Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pona ya Trump kama ipo itakuwa short-lived kwa sababu tu Congress kwa sasa inamlinda. Bado chini ya miezi miwili mid-term elections inafanyika na ole wake apoteze Congress, atajuta kwani dalili zote zinaonyesha uwezekano huo upo. Hii ndiyo sababu amekuwa kama mtu aliyepagawa, anaropokaropoka tu hovyo na kuwarukia wanaomkosoa kwa matusi.Trump hivi sasa yuko kwenye panic mode, kawashambulia China kwamba wanataka kuvuruga mid term elections!
Mkuu MwalimuTrump hivi sasa yuko kwenye panic mode, kawashambulia China kwamba wanataka kuvuruga mid term elections!
Wamarekani hawastahili haya...kwamba mteuliwa wa rais naweza kuzuiwa kudhibitishwa kisa tuhuma zisizona udhibitisho!!wamejikuta wanalazimika kutetea watuhumiwa wa kashfa
Umefanya vizuri kufuta mchango wako wa awali, sijaona mawazo ya hovyo kama uliyoyaandika hapo mwanzo, hongera sana. Pamoja na hayo naomba nikuulize swali moja linalonisumbua sana...kwa nini unaonekana kupenda sana utawala wa kiimla? Unavutiwa nini na watu kama Putin, Mseveni, Kagame bila kumsahau Magufuli?Wamarekani hawastahili haya...kwamba mteuliwa wa rais naweza kuzuiwa kudhibitishwa kisa tuhuma zisizona udhibitisho!!
Mwalimu , hili suala linachukuliwa kirahisi kwa kukosa mantiki nyuma yakeMkuu Nguruvi3 na wengineo
Naona Senate Committee inapiga kura juu ya uteuzi wa Jaji Kavanaugh...
Chama cha Republican ambacho miaka na miaka kimekuwa kikijinasibu kuwa kinasimamia maadili kimewekwa njia panda tangu kuingia kwa Trump... wamejikuta wanalazimika kutetea watuhumiwa wa kashfa za ngono kwa sababu tu wanatoka chama chao. Kuanzia Trump mwenyewe na kashfa ya kuwatomasa wanawake "grab them by the p***" na sasa Jaji Cavanaugh ambaye wanaenda kumpitisha kuwa Jaji wa Supreme Court pamoja na kashfa inayomkabili.
Uamuzi wa leo una impact kubwa sana kwenye mid term November... yetu macho
Jaji Kavanaugh tukiacha tuhuma zilizoelekezwa kwake, utetezi wake mbele ya kamati ulimuondolea kabisa sifa ya kuingia Supreme Court ya Marekani na kwa Marekani ambayo wengine tulibahatika kuifahamu, asingepita. Utetezi wake uligubikwa na hasira, hamasa, hamaki na ushabiki wa kisiasa sifa ambazo haziendani na nafasi hiyo na hasa katika nchi kama ya Marekani. Ni bahati mbaya kwamba nchi hiyo imefikia hali kama hiyo kutokana vitimbwi vya uongozi ambao uko madarakani chini ya Donald Trump.Naona Senate Committee inapiga kura juu ya uteuzi wa Jaji Cavanaugh...
Wamarekani walio wengi bado wanajiuliza ilikuwakuwaje hata mtu kama Donald Trump akachaguliwa kuwa Rais wa nchi hiyo na bila hata hili swala la Kavanaugh, huu uchaguzi wa mid-term una umuhimu wake. Hata hivyo uteuzi wa Kavanaugh ni kweli umechochea na kuongezea changamoto inayowakabili wananchi mwezi November...vyovyote vile Democrats wakichukua Congress tutashuhudia vituko ambavyo hatujawahi kuviona...yetu macho.Uamuzi wa leo una impact kubwa sana kwenye mid term November... yetu macho
Kavanaugh alipaswa kuelewa uteuzi wake ulikuwa na mawenge wenge. Jaji huyo alitoa kauli kuhusu Rais kutoshtakiwa na kauli nyingine wakati uchunguzi wa Russia ukiendelea"Mag3, post: 28567703, member: 10873"]Jaji Kavanaugh Utetezi wake uligubikwa na hasira, hamasa, hamaki na ushabiki wa kisiasa sifa ambazo haziendani na nafasi hiyo na hasa katika nchi kama ya Marekani. Ni bahati mbaya kwamba nchi hiyo imefikia hali kama hiyo kutokana vitimbwi vya uongozi ambao uko madarakani chini ya Donald Trump.
