Duru za Siasa: Marekani (U.S) Chini ya Donald J. Trump

Duru za Siasa: Marekani (U.S) Chini ya Donald J. Trump

Nadhani kwa sasa hivi ni wazi kuwa :
(a) Trump hana sera yoyote anayosimamia! lengo lake kubwa ni kufuta lolote lile lililofanywa na Obama hata kama ni zuri. Kwa sasa hivi yeye anachotaka ni muswada wowote kutoka Congress unaofuta Obamacare hata kama muswada huo ni mbaya kiasi gani ukifika kwenye desk lake, atatia saini bila hata kuusoma.
(b) Wakati republican wana kampeini dhidi ya Obamacare, walikuwa wanatafuta kura tu, hawakuwa na plani yoyote ya kui-replace. Kuna wapiga kuwa wengi wa trump wanaofaidika na Obamacare, lakini hawataki jina Obama. Kwa hiyo ukiichukua sera zima ya Obamacare kama ilivyo lakini ukaibadili jina na kuiita Trumpcare, utashangaa itakavyoshangiliwa!
 
"Kichuguu, post: 22575970, member: 348"]Nadhani kwa sasa hivi ni wazi kuwa :
(a) Trump hana sera yoyote anayosimamia! lengo lake kubwa ni kufuta lolote lile lililofanywa na Obama hata kama ni zuri. Kwa sasa hivi yeye anachotaka ni muswada wowote kutoka Congress unaofuta Obamacare hata kama muswada huo ni mbaya kiasi gani ukifika kwenye desk lake, atatia saini bila hata kuusoma.(b) Wakati republican wana kampeini dhidi ya Obamacare, walikuwa wanatafuta kura tu, hawakuwa na plani yoyote ya kui-replace. Kuna wapiga kuwa wengi wa trump wanaofaidika na Obamacare, lakini hawataki jina Obama. Kwa hiyo ukiichukua sera zima ya Obamacare kama ilivyo lakini ukaibadili jina na kuiita Trumpcare, utashangaa itakavyoshangiliwa!
Reps kutoka House waliwahi kulalamika kuwa Rais hana ufahamu na nini anataka kufanya kuhusu healthcare.

Maseneta walipoitwa kwa 'Bus' waliondoka wakiwa wameduwaa.

Kila anapokutana nao haongelei wapi Obamacare imekwama na nini wafanye.

Anachokifanya ni kulaani Obamacare , premiums zimepanda, insurance company zinajitoa n.k. Hawezi kueleza mbadala wa nini anataka kufanya, sasa anawaruka kuwa aliwaambia wasubiri

Tumewahi kuzungumzia hili mwanzoni mwa uchaguzi kuwa Trump hana sera ni opportunistic akiangalia wapiga kura wanataka nini, na alifanikiwa.

Kuhusu kuondoa sera za Obama, Rais Trump ana chuki tu na Obama si sera zake pekee
Kuanzia 'Birth certificate' uhalali wa Obama kuwa president n.k.

Alipoingia tu akafuta TPP, well, nchi wanachama wanaendelea China ikiwa kiongozi
Akafuta Paris yenye kuungwa mkono na Dems na GOP, akiulizwa hana sababu
Juzi katamka kufuta transgender, ushahidi upo akisema atailinda bila makamanda kujua

Kubwa zaidi ni kuchukua credit kwa mambo asiyofanya. Uzinduzi wa USS Gerald Ford, Trump alisema ni kazi yake wakati meli imeanza kuundwa wakati wa George W. Bush !!!

Ndivyo anavyochukua credit za job creation na market wakati hakuna tofauti ya % katika kipindi kama hicho kwa muda mrefu.

Kuhusu Obamacare, Trump alifuta ruzuku kwa wachimba madini waliofaidika na Obamacare
Wachimba madini walisema wazi kama kuna kitu kiliwaokoa ni Obamacare

Moja ya faida ni kuwa mwenye insurance akifariki, familia inaendelea na mafao kwa miaka
Of course Trump amegundua linaumiza 'electoral college' amesaini extension

Ku sign extension maana yake ni kukubaliana na Obamacare

Wanaopata Medicaid na medcare ni wa vijijini, electral college yake.
Hii ni kutokana na O'care. Pre existing condition imeokoa wengi wakiwemo watu wake

Wengi wanaipenda ACA hawapendi Obamacare bila kujua ni kitu kile kile.
Jina la Obamacare ni kuidhalilisha na kuchanganya watu wasioelewa kwa mujibu wa takwimu

GOP kushindwa kuafikiana si kwasababu nyingine bali namna gani wanaweza kutengeneza kitu tofauti wakati huo huo wasiathiri maisha ya watu. Hakuna jibu

Trump hana sera tangu mwanzo, na wala hakuna kitu kinaitwa sera ya GOP.
Ukimsikia mtu anasema hayo ujue ni mfuasi wa Kellyane Conway wa ''alternative facts''

Tukiangalia Legislation alizofanyia kazi hakuna hata moja imepitia Congress
Suala la Judge Gorsuch siyo legislation ni confirmation.

