Duru za Siasa Special: Mgogoro kambi ya Upinzani (CHADEMA)

Duru za Siasa Special: Mgogoro kambi ya Upinzani (CHADEMA)

Katika mjadala huu mwanzoni kuna bandiko la !Mchambuzi alilosema waraka una matatizo katika 'contents, context na intent'. Wengi wanakwepa ukweli huo na kutafuta mahali pa ku balance.
Waraka umeandikwa na Kitila, uliopo ni wa Kitila balance inawezekanaje? hakuna waraka mwingine?

Siangalii upande, naangalia waraka kwa alichosema Mchambuzi 'contents, context na intent'
Kuna hoja zitokanazo na waraka zinazopaswa kujadiliwa, mengine yajadiliwe kama yalivyo si sehemu ya waraka. Huwezi ku dilute madhara ya waraka kwa CDM kwa kutumia kosa la mtu mwingine.

Pasco tupo duru tangu mgogoro wa Arusha. Wewe ni shahidi wa maandishi yangu kuwaasa viongozi wa CDM tena kwa lugha nzito kuwa lipo tatizo la uongozi.

Niliandika CDM inaelekea kwa NCCR na CUF na kwamba upo mgogoro mkubwa.
Nilikazia wakati wa sakata la Juliana tena nikionya kulikuwa na kundi kubwa nyuma ya Juliana, leo tunalijua.

Katika uzi huu niliandika na kuungwa mkono kuwa uongozi ulichukua hatua kwa njia jazba.
Nilisema kabla ya CC kukaa,iwepo neutral organ kuangalia tatizo linalohusu pande mbili na ni kubwa.

Maana halisi ilikuwa ni kuona kama kuna makosa yanayostahili adhabu na iweje , wakati huo kukiwa na nafasi ya arbitration.

Nilisema kuwa kuwaondoa wadhifa na kuziba nafasi hizo ilikuwa jazba na kwamba kama ni hivyo kwanini hawajaziba nafasi ya makamu mwenyekiti.

Kuhusu waraka, nawashangaa wanaosema madai yaliyotolewa hayajajibiwa.
Huu waraka ulikuwa wa siri, sasa ungejibiwa vipi wakati ulikuwa haujulikani?

Nafasi ya kujulikana ilikuwa katika nfasi zifuatazo
1. Kuzungumza katika vikao hata kama wangefukuzwa
2. Kujiuzulu nafasi zao kama kupinga hatua hiyo
3. Kushawishi wajumbe waone tatizo
4. Kutumia mikutano kusema wazi kile wanachokiona sahihi.

Hawakufanya hivyo, leo eti wapo wanaosema tuhuma zijibiwe.
Ni maandazi yaliyokuwa mitaani leo mnataka yawekwe kwenye mifuko safi ili kuyapa uhalali

Nimekuuliza Pasco kama njia zilizotumika zilikuwa sawa. Ukweli ni kuwa waraka ulikuwa unavuja kipengele kimoja hadi kingine hapa JF kila siku. Nimeweka ushihidi hakuna aliyepinga.

Kuvuja kwa waraka kwa njia za makudi kulilenga kuleta vurugu, ndicho kinaitwa 'malicious intent'.
Kwa upande wa contents waraka hauna kitu cha maana cha kusema ulikusudia kuisadia CDM.
Ni majungu ambayo ninaona aibu kujaribu kyatetea. Najisikia soni aibu,tahayari na fadhaa kusikia umeandikwa na wasomi. Shame!

Kwa upande wa context huko nako hakuna afueni ni aibu tu.
Watu hawaangalii hayo wanaangalia ZZK kwa jicho la upenzi.

Na ili kufunika uvundo wa waraka watu wanasema pande zote zijadiliwe! haa zijadiliwe kwanini kuna waraka mwingine.Mapenzi yamefunika fikra za watu katika kuungalia waraka.

Kwa kujua kuwa watu wana mapenzi Kitila na ZZK wanachomeka hoja ya uenyekiti na watu wanaamini kabisa kuwa hilo ndilo tatizo.

Wamesahau kuwa hii coalition ndio chanzo cha Kafulila, Masalia na Juliana ikiwa imejicficha kwa unafiki. Mnaogopa kusema hawa ni wanafiki kwasababu ya mapenzi. Eti kusema hivyo mtu anachukua upande.

Huwezi kupinga maamuzi ukiwa ndani ya vikao. Hawa ni wahujumu. Yangefanywa na Juliana tungeyapuuza, kwa wasomi wa PhD kuyapaka marashi na utuli ni kupuliza perfume katika samadi

Asichosema Kitila, ni kuwa alikuwa nyuma ya Juliana wakaisadiana na ZZK kuleta mtafaruku.
Mbona Juliana alipotimuliwa hamkusema jambo? Kitila peke yake alisimama na kuseama 'aachwe abalehe'

Mnasahau kuwa nyuma ya migogoro 4 ZZK yupo.
Mkuu Mkandara kaeleza kuwa ZZK alitumainiwa na kuaminiwa na hakuweza kupokea imani hiyo. Natamani watu wangejua uzito wa kauli hiyo ya Mkandara.

Ukiuangalia waraka kwa fikra huru utaona matatizo makubwa sana.
Ukiuangalia kwa jicho la mahaba waraka ni safi saaana.

Swali la nyongeza, ule waraka uliandikwa lini?
 
Katika mjadala huu mwanzoni kuna bandiko la !Mchambuzi alilosema waraka una matatizo katika 'contents, context na intent'. Wengi wanakwepa ukweli huo na kutafuta mahali pa ku balance.
Waraka umeandikwa na Kitila, uliopo ni wa Kitila balance inawezekanaje? hakuna waraka mwingine?

Siangalii upande, naangalia waraka kwa alichosema Mchambuzi 'contents, context na intent'
Kuna hoja zitokanazo na waraka zinazopaswa kujadiliwa, mengine yajadiliwe kama yalivyo si sehemu ya waraka. Huwezi ku dilute madhara ya waraka kwa CDM kwa kutumia kosa la mtu mwingine.

Pasco tupo duru tangu mgogoro wa Arusha. Wewe ni shahidi wa maandishi yangu kuwaasa viongozi wa CDM tena kwa lugha nzito kuwa lipo tatizo la uongozi.

Niliandika CDM inaelekea kwa NCCR na CUF na kwamba upo mgogoro mkubwa.
Nilikazia wakati wa sakata la Juliana tena nikionya kulikuwa na kundi kubwa nyuma ya Juliana, leo tunalijua.

Katika uzi huu niliandika na kuungwa mkono kuwa uongozi ulichukua hatua kwa njia jazba.
Nilisema kabla ya CC kukaa,iwepo neutral organ kuangalia tatizo linalohusu pande mbili na ni kubwa.

