El Jefe, nimeamua kuwa kuanzia sasa nitakuwa nakujibu kwa ushahidi ama wa video, sauti au maandishi na wewe nakuomba ufanye hivyo hivyo kuondoa ubishi usiokuwa na maana. Kwa kuanzia ni ahadi ya Trump to repeal and replace Obamacare, akiungwa mkono na Dr. Ben Carson ambaye anaahidi akipewa hiyo nafasi atasimamia utekelezaji kuhakikisha Obamacare inapigwa stop mara moja.Hivi kwanini mnapenda ku-assume sana vitu humu?
Ulisema hana Lobbyist au special interest."El Jefe, post: 18591802, member: 387168"]Naomba unifahamishe kilichopo katika tax file ya Trump.
Halafu unaniuliza kwanini Trump hakutoa tax return zake? Seriously
Ndiyo hoja yako kuwa Trump anaita watu wengi ili kujaza nafasi. Ukatoa hadi namba. Tukakueleza si hivyo, kuna nafasi anateua moja kwa moja na nyingine analetewe zikiwa zimefanyiwa vetting.
Ulisema hana Lobbyist au special interest.
Nikauliza ,unaposema hivyo umeona Tax file kiasi cha kamini hana vitu hivyo?
Mimi sijui kuna nini katika tax file yake ndiyo maana sijasema hana special interest au lobbyist. simple
Unaposema Hillary hakutoa speech zake, ni hoja zinazochosha
Speech na Tax file ni vitu tofuati
Hakuna Rais wa US wakiwemo wagombea wa GOP aliyekataa kutoa tax file yake, maana yake si sheria bali utamaduni kama ule wa concession speech.
Lakini muhimu hapa ni wewe kuelewa kuwa hoja za speech zinajibiwa kwa mtazamo huo na hoja za tax zinajibiwa kwa mtazamo huo.
Hapa ndipo tunakueleza kila siku, haya mambo si Simba na Yanga! Umeelewa!
Nilichokimaanisha katika hayao nili bold ni Cabinet and key positions. Sasa kama unatafuta spelling error na kuifanya mjadala hilo linaeleza ombwe la hoja.Sikumaanisha kwamba Trump ataita hao mamia wote kwa siku moja kwa sababu bado ana zaidi ya mwezi kukamilisha kazi ya kuteua kwa 'key positions' na sio 'key cabinet positions' kama ulivyosema mwanzo.
please hebu tuwe na mjadala constructive"El Jefe, post: 18588395, member: 387168"]Trump anategemewa kuteua watu kwenye nafasi 1270 zitakazoidhinishwa na Senate na nafasi 363 ambazo sio za kuidhinishwa na Senate. Unategemea azungumze na watu wachache?
Nilimaanisha position ni nyingi na anakutana na watu wengi. Hayo ya kusema wote anakutana nao kwa siku moja sijui umetoa wapi.Kama unadhani nafasi zote hazijazwi siku moja, hapa ulimaanisha nini please hebu tuwe na mjadala constructive
Unajua kuna wakati huna hoja."El Jefe, post: 18592836, member: 387168"]Sijakuelewa unavyosema utawatambua special interests na lobbyists wa Trump kwenye kupitia kwenye tax return.
Ok ! IRS unayosema si ndio watu wana file tax huko au nimekosea!Hamna doubt kwamba Trump alikuwa ana-influence decisions Washington DC.Alikuwa insider na alikuwa anaingia gharama za ku-lobby na according to IRS hizo gharama sio tax deductible.
Hujazisoma?Naomba nijibiwe kwanini Hillary hakutoa Scripts za speech zake za Wall Street?
Unajua kuna wakati huna hoja.
Nilichosema kama hana special interest au lobbyist ni vema uone vitu vingi.
Ndiyo maana watu wanadai tax return kuoanisha na nyaraka nyingine na kuleta maana iliyokusudiwa.
Special interest na Lobbyist wapo wa aina nyingi
Kwa mfano, kampeni za Marekani pesa zinazotumika zinajulikana.
Lakini kuna kitu kinaitwa super PAC humo kuna watu wana interest zao
Ni kweli lobbyist wapo legally lakini si hivyo tu watu wana circumnavigate the system
Na unaweza kujua hayo kupitia nyaraka mbali mbali
Hivyo usiiangalie tax return kwa wepesi tu
Source ya income na kodi zake zipoje?
Ok ! IRS unayosema si ndio watu wana file tax huko au nimekosea!
Sasa ulichouliza kuhusu tax return ni kitu gani ikiwa unajua haya?
Ulikataa kuwa huwezi kujua lobbyist kupitia tax return, sasa unakubali hoja za lobbysist kwa mujibu wa 'IRS' please
Ukasema hana lobbysist sasa unasema ni miongoni mwao. I mean..
Please naona umeamua kuharibu uzi na mjadalaNahitaji unifahamishe ni jinsi gani huwezi kumfahamu lobbysts mpaka tu uone tax return ya mtu?
Again unachukua maneno unayafanyia spinning out of contextSuper PACs zanajulikana na zipo wazi. Niko interested na 'yaliyofichwa' kwenye tax return.
Hili suala limeleta tatizo. Teuzi za akina Bannon , Sessions zinazidi kuchochea madai ya Spencer.Niliwahi kusema ushindi wa Donald Trump utaamsha hisia za kibaguzi ambazo zilikuwa zimelala tu. Toka siku Obama alipochaguliwa mwaka 2008, lilikuwa ni swala la muda tu na kweli akatokea mkombozi waliyekuwa wakimsubiri...
Hail Trump, hail our people, hail victory...
America was until this past generation a white country designed for ourselves and our posterity,
It is our creation, it is our inheritance, and it belongs to us
We will make America white (great?) again...
-Alt-right Richard Spencer
Mkuu Nguruvi3, kuna kitu kinatokea Marekani ambacho hakitoi picha inayoeleweka mpaka mtu uwe unajua kitu kinachoitwa gerrymandering na impact yake katika uchaguzi Marekani. Kuna wakati Republicans, kwa sababu walikuwa madarakani walikula njama katika ugawaji wa mipaka ya uchaguzi siyo kulingana na idadi ya wapiga kura bali kiitikadi.Baada ya uchaguzi Mag3 amekuwa akileta update the popular vote. Haitegemewi popular vote kubadili matokeo lakini tulisema ina maana
Bandiko la nukuu tulieleza transition inavyoyumba.Sijui unataka kueleza nini hapa ambacho sikielewi pengine
Unakubali kuwa Jared yupo katika transition pamoja na Chris
Unakubali kuwa Chris amekuwa demoted kutoka chair
Jared ni privy wa Trump, Christie ni inner cycle and loyal kwa Trump
Usifikiri ni jambo rahisi kwa Trump kumtupa yeyeote kati ya wawili hao
Kilichotokea ni power struggle and vengeance. Jared anaona ana upper hand katika kumu influence Trump. Chris anamuona Jared ni novice
Kwa mtazamo huo the 'broker' akawa Mike Pence ili kumweka Trump mbali na interest zake kwa wote jambo ambalo lingemkwaza
Yes wanafanya kazi lakini under Pence ili kuondoa nani ni Boss na ku iron out the difference. Christie as loyal member wa Trump lazima atapata post kubwa
Jared as privy and henchman wa Trump ana nafasi no matter what
Haya hayondoi ukweli kuwa tiff miongoni mwao lili derail transition team
What the fuss on this?