Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Mkuu nguvuri i got the feeling this will be going into circles unless we agree on one thing kuhusu huu waraka and move forward or we agree to disagree and call it quits
me out for now. Ntapitia huko nyuma baadae.
hapa naposema Mkakati simaanishi wa kichama ni mbimu or preparation in early stages za kuuva uongozi uliopo, Huko pia unahitaji mkakati/mpango jinsi ya kumvaa mpinzani au unadhani na yeye hana mbinu za ushindi. Kumbuka huu waraka aukuandikwa kwa ajili ya public it was a private plan ya watu ndani ya chama hivyo wanasababu za kutaka kujiuliza utendaji wa viongozi wao ukoje na kujiba legitimate reasons za kwanini watoke na kwanini wamekuwa vikwazo kimaoni yao. Unagombea nafasi ya juu udai mabadiliko kama huna sababu hizo why bother hivyo wanajiaminisha ya kwa nini hao watu hawafai (mbona kawaida sana mkuu).Kutojua mkkati hakuna maana kuwa siwezi kujali kilicho wazi kama waraka huo.
Ninachokisema ni kuwa mikakati ndani ya CDM siijui, lakini mkakati uliowekwa wa waraka si mkakati.
Lakini jiulize mkakati huo ni CDM au ni wa kundi la watu, na kama baadhi ya watu ukiwemo mnaujua je hiyo inafanya uwe mkakati wa CDM? Nitakupa mfano, hivi kujadili mapenzi ya Dr Slaa ni sehemu ya mkakati wa CDM?
Kipi sasa hapa tunazungumzia, kama swala la wewe kuhitimisha waraka unamatatizo na hilo ndilo nililo kua accuse nalo si hata hapa unarudia, kuna haja kweli ya mimi kurudi nyuma zaidi, ntarudi tu kwa sababu ya kuangalia angle zingine lakini kwa hapa msimamo wako hupo wazi.Pili, hujajibu hoja nilizoweka, ulianza katikati na sasa unarudi nyuma.
Hukunitendea haki kwasababu ulitakiwa upitie uzi kwa undani ujiridhidhe kuwa unachokisema kina ushahidi na mantiki.
Nini mantiki ya SWOT analysis ukishaifanya ikusaidie nini mbele.Tatu, tafadhali sana onyesha mkakati ndani ya waraka kipengele kimoja hadi kingine.
Nimeonyesha makosa kipengele kimoja hadi kingine.
Matatizo yepi unayoyaongelea hapa? wakati nimekuwekea kwenye quote yangu ya kwanza kwako vipengele ambavyo sikubaliani mfano wewe kusema wananchi hawatowaamini CDM wakishindwa kutoa adhabu stahiki kwa makosa ya waraka, si tayari umeshakili waraka ni tatizo linalo stahili adhabu ama?Nne, pitia vipengele nilivyoainisha uonyeshe wapi unadhani kulikuwa na matatizo.
Labda unadhani wangemtoaje, maana nilivyoelewa mimi wanajipanga kwa uchaguzi ujao that requires a mission.Tano, Kumuondoa kiongozi hatujasema ni kosa, kosa ni njia zinazotumika kumuondoa.
Kuandaa mapinduzi katika chama chenye nembo ya demokrasia si vision au mission ni treason.
Mkakati ni tendo, hata mapinduzi ni sehemu ya mkakati. Sijui unaongelea ni huu wa mapinduzi au wa kuendeleza CDM?
Yap i see nothing wrong with it is just a plan in its early stages and the author seemed troubled with the emotions wakawa wanajipa sababu za kwanini hawa hawafai, lakini kupanga kuwania uongozi si dhambi au kutaka kuona kiongozi aliyepo yupo nje uamuzi ujao is matter of taste.Sita, bado hujajibu swali,je unadhani waraka huo ni sahihi?
Hapa tunataka tuelewe position yako ili tujue tunajadiliana katika muktadha upi.
Mimi nasema tena waraka una makosa.
Mkuu si hata mimi nimekwambia ulikuwa na hoja za msingi isipokuwa sikubaliani na hitimisho lako ya kuwa waraka unamakosa.saba; Ukipitia nyuzi yangu nimesema si kila kitu ni trash kuna sehemu hoja zina mantiki ya kuzihoji nakiziorodhesha kwa kutoa nafasi uongozi ujibu(pitia nyuzi), lakini sehemu kubwa ya waraka haina mantiki.
Na namalizia hapa kwa kurudia kusema ule si waraka wa wasomi na nipo tayari kukuonyesha kwanini si wa kisomi.
[Long ting. ndio maana hata siku hizi wengine tumeacha kuchangia mada za economic humu ndani maana comparison are no longer based on facts and the readiness of changes zilizokuwepo mpaka tunao jilinganisha wakatoka haraka, me out. Ohh this is a very simple strategy everything is there so i wont go point simpe plans, politicians dont use SWOT much they prefer 'game theory' imekaa kinafiki kama proffesion yenyewe ya siasa me out, trust me wangekuwa waangalifu zaidi na kuto mu-underestimate mpinzani.Nane, hebu tuonyeshe mission, objective and strtategies katika waraka kipengele kimoja hadi kingine.
me out for now. Ntapitia huko nyuma baadae.