
[TD]6. Yasmin Yusufali E. H alloo[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Thuwein Issa Thuwein[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]VYAMA VYOTE VYA SIASA
VYENYE USAJILI WA KUDUMU – (WAJUMBE 42)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA BARA (28)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Hashim Rungwe Spunda[/TD]
[TD]2. Thomas Magnus Mgoli[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Rashid Hashim Mtuta[/TD]
[TD]4. Shamsa Mwangunga[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Yusuf S. Manyanga[/TD]
[TD]6. Christopher Mtikila[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Bertha Ng'angompata[/TD]
[TD]8. Suzan Marwa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9. Dominick Abraham Lyamchai[/TD]
[TD]10. Mbwana Salum Kibanda[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11. Peter Kuga Mziray[/TD]
[TD]12. Isaac Manjoba Cheyo[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13. Dr. Emmanuel John Makaidi[/TD]
[TD]14. Prof. Ibrahim Haruna Lipumba[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]15. Modesta Kizito Ponera[/TD]
[TD]16. Prof. Abdallah Safari[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]17. Salumu Seleman Ally[/TD]
[TD]18. James Kabalo Mapalala[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]19. Mary Oswald Mpangala[/TD]
[TD]20. Mwaka Lameck Mgimwa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]21. Nancy S. Mrikaria[/TD]
[TD]22. Nakazael Lukio Tenga[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]23. Fahmi Nasoro Dovutwa[/TD]
[TD]24. Costantine Benjamini Akitanda [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]25. Mary Moses Daudi[/TD]
[TD]26. Magdalena Likwina[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]27. John Dustan Lifa Chipaka[/TD]
[TD]28. Rashid Mohamed Ligania Rai[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA ZANZIBAR (14)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Ally Omar Juma[/TD]
[TD]2. Vuai Ali Vuai[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Mwanaidi Othman Twahir[/TD]
[TD]4. Jamila Abeid Saleh[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Mwanamrisho Juma Ahmed[/TD]
[TD]6. Juma Hamis Faki[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Tatu Mabrouk Haji[/TD]
[TD]8. Fat –Hiya Zahran Salum[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9. Hussein Juma[/TD]
[TD]10. Zeudi Mvano Abdullahi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11. Juma Ally Khatibu[/TD]
[TD]12. Haji Ambar Khamis[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13. Khadija Abdallah Ahmed[/TD]
[TD]14. Rashid Yussuf Mchenga[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




[TABLE="width: 643, align: center"]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TAASISI ZA ELIMU- (WAJUMBE 20)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA BARA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Dr. Suzan Kolimba[/TD]
[TD]2. Prof. Esther Daniel Mwaikambo[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Dr. Natujwa Mvungi[/TD]
[TD]4. Prof. Romuald Haule[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Dr. Domitila A.R. Bashemera[/TD]
[TD]6. Dr. Jasmine Bendantunguka Tiisekwa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Prof. Bernadeta Kilian[/TD]
[TD]8. Teddy Ladislaus Patrick[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9. Dr. Francis Michael[/TD]
[TD]10. Prof. Remmy J. Assey[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11. Dr. Tulia Ackson[/TD]
[TD]12. Dr. Ave Maria Emilius Semakafu[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13. Hamza Mustafa Njozi[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA ZANZIBAR (7)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Makame Omar Makame[/TD]
[TD]2. Fatma Hamid Saleh[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Dr. Aley Soud Nassor[/TD]
[TD]4. Layla Ali Salum[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Dkt. Mwinyi Talib Haji[/TD]
[TD]6. Zeyana Mohamed Haji[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Ali Ahmed Uki[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]WATU WENYE ULEMAVU-(WAJUMBE 20)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA BARA (13)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Zuhura Musa Lusonge[/TD]
[TD]2. Frederick Msigala[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Amon Anastaz Mpanju[/TD]
[TD]4. Bure Zahran[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Edith Aron Dosha[/TD]
[TD]6. Vincent Venance Mzena[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Shida Salum Mohamed[/TD]
[TD]8. Dr. Henry Mwizengwa Nyamubi.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9. Elias Msiba Masamaki[/TD]
[TD]10. Faustina Jonathan Urassa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11. Doroth Stephano Malelela[/TD]
[TD]12. John Josephat Ndumbaro[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13. Ernest Njama Kimaya[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA ZANZIBAR (7)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Haidar Hashim Madeweyya[/TD]
[TD]2. Alli Omar Makame[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Adil Mohammed Ali[/TD]
[TD]4. Mwandawa Khamis Mohammed[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Salim Abdalla Salim[/TD]
[TD]6. Salma Haji Saadat[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Mwantatu Mbarak Khamis[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]VYAMA VYA WAFANYAKAZI-(WAJUMBE 19)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA BARA (13)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Honorata Chitanda[/TD]
[TD]2. Dr. Angelika Semike[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Ezekiah Tom Oluoch[/TD]
[TD]4. Adelgunda Michael Mgaya[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Dotto M. Biteko[/TD]
[TD]6. Mary Gaspar Makondo[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Halfani Shabani Muhogo[/TD]
[TD]8. Yusufu Omari Singo[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9. Joyce Mwasha[/TD]
[TD]10. Amina Mweta[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11. Mbaraka Hussein Igangula[/TD]
[TD]12. Aina Shadrack Massawe[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13. Lucas Charles Malunde[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA ZANZIBAR (6)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Khamis Mwinyi Mohamed[/TD]
[TD]2. Jina Hassan Silima[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Makame Launi Makame[/TD]
[TD]4. Asmahany Juma Ali[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Mwatoum Khamis Othman[/TD]
[TD]6. Rihi Haji Ali[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]VYAMA VINAVYOWAKILISHAWAFUGAJI-(WAJUMBE 10)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA BARA (7)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. William Tate Olenasha[/TD]
[TD]2. Makeresia Pawa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Mabagda Gesura Mwataghu[/TD]
[TD]4. Doreen Maro[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Magret Nyaga[/TD]
[TD]6. Hamis Mnondwa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Ester Milimba Juma[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA ZANZIBAR (3)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Said Abdalla Bakari[/TD]
[TD]2. Mashavu Yahya[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Zubeir Sufiani Mkanga[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]VYAMA VINAVYOWAKILISHAWAVUVI –(WAJUMBE 10)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA BARA (7)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Hawa A. Mchafu[/TD]
[TD]2. Rebecca Masato[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Thomas Juma Minyaro[/TD]
[TD]4. Timtoza Bagambise[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Tedy Malulu[/TD]
[TD]6. Rebecca Bugingo[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Omary S. Husseni[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA ZANZIBAR (3)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Waziri Rajab[/TD]
[TD]2. Issa Ameir Suleiman[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Mohamed Abdallah Ahmed[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]



[TABLE="width: 643, align: center"]
[TR]
[TD="colspan: 2"]VYAMA VYAWAKULIMA-(WAJUMBE 20)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA BARA (13)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Agatha Harun Senyagwa[/TD]
[TD]2. Veronica Sophu[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Shaban Suleman Muyombo[/TD]
[TD]4. Catherine Gabriel Sisuti[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Hamisi Hassani Dambaya[/TD]
[TD]6. Suzy Samson Laizer[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Dr. Maselle Zingura Maziku[/TD]
[TD]8. Abdallah Mashausi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9. Hadijah Milawo Kondo[/TD]
[TD]10. Rehema Madusa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11. Reuben R. Matango[/TD]
[TD]12. Happy Suma[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13. Zainab Bakari Dihenga[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA ZANZIBAR (7)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Saleh Moh'd Saleh[/TD]
[TD]2. Biubwa Yahya Othman[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Khamis Mohammed Salum[/TD]
[TD]4. Khadija Nassor Abdi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Fatma Haji Khamis[/TD]
[TD]6. Asha Makungu Othman[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Asya Filfil Thani[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]WATU WENYE MALENGO YANAYOFANANA – (WAJUMBE 20)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA BARA (14)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Dr. Christina Mnzava[/TD]
[TD]2. Paulo Christian Makonda[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Jesca Msambatavangu[/TD]
[TD]4. Julius Mtatiro[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Katherin Saruni[/TD]
[TD]6. Abdallah Majura Bulembo[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7. Hemedi Abdallah Panzi[/TD]
[TD]8. Dr. Zainab Amir Gama[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9. Hassan Mohamed Wakasuvi[/TD]
[TD]10. Paulynus Raymond Mtendah[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11. Almasi Athuman Maige[/TD]
[TD]12. Pamela Simon Massay[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13. Kajubi Diocres Mukajangwa[/TD]
[TD]14. Kadari Singo[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]TANZANIA ZANZIBAR (6)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Yussuf Omar Chunda[/TD]
[TD]2. Fatma Mussa Juma[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Prof. Abdul Sheriff[/TD]
[TD]4. Amina Abdulkadir Ali[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5. Shaka Hamdu Shaka[/TD]
[TD]6. Rehema Said Shamte[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Sehemu ya II

Ukisoma orodha iliyoletwa, muhtasari wake umetambulisha kama 'Tanzania bara na Tanzania Zanzibar'
Kilichofanywa ni kutanguliza Utanzania kwanza ili kuwaleta pamoja wabunge wa bunge la katiba.
Mkakati huo ni dhaifu, badala ya kuunganisha wajumbe utazidi kuwatenga.