Alichokifanya ni kufuta tu sera za Obama akisema amefanya mengi kuliko Marais wote isipokuwa Truman. Ukweli wa Takwimu ni huu katika miezi sita ya'' modern presidents''

George H.W Bush- 55
Bill CLinton- 50
DJ Trump -42
Barrack Obama- 39
George W Bush- 20

Katika hizo, Trump ame roll back kwa exec order siyo kwa legislation. So far hana hata moja
 
Nadhani kwa sasa hivi ni wazi kuwa :
(a) Trump hana sera yoyote anayosimamia!

Mag3 na rafiki yake wanafanya watu wasisome wala kufuatilia kwa umakini kinachoendelea U.S.

Ukitaka kujua sera ya Trump & Republicans ya healthcare inakubidi usome key issues za healthcare bills zinazopigiwa kura halafu utofautishe na ACA. The same applies kwenye kodi, ulinzi mipakani, immigration, trade, sera za nje, military, welfare, veterans, social security, elimu, uchumi, climate change, space, n.k

Ukiishia tu kusoma posts za humu na kuangalia/kusoma/kusikiliza media zinazoimba habari za 'Russia collusion' kila siku ni wazi hutaona anachosimamia Trump. Utajua tu kile wanachotaka ujue. Jaribu ku-challenge taarifa unazopata, usimezeshwe tu.


lengo lake kubwa ni kufuta lolote lile lililofanywa na Obama hata kama ni zuri.

Hakuna Rais US anaeweza kufuta kila kilichofanywa na predecessor wake kwa sababu mazuri lazima yatakuwepo. Kuna mambo mengi sana yaliyofanywa na Obama ambayo Trump hata hajazungumzia kufuta.

Lakini ni kitu cha kawaida kwenye demokrasia kwamba Rais wa chama kingine anapoingia madarakani anategemewa kufanya mabadiliko mengi ukilinganisha na Rais wa chama kile kile. Hata Ted Cruz au Marco Rubio angekuwa Rais leo ungemuona anajitahidi kufuta mambo mengi yaliyofanywa na Obama.

Lakini pia wagombea wanaahidi vitu wakati wa kampeni na wanapigiwa kura kutekeleza hayo. Wazungu wako serious na ahadi za kampeni, huwezi tu kuwanunulia kanga na kofia na kuwawekea wasanii kipindi cha kampeni halafu wakakurudisha awamu ya pili wakati hujatekeleza uliyoyaahidi.

Kama ulifuatilia debates kwenye Primaries hasa za Republican candidates ungejua misimamo yao kuhusiana na sera za Obama. Tena wagombea wengine walikuwa so agressive zaidi ya Trump kuahidi kufuta vitu vingi vilivyofanywa na Obama.

Kila anachokifanya Rais Trump ni kile alichowaahidi wananchi kuwa akishinda atakifanya. Hilo ndilo lengo lake kubwa.

Kwa sasa hivi yeye anachotaka ni muswada wowote kutoka Congress unaofuta Obamacare hata kama muswada huo ni mbaya kiasi gani ukifika kwenye desk lake, atatia saini bila hata kuusoma.

Kwanza, Trump anafanya kazi na Republicans kwenye healthcare bills. Tom Price (Sec. HHS) na team yake pia wako kwenye constant consultations na Congress kuhusiana na miswada ya repeal & replace ACA na mambo mengine.

Trump anachotaka na anachosisitiza ni kwamba vitu viende haraka. Kwa mfano, anawashangaa R's kwamba wameimba ku-repeal na ku-replace ACA kwa miaka 7 kwa sababu hawakuwa na WH, sasa hivi wanayo na bado wanachelewa.

Ndio maana angetamani kuona Senate rule ya filibuster inabadilishwa kwenye baadhi ya vitu ili kuruhusu kupitishwa miswada kwa simple majority ('nuclear option') badala ya kutumia 'budget reconciliation' yenye conditions na isiyoruhusu full changes.

Kuna miswada 200+ imekaa Congress haijapitishwa na sio kila mswada R's wanaweza kutumia 'budget reconciliation' kupitisha. Rais Trump anachotaka ni kuona R's walio Congress wanafanya kazi na sio kuongea tu.

Kwahiyo kusema kwamba atatia saini bila kusoma ni kuwa naive, kwa sababu atarudi kuelezea kwenye re-election na wananchi watakuwa wameona matokeo ya sheria alizosaini.

Lakini pia, Rais kulilia miswada ni kitu cha kawaida kwenye demokrasia, kwani hata Obama kipindi chake cha pili alikuwa analilia miswada (kwa bahati mbaya chama chake hakikuwa na Congress) na haikuja kama alivyotaka.