Maana halisi ilikuwa ni kuona kama kuna makosa yanayostahili adhabu na iweje , wakati huo kukiwa na nafasi ya arbitration.

Nilisema kuwa kuwaondoa wadhifa na kuziba nafasi hizo ilikuwa jazba na kwamba kama ni hivyo kwanini hawajaziba nafasi ya makamu mwenyekiti.

Kuhusu waraka, nawashangaa wanaosema madai yaliyotolewa hayajajibiwa.
Huu waraka ulikuwa wa siri, sasa ungejibiwa vipi wakati ulikuwa haujulikani?

Nafasi ya kujulikana ilikuwa katika nfasi zifuatazo
1. Kuzungumza katika vikao hata kama wangefukuzwa
2. Kujiuzulu nafasi zao kama kupinga hatua hiyo
3. Kushawishi wajumbe waone tatizo
4. Kutumia mikutano kusema wazi kile wanachokiona sahihi.

Hawakufanya hivyo, leo eti wapo wanaosema tuhuma zijibiwe.
Ni maandazi yaliyokuwa mitaani leo mnataka yawekwe kwenye mifuko safi ili kuyapa uhalali

Nimekuuliza Pasco kama njia zilizotumika zilikuwa sawa. Ukweli ni kuwa waraka ulikuwa unavuja kipengele kimoja hadi kingine hapa JF kila siku. Nimeweka ushihidi hakuna aliyepinga.

Kuvuja kwa waraka kwa njia za makudi kulilenga kuleta vurugu, ndicho kinaitwa 'malicious intent'.
Kwa upande wa contents waraka hauna kitu cha maana cha kusema ulikusudia kuisadia CDM.
Ni majungu ambayo ninaona aibu kujaribu kyatetea. Najisikia soni aibu,tahayari na fadhaa kusikia umeandikwa na wasomi. Shame!

Kwa upande wa context huko nako hakuna afueni ni aibu tu.
Watu hawaangalii hayo wanaangalia ZZK kwa jicho la upenzi.

Na ili kufunika uvundo wa waraka watu wanasema pande zote zijadiliwe! haa zijadiliwe kwanini kuna waraka mwingine.Mapenzi yamefunika fikra za watu katika kuungalia waraka.

Kwa kujua kuwa watu wana mapenzi Kitila na ZZK wanachomeka hoja ya uenyekiti na watu wanaamini kabisa kuwa hilo ndilo tatizo.

Wamesahau kuwa hii coalition ndio chanzo cha Kafulila, Masalia na Juliana ikiwa imejicficha kwa unafiki. Mnaogopa kusema hawa ni wanafiki kwasababu ya mapenzi. Eti kusema hivyo mtu anachukua upande.

Huwezi kupinga maamuzi ukiwa ndani ya vikao. Hawa ni wahujumu. Yangefanywa na Juliana tungeyapuuza, kwa wasomi wa PhD kuyapaka marashi na utuli ni kupuliza perfume katika samadi

Asichosema Kitila, ni kuwa alikuwa nyuma ya Juliana wakaisadiana na ZZK kuleta mtafaruku.
Mbona Juliana alipotimuliwa hamkusema jambo? Kitila peke yake alisimama na kuseama 'aachwe abalehe'

Mnasahau kuwa nyuma ya migogoro 4 ZZK yupo.
Mkuu Mkandara kaeleza kuwa ZZK alitumainiwa na kuaminiwa na hakuweza kupokea imani hiyo. Natamani watu wangejua uzito wa kauli hiyo ya Mkandara.

Ukiuangalia waraka kwa fikra huru utaona matatizo makubwa sana.
Ukiuangalia kwa jicho la mahaba waraka ni safi saaana.

Swali la nyongeza, ule waraka uliandikwa lini?
Mkuu Nguruvi3, ngoja nijaribu kuusoma tena na tena, without Zitto au Dr. Kitila in my mind, nione kama nitabadili perception ili kuona hicho mnachokiona, then, I'll come back to you!.
Pasco.
 
Mkuu AshaDii

Nashukuru kwa bandiko lako ambalo kwa kiasi limenitetea sana katika hoja zangu.
Nipo katika rekodi mwaka 2010 nikiwaambia CDM wajijenge kama institution na wasitegemee personality.Niliwahi kulieleza vema katika mgogoro wa CDM Arusha na mingine iliyofuata.

Nipo katika rekodi hivi karibuni tukiwa na wana duru wengine kusisitiza kuwa CDM imejengwa kwa personality zaidi ya institution na hilo ni tatizo.

Tena hoja ya personality, movement au political organization kaiongea vizuri sana Mchambuzi (Duru za siasa Matukio). Haya yanayotokea kwa sisi wengine yapo katika screen tu, tuliyaona wakati CDM wana shoot hii movie.


AshaDii, sijachukua upande kwa kueleza waraka ulivyo kwa contents, context na intents(Mchambuzi)Hakuna waraka mwingine sasa tujadili upi tena?

Kwangu mimi waraka uliandaliwa kwa siri ukiwa na lengo baya. Kwa mshauri wa CDM kama Kitila sioni alishindwaje kusimama na kueleza kile alichokiona si sahihi.

Mbona sasa anaeleza magazetini? Hivi tunawezaje kuwa na viongozi wa namna hii katika taifa tukasema kuna mbadala wa CCM?


Nikuulize ndugu yangu AshaDii
Ilikuwa ni halali na sawa kwa Kitila na ZZK kuingia na kushiri vikao ambavyo hawakukubaliana na maamuzi yake?

Swali la pili, je hakukuwa na njia nyingine za kueleza matatizo yaliyopo katika taasisi?

Tatu, ilikuwa vema kutumia mitandao kuchomeka hoja za waraka kwa wanachama wa CDM?

Ahsante ndugu yangu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nguruvi3 pengine niulize maswali machache
1. Katika huu waraka unaona kuna uhusika wa moja kwa moja wa MM? ( Zitto )
Mathalani waraka unasema
Sisi wenyewe tunaoandaa mkakati huu hatuna
uhakika kama tunayemtaka yuko tayari na yuko
serious na business hii, na kwa hiyo huenda
tusifanye kwa nguvu zetu zote ikiwa hatutapata
nafasi mapema ya kukutana na mhusika na
akatuhakikishia kwamba yuko serious.

2. Kwa mujibu wa Mwigamba huu waraka ulikamatwa siku ambapo Mwigamba alinyang'anywa laptop kwenye mkutano Arusha je njia iliyotumika hapa ilikuwa sahihi (kumnuang'anya Mwigamba laptop)? na Je kulikuwa na umuhimu wa viongozi wa Chadema kusambaza huu waraka?