Kuna impact kubwa sana katika midterm hasa kwa wagombea wa Republicans na siyo TrumpHata hivyo uteuzi wa Kavanaugh ni kweli umechochea na kuongezea changamoto inayowakabili wananchi mwezi November...vyovyote vile Democrats wakichukua Congress tutashuhudia vituko ambavyo hatujawahi kuviona...yetu macho.
Kavanaugh alipaswa kuelewa uteuzi wake ulikuwa na mawenge wenge.
Jaji huyo alitoa kauli kuhusu Rais kutoshtakiwa na kauli nyingine wakati uchunguzi wa Russia ukiendelea
Pili, alitakiwa afahamu uteuzi wake unaonekana kama kinga ya Rais Trump siku za mbeleni kama itabaidi mazonge zonge yanayomwandama yakafika supreme court
Tatu, alitakiwa afahamu uteuzi wake unahusishwa na falsafa ya 'conservatism' ambayo imelenga kubadili sheria nyingi kwa vile supreme court itakuwa na 5 vs 4.
Tendo la kwenda Fox new akiwa nominee halijawahi kutokea.
Ilikuwa dhahiri alifuata maelekezo kutoka WH.
Katika interview ile, Kavanaugh aliboronga
hadi media za conservative zikajiuliza nini hasa alichojaribu ku achieve
Akiwa mtajwa wa nafasi anapaswa kuwa impartial. Opening statement yake kwa kuchomeka siasa za uchaguzi na akina Clinton zilionyesha wasi wasi uliokuwepo kwa liberal kuhusu yeye.
Hilo limechagiza sana liberal kuwa na msiamamo kiasi cha kuwalazimisha GOP kupinda kama ilivyotokea leo. Ingekuwa senate ya zama hizo jina lingeshachomolewa haraka sana
Kuna impact kubwa sana katika midterm hasa kwa wagombea wa Republicans na siyo Trump
Ndiyo maana senator 11 hawakukubali kumhoji bali walitumia mwanamke.
Wanatambua GOP ina matatizo makubwa na wanawake, urban residents na colored people
Trump alishinda uchaguzi kwa 52% ya white women, alishindwa katika ujumla wa wanawake
Kavanaugh kupitishwa bila uchunguzi kutakuwa nI kuwadharau 'survivor' wa sexual assault. Itawapa Dems hoja hasa kwa wanawake. Itavunja imani ya GOP wanaoishi mijini n.k.
House na senate Republicans wapo njia panda. Ima wakubaliane na Rais Trump ili awasaidie katika rural areas kwa wale political base yake au wakubaliane na fundamentals za conservative ambazo zinajali family values.
Hapa wamechagua Trump kwa short term solution mbele ya safari itakuwa tatizo.
Kukiwa na utata mkubwa wa wagombea wa GOP katika midterm anything can tip the scale
Jambo hili linawatatiza sana, na anayechagiza ni Rais Trump ambaye alikuwa Dems, Independent na sasa Republicans bila kufuata values za GOP
Ninachoongelea ni mahojiano kati ya Mueller na Trump yanayoonekana kuleta utata huku Rais Trump akikataa kuhojiwa kwa kuogopa 'trap' ingawa anasema hakuna Collusion. Kuhusu collusion msimamo wangu ni ule ule kuwa sijui kuna nini hadi hapo Mueller atakapotoa taarifa yake. Siwezi kusema ipo au haipo kama alivyosema Trump"Nyani Ngabu, post: 28568550, member: 188"That's too speculative. Hayo mazonge zonge yanayomwandama ni yapi? Russian collusion illusion? Kama ni hayo ya 'collusion' basi there's no there there!!