(b) Wakati republican wana kampeini dhidi ya Obamacare, walikuwa wanatafuta kura tu, hawakuwa na plani yoyote ya kui-replace.

Ungefuatilia Republican primaries ungejua kila mmoja akiwemo Trump (then candidate) alieleza sera yake ya healthcare na sera zingine.

Kampeni ya Republicans dhidi ya Obamacare haikuanza kipindi cha kampeni mwaka 2016 bali ilianza 2010. Mwaka 2015 mwishoni R's walimaliza kufanyia kazi ACA repeal and replace bill iliyoitwa Healthcare Freedom Reconciliation Act kwenye Senate baada ya kupita kwenye House (240-181). Waliipitisha kwa 'budget reconciliation'. Obama alii-veto mwaka jana mwanzoni.

Kinachowakumba R's sio kwamba hawana bill ya ku-replace ACA, hapana, ni kwamba wana healthcare bills na ideas nyingi zinazoshindwa kupata kura za kutosha. Ndio maana utasikia wako kwenye majadiliano ili wa-compromise kwa sababu Senators kama Susan Collins (Maine), Lisa murkowski (Alaska) au John McCain (Arizona) hawawezi kupata 100% ya kila wanachokitaka.

Kuna wapiga kuwa wengi wa trump wanaofaidika na Obamacare, lakini hawataki jina Obama.

Political witchhunt continues.

Kitendo cha kusema hawataki jina Obama una-insinuate kwamba wao ni wabaguzi. Hao unaowaita wabaguzi walimpigia kura Obama mara mbili mwaka 2008 na 2012 na akashinda. Walikataa sera za Obama mara ya tatu kupitia kwa Hillary mwaka 2016. Kosa lao ni kuhitaji mabadiliko au kosa lao ni nini?

Na kama walihitaji mabadiliko ina maana hawakufurahishwa na yaliyotokea ikiwemo Obamacare. Kwa sababu kama walifaidika na Obamacare iweje walimpigia kura mtu aliyewaahidi kuwa atai-repeal na ku-replace badala ya yule aliyewaahidi kuiboresha?

Pengine mwaka 2012 walimpigia tena kura Obama kwa sababu Obamacare haikuwa na madhara sana kwao kama ilivyokuwa mwaka 2016. Maana kama walikuwa na tatizo na jina 'Obama' wasingempigia kura mara zote mbili na kumpa ushindi. Hasahasa wasingempigia kura Obama mwaka 2012 maana kipindi hicho Obamacare tayari ilikuwa na miaka miwili.


Kwa hiyo ukiichukua sera zima ya Obamacare kama ilivyo lakini ukaibadili jina na kuiita Trumpcare, utashangaa itakavyoshangiliwa!

Ukifuatilia debates za healthcare zinazoendelea Congress, watu wanajadili provisions za ACA na zile za R healthcare bills, Senators wanapeleka amendments na kuongeza provisions kwenye repeal and replace bills. Hawana shida ya a.k.a ya sheria, wana shida na effects zake.

Wapiga kura nao hawana shida na a.k.a kama unavyodhani. Ndio maana hujasikia Republican yeyote anasema hataki Obamacare kwa sababu ina jina la Obamacare.

Hivi unajua kuwa hata Dems wenyewe wanakubali kuwa ACA ina matatizo? Na wao ndio kabisa hawajui hata watatue vipi maana wengi wao hawakujua walichopitisha? Wamebaki kuzungumzia spending cut kwenye medicaid mara wapiga kura wa Trump watakosa coverage huku hawana alternative.

Kwamba Dems wanampenda sana Trump hadi wamkumbushe kuwa anapoteza wapiga kura aki-repeal ACA?, wanasahau alipata kura kwa kuahidi kui-repeal ACA? Well, as a matter of fact, Trump atapoteza wapiga kura asipo-repeal ACA.

Kuna watu wana shida na provisions za ACA kwa miaka 7 sasa toka ipitishwe.
 
Mag3 na rafiki yake wanafanya watu wasisome wala kufuatilia kwa umakini kinachoendelea U.S.

Ukitaka kujua sera ya Trump & Republicans ya healthcare inakubidi usome key issues za healthcare bills zinazopigiwa kura halafu utofautishe na ACA. The same applies kwenye kodi, ulinzi mipakani, immigration, trade, sera za nje, military, welfare, veterans, social security, elimu, uchumi, climate change, space, n.k

Ukiishia tu kusoma posts za humu na kuangalia/kusoma/kusikiliza media zinazoimba habari za 'Russia collusion' kila siku ni wazi hutaona anachosimamia Trump. Utajua tu kile wanachotaka ujue. Jaribu ku-challenge taarifa unazopata, usimezeshwe tu.




Hakuna Rais US anaeweza kufuta kila kilichofanywa na predecessor wake kwa sababu mazuri lazima yatakuwepo. Kuna mambo mengi sana yaliyofanywa na Obama ambayo Trump hata hajazungumzia kufuta.