3. Katika Press iliyoitishwa ma Tundu Lissu na John Mnyika baada ya ile press ya Zitto pale Serena Hotel walisema huu waraka uliopo mtandaoni ni Feki na kwamba upo mwingine ambao ikibidi watausambaza sasa je ni sahihi kama reference?

cc: Mkandara Mchambuzi Pasco
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nguruvi3 pengine niulize maswali machache
1. Katika huu waraka unaona kuna uhusika wa moja kwa moja wa MM? ( Zitto )
Mathalani waraka unasema


2. Kwa mujibu wa Mwigamba huu waraka ulikamatwa siku ambapo Mwigamba alinyang'anywa laptop kwenye mkutano Arusha je njia iliyotumika hapa ilikuwa sahihi (kumnuang'anya Mwigamba laptop)? na Je kulikuwa na umuhimu wa viongozi wa Chadema kusambaza huu waraka?

3. Katika Press iliyoitishwa ma Tundu Lissu na John Mnyika baada ya ile press ya Zitto pale Serena Hotel walisema huu waraka uliopo mtandaoni ni Feki na kwamba upo mwingine ambao ikibidi watausambaza sasa je ni sahihi kama reference?

cc: Mkandara Mchambuzi Pasco
Bila shaka kuna ambalo hatulijui sisi..Funika kombe mwana haramu apite!
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3,
Mkuu wangu sijasema Zitto aliaminiwa, hajawahi kuaminiwa na kasoro kubwa ya Chadema ni - KUTOAMINIANA. Hii inatokana na kuwavuta mapandiki wasowajua hivyo kila mtu ni mkisiwa. Jeuri na vitendo vyote vya Zitto vinatokana na kuelewa kwamba HAAMINIKI.

Nitakwambia jngine tu ya kwamba Hapo alipo ana jarida kubwa sana la viongozi wa Chadema kama walivyopewa Mbowe na uongozi wa Chadema kuhusu yeye. Na kama hawakulitazama hili kwanza mgogoro huu ndio kwanza unawekewa mafuta, utakuja ripuka vibaya sana na hakuna atakaye pona.

Huu waraka ni kufunika kombe tu hakuna lolote ambalo lingefikia maamuzi yalotolewa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nguruvi3 pengine niulize maswali machache
1. Katika huu waraka unaona kuna uhusika wa moja kwa moja wa MM? ( Zitto )
Mathalani waraka unasema


2. Kwa mujibu wa Mwigamba huu waraka ulikamatwa siku ambapo Mwigamba alinyang'anywa laptop kwenye mkutano Arusha je njia iliyotumika hapa ilikuwa sahihi (kumnuang'anya Mwigamba laptop)? na Je kulikuwa na umuhimu wa viongozi wa Chadema kusambaza huu waraka?

3. Katika Press iliyoitishwa ma Tundu Lissu na John Mnyika baada ya ile press ya Zitto pale Serena Hotel walisema huu waraka uliopo mtandaoni ni Feki na kwamba upo mwingine ambao ikibidi watausambaza sasa je ni sahihi kama reference?
Mkuu wangu, nimeeleza huko nyuma kuwa Zitto hakuandika waraka. Baada ya hapo nikasema ameshiriki kuutumikia nikaonyesha kwa uwazi na ushahidi

Nikasimamiwa kidete kuhusu mazingira niliyoyasema, nami nikauliza, KWANI WARAKA UMEANDIKWA LINI?

Hakuna anayenipa jibu hata mmoja hadi sasa kwa ushahidi wa moja kwa moja au kimazingira. Mimi niliyeeleza ushahidi wa kimazingira nipo wima kuliko asiye na jibu.

Kuhusu waraka, bandiko la juu kabisa nimeeleza kuhusu hilo na sidhani kama kuna shaka kuhusu huo waraka. Endapo upo mwingine nina uhakika maudhui hayana tofauti kwa kusoma hoja za wahusika na wanaotuhumu.

Kuhusu kunyang'anywa laptop, wengi wanasema hakikuwa kitendo kizuri.
Wasichokisema ni kuwa wakati ananyang'anywa laptop alikuwa ndani ya kikao na alikuwa ana post JF habari za kikao kwa jina la masikini mkulima.

Pitia ID hiyo halafu ujiridhishe kuwa kiongozi ngazi ya mkoa na taifa alipaswa kufanya hayo kwanza.

Hadi sasa hivi bado watu wanadai ZZK hahusiki na wanakila aina ya utetezi.
Nashindwa kuelewa kama CDM wangekaa kimya na waraka na kumchukulia hatua sijui ingekuwaje.

Kwasasa pamoja na ushahidi wa waraka na ule wa matendo bado watu hawaamini, vipi wangeamini kwa kusikia tu kuna kitu kama hicho?

Utasona hoja ya waraka inauawa na suala la uenyekiti wa miaka ya nyuma kama tatizo.
Hao wanaosema hayo hawasemi kuhusu harakati za vurugu alizosabbisha ZZ na Kitila kwa kushirikiana na vijana kuleta vurugu mara 4.Mfano usio na shaka ni wa Juliana.

CDM ina tatizo katika uongozi. Niliandika hilo 2012 nikaitwa 'Kigagula' hapa hapa JF. Kwamba nilikuwa natabiri kifo kwa njia za kishirikina, nikavishwa manyanga na ndulele kuitwa Kigagula. Pamoja na hayo ukweli kuwa waraka upo na una makosa katika contents, context na intent.

Kwa wale mnaosisitiza kuhusu waraka na kwamba ZZK hakushiriki, hebu naomba mnipe jibu, ni kwanini ZZK na Kitila walitaka kujiuzulu!
Ni kwanini walitaka kujiuzulu na si kusimamia kile wanachodhani ni haki?


 
Hii kitu nilishaiandikia mara kadhaa sehemu tofauti tofauti. Mkumbo na wenzake walipotoka, labda tuseme tu kuwa adhabu waliyopewa ni kubwa kupita kiasi, lakini siyo kuwa hawakuwa na makosa. Iwapo mambo yaliyofanywa na grupu la Mkumbo yangefanywa na mwanachama wa kawaida asiyekuwa na wadhifa wowote ndani ya chama, ni kweli kusingekuwa na tatizo kabisa. Ila linapofanywa na mtu ambaye na madaraka ndani ya chama, linakuwa ni tatizo. Ni afadhali wasomi hawa wangekuwa na busara ya kujiuzuru nyadhifa zao na kubaki wanachama wa kawaida kabla hawajaaza kupanga mikakati. Huwezi kuwa kiongozi wa chama halafu unapanga mikakati ya kukigawa ili upande wako uwe mkubwa na wewe ushinde madaraka; utafanikiwa sana ila chama chako hakitakuwa kama ulichokuta.
 
