Duru za Siasa: Matokeo ya Uchaguzi Marekani

Duru za Siasa: Matokeo ya Uchaguzi Marekani

Mitt hafai kabisa.

Kwa jinsi alivyompinga Trump ni bora tu akakaa pembeni kwa kweli.
Ni swala la who needs the other the most and why...Mitt or Trump. Ni swala zaidi la kutafuta angalau some form of acceptance and legitimacy especially from across the fence. Mitt hakujipeleka kama akina Rudy na Chris, aliitwa.
 
Ni swala la who needs the other the most and why...Mitt or Trump. Ni swala zaidi la kutafuta angalau some form of acceptance and legitimacy especially from across the fence. Mitt hakujipeleka kama akina Rudy na Chris, aliitwa.
To seek some form of acceptance and legitimacy from whom and why?

The way he went about in opposing Trump is unprecedented.

I don't think he can be trusted. I mean the man did all he could to stop the president elect from becoming president and now all of a sudden he can be trusted to work for him?

No way, no how.

Halafu Rudy na Chris hawakujipeleka. Wao ndo walikuwa wapiga debe wakubwa wa Trump.

Ni watu waliofanya kazi mchana na usiku kutwa kumpigia debe hadi akashinda.

Sasa watu waliokuwepo kwenye inner circle wamejipelekaje?

Top surrogates unadai wamejipeleka?

You're off your rocker dude.
 
Mitt hafai kabisa.

Kwa jinsi alivyompinga Trump ni bora tu akakaa pembeni kwa kweli.
Katika kundi lililosuka mipango ya kumwengua Trump wakati kampeni inayumba Mitt alikuwa kiongozi, alimsema Trump haswa

Kwa upande mwingine nakubaliana na hoja za Mag3 kwamba 'who needs the other the most'

Hapa Trump anamhitaji Mitt Romney kwasababu kadhaa

1. Kupunguza makali ya 'the establishment' , kuwarudisha kundini akijua ni ni Mitt 'KOL'

2. Trump ana uelewa mkubwa sana wa siasa za dunia kuliko Trump na atakuwa msaada

Shida, loyalist wameshtuka kwa appointment ya Nikki Haley ''aliyemponda'' Trump kama Mitt

Wanaona agenda yao dhidi ya Washington itakuwa imekufa na wao kuwekwa kando

Tishio wameliona kwa Christie, pamoja na sacrifice hata kabla ya Pence amewekwa kando kiasi

Mtu wanayemuona ni sahihi ni Rudy. Tatizo la Rudy ni hardliner

Rudy kuwa sec of state kutakuwa tatizo. Kukiwa na tension ya mambo ya 'nationalist'
Rudy ataonekana kuwakilisha kundi la akina Bannon, Sessions wanaotuhumiwa kwa namna moja ua nyingine
 
To seek some form of acceptance and legitimacy from whom and why?

The way he went about in opposing Trump is unprecedented.

Sasa watu waliokuwepo kwenye inner circle wamejipelekaje?

Top surrogates unadai wamejipeleka?

You're off your rocker dude.
Here you go again, completely missing my point. Remember, there's something called the vetting process...does loyalty and image supersede qualification?
 
Here you go again, completely missing my point. Remember, there's something called the vetting process...does loyalty and image supersede qualification?

Does loyalty and image supersede qualification?

Well, it depends. It depends on the context.

And in this context I think it does.

Mitt Romney was the de facto leader of the Never Trumpers movement.

He did all that he could in his power to ensure Donald Trump doesn't set foot in the White House [which in essence he wanted Hillary to win].

He took him [Trump] down like nobody else in this election cycle. Hillary and the Dems couldn't even come close to Mitt's takedown.

He [Mitt] called Trump a 'phony' and a 'fraud'. He said Trump's promises are 'as worthless as a degree from Trump university'.

Mitt can't be trusted. I'd look at him with a skewed eye.

And who's to say he won't use that position of Secretary of State just to advance his platform?

No Mitt for SoS. No way, no how.