Panapokuwepo na Tanzania bara lazima iwepo Tanzania visiwani.
Uwepo wa Tanzania Zanzibar unaonyesha utaifa wa wazanzibar.
Swali litakalofuata Tanzania Tanganyika ipo wapi?

Tayari kuna sensitization ya serikali ya Tanganyika,mambo kama haya yanazidi kujenga ufa kuliko ukaribu uliokusudiwa. JK aelewe kuwa hili ni tatizo alilolitengeneza na wala halitaisha kwa maneno matamu na ya kilaghai. Tanzania Zanzibar ipo, na Tanganyika inatakiwa iwepo.

Tumesema kura ya maoni ilikuwa ni muhimu kabla ya mchakato. Ukiangalia video bandiko la kwanza Rais aanajaribu kufanya suala la muungano kama kitu kidogo sana. Ukweli ni kuwa suala litatawala zaidi ya asilimia 80 ya majadiliano kwa kuzingatia kuwa mipango na sheria nyingine zitategemea muundo wa muungano.

Kutokufanya kura ya maoni ni kosa kwasababu kutakuwa hakuna consensus ya pamoja.
Miongoni mwa wajumbe wapo wanaotaka serikali 2, serikali 3, mkataba, na hata serikali 1.
Wote watakuwa na agenda zao binafsi na mioyoni.

Tatizo litaanza wazanzibar watakapojitambulisha kwa uzanzibar.
Hoja itakuwa, je wasio wazanzibar ni watu wa wapi?
Ukisema ni Watanzania utakuwa umeipa Zanzibar hadhi mbili, ya znz na JMT.
Hadhi ya Mtanganyika itakuwaje.


Wajumbe wa bunge la katiba waelewe wanawakilisha maeneo wanayotaoka na si Tanzania.
Nasema hivyo kwa kuzingatia kuwa ipo Tanzania Zanzibar na hakuna Tanzania Tanganyika.

Utakuwa ni ujinga wa hali ya juu kwa wabunge wa Tanganyika kusimama na kutetea Tanzania. Wanachotakiwa ni kutetea Tanganyika kwanza kama wznz wakavyotetea zanzibar.
Hakuna sababu ya Mtanganyika kujitoa zaidi kwa JMT. Tanganyika ambayo haipo haina mtetezi

Hapa ndipo kosa la kura ya maoni linapozidi kuwa wazi.
Kuitwa Tanzania Zanzibar kunatokana na wajumbe wa SMZ.


Tanzania bara ni ipi na inawakilishwa na nani? Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar hivyo wabunge kutoka bunge la JMT literally ni wabunge wa Tanganyika ukiacha wa znz ambao uwepo wao ni wa kisiasa tu.

Hoja ni kuwa kujaribu kuunganisha watu kwa 'gundi' na maneno hakutatoa jawabu na wala kulifanya suala la muungano kuwa dogo kama Kikwete anavyojaribu si njia sahihi.
Utaifa utaibuka tu na hapo ndipo make or break ya muungano itakapotokea.
Hilo litatokea katika siku 30 za mwanzo.

Kitu ambacho Kikwete anashauriwa vibaya kama inavyosemwa au ni vipi.
Huwezi kujadili furniture na set up ya laundry na kitchen kama huna ramani ya nyumba.
Utajadili vipi vifungu vya katiba bila kuanza na suala la muungano?

Kulipaswa kutenganishwa mambo mawili. Uandikaji na kura ya maoni.
KwA kutenga mambo hayo tungekuwa na consensus ya muundo wa nchi na pili wajumbe wangekwenda Dodoma wakiwa na msimamo wa Utaifa. Kwasasa kila mmoja ana wake achilia mbali vyama vya siasa.


Pamoja na hayo kuna mchezo umechezwa katika kundi la wajumbe 20 kutoka 'watu wenye malengo' yanayofanana. Kwanza neno malengo yanayofanana limetumika kuubabaisha umma kwasababu haieleweki Mtatiro na Zainabu Gama wana malengo gani yanayofanana.

Ukichunguza kwa umakini wajumbe hao ni sehemu kubwa ya CCM. Huo ndio mchezo mchafu uliochezwa kwa kumpa rais nafasi ya kuchagua na kupanga makundi.
Watu wa malengo yanayofanana ni watu wa Rais ambao hatujui kigezo cha kufanana ni kipi.

Inaendelea sehemu ya III
 
Mkuu Nguruvi3,

Kwanza nakupongeza kwa kulisemea hili ila I'm very sorry kukuambia now its too late!, nairudia ile kauli yang ya nyuma ambayo ni compromising, kuwa "If you can't get what you want, just take what you get!". Watanzania walihitaji "katiba bora!", katiba itakayopatikana katika mchakato huh ni "bora katiba!", something is better than nothing!, bora tuipokee tuu hiyo bora katiba, tuendelee kuwafungua macho Watanzania ambao wamekuwa "all fooled for the past 50 years" in a hope that " You can fool some people for sometimes, but you can't fool all the people all the time" hivyo mud a wa kutokukubali kuwa fooled yet again ukiwadia, Tanzania itakuwa chini ya serikali nyingine itakayotupatia "katiba bora, katiba ya wananchi!".

Kuna katabia ka mwanafunzi kumkubali mwalimu wake, Mimi ni mwanafunzi wa Shiviji, sijui ni kumkubali kwangu tuu kwa mahaba, au laa, bali huyu ndie alikuwa mwalimu wangu wa somo la "constitutional law" na somo la kwanza ni "What is the Constitution" likifuatiwa na "The Constitutional Making Process" akatufundisha kitu kinaitwa "The Constitutionalism of the constitution" na hapa ndipo alipoichambua ile katiba yetu ya mwaka 1977 kama karanga, kulikoniaminisha mimi kuwa "Prof. Issa Shivji, is the best constitutional lawyer, Tanzania had ever had!" la kile kwenye masuala yanayohusu "constitution" anakuwa anaepukwa kutokana na misimamo yake mikali isiyoyumba!.

Baada ya kuanza kwa mchakato, nikamtafuta huyu mwalimu wangu, nikafanya nae series za TV programs kuhusu huu mchakato, nikatafuta sponsor, nikapata, airtime ya ITV ilikuwa ghali mno, hivyo tukalipia TBC, vipindi vilikuwa vianze from the day go!, Prof. Shivji bila kumung'unya maneno, alisema wazi, "You Can Never Get What You Want, if You Don't Know What You Want!", akasema Watanzania hatuwezi kuwa na katiba nzuri bila kwanza kukaa chini na kutengeneza "dira ya Taifa" ndio "what we want" tukiisha pata dira kwa tunataka nini, ndipo sasa tunakaa chini kutengeneza katiba ya kutimiza hicho tunachotaka!", professa wangu huyu, alifikia kuuliza "Tunaharakia nini?!. TBC walinipa shurti la kulipia mwanzo "upfront payments" tukalipa, vipindi kufika, wakanigomea kuvirusha, eti kwa kisingizio "Prof. Shivji, amemkashifu rais JK kwa kupingana nae kuhusu mchakato huu, ikafanyika censorship ya hali ya juu, vipindi vya mwanzo vikarushwa, vilivyofuata vyote vilikataliwa!. Maneno aliyoyasema Shivji, niliyaleta humu JF kwenye hii thread Prof. Shivji Aukosoa Mchakato wa Katiba Mpya!- Aliponda Bunge la Katiba!. Watch ITV/TBC-1!.

