Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #241
FBI DIR. COMEY AFUKUZWA KAZI
-Uchunguzi wa Russia interference ukiendelea
-Yates na Clapper wajadili uzembe wa WH kuhusu Flynn
-Sakata linaingia Oval office kwa mwendo pole
Kwanza, mjadala wa health bill unakwenda katika seneti.
Tunasubiri wakati muafaka tujadili. Kwasasa tujadili la Dir Comey
Akiwa California mkutanoni, Dir Comey alitambua amepoteza kazi kupitia TV.
Licha ya ndege yake kuwa na mawasiliano, hakupewa taarifa
Hilo limetokea siku mbili tangu aliyekuwa mkuu wa DOJ(Dept of Justice) Sally Yates na Mkurugenzi wa usalama Jimmy Clapper kueleza kamati ya bunge nini kilitokea, na walionya vipi kuhusu Flynn kuwa mshauri wa ulinzi wa ulinzi wa Taifa
Flynn alifukuzwa kazi siku 23 baada ya gazeti moja kueleza madudu yake
Yates alisema idara ilitahadharisha mara mbili kuhusu Flynn na Russia
Pamoja na hayo, Rais Obama alimtahadharisha Rais Trump kuhusu Flynn
Kitendo cha WH kumuacha Flynn licha ya tahadhari kimeiadhiri serikali, kukiwa na shaka kwanini Gen Flynn alilindwa hadi magazeti yalipoandika na si taarifa
Zipo taarifa kuwa FBI waliitisha nyaraka za Flynn kwa mamlaka 'subpoena'
Tunaeleza haya ili kuelewa kwanini haya yanatokea. Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya FBI, Flynn, Yates, Comey na Washirika wengine wa kampeni ya Trump
Ikumbukwe Yates wa DOJ alifukuzwa, Sec Session (recuse)akajiweka kando kwa suala la Russia, Nunes akajiweka kando (recuse) kwenye kamati ya bunge
Kama mtakumbuka tulisema suala limeanza mitaani likitafuta njia kufika linapotarajiwa.
Kwasasa si washirika tena wa Trump bali WH inajikuta katika sakata
Inaweza kutoeleweka kwa urahisi maelezo hapo juu, sehemu inayofuata tutaunga mambo yote hadi kufukuzwa kwa Comey
Inaendelea...
-Uchunguzi wa Russia interference ukiendelea
-Yates na Clapper wajadili uzembe wa WH kuhusu Flynn
-Sakata linaingia Oval office kwa mwendo pole
Kwanza, mjadala wa health bill unakwenda katika seneti.
Tunasubiri wakati muafaka tujadili. Kwasasa tujadili la Dir Comey
Akiwa California mkutanoni, Dir Comey alitambua amepoteza kazi kupitia TV.
Licha ya ndege yake kuwa na mawasiliano, hakupewa taarifa
Hilo limetokea siku mbili tangu aliyekuwa mkuu wa DOJ(Dept of Justice) Sally Yates na Mkurugenzi wa usalama Jimmy Clapper kueleza kamati ya bunge nini kilitokea, na walionya vipi kuhusu Flynn kuwa mshauri wa ulinzi wa ulinzi wa Taifa
Flynn alifukuzwa kazi siku 23 baada ya gazeti moja kueleza madudu yake
Yates alisema idara ilitahadharisha mara mbili kuhusu Flynn na Russia
Pamoja na hayo, Rais Obama alimtahadharisha Rais Trump kuhusu Flynn
Kitendo cha WH kumuacha Flynn licha ya tahadhari kimeiadhiri serikali, kukiwa na shaka kwanini Gen Flynn alilindwa hadi magazeti yalipoandika na si taarifa
Zipo taarifa kuwa FBI waliitisha nyaraka za Flynn kwa mamlaka 'subpoena'
Tunaeleza haya ili kuelewa kwanini haya yanatokea. Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya FBI, Flynn, Yates, Comey na Washirika wengine wa kampeni ya Trump
Ikumbukwe Yates wa DOJ alifukuzwa, Sec Session (recuse)akajiweka kando kwa suala la Russia, Nunes akajiweka kando (recuse) kwenye kamati ya bunge
Kama mtakumbuka tulisema suala limeanza mitaani likitafuta njia kufika linapotarajiwa.
Kwasasa si washirika tena wa Trump bali WH inajikuta katika sakata
Inaweza kutoeleweka kwa urahisi maelezo hapo juu, sehemu inayofuata tutaunga mambo yote hadi kufukuzwa kwa Comey
Inaendelea...