 
Shida, loyalist wameshtuka kwa appointment ya Nikki Haley ''aliyemponda'' Trump kama Mitt

Hapana aisee.

Nikki Haley hakumponda Trump kama Mitt alivyomponda.

Huwezi kabisa kulinganisha opposition ya Nikki na Mitt dhidi ya Trump.

Hebu cheki muhtasari wa mchano wa Mitt....

 
Hapana aisee.

Nikki Haley hakumponda Trump kama Mitt alivyomponda.

Huwezi kabisa kulinganisha opposition ya Nikki na Mitt dhidi ya Trump.

Hebu cheki muhtasari wa mchano wa Mitt....
Hold on a minute dude, have you tried to ask yourself why Trump had to reach out to Mitt in the first place? What forced his hand to lift that phone and call Romney, the de facto leader of the Never Trumpers movement?

Popular votes update: as of Friday November 25th, 2016.
  • Hillary Clinton: 64,156,255
  • Donald trump: 62,238,425
  • Difference: 1,917,830
That in spite of this, Trump is the 45th President of the USA this difference, is ridiculously preposterous...completely contrary to nature, reason, or common sense! People have to be scratching their heads!
 
Hold on a minute dude, have you tried to ask yourself why Trump had to reach out to Mitt in the first place? What forced his hand to lift that phone and call Romney, the de facto leader of the Never Trumpers movement?

I don't know. But, do you?

Popular votes update: as of Friday November 25th, 2016.
  • Hillary Clinton: 64,156,255
  • Donald trump: 62,238,425
  • Difference: 1,917,830
That in spite of this, Trump is the 45th President of the USA this difference, is iculously preposterous...completely contrary to nature, reason, or common sense! People have to be scratching their heads!

And what's your point there [if you even have one]?
 
Then what the heck did you mean when you asserted so authoritatively that, I quote, "No Mitt for SoS. No way, no how".

I meant exactly that. That No Mitt for SoS. No way, no how.

What part of that didn't you understand?

The point is majority of Americans wanted Hillary Clinton for president, that is what!

Too bad because in America they don't have a direct [pure] democracy. Instead, they have a representative democracy.

And therefore, in the United States, the candidate who wins the most votes does not always win the presidency.

If your Hillary didn't like the system that is in place then she shouldn't have run for president knowing there is a possibility of getting more popular votes [mainly coming from the left coast] but lose in the electoral college votes and consequently lose the presidency. It's nothing new. It has happened before.

So that fact alone renders the whole point moot.

Oh by the way, Trump won more states than your Hillary.

Did you know that?
 
I meant exactly that. That No Mitt for SoS. No way, no how.
What part of that didn't you understand?
Yet you have no idea why he was ever called, ain't that something!
Too bad because in America they don't have a direct [pure] democracy. Instead, they have a representative democracy.

And therefore, in the United States, the candidate who wins the most votes does not always win the presidency.
Yeah, like when Obama won by far both the popular votes and electoral votes in 2012 but still lost both houses, representative democracy indeed!


So that fact alone renders the whole point moot.

Oh by the way, Trump won more states than your Hillary.

Did you know that?
Sure though two million more cast their votes for Clinton rather than Trump for presidency.
 
Yet you have no idea why he was ever called, ain't that something!

Mitt ain't getting that job.

Yeah, like when Obama won by far both the popular votes and electoral votes in 2012 but still lost both houses, representative democracy indeed!

Yes indeed, it is.

Sure though two million more cast their votes for Clinton rather than Trump for presidency.

Still a moot point.

Clinton ain't the president-elect.

Deal with it.
 
Popular votes update: as of Friday November 25th, 2016.
  • Hillary Clinton: 64,156,255
  • Donald trump: 62,238,425
  • Difference: 1,917,830
That in spite of this, Trump is the 45th President of the USA this difference, is ridiculously preposterous...completely contrary to nature, reason, or common sense! People have to be scratching their heads!

Hillary won California by over 3.4 Million votes, She can be their 'POTUS'. Trump won the popular votes of the other 49 States by over 2.5 Million votes.
 
