Duru za Siasa Special: Mgogoro kambi ya Upinzani (CHADEMA)

Duru za Siasa Special: Mgogoro kambi ya Upinzani (CHADEMA)

Mkuu wangu ebu turudi nyuma ktk historia yetu. Wale wadhamini wa TANU walomsaidia mwalimu kwa fedha na gharama zote unataka kusema ndio walikuwa wamiliki wa chama?.

Ikiwa hivyo, basi bila shaka yule mhindi alotupa mabillioni alitakiwa kuwa mmiliki maana sidhani kama hata mzee Mtei kisha toa fedha hiyo.Na kama ndivyo mbona yule mwenyekiti wetu wa Singida leo anaitwa Mhaini na msaliti wakati katumia mali na rasilimali zake kuliko hata wewe na mimi hapa! Uzalendo wa kiongozi ama mwanachama haupimwi kwa mali na rasilimali anazotumia bali ushirika wake, jasho lake na kujitoa mhanga kama kina Mandela, Oliver Tambo na Steve Biko.

Vyama vyote duniani huwa vina wafadhili wake na hawa hutokana na mapenzi yao kwa mrengo na sera za chama hicho iwe kwa kuelewa waakuja faidika pindi sera gizo zikipita ama wakisaidia mageuzi. Chama chochote cha kisiasa kinachomilikiwa na mtu ama watu fulani basi jua kuwa hawa ni MADIKTETA wanaotaka kutawala wao kwa kutumia nguvu ya fedha zao. Na sidhani kama kweli kina mMbowe wanafanya haya kwa nia ya kuwa madikteta lakini ndivyo itakavyo someka.

Sahihisho:- Huu waraka sisi wote tumeusoma na hakuna mahala hata pamoja imeonysha Zitto anahusika na uandishi wa huo waraka - HAKUNA. Yeye ni mtajwa tu, ndiye alopendekezwa na hicho kikundi iweje matusi na chuki yote yawe kwa ZItto?. Kwa nini haswa kupendekezwa kwake ndiko kunauma ama? Kw ahiyo ukiondoa jina la Zitto kama mwandalizi wa mageuzi hayo ya waraka huo, Uhalisia wa maelezo yako yote unaondoka...

Swali,ingiwa huu waraka unaitwa wa siri - ati kama walikuwa na mashaka walitakiwa kuyapeleka malalamiko hayo ktk vikao vya chama..Je, hivi kweli haya malalamiko ndio kwanza hata sisi ndio tumeyasoma ktk waraka huo ama yamezungumzwa na viongozi wengi walokwisha pita!..Binafis nimeoana machache sana mageni lakini kila kilichoandikwa nimesha kisoma tena hapahapa JF na hatukuona majibu wala mabadiliko yoyote ktk utekelezaji wake isipokuwa wote walodai hivyo huitwa wasaliti na mapandikizi wa CCM - Jamani mwee What's going on?..

Ikiwa ni kweli mahesabu ya chama hiki yanajulikana na watu watatu tu, toka 2010 hakuna mwaka wajumbe wa kamati kuu waliwahi kusomewa matumizi ya mwaka ulopita! mkuu huoni kama hili ni janga kubwa sana maana kwa tabia hii tukija shika nchi itakuwaje?. Na hii sio siri ama huko inaitwa jina jingine?. Mkuu wangu hata co-ops, asasi na Jumuiya za Watanzania nje na ndani huonyesha matumizi yao kwa kila mwaka ktk vikao vyao vya kufunga mwaka, iweje Chadema chama kubwa (mbadala) iwe siri ya watu watatu tu, kiasi kwamba hata Naibu katibu wa chama hajui kinachoendelea?..Hii ni kusema kwamba Zitto hakuaminika toka ameingia madarakani sasa tujiulize kwa nini alipewa nafasi ile ikiwa haaminiki?. Na wajumbe wengine pia hawaaminiki? kina ani haswa wanaoaminika kuwa kweli ndio i wana Chadema damu.
Mkuu Mkandara ,ahsante na nianze na hoja ya Mwenyekiti wa CDM Singida.

Sidhani ni jambo la Mwenyekiti kuivunia nyumba yake na sanduku la posta kutumiwa na CDM.
Mwenyekiti ni mwanachama wa kwanza Singida na wa 300 kitaifa kama alivyobainisha.
Kwa miaka 20 amekuwa mwenyekiti wa mkoa. Kipindi hicho ni kikubwa kwa mtu kufanya jambo katika chama chake.

Wenyeji wa Kilolo Iringa walikutwa na maswaibu ya Mwangosi wakiwa katika jengo lao walililojenga wenyewe.
Kumbuka hawa si viongozi wa mkoa ni kaeneo tu.
Leo mwenyekiti anastaafu na kusema CDM watumie sanduku lake la posta.Huyu hakufaa kuwa mwenyekiti na nadhani kuondoka kwake ni jambo jema kwa CDM kuliko uwepo wake. 20 yrs doing nothing!

Pili, mwenyekiti amejiuzulu kwasababu Zitto kachukuliwa hatua. Akiwa mwenyekiti hakuwahi kusikika akitoa sauti dhidi ya malalamiko, alikuwa loyal kwa Zitto kuliko chama. Hawa ni wa kupuuzwa ,Tanzania miaka 50 haiwezi kuendelea kuwa na viumbe wa aina hii iwe kwa CDM, CUF au CCM.

Kuhusu wafadhili wa chama, nakubaliana na Zakumi kuwa uwepo wao usiwe ndiyo sababu ya kuwanyang'anya wanachama umiliki. Tuhuma dhidi ya Mbowe kuwa na tenda ni matokeo ya ufadhili.
Waraka umelalalmikia kutokuwepo kwa mapato na Mkandara ameshadidia.
Hoja ya Zakumi inakuwa na nguvu zaidi kuwa ruzuku zinachangia kiasi cha migogoro.

Umiliki wa chama kwa kutumia matajiri umeifikisha CCM kushindwa hata kusimamia nidhamu.
Mafisadi wanalipwa 430,000 KWA SIKU kuandaa mipango ya serikali.

CC na NEC zimeshindwa kuchukua hatua kwa kuogopa nguvu ya matajiri na CCM si cha wakulima au wafanyakazi ni biashara tu kama huna kitu wewe ni CCM Pilau na Kofia. Je, Zakumi hana hoja kwa mtazamo huo.

Malalamiko yamekuwepo siku nyingi. Kwa bahati mbaya yalioenekana majungu kwasababu yaliletwa na watu wasiojulikana. Zaidi yalilenga kuchafua watu na kupoteza maana yake halisi au hoja iliyoyabeba.

Leo tuna ushahidi usio na shaka waliokuwa wanaleta malalamiko hayo na kuonekana ni wengi ni vijana wa Kitila/Zitto kama alivyo Mwigamba. Mwigamba alikuwa anaandika kwa ID ya 'masikini mkulima'Mkuu soma post#92 uniambie kama ipo tofauti kati ya waandika waraka na huyo aliyeandika JF.

Kuhusu Zitto kuhusishwa na waraka, ukiusoma unaeleza wazi kabisa 'ataombwa' kuwa mshiriki mkuu (MM) na atafundwa kufanya mambo ABCD. Kuna kila sababu za maana kuamini kuwa hatua zilizokuwa zimefikiwa na waandika waraka zilikuwa za juu zaidi kuliko waraka ulivyosema. Nitafafanua hapa chini.

1. Kwanza hatujui waraka uliandikwa lini kwasababu hakuna tarehe. Matukio ya tuhuma katika mitandao kama iliyoanishwa katika waraka yalIanza kutokea miezi zaidi ya minne iliyopita.Maana yake hatua ya utekelezaji ilishaanza.

2. Waraka umesema watafutwe watu wachache waaminif. Waraka umekamatwa kwa Mwigamba ambaye ni mwenyekiti wa Mkoa. Maana yake ule uundwaji wa kanda na watu waaminifu ulishakamilika.

3. Waraka umemtaka Zitto awe mwiba kwa serikali ndani na nje ya Bunge.
Tumeshuhudia jinsi alivyokuwa mkali kwa masuala ya 'kitaifa'

4. Waraka umesema wazi njia ya kubomoa uongozi ni kurusha kombora. Tuhuma za ukaguzi wa fedha za vyama amezitoa Zitto akiwa mwenyekiti wa PAC. Tuhuma hizo ni sambamba kabisa na maagizo ya waraka ulivyosema.
Zitto alikshatekeleza agizo la waraka kwa kurusha kombora la ukaguzi wa fedha.

5. Waraka umemwagiza Zitto ashiriki kampeni. Hivi karibuni alishiriki kampeni kuliko ilivyokuwa huko nyuma.

6. Ukamtaka asijibu tuhuma, ndivyo alivofanya wakati anashambuliwa na mbunge mwenzaek. Ukimya si hulka ya Zitto hata waraka umeshuhudia hilo, leo ushujaa huo kautoa wapi.

7. Waraka ukasema wenye ID wataanza kumpamba Zitto, rejea bandiko#92

8. Wakati wa kikao cha CC kuna tuhuma hakuwepo.Ilibainika alitaka kujiuzulu nafasi yake na Kitila.
Kwanini alitaka kujiuzulu kama hakuwa na jambo lolote baya alilofanya katika chama. Alitaka kuzuia sakata lisiingie katika public domain 'funika kombe'

Kama ilikuwa kujiuzulu angefanya hivyo kabla ya Mwigamba hajauza ghala la silaha.
Kinyume chake ni kutambua kuwa hujuma dhidi ya chama chake, usaliti kama kiongozi ndani ya chama chake, matusi, kashfa kejeli na dharau dhidi ya viongozi wenzake kulikuwa na mkono wake mrefu sana.