Lakini ni kitu cha kawaida kwenye demokrasia kwamba Rais wa chama kingine anapoingia madarakani anategemewa kufanya mabadiliko mengi ukilinganisha na Rais wa chama kile kile. Hata Ted Cruz au Marco Rubio angekuwa Rais leo ungemuona anajitahidi kufuta mambo mengi yaliyofanywa na Obama.

Lakini pia wagombea wanaahidi vitu wakati wa kampeni na wanapigiwa kura kutekeleza hayo. Wazungu wako serious na ahadi za kampeni, huwezi tu kuwanunulia kanga na kofia na kuwawekea wasanii kipindi cha kampeni halafu wakakurudisha awamu ya pili wakati hujatekeleza uliyoyaahidi.

Kama ulifuatilia debates kwenye Primaries hasa za Republican candidates ungejua misimamo yao kuhusiana na sera za Obama. Tena wagombea wengine walikuwa so agressive zaidi ya Trump kuahidi kufuta vitu vingi vilivyofanywa na Obama.

Kila anachokifanya Rais Trump ni kile alichowaahidi wananchi kuwa akishinda atakifanya. Hilo ndilo lengo lake kubwa.



Kwanza, Trump anafanya kazi na Republicans kwenye healthcare bills. Tom Price (Sec. HHS) na team yake pia wako kwenye constant consultations na Congress kuhusiana na miswada ya repeal & replace ACA na mambo mengine.

Trump anachotaka na anachosisitiza ni kwamba vitu viende haraka. Kwa mfano, anawashangaa R's kwamba wameimba ku-repeal na ku-replace ACA kwa miaka 7 kwa sababu hawakuwa na WH, sasa hivi wanayo na bado wanachelewa.

Ndio maana angetamani kuona Senate rule ya filibuster inabadilishwa kwenye baadhi ya vitu ili kuruhusu kupitishwa miswada kwa simple majority ('nuclear option') badala ya kutumia 'budget reconciliation' yenye conditions na isiyoruhusu full changes.

Kuna miswada 200+ imekaa Congress haijapitishwa na sio kila mswada R's wanaweza kutumia 'budget reconciliation' kupitisha. Rais Trump anachotaka ni kuona R's walio Congress wanafanya kazi na sio kuongea tu.

Kwahiyo kusema kwamba atatia saini bila kusoma ni kuwa naive, kwa sababu atarudi kuelezea kwenye re-election na wananchi watakuwa wameona matokeo ya sheria alizosaini.

Lakini pia, Rais kulilia miswada ni kitu cha kawaida kwenye demokrasia, kwani hata Obama kipindi chake cha pili alikuwa analilia miswada (kwa bahati mbaya chama chake hakikuwa na Congress) na haikuja kama alivyotaka.



Ungefuatilia Republican primaries ungejua kila mmoja akiwemo Trump (then candidate) alieleza sera yake ya healthcare na sera zingine.

Kampeni ya Republicans dhidi ya Obamacare haikuanza kipindi cha kampeni mwaka 2016 bali ilianza 2010. Mwaka 2015 mwishoni R's walimaliza kufanyia kazi ACA repeal and replace bill iliyoitwa Healthcare Freedom Reconciliation Act kwenye Senate baada ya kupita kwenye House (240-181). Waliipitisha kwa 'budget reconciliation'. Obama alii-veto mwaka jana mwanzoni.

Kinachowakumba R's sio kwamba hawana bill ya ku-replace ACA, hapana, ni kwamba wana healthcare bills na ideas nyingi zinazoshindwa kupata kura za kutosha. Ndio maana utasikia wako kwenye majadiliano ili wa-compromise kwa sababu Senators kama Susan Collins (Maine), Lisa murkowski (Alaska) au John McCain (Arizona) hawawezi kupata 100% ya kila wanachokitaka.



Political witchhunt continues.

Kitendo cha kusema hawataki jina Obama una-insinuate kwamba wao ni wabaguzi. Hao unaowaita wabaguzi walimpigia kura Obama mara mbili mwaka 2008 na 2012 na akashinda. Walikataa sera za Obama mara ya tatu kupitia kwa Hillary mwaka 2016. Kosa lao ni kuhitaji mabadiliko au kosa lao ni nini?

Na kama walihitaji mabadiliko ina maana hawakufurahishwa na yaliyotokea ikiwemo Obamacare. Kwa sababu kama walifaidika na Obamacare iweje walimpigia kura mtu aliyewaahidi kuwa atai-repeal na ku-replace badala ya yule aliyewaahidi kuiboresha?

Pengine mwaka 2012 walimpigia tena kura Obama kwa sababu Obamacare haikuwa na madhara sana kwao kama ilivyokuwa mwaka 2016. Maana kama walikuwa na tatizo na jina 'Obama' wasingempigia kura mara zote mbili na kumpa ushindi. Hasahasa wasingempigia kura Obama mwaka 2012 maana kipindi hicho Obamacare tayari ilikuwa na miaka miwili.