Popular votes update: as of Friday November 25th, 2016.
  • Hillary Clinton: 64,156,255
  • Donald trump: 62,238,425
  • Difference: 1,917,830

Do you know that at least 3 Million illegals voted in the just concluded Presidential election?
 
Wakuu wangu Nguruvi3, Mag3, Jeff na wengine,
Vp kuna possibilities zozote za kurabkuwa recounted kwenye uchaguzi mkuu wa marekani, je kuna loophole yyt. Na kama ipo wht if ikaonenekana kuna makosa, nini impact yake kwa mshindi?? Japo najua mpaka sasa mshindi rasmi hajatangazwa.

Fuatilia article hii toka kwa wanasheria na wataalamu wa HC

general counsel Marc Elias on listening and responding to calls for an audit and recount:

"Over the last few days, officials in the Clinton campaign have received hundreds of messages, emails, and calls urging us to do something, anything, to investigate claims that the election results were hacked and altered in a way to disadvantage Secretary Clinton. The concerns have arisen, in particular, with respect to Michigan, Wisconsin and Pennsylvania — three states that together proved decisive in this presidential election and where the combined margin of victory for Donald Trump was merely 107,000 votes.

It should go without saying that we take these concerns extremely seriously. We certainly understand the heartbreak felt by so many who worked so hard to elect Hillary Clinton, and it is a fundamental principle of our democracy to ensure that every vote is properly counted.

Moreover, this election cycle was unique in the degree of foreign interference witnessed throughout the campaign: the U.S. government concluded that Russian state actors were behind the hacks of the Democratic National Committee and the personal email accounts of Hillary for America campaign officials, and just yesterday, the Washington Post reported that the Russian government was behind much of the “fake news” propaganda that circulated online in the closing weeks of the election.

For all these reasons, we have quietly taken a number of steps in the last two weeks to rule in or out any possibility of outside interference in the vote tally in these critical battleground states.
First, since the day after the election we have had lawyers and data scientists and analysts combing over the results to spot anomalies that would suggest a hacked result. These have included analysts both from within the campaign and outside, with backgrounds in politics, technology and academia.

Second, we have had numerous meetings and calls with various outside experts to hear their concerns and to discuss and review their data and findings. As a part of this, we have also shared out data and findings with them. Most of those discussions have remained private, while at least one has unfortunately been the subject of leaks.

Third, we have attempted to systematically catalogue and investigate every theory that has been presented to us within our ability to do so.

Fourth, we have examined the laws and practices as they pertain to recounts, contests and audits.

Fifth, and most importantly, we have monitored and staffed the post-election canvasses — where voting machine tapes are compared to poll-books, provisional ballots are resolved, and all of the math is double checked from election night. During that process, we have seen Secretary Clinton’s vote total grow, so that, today, her national popular vote lead now exceeds more than 2 million votes.

In the coming days, we will continue to perform our due diligence and actively follow all further activities that are to occur prior to the certification of any election results. For instance, Wisconsin and Pennsylvania conduct post-election audits using a sampling of precincts. Michigan and many other states still do not. This is unfortunate; it is our strong belief that, in addition to an election canvass, every state should do this basic audit to ensure accuracy and public confidence in the election.

Beyond the post-election audit, Green Party candidate Jill Stein announced Friday that she will exercise her right as a candidate to pursue a recount in the state of Wisconsin. She has indicated plans to also seek recounts in Pennsylvania and Michigan.

Because we had not uncovered any actionable evidence of hacking or outside attempts to alter the voting technology, we had not planned to exercise this option ourselves, but now that a recount has been initiated in Wisconsin, we intend to participate in order to ensure the process proceeds in a manner that is fair to all sides. If Jill Stein follows through as she has promised and pursues recounts in Pennsylvania and Michigan, we will take the same approach in those states as well. We do so fully aware that the number of votes separating Donald Trump and Hillary Clinton in the closest of these states — Michigan — well exceeds the largest margin ever overcome in a recount. But regardless of the potential to change the outcome in any of the states, we feel it is important, on principle, to ensure our campaign is legally represented in any court proceedings and represented on the ground in order to monitor the recount process itself.