Zitto hakuandika waraka kama alivyookolewa na Kitila, lakni ameshiriki katika utekelezaji wa maagizo ya waraka kikamilifu. Hili limemuodolea public trust, limemshushia hadhi na heshima, na limemuanika mbele ya uso wa Watanzania.Jitihada za kujisafisha kwa kutumia vyombo vya habari haziwezi kumrudishia hadhi na uaminiFu aliyokuwa amepewa na jamii.

Na mwisho kuhusu mahesabu ya chama kujulikana na watu watatu, ningefarijika kama Zitto na Kitila wangejitoa na kuyasema. Leo ningesimama upande wao bila kusita. Hawakufanya hivyo wakakimbilia embe kiburugwa kuandaa jungu badala ya kutoka na kusema uozo ndani ya chama chao. That is too low the least to say.

Madai hayo yanaweza kuwa na mashiko lakini Zitto akiwa mtendaji msaidizi amepoteza heshima ya kuyazungumzia.
Kitila akiwa mshauri wa chama amepoteza hadhi ya kUsikilizwa.

Yazungumzwe na mtu mwingine, hawa wawili hawana moral authority ya kuieleza jamii jambo lolote ikaaminika tena.
Hawana public trust. Watulie na waanze kununua nguo za kujisetiri
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3,

Mkuu bado kabisa sijakuelewa maana unatoka ktk maswali yangu na kujenga hali iliyopo huko CCM kama mfano ambao pia unauponda. Nakuomba tu ufahamu ni ktk uhalisia huo ndio maana tunausoma huu waraka kwa jicho tofauti, kama sivyo usingekuwa unapiga chenga hoja zangu kwa kujenga dhana (your perspective)unavyofikiria wewe ndio maana maswali yanazidi. Unafanya Uhuni mwingine unaposema kwamba madai haya yanatolewa na watu wa nje wakati unajua fika viongozi wengi waloondoka Chadema miaka ya nyuma wote waliweka madai haya haya! wote wanalalamikia MAKAO MAKUU kwa Udikteta na matumizi ya fedha yasiyojulikana kwa wajumbe. Unless wewe unataka kunambia kwamba CDM kina wenyewe, ni NGO inayomilikiwa na baadhi ya watu - FAFANUA!

Mkuu wangu maelezo yako hayajitoshelezi hata kidogo, nimeuliza kirahisi kabisa kuwa hayo madai yaloorodheshwa na kila Kitila na Mwigamba yana UKWELI ndani yake? maana mkuu kumbuka kila baya liloandikwa humu kuhusu ZZK na hata yale ya Lema, sijaona mtu akiyabishia wala kusema uvunjaji wa kanuni ya chama, isipokuwa huyo huyo ZZK ambaye kazungumziwa tu kuchukua kiti cha uongozi ndiye amekuwa hatari kwa viongozi na wana Chadema.

Uchaguzi ulopita kidogo ZZK anyang'anywe Uanachama kwa sababu ya kuchukua fomu ya kugombea Uenyekiti! Hivi tuna tatizo gani na nafasi hiyo maana sikuona kabisa ZZK kumshinda Mbowe ama viongozi wengine maana ZZK hapendwi hivyo ndani ya chama na siku zote katukanwa na wanachama wenyewe! ZZK kugombea Uraius pia unapigwa vita na wana Chadema, sio kutoka nje ama CCM halafu watu mnashindwa kujieleza WHY? zaidi ya kuwa ni pandikizi la CCM pasipo ushahidi. Huyu ZZK kwa nini amekuwa mwiba kwa CDM haswa inapofikia maswala ya utawala. Je, kuna siri gani tusoifahamu maana hii nayo ni siri kama waraka japo hatuna maandishi.

Sasa ikiwa uwewe hujui lolote kuhusu madai ya hawa jamaa kwa nini unamhukumu ZZK badala ya kujitazama kwanza sisi wenyewe kuhusu madai haya. Ikiwa ni UONGO na tukadhihirishiwa kuwa ni UONGO basi hukumu hiyo ingekuwa halali kabisa lakini kama ni ukweli mtupu, basi utagundua kwamba malengo makubwa ya mageuzi haya ilikuwa kukiondoa chama ktk mikono ya kundi la watu wachache walotumia sababu ya mali na rasilimali zao kuwa wao ndio wenye haki miliki ya chama.

Tusipokubali mabadiliko haya, chama hiki kiwe kama vyama vingine vya kisiasa duniani ambavyo havina mwenyewe isipokuwa wanachama wake na hupokea misaada ya wafadhili ili kukidhi mahitaji ya chama. Misaada haina Umiliki kama vile Kitaifa tunapopokea misaada ya ujenzi wa miundombinu, haina maana wafadhili hawa huwa na hisa ama umiliki wa nchi yetu. Tatizo linakuja tu pale tunapopokea misaada hii na kugawa umiliki wa mali na rasilimali za taifa kama wanavyofanya CCM na wawekezaji wa nje. Hii ndio vita yetu CDM kitaifa sasa itashangaza kama ndani ya chama tunawapa watu umiliki kwa sababu hizo hizo tunazopiga vita Kitaifa.

Kitaifa sote tunaona JK akiuza nchi, tunamlaumu kwa kila Ufisadi unaotokana na mfumo mbaya wa serikali na chama chao. Tunapinga na kupendekeza leo hii kuondoa nguvu ya rais, kuwabana Wabunge wasiwe mawaziri na mengine mengi tu, yote haya ni ktk kuijenga Tanzania sii kuibomoa. Sasa hali hii, sisi ndani ya chama Viongozi wa Chama ndio wabunge na ndio wajumbe wa kamati kuu ya chama, na wanashika madaraka zaidi ya kofia moja, hivi kweli mtu kama Mwigamba au huyo mwenyekiti wa Singida wana nguvu gani ya kuwakilisha malalamiko yao kwa chombo hiki. Wewe nambie kweli Lilaah pasipo kuuma ulimi, unaona hayo madai ya kina Mwigamba ni uzushi? Je ukweli ni Upi?

Mwisho mkuu wangu huyo mwenyekiti wa chama Singgida na Mwigamba ambaye alikuwa mwenyekiti wa chama Mkoa wa Arusha ni watu muhimu sana kwa chama na nadhani nguvu yao ndio imetuwezesha sisi kushika majimbo hayo. Ni viongozi wakubwa ngazi ya mkoa walitakiwa kuhusidhwa na swala hili iwe ktk mkutano mkuu ama vikao vya dharura. Kuwadharau leo baada ya kupata majimbo hayo ni ukosefu wa shukran na sii akili wala uungwana hata kidogo. Nimesoma matusi mengi tu kuhusu watu hawa bila kufahamu kwamba tunajiweka ktk nafasi mbaya sana kwa mikoa ya Arusha, Singida na Kigoma pasipo sababu kabisa maana ZZK ameandaliwa tu na kundi la watu iwe hatua ya mwanzo ama ya mwisho hakuna mahala popote ktk waraka huo unamweka ZZK katika maamuzi yoyote ya;lokusudiwa.

Na kama leo tunahofia mageuzi kuwa ni Usaliti na Uhaini wakati binafsi yangu sioni kama wangefanikiwa ikiwa kweli wanachama wote wa Chadema hawawaungi mkono. walicotaka ni support ya wana Chadema na inaonekana haikuwepo sasa tmaamuzi haya yametokana na FEAR tu, lakini inatugharimu vibaya sana.
 
Mkandara umenena vyema,mimi leo najikita katika hoja Dhaifu ya Zitto kutumiwa na CCM,hii hoja ni Dhaifu,ukiona viashilia vinavyomuhisisha Zito na CCM,mpaka nashangaa,hivi katika siasa za vyama jambo gani kubwa alilofanya Zito kuyumbisha hivi vyama vya CCM na CDM,hivi ile hoja ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu(waCCM)ingepita,na waziri kung'olewa ingeijenga CCM au CHADEMA,kama yeye anamahaba na CCM kwanini ahiujumu CCM,hivi ndo vitu vinavyoonekana,vingine Hisia tu......tukubari tukatae Ubaguzi CDM hupo,Mfano leo Lema anaweza mshutumu mbunge wa CDM mkoa wowote na atapongezwa,Lakini akitokea mwanachama wa kawaida au mbunge kutoka mikoa mingine akasema Lema,Mbowe,Slaa ni mzigo atashambuliwa na kuambiwa atumika na CCM
Chadema imeingia katika mtego huu"CCM ikikoselewa-Wanakuita Mpinzani hatakama una chama,Chadema ukiwakosoa wanasema umetumwa na CCM"
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mkandara #202
Kabla sijafanya 'uhuni' wa kukwepa au kutojibu maswali yako naomba niweke sawa jambo moja.