Nguruvi3,
Mkuu wangu sijasema Zitto aliaminiwa, hajawahi kuaminiwa na kasoro kubwa ya Chadema ni - KUTOAMINIANA. Hii inatokana na kuwavuta mapandiki wasowajua hivyo kila mtu ni mkisiwa. Jeuri na vitendo vyote vya Zitto vinatokana na kuelewa kwamba HAAMINIKI.

Nitakwambia jngine tu ya kwamba Hapo alipo ana jarida kubwa sana la viongozi wa Chadema kama walivyopewa Mbowe na uongozi wa Chadema kuhusu yeye. Na kama hawakulitazama hili kwanza mgogoro huu ndio kwanza unawekewa mafuta, utakuja ripuka vibaya sana na hakuna atakaye pona.

Huu waraka ni kufunika kombe tu hakuna lolote ambalo lingefikia maamuzi yalotolewa.
Mkuu Mkandara kutoaminiwa kwa ZZK si tatizo la CDM. Nadhani ni muhimu ukajiuliza kwanini haaminiwi.
Kwa makusudi kabisa unasahau kuwa ni huyu alishiriki migogoro 3 iliyopita. Si uongozi tu hata wanachama wao kwa sisi tuliokuwa tunafutilia tuliliona hilo. Ni mara ngapi ameshutumiwa kwa ushiriki wake katika mambo ya CDM na yale ya vurugu?

Haya mkuu Mknadara unayaita mageuzi ndani ya CDM! Sijui ni demokrasia gani hiyo kwakweli bado najifunza.Kwamba watu wafanye harakati za kuvuruga CDM uwaite mashujaa!!

KItila alikuwa mshauri wa chama hadi kufikia kutoa maamuzi muhimu kama ya kupata wabunge wa kuteuliwa. Hivi ulihitaji kuona anaaminiwa kwa njia gani.

Mkuu, nauliza swali lingine, hivi kwanini hawa waliokuwa wanadhani kuna tatizo hawakulisema hadharani?

Hivi kwanini waliendelea kushiriki vikao wakijua hawakubaliani na mwongozo na uongozi uliopo?
 
Hii kitu nilishaiandikia mara kadhaa sehemu tofauti tofauti. Mkumbo na wenzake walipotoka, labda tuseme tu kuwa adhabu waliyopewa ni kubwa kupita kiasi, lakini siyo kuwa hawakuwa na makosa. Iwapo mambo yaliyofanywa na grupu la Mkumbo yangefanywa na mwanachama wa kawaida asiyekuwa na wadhifa wowote ndani ya chama, ni kweli kusingekuwa na tatizo kabisa. Ila linapofanywa na mtu ambaye na madaraka ndani ya chama, linakuwa ni tatizo. Ni afadhali wasomi hawa wangekuwa na busara ya kujiuzuru nyadhifa zao na kubaki wanachama wa kawaida kabla hawajaaza kupanga mikakati. Huwezi kuwa kiongozi wa chama halafu unapanga mikakati ya kukigawa ili upande wako uwe mkubwa na wewe ushinde madaraka; utafanikiwa sana ila chama chako hakitakuwa kama ulichokuta.
Mkuu Kichuguu inashangaza kuona watu wanajitahidi kuufanya waraka kitu halali kilichofanywa kwa njia halali.

Kila ninayemuuliza swali kutoka waraka hanajibu,zinabaki tuhuma za kuchukua upande.
Kitila alikuwa mshauri mkuu wa CDM akibeba dhamana ya kufikia maamuzi yaliyozua utata lakini CDM ilisimama naye kwa kuamini alichokishauri ni sahihi.

ZZK alikuwa katibu mkuu mtendaji msaidizi, na kwamba ni mtu wa 3 kwa wadhifa katika CDM.
Ingalitokea hali yoyote inayosababisha mwenyekiti, makamu na makamu kutotimiza majukumu yao, ZZK angekuwa mkubwa wa CDM.

Leo tunasoma katika magazeti wakilaani CDM na kusema unahitajika mbadala.
Huu ni unafiki mkubwa sana. Kitila unahitajika mbadala gani wakati wewe ndiye ulitengeneza formula ya kupata wabunge wa kuteuliwa na mambo mengi tu. Umeliona la mbadala lini, Dec 2013!

Hivi mwezi Nov 2013 hawakuliona hilo hadi sasa waanze kuandika magazetini.
Na kama kunahitajika mbadala nani alaumiwe kama si viongozi hawa wakubwa walioshindwa kukisaidia chama chao.

Kwa wale wasioangalia mambo katika contents, context na intent Makala ya Kitila wanasema kasema yote na ya ukweli. Ngoja niwaambie kuwa nia ya Kitila katika makala hiyo si kueleza tatizo kwa kina kwasababu anajua kuwa hakuna mahali pa kusimama. Ni makosa aliyofanya. Nia ni kubomoa upinzani kabisa.

Baada ya kufukuzwa tumeona ZZK akimwaga mboga, na sasa Kitila anamwaga Mboga tena kwasababu wapo waliomwaga ugali wao. Well, makala hii ni kuhakikisha CDM inakufa walivyodhamiria siku za nyuma in case hawapati madaraka.

Mara 3 wamejaribu bila mafanikio, na hii ya mwisho Mwigamba kauza ghala la silaha kabisa.
Wanachokifanya ni kuhakikisha wanachochea wanachama wao watiifu waliobaki waondoke CDM na pengine kuua upinzani kabisa.Ukisoma makala kwa utulivu utaliona hilo ndio maana title ni 'kunahitajika mbdala'.

Nakuhakikishia wana mipango ya kuanzisha chama kipya cha kisiasa, jambo ambalo ni haki yao ya msingi kabisa na halina tatizo.Tatizo ninaloliona ni legacy, respect na trust kwa wananchi.

Wameshindwa kusimamia misingi ya haki na usawa, kudai haki wakiwa wamesimama hadharani na si kwenye vichochoro basi ni ngumu sana kupata trust na respect.

Watapata wanachama ambao wengi ni hawa waliojifunga vitambaa usoni wakisoma kila neno na page kwa kutanguliza Kitila na ZZK bila kuangalia contents, text na intents.

Hawa wameua upinzani, wamefelisha wananchi eti wanatetewa tena bila hoja za mashiko.
Inasikitisha sana.

Tumeambiwa bila ZZK basi CDM haiwezi kushinda 2015, mimi nasema lengo si kushinda na kubadilisha wanafiki. CCM wameshindwa kuwataja mafisadi bado tunaaminishwa kuwa wanafiki wengine wanaweza katika hilo.