Nikianzia kwenye process nzima ya uundwaji wa ile sheria ya tume ya kukusanya maoni, kuna makosa yalifanyika, nikapandisha uzi huu humu tukabishana sana humu, mimi nikiwalaumu Chadema kama chama kikuu cha upinzani ndicho kimefanya makosa, niliwaeleza kosa lao Chadema na wakapata watetezi kibao humu akiwemo Mkuu Mwanakijiji, kuwa they did no wrong!. Nilizibeza zile juice za ikulu, nikaishia kuitwa "gamba!" Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!

Hapa sasa tulipofikia, we've lost the game, and there is no turning back!, kuendelea kulaumu na kulalamika hakusaidii kitu!, lets make the best of the situation, Watanzania waamshwe, wasikubali kuendelea kudanganywa, ila pia muhimu kuliko vote, hugo mbadala wa mdanganyifu awepo!.

Pasco
 
Sehemu ya III

Wajumbe wa kundi la 'malengo yanayofanana ni 20' wengi hawasikiki wala hawajulikani michango wao katika mambo mbali mbali ya kitaifa. Lakini pia wapo watu ambao kwa kuangalia tu ni kama wamepewa fadhila za pesa za bunge. Mzee Kingunge zama zake zimepita sijui tutaraji nini kwake

Kwa miaka 50 Kingunge hakuweza kufanya lolote kwa katiba iliyopo, it is unlikely kama ana mchango wa maana.

Abdallah Majura Bulembo ni mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi ya CCM.
CCM inawakilishwa katika bunge na wajumbe wengi kutoka makundi mbali mbali.
Uwepo wa Majura hauelezeki tukizingatia hoja zake kuhusu rasimu ambazo kwanza hazina mashiko na pili hazikujenga utaifa anaousema Kikwete.

Mjumbe mwingine wa kundi la Malengo fanana ni Paul Makonda.
Huyu ni mwenyekiti wa chipukizi wa CCM wa taifa.Ni kijana mdogo ambaye sina uhakika kama ana ufahamu wa kuweza kuchangia jambo katika mada nzito kama ya katiba.

Yupo Julius Mtatiro wa CUF ambayo nayo kama CCM ina washiriki wengi ikiwa ni ya pili.
Mtatiro ndiye aliyeongoza maandamano ya kufikisha rasimu ya katiba mara baada ya tangazo la kuandika katiba kutolewa.

Aliongoza maandamano kutoka buguruni hadi wizara ya mambo ya ndani.
Kitendo hicho peke yake kilikuwa ni ushahidi kuwa Mtatiro hajui taratibu za uandikaji wa katiba na wala hana ufahamu katika suala hilo.

Katika kundi hilo wajumbe wengine waliobaki hawajulikani kitaaluma wala kisiasa na hata kijamii. Ni kwamba wapo kwa matakwa ya Kikwete na wala si hitaji la katiba.

Ukiangalia kundi hili utaweza kujiuliza sababu za akina Bushir Ally, Shivji, Jenerali, Mbwambo, Mihangwa na wengi wenye weledi ambao wameachwa nje ya mchakato huu unaohitaji weledi, maarifa na elimu.

Sielewi ni kwanini labda kuna anayeweza kutueleza na kutuonyesha umuhimu wa wajumbe wa kundi hilo kwa mtazamo tofauti.

Rais Kikwete ametumia nafasi hiyo kwa watu wake na kutuacha na maswali, kwanini wajumbe wa tume ya Warioba wamekosa nafasi ya kushiriki kufafanua kile walichojadiliana kwa mwaka mzima.

Rais anasisitiza utaifa zaidi ya uchama. Kinachoshughulisha akili zetu ni pale anapoacha uchama utawale kwa chama chake na kukemea uchama wa vyama vingine.
Kwa mfano, wabunge wa CCM ndio walikataa tume ya Warioba isishiriki katika bunge la katiba.

Sababu kubwa ilikuwa ni kuzuia wajumbe hao kutoa ufafanuzi ili wajumbe wa CCM waliopangwa wavuruge hoja za tume ya Warioba kwa manufaa yao bila kutanguliza utaifa.

Tunajiuliza ni utaifa upi JK anaoongelea ili hali alipelekewa mswada ukajadiliwa na wabunge wasiozidi 100 wa CCM na kisha kutia sahihi. Hapo utaifa upi Rais aliutanguliza zaidi ya uchama.

Rais anaposema katiba ikishindikana iliyopo itaendelea kutumika anatoa mwanya wa uharibifu wa fedha. Rais hakuchaguliwa kushindwa au kushinda. Amechaguliwa kuongoza na ni vema akawa mbele badala ya kujivua wajibu.

Katika mchakato wa katiba ukweli na haki lazima viongoze na sijui kama rais ana credibility hiyo kwa sasa.Sijui.

Ukitazama sura za bunge la JMT na majina yaiyotolewa hakuna shaka kuwa lipo tatizo linakuja mbeleni.

Kwa matatizo yatakayotokea ambayo ima yatashindwa kupatiwa ufumbuzi au kupatikana kwa katiba hovyo isiyotokana na wananchi, kuna pande kuu nne za kubeba lawama

1. Rais ambaye hukuangalia taratibu kwa makusudi ili kulinda kisicholindika kwa sasa.
Alishindwa kusoma alama za nyakati na ambaye amekuwa na double standards katika mchakato

2. Tume ya Warioba iliyokubali kubeba mzigo ikijua fika mbele ya safari kuna matatizo. Pesa mbele!

3. Wapinzani, ambao walikubali kubeba dhamana ya katiba kutoka kwa wananchi na kuishia kunywa juisi

4. Watanzania, ambao wameshindwa kusimamia haki zao, wepesi wa kusahau na wazuri sana wa kudanganyika.

Inaendelea....
 
Kwanza nakupongeza kwa kulisemea hili ila I'm very sorry kukuambia now its too late!, nairudia ile kauli yang ya nyuma ambayo ni compromising, kuwa "If you can't get what you want, just take what you get!". Watanzania walihitaji "katiba bora!", katiba itakayopatikana katika mchakato huh ni "bora katiba!", something is better than nothing!, bora tuipokee tuu hiyo bora katiba, tuendelee kuwafungua macho Watanzania ambao wamekuwa "all fooled for the past 50 years" in a hope that " You can fool some people for sometimes, but you can't fool all the people all the time" hivyo mud a wa kutokukubali kuwa fooled yet again ukiwadia, Tanzania itakuwa chini ya serikali nyingine itakayotupatia "katiba bora, katiba ya wananchi!".

Kuna katabia ka mwanafunzi kumkubali mwalimu wake, Mimi ni mwanafunzi wa Shiviji, sijui ni kumkubali kwangu tuu kwa mahaba, au laa, bali huyu ndie alikuwa mwalimu wangu wa somo la "constitutional law" na somo la kwanza ni "What is the Constitution" likifuatiwa na "The Constitutional Making Process" akatufundisha kitu kinaitwa "The Constitutionalism of the constitution" na hapa ndipo alipoichambua ile katiba yetu ya mwaka 1977 kama karanga, kulikoniaminisha mimi kuwa "Prof. Issa Shivji, is the best constitutional lawyer, Tanzania had ever had!" la kile kwenye masuala yanayohusu "constitution" anakuwa anaepukwa kutokana na misimamo yake mikali isiyoyumba!.
Mkuu Pascal Mayalla, haya tuayoandika ni mwendelezo wa kusisitiza kuwa kuna tatizo. Tulisema hili kuanzia siku ya kwanza ya kutolewa tangazo.

Tulihoji iweje wazo na mchakato uanzie kwa rais ambaye ni serikali ile ile iliyokataa katiba mpya kwa miaka 50.Tukaeleza utaratibu ambao si lazima uwe sahihi lakini bora kuliko short cut

Wapinzania ni wa kulaumiwa sana. Tuliwaambia haiwezekani mchakato wa katiba unaopingwa na CCM uwe msafi kwa mwenyekiti wa CCM.
Lini fisi alimuonea huruma mbuzi kuliwa na simba?
Tuliwaonya kuhusu vikao vya Juisi na unakumbuka vema suala hilo.