Viongozi walioondoka au kufukuzwa wamelalamika kuhusu madai ambayo yapo katika waraka.
Kitu usichokubali ni kuwa migogoro iliyosababisha viongozi kuondoka au kufukuzwa ina mkono wa Zitto na Kitila.
1. Kafulila, Zitto alitajwa kwa ushiriki wake bila kumung'unya maneno
2. Mgogoro wa Juliana (Waachwe wa balehe-Kitila) una mkono wa Zitto
3. Mgogoro wa masalia umemtaja Zitto kikamilifu.
Ni mifano michache

Kikundi cha watu wachache kinachotumia majina tofauti kinafanya ionekane kama ni issue ya kitaifa.
Mwigamba ndiye 'masikini mkulima' nadhani anazo zingine kama ilivyo kwa Zitto ambaye alikuwa na ID prezida kama sikosei wakati wa masalia. Kwahiyo wingi wa malalamiko hautokani wala kuonyesha wingi wa walalamikaji bali ni ujanja tu wa kuteka watu akili. Please soma bandiko #92 uone jinsi ID iznavyofanya kazi.

Kafulila, Shonzo, na akina Mtela walichokisema ndicho kilichopo katika waraka.
Kwa maneno mengine waraka ni mkakati mpya wa kuendeleza kilichokuwa kinaendelea na si jambo geni.

Pamoja na hayo, ZZK akiwa katibu mkuu mtendaji na Kitila mshauri wa chama walifanya nini katika nafasi zao kuelezea malalamiko ambayo unasema yalianza muda mrefu? Je, waraka ndio njia muafaka ya kutatua tatizo lililokuwepo?

Pili, umeuliza swali mara nyingi iwapo madai yao yana ukweli au uhalali.
Nimejibu swali hilo mapema sana katika bandiko#14 kwa kusema yapo maswali yanayohitaji majibu kutoka katika uongozi kwasababu kwa fikra za kawaida yanatia shaka zaidi kuliko kuondoa.
Nikauliza hivi:
Inaendelea....

Katika waraka tumeona sehemu zenye tuhuma dhidi ya uongozi uliopo madarakani.
Tuhuma hizo ni nzito na zinapaswa kutolewa ufafanuzi.

1. Kuhusu kipengele cha uongozi kufanyiwa mbinu, je ni kweli kuhusu hilo?
Kwanini uongozi haukurekebisha ulipobaini kulikuwa na tatizo katika uchapaji.
Na kwanini kila mara kumekuwa na mang'uniko juu ya suala hili bila kupatiwa jibu la maana

2. Tuhuma za Mbowe kukopesha chama bila kumbu kumbu
Je, Mbowe anaweza kujitokeza na kuonyesha kumbu kumbu zinazohusiana na madai yake ya fedha kwa uthibitisho?

3.Je, ni utaratibu gani unaotumika katika kutoa tenda na akina nani wanahusika.
Kuna kumbu kumbu zozote za kuthibitisha kuwa tenda zinatolewa kwa kufuata taratibu zilizowekwa na chama?

4. Je, Mbowe ni kweli kuwa una mtu anaye supply vifaa vya chama ambaye hakuteuliwa na chama na kwamba wewe na wenzako wawili ndio mnaofahamu hilo

5. Dr Slaa kwanini hakuna ukaguzi wa fedha kutoka kwa CAG. Je, mwenyekiti wa POAC mh Zitto ambaye pia ni msaidiz wako ameshawahi kukueleza kuhusu hilo, kama ndio kwanini hujafanya kama ilivyotarajiwa, kama hapana ni kwanini.

6. Dr Slaa, utaratibu wa kuajiri na kufukuza ndani ya chama upoje. Nani anayeajiri na nani anayefukuza mfanyakazi.

7. Dr Slaa, ni ipi ratiba ya uchaguzi ndani ya chama ikizingatia kuwa muda wa uongozi uliopo unakaribia kufikia hatima

8. Mbowe, ni upi utaratibu wa kupata viongozi wasiochaguliwa katika chama kama katibu mkuu, katibu mkuu msaidizi

9. Katika madai ya waraka ipo sehemu inayosema kikao kiliamua kuajiri watendaji wa kanda.
Dr Slaa kuna sababu gani za msingi za kufikia miezi 5 hilo halijatendeka

10. Mbowe na Slaa, je kuna utaratibu gani zaidi ya kuchangisha pesa wa kuleta mapato ndani ya chama.


Wana duru tunauliza maswali hayo kwasababu yanaonekana kujirudia rudia katika mitandao kukiwa hakuna majibu ya kuridhisha. Tunaamini kuwa ili tuwe na 'fair trial' ni lazima tufanye 'cross examination'.

Yale tunayoyajua tutayaeleza kwa ukamilifu, yale yenye mashaka yatahitaji ufafanuzi na hii ni sehemu ya fursa hiyo ili kuondoa sintofahamu ndani ya chama.Tunawakaribisha viongozi, wasemaji au idara za CDM kuweka uwazi.cc Dr.W.Slaa HAMY-D sixgate Mungi Ben Saanane Ritz Tumaini Makene
Mkuu kunitaka nithibitishe kama yana uhalali au la, wakati nimeuliza ni kunionea?

Sina jibu nasubiri yatolewe ufafanuzi.Hata hivyo waraka unasimama wenyewe kama kitu kilichotumika au kusudiwa kutumika kwa njia isiyo na mantiki, fikra wala nidhamu.
Nimetoa sababu za kwanini waraka una tatizo na walioandika nao ni sehemu ya tatizo.

Kuhusu ZZK kushiriki uenyekiti na tafrani iliyomkuta.
Nipo katika rekodi nikisema hakuna tatizo ZZK kushiriki katika uongozi.
Niliwaambia CDM uhai na afya ya chama chao ni matokeo ya ushindani wa maana na sera within.

Tatizo lililomkuta ZZK ni kuingiza mambo ya kugombea wakati CDM wakiwa katika kipindi cha uchaguzi.
Mag3 kaeleza kuwa hiyo ni distraction isiyokuwa na maana.

Mkandara, hivi kweli kulikuwa na busara yoyote ya kufanya hivyo?
Kwani angepoteza nini endapo angekaa kimya hadi wakati muafaka.

Nadhani utakubaliana na wengi kuwa hata penye hoja mara nyingi ZZK huwa 'victim' kwasababu hana busara.
Busara si akili wala degree, busara ni uwezo wa kupima jambo kutokana na mazingira na kulitolea ufumbuzi bora katika options zilizopo.

Maungufu ya ZZK ni kukosa busara kama unavyoona anavyoendelea kufanya sasa hata baada ya kuvuliwa vivazi vyote. Hana busara ya kuudanganya umma kuwa tatizo ni uenyekiti si waraka, hana busara za kutupumbaza kuwa hoja yake ya fedha kupitia PAC ililkuwa uzalendo. Hana busara kabisa huyu kijana na ni jambo linalomdhalilisha sana, hana busara!

Kuhusu mwenyekiti wa Singida na Mwigamba, naona unajichanganya.
Unasema hawakuwa na uwezo wa kulisema katika vikao kwasababu ni watu wadogo.
Si kweli, walikuwa na nafasi za kuzungumza kama wenyeviti.

Walikuwa wana nafasi za kujiuzulu kuonyesha concern zao. Wa singida kajiuzulu baada ya Zitto kuenguliwa, yaani yeye akili yake ipo kwa Zitto na si busara zake.

Mwigamba kajielekeza katika kutoa siri za vikao vya chama kwa wanawaraka.
Hawana busara hawa na sijui hata hizo nafasi walizipataje.

Kuhusu uwezo wao wa kupata majimbo, sidhani CDM inaweza kujengwa kwasababu fulani ana ushawishi.
Haya ndiyo mambo yanayopingwa katika taasisi. Taasisi inafanya kazi kama unit na si kama personality.

ZZK alisusia chaguzi nyingi, CDM wameshinda na wameshindwa, kumtegemea Mwenyekiti asiyeweza kujenga ofisi au Mwigamba anayeburuzwa kama gunia au ZZK kwasababu ana ushawishi ni jambo la hatari sana.

Mzozo wote unaouona CDM ni kwasababu personality ndizo zimekuwa chama.
Taasisi inayofanya kazi namna ya CDM haina uhai kama haitajitazama.

Kuhusu maamuzi ya CC, mimi nasema yalikuwa ya emotional zaidi kuliko busara.
CDM waliambiwa lazima watafute chombo mbadala na si CC ili haki itendeke.
Na kwamba hakukuwa na haja ya kujaza nafasi kabla ya shauri kumalizika.

Ninachoweza kusema ni kuwa bila nidhamu hakuna mafanikio ya chama chochote.
Tumeona CCM ilivyopoteza nidhamu ikihangaika, na sasa CDM.

Kurudisha nidhamu si jambo jepesi, linahitaji kujitoa.
Hatua inayolenga kurudisha nidhamu ni muhimu sana kuliko kuangalia nidhamu itamuathiri nani.
 