Ukifuatilia debates za healthcare zinazoendelea Congress, watu wanajadili provisions za ACA na zile za R healthcare bills, Senators wanapeleka amendments na kuongeza provisions kwenye repeal and replace bills. Hawana shida ya a.k.a ya sheria, wana shida na effects zake.

Wapiga kura nao hawana shida na a.k.a kama unavyodhani. Ndio maana hujasikia Republican yeyote anasema hataki Obamacare kwa sababu ina jina la Obamacare.

Hivi unajua kuwa hata Dems wenyewe wanakubali kuwa ACA ina matatizo? Na wao ndio kabisa hawajui hata watatue vipi maana wengi wao hawakujua walichopitisha? Wamebaki kuzungumzia spending cut kwenye medicaid mara wapiga kura wa Trump watakosa coverage huku hawana alternative.

Kwamba Dems wanampenda sana Trump hadi wamkumbushe kuwa anapoteza wapiga kura aki-repeal ACA?, wanasahau alipata kura kwa kuahidi kui-repeal ACA? Well, as a matter of fact, Trump atapoteza wapiga kura asipo-repeal ACA.

Kuna watu wana shida na provisions za ACA kwa miaka 7 sasa toka ipitishwe.
Mzee, mimi siyo mtu wa kumezeshwa habari. Ninazijua siasa za Marekani kwa kiasi cha kutosha kwa kuwa ni msomaji mzuri sana wa vyanzo mbalimbali vya habari na pia naweza kuzichambua. Kujenga ukuta mpakani au kurepeal Obamacare siyo seyo sera hizo.
 
Breaking News: Turmoil in WH...The newly appointed Communications Director Anthony Scaramucci out!

White House communications director Anthony Scaramucci has offered his resignation, ABC News has learned.

The news comes only days after Scaramucci's hiring earlier this month. Since then, the White House has faced the resignations of press secretary Sean Spicer and Chief of Staff Reince Priebus.

A day prior to Priebus' announced departure last week, Scaramucci made headlines for delivering a scathing, profanity-laced critique of the chief of staff to a reporter with The New Yorker.
 
Breaking News: Turmoil in WH...The newly appointed Communications Director Anthony Scaramucci out!

White House communications director Anthony Scaramucci has offered his resignation, ABC News has learned.

The news comes only days after Scaramucci's hiring earlier this month. Since then, the White House has faced the resignations of press secretary Sean Spicer and Chief of Staff Reince Priebus.

A day prior to Priebus' announced departure last week, Scaramucci made headlines for delivering a scathing, profanity-laced critique of the chief of staff to a reporter with The New Yorker.
Mkuu tunaambiwa kwanini hatujadili mambo mema yanayotokea, sasa kama yanayotokea ni haya tujadili ya kutunga?
 
Mkuu tunaambiwa kwanini hatujadili mambo mema yanayotokea, sasa kama yanayotokea ni haya tujadili ya kutunga?
Huyu bwana Mooochi wakati anakurupuka na maneno ya ajabu ajabu, Trump alimsifia kwa utendaji wake na kauli zake. Leo hata siku 10 hazijaisha kapigwa teke...swali ni je nini hasa Trump anachokisimamia na kukiamnini. Je ana plan yoyote kweli ya healthcare au mradi tu ataunga mkono chochote kile ambacho kinakinzana na msimamo wa mtangulizi wake. Ni kweli ka-sign executive orders nyingi lakini kwa nini alikuwa anamshambulia Obama kwa hilo?

Okay Scaramucci katupwa nje, je General Kelly mamlaka yake yataishia wapi? Je ataweza kumfunga luku mkurupukaji-in-chief Donald Trump? Je ataweza kuwadhibiti watoto wake na mkwe wake? Je atamleta WH press Secretary mpya au hawa hawa Sanders na Conway wataendelea kumwaga upupu kila wakipata nafasi? Kwa kifupi ni je, akiwa na msimamo usioyumba kama anavyotegemewa kuwa nao, atadumu katika hicho cheo chake?

Na mwisho naomba niwahakikishie watu kama [B]El Jefe[/B] kwamba hapa tunajadili mambo yote, mazuri na mabaya. Kwa bahati mbaya bado tunayasubiri hayo mazuri ili tupate fursa ya kuyajadili. Tatizo ni Donald Trump, kama angeufunga mdomo wake na kuacha ku-post mambo ya hovyo kwenye twitter, tungekaa kimya tukisubiri hayo mazuri.
 
Huyu bwana Mooochi wakati anakurupuka na maneno ya ajabu ajabu, Trump alimsifia kwa utendaji wake na kauli zake. Leo hata siku 10 hazijaisha kapigwa teke...swali ni je nini hasa Trump anachokisimamia na kukiamnini. Je ana plan yoyote kweli ya healthcare au mradi tu ataunga mkono chochote kile ambacho kinakinzana na msimamo wa mtangulizi wake. Ni kweli ka-sign executive orders nyingi lakini kwa nini alikuwa anamshambulia Obama kwa hilo?