Leo si kwamba tunalalamika, tunaonyesha kuwa katiba itakayopatikana haitakidhi haja ya katiba kwasababu usimamizi wake umegubikwa na ulaghai, hakuna uongozi na kama upo ni dhaifu na hulka ya Watanzani kuvutika na matukio badala ya kushughulisha akili zao.

Kuhusu Shivji sielewi kwanini hayupo katika mchakao huu muhimu sana.
Na hapo dipo nauliza ule utaifa anaousema Kikwete upo wapi?

Wakati anashawishi wajumbe kukubaliana na kupingana kwa hoja bila kujali mitimanyongo yeye ameweka mitimanyongo kwa watu muhimu sana katika kulisaidia taifa hili.

Kwa taarifa tu ni kuwa katika wajumbe 12 walioandika katiba ya CCM iliyotokana na TANU na ASP pale Motel Agip, mmoja wao ni mzee Nicodemus Banduka.
Kuandika katiba ya CCM ikihusisha pande mbili halikuwa jambo dogo.
Nilitegemea angalau mzee kama huyu aingie katika kundi la 'malengo fanana'.

Kwavile kulikuwa na bifu la uchaguzi huko nyuma, mzee kaachwa kwa chuki tu.
Leo tunaambiwa utaifa mbele. Utaifa gani unaohubiriwa bila kutekelezwa?

Kuhusu 'bora katiba' kwa hali ilivyo uwezekana wa kutopata katiba ni mkubwa.
Kwanza kuna suala la uchama ambalo JK anajaribu kulifanya kama halipo.
Pili, kuna suala la Tanganyika na Zanzibar ambalo JK anajaribu lulifanya dogo.

Kwa bahati mbaya mambo hayo yatakapoibuka JK hana uwezo wa kuyazuia.
Ni mambo yanayohitaji ukweli na uongozi na wala si janja janja.
Dunia imebadilika na watu wamebadilika. Tutaona mbele ya safari.
 
Sehemu ya IV

Bunge la JMT lina 2/3 CCM na BLW Zanzibar lina 1/2 CCM. Majina yaliyoletwa mengi ni ya CCM hata kama siyo dhahiri. Kwa mfano, wajumbe wa 'malengo yanayofanana' zaidi ya 2/3 ni CCM.
Hili limefanyika makusudi ili kuongeza idadi ya wana CCM wa bunge katiba

Wabunge wa CCM wa JMT watafungwa na ukweli kuwa uteuzi wao kwa bunge lijalo unategemea utiifu wao. Wabunge wa bunge la katiba ambao ni CCM watataka kuonyesha utiifu ili kufagia njia kwa uchaguzi wa 2015.

Tatizo linaloikbili CCM ni kutoka kwa wajumbe wa Zanzibar ambao wengi hawakubaliani na mfumo uliopo sasa hivi bila kujali mahusiano ya kichama.

Rasimu ya Warioba ya serikali 3 imewachanganya wazanzibar kwasababu wamepata serikali 3, tatizo ni kupungua kwa mambo yaliyokuwa yanawasadia wao kutoka 22 hadi 7.
Hoja ya CCM ZNZ haielezeki ingawa tunafahamu ni kulinda mapinduzi wanayoona yanatekwa nyara na kundi moja kwa mgongo wa madaraka kamili.

Hilo ukichanganya na tamaa ya madaraka kwa walioonja litabadili mweleko in favour of CCM.
Hadi sasa uwezekano wa CCM kupata 2/3 unazidi kuongezeka.

Wasi wasi wa CCM ndani ya bunge la JMT ulikuwa kupata 2/3.
Mkakati wa kuzuia wajumbe wa tume ya Warioba kuingia bunge la katiba ulilenga kwenda kuvunja nguvu za hoja za serikali 3.Mkakati huo unaongozwa na mgombea Urais mmoja anayetumia wanasheria wa serikali wa zamani.

Na ili kumaliza nguvu za hoja ya tume ya Warioba, kundi hilo limekuja na makakati wa kuandika mbadala wa katiba na tunaweza kusema 'rebuttal' ya rasimu ya Warioba.


Soma hapa: Raia Mwema: Katiba mpya mbadala yaandikwa mafichoni

Kundi la pili ni lile la madaraka linaloongozwa na katibu mwenezi.
Hili linahisi uwepo wa Tanganyika pekee hautaihakikishia CCM ushindi.

Kundi hili linaona upinzani ni mkubwa Tanganyika kuliko visiwani.
Upinzani wa znz ni wa CUF tu unaogawa kura huku ukiacha Tanganyika wazi kwa CCM.
Kwa upepo wa sasa wa upinzani Tanganyika, CCM inahisi haina usalama na njia rahisi ni serikali 2.

Kwavile makundi hayo mawili yanalengo la serikali 2, hilo litawaunganisha bila kujali tofauti zao.
Nguvu zaidi inatokana na kuungwa na Rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM kwa njia za siri.

Akiwa Mbeya katika maadhimisho ya miaka 37 ya CCM, rais alisema msimamo wa CCM ni serikali 2 na mwenye hoja za kupinga hilo apinge kwa hoja.

Hoja kubwa ya serikali 2 ni ongezeko la gharama. Tafiti zote zikiwemo za TRA zimeonyesha wazi kupungua gharama. l

Hoja hiyo itakapokutana na wasomi wanodadavua namba wakiwa na data za ndani ya serikali itaonekana ni muflisi.Hoja ilifanya kazi mitaani ni unlikely ikikutana itafanikiwa.

Ni ngumu kuchora mstari (draw the line) wapi Kikwete ni mwenyekiti na wapi ni rais.
Akiwa katika chama anawapendeza CCM, akiwa na makundi mengine anajaribu kuyapendeza.

Huu ni ushahidi mwingine wa udhaifu wa uongozi na kutoaminika kwa JK ambako wapinzani walishindwa kuusoma tangu awali. Rais hawezi kuwa na misimamo tofauti katika wakati mmoja.

Rais anajua kuna kundi linaandika katiba nje ya tume ya Warioba na wala haonekani kuchukua hatua zozote.Maana yake amebariki kundi hilo liendelee na kazi yake kama alivyobariki tume ya Warioba kuachwa nje ya bunge la katiba.

Rais aliunda tume na kuipa hadidu za rejea na moja ikiwa kulinda muungano.
Alitumia nguvu na uwezo wake kisheria kushinikiza jambo hilo.

Mara zote amekabidhiwa ripoti na tume ya Warioba. Rais anafahamu wazi kuwa watu wanaoweza kutetea rasimu ni tume peke yake. Kwasababu ya udhaifu katika uongozi suala hilo likatekwa na wabunge wa CCM tena rais akiridhia wabunge 100 wapitishe mswaada.

Hadi hapa tunaona CCM ya makundi ikiwa na upper hand katika katiba.
Wapinzani na wale wanaotaka mabadiliko ya mfumo wana nafasi ndogo na muhimu sana kama wanataka kufanikiwa

inaendelea.....
 
Sehemu ya IV

Wapinzani na wale waisokubaliana na mfumo wa sasa kwa idadi yao ni ngumu kupata 2/3 ya kuunga au kukataa mapendekezo. Nafasi waliyo nayo ni katika yafuatayo
1. Waungane kwa pamoja na liswepo kundi litakalounga mkono 'katiba ya mafichoni ya CCM'
2. Wasikubali majadiliano na serikali nje ya ukumbi wa bunge kuepuka kulaghaiwa tena
3. Watumie makundi machache yaliyobaki kuwavuta kwa hoja
4. Watumie ushawishi wa baadhi ya wanaCCM wanaoona lipo tatizo linalohitaji utaifa
5. Kuhakikisha maamuzi yanakuwa kwa kura za siri

Ufafanuzi;
-Kupoteza mpinzani hata mmoja ni pigo kwao kwasababu idadi yao inahitaji zaidi na si kupoteza

-Penye ugumu na rais atawaita kwa ahadi kama za siku za nyuma, wakiondoka mambo yanafanyika kinyume. Walikubaliana kutosainiwa mkataba, walipoondoka rais akasaini tena baada ya kusitisha maandamano. Hakuna ushahidi makubaliano na serikali yamewahi kufanyiwa kazi.
Kukubaliana na JK halafu kwenda kupingana na Lukuvi au Wasira ni kuamini kuwa JK na mawaziri wake ni vitu tofauti. Wakati huu lazima majadiliano yawe ya wazi na si juu ya glasi za juisi za maembe.