Last edited by a moderator:
Mkandara umenena vyema,mimi leo najikita katika hoja Dhaifu ya Zitto kutumiwa na CCM,hii hoja ni Dhaifu,ukiona viashilia vinavyomuhisisha Zito na CCM,mpaka nashangaa,hivi katika siasa za vyama jambo gani kubwa alilofanya Zito kuyumbisha hivi vyama vya CCM na CDM,hivi ile hoja ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu(waCCM)ingepita,na waziri kung'olewa ingeijenga CCM au CHADEMA,kama yeye anamahaba na CCM kwanini ahiujumu CCM,hivi ndo vitu vinavyoonekana,vingine Hisia tu......tukubari tukatae Ubaguzi CDM hupo,Mfano leo Lema anaweza mshutumu mbunge wa CDM mkoa wowote na atapongezwa,Lakini akitokea mwanachama wa kawaida au mbunge kutoka mikoa mingine akasema Lema,Mbowe,Slaa ni mzigo atashambuliwa na kuambiwa atumika na CCM
Chadema imeingia katika mtego huu"CCM ikikoselewa-Wanakuita Mpinzani hatakama una chama,Chadema ukiwakosoa wanasema umetumwa na CCM"
Adharusi, sijui kama umeongelea kuhusu hoja za bandiko au kwa ujumla.

Ningekufahamisha kuwa tumekuwa na mjadala wa CDM kwa muda mrefu sasa.
Katika siku za karibuni tulijadili kwa undani na akina Mchambuzi kuhusu paranoia ya wana CDM.

Tulisema, tatizo la CDM na migogoro linatokana na haya
1. Kuwania uongozi (power struggle) iliyojenga
a) kundi la uongozi
b)kundi la wapinzani ndani ya CDM
C)Wasaliti
d)Neutral

2. Wana CDM wana tatizo la kuamini
a) Kwamba matatizo yao yanatoka nje na si ndani (denial state) hao ndio wanasingizia kila jambo CCM

b)Kuna wana CDM wametambua kuwa ili wajifiche vema lazima wavae UCCM, hawa ndio wa mtandaoni wakijiita wana CCM. Utashangaa ni hawa ndio wanamtetea Zitto na kuwataka CDM wasimchukulie hatua kwasababu ni mtu muhimu sana

c)Kuna wana CCM ambao wamegundua udhaifu wa viongozi na wanachama wa CDM.
Wanajua kuwa CDM wapo katika denial state hivyo kuwadanganya na kuwachonganisha ni rahisi.
Wanatambua kuwa makundi yaliyopo ni laini na kinachohitajiwa ni kuni na petrol kidogo tu.

Ukiangalia vema hakuna kundi lisilo na ukweli katika mzozo huu. Niliwahi kusema tatizo ni kubwa sana kuliko wanavyofikiri CDM mwaka na nusu uliopita.

Dr Slaa na Mbowe wakasema hakuna mgogoro. Zitto akapigilia msumari hakuna mgogoro.
ukweli ni kuwa hoja 1 na 2 hapo juu zinasimama bila kuhitaji msaada.

Unapokuwa na makundi, mengine yakifanya kazi za kijasusia kama akina mwigamba ni ngumu sana kusema huyo ni mwanachama mwaminifu.

Yes, anaweza kuwa CDM lakini inapofikia mahali amejificha embekiburugwa akiandika matusi na kejeli dhidi ya viongozi wake ambao yeye ni sehemu yao hapo ni rahisi kusema mtu huyo anaangukia katika kundi 1(b)(c) hapo juu.

Kwavile wanachama wa CDM wamechangayikiwa kwa kiasi fulani, ni rahisi kwao kutafuta mahali pa ku justify wasi wasi wao. Na kwavile kuna mtu kama Zitto ambaye historia haimsemi vema ni rahisi yeye kuwa victim of circumstance.

Kupanga mapinduzi kwa njia haramu ni uhaini hata kama utapakwa manukato.
Kuingia katika vikao na kuchukua habari ni espionage isiyohitaji fikra
Kukaa katika vikao na kwenda kinyume na vikao hivyo ni usaliti hata ukimwagiwa 'sadolin' ya perfume.

Kwavile wanaCDM wapo katika state of denial kuwa matatizo hayatoki kwao ni rahisi kwao kujiuliza, hivi huu uhaini na usaliti ni kwa mnaufaa ya nani? Kwanini kiongozi afanye uhaini na usaliti kwa chama chake? Ni yeye au anatumiwa!!

Nadhani umeelewa mantiki ya kwanini kuna tuhuma za uhaini na usaliti.
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3 kwanza nakuheshimu sana,nikuambie kitu kimoja,tunajadili waraka huu ambao Zitto amekana kushiriki kuandaa,ambao Kitila amekubali kuwa ameandaa au vinginevyo,sisi tunajadili yaliyomo au tunajadili waliondaa waraka?kama tunajadili yaliyomo kwanini tumechagua yale tu yanayo onekana yapo upande wa Zitto,alafu lugha unayotumia kwa Zitto ni kali kuliko kuliko kwa washindani wake,nakubali Zitto ana matatizo lakini haifanyi Mbowe na Slaa wawe Malaika katika ishu ya Matumizi katika Chama
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3 kwanza nakuheshimu sana,nikuambie kitu kimoja,tunajadili waraka huu ambao Zitto amekana kushiriki kuandaa,ambao Kitila amekubali kuwa ameandaa au vinginevyo,sisi tunajadili yaliyomo au tunajadili waliondaa waraka?

kama tunajadili yaliyomo kwanini tumechagua yale tu yanayo onekana yapo upande wa Zitto,alafu lugha unayotumia kwa Zitto ni kali kuliko kuliko kwa washindani wake,nakubali Zitto ana matatizo lakini haifanyi Mbowe na Slaa wawe Malaika katika ishu ya Matumizi katika Chama
Ndugu yangu Adharusi , Niseme huwezi kuongelea mimba bila kumtaja mama na baba. Yes, mama hutajwa zaidi kwasababu amebeba mimba, lakini je mimba inatunga bila baba na kwavile baba hatajwi sana basi hana ushiriki katika utungo?

Nimeonyesha mara nyingi sana kuwa Zitto alishaanza kufanyia kazi waraka, hili hakuna anayelikataa, watu wanakataa yeye kuandika waraka. Well, hakuandika waraka, amesutumikia waraka simple as that.

Pili, lugha inayotumika si kali ni lugha ya ukweli. Zitto kukosa busara si lugha kali, mbona waraka umesema hivyo? Ninachosema mimi ni kufupisha maneno, waraka ukisema ni mwepesi wa hasira na hujibu bila kufikiri mimi nasema kwa kifupi hana busara.

Waraka ukimtaka afanye mapenzi kwa siri na anapendwa na wanawake, mimi nasema ni kapera.
Niwie radhi, kwa kawaida spade ni spade ukiita kijiko kikubwa unakosea.

Tumekwama hapa kwasababu kwanza tukubaliane kuwa waraka ni utarataibu mbovu usiolingana na maadili au kiwango cha elimu ya walioandika na kushiriki. Baada ya hapo tuchambue kama kuna punje za mchele.

Nimeuliza maswali bandiko #14 , sina majibu kama yupo mwenye ushahidi wa kutosha alete hapa tutauchambua vema.

Mbona tumeandika kuhusu Dr Slaa na kukurupuka kwake mikoani?
Mbona tumetetea kuwa njia zilizotumika kumhukumu zitto hazikuwa sahihi? n.k.

Usiwe na shaka kila jambo litachambuliwa upside down, bado tunafuatailia huu ni mwanzo tu kila jiwe litageuzwa.

Hata hivyo hilo halitoi msamaha
kwa Kitila na Zitto kwa uhalifu, wala halimfanyi Zitto awe na busara wakati tunajua hakujaliwa hata kidogo. Kukosa busara siyo tusi ni sehemu ya mapungufu ya mwanadamu kama vile mwanadamu mwingine anapokuwa na tatizo la maradhi au maumbile.
 
Ndugu yangu Adharusi , Niseme huwezi kuongelea mimba bila kumtaja mama na baba. Yes, mama hutajwa zaidi kwasababu amebeba mimba, lakini je mimba inatunga bila baba na kwavile baba hatajwi sana basi hana ushiriki katika utungo?

Nimeonyesha mara nyingi sana kuwa Zitto alishaanza kufanyia kazi waraka, hili hakuna anayelikataa, watu wanakataa yeye kuandika waraka. Well, hakuandika waraka, amesutumikia waraka simple as that.

Pili, lugha inayotumika si kali ni lugha ya ukweli. Zitto kukosa busara si lugha kali, mbona waraka umesema hivyo? Ninachosema mimi ni kufupisha maneno, waraka ukisema ni mwepesi wa hasira na hujibu bila kufikiri mimi nasema kwa kifupi hana busara.

Waraka ukimtaka afanye mapenzi kwa siri na anapendwa na wanawake, mimi nasema ni kapera.
Niwie radhi, kwa kawaida spade ni spade ukiita kijiko kikubwa unakosea.

Tumekwama hapa kwasababu kwanza tukubaliane kuwa waraka ni utarataibu mbovu usiolingana na maadili au kiwango cha elimu ya walioandika na kushiriki. Baada ya hapo tuchambue kama kuna punje za mchele.

Nimeuliza maswali bandiko #14 , sina majibu kama yupo mwenye ushahidi wa kutosha alete hapa tutauchambua vema.

Mbona tumeandika kuhusu Dr Slaa na kukurupuka kwake mikoani?
Mbona tumetetea kuwa njia zilizotumika kumhukumu zitto hazikuwa sahihi? n.k.

Usiwe na shaka kila jambo litachambuliwa upside down, bado tunafuatailia huu ni mwanzo tu kila jiwe litageuzwa.

Hata hivyo hilo halitoi msamaha
kwa Kitila na Zitto kwa uhalifu, wala halimfanyi Zitto awe na busara wakati tunajua hakujaliwa hata kidogo. Kukosa busara siyo tusi ni sehemu ya mapungufu ya mwanadamu kama vile mwanadamu mwingine anapokuwa na tatizo la maradhi au maumbile.