Kama ulinisoma mapema huko nyuma kuna mahali nimesema suala hili haliwezi kutengwa na siasa kama ilivyotokea kwa Garland. Ni wazi Dems wanahofu ya Wade v Roe. Hoja yangu ilikuwa ni kwamba, Kavanaugh alitakiwa awe mwangalifu katika mitego. WH walimshauri akomae na kukataa uchunguzi wa FBI. Hilo lilikuwa kosa ambalo leo wame 'pay the price' aliwapa hoja Dems. Laiti angesema yupo tayari kwa FBI investigation angejinasua na mtego. Alipoulizwa na Senator Turbin kuhusu FBI hakuweza kujibu. Si kwamba ana makosa bali alifuata misleading ya WHBrett Kavanaugh ni conservative. alifanya kazi na/ chini ya Ken Starr [a Republican], former Independent Counsel aliyeongoza uchunguzi dhidi ya Rais Clinton na kupendekeza kuwa rais Clinton awe impeached, mtu ambaye alikuwa ni mmoja wa mawakili wa G.W. Bush kwenye recount ya Florida kwenye uchaguzi wa mwaka 2000, mtu ambaye baadaye akaja kufanya kazi kwenye White House ya W. Bush kama Staff Secretary,mrengo wake wa kisiasa na misimamo yake kuhusu masuala mbalimbali inajulikana, huyu ndo unasema kwamba "alitakiwa afahamu uteuzi wake unahusishwa na falsafa ya 'conservatism"?
Tatizo si kwenda Fox ni kwenda katika media. Angeuchuna ingemsaidia sana kama alivyofanya Clarence Thomas. Wakati timbwili linaendelea ni kama alikuwa anachagiza tatizo.So? Angeenda wapi sasa ilhali kila siku anashambuliwa kwenye mainstream media ambayo ni largely liberal? Angeenda CNN akahojiwe na Chris Cuomo?
Well, at least yeye under oath alitaka uchunguzi wa FBI.Angalia usije kuwa kama Christine Blasey Ford! Unatoa tu tuhuma bila ushahidi....
Yes aliboronga kwa kujieleza kama mtu mwema kuanzia 17Aliborongaje?
Ndiyo maana kuna conservative na Liberal ndani ya SCSiasa zipo kila sehemu. Tuache kujidanganya kuwa eti hata kwenye US Supreme Court hakuna siasa.
Hili nalo nimeliongelea huko nyuma. Ndiyo maana nasema Kavanaugh alitakiwa ajue kuna 'trap'. Laiti angekubali au kushauri FBI wafanye kazi kesho angekuwa confirmed. Hesabu za majority hazikuwa sawa kama ilivyotokea leo.Kikubwa ambacho Dems na base yao wanakihofia ni Roe vs Wade [natumai unaifahamu ni nini] kuwa overturned one day.
Again nimelisema hili bandiko la wali, kwamba kesi ya Kavanaugh si ya kipekee. Clarence alifanyiwa uchunguzi na FBI kukawa hakuna conclusion ya kumzuia kuteuliwa. Clarence hakukimbilia katika media au kukataa FBI. Aliacha sheria ifuate mkondo ikamsaifishaHapo unazungumzia suala la uchunguzi wa FBI?Mbona hata zama hizo [1991] FBI walifanya uchunguzi dhidi ya tuhuma za Anita Hill kwa Clarence Thomas....it's been done before.
Pressure ilikuwa kubwa sana, lakini kwa mwendo wa mambo yalivyopelekwa na senate GOP yametoa nafasi kwao kupumua.Impact ipo ingawa sina hakika kama ni kubwa sana. Na hata kwa Dems ipo. Hususan wale Dems waliopo kwenye ballot mwaka huu kwenye majimbo ambayo Trump alishinda.
Seneta wa GOP walikwepa ukweli kuwa hilo lingekuwa tatizo la kisiasa kwao. Na inaeleza hali ilivyo kuelekea midterm. Siyo wote wapo katika ballot box, lakini katika margin ya 2 ni risk kuitumbukiza GOP yote katika mtafaruku na wanawake. Kumbukumbu za primary GOP zilizomwacha mtu nje kwa kura za wanawake bado zinarindima na kuwatishaHawakutaka kuwapa Dems fodder ya matangazo kwenye midterm elections. Pia hawakutaka ionekane kama wanamwonea huyo mama anayedai alishambuliwa na Kavanaugh.
Mkuu hili nalo unauliza!Kwa ujumla wa kura za wanawake Trump alishindwa kwa asilimia ngapi?
Kuna mawili matatu ya kujadiliWell, FBI wameshapewa order ya kufanya uchunguzi.Sidhani kama watakuja na jipya maana wameshamfanyia uchunguzi mara 6 sasa.. Na wakifanya tena huu uchunguzi, kwa mara ya 7, na kurudi na matokeo yale yale kama ya mwanzo, naamini kabisa Dems watahamisha goli. Watch this space...