The campaign is grateful to all those who have expended time and effort to investigate various claims of abnormalities and irregularities. While that effort has not, in our view, resulted in evidence of manipulation of results, now that a recount is underway, we believe we have an obligation to the more than 64 million Americans who cast ballots for Hillary Clinton to participate in ongoing proceedings to ensure that an accurate vote count will be reported."
 
Mkuu King Suleiman

Suala unalosema lipo ingawa halijapewa uzito na vyombo vya habari pengine kwa kuangalia madai ya Jill na kuonekana hana cha kupata hata kama recount itafanyika

Kwa upande mwingine Jill ame raise 5M, linaonyesha 'duku duku' miongoni mwa watu

Nyuma ya pazia Dem wanamkono, wanajiuliza kuhusu Wisconsin, Michigan na Penn

Lakini hofu ya Dem ni kuanzia 'hack' ya mtandao, suala la James Comey likimhusisha Rudy Giullian kwa namna fulani.

Kama utakumbuka Rudy alisema alipewa habari na wastaafu wa FBI wenye kiapo maisha

Kisha alibadili kauli na baadhi ya Dem kufikisha barua Inspector DOJ Rudy achunguzwe

Halafu kuna madai ya Trump ya 'rigging' baadhi wanadhani ilikuwa mbinu ya 'kinyume'

Hayo yote yapo katika dhana tu ya watu na hayana ithibati hadi sasa

Kuhusu nini kitatokea

Uchaguzi wa Marekani una process nzito. Kukabidhiana ofisi tu ni miezi 2.

Hakuna namna uchaguzi huo unaweza kufutwa hata kama yataonekana makosa

Kwanini kuna recount?

Ndipo demokrasia ya wenzetu inapoonekana. Watu wanataka kujua kura zilivyochangia kupata Rais wa Marekani. Hilo kwao ni muhimu sana kuliko matokeo

Unakumbuka Al Gore na Bush, in the end ukweli ulijulikana na haukubadilisha matokeo

Trump team

Walipoulizwa kuhusu madai, walisema wana focus kuunda serikali na challenge etc

Kwa mtazamo binafsi hili ni kosa. Walizungumzia sana kuhusu rigging, katika hali inayoendelea walipaswa kusema wanaunga mkono process ya recount

Nadhani walishinda perfect and square, hawakuwa na sababu za kutokabiliana na tuhuma hizi ana kwa ana, kwa maana kuwa kauli tu ya recount ifanyike ingeondoa doubt

Nini madhara ya recount?

Kama tulivyosema recount haitabadili matokeo kwa namna yoyote.
Na isitegemewe Dem wataweza kulifanya agenda kubwa hadi itokee vinginevyo

Madhara ya recount ni kuondoa 'legitimacy' ya Trump kama itathibitika kuna walakini

Kama mapungufu yatatokana ima na kampeni ya Trump au Viongozi , mzigo ni kwa GOP

Hili linaweza kuamsha hisia tulizoona za wale wanaoandamana kwa njia nyingine
Kumbuka wale wanasubiri fursa itakayokuwa na impact ya moja kwa moja

Trump ataongoza Taifa likiwa divided na jitihada za kuliweka pamoja zitakuwa ngumu

Kama umefuatilia kauli za Trump na Obama katika thanks giving, kuna jitihada za kuunganisha Taifa.

Kitakapotokea kitu cha kuondoa uhalali wa ushindi, itakuwa tatizo kubwa

Ni kwa uchechefu wangu kidogo
 
King Suleiman,

Walioanzisha hili suala la kurudia kuhesabu kura ni mgombea Urais kutoka Green Party Jill Stein (ana 1% tu ya kura zote!!) na mgombea mwingine aitwaye Rocky Roque De La Fuente na wanafadhiliwa na Team Hillary.

Team Hillary walidai Trump hatakubali matokeo na kwamba wao hawana shida ya kukubali matokeo lakini tunachokishuhudia ni kinyume chake.