Kuna watu wanaamini upinzani katika personality na si institution. Hii ni hatari sana, kwamba fulani asipokuwepo basi maisha yanasimama! Kweli!! kwamba ni bora mnafiki mpya kuliko mnafiki mzoefu wa CCM, real!


 
Mkuu Nguruvi3, ngoja nijaribu kuusoma tena na tena, without Zitto au Dr. Kitila in my mind, nione kama nitabadili perception ili kuona hicho mnachokiona, then, I'll come back to you!.
Pasco.
Nakuhakikishia kuwa hutaweza kubadili mawazo kabisa kwa sasa.

Utaweza kubadili endapo utaiangalia CDM kama institution inayoongozwa kwa taratibu, kanuni, sheria na maadili.Utafanikiwa kuona kisichoonekana kama utaiangalia taasisi na si Personality.
Utafanikiwa kama utasoma maandishi ukizingati maudhui, nia na mpangilio.
 
Kwa Maoni yangu waraka umeandaliwa katikati ya mwaka 2013,ila naamini jibu sahihi analo Kitila Mkumbo@Masikini Mkulima@Mwigamba
Sisi wengi ni hisia
Kwahiyo jibu lako si sahihi, si ndiyo maana yako? Kama si sahihi hujajibu swali.
Hata hivyo tunashukuru kwa maoni yako na tunayaheshimu.
 
Mkuu Mkandara kutoaminiwa kwa ZZK si tatizo la CDM. Nadhani ni muhimu ukajiuliza kwanini haaminiwi.
Kwa makusudi kabisa unasahau kuwa ni huyu alishiriki migogoro 3 iliyopita. Si uongozi tu hata wanachama wao kwa sisi tuliokuwa tunafutilia tuliliona hilo. Ni mara ngapi ameshutumiwa kwa ushiriki wake katika mambo ya CDM na yale ya vurugu?

Haya mkuu Mknadara unayaita mageuzi ndani ya CDM! Sijui ni demokrasia gani hiyo kwakweli bado najifunza.Kwamba watu wafanye harakati za kuvuruga CDM uwaite mashujaa!!

KItila alikuwa mshauri wa chama hadi kufikia kutoa maamuzi muhimu kama ya kupata wabunge wa kuteuliwa. Hivi ulihitaji kuona anaaminiwa kwa njia gani.

Mkuu, nauliza swali lingine, hivi kwanini hawa waliokuwa wanadhani kuna tatizo hawakulisema hadharani?

Hivi kwanini waliendelea kushiriki vikao wakijua hawakubaliani na mwongozo na uongozi uliopo?
Mkuu wangu narudia kusema hvi. Kama ushahidi walokuwa nao CDM kuhusu kuhusika kwa Zitto na hayo mambo mengine ndio kwa kutumia vitu kama hivi basi sikubaliani na uzushi ule wote.

Kama leo mnajaribu kutuaminisha kwamba Zitto ndiye alokuwa na mpango wa kupindua CDM kwa ushahidi huu iweje niamini ushahidi mwingineo ambao hatukuwahi nkupewa vile vile zaidi ya Zitto kutokubalianana na maamuzi ya kamati kuu ambayo kwa madai yake hutumia Ubabe kuwanyanyasa wajumbe wa kamati kuu ili wakubaline na maamuzi yao.

Katika hali hii hata kina sisi tuko hatarini kufukuzwa uanachama maana tunapinga maamuzi yalotolewa na tayari mmeshaanza kutuita wapambe wa Zitto na mapandikizi wa CCM. Jambo ambalo sii kweli lakini mnaandika hadi ktk magazeti kuwa sisi ni wana CCM tumetumwa CDM kuimaliza. Na huwezi kunidanganya kwamba wewe sii mwana CDM wakati unatumia ushahidi usiokuwepo kujaza ndoo maji na mara kibao umekubaliana na wito unaotuweka sisi kuwa mapandikizi ilihali wewe sii mwana CDM kwa madai yako kwa sababu tu tumeshiriki kupinga maamuzi yalotolewa..

Sintoandika mengi kuhusu maswala ya nyuma lakini CDM imekuwa ikitumia hila hizi hizi iwe kwa Zitto au mtu yeyote anayepingana na maamuzi yao kwa kuwaita wasaliti na wanahusika na njama za kukimaliza chama. Hivyo sishangazwi tena na madai yalopita kuwa Zitto alihusika ktk migogoro 3 japo haikumhusu yeye ila wale walofukuzwa na tunabambikiwa tu maneno mdomoni. Kutokubaliana na uamuzi wa viongozi wake ndiko kumetafutiwa mchawi!

Bado kabisa mnakwepa ukweli kwamba kamati kuu haina ushahidi wowote dhidi ya Zitto kuhusiana na uhaini unaosemekana ama sisi kuwa wapambe wake au mapandikizi ni hila na makusudi ya kutu assassin character zetu mbele ya umma na mnafanikiwa maana wajinga ni wengi. Huyo Kitila na Mwigamba lini wamepewa nafasi ya kujieleza kwa nini walifikia hatua hiyo ama wapi wametuonyesha hawajawahi kuwakilisha hoja zao zikapigwa chini. Mwisho wake tunaonyeshwa wamefukuzwa pasipo kupewa nafasi ya kujieleza (motive) isipokuwa kujibu tu maswali walokua wakiulizwa!

Na toka lini chama au mtu akaivamie na kukunyang'anya Laptop (Personal item) pasipo hiari wala kibali (search warrant) halafu ushahidi huo utumiwe ktk hukumu. Huoni kaa huo ni UHUNI tumeshindwa vipi kutumia njia halali isipokuwa za kijambazi halafu waraka unaoonyesha madudu yao kuwa ndio mpango wa kukivuruga chama. I mean kama kweli uongozi unayafanya hayo unafikiri wako tayari kuachia ngazi?.. Je kutoka kwa waraka huu wakati karibu kabisa na Uchaguzi wa ndani ya chama (2013) sio njama za kuvuta uchaguzi mbele ili wasiondolewe maana ilijulikana toka 2009.

Kwa wenye kufikiri nje ya box inatuonyesha uongozi umehakikisha hakuna muda walopewa wanachama kujiandaa ikiwa waraka umetoka mwezi au miwili tu kabla ya uchaguzi mkuu wa chama na sasa umeaahirishwa hadi kwaka kesho au kesho kutwa nani anajua!. Na kwa nini nisifikirie hivyo?. Maswali ni mengi sana na ukirudi nyuma kutazama kinachofanyika makao makuu hakika huwezi kusema wanakijenga bali wanatafuta umaarufu wa wanachama kama vile biashara ya Voda inavyotafuta wateja kwa marandazo. haya ni matangazo na wajinga ndio wanaingia mkenge lakini sio sisi maana biashara yoyote inapopata wateja wengi ndio mnauza zaidi na ndivyo navyoisoma CDM sasa hivi.

