"Nyani Ngabu, post: 28568550, member: 188"That's too speculative. Hayo mazonge zonge yanayomwandama ni yapi? Russian collusion illusion? Kama ni hayo ya 'collusion' basi there's no there there!!
Ninachoongelea ni mahojiano kati ya Mueller na Trump yanayoonekana kuleta utata huku Rais Trump akikataa kuhojiwa kwa kuogopa 'trap' ingawa anasema hakuna Collusion. Kuhusu collusion msimamo wangu ni ule ule kuwa sijui kuna nini hadi hapo Mueller atakapotoa taarifa yake. Siwezi kusema ipo au haipo kama alivyosema Trump
Utakumbuka kauli ya kwanza ilikuwa 'hakuna contact na Russia'' . Sasa inajulikana kulikuwa na contact na kijana wake akiwa sehemu ya contact nyingi. Ikaja statement ya Jay Skulow 'Trump hakuandika statement' well, wamekiri ameandika statement. Ikabadilika kuwa contact si 'crime' Collusion si crime etc. Unaweza kuona inavyobadilika kila siku kutokana na mashahidiKuna indictment zimetokea za watu wa ndani wa Trump. Silazima ziwe collusion ndiyo maana nasema ni mapema mno kusema hakuna au kipo kitu hadi Mueller amalize kazi
Brett Kavanaugh ni conservative. alifanya kazi na/ chini ya Ken Starr [a Republican], former Independent Counsel aliyeongoza uchunguzi dhidi ya Rais Clinton na kupendekeza kuwa rais Clinton awe impeached, mtu ambaye alikuwa ni mmoja wa mawakili wa G.W. Bush kwenye recount ya Florida kwenye uchaguzi wa mwaka 2000, mtu ambaye baadaye akaja kufanya kazi kwenye White House ya W. Bush kama Staff Secretary,mrengo wake wa kisiasa na misimamo yake kuhusu masuala mbalimbali inajulikana, huyu ndo unasema kwamba "alitakiwa afahamu uteuzi wake unahusishwa na falsafa ya 'conservatism"?
Kama ulinisoma mapema huko nyuma kuna mahali nimesema suala hili haliwezi kutengwa na siasa kama ilivyotokea kwa Garland. Ni wazi Dems wanahofu ya Wade v Roe. Hoja yangu ilikuwa ni kwamba, Kavanaugh alitakiwa awe mwangalifu katika mitego. WH walimshauri akomae na kukataa uchunguzi wa FBI. Hilo lilikuwa kosa ambalo leo wame 'pay the price' aliwapa hoja Dems. Laiti angesema yupo tayari kwa FBI investigation angejinasua na mtego. Alipoulizwa na Senator Turbin kuhusu FBI hakuweza kujibu. Si kwamba ana makosa bali alifuata misleading ya WH
So? Angeenda wapi sasa ilhali kila siku anashambuliwa kwenye mainstream media ambayo ni largely liberal? Angeenda CNN akahojiwe na Chris Cuomo?
Tatizo si kwenda Fox ni kwenda katika media. Angeuchuna ingemsaidia sana kama alivyofanya Clarence Thomas. Wakati timbwili linaendelea ni kama alikuwa anachagiza tatizo.
Angalia usije kuwa kama Christine Blasey Ford! Unatoa tu tuhuma bila ushahidi....
Well, at least yeye under oath alitaka uchunguzi wa FBI.
Yes aliboronga kwa kujieleza kama mtu mwema kuanzia 17
Picha aliyotoa ni ya 'utakatifu'. Kutokana na hilo waliosoma naye wamejitokeza na kusema hapana, aliyoeleza hasa kinywaji si kweli.
Baada ya interview alitambua kosa, ndani ya seneti akasema 'yes alikuwa anakunywa na nyakati nyingine kupita kiasi'.Ieleweke kunywa pombe si kosa na hata kupita kiasi si kosa. Kosa ni credibility baada ya kushindwa kuoanisha aliyosema katika TV na yale ndani ya Seneti. Yote hayo ni kwasababu aliji expose katika TV bila sababu
Siasa zipo kila sehemu. Tuache kujidanganya kuwa eti hata kwenye US Supreme Court hakuna siasa.
Ndiyo maana kuna conservative na Liberal ndani ya SC
Kikubwa ambacho Dems na base yao wanakihofia ni Roe vs Wade [natumai unaifahamu ni nini] kuwa overturned one day.