Kwa kauli zenu hizi, na zile za 'deplorable' kutoka kambi ya DEM nitaachaje kumuunga mkono Trump kwa baadhi ya kauli zake; mfano, aliposema hata angemteua George Washington bado DEM wangempinga......sijaona mawazo ya hovyo kama uliyoyaandika hapo mwanzo.....
TUKIO LA JANA LIMETOA MAFUNZO
Katika timbwili la Jaji Kabanaugh kuna mafunzo kadhaa tunayopa kujifunza
1. Kwamba, kauli ya Rais haiwezi kuwa ya mwisho bali kauli ya wananchi.
Rais Trump kwa namna yake ya utawala ambao sheria huwekwa pembeni amejikuta akilazimika kuwataka FBI kufanya uchunguzi.
Rais Trump anatawala kwa kutofuata sheria? Are you serious?Ni jambo gani ambalo sheria iliwekwa pembeni?
Juzi kasema FBI wamesema hawawezi kufanya uchunguzi wa Kavanaugh.
DOJ hawajasema lolote.
Jana kasema FBI wafanye uchunguzi wa Kavanaugh
Sheria ndiyo muongozo, ipi aliifuata katika hayo mawili?
Majaji (3)wamesema uchunguzi wa Mueller upo kisheria.
Trump anasema DOJ wafunge uchunguzi ni fake. Yeye ndiye mwenye DOJ kumbuka.
Anaongozwa na sheria gani? Na kama ipo kwanini asiitumie kuzima uchunguzi wa Mueller?
"Nyani Ngabu, post: 28580079, member: 188"]Unaweza kunipa quote/ video ya hicho unachodai alikisema juzi?
Kwamba suala hilo hawawezi 'siyo lao'Hawajasema lolote kuhusu nini?
NN kwanza Trump alisema 'FBI' wanasema hawawezi kuchunguza siyo yao hayoWait...mi nilidhani Senate Judiciary Committee ndo ilipendekeza kwamba ifanyike supplemental investigation iliyo limited in scope, wakapeleka hilo pendekezo kwa rais, na rais akalikubali ndo akatoa hiyo order.
Imehusika sana. Mwanzoni alikataa, na hata senate judiciary walikataa. Flake ndiye aliyebadilisha equationSasa wewe hapa unadai kwamba jana kasema FBI wafanye uchunguzi as if GOP senate caucus haikuhusika! Come on man!!
Yeah, nakumbuka alitoa maoni binafsi kuwa Obama admin ilifanya 'surveillance Trump tower'' Intel community ikiwemo FBI wakafanya uchunguzi na kubaini si kweli. Yale yalikuwa maoni yake lakini yakafanyiwa kazi kisheriaNaona unachanganya maoni yake binafsi na sheria.Maoni yake binafsi si sheria. Sheria zipo kwenye U.S. Code.Hayo ni mambo mawili tofauti kabisa.
Nyani Ngabu hoja hapa si kuwa Kavanaugh ana hatia. Kati yake na Ford wakiwa wanajuana ni ngumu kusema nani mkweli.
Kitendo cha senate judiciary kukataa mashahidi wa Ford kilianzisha shaka.
Baada ya kulazimisha majority wakikataa FBI kukatia shaka zaidi
Kuna uwezekano kabisa Kavanaugh ni innocent. Jambo moja tukubaliane, senate judiciary GOP na WH walishindwa kuona mbele.
Kama mtu ni innocent kwanini wasingekubali mapema hayo yaishe?
Sasa wamerudi kule kule walikokataa. Ilikuwa obvious , ita FBI ondoa shaka confirm Kavanaugh. Walitegemea sana majority, ilipo flip flop wakawa flat
Kosa la kutegemea majority bila plan nyingine walilifanya katika Obamacare wakakwama. Unapokuwa na 'thin majority' chochote kinaweza kutokea, si GOP pekee hata Dems
''Very unlikely'' kwa mujibu wa habari za leo.Inaonekana kuna jingine linafukuta ngoja tusubiriFBI wakimaliza huo uchunguzi wao ndani ya siku 7 na wakisema hakuna jipya, Democrats watadai muda zaidi unahitajika ili kuweza kufanya uchunguzi kikamililifu na kwamba wiki moja haitoshi kufanya uchunguzi wa madai kama hayo....hapo hapo wakijitoa fahamu kuwa waliikalia hiyo barua ya Dr Ford tokea mwezi Julai.....