Tumekuuliza tuonyeshe mahala ambapo Zitto kahusika? Kimyaaa unatafuta hoja nyingine nje ya wataka. Waraka sio Zitto na hakuna mahala waraka huo umeonyesha kukivuruga chama isipokuwa umesisitiza kukiimarisha chama. Waraka unajieleza wazi kabisa laa sivyo unataka kuniambia CDM ni Mbowe na Dr.Slaa kama ilivyo TLP na Mrema au CUF na Sharrif Hamad. Demokrasia ni pamoja na uvumilivu wa kukosoana, kukubali mtazamo wa mtu mwingine maadam havunji kanuni za mrengo na sera za Chama.
 
Mkuu Nguruvi3 pengine niulize maswali machache
1. Katika huu waraka unaona kuna uhusika wa moja kwa moja wa MM? ( Zitto )
Mathalani waraka unasema


2. Kwa mujibu wa Mwigamba huu waraka ulikamatwa siku ambapo Mwigamba alinyang'anywa laptop kwenye mkutano Arusha je njia iliyotumika hapa ilikuwa sahihi (kumnuang'anya Mwigamba laptop)? na Je kulikuwa na umuhimu wa viongozi wa Chadema kusambaza huu waraka?

3. Katika Press iliyoitishwa ma Tundu Lissu na John Mnyika baada ya ile press ya Zitto pale Serena Hotel walisema huu waraka uliopo mtandaoni ni Feki na kwamba upo mwingine ambao ikibidi watausambaza sasa je ni sahihi kama reference?

cc: Mkandara Mchambuzi Pasco

Mkono Luzuba;

Masuala ya kumnyangany'a mtu laptop hili wapate ushahidi tumelizungumza mwanzo mwa thread hii na nafurahi kuona watu wengine wanaliona kuelewa.

Katika suala la uendeshaji wa taasisi ni lazima watu wawe professionals na sio lazima wakubaliane au wapendane. Kutumia njia za kijasusi kupata waraka kunaonyesha kuwa CDM hakina tofauti na CCM.
 
Mkono Luzuba;

Masuala ya kumnyangany'a mtu laptop hili wapate ushahidi tumelizungumza mwanzo mwa thread hii na nafurahi kuona watu wengine wanaliona kuelewa.

Katika suala la uendeshaji wa taasisi ni lazima watu wawe professionals na sio lazima wakubaliane au wapendane. Kutumia njia za kijasusi kupata waraka kunaonyesha kuwa CDM hakina tofauti na CCM.
Je njia za kutumia laptop kuandika mambo ya vikao JF ilikuwa nzuri? Je, huo hakuwa ujasusi?
 
Wanajamvi, hebu tujaribu kujibu maswali haya pengine tunaweza kukutana mahali na tuone wapi tunatofautiana.
Ningeomba atakayejibu anukuu namba ya swali, na yale yasiyo na majibu nayo pia aandike 'hana jibu'

1. Je waraka ulikuwa ni mkakati wa kuisaidia CDM au kuweka viongozi madarakani

2.Kwa kuangalia historia ya migogoro kunatofauti gani kati ya migogoro iliyopita na huu wa sasa

3. Kwanini waandika waraka hawakuacha kushiriki vikao vilivyojua vinakinzana na maono na maoni yao

4.Je ilikuwa ni sahihi kuiba siri za vikao kwa kuhudhuria vikao wasivyoviamini

5.Je, ilikuwa sahihi kwa Mwigamba kutumia laptop kutoa siri za vikao mtandaoni

6. Je, njia ya waraka ilikuwa ya mwisho ‘last bullet' au kungeweza kufanyika tofauti

7. Ni kwanini walitaka kujiuzulu nafasi zao waraka ulipokamatwa

8. Kitu gani kimebadilika kwasasa kinachowapa uhuru wa kuandika katika magazeti na radio

9.Je, ni lini waraka huo umeandikwa na kuna ushahidi gani kuwa haujaanza kutumika au kutumiwa

10. Njia ipi ilikuwa bora ya kushughulikia tatizo na ni kwanini

11. Kiongozi gani wa CDM aliyewahi kufukuzwa kwa kuongea katika vikao vya chama

14. Adhabu aliyopewa Kitila inatokana na waraka au harakati za ZZK kuwania uenyekiti

15. Njia zipi zinazopaswa kutumika kwa wanachama kueleza kero, madhila au maono yao kwa chama chao


Tuendelee na hapo kwanza.
 
Je njia za kutumia laptop kuandika mambo ya vikao JF ilikuwa nzuri? Je, huo hakuwa ujasusi?

Organization yoyote inatakiwa iwe na code ya matumizi ya vyombo vyake na mtumiaji wa vyombo hivyo anatakiwa kutia saini kukubali matumizi ya vifaa kutokana na code za taasisi. Hatua za nidhamu zinachukualiwa iwapo mtumiaji anavunja code.

Kwa mtaji huu ni matumaini yangu kuwa CDM wana code za matumizi ya laptop. Je kutumia laptop kuandika vikao JF au kuandika waraka vipo ndani ya code? Kama havipo ndani ya code, case closed.
 
Nimekuelwa Nguruvi3, wewe ni moja ya wadau wenye Michango mingi ambayo ni ushauri Chanya kwa Chadema toka kitambo. Na ninaposema Chanya I mean it ‘Literally’… Kwa misingi kuwa ingekuwa kweli Viongozi wa Chadema husoma yaliyopo hapa Great Thinkers (yakiwa yameelekezwa kwao) basi ina maana huyasoma kana kwamba wanasikuliza muziki. Yaani kwao ni burudani tu na wala hawana la kujishughulisha Zaidi ya kufurahia burudani hiyo na kuiacha hapo hapo. Kuna mifano ya mada nyingi sana, na kwa kutaja moja wapo ni (https://www.jamiiforums.com/great-thinkers/167157-duru-za-siasa-mgongano-wa-mawazo.html) ambayo pia ipo applicable katika sakata hili la waraka. Chadema walikurupuka mno! Hawakujipanga. Matendo yao ni wazi yalikua yakifikiria vya hapo hapo na si mbele.

Lengo la Waraka (Kuwa na niya mbaya ama nzuri)

Kinachofanya kuwa na mgongano wa mawazo kama waraka ni sawa ama si sawa, ni kwa misingi tu ya namna ipi huo waraka ulipaswa kuchukuliwa.