Mkuu nitakuwa tofauti na wewe juu ya hoja kuwa Zitto alishaanza kuufanyia kazi waraka hapo umeongozwa na na hisia tu,kwa kuangalia matukio anayofanya Zitto,Zitto kuzungumza hoja za kitaifa ajaanza leo,kumbuka hoja ya Buzwagi,je alianza kufuata maelekezo ya waraka,Zitto anayo tabia hiyo mda mrefu,nimekaa Kigoma miaka mitatu nimeshamkosoa sana Zitto,mfano kipindi kile ajari ya meli zanzibar aliwai kutoa kulaani TBC1 kutoonyesha ajari,na kulaumu kuwa Meli imezeeka,nilimuuliza mv Liemba na Mv spice ipi Kongwe,nikamuuliza kwanini haoji sasa kuhusu Lihemba,ila kwa hili la ndani CDM ajatendewa haki hizi ni tuhuma,leo viongozi wapita mikoani wanasema anayewapenda(mapacha watatu)Zitto+Kitila+Mwigamba basi ang'oke nao,je Zito ameng'oka CDM,wanasema wasaliti wasaliti je tuhuma hizi zimesibitishwa kuwa ni kweli.......!
 
Mkuu nitakuwa tofauti na wewe juu ya hoja kuwa Zitto alishaanza kuufanyia kazi waraka hapo umeongozwa na na hisia tu,kwa kuangalia matukio anayofanya Zitto,Zitto kuzungumza hoja za kitaifa ajaanza leo,kumbuka hoja ya Buzwagi,je alianza kufuata maelekezo ya waraka,Zitto anayo tabia hiyo mda mrefu,nimekaa Kigoma miaka mitatu nimeshamkosoa sana Zitto,mfano kipindi kile ajari ya meli zanzibar aliwai kutoa kulaani TBC1 kutoonyesha ajari,na kulaumu kuwa Meli imezeeka,nilimuuliza mv Liemba na Mv spice ipi Kongwe,nikamuuliza kwanini haoji sasa kuhusu Lihemba,ila kwa hili la ndani CDM ajatendewa haki hizi ni tuhuma,leo viongozi wapita mikoani wanasema anayewapenda(mapacha watatu)Zitto+Kitila+Mwigamba basi ang'oke nao,je Zito ameng'oka CDM,wanasema wasaliti wasaliti je tuhuma hizi zimesibitishwa kuwa ni kweli.......!
Kutoka katika waraka
Matumizi ya fedha za taasisi.
Hakuna mtu anayejua hivi sasa fedha za chama zinatumikaje zaidi ya kakikundi ka watu watatu yaani mkuu kabisa, mtendaji mkuu na mkuu wa fedha kwenye taasisi yetu. Maamuzi ya vikao hayaheshimiki tena na mabwana hawa.

Hoja ya uongozi uliopo kushindwa kabisa kusoma taarifa za fedha tokea 2010 ikifahamika kwa wapiga kura inaweza kuwa machinjio kabisa ya uongozi uliopo na kumpa fursa kubwa tunayemtaka.

Katika kuzidi kuonyesha alivyo mzalendo tunaweza kusema hapa kwamba ni kiongozi pekee kutoka upande huu ambaye ameonekana sana kwenye mambo ya kitaifa kwa mfano kulipigania taifa letu katika mambo ya kimchezo, kutumia gharama zake kwenda nje ya nchi na kujifunza mambo mbalimbali yanayoweza kulisaidia taifa katika sekta nyeti kama mafuta, gesi na madini, nk bila kusahau kwamba amekuwa ndiye mwakilishi pekee aliyeongoza katika kuibua kashfa nyingi na nzito za ubadhirifu ndani ya serikali hata kufikia mawaziri kadhaa kufukuzwa kazi

Kutokana na tuliyoyasema hapo juu kwenye ‘m' ni dhahiri kwambapale mpinzani wetu anaporushiwa kombora la kashfa anakuwa mzito kujieleza hata kama anapewa nafasi ya kufanya hivyo na hii ni fursa muhimu kwa tunayemtaka.

Ashiriki kikamilifu katika shughuli za taasisi yetu zikiwamo vikao vyote vinavyomhusu, operesheni mbalimbali, chaguzi ndogo, nk.

MM aendelee kushusha ‘nondo' ndani ya chombo chetu cha uwakilishi na kuendelea kuwa juu ya wawakilishi wengine katika hoja mbalimbali zenye maslahi ya kitaifa
 
Kutoka katika waraka

Ukisoma maelezo unaona kabisa muandikiwa amesimama na hoja za kitaifa mda mrefu,ukisoma maelezo ya waraka yanataja ishu ya karibuni kutokuwa na imani waziri mkuu,si mda mrefu hivyo.
 
Ukisoma maelezo unaona kabisa muandikiwa amesimama na hoja za kitaifa mda mrefu,ukisoma maelezo ya waraka yanataja ishu ya karibuni kutokuwa na imani waziri mkuu,si mda mrefu hivyo.
Na issue ya fedha vipi?
 
Nguruvi3,

Umenichekesha sana kuhusu hii mimba maana nijuavyo mimi, hii mimba ni WARAKA na baba ni viongozi wetu maana pasipo wao waraka huo usingekuwepo.

Kina Kitila walichosema ni wasiwasi wao kuhusu huyu baba na kuorodhesha madai yao vizuri tu kwa imani ya kwamba mama yetu CDM ameathirika! Swali ni moja tu kwa nini hamtaki baba apimwe? Ila hawa walosema ndio wanafiki,wasaliti ilihali hawa watu ni wana familia?

Labda nikuulize hivi kwa nini nyie hamtaki kabisa kuzungumzia baba kuwa na ukimwi hivyo mama na mtoto pia wanaweza kuathirika! Hamtaki wala kutuhubutu ku question makao makuu ili tupate majibu?

Pili, hayo maswala ya kina Kafulila na wengineo kusema kweli Zitto alikuwa mtetezi tu wa hoja zao. Zitto alipingana na uamuzi wa kumfukuza Kafulila ktk uanachama tofauti na wajumbe wengine. Hata mimi sikubaliani na huu mtindo wa kumfukuza mtu uanachama kwa sababu tu hakubaliani na wengine sio ktk maswala ya mrengo wala sera, hii inakifanya chama kiwe na wenyewe wenye uwezo wa kumnyang'anya mtu kadi. Kwa staili hii utaweza vipi kumfukuza mzee Mtei? Uanachama ni imani ya mtu huwezi kumfukuza muumuni ktk imani ya dini au dhehebu ila unaweza mfukuza toka ktk kanisa asije kusali kama walivyomwachisha Zitto uongozi lakini sio uanachama.

Kisha siku zote guilty verdict hutolewa na member wote wa jury, ikitokea kati yao kupinga uamuzi kesi hiyo huwa batili (hung jury) lkn nimeona CDM wametumia wingi wa kura kufanya maamuzi ya kimahakama. Kati ya wajumbe wa kamati kuu 33 wapo walopinga kufukuzwa kwa Zitto lkn uamuzi ukapita pasipo kuheshimu member wengine, najiuliza Je hapo napo kuna mkono wa nani?- Rudi nyuma zaidi, toka kina Kabourou hadi Chacha Wangwe nako kulikuwepo mkono wa Zitto? Mbona wachagua baadhi ya watu walikuwa karibu na Zitto tu wakati malalamiko kama haya hayakuanza jana!

Mwisho, nimesikitishwa sana na wazo lako ama lenu kuwa kuna wana CCM tumejificha huko CDM na ndio tunaomtetea Zitto! Dah mkuu wangu huoni kama mnatumia dhana tupu pasipo ukweli maana binafsi najijua siko CCM sasa unaposema haya kwa uhakika kuwa sisi ni mapandikizi wa CCM wakati sii kweli bali uongo mkubwa unategemea vipi mimi niamini mengineyo ya huyo Zitto. Ukweli ni kwamba sina ukaribu wowote na Zitto wala hiyo CCM isipokuwa nachelea nafasi ya CDM ktk uchaguzi ujao kutokana na kupoteza wachezaji wetu.

Mimi siamini kama Zitto ni mzigo kwa chama, bali anatupa mtihani zaidi wa kufikiri pengine kweli tuna tatizo ktk uongozi maana ktk waraka imeelezwa wazi kuwepo kwa mtandao mwingine ambao mnautetea kwa kila hali na kuuita ndio CDM!Inanifanya nijiulize je tusokuwemo ktk mtandao huo ama wa Zitto tunaitwa kina nani? Ndio Neutral.. so, kuna makundi CDM tukubali basi hamtaki! Tuna tatizo ktk malengo na maandalizi ya chama kuchukua nchi hamtaki kusikia! jamani - Leaders leed by example, Ukipewa nguvu ya kuongoza na kuwakosoa wafuasi wako, uwe tayati na wewe kukosolewa kama hupendi kukosolewa basi huo ndio Udikteta.

Oooh by the way, kuhusu majibu yangu mkuu wangu hujanijibu bali umeongezea maswali zaidi. Kumbe hata wewe huna majibu isipokuwa umechukua ya upande mmoja tu na kutoa hukumu kama walivyofanya wengine. huoni kama umechemsha?.. Hivyo basi achene kutetea, tupewe majibu haya kwanza kisha ndipo tunaweza kumhukumu ZZK na wenzake - Call your witness!
 
