Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #121
WIKI KATIKA MTAZAMO
Kuna mambo yametokea wiki hii yenye utata kuhusiana na utawala mpya
Vyombo vya habari: Katika mkutano wa CPAC, Trump alishambulia media kama kawaida
Hoja ni media zitaje source za habari kinyume na uandishi unaotaka source kulindwa
Kabla na baada ya kampeni, Trump amekaririwa baadhi ya sehemu akitaja neno 'source' bila majina, mfano, aliwahi kusema 'source' zake zimemeweleza Obama si Raia wa US
Katika hali isiyo ya kawaida, baadhi ya vyombo vya habari vilizuiwa kuingia katika mkutano wa waandishi. Mwaka jana Trump hakuhudhuria mkutano huo
Trump kasema hatahudhuria tafrija ya waandishi 'media gala' unaofanyika kila mwaka
Gala ni mkusanyiko wa kijamii tu na si sehemu ya habari, ni wakati wa utani na mizaha
Trump amelalamikia leak ya habari wakati akiita habari za media ni phony na fake
Inakuwaje leak zinazojadiliwa na media ziwe za kweli na mjadala uwe fake?
Mtifuano na media umeendelea kama 'mbinu' ya kufunika habari za maafisa na Russia
Gazeti moja limetoa taarifa kuhusu uhusika wa maafisa na wa Russia katika uchaguzi
Inte community ilishasema Russia wanahusika. Kinachoendelea ni nani walishirikiana nao
WH iliita maafisa wa FBI kuwashawishi wapuuze taarifa na kutoendelea na uchunguzi
WH pia imewasiliana na kamati ya bunge katika kuzuia habari hizo zisifanyiwa kazi
Ilikuwaje FBI wakakutana na WH wakati uchunguzi unaendelea?
Je, hili halikumbushi Lynch alipokutana na Bill uwanja wa ndege na kuwa 'agenda'?
Kwanini WH inajitahidi kuzuia uchunguzi ikiwa hakuna aliyehusika kutoka kampeni?
Kwanini FBI walitoa taarifa hawakubali kusitisha uchunguzi kama ilivyoombwa na WH?
Kama mtakumbuka wakati wa kampeni tulisema mbinu ya kuingiza 'jambo' ili kuondoa watu katika mijadala ilifanikiwa sana,kwa sasa ni ngumu ni utawala kuna macho mengi
Media zimetambua mashambulizi dhidi yao ni 'distractions' hasa kwa hili la Russia
Inaonekana media zimeanza kupuuza na kutilia mkazo suala zima la Russia na wahusika
Ipo hoja ya kuunda kamati huru ya uchunguzi au mchunguzi huru 'special prosecutor'
Hili ni baada ya kutilia shaka maafisa DOJ na FBI hakuwezi kutoa hali halisi
Katika 'state of Union' Trump anatarajiwa kuongelea Obamacare ili kuleta distractions
Tatizo ni Obamacare ni tatizo wanalokumbana nalo wabunge na maseneta wa GOP
Na wala Obamacare haiwezi kufunika Russia,tayari mgogoro na media unachagiza kutafuta ukweli. Trump akisema media na news ni fake, media zikitaka ku prove si fake
Wakati huo huo kuna 'kaugomvi' na IC ambako habari zinavuja huenda kwa makusudi
Tusemezane
Kuna mambo yametokea wiki hii yenye utata kuhusiana na utawala mpya
Vyombo vya habari: Katika mkutano wa CPAC, Trump alishambulia media kama kawaida
Hoja ni media zitaje source za habari kinyume na uandishi unaotaka source kulindwa
Kabla na baada ya kampeni, Trump amekaririwa baadhi ya sehemu akitaja neno 'source' bila majina, mfano, aliwahi kusema 'source' zake zimemeweleza Obama si Raia wa US
Katika hali isiyo ya kawaida, baadhi ya vyombo vya habari vilizuiwa kuingia katika mkutano wa waandishi. Mwaka jana Trump hakuhudhuria mkutano huo
Trump kasema hatahudhuria tafrija ya waandishi 'media gala' unaofanyika kila mwaka
Gala ni mkusanyiko wa kijamii tu na si sehemu ya habari, ni wakati wa utani na mizaha
Trump amelalamikia leak ya habari wakati akiita habari za media ni phony na fake
Inakuwaje leak zinazojadiliwa na media ziwe za kweli na mjadala uwe fake?
Mtifuano na media umeendelea kama 'mbinu' ya kufunika habari za maafisa na Russia
Gazeti moja limetoa taarifa kuhusu uhusika wa maafisa na wa Russia katika uchaguzi
Inte community ilishasema Russia wanahusika. Kinachoendelea ni nani walishirikiana nao
WH iliita maafisa wa FBI kuwashawishi wapuuze taarifa na kutoendelea na uchunguzi
WH pia imewasiliana na kamati ya bunge katika kuzuia habari hizo zisifanyiwa kazi
Ilikuwaje FBI wakakutana na WH wakati uchunguzi unaendelea?
Je, hili halikumbushi Lynch alipokutana na Bill uwanja wa ndege na kuwa 'agenda'?
Kwanini WH inajitahidi kuzuia uchunguzi ikiwa hakuna aliyehusika kutoka kampeni?
Kwanini FBI walitoa taarifa hawakubali kusitisha uchunguzi kama ilivyoombwa na WH?
Kama mtakumbuka wakati wa kampeni tulisema mbinu ya kuingiza 'jambo' ili kuondoa watu katika mijadala ilifanikiwa sana,kwa sasa ni ngumu ni utawala kuna macho mengi
Media zimetambua mashambulizi dhidi yao ni 'distractions' hasa kwa hili la Russia
Inaonekana media zimeanza kupuuza na kutilia mkazo suala zima la Russia na wahusika
Ipo hoja ya kuunda kamati huru ya uchunguzi au mchunguzi huru 'special prosecutor'
Hili ni baada ya kutilia shaka maafisa DOJ na FBI hakuwezi kutoa hali halisi
Katika 'state of Union' Trump anatarajiwa kuongelea Obamacare ili kuleta distractions
Tatizo ni Obamacare ni tatizo wanalokumbana nalo wabunge na maseneta wa GOP
Na wala Obamacare haiwezi kufunika Russia,tayari mgogoro na media unachagiza kutafuta ukweli. Trump akisema media na news ni fake, media zikitaka ku prove si fake
Wakati huo huo kuna 'kaugomvi' na IC ambako habari zinavuja huenda kwa makusudi
Tusemezane