Maombi ya Vote recount yanafanyiwa kazi as long as mtuma maombi amelipa kiasi cha fedha kinachohitajika na hajavuka deadline ya kutuma maombi, ingawa kila State ina sheria zake.

Sababu kuu za Team Hillary kuomba kura zirudiwe kuhesabiwa kwenye hizo swing States ni:

(i) Kwamba wanahisi kuwa Russia au Wikileaks walichakachua vifaa vya kieletroniki vya kupigia kura na ku-hack matokeo ya uchaguzi na hivyo kumpa ushindi Trump.

(ii) Kwamba Hillary anaongoza kwa zaidi ya kura 1.5 M kwenye popular vote. Kwahiyo kuna uwezekano kura zake zote hazikujumlishwa.

(iii) Kwamba wanahitaji kupima usahihi wa mfumo wa upigaji kura na ujumlishwaji wa kura katika hizo swing States tatu.

Tukumbuke kuwa mara ya mwisho Republican kushinda Michigan ilikuwa ni 1988 na Trump amevunja rekodi ya miaka 28. Wisconsin haijawahi kurudia kuhesabu kura za Urais.

Trump amemshinda Hillary kwenye Jimbo la Pennsylvania kwa kura 70,638, ameshinda Michigan kwa kura 10,704 na Wisconsin kwa kura 22,177.

Uhesabuji upya wa kura hauwezi kumpa ushindi Hillary kwenye hizo States zote tatu kwa sababu:

(i) Hakuna ushahidi wowote uliowasilishwa kwamba matokeo yalikuwa hacked na mtu yeyote au vifaa vya ki-electroniki vya kupigia kura vilichakachuliwa au Hillary alihujumiwa kwenye process nzima.

(ii) Wataalam wote waliohojiwa wanasema haiwezekani kiuhalisia ku-hack hizo machine za ki-elekroniki kwa kuwa hazitumii internet na taarifa zinasafirishwa kwa kutumia flash au data card.

(iii) Popular vote sio kigezo.

(iv) Usahihi wa mfumo wa uchaguzi ni kwamba kura mpya zitacheza humohumo kwenye kura zilizokwishakuwa certified. Usiku wa uchaguzi (tarehe 8 Nov) kura zilihesabiwa mara mbili. Then kila state ina-certify tena na kufunga. Recount inakuwa ni sawa na kuhesabu mara ya nne.

Ingawa kuna matatizo madogo madogo katika shughuli nzima ya uchaguzi, matatizo hayo yanasawazishwa wakati wa ku-certify matokeo kwenye kila State.

Ku-certify matokeo kunaweza kubadilisha matokeo kwa kura chache (mamia au maelfu kadhaa) lakini sio kura 70,000 au 20,000. Ndio maana mwanzoni Trump alishinda Michigan kwa zaidi ya kura 13,000 lakini baada ya ku-certify zikapungua hadi 10,704. Baada ya ku-certify kura za Pennsylvania kura za Trump ziliongezeka kidogo.

Ila tusisahau, Team Trump nao wametaja wasiwasi wao na matokeo ya States za Colorado, Virginia, Nevada, California na New Hamphire. Wanadai idadi ya waliopiga kura kwenye counties kadhaa katika hizo States ilikuwa ni kubwa kuliko waliojiandikisha na kwamba mamilioni ya watu wasio raia walipiga kura.

Nadhani Team Hillary wanatapatapa tu na/au bado wamechanganyikiwa. Hillary ameutafuta Urais kwa kipindi kirefu sana na haamini kilichotokea. Ukweli mchungu ni kuwa hawezi tena kuwa Rais wa US.
 
This is too low even for you...not worth responding to.
Sir, what you are reporting to us is the Nominal Popular Vote.

Real Popular Vote has to omit the No. of illegals who voted in the election.

Real Popular Vote = Nominal Popular Vote - Number of Illegals who Voted

In our case, Hillary's Real Popular Vote should exclude the 3M figure, it's just common sense.
 
Back
Top Bottom