Hili nalo nimeliongelea huko nyuma. Ndiyo maana nasema Kavanaugh alitakiwa ajue kuna 'trap'. Laiti angekubali au kushauri FBI wafanye kazi kesho angekuwa confirmed. Hesabu za majority hazikuwa sawa kama ilivyotokea leo.
Majority ya GOP ni 2 na VP kama tie breaker. Walitakiwa waelewe Jeff Flake, Murkowisk, Susan Collins ni ''swing vote''. Kavanaugh aliweka matumaini WH na shinikizo badala ya kuchanga karata. Ilikuwa simple, akubali FBI investigation mambo yangeisha huenda
Hapo unazungumzia suala la uchunguzi wa FBI?Mbona hata zama hizo [1991] FBI walifanya uchunguzi dhidi ya tuhuma za Anita Hill kwa Clarence Thomas....it's been done before.
Again nimelisema hili bandiko la wali, kwamba kesi ya Kavanaugh si ya kipekee. Clarence alifanyiwa uchunguzi na FBI kukawa hakuna conclusion ya kumzuia kuteuliwa. Clarence hakukimbilia katika media au kukataa FBI. Aliacha sheria ifuate mkondo ikamsaifisha
Impact ipo ingawa sina hakika kama ni kubwa sana. Na hata kwa Dems ipo. Hususan wale Dems waliopo kwenye ballot mwaka huu kwenye majimbo ambayo Trump alishinda.
Pressure ilikuwa kubwa sana, lakini kwa mwendo wa mambo yalivyopelekwa na senate GOP yametoa nafasi kwao kupumua.
Trump amekwenda kukampeni dhidi yao ili wawe upande wake
Tatizo ni kuwa hili limegeuka kuwa la 'wanawake' na hiyo imepunguza pressure kwao
Hata hivyo kwa undani zaidi pressure ipo sana kwa Republicans.
Jeff Flake hayupo katika ballot box lakini vipi pressure aliyoipata leo hadi kuweka ngumu? Just imagine kwingine hali ikoje
Hawakutaka kuwapa Dems fodder ya matangazo kwenye midterm elections. Pia hawakutaka ionekane kama wanamwonea huyo mama anayedai alishambuliwa na Kavanaugh.
Seneta wa GOP walikwepa ukweli kuwa hilo lingekuwa tatizo la kisiasa kwao. Na inaeleza hali ilivyo kuelekea midterm. Siyo wote wapo katika ballot box, lakini katika margin ya 2 ni risk kuitumbukiza GOP yote katika mtafaruku na wanawake. Kumbukumbu za primary GOP zilizomwacha mtu nje kwa kura za wanawake bado zinarindima na kuwatisha
Kwa ujumla wa kura za wanawake Trump alishindwa kwa asilimia ngapi?
Mkuu hili nalo unauliza!
Well, FBI wameshapewa order ya kufanya uchunguzi.Sidhani kama watakuja na jipya maana wameshamfanyia uchunguzi mara 6 sasa.. Na wakifanya tena huu uchunguzi, kwa mara ya 7, na kurudi na matokeo yale yale kama ya mwanzo, naamini kabisa Dems watahamisha goli. Watch this space...
Kuna mawili matatu ya kujadili
1. Kwamba, Trump hadi Jana alisema hakuna uchunguzi wa FBI kwamba 'wamesema haliwahusu'. Well, leo amejikuta anawataka wafanye uchunguzi yeye mwenyewe
2. Uchunguzi umekuwa limited kwa tukio la Ford na Kavanugh tu! si mengine
Kwangu mimi sidhani tuhuma pekee zinatosha kumzuia mtu katika uteuzi.
Figusu figus za kisiasa ni mambo ya kawaida kama ilivyokuwa kwa Garland
Hata hivyo wanaotoa tuhuma wanapaswa kusikilizwa. Haikuwa jambo jema kwa GOP kumsikiliza Ford wakijua lengo lao ni kumpitisha Kavanaugh kuwe na ukweli au la.
Ilikuwa kum brush yule mama, na kama ni hivyo kwanini walimwita?
Tena wakikataa uwepo wa mashahidi wake
Kavanaugh asipokuwa na hatia hilo ni jambo jema kwanini mkondo wa sheria na taratibu zimefuatwa. Ni nzuri kwake kwani anakwenda SC akiwa hana mizigo au kuangaliwa jicho pembe. Akiwa na hatia hatakuwa tofauti na Bill Crosby, uteuzi utachomolewa