Tatizo la Waraka lilipaswa kutazamwa kwa angle zote; nani kaandika, nani kaandikwa, nini kimeandikwa, kilicho andikwa kina ushahidi wowote? Na kila angle kufanyiwa kazi ipasavyo. Kufanikisha kulitatua hili tatizo ambalo linaendelea saizi Chadema ilipaswa wote walio guswa katika Waraka huo (Hasa Mbowe na Slaa) wasiwepo katika maamuzi juu ya Waraka, juu ya walio uandaa waraka na juu ya nini kifanyike in relation na waraka huo. Ingefanywa hivyo; then tungesema kweli Chadema kuna Demokrasia ya kweli!

Hatua ambazo zilipaswa kufuatwa katika kuelewa na kuamua endapo waraka ulikua na nia mbaya ama nzuri ni hizi;

1. Kuwepo waraka uliolenga mabadiliko ndani ya Chama ukihusisha watu wachache moja kwa moja hilo kimsingi ni kosa na kwa haraka sana inaweza eleweka kuwa Waraka ulikua na nia mbaya sababu kubwa ni kuwa ulikua wa siri. Hiyo ni hatua ya kwanza kabisa. Hili linafanya adhabu kuwa lazima kwa walioandaa waraka, ingawa narudi pale pale kuunga mkono hoja ya Mkuu Kichuguu – adhabu waliopewa ni kubwa mno!

2. Suala la msingi pia; waliohusika kuandika huo waraka walikua akina nani? In this case ni Mwigamba (Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Arusha na inaesemekana ni Accountant ambae aliingia Chadema kwa lengo la kurekebisha ufujaji wa pesa katika Chama) AND Kitila Mkumbo ambae kwa ufupi ni mtu ambae aliyekuwa akiaminika na wote katika mipango na maamuzi sahihi kwa maslahi ya Chadema. Hayo majina mawili tu, ni tosha kwa Waraka huo kutazamwa content na kuufanyia kazi tokana na FACT kua kuna uwezekano mkubwa sana kilichopo humo ni valid mana wahusika wote wanaielewa Chadema vilivyo kuliko mwanachama yeyote yule wa kawaida wa Chadema.

3. Ilipaswa kuangalia madai yote ya Waraka huo, hatua kwa hatua ili kuangalia endapo madai hayo yalikua valid ama haupo valid. Kitendo hicho kingetoa nafasi ya kufanyia kazi yaliyomo, na baadae ingewezekana hata kutoa adhabu pia kwa viongozi husika pale ingepo dhihirika kuwa yale walioandikwa ni kweli. Ni sawa na askari anapo ingia nyumbani kwako bila warrant - anapokukuta na kile alichokua anatafuta kikihusisha uhalifu (mf, madawa, mali ya wizi, mtu alouwawa n.k) - Kisheria ana uwezo wa kupewa adhabu (licha ya kuvumbua na kulitatua tatizo); ila hilo halizuii mhusika kuto adhibiwa.

4. Waraka ule ungejibiwa kwa hoja na kugusa kila kipengele. Ndio maana narudi kuwa Chadema walikurupuka. Walipo ona ule waraka wakachanganyikiwa mno na kutaka kuenda public ili kujisafisha juu ya Mwigamba ionekane walifanya maamuzi sahihi (Kumbuka suala la Mwigamba ilionekana wazi hata baadhi ya Wana Chadema hawakuridhishwa na maamuzi ya Viongozi juu yake). Wakaenda haraka sana public, mwisho wa siku walipotulia na kusoma content na kuona ina hoja za msingi wakakurupuka tena kuukataa kua ni feki. Hadi leo hii huo ambao ni original kwao wameshindwa ku deliver. Imebaki wazi kuwa huo waraka ndio hasa waraka wenyewe.


Tatizo tokana na hayo juu ni haya;


  • Waraka unazungumziwa sana kuwa ni kosa sababu ni wa siri; ila wengi hawataki kujadili yaliyo ndani ya waraka huo endapo ni kweli ama si kweli.
  • Viongozi walioshutumiwa katika waraka ndio walio husika kutoa maamuzi, sielewi hili limekaa vipi. Mwisho wa siku naona CC imeshindwa kufanya wajibu wao ipasavyo.
  • Namna sakata lote hili lilivyoendeshwa; Chadema imeumia zaidi kuliko Kiongozi yoyote yule wa Chadema. Wengi wanataka kuamini kua it was worth it sababu tu wanaona kana kwamba itammaliza Zitto kisiasa. Tafsiri hii si nzuri kwa Chadema, kwa namna moja ama nyingine inakua kana kwamba wanakubalia kuwa Zitto ni zaidi ya Chadema.

Naomba ni address maswali yako kwangu;

-Ilikuwa ni halali na sawa kwa Kitila na ZZK kuingia na kushiriki vikao ambavyo hawakukubaliana na maamuzi yake?

Mkuu, ni halali kabisa. Ni lazima uingie katika kikao – kukubaliana ama kukataliana na yaliyopo huja baada ya ushiriki na si vinginevyo.

-Swali la pili, je hakukuwa na njia nyingine za kueleza matatizo yaliyopo katika taasisi?

Umeshakiri kuwa Kitila is Bright (whether directly ama through Insinuation); Huo Waraka unadhihirisha kabisa kuwa kuna uwezekano mkubwa sana wahusika (Waandaaji) wamejitahidi hapo nyuma kutumia njia sahihi na zilikwama. Kukwamba kwa njia hizo sahihi ikafanya kuwe na wale ambao wametaka mabadiliko kwa lazima; na hivyo kuandaa waraka kufanikisha hilo.

Ni rahisi kuamini hivyo tokana na nyenendo za Chadema zinaonyesha wazi viongozi wa juu wana sifa hizi ambazo ni maumivu na hulemaza Demokrasia.


  1. Hawashauriki – Hili wewe ni shahidi pia. Chadema (Viongozi na Wanachama) wanajitahidi sana katika ushiriki wa JF. Ni wazi ushauri wote wanaopewa uliolenga kujenga Chama wanausoma ila tu hawaufanyii kazi.
  2. Hawakosoleki – Chadema kuna double Standards, kuna viongozi wanaoruhusiwa kusemwa vibaya bila kujalisha ni kweli ama uongo, na kuna wale ambao hairuhusiwi kabisa kusemwa vibaya bila kujalisha ni kweli ama uongo. Hili unaliona wazi kabisa kila pale itokeapo Kiongozi wa Chadema (hasa Mbowe, Slaa, Lema na Lissu) wakisemwa vibaya – vile harakati za kufanya haraka ku clear hizo tuhuma zinazofanywa haraka sana. Tumeona mfano mzuri Zitto akisemwa vibaya mara zingine hata na vijana ambao inajulikana kabisa wapo katika payroll ya Chadema huwezi kuta harakati hizo zikifanywa.
  3. Mlolongo wa wale ambao wamesimamsihwa uongozi Chadema kwa makosa mbali mbali. Wao hutazama issues in black and white; wao hakuna shades of grey. Hilo ni tatizo kwao.