-Katika makundi yaliyopendekezwa yapo machache yanayoweza kuungana nao.
Wapinzani watumie fursa hiyo kuyavuta kwa hoja.
Mfano, waeleze ni kwanini serikali 3 zitapunguza gharama kwa takwimu.

Wahoji, ni kipi ambacho CCM haijakifanya kwa miaka 50 ambacho inataraji kufanya kuondoa kero.
Waoyeshe ni jinsi gani muungano ulivyotegemezi na matarajio ya siku za usoni
Na waonyeshe kwa namba na takwimu faida za serikali 3 ukilinganisha na 2.


-Ndani ya CCM si wote wanounga mkono serikali 2. Wapo wazee wenye ushawshi na uzoefu wanaoelewa matatizo ya muungano na kwamba imeshindikana hadi mbadala upatikane.
Mfano, viongozi hao wameachwa makusudi ili kutotibua dili linalopangwa nyuma ya pazia na rais na CCM.

Tunafahamu msimamo wa Warioba kupitia tume ni serikali 3.
Msimamo wa Malecela kupitia G55 ni serikali 3
Msimamo wa Msuya ni serikali 2 na msimamo wa Sumaye ni serikali 3.
Msimamo wa EL ni serikali 2 kupitia 'katiba ya mafichoni'

Viongozi hawa wana ushawishi wa makundi na viongozi wenzao kupitia uzoefu wao.
Japo wapo nje ya bunge (Kwasababu tu ya JK kutoona umuhimu wa utaifa) wapinzani wanaweza kuungwa mkono kupitia hao. Si rahisi lakini inaweza kusaidia kukabiliana na wingU zito la 'katiba ya CCM'

-CCM wanajipanga kumpata Spika atakayeendesha mambo kwa utaratibu 'wao'.
Katika kuhakikisha kila mmoja anakuwa na uhuru wa kuamua anachokiona ni sahihi bila kufungwa na minyororo ya chama maamuzi yawe kwa njia ya kura na si 'ndiyo' au hapana.
Kinyume chake mazingaombwe tunayoyaona bunge la JMT yataendelea.

Lakini pia kuwepo na utaratibu wa kuzungumza utakaotoa nafasi kwa pande muhimu za mjadiliano vinginevyo kutakuwa na kuchaguana kwa mpangilio ili kukidhi haja iliyokusudiwa ambayo sasa tunaiona ikiwa na mkono wa mwenyekiti wa CCM.

Kuna mwenzetu kaniuliza na bila shaka hataki kutambulika au kutambulishwa.
Swali ni, kwanini mjadala unahusu sana muungano? Je, katiba ni muungano tu bila mambo mengine?

Jibu ni kuwa makosa aliyofanya JK ya kuandika katiba bila kupata ridhaa na dira ya taifa ndiyo yanayotufikisha hapa. Ukifungua rasimu kuanzia kifungu cha kwanza hadi cha miwsho hutaweza kuvijadili hadi utakapokuwa na uhakika unajadili nini.

Kwa mfano, kifungu cha kwanza kabisa kinasema katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Swali linakuja, kuna ushahidi gani kuwa wananchi waliulizwa na kukubali muungano hadi neno hilo litumike.

Bunge la katiba litafanya makosa ya JK kama wakianza kujadili vifungu vya katiba kwanza.
Utajadili vipi vifungu bila kujua structure ya serikali unayokusudia?
Kuna kifungu gani ambacho hakigusi serikali. Na je, serikali inayoguswa ni ipi.
 
duh!
mkuu @Nguruvi3 kwa mtizamo wako chini ya serikali hii na chini ya Bunge hili la katiba na masurufu hayo watakayolipwa kwa siku kuna dalili yakupata katiba ya matumaini kweli ?
nakumbuka mfano mmoja kijijini kulikuwa na njaa wamama wanachemsha mawe ili kuwapa watoto matumaini ya chakula kuwa kipo jikoni..
kwakweli nimekata tama na katiba mpya.
 
duh!
mkuu @Nguruvi3 kwa mtizamo wako chini ya serikali hii na chini ya Bunge hili la katiba na masurufu hayo watakayolipwa kwa siku kuna dalili yakupata katiba ya matumaini kweli ?
nakumbuka mfano mmoja kijijini kulikuwa na njaa wamama wanachemsha mawe ili kuwapa watoto matumaini ya chakula kuwa kipo jikoni..
kwakweli nimekata tama na katiba mpya.
@Zumbemkuu , hata kabla ya masufuru tulisema wazi kuwa mchakato uliopo hauwezi kuipatia nchi katiba inayokidhi haja na inayotokana na wananchi.
Mchakato mzima umesimamiwa na serikali na chama kile kile kilichokataa miaka 50, leo wema wameupata wapi wa kusimamia wasichokiamini.

Ukisoma vema tumeeleza matatizo kona zote, wapinzani, wananchi n.k.
Kinachoendelea ni kuonyesha mbinu chafu zinazotumika kuhalalisha mchakato amabo si halali kwa kuanzia.

Mfano, rais alisaini mswada uliopitishwa na wabunge 100 kati ya 320 kwa maana kuwa ni less than 2/3 na ni wabunge wa bunge lake.

Hatukukaa na kujadili kama tunahitaji katiba, kwasababu gani na nini dira ya taifa.
Hatukujadili mustakabali wa muungano ambao ni sehemu muhimu sana ya katiba.

Na sasa rais akaomba apelekewe majina ili achambue nani awemo nani asiwemo hata kama waliopeleka majina hayo walishaamua nani awawakilishe.

Tumeonyesha jinsi alivyotumia nafasi za 'malengo yanayofanana' kisiasa zaidi ya kitaaluma na jinsi anavyohubiri utaifa wakati ameshindwa kuwashirikisha manguli wanaoweza kutusaidia kuweka mustakabali wa taifa sawa kwasababu tu wanahitilafiana kwa maoni na maono.

So the whole process is flawed
 
Bado kizungumkuti cha bunge la katiba kinaendelea.
Makamu wa rais mh Gharib Bilal amesema maamuzi lazima yawe kwa njia ya kura.

Ni njia ambayo wali iandaa kwa kutumia bunge na BLW kwa wingi wa CCM


Na sasa wamepata ongezeko zaidi la wabunge kwa kuzingatia kuwa idadi ya wajumbe 201 walioteuliwa na rais ni kwa vigezo vyake. Wengine hawajulikana wanawakilisha kundi gani na kwasababu zipi ili mradi tu rais kateua.


Kauli ya makamu wa rais aliyemwakilisha rais inaonyesha picha kubwa.

Ni wazi Rais alichelea kwenda kwenye mkuatano huo akijua fika kuwa siku si zaidi ya 10 alikutana na wadau hao wa vyama vya upinzani na kuwaeleza kuhusu maridhiano.


Ingekuwa ni kituko Rais huyo huyo kwenda kusisitiza suala la kura chini ya wiki moja baada ya kutaka maridhiano. Akamtuma makamu wake!!

Huyiu ndiye rais anayesimama mchakato wa kupata katiba iliyotokana na wananchi.!!!


Katika hotuba ya makamu, amesisitiza Warioba hakutumwa kutoa hoja za serikali 3. Makamu wa rais ambaye ni mzanzibar alipaswa kuelewa chimbuko la hoja ya serikali 3 pengine zaidi kuliko mtu mwingine.


Gharib ameshika nyadhifa na anaelewa matatizo yaliyopo na kwamba suluhu si kuficha ni kuyaeleza na kuyaweka wazi. Hakufanya hivyo! Na sababu kubwa ni kitumbua zaidi ya nchi. Wznz lazima waelewe kuwa kitanzi wancho wao wenyewe na anayevuta kitanzi hicho kikaze ni wao wenyewe.


