Mkuu Nguruvi3, nimeupenda mfano wako wa mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa, subject matter ni mtoto, sio kilifanyika nini, lini na wapi, kitendo kilichomtengeneza huyo mtoto!, kidini anaitwa mwana haramu!, kwa Sharia law, haruhusiwi hata kuridhi mali!, kama ni wa kike, rukhsa baba yake mzazi kumuoa na kumfanya mke!. Kosa la huyu mtoto ni nini?!. waliofanya uzinifi ni kina nani?, wao wanaadhibiwaje kwa uzifu wao?, is it fair kumuandibu mwana haramu kwa makosa ya uzinifu wa wazazi wake?!. Wazinifu wamekiri, mtoto hakuujua uzinifu ule, lakini anayeadhibiwa ni mtoto!, is it fair?!.
Comming back to waraka, mkuu Nguruvi 3, jee umeweza kuelewa chochote kuhusu hii
au nipige darasa zaidi?.
Mkuu Nguruvi3 ukiisha chagua upande, you've chosen your side, and you'll love, giard, keep and defend your choice!, hivi na wewe, of all the people anaamini waraka ulitaka kufanya mapinduzi na sio kulobby for changing the mind set ya wapiga kura?. Usiuhukumu kwa mtindo wa pakacha la samaki mmoja akioza, wote wameoza!, what was the motive behind ule waraka?, kweli kabisa Mkuu Nguruvi3 with due all that respect unaamini ulikuwa na lengoi la kufanya mapinduzi nje ya electral system ya Chadema?!.
Nani walitaka kuvuruga chama?, nia ya kukiimarisha chama ili kiweze kuishika ikulu ndiko kuvuruga?, Harakati za kisiasa most of the times zinapangwa kisiasa, lakini mashambulizi ndani ya uwanja wa mapambano, yanatekelezwa kijeshi!, naomba niwasaidie baadhi yetu ambao hakupita jeshini hivyo hawajui mbinu za medani!. Warakauliandaa ambush ya kupata viongozi bora, kabla ambush haijafanywa kwanza inafanyika "rake patrol" inafanya kwa usiri mkubwa!. Hii ilisha fanyika, kisha inafuta planing phase, askari wa kawaida hawaambiwi, na jemedari baada ya kuonekana hawezi kushinda vita, watu mko front line, pia hashirikishwi!, na mkiwa vitani mkajiridhisha jemedari hawezi kuongoza mnapaswa ku take kitu kinaitwa "initiatives" ama mkubali kumvumilia jemedari goigio mshindwe vita muangamizwe, ama kumuondoa jemedari na 2i/c kuongoza mapambano. Wanaoamua kumuondoa jemedari sio 2i/c bali ni askari wa mstari wa mbele "Kitila. Mwigamba na wengine!, tena kuhakikisha mpango ni wa siri sana, unaohusisha watu wachache sana usually wawili, watatu, baada ya kumueliminate comander, ndipo 21/c anaarifiwa rasmi, kuwa jemedari is no more, he must asume comanding as the new jemedari, there is no time to negotiate au kuuliza what happened,na yeye akisita, he'll be take out immediately coming to the 3i/c!. Mpango umetibuliwa kabla ya utekelezaji, ila utekelezaji ulikuwa uwe wa kisiasa kupitia uchaguzi halali ndani ya Chadema!.
Huko sio kukashifu hizo ni missiles, silaha za maangamizi!. Kati ya vitu vinavyoturudisha nyuma sana sisi Watanzania ni kutokuwa wakweli, kutosimama na ukweli, na kukumbatia unafiki!, hayo yaliyoelezwa kumhusu "jemedari" kwani ni uongo?, amezushiwa?, amesingiziwa?!. Hizo ni hard facts, ukiwa front line, yoy have to play by the rules, uki cross the line of fire you are taken out!. Jemedari crosed the line!, he has to be taken out, you just shoot!. Uliprefer wamsifie?, very bright, very honest!, na mwaminifu sana katika ndoa?!. Kumbuka the scheme was ment to be top secret! not for public consumption!, hivyo hivyo hizo kashfa hazipo?. Hata mimi, nikiwa na wewe tuu peke yetu kwenye chumba au kwenye lift, nikakutikana bila mtu yoyote kusikia, huwezi kunishitaki eti nimekuvunjia heshima!. Ili nikuvunjie heshima, lazima a third part asikie!. According to to the codes of secrecy za waraka ule, its considered only insiders tuu ndio walijua!. Zamani dada zetu na mama zetu, walibakwa sana ila hawakudhubutu kusema to any third part itakuwa ni aibu!, mbakaji huwa ana strike again and agai and again kwa sababu mbakwaji would radher keep secret ya kubwaka kuliko aibu ya kusema!. Chadema ndio walio leak huo waraka na kumuibisha jemedari wao!.
Siasa ni kama vitani, kuna point ukifika ni no retreat, no surrender, you fight from within!, huwezi kulikimbia shamba ukawaachia ngedere watafune mahindi!. Nape alipombwatukia Lowassa kwenye issue ya UVCC nini kilimtokea?!, si alifukuzwa JK akamuokoa!. Alipotangaza vua gamba, nathing was done!, amejiuzulu, si anaendelea ku fight from within!?. Juzi yeye na Kinana walipoibuka na mawaziri mizigo, JK si amewapuuza?!, wamefanya nini?, walipaswa kujiuzulu!, ila wajiuzulu na kuwaachia gedere wamalize shamba?!, its fighting from within!. Si mmemuona Nape kaibuka na ile hangover ya party supremacy ati CCM itawa summons mawaziri na wakuu wa taasisi za umma!?, CCM iwa simmon mawaziri hiyo CCM ikiwa ni kama nani?, kwenye mfumo wa serikali, what the hell is CCM?, Nape anaota ndoto za alinacha mchana kweupe!. Wenye akili na busara baada ya kuona jahazi linakwenda mrama, captain hawezi tena kuongoza jahazi, dawa ni kuabandon jahazi na kujitosa ndani ya maji au ku replace captain na kuokoa jahazi?!.
Chama si kina chain of command, ushinde kumuondoa jemedari, hali uende kwa wapiganaji usema jemedari hafai?!. Gimme a break!.
Hayo ni mambo ya ndani, au unataka waendelee kumwaga mbiga kwa sababu wenzao wamamwaga ugali?!. Mtafute ZIITO, Kittila na Mwigamba watakueleza one to one!. Siku ile nilipopandisha ile thread ya Chadema kunyofoa kipengele cha ukomo wa madaraka kinyemela, I got a call fro one of them, (not ZZK), kanieleza ukweli ulivyo na jinsi Dr alivyotoa uongo!, sikuweza kusema Dr. ni muongo kwa sababu, pamoja na yote namheshimu sana tuu!. Kwenye hili sakata kuna mengi hayasemwa, nimeshauri wasiendelee adding an insult to an injury to the damage already done!.
Pasco.