Okay Scaramucci katupwa nje, je General Kelly mamlaka yake yataishia wapi? Je ataweza kumfunga luku mkurupukaji-in-chief Donald Trump? Je ataweza kuwadhibiti watoto wake na mkwe wake? Je atamleta WH press Secretary mpya au hawa hawa Sanders na Conway wataendelea kumwaga upupu kila wakipata nafasi? Kwa kifupi ni je, akiwa na msimamo usioyumba kama anavyotegemewa kuwa nao, atadumu katika hicho cheo chake?

Na mwisho naomba niwahakikishie watu kama [B]El Jefe[/B] kwamba hapa tunajadili mambo yote, mazuri na mabaya. Kwa bahati mbaya bado tunayasubiri hayo mazuri ili tupate fursa ya kuyajadili. Tatizo ni Donald Trump, kama angeufunga mdomo wake na kuacha ku-post mambo ya hovyo kwenye twitter, tungekaa kimya tukisubiri hayo mazuri.
Huu ugonjwa haujawakumba ninyi tu,umewakumba wengi sana Duniani kote pamoja na baadhi ya wamarekani wenyewe. Kuna watu wanaamini trump hawezi kumaliza miaka 4 ikulu ya WH. Yaani kwao kwa vile uchaguzi uliwafanyia ukatili,basi kwao uchaguzi bado unaendelea..! Poleni mkuu mag3 na nguruvi3 kwa huu ugonjwa. Kupona kwenu mpaka trump ashinde awamu ya pili..!!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
"magode, post: 22603277, member: 250906"]Huu ugonjwa haujawakumba ninyi tu,umewakumba wengi sana Duniani kote pamoja na baadhi ya wamarekani wenyewe.
Ni maoni yako na tunayaheshimu.
Kuna watu wanaamini trump hawezi kumaliza miaka 4 ikulu ya WH.
Kama wanaamini hivyo kinakusumbua nini?

Kwanini usiwaache na maruwe ruwe yao ukiwa na habari unazoamini kuwa ni kweli kwa mtazamo wako!
Yaani kwao kwa vile uchaguzi uliwafanyia ukatili,basi kwao uchaguzi bado unaendelea..!
Uchaguzi ullikwisha , Mshindi ni Trump kwa electoral collge takribani 306. Kaapishwa na ni Rais halali.
Hapa jamvini UZI wa uchaguzi ambazo ni 2 zimefungwa

Uchaguzi kuisha haina maana kwisha kwa habari. Sallyate alitumiliwa ikawa habari. Sean, Scaramucchi,Comey, Rebius wametemuliwa, ni habari.
Kuna conflicting information kutoka WH kila siku, ni habari

Leo kuna mpya ya Fox new , DNC na WH, ni habari

Kuna Russia investigation habari leo Trump alishiriki kuandika statement, ni habari.

Kila siku kuna jipya ambalo ni habari na linajadiliwa kila mahali si kwa jicho la uchaguzi bali jicho la habari. Unayeona ni masuala ya uchaguzi ni wewe peke yako na una haki
Poleni mkuu mag3 na nguruvi3 kwa huu ugonjwa. Kupona kwenu mpaka trump ashinde awamu ya pili..!!
Nilidhani ungekuja kueleza kwa namna nyingine.

Ungeja na hoja ili wanaofuatilia wapate kitu cha kufikiri, kutafta ukweli n.k.

Umekuja na kajeli na kashfa. Samhani upo sehemu isiyo ku fit, una hiari ya kufuatilia kama ufanyavyo in civil way, au una hiari ya kutofuatilia kabisa.

Ukija hapa uje na hoja, vioja vina maeneo yake na unaweza kuyatafuta na kuji fit huko
 
WIKI HII KATIKA SIASA ZA US

KAULI ZA KUTATANISHA KUTOKA KWA LAWYER, RAIS

Baada ya habari za mkutano wa Don Jr na 'Russia team' kuvuja, kuliandaliwa statement
Statement iisema mkutano ulikuwa wa adoption, na kwamba Rais hakushiriki kuaiandika

Iliwahi kuandikwa na WAPO kuwa Rais alisaini statement aliyotoa Don Jr,baadaye ilibadilika na kukiri mkutano ulihusu 'dirt' za Hillary Clinton

Mwanasheria wa Trump bwana Jay Sekulow amesema katika TV mara nyingi Rais haukushiriki wala hakujua kuhusu taarifa iliyoandikwa

Washinton Post imeandika tena kuhusu Rais kum-mislead kijana wake kwani kauli ya adoption kinyume na maudhui ya email zilizosema mkutano ni dirt za kumsaidia Trump