Serikali 3 ni option iliyobaki baada ya serikali 2 kushindwa kutoa jawabu kwa miaka 50 Gharibu akiwa waziri kiongozi na sasa makamu wa rais.

Gahrib hakueleza kwanini anadhani serikali 2 zitafanya mbadala na miaka 50 iliyopita.


Kauli yake ni mwendelezo ya kauli ya Majura Bulembo wa jumuiya ya wazazi aliyoitoa mwanzoni mwa rasimu ya kwanza.


Inashangaza kuwa wakati wote wa uandikaji wa rasimu Rais na makamu wake walikuwa wanajua kinachoendelea., iweje leo wageuge ghafla.


Walipokutana Diamond Jubilee mara 2, Rais na makamu wake walimsifa Warioba na tume yake na sasa wanamgeuzia kibao.


Kinachoonekana hapa ni Rais na makamu wake kutishwa na watu wenye nguvu ndani ya CCM kulazimisha serikali 2 kwa masilahi yao na si nchi


Inatisha kuona katika kipindi kifupi sana Rais na makamu wake wanakuwa na misimamo inayobadilika na hapa ndipo pa kujiuliza kama nchi ina uelekeo au inaelea kama boya.


Tusemezane

 
Mkuu Nguruvi3,

Ni kweli kabisa kwamba mengi ya yanayotokea uliyajadili muda mrefu kwenye duru (pia kina EMT et al elsewhere) na ulitufungua sana macho wengi humu, na akili zetu zinazidi kuchangamka sasa as we see many of the issues you warned unfolding before our eyes; swali linalofuatia ni je, what is the way forward? Kwa maana nyingine, kwa vile the entire process has been flawed, tufanye nini kuweka mambo sawa? Ni matumaini yangu kwamba katika mjadala huu at some point tutasikia mawazo yako juu ya swali hili;

Kwa sasa ningependa kuchangia moja kwa moja kama vile ninawajibika kujibu swali linalobeba uzi huu kwamba:
Duru za Siasa: Kuelekea bunge la katiba,Je, katiba itatokana na wananchi?

Hili ni swali muhimu sana, na umuhimu wake unakuwa mkubwa zaidi kwa kuzingatia kwamba mienendo ya ccm imekuwa ni ya kupingana sana na kazi ya tume ya jaji warioba na tabia hii hakika itakuja kuwa moja ya nguzo kuu za anguko la ccm hasa iwapo upinzani utacheza karata zake vizuri. Katika hili ndio maana mkuu Nguruvi3 nimeuliza swali hapo juu kwamba je tunawezaje kurekebisha makosa?

Katika mjadala wetu mwingine niliuliza, hivi:

ni kwanini whatever constitutes hopes for the people always constitutes fear for ccm?

Ulijadili vizuri sana swali hili, na kwa kuongezea tu, inaonekana ccm imeishiwa ammunition to destroy kazi ya tume ya warioba, kilichobakia ni silaha kidogo ambayo imeiwekeza katika bunge la katiba ambapo kuna kila dalili kwamba ccm itahakikisha kwamba wananchi hawapati katiba wanayoitaka; kwa mfano rejea kauli za Nape Nnauye hivi karibuni anaposema kwamba:

Mchakato
wote wa Katiba Mpya
unasimamiwa na sheria na sio
maneno ya Warioba. Sheria
inazungumzia haki, wajibu na mamlaka ya Bunge hilo, hivyo
inawezekana kabisa
kuboreshwa na hata
kubadilishwa kwa hoja.

...kulingana na
sheria hiyo, Bunge hilo lina
mamlaka ya kufanya jambo
lolote katika Rasimu hiyo,
ikiwa ni pamoja na kuifanyia
maboresho kadri itakavyoonekana kuwa inafaa. “Bunge haliwezi kutishwa na mtu yeyote kwa sababu lipo kwa ajili ya kuwawakilisha
wananchi. Ndiyo maana baada
ya Bunge hilo kwisha wananchi watapiga kura ya maoni

...“Maboresho maana
yake ni kubadili. Ukiwa na nyumba ya vyumba vinne na kuiboresha kwa kuweka chumba kimoja si umeibadili?” Alisema Bunge hilo linatakiwa lisiingiliwe katika uamuzi
wake.

Hoja hizi za nape zinaonyesha dhahiri kwamba ccm ipo tayari kutumia loopholes zilizopo za kisheria kufanikisha malengo yake, na hili ni suala ambalo mkuu Nguruvi3 umelijadili kwa kina awali;

Katika hali ya kawaida, bunge la katiba linapata mamlaka yake kutoka kwa watu (umma), na suala hili umelijadili vyema lakini pia EMT amelifafanua vizuri sana katika mijadala mingine, hasa jinsi gani wajumbe wa bunge hili wanapaswa kupatikana na majukumu yao ni yepi;
Kwa kuongezea tu kidogo:

Bunge la katiba lina kazi mbili kubwa (sovereign roles and tasks):drawing up and enacting a new constitution. Nadhani ni kwenye drawing up ndipo ccm inajipanga kuchakachua haya na yale iwapo mnamsoma nape kama navyomsoma mimi; kwa maana nyingine - inaelekea ccm imewekeza vyema kuhakikisha inafanikisha malengo yake kama chama kwa kutumia loophole ya task of "drawing up" the constitution kwa kuondoa yale ambayo chama hakiyataki na kuweka yale inayoyataka, na kazi hii kwa sasa itakuwa ni rahisi sana kutokana na udhaifu uliojitokeza katika uteuzi wa wajumbe kama ilivyokwisha jadiliwa;

Tukumbuke kwamba jaji warioba alisema hapo awali kwamba kazi ya bunge la katiba sio kuondoa au kubadilisha yaliyomo katika rasimu ya pili ya katiba, kwa maana kwamba matarajio ya ni kwamba litakaa tu to "enact" the constitution kufuatana na maoni ya walio wengi juu ya yaliyomo na kufuatiwa na kura ya maoni; kwa upande wa nape, yeye anajikita zaidi katika role of "drawing up"; nadhani hapa ndipo wawili hawa wanapopishana; "drawing up" maana yake ni kuandaa kitu in writing - hasa to prepare or put it in an appropriate form, na sio kubadilisha, lakini nape inaelekea anataka kugeuza matumizi ya dhana ya "drawing up" ijumuishe "altering or amending"; kazi ya kufanya altering ya katiba ni ya bunge la JMT, nitajadili hili next baada ya kujadili kidogo umuhimu wa katiba;

Tunaposema kazi ya bunge la katiba ni drawing up and enacting a constitution maana yake ni kwamba - kuandaa na kupitisha nyaraka ambayo inajenga viungo mbalimbali vya serikali (state) ikiwa ni pamoja na nguvu za kutunga sheria, na katika hili la kutunga sheria, bunge la JMT ndio chombo "sovereign", lakini sio "supreme"; what's supreme ni "katiba ya nchi", ambayo inakuwa enacted na bunge la katiba; iwapo tupo sawa hadi hapa then nadhani tunapata mwanga kidogo juu ya ujanja ujanja wa ccm kuelekea bunge la katiba:

Watu aina ya Nape, aidha kwa makusudi au kwa kutokujua wanachanganya kazi za bunge la JMT na zile za bunge la Katiba; again, kazi ya bunge la JMT (sovereign role) is amending katiba ya nchi, katiba that exists, katiba ambayo ndio inayolipa bunge mamlaka ya kufanya such amendments; kazi ya bunge la JMT sio ku amend rasimu ya katiba mpya, bunge hilo halina mamlaka hiyo; kufuatia mchakato wa uteuzi wa tume, ukusanyaji wa maoni ya wananchi na uteuzi wa wajumbe wa bunge la katiba kutoka miongoni mwa wananchi, kazi za bunge la katiba ni mbili tu - draw up rasimu ya katiba (prepare or put it in an appropriate form) and then adopt/enact the new constitution;

Kauli za Nape Nnauye na wenzake ndani ya ccm at this stage ni to create a confusion juu ya utofauti wa "sovereignty and supreme" character ya bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambalo ni predominantly CCM na bunge la katiba ambalo limeandaliwa kutekeleza kazi za ccm;