Nguruvi3,

Umenichekesha sana kuhusu hii mimba maana nijuavyo mimi, hii mimba ni WARAKA na baba ni viongozi wetu maana pasipo wao waraka huo usingekuwepo.

Kina Kitila walichosema ni wasiwasi wao kuhusu huyu baba na kuorodhesha madai yao vizuri tu kwa imani ya kwamba mama yetu CDM ameathirika! Swali ni moja tu kwa nini hamtaki baba apimwe? Ila hawa walosema ndio wanafiki,wasaliti ilihali hawa watu ni wana familia?

Labda nikuulize hivi kwa nini nyie hamtaki kabisa kuzungumzia baba kuwa na ukimwi hivyo mama na mtoto pia wanaweza kuathirika! Hamtaki wala kutuhubutu ku question makao makuu ili tupate majibu?

Pili, hayo maswala ya kina Kafulila na wengineo kusema kweli Zitto alikuwa mtetezi tu wa hoja zao. Zitto alipingana na uamuzi wa kumfukuza Kafulila ktk uanachama tofauti na wajumbe wengine. Hata mimi sikubaliani na huu mtindo wa kumfukuza mtu uanachama kwa sababu tu hakubaliani na wengine sio ktk maswala ya mrengo wala sera, hii inakifanya chama kiwe na wenyewe wenye uwezo wa kumnyang'anya mtu kadi. Kwa staili hii utaweza vipi kumfukuza mzee Mtei? Uanachama ni imani ya mtu huwezi kumfukuza muumuni ktk imani ya dini au dhehebu ila unaweza mfukuza toka ktk kanisa asije kusali kama walivyomwachisha Zitto uongozi lakini sio uanachama.

Kisha siku zote guilty verdict hutolewa na member wote wa jury, ikitokea kati yao kupinga uamuzi kesi hiyo huwa batili (hung jury) lkn nimeona CDM wametumia wingi wa kura kufanya maamuzi ya kimahakama. Kati ya wajumbe wa kamati kuu 33 wapo walopinga kufukuzwa kwa Zitto lkn uamuzi ukapita pasipo kuheshimu member wengine, najiuliza Je hapo napo kuna mkono wa nani?- Rudi nyuma zaidi, toka kina Kabourou hadi Chacha Wangwe nako kulikuwepo mkono wa Zitto? Mbona wachagua baadhi ya watu walikuwa karibu na Zitto tu wakati malalamiko kama haya hayakuanza jana!

Mwisho, nimesikitishwa sana na wazo lako ama lenu kuwa kuna wana CCM tumejificha huko CDM na ndio tunaomtetea Zitto! Dah mkuu wangu huoni kama mnatumia dhana tupu pasipo ukweli maana binafsi najijua siko CCM sasa unaposema haya kwa uhakika kuwa sisi ni mapandikizi wa CCM wakati sii kweli bali uongo mkubwa unategemea vipi mimi niamini mengineyo ya huyo Zitto. Ukweli ni kwamba sina ukaribu wowote na Zitto wala hiyo CCM isipokuwa nachelea nafasi ya CDM ktk uchaguzi ujao kutokana na kupoteza wachezaji wetu.

Mimi siamini kama Zitto ni mzigo kwa chama, bali anatupa mtihani zaidi wa kufikiri pengine kweli tuna tatizo ktk uongozi maana ktk waraka imeelezwa wazi kuwepo kwa mtandao mwingine ambao mnautetea kwa kila hali na kuuita ndio CDM!Inanifanya nijiulize je tusokuwemo ktk mtandao huo ama wa Zitto tunaitwa kina nani? Ndio Neutral.. so, kuna makundi CDM tukubali basi hamtaki! Tuna tatizo ktk malengo na maandalizi ya chama kuchukua nchi hamtaki kusikia! jamani - Leaders leed by example, Ukipewa nguvu ya kuongoza na kuwakosoa wafuasi wako, uwe tayati na wewe kukosolewa kama hupendi kukosolewa basi huo ndio Udikteta.

Oooh by the way, kuhusu majibu yangu mkuu wangu hujanijibu bali umeongezea maswali zaidi. Kumbe hata wewe huna majibu isipokuwa umechukua ya upande mmoja tu na kutoa hukumu kama walivyofanya wengine. huoni kama umechemsha?.. Hivyo basi achene kutetea, tupewe majibu haya kwanza kisha ndipo tunaweza kumhukumu ZZK na wenzake - Call your witness!
Mkuu Mkandara , hunitendei unapoacha kupitia mabandiko ya nyuma na kuona jinsi tulivyoielezea chadema bila bias na kusema wazi bila kificho makundi yaliyopo CDM.

Tulienda mbali hata kuwataja washiriki katika makundi hayo. Kusema kuwa watu hawakubali kuwa kuna makundi pengine unamaanisha wana CDM mimi nilishaelezea tangu mwaka jana na kurudia si mara moja.

Kuhusu Zitto kutoa mtihani, nimeshalisema tena nikamuunga mkono kwa baadhi ya hoja ambazo zilionekana kuwa tatizo. Moja ikiwa ni ya kutoka bungeni na nyingine ni ya kuhusu muungano na msimamo wake.
Tumezungumzia sana kuhusu kukosoa na kukosoana na kwamba ni jambo lenye afya katika vyama vya siasa.

Kukosoana kwa sera na mantiki ni kwema, si kukosoana kwa makamu mwenyekiti BAVICHA kumdhalilisha mwenyekiti kisa katumwa nao. Katumwa kwasababu waliandika hata makala za kumtetea.Huko si kukosoana ni ujuha wa siasa.

Kukosoana kwa kusimama na kusema Tenda si halali, chama hakina njia mbadala za mapato ni kwema kabisa.
Kukosoana kwa kujifungia embekiburugwa na kuandika kuhusu elimu ya magumashi na akili ndogo ya Mwenyekiti na kusheheni matusi si kukosoa ni libertine.
Ni moral decay kwa kuzingatia walikuwa wanakaa na huyo asiye na akili bila kumwambia.

Kwamba Zitto ni mzigo, hilo ningesema ni Zigo. Mtu anayeweza kuleta vurugu wakati wenzake wakiwa katika mapambano inafikirisha sana. Kampeni za uchaguzi zinaendelea Zitto anatangaza kuwania uenyekiti! hivi huyu ni asset au ni liability.

Ni mzigo kwasababu haiwezekani mitafaraku yote akawa mhusika kwa namna moja au nyingine.
Ni huyu alikuwa mfadhili wa masalia na mpango wao wa vurugu. Alikuwa nyuma ya kila njama .

Kuhusu guilty verdict sijui mambo ya sheria lakini nimeshawahi kuona kuna split decision na majority wanakuwa na upper hand. Hata hivyo hili si suala la kisheria ni suala la matumizi ya sheria katika mambo ya siasa.
Haiwezekani watu wote walimkataa Salim Ahmed Salim, wala kamati kuu haikuwa na mgawanyiko kuondoa jina la Malecela. Ni utaratibu gani unatumika kwingine na CDM uwe ni haramu? Hapo sijui

Hawa ni watu 33 lazima uwepo utaratibu wa kufikia maamuzi. Hakuna mahali uamuzi huo uliwahi kuhojiwa na Zitto akiwa kama katibu mkuu mtendaji msaidizi, leo vipi uone kaonewa? Si yeye alikuwepo katika kikao cha Wangwe, Kaburu ?

Kuhusu Kaborou, unafahamu aliacha ukataibu mkuu na kujiunga na CCM.
Naunga mkono maamuzi yake kwasababu hakuridhika na mwenendo au alivutiwa na masilahi ya CCM, the bottomline aliamua kuitumikia nafasi yake. Hakuwa mhaini au msaliti, alismama kwa kile alichokiona ni sahihi kwake

Ni kwa mantiki najiuliza akina Zitto/Kitilla wanasababu gani za kuzitesa nafsi mafichoni wakati wana choices.
1. Wajitokeze waseme kuna uhuni unaendelea na hawakubaliana nao
2. Wangejiuzulu nafasi zao wapate nafasi ya kusema bila kufungwa na maadili au undumila kuwili
3. Wafuate nyayo za Mtangulizi wao Kaborou kutafuta mahali watakaporidhika napo.

Kinyume na hayo ni uhuni zaidi ya ule uliosema ninao mimi.
Hawa sikuwa wanao bali wanautekeleza kwa vitendo huko embekiburugwa na ndani ya CDM.

Kuhusu ku question makao makuu inategemea mtu yupo upande gani.
Mimi nimehoji sana kuhusu utendaji. Kwa bahati mbayA kila nilichokisema kilionekana kama kama ujuha

Unakumbuka wakati nimeitwa Kikagula kwasababu ya kuhoji mambo ya CDM?
Unakumbuka niliwahi kuelezea mgogoro mkubwa ndani ya CDM na kusema utatokea katika miezi 18 ijayo?

Kuna mambo yanayotia ukakasi kuhoji kwasababu unaweza kujikuta umeingia maliwato mabaya.
Tuhuma nyingi tumeziona katika mtandao kabla ya waraka zikiletwa na watu wale wale kwa njia zile zile za ID hadi walipokamatwa.

