Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,478
Sijui kama nitakuwa nimelielewa veama swali lako, nitajaribu kufafanua kadri nijuavyo. Insider kama Tuko anaweza ku chip in
Waraka ulikamatwa kutoka katika lap top ya Mwigamba. Mwigamba ndiye mchapaji aliyetajwa kama M3. Ni huyu bwana alikuwa anatumia ID ya mkulima masikini. Nadhani walifuatiliwa kwa ukaribu na mtu wao ambaye alikuwa mshirika wa kundi la waandika waraka. Huyu ndiye alivujisha habari zote kwasababu kukamatwa kwa waraka kulikuwa na precision ya hali ya juu sana.
Kundi. Uwepo wa kundi haujulikani. Kama ulivyosoma waraka ni watu wachache sana waliojua mpango huo.
Kwa bahati mbaya wengi wa vijana waliotumika hawakujua nini kipo nyuma yake. Walipewa maelekezo na ahadi kem kem mambo yakishakamilika. Leo wengi wanatazama nyuma na kuona walivyolishwa hujuma dhidi ya chama chao.
Kwahiyo hili si kundi lenye kadi ni elite wachache sana waliofanya mazingaombwe na kubeba wengi bila kujijua.
Hata hivyo ikumbukwe kuwa uwepo wa kundi hili haukuanza leo.
Kiongozi wao ni Zitto ambaye ametajwa kuhusika na tuhuma kubwa tatu
1. Wakati wa Kafulika alikuwemo
2. Wakati wa Juliana alikuwepo
3. Masalia M7 alikuwepo.
Baada ya kugundua kuwa kuwatumia vijana kuna madhara kwasababu ya kutokuwa na simile au subra ndipo wakaamua na mwenziwe waanzishe kitu kukiwa na watu wachache kama waraka unavyoonyesha.
Utakumbuka wakati wa sakata la kufukuzwa kwa Juliana, Kitila Mkumbo aliandika makala raia mwema si kulaani uhalifu bali akiwataka viongozi wa CDM wawasamehe 'hawa ni vijana waachwe wabalehe'. Leo tunajua kubalehe ilikuwa kuwalinda kwasababu ni watu wao.
Sijui kama nimeeleweka kutokana na swali lako, kama kuna mapungufu wengine wachangie kwa kadri yao.
Kundi la waandika waraka naomba lijulikane kama 'ZIKI' (Zito & Kitila)
Thanks Nguruv3. You have answered my question. Hawa watu wasipoangalia watakuja kutoana maisha. Haya mambo ya kutumia mbinu za kijasusi kupata information wangewaachia CCM au vyama vya kikomunisti.
To me something is fishy here and both sides are trying to take pre-emptive actions to cover their butts.