Nape anatanguliza sana hoja kwamba "bunge la katiba litafanya kazi yake kwa mujibu wa sheria ya mabadiliko ya katiba", na sote tunajua taifa limepitia hali gani hadi sheria husika kupatikana; Bunge la JMT has been notorious katika kuvuruga ndoto ya katiba mpya kwa miaka mingi sana hadi 2010 ccm ilipolemewa kama Nguruvi3 alivyofafanua kwa ufasaha; tufahamu kwamba bunge la JMT (predominated by CCM)linapotunga sheria linafanya hivyo at its "legislative capacity" na linapofanya marekebisho ya katiba iliyopo(amendments), linafanya hivyo at its "constituent capacity"; na both of the two capacities ni kwa mujibu wa katiba hiyo hiyo ya nchi, lakini capacities hizi mbili hazipo sawa na ile ya kutengeneza katiba mpya; matendo ya ccm ni kama vile the three capacities are one and the same, na ni katika hili ndio hoja juu ya mapungufu katika mchakato wa uteuzi wa wajumbe wa bunge la katiba ndio hujitokeza;

Next nitajadili juu ya uwezekano wa taifa aidha kurudi katika katiba ya 1977 baada ya bunge la katiba kushindwa kutekeleza kazi yake au uwezekano wa katiba mpya kuwa na content nyingi za katiba ya 1977, pamoja na athari zake kwa taifa; Na iwapo kati ya haya yatatokea, then jibu kwa swali la Nguruvi3 kwamba:
Duru za Siasa: Kuelekea bunge la katiba,Je, katiba itatokana na wananchi?

Jibu ni HAPANA; questions that follow ni je:
*serikali ya CCM itaijengea vipi uhalali katiba ya namna hii?
*ni itakuwa ni athari kwa taifa?

I shall discuss these two issues next;

Cc JokaKuu, Jasusi, happyfeet, Bongolander, Mag3, Candid Scope, ZeMarcopolo, Ritz, zomba, MwanaDiwani


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kwakeli ufafanuzi huu ni mzuri sana

Mchambuzi,

Unfortunately, some of us saw this coming long time ago. Ndiyo maana wachache tuliushtukia mchakato mzima mapema kabisa na kusema ni mbovu. Kwa maana nyingine, personally sioni umuhimu wa kutafuta majibu ya hayo maswali kwa sababu mchakato mzima ulikuwa based on the wrong premises. I still stand with my preliminary objections and I don't see the need to discuss on any substantive issues. Sana sana nita-copy na ku-paste hapa nilichoandika enzi hizo kwenye ile thread ya Mwanakijiji ya Kwa nini napinga mchakato wa Katiba Mpya ulivyo sasa na kwanini wewe pia yakupasa uupinge. Tuliyoongea wakati huo ndiyo yanaanza kujionyesha taratibu.

===========

When the President announced his Presidential Constitutional Review Commission that will preside over the process of writing a new Constitution, I said I will reserve my comments until I read the first draft of the new Constitution. As most people were supporting the Commission, I thought my be "nimerukwa na akili". However, [Mwanakijiji's] article has prompted me to comment on even before the Commission starts embarking on its task.]

Our current Constitution was made by a group of people that was not inclusive. Large numbers of people were excluded from the political process and the whole system of government. It is unquestionable that constitutions made by commissions, such as the one appointed by the President, without participation of the people's representatives cannot make the government system inclusive.

The need for Constituent Assembly

Unlike other forms of constitution-making in which a constitution is unilaterally imposed by a sovereign lawmaker, the Constituent Assembly, also known as a Constitutional Convention or Constitutional Assembly, creates a constitution through "internally imposed" actions. This means members of the Constituent Assembly are themselves citizens, but not necessarily the rulers, of the country for which they are creating the constitution. Constituent Assembly also restructures the State's institutions and policies.

In the past, state's institutions were made to suit the interests of elites. Therefore, for transformation and making Tanzania a prosperous country, Constituent Assembly is a matter of necessity for the new Constitution. Constituent Assembly is the most important instrument of making constitution by all and addresses the problem of exclusion by inclusive democracy.

In inclusive democracy, no institution, including the President, can have special powers. Whether or not we want to have an institution with special powers, this should be decided by the Constituent Assembly. Since it is the highest body of people, Constituent Assembly can decide on this matter. Constituency Assembly is, therefore, necessary for building the structure of inclusive democracy and root out the possibility of conflict in future.

Purposes/objective of Constituency Assembly

The new constitution should be made by the Constituent Assembly for the following purposes/objectives. Firstly, Constituent Assembly adopts diversity as a core value. Constitution is a fundamental law of our country, so it should make the system of government inclusive of all. All people must participate in it, so that every individual will own it irrespective of their religion, ethnicity, race, sex, age and geography.

Tanzania's unity is dependent upon the recognition of Tanzania as a country of all people equally. Thus, language, culture and identity of all groups must be recognized as national assets. Only this way, we can preserve the unity of the people. Constitution, therefore, by recognizing diversity must promote unity. Effectively, constitution making process must give chance to every individual to debate and express their opinions.

Secondly, as you pointed out, Constituent Assembly makes the people sovereign. The power of the State rests on people, which is known as sovereignty, not on the President. By making constitution through their representatives, people exercise the power of sovereignty. Through Constituent Assembly, the people are defining structure of democracy and structure of government in which political parties must work. Constituent Assembly in this sense will devolve sovereignty from the President and political parties to the people [so far kinachotokea sasa ni sovereignty kumilikiwa na Rais na chama tawala].

Thirdly, Constituent Assembly lets the people decide on the structure of the State. Recognition and protection of fundamental human rights is one of the most important steps of controlling government from being tyrant. So, people will decide what kind of rights they want to make fundamental rights in the new Constitution. People must be able to directly rule them. The self-governance is most basic foundation of democracy. So, by making constitution through Constituent Assembly, people will be able to decide what kind of local governance should be recognized by the State.

The Process

The Constituent Assembly should be elected by direct votes of the people. Members of the Constituent Assembly should be elected according to the proportional election system.

Tenure of Constituent Assembly should be two years from the date of the first assembly. But it can be extended for another six months if emergency situation in the country occurs.

Every member in the Constituent Assembly can propose a bill and let the discussion take place. in this way, every individual through his/her representative can put forward proposal for bills of the new Constitution.

People can participate in the discussion through submitting proposals, and inviting members for discussion. People can create pressure groups to make their issues recognized. Participation of everybody is crucial in making of the new constitution to be owned by all people and not by some few elites.

Now, we, the people of the United Republic of Tanzania, have two options in the making of a new Constitution. The first option (which is already in the pipeline) is that at the non-democratic extreme of the spectrum, we may have a sovereign lawgiver or intermediaries laying down the new constitution for all future generations. The second option (which many Tanzanians have never thought about it) is that at the democratic extreme, we may have a Constituent Assembly elected by universal suffrage for the sole task of writing the new constitution. Since we have chosen the non-democratic route, then we must stop complaining and prepare for undemocratic outcomes of the new constitution making process.
 
Mchambuzi;8704717]Tukumbuke kwamba jaji warioba alisema hapo awali kwamba kazi ya bunge la katiba sio kuondoa au kubadilisha yaliyomo katika rasimu ya pili ya katiba, kwa maana kwamba matarajio ya ni kwamba litakaa tu to "enact" the constitution kufuatana na maoni ya walio wengi juu ya yaliyomo na kufuatiwa na kura ya maoni;

kwa upande wa nape, yeye anajikita zaidi katika role of "drawing up"; nadhani hapa ndipo wawili hawa wanapopishana; "drawing up" maana yake ni kuandaa kitu in writing - hasa to prepare or put it in an appropriate form, na sio kubadilisha, lakini nape inaelekea anataka kugeuza matumizi ya dhana ya "drawing up" ijumuishe "altering or amending"; kazi ya kufanya altering ya katiba ni ya bunge la JMT, nitajadili hili next baada ya kujadili kidogo umuhimu wa katiba;
Mchambuzi umefafanua vema sana. Sidhani Nape Nnauye anaelewa tofauti ulizosema.

Hata hivyo yapo makusudi kabisa ya kupotosha umma. Bunge la JMT ambalo ni CCM lilipokataa wajumbe wa tume ya Warioba wasiingie bunge la katiba na Rais anayefahamu ukweli kukubaliana nalo ilikuwa na maana moja, wakati ukifika 'alteration and amendment' zifanyike kwa urahisi.