Tuhuma zilizomo katika waraka zimeshawahi kuletwa jamvini na mzee wa laptop akiwa makao makuu, nyingine na wakosefu wa maono waliofukuzwa au kujifukuzisha kwasababu wanadhani siasa ni kelele na si akili

Hata hivyo tumezipa benefiti of doubt na kuzihoji zaidi.
Hilo haliondoi ukweli kuwa waraka ni kosa tena lililofanywa na viongozi na wasomi. Ni kosa to begin with.

Mkuu Mkandara huwezi kukamatwa na gongo ukajitetea mbona Nguruvi ni kibaka na mahakama haimuongelei.
Kesi ya gongo kama pombe haramu ni ya gongo. Halafu yanaweza kuletwa mashtaka ya ukibaka wa Nguruvi.
Tukubaliane kwanza kwamba waraka ni batili, haram na dhalili, halafu twende mbele zaidi. Tusichanganye issue.

Ahsante
 
Last edited by a moderator:
SAKATA LINAZIDI KUCHUKUA SURA MPYA
Dr Slaa- Kama ulichosema ni kweli, hayo ni makosa
Zitto na ushirika wa CCM? Kuna nani kinaendelea?

Zipo karuli ambazo hazijathibitishwa na vyanzo halisi zinazodai Dr Slaa amemuonya Zitto kutofanya mikutano.

Kama habari hizo ni za uzushi Slaa ambaye ni katibu mkuu CDM au idara ya habari maelezo inapaswa ifafanue.

Kama ni za kweli basi Dr Slaa atakuwa amepotoka sana na inaweza kuwa ni kiwewe.

Duru za siasa tunasema Zitto ni mbunge wa Kigoma , anapokwenda jimboni mwake anahaki ya kuhutubia mikutano kama sehemu ya mawasiliano yake na wapiga kura.

Na wala hakuna sheria inayomzuia asizungumze na watu wa eneo lingine kama kiongozi.
Tumewahi kuona wabunge wakisaidiana katika mikutano mbali mbali na wala halikuwa tatizo.

Endapo Zitto hakutumia nafasi aliyonyang'anywa kuhutubia mkutano sioni kwanini iwe tabu yeye kuzungumza na wapiga kura wake.
Dr Slaa hili unahitaji kulitolea ufafanuzi kwasababu lina maswali mengi zaidi ya majibu.

Dr Slaa ninyi mlifukuza uongozi hamjamfukuza uanachama. Bado kama mwanachama ana haki ya kuzungumza kama Mwanachadema. Endapo mlitaka asizungumze basi mngekuwa mumemaliza kazi mliyoianza mkaiacha nusu na kwenda kwenye mikutano huku mkikwepa tatizo makao makuu.

Duru tumesema kuwa tatizo linakabiliwa halikimbiwi na hiyo ni template ya mzee wa CCM ambaye kila linapotokea jambo huwa safarini, unless mnatumia template hiyo mikutano yenu haijaondoa tatizo.

Pia mnapaswa mtende haki kwa kufikia tamati ya suala la wahaini na wasaliti.
Kama hamna ushahidi wala sababu za kutosha basi limalizeni kwa kuwarejeshea nafasi zao na kuomba suluhu au mkae mezani kama mlivyowahi huko nyuma mkiendelea na ufugaji wa matatizo. Hayo ni yenu lakini haki ionekane inatendeka.

Kama mngesikiliza hoja za kuwa na independent organ msingekuwa hapo njia panda.
Huu ni udhaifu wenu ambao duru imeuelezea tangu mgogoro wa Arusha na utaendelea kuwatafuna.

UHUSIANO WA ZITO NA CCM?
Kuna nyuzi mbili ambazo zinatia shaka ukizosoma kwa macho angavu kuhusu tuhuma za mahusiano ya sehemu hizo kwa kufikirisha

Hakuna aliyewahi kuzikanusha bali tunashuhudia uthibitisho.
Naweka link

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ema-wahusika-toeni-ufafanuzi-kuhusu-hili.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kushitaki-mipango-yao-miovu-kugundulika.html


HOJA ZA DURU ZA SIASA.
Email zilipowekwa hatukuzijadili kwa kukosa ushahidi na hata sasa bado tupo katika msimamo wa kuhisi na wala si uhalisia.

Lakini leo kuna nyuzi inayosema Ben Saa nane ameitwa kuhojiwa kwa ku hack email za watu.
Wahusika ni wale wale wa email za awali.

Hii maana yake ni kuwa watu hao wanathibitisha kuwa hizo email ni zao vinginevyo wasingelalamika kama ni za kutunga.
Hadi itakapothibitika vinginevyo kuna harufu ya jambo nyuma ya email.
Kudia hacking ya email yenye maudhui yanayomhusu Zitto inafikirisha.
Sijui watu hao wanadai begi tupu au wabnadai begi na vilivyomo ndani!!

Pili, wiki hii bungeni mmoja aliuliza swali la nyongeza kuhusu tuhuma za mbunge wa CDM na kuitwa na Mbowe arudi Dubai.

Kwa taratibu za bunge swali la nyongeza halipo katika ratiba na linapotokea hata Spika hajui litalenga nini na kutoka kwa nani.

Kabla ya hapo kulikuwa na nyuzi inasema Mbunge huyo atazungumza baada ya dakika chache hapa JF kama kumbu kumbu zangu zipo sawa na kweli alipewa nafasi na akazungumza.
Swali, hivi iliwezekanaje watu wajue mbunge X atauliza swali la nyongeza kabla hata hajasimama hapa JF? Watu walijuaje kuwa mtu X anafuata ikiwa Spika mwenyewe hajui. What's going on?

Aliposimama Mh Mbunge na kutoa tuhuma baadaye alifuatiwa na Mbunge wa CDM akasimama na kusema suala hilo hapo si mahali pake litazungumziwa katika PAC.

Kwa haraka unaweza kudhani kuna kupingana, kimantiki kuna uhusiano kati ya wabunge wawili na mleta nyuzi hapa JF na kilichofanyika ilikuwa kuweka kitambaa usoni mwa watu, sidhani kulikuwa na uhalisia! sidhani, nadhani kulikuwa na trio!!

Ninapoziangalia email, kuitwa kwa Ben Saanane kwa hacking na mazingira yaliyotokea bungeni ninapata wasi wasi kama hakuna connection.

Nasema ni wasi wasi tu kwavile nimejitahidi kutumia sehemu ndogo sana ya ubongo wangu ambao si lazima uwe sahihi. Mwisho wa siku nikasema 'smell rat'.

Labda wanaduru niseme hivi, soma zile email, angalia mazingira yalitokea bungeni halafu liangalie sakata la CDM kwa ujumla.

Tusemezane!
 
Last edited by a moderator:
SAKATA LINAZIDI KUCHUKUA SURA MPYA
Dr Slaa- Kama ulichosema ni kweli, hayo ni makosa
Zitto na ushirika wa CCM? Kuna nani kinaendelea?

Zipo karuli ambazo hazijathibitishwa na vyanzo halisi zinazodai Dr Slaa amemuonya Zitto kutofanya mikutano.

Kama habari hizo ni za uzushi Slaa ambaye ni katibu mkuu CDM au idara ya habari maelezo inapaswa ifafanue.

Kama ni za kweli basi Dr Slaa atakuwa amepotoka sana na inaweza kuwa ni kiwewe.

Duru za siasa tunasema Zitto ni mbunge wa Kigoma , anapokwenda jimboni mwake anahaki ya kuhutubia mikutano kama sehemu ya mawasiliano yake na wapiga kura.

Na wala hakuna sheria inayomzuia asizungumze na watu wa eneo lingine kama kiongozi.
Tumewahi kuona wabunge wakisaidiana katika mikutano mbali mbali na wala halikuwa tatizo.

Endapo Zitto hakutumia nafasi aliyonyang'anywa kuhutubia mkutano sioni kwanini iwe tabu yeye kuzungumza na wapiga kura wake.
Dr Slaa hili unahitaji kulitolea ufafanuzi kwasababu lina maswali mengi zaidi ya majibu.

Dr Slaa ninyi mlifukuza uongozi hamjamfukuza uanachama. Bado kama mwanachama ana haki ya kuzungumza kama Mwanachadema. Endapo mlitaka asizungumze basi mngekuwa mumemaliza kazi mliyoianza mkaiacha nusu na kwenda kwenye mikutano huku mkikwepa tatizo makao makuu.

Duru tumesema kuwa tatizo linakabiliwa halikimbiwi na hiyo ni template ya mzee wa CCM ambaye kila linapotokea jambo huwa safarini, unless mnatumia template hiyo mikutano yenu haijaondoa tatizo.

Pia mnapaswa mtende haki kwa kufikia tamati ya suala la wahaini na wasaliti.
Kama hamna ushahidi wala sababu za kutosha basi limalizeni kwa kuwarejeshea nafasi zao na kuomba suluhu au mkae mezani kama mlivyowahi huko nyuma mkiendelea na ufugaji wa matatizo. Hayo ni yenu lakini haki ionekane inatendeka.

Kama mngesikiliza hoja za kuwa na independent organ msingekuwa hapo njia panda.
Huu ni udhaifu wenu ambao duru imeuelezea tangu mgogoro wa Arusha na utaendelea kuwatafuna.