Msemaji wa WH Sarah Sanders amekiri Trump alishiriki katika 'kupima' kauli

Hapa kuna mambo mawili, kwanza, Lawyer Sekulow mwenye heshima Washington ameonekana ima anaongopa au hakuwa na habari kamili kuhusu ushiriki wa Trump

Kama walivyo viongozi wengine, Sekulow kakutana na fedheha

Pili, kwa habari hizi, kuna udadisi kuhusu suala la Rais kujua uwepo wa email, alijua lini

Tatu, kunahisia za 'funika' kombe au cover up inayounganishwa na sakata la Comey

Nne, zipo taarifa za kuwataka wakuu wa vyombo vya 'kufumbia macho' suala Russia

Tano, kwa kauli zinazobadilika kila mara, zinakaribisha maswali zaidi mbele ya safari

Ukitazama mwnenendo, suala lilianza kwa washirika wa kampeni, likagusa Familia ya Kampeni sasa linaonekana taratibu kujongelea WH.

Kuna jambo au ni fake news, ni suala la muda

Tusemezane
 
Breaking News
========
The Dow Jones Industrial Average, the principal measure of the US stock market, crossed the 22,000-point milestone on Wednesday morning, for the first time in its history. It had broken the 20,000-point mark in January.
The index went up 43 points at the opening, reportedly thanks to Apple Inc. posting unexpectedly good quarterly results on Tuesday. Apple stock went up nearly 6 percent in pre-market trading.

Dow hit the 21,000-point mark in early March, then took five months to hit the current milestone. The shares that have had the biggest impact on the average were those of Boeing (380.29 points), McDonald’s (171.14 points) and UnitedHealth Group (166.35 points), according to CNBC.

Dow Jones breaks 22,000 for first time ever
-----------
Mazuri haya hapa ya Trump Tunaweza kuyajadili pia.
 
  • Thanks
Reactions: dtj
TUJITEGEMEE
Ahsante kwa taarifa, tusaidie kuelewa kidogo kuhusu stock.
Mwaka 2000, 2008 Dow ilikuwa na point ngapi? January 2017 ilikuwa na point ngapi?
 
Ahsante kwa taarifa, tusaidie kuelewa kidogo kuhusu stock.
1. Mwaka 2000, 2008 Dow ilikuwa na point ngapi? 2.January 2017 ilikuwa na point ngapi?
1. Nadhani zilikuwa chini kuliko kiwango kilichovukwa leo
2. January wamesema ilikuwa 20,000-point mark
------
Hata hivyo huku kwenye masuala ya miamala ya fedha ama forex, yaani walimu wangu, inabidi mfanye kazi ya ziada kunifundisha maana niko shallow mno. Ombi hili limfikie hata na mwalimu wangu wa masomo ya zaida El Jefe

The Dow Jones Industrial Average, the principal measure of the US stock market, crossed the 22,000-point milestone on Wednesday morning, 1.for the first time in its history. It had broken 2. the 20,000-point mark in January.
 
Donald Trump...Rais dhaifu na mwoga kuwahi kutokea nchini Marekani!

Rais wa Marekani Donald Trump kadhihirisha kwamba yeye ni kiongozi mwoga na dhaifu kuliko viongovi wote waliomtangulia na inaonekana anayemtia hofu zaidi si mwingine bali ni Rais wa Urusi Vladimir Putin. Trump aliingia madarakani kwa mbwembwe na kuanza kusaini maagizo ya kiutendaji (executive orders) hadharani huku akiwa amezungukwa na wasaidizi wake pamoja na waandishi wa habari. Lakini leo kasain mswada wake wa kwanza mkubwa uliopitishwa kwa kishindo na Congress ya Marekani kwa kificho bila mbwembwe kama kawaida yake.

Je ni kitu gani kinamtia woga hadi aufyate kama alivyofanya leo?

Jibu ni Vladimir Putin. Wamarekani walio wengi wanajiuliza ni kitu gani kimemsibu Rais wao hadi ashindwe kutoa hata tamko Wamarekani zaidi ya 700 walipotimulia nchini Urusi na balozi yao kutiwa hekaheka? Ingekuwa imetokea katika nchi yoyote ile Trump hangenyamaza ama kwa vyombo vya habari au mtandaoni kwenye twitter lakini hapa kabana kimya. Mswada ambao amelazimika kuusign ni ule unaoiwekea Russia vikwazo na amefanya hivyo shingo upande huku akiitupia Congress lawama kwa kuchukua hatua kama hiyo.

Je ni kwa nini Trump anamuogopa Putin kiasi hicho?

Tusemezane.
 