Anachokifanya Nape pengine kwa kuagizwa ni kuhakikisha anawachanganya wajumbe kwanza kuhusu kazi yao halafu wachomeke yao ya CCM kwa matakwa yao na si wananchi.

Nitoe mfano mmoja kushadidia hoja ya Mchambuzi hapo juu.
Rasimu ya katiba imetambua haki za wazee lakini haikueleza wazee ni akina nani kwa cut off point.

Kazi ya bunge la katiba si kufanya 'alteration ' ya wazee na kuchomeka watoto wa kiume na wala si kazi ya bunge la katiba kufanya amendment ya 'wazee' kwa kuondoa au kubadilisha maana iliyokusdiwa.
Ni kazi ya bunge la katiba kujadili umri wa mzee uanzie wapi bila kuathiri kifungu husika.

Mwenyekiti wa CCM kwa mara ya mwisho alipoongelea suala la katiba alisema, bunge la katiba haliendi kupindua yale ya tume ya Warioba. Linakwenda kuboresha.

Kuboresha ni 'improvement' ya kitu.
Wasi wasi wangu ni jinsi viongozi wa CCM wanavyokuwa na tafsiri tofauti!
Nape ana hoja tofauti na mwenyekiti wake, ndani ya bunge la katiba nini kitatokea kwa CCM?
 
Niliahidi kurudi kuendelea na hoja zangu za #16 . Nitafanya hivyo kwa kujadili kidogo hoja ya Nguruvi3 pale #5 ambapo anajibu hoja ya Kobello #4 . Hoja nayolenga zaidi ni ile ya kobello anayotetea uteuzi wa wajumbe wa bunge la katika kwa hoja kwamba Rais ana haki ya kufanya alichofanya kwa vile yeye ni mwakilishi wa wananchi; kwa kuongezea tu kwenye hoja ya Nguruvi3:

Nadhani ni vyema turudi nyuma kidogo katika historia ili kuzidi kuchimba juu ya jinsi gani this whole process is a flawed process to start with. Tuanze na katiba ya JMT (1977) ambayo literally and practically ndio inayompa rais kikwete mamlaka katika suala husika:

Katiba ya 1977- nani aliyewapa wabunge mandate ya kuketi and adopt katiba mpya ya nchi 1977? RAIS WA JMT; nani alimpa rais husika mandate ya kuteua wajumbe wa katiba kutengeneza katiba ya JMT (1977)? Mandate hii kwa rais ilitoka kwenye ARTICLES OF THE UNION. Rais alichofanya ni kuitisha bunge la JMT na hapo hapo kutanganza kwamba wabunge wote wa CCM sasa wameteuliwa kuwa wajumbe wa bunge la Katiba!

Tuendelee: nani alipitisha mkataba wa muungano (1964), mkataba ambao ulimpa rais mandate ya kuteua wajumbe wa katiba, wajumbe ambao walipata mandate ya kuandika katiba mpya ya JMT (1977)? Inasemekana aliyepitisha mkataba wa muungano ilikuwa ni wabunge wa bunge la Tanganyika and their counter parts wa BLW Zanzibar. Ukitazama so far in the context of Katiba ya sasa ambayo kwa hoja ya Kobello ndio inayompa rais mandate ya kuteua wajumbe wa bunge la katiba wiki jana, maana yake ni kwamba Rais na wabunge (1977) literally derived their mandate from each other. Kama tupo sawa, tuendelee:

Sasa wapo watu (mfano Kobello #4 ) na wengine wengi watazidi kujitokeza ambao watasema kwamba Rais na Wabunge walichaguliowa na wananchi, kwahiyo Rais na wabunge walipata/wamepata mandate husika kutoka kwa watu/wananchi wanaowawakilisha. Tukiachilia mbali ukweli kwamba mfumo uliopo bado unaendesha nchi ki ccm ccm katika kila chaguzi kuu (hence the future of our constitution being on the rocks), argument ya Kobello haiwezi kusimama hata on its self;

Mwaka 1977, katiba inampa rais na wabunge mandate kwenda kuongoza taifa kwa mujibu wa katiba iliyopo au kuibadili katiba iliyopo kama ilivyofanyika katika vipindi tofauti, sio kwenda adopt a new constitution ambayo actually dissolved the sovereign state of Tanganyika bila ya ridhaa yetu wananchi.

Nikienda mbali kidogo, katiba ya 1977 breached even the articles of the union kwa maana nyingi sana na prof shivji kajadili sana hili katika kazi yake about "the legal foundation of the union";

Historia imejirudia - bunge la katiba la 1977 enacted and adopted katiba ya nchi, lakini bunge hili halikutokana na wananchi bali it was appointed na rais, tena anayetoka upande mmoja wa muungano;tofauti na 1977, uteuzi wa sasa umemshirikisha zaidi rais wa zanzibar;



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Niliahidi kurudi kuendelea na hoja zangu za #16 . Nitafanya hivyo kwa kujadili kidogo hoja ya Nguruvi3 pale #5 ambapo anajibu hoja ya Kobello #4 . Hoja nayolenga zaidi ni ile ya kobello anayotetea uteuzi wa wajumbe wa bunge la katika kwa hoja kwamba Rais ana haki ya kufanya alichofanya kwa vile yeye ni mwakilishi wa wananchi; kwa kuongezea tu kwenye hoja ya Nguruvi3:

Nadhani ni vyema turudi nyuma kidogo katika historia ili kuzidi kuchimba juu ya jinsi gani this whole process is a flawed process to start with. Tuanze na katiba ya JMT (1977) ambayo literally and practically ndio inayompa rais kikwete mamlaka katika suala husika:

Katiba ya 1977- nani aliyewapa wabunge mandate ya kuketi and adopt katiba mpya ya nchi 1977? RAIS WA JMT; nani alimpa rais husika mandate ya kuteua wajumbe wa katiba kutengeneza katiba ya JMT (1977)? Mandate hii kwa rais ilitoka kwenye ARTICLES OF THE UNION. Rais alichofanya ni kuitisha bunge la JMT na hapo hapo kutanganza kwamba wabunge wote wa CCM sasa wameteuliwa kuwa wajumbe wa bunge la Katiba!

Tuendelee: nani alipitisha mkataba wa muungano (1964), mkataba ambao ulimpa rais mandate ya kuteua wajumbe wa katiba, wajumbe ambao walipata mandate ya kuandika katiba mpya ya JMT (1977)? Inasemekana aliyepitisha mkataba wa muungano ilikuwa ni wabunge wa bunge la Tanganyika and their counter parts wa BLW Zanzibar. Ukitazama so far in the context of Katiba ya sasa ambayo kwa hoja ya Kobello ndio inayompa rais mandate ya kuteua wajumbe wa bunge la katiba wiki jana, maana yake ni kwamba Rais na wabunge (1977) literally derived their mandate from each other. Kama tupo sawa, tuendelee:

Sasa wapo watu (mfano Kobello #4 ) na wengine wengi watazidi kujitokeza ambao watasema kwamba Rais na Wabunge walichaguliowa na wananchi, kwahiyo Rais na wabunge walipata/wamepata mandate husika kutoka kwa watu/wananchi wanaowawakilisha. Tukiachilia mbali ukweli kwamba mfumo uliopo bado unaendesha nchi ki ccm ccm katika kila chaguzi kuu (hence the future of our constitution being on the rocks), argument ya Kobello haiwezi kusimama hata on its self;

Mwaka 1977, katiba inampa rais na wabunge mandate kwenda kuongoza taifa kwa mujibu wa katiba iliyopo au kuibadili katiba iliyopo kama ilivyofanyika katika vipindi tofauti
Legality of such an action was DERIVED from the pre-existing constitutions and CEMENTED by subsequent elections (level of incumbency, which you will probably blame it on your people's ignorance)

CCM haifanyi chochote nje ya katiba na huu mchakato technically ni wa CCM na wabunge wengi wa CCM wanapendelea serikali tatu. sidhani kama hilo litakuwa tatizo.

Hata preambles zinafanana, kitu kinachoashiria kuwa this is just an amendment that's been long overdue! (G55).
 
Back
Top Bottom