UHUSIANO WA ZITO NA CCM?
Kuna nyuzi mbili ambazo zinatia shaka ukizosoma kwa macho angavu kuhusu tuhuma za mahusiano ya sehemu hizo kwa kufikirisha

Hakuna aliyewahi kuzikanusha bali tunashuhudia uthibitisho.
Naweka link

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ema-wahusika-toeni-ufafanuzi-kuhusu-hili.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kushitaki-mipango-yao-miovu-kugundulika.html


HOJA ZA DURU ZA SIASA.
Email zilipowekwa hatukuzijadili kwa kukosa ushahidi na hata sasa bado tupo katika msimamo wa kuhisi na wala si uhalisia.

Lakini leo kuna nyuzi inayosema Ben Saa nane ameitwa kuhojiwa kwa ku hack email za watu.
Wahusika ni wale wale wa email za awali.

Hii maana yake ni kuwa watu hao wanathibitisha kuwa hizo email ni zao vinginevyo wasingelalamika kama ni za kutunga.
Hadi itakapothibitika vinginevyo kuna harufu ya jambo nyuma ya email.
Kudia hacking ya email yenye maudhui yanayomhusu Zitto inafikirisha.
Sijui watu hao wanadai begi tupu au wabnadai begi na vilivyomo ndani!!

Pili, wiki hii bungeni mmoja aliuliza swali la nyongeza kuhusu tuhuma za mbunge wa CDM na kuitwa na Mbowe arudi Dubai.

Kwa taratibu za bunge swali la nyongeza halipo katika ratiba na linapotokea hata Spika hajui litalenga nini na kutoka kwa nani.

Kabla ya hapo kulikuwa na nyuzi inasema Mbunge huyo atazungumza baada ya dakika chache hapa JF kama kumbu kumbu zangu zipo sawa na kweli alipewa nafasi na akazungumza.
Swali, hivi iliwezekanaje watu wajue mbunge X atauliza swali la nyongeza kabla hata hajasimama hapa JF? Watu walijuaje kuwa mtu X anafuata ikiwa Spika mwenyewe hajui. What's going on?

Aliposimama Mh Mbunge na kutoa tuhuma baadaye alifuatiwa na Mbunge wa CDM akasimama na kusema suala hilo hapo si mahali pake litazungumziwa katika PAC.

Kwa haraka unaweza kudhani kuna kupingana, kimantiki kuna uhusiano kati ya wabunge wawili na mleta nyuzi hapa JF na kilichofanyika ilikuwa kuweka kitambaa usoni mwa watu, sidhani kulikuwa na uhalisia! sidhani, nadhani kulikuwa na trio!!

Ninapoziangalia email, kuitwa kwa Ben Saanane kwa hacking na mazingira yaliyotokea bungeni ninapata wasi wasi kama hakuna connection.

Nasema ni wasi wasi tu kwavile nimejitahidi kutumia sehemu ndogo sana ya ubongo wangu ambao si lazima uwe sahihi. Mwisho wa siku nikasema 'smell rat'.

Labda wanaduru niseme hivi, soma zile email, angalia mazingira yalitokea bungeni halafu liangalie sakata la CDM kwa ujumla.

Tusemezane!

Kujadili zile barua pepe ni kupoteza mda!kwa fikra zangu,na wahusishwa wa barua pepe wameripoti Polisi sababu kuzuia uchochezi unaendelea kupitia B-pepe,sababu majina yao yametajwa,na hii tabia ya majungu vijana inaanza kuota mizizi,kama wapo wataalam wa kuhack mbona awajahack email ya Mwigamba,wametumia nguvu kumnyang'anya Laptop
 
Last edited by a moderator:
Kujadili zile barua pepe ni kupoteza mda!kwa fikra zangu,na wahusishwa wa barua pepe wameripoti Polisi sababu kuzuia uchochezi unaendelea kupitia B-pepe,sababu majina yao yametajwa,na hii tabia ya majungu vijana inaanza kuota mizizi,kama wapo wataalam wa kuhack mbona awajahack email ya Mwigamba,wametumia nguvu kumnyang'anya Laptop
Kinachopshangaza email hizo zipo JF muda mrefu, si Nchimbi, Mwigulu au Zitto amewahi kuzitolea ufafanuzi. Well, nilisema kuwa sina uhakika nazo lakini hii reaction ya Mwigulu (tunaita knee jerk reaction) inazidi kutia wazi wasi hasa ilipotengenezwa connection ya yeye kuzungumza bungeni, Zitto na email kinadharia(hypothetically). Narudia hi reaction ni kubwa mno, inanikumbusha siku Zitto aliposema hajawahi kukutana na Ben Saanane wakati walikuwa timu moja. Reaction ya Mwigulu ni kubwa sana kulikoni?
Kuna hofu ya nini? wakati email zipo miezi zaidi mwezi, why today! Kuna kitu Mwigulua amehisi hakipo sawa.
Fuatilia hoja yake bungeni kuhusu Mbowe na jinsi ilivyojengwa na 'utetezi' wa Zitto! halafu thread zilivyokuwa zinakuja.
Yaani ni kama utabiri!
 
Kinachopshangaza email hizo zipo JF muda mrefu, si Nchimbi, Mwigulu au Zitto amewahi kuzitolea ufafanuzi. Well, nilisema kuwa sina uhakika nazo lakini hii reaction ya Mwigulu (tunaita knee jerk reaction) inazidi kutia wazi wasi hasa ilipotengenezwa connection ya yeye kuzungumza bungeni, Zitto na email kinadharia(hypothetically). Narudia hi reaction ni kubwa mno, inanikumbusha siku Zitto aliposema hajawahi kukutana na Ben Saanane wakati walikuwa timu moja. Reaction ya Mwigulu ni kubwa sana kulikoni?
Kuna hofu ya nini? wakati email zipo miezi zaidi mwezi, why today! Kuna kitu Mwigulua amehisi hakipo sawa.
Fuatilia hoja yake bungeni kuhusu Mbowe na jinsi ilivyojengwa na 'utetezi' wa Zitto! halafu thread zilivyokuwa zinakuja.
Yaani ni kama utabiri!

Hizo Email zilizovyotundikwa humu zilipuuza,naamin hata wewe ukutoa maoni,baadae akazileta tena hakioji kwanini hazikanushwi kama ni uongo,mara baada hapo ikapatikana post kutoka FB kwamba Nchimbi amekanusha na amesema atatoa taarrifa polisi,ukiangalia mtililiko wa majibizano ya email kwa mwenye kufikiri anajua hii ni kutunga,kuna mambo ya kuandikiana ktk email na mengine ni ya kuchart katika simu au mazungumzo,wangesema ni text katika simu au vimemo kidogo ningehisia:kwa uwezo wangu wa kufikiri Mwiguru kaja sasa kukanusha sababu watu mda mrefu wametaka aje kukanusha kama ni uongo,na hayo ya bungeni ni ya kawaida Wabunge wetu mambo Ya kitoto wameamishia bungeni,tusiongozwe na hisia tu kila jambo tuingie ndani zaidi
Eshima yako mkuu muhimu kulinda jukwaa
 
Hizo Email zilizovyotundikwa humu zilipuuza,naamin hata wewe ukutoa maoni,baadae akazileta tena hakioji kwanini hazikanushwi kama ni uongo,mara baada hapo ikapatikana post kutoka FB kwamba Nchimbi amekanusha na amesema atatoa taarrifa polisi,ukiangalia mtililiko wa majibizano ya email kwa mwenye kufikiri anajua hii ni kutunga,kuna mambo ya kuandikiana ktk email na mengine ni ya kuchart katika simu au mazungumzo,wangesema ni text katika simu au vimemo kidogo ningehisia:kwa uwezo wangu wa kufikiri Mwiguru kaja sasa kukanusha sababu watu mda mrefu wametaka aje kukanusha kama ni uongo,na hayo ya bungeni ni ya kawaida Wabunge wetu mambo Ya kitoto wameamishia bungeni,tusiongozwe na hisia tu kila jambo tuingie ndani zaidi
Eshima yako mkuu muhimu kulinda jukwaa
Wala hakuna tatizo, mimi nilipuuza hizo email. Kilichonishtua ni kuhusu mambo kwenda Polisi. Na hadi sasa nasema inabaki curiosity tu sinyooshei mtu kidole

Hili la bungeni unaliona juu juu, nimeuliza hivi inawezekanaje muuliza swali la nyongeza akajulikana endapo Spika mwenyewe hajui? Swali la nyongeza huwa halipo katika ratiba.

Kwanini imechukua muda mrefu wanaotuhumiwa kujibu?

Kuna mambo yanaendelea kwahiyo curiosity ni muhimu. Anyway muda utatupa jibu.
 
Wala hakuna tatizo, mimi nilipuuza hizo email. Kilichonishtua ni kuhusu mambo kwenda Polisi. Na hadi sasa nasema inabaki curiosity tu sinyooshei mtu kidole

Hili la bungeni unaliona juu juu, nimeuliza hivi inawezekanaje muuliza swali la nyongeza akajulikana endapo Spika mwenyewe hajui? Swali la nyongeza huwa halipo katika ratiba.

Kwanini imechukua muda mrefu wanaotuhumiwa kujibu?

Kuna mambo yanaendelea kwahiyo curiosity ni muhimu. Anyway muda utatupa jibu.
Haya mkuu tunakutegemea sisi vijana utukomaze kwa uandishi wako!!
 
Back
Top Bottom