DJ index ya leo siyo kipimo cha ufanisi wa Trump. Jamaa huyu alikuta DJ index ikiwa inapanda kwa miaka sita mfululizo, na bado inaendelea na momentum ile ile. Tupime ufanisi wake baada ya miaka kama miwili hivi ijayo. Ukiangalia DJ index kwa miaka kama thelathini iliyopita inaonyesa kuwa DJ index ilipanda wakati wa utawala wa Clinton na Obama tu, Bush mdogo na Bush mkubwa walisuasua tu.

upload_2017-8-2_23-50-28.png
 
Donald Trump...Rais dhaifu na mwoga kuwahi kutokea nchini Marekani!

Rais wa Marekani Donald Trump kadhihirisha kwamba yeye ni kiongozi mwoga na dhaifu kuliko viongovi wote waliomtangulia na inaonekana anayemtia hofu zaidi si mwingine bali ni Rais wa Urusi Vladimir Putin. Trump aliingia madarakani kwa mbwembwe na kuanza kusaini maagizo ya kiutendaji (executive orders) hadharani huku akiwa amezungukwa na wasaidizi wake pamoja na waandishi wa habari. Lakini leo kasain mswada wake wa kwanza mkubwa uliopitishwa kwa kishindo na Congress ya Marekani kwa kificho bila mbwembwe kama kawaida yake.

Je ni kitu gani kinamtia woga hadi aufyate kama alivyofanya leo?

Jibu ni Vladimir Putin. Wamarekani walio wengi wanajiuliza ni kitu gani kimemsibu Rais wao hadi ashindwe kutoa hata tamko Wamarekani zaidi ya 700 walipotimulia nchini Urusi na balozi yao kutiwa hekaheka? Ingekuwa imetokea katika nchi yoyote ile Trump hangenyamaza ama kwa vyombo vya habari au mtandaoni kwenye twitter lakini hapa kabana kimya. Mswada ambao amelazimika kuusign ni ule unaoiwekea Russia vikwazo na amefanya hivyo shingo upande huku akiitupia Congress lawama kwa kuchukua hatua kama hiyo.

Je ni kwa nini Trump anamuogopa Putin kiasi hicho?

Tusemezane.
You nailed it!
 
Wakuu Mag3 na Kichuguu , suala la Russia tulihoji tangu wakati wa uchaguzi
Baadhi ye wenzetu wakachukua maneno ya Kellyanne 'US inataka kumirisha uhusiano na Russia''

Hakuna wakati wa kampeni Trump alizungumzia Russia kwa namna nyingine isipokuwa ''mahaba''
Aliwatolea macho French, Japan, UK, China na wengine kana kwamba ni waovu wa dunia

Dec 2016 Obama aliwatimua majengo kule Maryland. Hotuba ya kuaga kule Chicago Obama alizungumzia sana demokrasia kama sehemu muhimu sana na kwamba ilindwe isiingiliwe

Aliacha Intel Comm zijulishe congress kilichotokea, tangu hapo aliyebaki na 'denial' ya meddling ni Trump
Seneti wamepitisha mswada kwa 98-2, House 419-3, yaani imepitisha kwa 517-5.

Mswada ukawekewa 'Veto' kwamba Trump hawezi kucheza nao hadi arudi congress.
Hili hutokea mara chache sana na limetokea kwa kujua 'denial' ya Trump na ulaini kwa Putin

Jana kasaini kwasababu hakuwa na namna, tena akiwa amejifungia.
Halafu aka slam congress yeye ni business man anajua kufanya deal kuliko Congress.

Well, hajui kuwa kutawala ni 'business' tofauti

Wapo wanaouliza mbona hakufanya deal ya healthcare.
Tangu aingie WH mswada wa sheria uliofika mbele yake ni wa vikwazo vya Russia na amesaini hata kama hakupenda, hiyo ndiyo US

Swali la kwanini anamhofia Putin, linakuja na kitu kimoja, mazonge zonge ya Russia investigation yanamweka katika 'box' kwamba hawezi kwenda kulia juu au chini.

Kuna siri nzito sana anayohofia kuhusu Russia.
Hilo linachagiza uchunguzi na ndiyo maana financial deal zake zinaangaliwa

Katika modern history, Rais Trump ni weak kwa Russia kuliko mwingine aliyewahi kutokea

Trump anamuogopa Putin kuliko anavyoogopa EU Block na China kwa Pamoja

Ameifanya US kupoteza u super power! mbele ya Putin Trump hana kauli kabisa
 
Walk down memory lane

That's cynicism, I think no one is gullible enough to believe those unsubstantiated remarks implying that DJT is a Russian stooge!

Congressman John Lewis's statements are more subjective rather than objective and should be ignored.
He even embarrassed himself testifying against Sen. Sessions. But, that's what happens when someone doesn't get it especially snowflake liberals.
 
Breaking News: 8 jaw-dropping lines from Trump’s phone calls with Mexico and Australia!

Simu alizopiga Rais Donald Trump kwa Marais wa Mexico na Australia baada tu ya kuapishwa mwezi Januari mwaka huu zimeanza kuvuja na zinatia aibu kweli kweli. Vuteni subira...
 
Back
Top Bottom