Tatu, ilikuwa vema kutumia mitandao kuchomeka hoja za waraka kwa wanachama wa CDM?

Utumiaji wa mitandao haukwepeki. Na hapa ndio narudi kwako Nguruvi3, where is the line crossed? Nani ana ruhusa ya kutumia mtandao na nani hana? So far katika matumizi ya Mtandao wote from Mbowe, Slaa, Zitto, pamoja na followers wao wote wana bidii ya kutumia mitandao kusambaza habari.

Nawalaumu Sana viongozi wa Chadema kwa haya;

Wapo too selfish! Wapo so busy kujitazama wao kama individuals, nani ni Zaidi ya nani? Hawana habari kabisa na Chadema kama taasisi; hilo ndilo linawafanya kufanya maamuzi mengi ya kukurupuka, pengine hata kuinua reputation ya mtu Fulani katika chama ila Chama kama chama kuzidi kudhoofu. Hilo ndilo linafanya hata Chadema kukosa collective agenda. Wana Agenda gani kama chama ambayo inawaunanisha viongozi wote? Ni lini mara ya mwisho Chadema walipigania kitu cha msingi kwa ajili ya jamii kwa pamoja kama chama? Kila kiongozi kashika lake kwa jitihada na nguvu zake, Ukija agenda ya Maji na Umeme ni Mnyika pekee, Ukija agenda ya ardhi ni Mdee pekee, ukija agenda ya tax evasion and Accountability ni Zitto pekee, kila mmoja akiwa na lake but hakuna lile ambalo ni collective.

If in any way nimegusia kurudisha nyuma kilichojadiliwa tayari, I apologize in advance.


Wakuu Kakalende & Mkandara, nimewasoma. Asante.
 
Last edited by a moderator:
AshaDii nikushukuru kwa hoja zako. Uongozi wa CDM una matatizo na mengine umeyaeleza.
Wakati wa tatizo la Kafulila tuliwaonya, mgogoro wa Arusha na mingine iliyofuata pia.
Tulisema CDM inajengwa na personality(s) na siyo institution, wabadilike.

Mgogoro wa Arusha niliwaambia wawe na standards za nidhamu. Nikarudia wakati wa Shibuda na Juliana na masalia.Ninakumbuka kusema kuwa double standards zitaleta matatizo mbele ya safari. Hawakusikia.

Kabla ya CC nilisema huu mgogoro unahusisha viongozi. Ni muafaka kutafuta chombo kingine kufanya decisions kuhitimisha mzozo haraka.Viongozi wakaenda ziara badala ya kulishughulikia tatizo.

CC ilipokaa ikakurupuka sana na tumesema wazi kabisa katika uzi huu.
Kilichofanywa na CC kilikuwa knee jerk reaction na busara zilipelea. Tumesema wazi hilo.

Kuhusu hoja zako, naomba nianze na ya 2. Kama unakubali kuwa ni kosa ni wazi waraka ulishachukua sura ya uharam. Ni ngumu kutafuta uhalali kwa kuchuja uharamu.
The fact that Kitila na Mwigamba walifanya kazi ndani ya CDM na wanafahamu mengine haiondoi ukweli kuwa waraka ni haramu kwa mujibu wako pia.

Kitila alikuwa mshauri wa chama, je unataka kusema mshauri alipaswa kufanya alichofanya?
Jibu la haraka ni hapana.
Alitaka kujiuzulu baada ya kukamatwa akijua kuwa kwa hadhi na imani aliyopewa alichokifanya si sahihi.

Mwigamba, Mwenyekiti wa Mkoa hakupaswa kuchochea mitandaoni, kwa pamoja wangeweza kusimama na kusema kutokana na ABC wao hawakubaliani na XYZ.
Leo wangekuwa mashujaa.

Hawakufanya hivyo wakaamua kutumia haramu wakijua ni haramu na baada ya kutimuliwa wanasema haram ile ilikuwa halali! hapa kuna busara kweli.

Hoja namba 3. Mimi nadhani wangeweka madai yao wazi kungekuwa na uhalali wa kuyaangalia.
Madai yalikuwa siri, kuyaangalia ni kuupa waraka uhalali wakati tayari umeshasema hauna uhalali.

Sina maana madai hayo hayapaswi kusikilizwa, nina maana akitokea mtu mwenye uwezo mzuri wa kufikiria na kutetea demokrasia, yanajadilika lakini kwa njia za waraka uliopo sioni nafasi.

Kwamba CDM wana black and white hawana Grey zone, AshaDii hapa natofautiana nawe sana.
Kama kuna udhaifu unaoimaliza CDM ni grey zone.
Hivi kuna mtu ambaye amekuwa 'accommodated na beneficiary wa grey zone' kama ZZK.

CDM wangekuwa na black and white leo wangekuwa katika kampeni na si mzozo huu. Kwani hawakujua kuwa matatizo ya vurugu yanasababishwa na ZZK kwa muda wote. CDM wanavuna mazao ya grey na personality.

Lakini pia tofauti ya CDM na CCM itakuwa wapi kama wote ni watu wa grey zone.
CCM wamekubaliana na mafisadi waishi kwa amani na utulivu, CDM wanaowanyooshea CCM vidole nao wanashauriwa wawe na grey zone tena Mkandara kalisema sana.
Kasema wavumiliane, that being the case tofauti ya CCM na CDM itakuwa wapi.

Kwanini E awe fisadi kwa upande mmoja upande mwingine Z apewe grey zone.
Institution inaendeshwa kwa sheria na taratibu.
Short of that tunabaki na CCM ikiwa na matawi tanzu ya NCCR, CDM n.k

Kuhusu utumiaji wa mitandao, well said, kama wote wanatumia mitandao hii inaunga mkono hoja yangu kuwa waraka haukuwa wa siri. Wapo wanaosema ulikuwa ni siri na hivyo haukulenga kuleta vurugu ila CDM wakauachia hadharani.

Hapa unanitetea kuwa waraka haukuwa siri na ulilenga kuleta vurugu kwa kuingizwa katika public domain kupitia mitandao. Sitoi excuse kwa upande wowote najenga hoja kwa wale wasemao waraka haukuwa intended for public consumption. Ni kwa msingi huo waraka ulikuwa na 'malicious intents' kwa kuingizwa katika jamii na unapoteza sifa ya mkakati au kampeni na kuwa uhuni kama si uhaini.
 
Back
Top Bottom